30735 Maarifa Asilia Mbinu za Wenyeji za Kuleta Maendeleo ya Dunia Kuadhimisha Miaka Mitano ya Mpango wa Benki ya Dunia wa Programu ya Maarifa Asilia kwa Ajili ya Maendeleo © 2004 Kikundi cha Maarifa na Ujifunzaji Kanda ya Afrika Benki ya Dunia Tini za Maarifa Asilia (MA) huripoti kila baada ya kipindi fulani masuala yahusuyo maarifa asilia katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na pengine masuala ya nje ya Kanda hii. Huchapishwa na Kikundi cha Maarifa na Ujifunzaji cha Kanda ya Afrika kama sehemu ya ushirikiano unaoendelea kati ya Benki ya Dunia, Jumuia, Asasi Zisizo za Serikali (AZISE), asasi za maendeleo, na mashirika ya kimataifa. Kwa taarifa zaidi, tafadhali tuma barua pepe kwenye anuani ifuatavyo: ik-info@worldbank.org. Programu ya Maarifa Asilia kwa ajili ya Maendeleo inaweza kupatikana kwenye tovuti: http://worldbank.org/afr/ik/default.htm Maoni yaliyoelezwa ndani ya kitabu hiki ni yale ya waandishi na si lazima kwamba yanaakisi maoni au sera za Benki ya Dunia au asasi zinazoshirikiana na Benki hiyo. This publication has been translated by a panel of Tanzanian translators under the coordination of Prof Hermas JM Mwansoko, the Head of the Terminology and Translation Section of the Institute of Kiswahili Research, University of Dar es Salaam. It has been edited by Walter Bgoya, the Managing Director of Mkuki na Nyota Publishers, Dar es Salaam. iii Yaliyomo Dibaji . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .vii Utangulizi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .ix Shukrani . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .x Orodha ya maneno magumu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .xi Vifupisho . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .xii SEHEMU YA KWANZA: MAKALA ZINAZOONGOZA 1. Maarifa Asilia—Mbinu ya Wenyeji ya Kuleta Maendeleo Duniani . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .1 2. Uongezaji wa Uwezo Asilia: Ukuzaji wa Maarifa ya Jumuia . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .4 3. Elimu na Maarifa Asilia . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .9 4. Maarifa Asilia ya Wanawake: Kujenga Madaraja kati ya Mapokeo na Uasiria . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .13 5. Mbinu za Wenyeji za Kupambana na UKIMWI Barani Afrika . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .18 6. Kilimo Endelevu na Njia za Kujitafutia Maisha Vijijini: Ubunifu wa Maarifa Asilia Katika Maendeleo . . . . . . . .24 7. Maarifa Asilia na Usimamizi wa Rasilimali za Asili . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .30 8. Maarifa Asilia na Sayansi na Teknolojia: Mgongano, Ukinzani na Utangamano? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .34 9. Njia za Kienyeji katika Usuluhishi wa Migogoro Afrika . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .39 10. Maarifa Asilia: Mambo ya Usoni . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .45 Marejeo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .57 Waandishi wa Makala Yanayoongoza . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .61 SEHEMU YA PILI: TINI ZA MA Mihutasari ya Tini za MA . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .67 Tini za MA 1. Mifumo ya maarifa asilia katika Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .73 2. Zimbabwe: Mifumo Endelevu ya Maarifa Asilia Katika Kilimo katika Maeneo ya Matebele Vijijini . . . . . . . . . . .77 3. Wanawake wa KiSenegali Waunda Upya Utamaduni Wao . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .79 4. Ghana: Kutoka “Kufuru” hadi Uendelevu: Ustawishaji Misitu na Kilimo cha Kutumia Mbolea ya Viumbe Hai . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .83 5. Burkina Faso: Ujuzi wa Kusoma na Kuandika kwa “Watoto Wadogo” huko Nomgana . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .87 6. Senegali: Wanakijiji-wamiliki Benki: Uzoefu wa Fandène . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .90 7. Ghana: Kisomo cha Watu Wazima na Utawala wa Wenyeji katika Jumuia za Vijijini . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .93 8. Utunzaji wa Mazingira katika Pwani ya Magharibi ya Senegali . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .96 9. Mali: Maendeleo ya Umoja wa Kilimo nchini Mali: Kuongezeka kwa Viwango vya Uwezeshwaji wa Wenyeji . . .98 10. Njia Asilia za Uponyaji wa Watoto Walioathirika na Vita, barani Afrika . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .101 11. Elimu na Ujuzi wa Kusoma na Kuandika Kurani huko Afrika Magharibi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .105 12. Mali: Rasilimali za Utamaduni na Afya ya Mama na Mtoto nchini Mali . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .108 iv 13. Lugha za Kisaheli, Maarifa Asilia na Kujiongoza . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .113 14. Uenezaji wa Tafiti kwa Watu wa Kawaida katika Afrika: Ukusanyaji na Uunganishaji . . . . . . . . . . . . . . . . . . .117 15. Afya: Maarifa Asilia, Manufaa kwa Usawa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .120 16. Senegali: Nguvu ya Demokrasi ya Wananchi wa Kawaida . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .125 17. Mipango ya Kieneo, Dira za Wenyeji: Ushirikishwaji katika Kuandaa Mustakabali huko Afrika Magharibi . . . .128 18. Usimamizi Shirikishi na Utamaduni wa Mhali: Methali na Mikabala . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .132 19. Maarifa Asilia na Haki za Amali za Kiakili . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .136 20. Ufufuaji wa Uanagenzi na Mila za Kuingia kwenye Utu-Uzima: Nama ya Kupenya katika Uchumi wa Mijini, Afrika, Kusini mwa Sahara . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .139 21. Maarifa Asilia kwa ajili ya Maendeleo: Uzoefu wa Miaka Miwili . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .143 22. MA Yaingizwa Shuleni. Matarajio na Hofu Zinazoikabili Elimu ya Jumuia huko Saheli ya Magharibi . . . . . . . .146 23. Mbegu za Uhai: Wanawake na Kilimo Bio-anuwai katika Afrika . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .150 24. Uimarishaji wa Maarifa Asilia ya Kiufundi: Mfano wa Mvinyo wa Miwa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .153 25. Mali: Maarifa Asilia: Kuchanganya Mambo Mapya na ya Kale . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .156 26 Dawa za Jadi na UKIMWI . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .160 27. Uganda: Teknolojia ya Habari na Maendeleo Vijijini: Kituo cha Nakaseke cha Mawasiliano Anuwai . . . . . . . . .162 28. Maarifa Asilia na Sauti ya Wenyeji katika Kupigania mabadiliko huko Afrika ya Magharibi . . . . . . . . . . . . . . .165 29. Lugha za Afrika ya Magharibi: Njia na Ujumbe . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .168 30. Ghana na Zambia: Maarifa Asilia na VVU/UKIMWI . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .172 31. Malicounda–Bambara: Matokeo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .175 32. Waganga wa Jadi wa Kiafrika: Uchumi wa Tiba . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .179 33. Kukarabati Athari za Vita Nchini Msumbiji: Jamii za Jando na Unyago na Shule za Jumuia . . . . . . . . . . . . . .182 34 Tanzania: Usambazaji wa Maarifa ya Wenyeji kuhusu Kilimo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .185 35 Ethiopia: Dawa za Jadi na Daraja la Kuelekea kwenye Afya Bora . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .188 36 Eritrea: Mchakato wa Kumiliki Maarifa Asilia . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .191 37. VVU/UKIMWI: Waganga wa Jadi, Jitihada ya Jumuia Kuji-tathmini na Uwezeshaji . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .194 38. Senegali: Lugha za Asili, na Fasihi kama Biashara Isiyolenga Faida . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .197 39. Burkina Faso: Uunganishaji wa Vigezo vya Kisayansi na Asilia katika Utabiri wa Mvua . . . . . . . . . . . . . . . . . .201 40. Huduma ya Akinamama Wajawazito Maeneo ya Vijijini Uganda: Uboreshaji wa Mifumo ya Maarifa Asilia na ya Kisasa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .205 41. Eritrea: Kufutilia Mbali Desturi Mbaya . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .208 42. Kuendeleza Maarifa Asilia katika Nchi Zinazozungumza Kifaransa barani Afrika . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .210 43. Maonyesho ya Mbegu Kusini mwa Tanzania . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .213 44. Uganda: Mchango wa Mbogamboga kwa Uhakika wa Chakula cha Kaya . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .216 45. India: Utumiaji Maarifa Asilia Kuinua Tija ya Kilimo . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .219 46. Dhima ya Visasili na Kaida katika Kusimamia Maliasili Kwenye Mwambao wa Msumbiji . . . . . . . . . . . . . . . . .223 47. Kutumia Maarifa Asilia ya Jatropha . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .226 48. Ethiopia: Uwezo wa Bima ya Jamii ya Kijadi katika Kusaidia Huduma ya Afya . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .230 49. Wakulima Wafanya-Majaribio: Teknolojia ya Kujibunia . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .233 50. Eritrea: Majukumu ya Pamoja kwa Ajili ya Yatima wa Vita . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .237 51. Tiba ya Jadi huko Tanga katika Zama Hizi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .239 52. Uelewa wa Kina wa Maarifa ya Jadi na Mimea ya Dawa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .243 53. Ghana: Uchumi wa Maarifa Asilia ya Kiafrika . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .247 v 54. Matumizi ya Dawa za Jadi nchini Uganda katika Zama Zetu . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .250 55. Maarifa Asilia: Ubadilishanaji wa Mafunzo Afrika Mashariki na Asia ya Kusini . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .253 56. Ghana: Kanye Ndu Bowi: Muktadha wa Falsafa wa Utatuzi wa Migogoro . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .257 57. Haki za Kitamaduni katika Upekee wa Mfumo wa Sheria za Zimbabwe . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .260 58. Mbinu za Wanawake wa Kawaida za Kujiwezesha . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .264 59. Adzina: Mfumo Asilia wa Uendeshaji Mashtaka wa Wazee wa Mahakama katika Eneo la Mpakani mwa Togo na Ghana . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .268 60. Vikwazo vya Kitaasisi katika Uhamasishaji wa MA: Ufikiaji wa Jumuia katika Mitandao ya Kijamii na Taasisi Rasmi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .271 vii Dibaji waka 1996 tulibuni dira kwa ajili ya Benki ya Makala yaliyomo katika kitabu hiki yanaonyesha jinsi M Dunia kuwa Benki ya Maarifa inayotoa mawazo na hali kadhalika rasilimali za kifedha. Kwenye Mkutano wa Kwanza wa Maarifa ya Dunia mjini Toronto mwaka 1997, viongozi wa kisiasa na wawakilishi wa jumuia za kiraia kutoka nchi jumuia na watendaji wake wenyeji wanavyotumia mifumo ya maarifa asilia ili kuwasaidia kuongeza mavuno yao, kuelimisha watoto wao, kupunguza mateso ya VVU/UKIMWI, kupunguza vifo vya watoto wachanga na kina mama, kuondoa athari za migogoro, jumuia zinazoendelea waliunga mkono dira hii. Waliitaka Benki kujifunza kutoka jumuia nyingine, na jumuia ya Dunia sio tu kutoa ujuzi wake, iliyojipatia kutokana na kujiwezesha zenyewe. Makala yanaonyesha pia kwamba uzoefu wake wa maendeleo wa zaidi ya miaka 50, bila pia jumuia ziko tayari, na kwa hakika zina shauku, kujifunza kutoka kwenye utendaji wa jumuia ili kuleta kuunganisha maarifa ya dunia na teknolojia ya kisasa na ushawishi mzuri zaidi kwenye mifumo ya maarifa ya maarifa asilia na taasisi zao ili kupata matokeo bora zaidi. kimataifa na ya ndani ya nchi mahususi. Wakunga wa jadi katika Wilaya ya Iganga nchini Uganda, Benki ya Dunia imeitikia changamoto hii. Tunatambua kwa mfano, hutumia redio za mawasiliano za mikononi kwamba maarifa sio mali ya jamii zilizoendelea kupeleka habari za wagonjwa mahututi kwenye mfumo kiteknolojia tu. Tunahitaji kutoa fasili mpya ya wa afya wa umma, na hivyo kuchangia katika kupunguza uwezeshwaji wa watu masikini na kuwasaidia kuwapatia vifo vya akinamama kwa kiwango kikubwa. Na hii ni sauti—si kama wapokeaji wa maarifa, bali kama moja ya Malengo ya Maendelo ya Milenia (MMM). wachangiaji na wahusika wakuu wa maendeleo yao Nina imani kuwa mkusanyiko huu wa makala ya wenyewe. uzoefu wa jumuia zenye mafanikio utakuwa na manufaa Mnamo mwaka 1998, tulizindua Programu ya Maarifa makubwa katika kuboresha uelewa wetu na jinsi jumuia Asilia kwa ajili ya Maendeleo ili kusaidia kujifunza zinavyojiwezesha zenyewe kusimamia maendeleo yao kutoka kwenye mifumo ya maarifa na maendeleo ya katika muktadha mpana wa utandawazi. Kutumia jumuia, na kuijumuisha katika programu zinazofadhiliwa matukio haya kama msingi wa kusonga mbele na na Benki. Shughuli kuu ilikuwa uchapishaji na kusaidia jumuia zenye mafanikio kupata mafanikio usambazaji wa mfululizo wa Tini za MA, ambamo makubwa zaidi ni jambo muhimu sana. Aidha watendaji wa maendeleo huripoti mafanikio ya mbinu za kutasitawisha mchakato wa maendeleo, na kuufanya kienyeji katika utatuzi wa matatizo yao ya maendeleo. kuwa wa haki na endelevu zaidi. Chapisho hili, la kuadhimisha nusu muongo wa programu ya MA, ni mkusanyiko wa makala 60 ya ripoti hizo. Makala zinazoongoza mada hutambulisha makala ya kikundi, ikikusanya pamoja mafunzo yaliyojitokeza na kujadili athari ya maarifa asilia katika juhudi zetu za James Wolfensohn maendeleo na katika kusaidia kufanikisha Malengo ya Rais Maendeleo ya Milenia (MMM). Benki ya Dunia ix Utangulizi hapisho hili ni tukio muhimu la kihistoria la maarifa asilia na kwa kutoa fursa zaidi za kushirikisha C miaka mitano ya Programu ya Maarifa Asilia kwa ajili ya Maendeleo katika Kanda ya Afrika ya Benki ya Dunia. Lengo kuu la programu ni kujifunza kutokana na maarifa yatokanayo na utendaji wa jumuia za kienyeji. Shughuli muhimu ya programu ni jumuia katika maendeleo. Nchini Uganda, kwa mfano, Benki imefadhili uendelezaji wa mkakati wa kitaifa unaojumuisha maarifa asilia kwenye programu ya nchi ya kupunguza umaskini. Nchini Ethiopia, Benki inafadhili usitawishaji wa miti ya dawa kwa ajili ya soko la ndani. kuchapisha Tini za MA—jarida la kila mwezi lina- Benki pia iliwezesha ushirikiano kwa ajili ya uthibitishaji lochapwa na pia kutolewa katika mtandao wa Intaneti wa kisayansi wa dawa za kienyeji kati ya mashirika ya kwa lugha za Kiingereza, Kifaransa, na pengine katika utafiti, AZISE, watendaji wa nchi mbalimbali, na jumuia Kireno, Kiswahili na Kiwolofu. Katika chapisho hili nzima ya wanasayansi duniani. tunatoa Tini za MA 60, ambamo watendaji wa maendeleo Benki imeingiza pia maarifa asilia katika programu wanaeleza jinsi gani maarifa asilia yenye mafanikio zinazofadhiliwa na Benki ili kupata matokeo bora zaidi. yanavyositawisha mchakato wa maendeleo. Katika nchi kadhaa za Afrika Magharibi, programu za Tunajifunza, kwa mfano, jinsi jumuia zilivyotumia kupambana na VVU/UKIMWI zinajumuisha mashauria- mfumo wa mahakama za kijadi kupunguza au kuzuia no ya mara kwa mara na waganga wa jadi. Kule Burkina migogoro nchini Ghana, jinsi wanawake wa vijijini nchini Faso, Benki inasaidia kukuza teknolojia asilia ya uvunaji India walivyojiwezesha wenyewe kwa kujijengea uwezo wa maji na uhifadhi wa udongo nchini kote. Miradi ya wao wenyewe, jinsi vijana nchini Senegali walivyoboresha kulinda jamii inayofadhiliwa na Benki nchini Malawi, stadi na ushindani wao, jinsi ushirikiano wa waganga wa Tanzania na Uganda Kaskazini inaendelezwa kwa jadi unavyoimarisha ufanisi wa miradi ya VVU/UKIMWI, kutumia msingi wa asasi za kijumuia na usimamizi wa na jinsi jumuia nchini Uganda zinavyounganisha maarifa wenyeji wa miradi. ya kimapokeo na ya kisasa katika kupunguza vifo vya Kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita tumejifunza akinamama. mengi kuhusu ufanisi na uendelevu wa maarifa asilia Kwa nyongeza, chapisho hili linaleta makala zina- katika maendeleo. Tunaona pia kuongezeka kwa utara- zohusu mada mpya za viongozi, wasomi na watendaji wa tibu mzima wa uunganishaji wa maarifa asilia katika kazi za maendeleo zinazokusanya mafunzo kutokana na programu za maendeleo kwa ajili ya matokeo bora zaidi. mada mbalimbali za Tini na kujadili hali inayofanya Kwa toleo hili jipya la Tini za MA na makala zina- uingizaji wa maarifa asilia katika shughuli za maendeleo zoongoza mada mbalimbali, tunaipatia jumuia ya kufanikiwa. Na kama Mheshimiwa Rais wa Tanzania maendeleo mkusanyiko wa utendaji bora na fikra zinazo- anavyohitimisha utangulizi wake wa chapisho hili, muhi- weza kusaidia katika kuandaa programu zinazoziwezesha mu kushinda yote ni kuwa watoa maamuzi na washirika jumuia kwa kupitia uhalalishaji na utumiaji wa mifumo wa maendeleo hawana budi kuwa tayari kujifunza kwa ya maarifa asilia. jumuia za wenyeji na kuwasaidia kumilika agenda za maendeleo yao. Callisto E. Madavo Benki ya Dunia imechangia katika mchakato huu wa Makamu wa Rais kuwasaidia wateja kujenga uwezo wao wa kuendeleza Kanda ya Afrika x Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Chapisho hili ni matokeo ya ushirikiano wa Zaidi ya hayo, wahariri wanapenda kuwashukuru kimataifa wa mtandao wa wakuzaji, watendaji na wajumbe wa timu ya Programu ya Maarifa Asilia kwa watetezi wa maarifa asilia. Wahariri wanawashukuru ajili ya Maendeleo, na wafanyakazi wengine wa Benki wale wote waliochangia kwa makala zao. Kwa zaidi ya ya Dunia, waliotoa maoni na michango yenye manufaa. miaka mitano, waandishi wa Tini za MA wametumia Kwa niaba ya Programu ya MA kwa ajili ya muda na juhudi zao kuchangiana uzoefu, maoni na Maendeleo ya Kanda ya Afrika, wahariri wanapenda mafunzo waliyojifunza. Wahariri wanaamini kwamba kutoa shukurani zao kwa Rais wa Benki ya Dunia, waandishi watapeleka shukrani zao kwa wale ambao James D. Wolfensohn, na Makamu wa Rais wa Kanda ndio chanzo cha maarifa yanayojadiliwa hapa: jumuia, ya Afrika, Callisto E. Madavo. Dibaji na Utangulizi wa wakulima wanawake, waganga wa jadi, wakunga, chapisho hili na maadhimisho ni ishara ya dira yao, wazee wa vijiji, wafugaji na wengine wengi. ambayo ilisaidia kukuza kutambuliwa kwa umuhimu Wahariri wanatoa shukurani za dhati kwa Mheshi- mkubwa wa maarifa asilia katika mchakato wa miwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, maendeleo. Chapisho hili lisingetoka bila msaada na Benjamin W. Mkapa, ambaye ameandika utangulizi wa uongozi wao. chapisho hili na ambaye ujumbe wake mkuu tumeutu- Wahariri wanawajibika kwa makosa yoyote mia kwenye jina la kitabu hiki: Mbinu za Wenyeji za yatakayojitokeza katika chapisho hili. Kuleta Maendeleo ya Dunia. Waandishi wa makala zinazoongoza walitekeleza bila manung’uniko mapendekezo ya masahihisho ya muundo, mtindo na matumizi ya maneno yaliyotolewa na wahariri. Tunawashukuru kwa kushirikiana nasi Reinhard Woytek katika majadiliano kuhusu muktadha na maudhui hadi Preeti Shroff-Mehta dakika ya mwisho. Prasad C. Mohan xi Orodha ya maneno magumu kama yalivyotumika kwenye kitabu hiki Bidaa innovative Changamani complex Dafina asset Dhuria descendants Dutu substances Gatua decentralize Hataza patent Kaida Norms/Rites Kilimo mahuluku organic farming Kiuakuvu fungicide Kiunzi Framework Kome mussels Kuamilisha activate Mbarika castor plant Mfiko range Miamala transactions Mkabala (mi-) approach(es) Mwani algae Rusu tier Ruwaza (taratibu) pattern(s) Suhula (kiambajengo) facility Thakili (janga) epidemic Uasiri modernity Uchunguzi-kifani case study Uhawilishaji transfer Ujasiriamali entrepreneurship Usanisi synthesis Vidukari aphids Visasili myths xii Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Vifupisho AISE Asasi Isiyo ya Serikali ARV dawa za kurefusha maisha kwa waathirika wa UKIMWI AZISE Asasi Zisizo za Serikali CIDA Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Kanada FAO Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa GTZ Shirika la Misaada ya Kiufundi la Ujerumani ILO Shirika la Kazi Duniani IPR Hakimiliki ya Amali ya Kiakili MA Maarifa Asilia MDJ Maarifa ya Dawa za Jadi MMM Malengo ya Maendeleo ya Milenia NARO Asasi ya Utafiti wa Kilimo ya Taifa (Uganda) NORAD Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Norway UMADEP Mradi wa Maendeleo ya Kilimo katika Milima ya Uluguru UN Umoja wa Mataifa USAID Shirika la Marekani la Misaada ya Kimataifa VVU/UKIMWI Virusi vya Ukimwi/ Upungufu wa Kinga Mwilini WHO Shirika la Afya Duniani WIPO Shirika la Haki Miliki Duniani WTO Shirika la Biashara Duniani JZK Jumuia za Kijamii Sehemu ya Kwanza Makala Zinazoongoza 1. Maarifa Asilia—Mbinu ya Wenyeji ya Kuleta Maendeleo Duniani Benjamin William Mkapa Huko Laetoli, karibu na korongo la Olduvai, Kaskazini mwa Tanzania, wanapaleontolojia wamegundua nyayo za watu (hominidi) wa awali, pengine zikiwa ni za watu wazima wawili na mtoto, na hawa wakifikiriwa kuwa ni baba, mama na mtoto. Hatuelewi watu hao watatu katika ‘chimbuko la binadamu’, walitoka wapi, walikwenda wapi na walikuwa na mipango gani. Lakini wangekuwa na uwezo wa kusema, kufikiri kuwa wangebadilishana Benjamin Mkapa ni Rais wa Jamhuri mawazo, fikra na maarifa wakati wakitembeatembea katika uwanda ya Muungano wa Tanzania tambarare miaka takribani milioni tatu na nusu iliyopita.. Tangu binadamu wajitokeze duniani, wametafuta maarifa zaidi ili kulisha familia zao, kuwa wenye afya nzuri, kujadiliana na majirani zao, kuyaelewa vema zaidi mazingira yao au kujiburudisha tu na changamoto za maisha. Kwa mamia ya milenia, mahitaji na matatizo ya wenyeji na changamoto za kila siku zilitoa msukumo wa kutafuta maarifa. Mbinu za kisayansi ya uzalishaji wa maarifa, kama tunavyoifahamu leo, ni jambo la hivi karibuni sana, kihistoria. Mbinu hii ya kisasa imeleta matokeo makubwa mno: tunao uwezo wa kuwalisha vizuri watu zaidi ya bilioni sita; chanjo huwakinga watoto wetu dhidi ya magonjwa ambayo awali yalikuwa ya kufisha; tunawasiliana dunia nzima kwa msaada wa satelaiti na tunashindanisha bidhaa zetu kwenye soko la kimataifa. Hata hivyo, licha ya mafanikio haya, bado tuna matatizo makubwa ya njaa, VVU/UKIMWI, ujinga, utengano, migogoro na umasikini uliokithiri. Wakati mjadala kuhusu sababu za umaskini haujafungwa, tumejifunza kwamba sayansi na teknolojia peke yake haviwezi kutoa majibu na masuluhisho yote ya matatizo yaliyopo au jinsi gani tunaweza kumudu kuishi katika dunia yenye tofauti nyingi na isiyo na mgawano sawa wa utajiri na fursa mbalimbali. Kadiri wanasayansi wanavyojitahidi kutafuta ufumbuzi wa changamoto za dunia, ndivyo wamezidi kujitenga na mbinu za wenyeji za kutatua matatizo. Ufumbuzi wa matatizo wa wenyeji ulitengwa na kuchukuliwa kuwa unazuia maendeleo, umepitwa na wakati, “simulizi za bibi” au tu kwamba hauko katika mtindo wa kisasa. Wakati “tukiasirisha” jamii zetu, “shahada”, katika maarifa ya kimapokeo au asilia haikuwepo katika mipango yetu. Hivyo, tulisahau umuhimu wake kama rasilimali na zaidi hata hatukujali maarifa 2 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia ambayo wanawake na wanaume, familia na jumuia Umiliki limekuwa jambo muhimu katika mjadala wa zimeyakuza zenyewe kwa karne nyingi. maendeleo katika miaka hii iliyopita. Uendelevu wa Makala sitini zilizomo katika chapisho hili la Tini za miradi mingi ya maendeleo iliyoanzishwa kwa ushawishi MA zinaonyesha kuwa maarifa asilia (MA) ni rasilimali wa nje unategemea zaidi huwa haliko kabisa. Maarifa inayoweza kusaidia kutatua matatizo ya wenyeji, asilia husimamiwa na kumilikiwa na wenyeji. rasilimali ya kusaidia kulima chakula kingi na bora zaidi, Kuchunguza, kuelewa na kujenga maendeleo kwa misingi kudumisha maisha yenye afya, kugawana utajiri, kuzuia ya maarifa ya jumuia kutapunguza kwa kiasi kikubwa migogoro, kusimamia masuala mbalimbali ya wenyeji, hatari ya kushindwa kwa mkabala wa maendeleo na hivyo kuchangia katika masuluhisho ya matatizo ya mitaji iliyowekezwa na serikali na wahisani mmoja dunia. Maarifa asilia yamechangia kujenga mshikamano mmoja au serikali na wahisani wengi wa kimataifa. miongoni mwa jumuia zilizoathirika na utandawazi na Uendelevu ulioongezeka hautokani tu na utendaji asilia kuzikinga dhidi ya taathira za utandawazi huo. Hakuna mahususi ambao ungejumuishwa katika muktadha wa hata moja katika malengo ya Maendeleo ya Milenia mradi wa maendeleo. Ule tu mchakato wa kujifunza lisiloweza kusaidiwa katika utekelezaji wake na maarifa kutoka kwenye jumuia huitambua jumuia na wenye asilia. Makala sitini yaliyomo katika chapisho hili maarifa asilia kama wenza katika maendeleo ambao yanasisitiza mchango mkubwa unaoweza kutolewa na wanachangia vya kutosha, kama sio zaidi, katika maarifa asilia katika maendeleo: MA yamesaidia mchakato kama watoaji wa maarifa ya dunia. kupunguza njaa nchini India, yameboresha elimu ya Ujengaji wa uwezo, kimsingi, unachukulia kwamba msingi na uandikishaji wa wanafunzi kwa kutumia lugha hakuna chochote kwa upande wa wafaidika wa juhudi za za kienyeji kama lugha za kufundishia huko Afrika kujenga uwezo, hasa kwa kuwa daima zinafidiwa Magharibi, yamewasaidia wanaume nchini Senegali kidanganyifu kwa isitilahi ya uimarishaji wa uwezo. kuelewa athari ya ukeketaji kwa wanawake na Hapana shaka, wakulima, jumuia, viongozi, wahandisi na kuwawezesha wanawake kuchukua hatua madhubuti wanasiasa wa Kiafrika wana mengi ya kujifunza ili kukomesha desturi hiyo, yamesaidia kupunguza vifo vya kumudu mazingira ya dunia ya kiuchumi na kisiasa watoto huko Eritrea na vifo vya akina mama nchini yanayozidi kuwa magumu na yasiyokwisha kubadilika. Uganda, yametoa afya ya msingi kwa mamilioni ya Lakini, je, jumuia na wakulima hawakuyamudu Waafrika, yamezisaidia jumuia huko Msumbiji mazingira yaliyokuwa yakibadilika badilika huko nyuma? kusimamia maliasili zao za pwani, na yamesaidia kujenga Majaribio ya kisiasa, asasi pungufu za kuuza mazao yao ubia kati ya wanyonge na wenye nguvu nchini Ghana ili au kushindwa kwa huduma mbalimbali hakujawazuia kugawana utajiri. kudumu na kujirekebisha ili kupata ufumbuzi wao Hoja sitini zenye ushawishi, lakini bado inatuwia wenyewe wa kuendelea kuishi. Sio tu kwamba jumuia vigumu kuwashawishi wanasayansi, wanasiasa, zina maarifa kuhusu utendaji, bali pia zina maarifa ya wataalamu wa maendeleo na viongozi wengi kuyatumia kujirekebisha ili kukabili mazingira, taasisi na sera kwa utaratibu wa kudumu maarifa asilia katika pingamizi. mchakato wa maendeleo. Wao husema kuwa wingi wa Kujitegemea, kama mila ya kisiasa nchini Tanzania maelezo yamatukio sio ushahidi, na kuwa ushahidi wa tangu uhuru, ni mojawapo ya sifa muhimu za ujenzi wa kisayansi kwa madai mengi bado haujapatikana. Hata maendeleo kwa kutegemea maarifa asilia. Lakini wengi hivyo, kwa jumuia ambamo maarifa asilia yameleta walichagua kuifasili dhana ya kujitegemea kama ufanisi, yanayoelezwa katika makala haya sio visa bali ni kujitenga, kwa nia ya kutaka kuonyesha juwa ugawanaji ukweli. Wangekuwa wamesubiri uthibitisho wa kisayansi wa maarifa na kujifunza miongoni mwa jumuia za wa tiba waliyopatiwa na waganga wa jadi, wagonjwa elfu Kiafrika kunapingana na jadi, na hatari inayohusiana nao nne wa VVU/UKIMWI wa Tanga, Tanzania, wasio na ni upotezaji wa mamlaka na udhibiti. Makala ya chapisho fursa ya kupata dawa za kisasa za kurefusha maisha hili zinatueleza mambo tofauti. Jumuia zina shauku ya (ARV) wasingekuwa hai leo. kujifunza na kugawana, kwa sababu mazingira yao Lakini makala hizi sitini zinatoa mafunzo zaidi kuliko yanawafundisha somo moja takriban kila siku: ni wale tu faida tu za mbinu na mikabala mahususi ya maendeleo. wanaojifunza ndio watakaodumu. Kujitegemea kwa Mafunzo yaliyo muhimu zaidi yanahusiana na umiliki wa hakika ndio mkabala wa wenyeji wa maendeleo hasa kwa maendeleo, uwezo wa wenyeji, kujitegemea na maana ya kiuchumi. Wakati Rais wetu wa kwanza, uwezeshaji. Marehemu Mwalimu Julius K. Nyerere, alipokuwa 3 akikuza sera ya kujitegemea kwa mara ya kwanza baada Ni katika roho hii kwamba ninawaomba wataalamu na ya uhuru wa Tanzania, kujifunza ilikuwa njia ya msingi wapangaji wa maendeleo, watafiti na watendaji, ya maendeleo ya nchi. Endapo sayansi zingekuwa tayari wanasiasa na viongozi warasimu, walimu na wanafunzi kujifunza kutoka kwenye maarifa asilia, kama jumuia za kujifunza kwa unyenyekevu kutokana na mifano na wenyeji zilizvyo tayari kujifunza kutoka kwa wengine na makala hizi. Makala hizi si mipango makini au mbinu au ulimwengu wa nje, pande hizi mbili zingefaidika sana. njia za mkato za kuleta maendeleo, wala hazidhamirii Uwezeshaji ni jambo muhimu sana katika mjadala kufanya maarifa au mapokeo asilia kubaki katika kuhusu maendeleo. Wapangaji na watekelezaji wa mawazo au kupendekeza kuwa maarifa ya dunia kuwa maendeleo hujitahidi sana kuwawezesha masikini, hayafai. Badala yake, yanaonyesha kwamba maarifa wanawake, na walio dhaifu. Makala katika hizi Tini za asilia na ya dunia yakifanya kazi pamoja kidemokrasia na MA zinatufundisha kuwa uwezeshaji hauwezi kutoka nje. kwa dhati ni mfungamano ulio bora zaidi wa kukuza Uwezeshaji wa kudumu ni ule wa kujiwezesha. Jumuia, maendeleo endelevu. Tunachopaswa kufanya sisi, wakulima, wanawake, wabunifu, waalimu ambao wanasiasa na watoa maamuzi, ni kutoa nafasi kwa jambo maelezo yao yametolewa hapa wote wameamua hili kutokea. kujiwezesha wenyewe. Walipatiwa nafasi na fursa ama Ni wale tu wanaojifunza ndio watakaodumu. kupitia elimu, kupitia mawakala kama vile AZIE, kituo cha utafiti, wakala wa ugani au wizara, lakini wote walipaswa kutumia juhudi zao hadi hatua ya mwisho. Hii inaakisi vema kile Mwalimu Julius K. Nyerere alichokisema kwenye sherehe za ufunguzi wa Tume ya Kusini tarehe 20 Oktoba 1987: “Kutoka kwa wazee wa kabila langu nilijifunza hadithi. Katika lugha asili hadithi inasema: Wakasusu, nihe wagya? Nagya kwita Wanzugu Oragya kutura? Ndagya kusaya—sayamu, Ndinukira! Sungura, unakwenda wapi? Nakwenda kumuua Tembo. Utaweza kufanya hivyo? Naam, nitajaribu na kujaribu tena? 2. Uongezaji wa Uwezo Asilia: Ukuzaji wa Maarifa ya Jumuia Frannie Leautier Zikiulizwa, jamii hubainisha kwa haraka sana ufumbuzi wa matatizo ya maendeleo ya wenyeji. Ili jumuia zielewe njia tofauti za maendeleo, na zipi zinawafaa uongezaji wa uwezo wao na kutoa na kusimamia ufumbuzi huo ni jambo muhimu sana. Kwenye utangulizi wa chapisho hili Mheshimiwa Rais wa Tanzania amesema kwamba jumuia na wakulima wa Kiafrika daima wamemudu kukabiliana na mazingira yanayobadilika na kuwa “sio tu Frannie Leautier ni Mkamu wa Rais wa kwamba jumuia zina maarifa kuhusu utendaji, bali pia zina maarifa ya Taasisi ya Benki ya Dunia kujirekebisha ili kukabili mazingira, taasisi na sera pingamizi.” Tini za MA katika chapisho hili zinaeleza kwa yakini misingi mitatu ya uongezaji wa uwezo katika muktadha wa maarifa asilia (MA). Kwanza, uongezaji wa uwezo usichukulie kwamba kuna ombwe la maarifa, ombwe la taasisi, ukosefu wa stadi au upungufu wa ustashi. Makala mengi yanaonyesha kwamba kukiwepo mkabala sahihi, watendaji wa maendeleo wanaweza kubaini mambo yanayofaa kuimarisha maarifa na stadi. Pili, jitihada za uongezaji wa uwezo bila fursa ya kuutumia uwezo huo katika muktadha wa wenyeji hazitakuwa na manufaa yoyote. Watu wazima hujifunza mambo vema zaidi wakati maarifa na stadi wanazozipata zinatatua moja kwa moja matatizo yao. Tatu, uongezaji wa uwezo asilia ni ufunguo wa uwezeshaji wa jumuia za wenyeji na ushiriki wao thabiti katika mchakato wa maendeleo. Watu huweza kuchukua mawazo mapya yanapoonekana katika muktadha wa utendaji wa mambo uliopo. Katika muktadha huu, tunaweza kubainisha ngazi tatu za uwezo: ngazi ya kwanza ni ya stadi za kiufundi zinazopatikana kuhusiana na matatizo halisi ya maendeleo ya hali mahususi (k.m. usimamizi wa kituo cha yatima, ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, uendeshaji wa kampeni za uhamasishaji). Ngazi nyingine inahusika na stadi na mikabala iliyo muhimu kwa uendeshaji wa asasi.. Hii huhusu, kwa mfano, usimamizi wa shughuli za wenyeji na kutimiza matakwa ya wakazi wenyeji. Ngazi ya tatu inahusiana na suala la kuleta urari wa maslahi na kushauriana na serikali kuu na za mitaa, ni muhimu sana kwa uwezeshaji wa jumuia na kwa maendeleo ya jamii. Kwa mfano, stadi za kiufundi zinazopatikana wakati wa kujenga shule katika jumuia zinaweza kuwa na umuhimu mdogo ikilinganishwa na uzoefu wa jumuia uliopatikana katika kuongoza mradi, kusimamia makandarasi, kufanya mchakato uwe wa wazi, na kukamilisha mradi bila msaada mkubwa 4 5 kutoka nje. Yakitumia baadhi ya maoni kutoka kwenye leza kwa kutumia mifumo yao ya maarifa, walivyoha- Tini za MA hizi, makala haya yanajadili jinsi jumuia masisha utaalamu kutoka nje na walivyosaidia kuboresha zinavyoweza kujijengea uwezo wake katika ngazi zote maisha katika jumuia zao. tatu na nini wenzi wa maendeleo wanaweza kufanya Nchini Mali, jumuia za wenyeji hutumia programu za kuunga mkono mchakato huu. kusoma na kuhesabu kama jukwaa la kuongeza uwezo wa kusimamia shughuli za maendeleo zinazoathiri maisha yao ya kila siku. Jumuia zinatumia stadi mpya zilizopa- Jumuia zinaweza zikasimamia zenyewe jinsi ya tikana kuandaa mifumo yao ya usimamizi wa vyama vya kujiongezea uwezo ushirika na kilimo. Mfano huu unaweza kuonekana kama ni uchochezi Tini za MA zilizomo katika chapisho hili zinaonyesha dhidi ya upangaji mipango ya maendeleo uliozoeleka. shughuli nyingi za uongezaji uwezo zinazofanywa na Kama tatizo lingekuwa limebainika kuwa ni “udhaifu jumuia. Zinajumuisha urekebishaji wa programu za kujua katika uendeshaji wa vyama vya ushirika” mkabala wa kusoma na kuandika; uanzishaji wa mikabala ya maarifa kawaida ungekuwa kuwapatia mafunzo wahasibu wengi ya wenyeji katika mitaala ya shule; shughuli za zaidi katika ngazi zote (kufunza stadi sahihi za udhibiti), wanawake za usimamizi wa maliasili; kuponya watoto kuendesha semina za uhamasishaji (kuwajulisha wateja walioathirika na vita; upatikanaji wa masoko, teknolojia ili wajiunge), na kufunga kompyuta na kuweka mfumo inayofaa, na taasisi za fedha kwa ajili ya wakulima; wa usimamizi wa taarifa (mchakato wazi wa kutoa habari uandaaji na usambazaji wa utafiti; uhifadhi katika na kufuatilia maamuzi muhimu). Mradi wa aina hiyo bila maandishi wa maarifa asilia na ulinzi wa hakimiliki za shaka ungewalenga wenye elimu na wale wanaoufahamu maarifa ya jumuia. mfumo uliopo. Badala yake, shughuli isiyo na uhusiano Tini zinahadithia watu mashuhuri, au watu wa kabisa—programu ya kisomo cha watu wazima— kawaida wanaofanya kazi nzuri ajabu, kuhusu Jumuia za iliwawezesha washirika washiriki kuanzisha mifumo yao Kijamii (JZK) au AZISE zinazofanya kazi kwa dhati, ya uhasibu na kanuni za vyama vya ushirika, kwa kuhusu watafiti au watendaji wenye shauku—wote kiwango cha uelewa kilichohitajika mara moja kijijini, na wakishughulikia kutimiza lengo moja lile lile: kuboresha hivyo kuiwezesha mifumo hiyo kujirekebisha polepole ili hali ya maisha ya jumuia wanamoishi. Mwisho, zinaeleza kuendana na teknolojia mpya, kwa msingi sahihi na jinsi ambavyo jumuia zimejiwezesha zenyewe imara. Hatimaye, sio tu kwamba vyama vya ushirika kushikamana na mamlaka au wenzi wa maendeleo vilisimamiwa vizuri zaidi, bali umiliki wa udhibiti kusaidia zaidi maendeleo ya wenyeji. uliwekwa katika mikono na ngazi sahihi. Maelezo yafuatayo katika visanduku vitatu Mfano unaofuata kutoka India unaonyesha kwamba yanaonyesha jinsi watendaji mbalimbali walivyojiende- hata katika mazingira ya kimapokeo kabisa, mtu ambaye Uanzishaji upya wa usimamizi wa uzalishaji na wakulima wa nchini Mali Pamba imekuwa ikilimwa na kuuzwa katika Kusini inayohitajika. Jambo hili kubwa limetekelezwa mwa nchi ya Mali kwa zaidi ya miaka thelathini na kutokana, kwa kiwango kikubwa, na programu za ufumaji wa nguo ni utamaduni wa karne nyingi. Hivi kusoma na kuandika na za elimu isiyo rasmi, ambazo karibuni, makampuni ya pamba na washirika wake ziliwezesha kikundi cha vijana na watu wazima kupata walikuwa wakidhibiti ununuzi wa pamba kutoka kwa stadi za kusoma, kuandika na uhasibu katika lugha wakulima na usafirishaji wake hadi kwenye vituo vya yao ya kienyeji. Kwa kutumia msingi wa stadi hizi kuchambulia. Leo hii, mashirika ya vijiji yamechukua mpya, washiriki walibuni na kutumia mifumo yao ya karibu shughuli zote hizi. Wawakilishi wa vyama vya usimamizi ya lugha moja ua mbili katika vyama vya wakulima au vyama vyao vya muungano sasa mkulima.1 Wakulima nchini Mali sasa wanasimamia wanawajibika kikamilifu kupima uzito wa pamba, shughuli zote za uzalishaji na usindikaji, kama kuwalipa wazalishaji, kuhifadhi pamba, kuisafirisha walivyokuwa wakifanya kwenye karne zilizopita, hadi kwenye vituo vya kuchambulia, na kuiuza tena wakati vijiji vilipotengeneza nguo zake vyenyewe. kwa wazalishaji wa viwandani, na pia kwa kazi za Stadi asilia za usimamizi zilizokuwa zimefichika kwa uongozaji na uhasibu, na uandaaji wa sera miaka mingi zinatumika tena sasa. 6 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Kichocheo cha mwenyeji chaleta mabadiliko vijijini India Huko vijijini India mwanamke mmoja wa daraja la iliwachukulia mawakala wa ugani kuwa watu wa nje chini kijamii alikubaliwa katika jumuia yake na nje ya ambao “wasingeweza kufahamu na kuzingatia jumuia kwa kupinga muktadha wa wenyeji kupitia muktadha na mazingira ya wenyeji”. “Kwa kuishi kipaji chake cha kiufundi na uwezo wake wa kuingiza katika mazingira yanayofanana au hata yaliyo duni maarifa ya nje ndani ya jumuia. Alizishawishi jumuia zaidi ya yale ya wanajumuia wengine, kulimpatia kuchukua hatua za kuboresha maisha yao. Alifanya mwanamke huyu katika kuchochea mabadiliko na si hivyo kwa kuanzisha usimamizi wa ufugaji ng’ombe kukubali tu kuongeza uwezo, kichocheo cha kuleta wa maziwa na wa ardhi, kwanza shambani mwake, mabadiliko na kuongeza uwezo lakini huku akijua kisha katika jumuia yake, hatimaye kwenye kanda aanzie wapi, na jinsi gani mawazo yake mapya yaweze yote. Hadi wakati huo mawakala wa ugani walikuwa kukubalika na umma mpana zaidi.2 wameshindwa kufanya hivyo, hasa kwa sababu jumuia hafikiriwi kabisa—mwanamke wa tabaka la chini— Mfano wa mwisho kutoka kwenye mradi wa utafiti anaweza kuleta mabadiliko kwanza kwa yeye kujiongezea uliofadhiliwa na Shirika la Misaada ya Marekani, USAID, uwezo na kuwapa wengine kile anachokifahamu. huko Afrika Magharibi una taarifa ya erevu inayoacha Kujiamini katika kutekeleza mabadiliko yeye mwenyewe, kabisa mada ya “ujenzi wa stadi”. Baada ya kubainisha kunamwezesha kuwajengea moyo wa kujiamini watu mapengo ya stadi na mahitaji, watendaji waligeuza wengine. Ufahamu wa kile kitakachofaa zaidi kwake na mkabala, wakachunguza maarifa asilia yaliyopo, na kwa jumuia yake unatumika vema kufanya mawazo ya kuyaakisi matokeo kwa watafitiwa na jumuia zao. aina hiyo kukubalika katika kanda yote. Mkabala huu ulitoa msingi mzuri wa maarifa kuhusu Kwa miaka mingi wafanyakazi wa ugani walikuwa stadi zilizopo za kiufundi, kiutendaji na kiusimamizi wamejitahidi kuanzisha usimamizi bora wa ufugaji wa katika sekta isiyo rasmi. Lakini jambo muhimu zaidi, ni ng’ombe wa maziwa na wa teknolojia ya matumizi ya kwamba mkabala huu ulisaidia pia kuziwezesha jumuia ardhi katika jumuia zilezile, lakini walishindwa— kwa kuzifanya zitambue kuwa maarifa yao ni muhimu na kulingana na uchunguzi uliofanywa—kwa sababu ya yanafaa. kutofahamu muktadha wa wenyeji. Mfumo wa usimamizi Changamoto kwa watendaji wa maendeleo, serikali, na ulioboreshwa na kutekelezwa kwa mafanikio na mwa- mashirika ya wenzi wa maendeleo ni kuamua yatafanya namke wa tabaka ya chini hautofautiani sana na ule ulio- nini ili kuhamasisha michakato inayofanana na hii pendekezwa na wafanyakazi wa ugani. Lakini kubadili iliyochambuliwa kwenye mifano hii mitatu. mleta mabadiliko kuwa wa kutoka nje na kuwa wa ndani, ndiko kulikoweza kufanikisha matokeo yaliyotakiwa.3 Kuachia huru uwezo wa maarifa ya wenyeji katika Afrika Magharibi Mradi wa ABEL unaofadhiliwa na USAID (Kupata lengwa katika tathmini ya masomo, uandishi na Elimu ya Msingi na Kusoma na Kuandika) umefaulu uchambuzi wa uzoefu binafsi, na uandaaji wa sera kuandaa mbinu za kusambaza matokeo ya utafiti sadifu kutokana na matokeo ya utafiti. Mkabala wa unaofanywa na watafiti wa Kiafrika kuhusu mada ya mradi wa ABEL unafasili utafiti kuwa “mazungumzo “ugatuaji madaraka na ujenzi wa uwezo wa wenyeji”. kuhusu maarifa asilia, uboreshaji wake, matumizi Mada za utafiti zilijumuisha ujifunzaji stadi za sekta yake”. Wale wanaohusika na kazi walijitahidi kufanya isiyo rasmi, usimamizi wa vyama vya ushirika vya masomo yaliyopo yaeleweke vema na yawasaidie wanawake, ushirikiano wa AZISE—serikali katika “wateja” wao kubaini kuwa matunda ya uzoefu wao kutoa huduma za elimu isiyo rasmi, na majaribio yanaweza kutafitika kama ilivyo kwa kazi zilizofanywa katika elimu ya msingi isiyo rasmi. Mkabala wa utafiti kwingineko.4 ulisisitiza kuwashirikisha wasambazaji na hadhira 7 Waleta mabadiliko wenyeji huchangia kuongeza kwamba wanaufahamu muktadha wa wenyeji, “jinsi ya uwezo wa wenyeji kuufanikisha mfumo wa kazi”. Taarifa za jinsi wanawake wa Malikunda, Senegali, walivyopinga na kisha Uzoefu wa awali wa ushirikiano na serikali na miradi ya kukomesha ukeketaji wa wanawake ni mfano hai wa maendeleo mara nyingi ulizifanya jumuia zichukue faida kwa jumuia ya wakala wenyeji wa mabadiliko mtazamo wa kusubiri ili kuona kitatokea nini. Mara ambao wamepatiwa uwezo kutokana na ufahamu wao wa nyingi, si jumuia nzima au kiongozi wake, bali ni mtu maarifa ya nje.5 binafsi au kikundi ndani ya jumuia chenye maslahi Muktadha wa wenyeji, upekepeke wa kiutamaduni, na mahususi, kinachoanzisha mchakato wa mabadiliko: kwa kawaida usimamizi wa umiliki wa wenyeji huelekea wanawake, wazee, vijana, wazalishaji wa kahawa au hata kuathiri kasi na mwelekeo wa mabadiliko. Mara jumuia tabaka la masikini kabisa katika jumuia au pengine mtu zinapokubali kusaidiwa, kuvutwa au kuendeshwa na binafsi wa kipekee. Mifano mitatu iliyomo kwenye wakala wa maendeleo, basi huelekea kutumia waziwazi visanduku, na uzoefu kutoka sehemu nyingine, maarifa yao na yale ya mawakala kukubali kutatua inaonyesha kwamba hakuna njia moja “bora kabisa” ya matatizo yao ya kijamii, kitaasisi au ya kiuchumi. kuleta mabadiliko na uwezeshaji kupitia uongezaji wa Kujifunza kwa kasi yao wenyewe kwenye ngazi ya uwezo wa wenyeji. Isipokuwa zinapokabiliwa na wenyeji kupitia programu zilizopangwa vema za kusoma mishituko mikubwa toka nje, jamii huelekea kupendelea na kuandika aghalabu huwa kichocheo cha mabadiliko. mabadiliko ya pole pole ya kijamii na kiuchumi, hasa Matokeo ya kujifunza kwa kasi yao wenyewe yanaweza iwapo mazingira yaliyopo ni ya wasiwasi. Badiliko lo lote, kuonekana kirahisi tukiangalia elimu ya watu wazima hasa la haraka, huleta hatari ambazo tabaka za watu vijijini, ambayo imekuwa na dhima kubwa kwa masikini hazitarajii na wala haziwezi kuzikabili. kuwafanya wanajumuia kuwa wepesi kupanga na Ukwepaji wa hatari ndio mkakati unaotumika zaidi kuanzisha utatuzi wa matatizo.6 Wakati malengo ya kukataa mikabala mingi ya mabadiliko inayoletwa toka miradi ya elimu katika programu za kusoma na kuandika nje. Mawakala wa mabadiliko wa nje huelekea kimsingi ni kuongeza ujuzi wa kusoma na kuandika, kutoziwekea uzito unaostahili hatari hizi, kwa vile kwa miradi hiyo huwa na matokeo mengine yaliyolenga zaidi kawaida huwa haziwaathiri wao moja kwa moja. suala la uwezeshaji. Kwa mfano, zaidi ya kupata mafunzo Hata hivyo, mafunzo ya uzoefu pia yanatueleza ya kusoma na kuandika, washiriki wa programu kama kwamba kuwa mwenyeji haitoshi kumfanya mtu alete hizo wangeamua kushughulikia utatuzi wa tatizo fulani mabadiliko ya kijamii na kiuchumi. Mwenyeji anahitaji lililomo katika jumuia yao na hivyo, kuyafanya mafunzo angalau awe na uelewa kidogo wa maarifa yanayotoka yawe na manufaa mara moja na kuwaruhusu wenyeji nje, na uwezo wa kuonyesha kwamba inawezekana kujifunza ujuzi unaoweza kutumika kutekeleza shughuli kuunganisha maarifa ya wenyeji na ya nje katika modeli nyingine kijijini. ya utendaji. Faida ya wakala wenyeji wa mabadiliko ni Uwezo umo ndani ya shughuli za jumuia Huko Nwodwa, wakulima wasio na elimu, vijana walioka- Mfano mwingine unaeleza kufaa kwa mbegu tisha masomo, na mamlaka za vijiji zilianzisha na kusi- zilizochaguliwa na kuhifadhiwa na wenyeji kwa ajili ya mamia shughuli za ubunifu za afya, uchumi, na elimu. kuboresha ardhi. Jumuia ziliweza kuchota kutoka Mkabala huu ulikuwa wa manufaa zaidi kuliko mawazo kwenye maarifa yao (kama yaliyohifadhiwa katika aina ambayo wangependekezewa na mawakala wa mabadiliko za kienyeji za mbegu) na uwezo uliopo tayari ya nje. Katika mazingira ambamo shughuli pekee (wakulima wamekuwa wakilima na kuchagua mbegu iliyobaki ya kiuchumi inayosimamiwa na kudhibitiwa na kwa karne nyingi), sio tu kupanua uwezo huu lakini jumuia ya wenyeji ni kilimo cha kujikimu, shughuli pia kuugeuza kuwa fursa ambayo haikuwepo wakati yoyote ya maana ya nyongeza inayoweza kumilikiwa na wa huduma za ugani za kilimo za awali.9 Mfano huu kusimamiwa na wenyeji inashabikiwa.8 Watafaulu kwa unaonyesha jinsi huduma za kimapokeo kutoka juu sababu wanaweza kutumia uwezo wa ndani uliomo kwenda chini zinavyoweza kugeuzwa kuwataasisi katika mbinu walizotumia kuendesha kilimo cha kuendeleza uwezo wa wenyeji. kujikimu, katika kusimamia shughuli za kilimo na elimu. 8 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Kinyume na hisia za jumla7 kuhusu usiri wa aina fulani cha uwezo wa kubuni katika ngazi ya jumuia nchini. za MA, na kutopenda kwa wajuzi wa maarifa asilia Kisha zisaidie shughuli za kugawana ujuzi na kujifunza. kujifunza kutoka kwa watu wengine, waandishi wa Tini Hatimaye, zingesaidia kutia katika maandiko na za MA waligundua hamu kubwa miongoni mwa jumuia ya kusambaza mafunzo yaliyopatikana kutoka kwenye kujifunza, kutoka jumuia nyingine na pia kutoka maarifa jumuia na nchi mbalimbali. ya dunia yaliyopo. Kujua kusoma na kuandika ndio Baadhi ya mikabala mipya ya maendeleo, kama vile msingi unaoziwezesha jumuia kushughulikia mabadiliko aina ya miradi ya Maendeleo Yanayosukumwa na Jumuia hayo ya maarifa. au Mfuko wa Maendeleo ya Jamii10 sio tu hutoa fursa za Juhudi za kibunifu za kusoma na kuandika zilizomo kuongeza uwezo, lakini pia fursa ya kutumia uwezo huo. katika Tini za MA zinaonyesha kwamba ufundishaji kwa lugha za wenyeji na matumizi ya vifaa vya kienyeji vya kufundishia (vinavyosisitiza muktadha wa wenyeji kupitia Hitimisho usimuliaji hadithi, historia ya wenyeji na fasihi) huelekea Hatua za ujenzi au uongezaji uwezo mara nyingi ni kuinua zaidi viwango vya kusoma na kuandika. Matumizi muhimu kwa programu au miradi inayolenga kuanzisha ya lugha ya wenyeji sio tu yanafaa zaidi, bali pia husisitiza teknolojia mpya, kubadili taasisi au kuboresha huduma. thamani ya utamaduni katika upangaji mipango na Mawakala wengi wa maendeleo hutumia mkabala huu utekelezaji wa maendeleo. Hii pia hutoa fursa za uongezaji tendaji, unaozingatia mahitaji ya uwezo wa mifumo wa uwezo kutoka ndani ya jumuia, kama mifano miwili inayotarajiwa kuanzishwa. Tini za MA zimeonyesha katika visanduku vifuatavyo inavyoonyesha. kwamba uzingatiaji wa mitazamo ya jumuia na uwezo wake—yaani maarifa na taasisi zilizopo husaidia kuleta umiliki zaidi, uendelevu na ufaaji wa hatua za kuongeza Dhima ya wenzi wa maendeleo uwezo. Hii huhusisha utumiaji wa kanuni zilizojitokeza Kama ilivyo katika maeneo mengine ya ushirikiano wa kutoka kwenye mifano iliyoelezwa katika Tini za MA— maendeleo, wenzi huweza kusaidia serikali kuanzisha yaani, kuamini kuwepo kwa maarifa na uwezo wa mazingira ya kisiasa na kiuchumi yanayokuza uongezaji kutosha wa taasisi, ikiwa ni pamoja na maarifa asilia; wa uwezo wa wenyeji, yanayosaidia jumuia moja kwa kutoa fursa za kutumia uwezo ulioongezwa na kukubali moja kwa kuzipatia fursa za kuonyesha ubunifu wao, na uongezaji wa uwezo usiwe mwisho wa mambo, bali njia ya kuwa mawakala wa kusaidia kubadilishana uzoefu baina uwezeshaji. Ingawa mantiki inaonyesha kuwa haya ni ya jumuia, nchi, na hata kanda. Mazingira wezeshaji mambo yaliyo wazi, tumeona pia kwamba matokeo hujumuisha taratibu za kuwabaini wabunifu wenyeji, na yaliyoelezwa ya kijamii au kiuchumi yanaweza kutimizwa wakati huo huo yakihakikisha kuongezeka kwa mafunzo tu baada ya watendaji wa maendeleo kuzikubali kanuni kwa kutoa nafasi za kubadilishana maarifa na kujifunza. hizi kinadharia na kama miongozo mahususi ya Mkabala wenye mantiki wa kusaidia shughuli za maingiliano ya kijumuia na ya mikabala ya utekelezaji. uongezaji wa uwezo wa wenyeji utamakinikia pia maeneo Matumizi ya kanuni tulizozipendekeza yatachangia kwa yanayozihusu sana nchi; mathalani, nchi kadhaa za ufanisi zaidi kuzipatia uwezo jumuia, kadiri zinavyoacha Kiafrika zimeanza sasa kuwaunganisha waganga wa jadi kuwa wapokeaji wa misaada na kuandaa majaliwa yao na huduma za afya za umma. Licha ya afya, maeneo zenyewe. yanayoweza kutoa matokeo mazuri ni kilimo, usimamizi 1 Tini za MA 9 wa maliasili, elimu, na muhimu zaidi, uzuiaji na 2 Tini za MA 58 usuluhishi wa migogoro. 3 Tini za MA 60 inaelezea mifano yenye sifa bainifu kama hizi Wenzi wa maendeleo wana dhima kubwa katika kutoka India. kusaidia kuongeza mafanikio ya vifaa vilivyobuniwa na 4 Tini za MA 14 5 Tini za MA 3 vinavyoweza kuhawilishwa au kunakiliwa. Mara 6 Tini za MA 3 ikithibitika kwamba vifaa vilivyobuniwa na uwezo wa 7 Tini za MA 53 kuvisimamia unaweza kunakiliwa mahali pengine katika 8 Tini za MA 7 9 Tini za MA 43 nchi au kanda, kwa faida ileile au inayofanana, wenzi na 10 Katika miaka michache iliyopita Benki ya Dunia ilianzisha miradi maendeleo na serikali wangeweza kuwekeza katika ya Maendeleo Yanayosukumwa na Jumuia na Mfuko wa Maendeleo usambazaji wa vifaa vilivyobuniwa na wenyeji na ya Jamii kukabili vema zaidi umasikini kwa kuwashirikisha wafaidika kubaini matatizo na kuyapatia ufumbuzi wa wenyeji, kadhalika katika kuongeza zaidi uwezo wa wenyeji. Kama kila inapowezekana. hatua ya kwanza, serikali zitie katika maandiko kiwango 3. Elimu na Maarifa Asilia Peter B. Easton Uhusiano kati ya elimu na maarifa asilia (MA) katika nchi za Kiafrika ni muhimu na changamani. Pia kimsingi ni ya pande mbili kama inavyoonyeshwa na baadhi ya Tini za MA katika chapisho hili jumuiko. Shughuli za kielimu ni mojawapo ya njia kuu za kuhaulisha, kukusanya, kukuza, na kuleta mageuzi katika MA; na mapokeo ya maarifa asilia na ujifunzaji yanaweza kutoa modeli au ruwaza ya kutolea elimu. Uelewa wa uhusiano huu husaidia, kwanza kabisa, Peter B. Easton ni Profesa wa Elimu ya kupata ufahamu wa kila dhana katika mlinganyo. Watu Wazima na Maendeleo ya Rasilimali Watu katika Idara ya Misingi ya Kielimu na Elimu ya Sera, Maana ya maarifa asilia Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida. Wanachama wa ENDA-Tier Monde ya kule Dakar, AZISE inayojishughulisha sana na maendeleo ya wenyeji, wamebainisha vyema tofauti kadhaa ambazo zenyewe tu ni matokeo ya moja kwa moja ya MA katika elimu na zinaweza kutusaidia sana katika kuelewa vizuri zaidi uhusiano wa pande nyingi kati ya mambo hayo mawili.1 Wanapendekeza kwamba kuna maana au ngazi tatu za uendeshaji wa maarifa asilia: • MA kama urithi wa mambo ya kale, ikiwa ni pamoja na maarifa maalumu katika maeneo kama vile ya botania, tiba na uongozi wa kijamii; • MA kama mkusanyiko wa aina tofauti za fikra na hasa za Kiafrika ambazo wanafunzi na walimu wa sasa wanazitumia katika kujifunza na kufundishia; • MA kama njia ya kueleza nini watu wanajua na—kwa baadaye—kubuni maarifa mapya kutokana na kukutanika kwa uwezo wao (kwa maana mbili za mwanzo hapo juu) na changamoto za maendeleo. Ngazi ya tatu ya MA—ubunifu wa maarifa mapya kutokana na makutano ya urithi wa utamaduni, vipaji vya pekee vya binafsi, stadi na umaizi vilivyokusanywa maishani, na changamoto nzito za maendeleo ya wenyeji— inapanua mjadala na kuonyesha kuwa mkubwa zaidi. Hususani, inadhihirisha kuwa shughuli kubwa ya MA kimsingi ni elimu, kwa vile haiwahusishi watu katika uvumbuzi na uhifadhi wa maarifa yaliyopo—bali inawawezesha “kuzalisha” maarifa mapya. Na kwa kweli mengi ya makala yanayounganisha MA na elimu yaliyomo katika chapisho hili ni ya aina hii: yanaeleza watu wanaotafuta njia za kubuni, kupanua na kubuni upya mapokeo.2 9 10 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Maana ya elimu Hapana shaka kwamba mipaka baina ya makundi haya ya maana haiko bayana sana na hivyo mara nyingi Elimu yenyewe huja katika namna mbalimbali. huchanganywa, lakini maingiliano ya tofauti mbili Utofautishaji baina ya elimu “rasmi,” “isiyo rasmi” na zilizotajwa hivi punde—yaani kati ya elimu kama chombo “ya wenyeji” uliofanywa mwanzo na Coombs na Ahmed cha MA na MA kama modeli ya elimu, kwa upande (1974) bado unaweza kutusaidia kufasili vipengele vya mmoja; na miongoni mwa ujifunzaji ulio rasmi, usio msingi ambavyo vina maana kwa uelewa wetu wa rasmi na wa wenyeji, kwa upande mwingine—inatoa matumizi ya maarifa asilia. mwanga kwa njia zile zote zinazoyaunganisha yote Elimu rasmi katika istilahi zao humaanisha namna ya mawili. Matokeo yake yameonyeshwa kwenye jedwali la “upangiliaji wa kitaasisi katika madaraja kuanzia ngazi hapo chini. Baadhi ya vipengele vya uhusiano huo ya juu hadi ya chini” unaoishia katika kutunukiwa cheti uliyoonyeshwa jedwalini umejadiliwa katika makala ya au kitu chenye hadhi kama hiyo—kwa kifupi, aina zote za Tini za MA yaliyomo katika chapisho hili yanayohusu mifumo rasmi ya elimu, kuanzia shule za msingi hadi elimu, moja kwa moja au kwa namna nyingineyo. vyuo vikuu. Kama ilivyoonyeshwa kwenye safu ya kati ya jedwali, Elimu isiyo rasmi, kwa upande mwingine, humaanisha pengine sifa kuu bainifu ya mchakato wa ujifunzaji “shughuli yoyote ya kielimu iliyopangiliwa na kufumwa maarifa asilia ambayo inaweza utoaji wa elimu ni vizuri inayoendeshwa nje ya mfumo rasmi kutoa aina umuktadhishwaji wake. Maarifa asilia kimsingi yame- teule za ujifunzaji kwa vikundi maalumu vidogovidogo fungamanishwa na shughuli za kijamii, kiutamaduni, miongoni mwa watu, kuanzia watu wazima na pia kiuchumi za jumuia husika, hupatikana kwa namna moja watoto.” Hivyo inajumuisha mambo mengi—kutoka ama nyingine ya kushiriki katika shughuli hizo. Nyingi makundi ya rika ya jando na unyago au uskauti, kupitia ya elimu rasmi na/au iliyopangiliwa katika jumuia za programu za elimu ya watu wazima na elimu ya msingi, Kiafrika haikumuktadhishwa na kuhusu kujifunza na pia elimu ya dini au uraia itolewayo nje ya shule na mambo—na kujifunza kwa njia—ambazo huonyesha elimu ya ufundi au mafunzo ya biashara na viwanda uhusiano kidogo sana na tabia za kijamii, kiutamaduni, inayotolewa kwa zaidi na wenyeji. na kiuchumi za jumuia enyeji. Elimu ya wenyeji, hatimaye, humaanisha “mchakato wa maisha mazima ambamo kwamo kila mtu hupata na kulimbikiza maarifa, stadi na umaizi kutokana na uzoefu Athari za pande zote za jinsia na dini wa kila siku na kukutana kwake na mazingira”—iwe kwa mpangilio au kwa kubahatisha, kulingana na mazingira, Maarifa asilia si kwamba hayajali jinsia, na ukweli huu lakini bila kuwa yamepangiliwa, yametambuliwa na huathiri kazi zake za kielimu. MA katika tamaduni nyingi kuwekwa katika mfumo mmoja. ni dhamana maalumu ya wanawake (ingawa si ya peke yao Mifano ya mahusiano kati ya maarifa asilia na elimu yanayopatikana kutokana na kuchanganya aina mbalimbali za elimu na njia mbalimbali za uhusiano Elimu kama chombo cha MA MA kama modeli ya elimu Elimu Uanzishwaji wa historia ya mahali, Matumizi ya lugha za kienyeji kama rasmi ujuzi wa kiethino-botania, muziki wa lugha ya kujifunzia shuleni; utumiaji wa Ongezeko la matumizi ya kujifunza asili au sanaa, n.k. katika elimu miundo ya uanagenzi wa kiasili kama rasmi au mtaala wa chuo kikuu sehemu ya ufundishaji mzima kimuktadha na maendeleo yaliyomuktadhishwa Elimu Kuwafundisha wakala wa ugani wa Juu ya hilo, ujenzi wa wigo mpya za isiyo wenyeji au watumishi wa utawala kielimu katika makundi ya rika yaliyopo rasmi katika hatua za kuingilia kati amba- na mijumuiko ya kidesturi zo zinaunganisha MA na miikabala ya kisayansi ya “kimagharibi” Elimu ya Kuzifanya ziweze kufikiwa kwa Katika ngazi ya jumuia, kukuza wenyeji kupitia njia mbalimbali za habari makusano na biashara baina ya mafundi kuhusu aina anuwai za MA na stadi na wananchi wengine matumizi yake 11 kabisa), ambao huhifadhi maelekezo na uelewa, hadithi, wawakilishi wa utawala wa kikoloni—wameonyeshwa taarifa za ndani za kibotania kutoka kwenye hifadhi ya wote wakichuana kuthibitisha nani ana nguvu zaidi. mapokeo simulizi na uzoefu wa kihistoria—hata pale Katika mazingira kama yale ya Senegali ya karne ya 20, ambapo mambo haya yanatawaliwa na utamaduni wa ambapo shule na nguvu ya dola kwa kiasi kikubwa mfumo dume na kuitwa “simulizi za akina bibi.” zilishikiliwa na entente (mshikamano) kati ya dola na Mambo mengi yanaweza kusemwa kuhusu maingiliano misheni za Kikristo, asasi za Kiislamu zinazoonekana ya MA na jinsia. Yatosha hapa kutoa mfano wa walimu. kama wahifadhi wa maarifa “asilia”—yaani, vyanzo vya Katika nchi ambamo shule za msingi, na hasa zile za mila na desturi za Kiafrika zinazopingana na dola la vijijini kabisa, zina walimu wengi wa kike wenye sifa kikoloni zikiwa na mizizi katika vizazi vingi vya wenyeji zinazohitajika—kama ilivyo nchini India na baadhi ya vya nyuma. Sembene anawakumbusha watazamaji wa nchi chache, lakini katika idadi inayozidi kuongezeka, za sinema kwamba Uislamu pia ni dini iliyoingizwa nchini mataifa ya Afrika—waalimu kwa kweli wanaweza kupata toka nje wakati fulani. Tukio limefanana sana na yale njia, kwa kudhamiria au la, za kuingiza maudhui na yanayoelezwa katika Tini za MA namba 4, “Kutoka mikabala waliyoitoa toka kwenye MA ya wenyeji na Kufuru hadi Uendelevu,” kuhusu upandaji upya miti na kupeleka katika uzoefu wa madarasa yao. Katika nchi kilimo cha kutumia mbolea ya kimaumbile huko Farikrom, nyingi za Kiafrika zilizotawaliwa na Ufaransa, hata hivyo, Ghana, ingawa nguli huko ni Ukristo wa Kiinjilisti. wengi wa waalimu wake wa shule za msingi za vijijini ni wanaume—na mara nyingi, kutokana na sera mahususi ya kiutawala, wanaume hao hutoka kwenye maeneo ya Kuuelewa uhusiano nchi yaliyo na utamaduni tofauti. Hali hii imeimarisha Kwa namna fulani, mengi ya makala katika chapisho hili kazi yao ya mfumo wa ufundishaji usiojali muktadha yazungumzia, japo si kwa njia ya moja kwa moja, uliobuniwa ili kuwaingiza watoto kwenye jamii ya kisasa uhusiano wa maarifa asilia na elimu, kwa sababu ili njia na katika utamaduni wa kilimwengu au wa kitaifa ambao za “kimila” na wahifadhi wake wawe na taathira katika hauna uhusiano na mila na desturi za wenyeji. uendeshaji wa maendeleo, ni lazima maarifa hayo Maingiliano ya dini na maarifa asilia hali kadhalika yaelezeke na wahifadhi wa maarifa wahamasishwe yana maana nyingi kwa elimu barani Afrika. Kuna kuyatoa. Mara yakiwa hivyo, kwa lengo lolote lile, basi mambo makuu matatu hapa: (a) mila za kidini za mijumuiko hiyo ya maarifa na uzoefu hupata umbo wenyeji; (b) imani na matendo ya dini za dunia (aghalabu muhimu linalohitajika kwa uhawilishwaji na uingizwaji Ukristo au Uislamu, na pengine zote mbili kwa pamoja); katika mifumo iliyopo ya ujifunzaji wa jamii, kama na (c) utamaduni wa shule za “kilei” au kiserikali. Dini maudhui au kama modeli ya mchakato. zote mbili—Ukristo na Uislamu—zimetamadunishwa Lakini yale makala yanayojadili kwa uwazi zaidi ziendane na utamaduni wa Kiafrika na hata masuala ya elimu (rasmi, isio rasmi na ya wenyeji),3 hata “Kuafrikanishwa” katika viwango vinavyotofautiana kama ni kwa sehemu tu, ni machache kwa idadi, na yaliyo katika mchakato wa kuhawilishwa kwao barani Afrika— muhimu zaidi inafaa kuyawekea msisitizo hapa. kulikofanywa zaidi kupitia elimu ya aina moja au Mgawanyo na namna yake vinaonyesha mambo kadhaa nyingine—ingawa watetezi wa Uislamu watapinga dai yaliyozungumziwa hapo juu, ingawa, zikisomwa kwa hili kwa nguvu zao zote kushinda wamisionari wa makini, matini hizo zinaonyesha ukweli changamani na Kikristo (taz. k.m. Mughambi 2002, Monteil 1964). Na wenye nguvu unaovuka usemaji kadhaa wa kijumla dini zote mbili hali kadhalika zimeathiri na kuathiriwa kuhusu mambo. kwa viwango vinavyotofautiana na itikadi za kitaifa za Ni jambo la kushangaza kwamba hakuna makala maendeleo, kutegemeana na mtazamo wa kidini wa dola yanayojadili kwa kina matumizi ya MA katika elimu wa kipindi mahususi kinachohusika. rasmi, iwe katika ngazi ya shule za msingi au chuo kikuu. Dini hutatiza zaidi kwa sababu ya namna inavyoathiri Ingawa mifano yake haikuonyeshwa katika makala haya, maana ya kile kilicho cha asili ya mahali na kile maingiliano hayana matatizo makubwa katika elimu ya kinachoingizwa toka nje. Tofauti baina ya athari za juu, ambako usahihi wa kisiasa na hali ya mada kama vile utamaduni wa wenyeji, dini za kimataifa, na ubepari wa historia, antropolojia, falsafa, na sosiolojia vyote vinaweza zama za ukoloni zinajidhihirisha bayana kwenye kazi kutoa nafasi kubwa zaidi ya uzingatiaji wa maarifa ya kama vile Ceddo, filamu mashuhuri ya mwandishi na wenyeji na desturi za Kiafrika—kama sio kwa ajili ya mwongozaji wa sinema wa KiSenegali, Ousmane Sembene ufundishaji na aina ya ujifunzaji uliomuktadhishwa (2001 [1977]), ambamo imam wa Kiislamu, mmishionari ambao ni wa kawaida kwa elimu ya wenyeji. Hata hivyo, wa Kikatoliki, watetezi wa mila na desturi za wenyeji, na 12 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia kwenye ngazi ya shule za msingi na sekondari, Benini,11 kuhusu waendesha benki wa vijijini huko mapambano ni magumu zaidi. Hata matumizi ya lugha za Fandene, Senegali12, kuhusu wanawake wakulima wa Kiafrika—zenyewe zikiwa zimegawanyika katika idadi maharage nchini Kenya,13 kuhusu mikakati ya wenyeji ya kubwa ya lugha za makabila na idadi ndogo za lugha za kutunza mazingira kwenye pwani ya Afrika Magharibi,14 mawasiliano mapana kama vile Kiswahili na Kihausa— na kuhusu fasihi ya Kifulani kama biashara isiyo na yamekuwa yakipendekezwa zaidi kuliko kutekelezwa faida.15 Kwa asasi za elimu kuweza kuchopoa mafunzo kwa matendo na uendelevu (taz. k.m. Bunyi 1999). yanayofaa kutoka kwenye maarifa asilia, lazima mtu Hata hivyo, baadhi ya makala4 yanahusu uingizaji wa fulani aanzishe matumizi na urandamishaji wa maarifa maudhui na mchakato wa ujifunzaji wa MA kwenye elimu hayo na hali halisi. Shughuli za “elimu ya wenyeji” kama ya jumuia—zile aina za mafunzo zisizopimwa za msingi zile zilizoandaliwa katika masuala yaliyorejelewa, au sekondari zilizoanzishwa na vijiji na vyama vya zinatimiza, miongoni mwa mambo mengine, kazi hii. wenyeji, na pengine kukuzwa na mamlaka za dola pia, kama njia ya kupunguza mahitaji makubwa ya elimu au kukabili matatizo makubwa kama vile kukosekana kwa Kuyaweka yote pamoja ajira za vijana na matatizo sugu ya kijamii. Kwa bahati mbaya, kama yalivyobainisha makala, kadiri elimu hii Kusema kweli, kuna kitu kama saketi kinachounganisha iliyomo hatarini inavyokaribia mfumo rasmi wa elimu, maingiliano ya maarifa asilia na aina tatu za elimu ndivyo zinavyozidi kutengana na maudhui na michakato zilizozungumziwa kwa juujuu hapa. Uzoefu wa elimu ya ya MA, kama matumizi ya lugha za wenyeji. wenyeji kama vile uchapishaji, utunzaji wa mazingira, na Aina nyingi za elimu isio rasmi zimejidhihirisha katika uendeshaji benki wa wenyeji unaohusisha matumizi au makala—kama njia ya kuhamisha nguvu za wenyeji na utangazaji wa maarifa asilia katika maeneo mapya hutoa kupanua stadi za mahali kwa ajili ya changamoto za fursa za mizunguko ya mafunzo yasiyo rasmi na hivyo maendeleo;5 kama suhula ya kunasa maarifa asilia na kuboresha masomo, matumizi na uelewa ambao hatimaye kuyatumia kwenye changamoto za sasa kama vile uletaji unaweza kuingizwa kwenye elimu rasmi pia. Utambuzi wa demokrasia;6 na kama kitovu cha maarifa mbadala na usambazaji wa uzoefu huo hugeuza kidogo hali ya kama vile masomo ya Kurani7. Uanuwai wa mambo katika mazingira, huimarisha elimu ya wenyeji, na kuchochea fani hii, ambao, kwa namna ya kawaida kabisa katika upya mzunguko husika. elimu isio rasmi, unahusu masuala kuanzia ya masoko ya Hata hivyo, hakuna hatua yoyote katika mzunguko bidhaa za kilimo hadi utawala wa wenyeji, afya na haki za huu ambayo imehakikishwa. Kila hatua inahitaji binadamu, unatoa sura nyingi za kueleza na kukuza kujitolea kwa dhati, bidii na bahati njema au majaliwa. maarifa asilia. Ruwaza mbalimbali za maingiliano Ingawa upangaji wa kawaida wa mfumo wa elimu kuweka zinajidhihirisha, ambako elimu ya watu wazima na kozi za elimu rasmi katikati na asasi za elimu ya juu kileleni, ipo kiufundi hutumika kuimarisha tena serikali ya wenyeji hoja kwamba mwanzo wa mchakato unaoelezwa hapa huko Ghana vijijini8, ambayo inahadithia jinsi mifumo umo katika kile kinachoitwa na wafanyakazi wa mradi wa mbadala ya uanagenzi na “kanuni ya kuingia utu uzima” ENDA uwezo wa kubuni maarifa mapya katika zilivyoandaliwa kwa ajili ya vijana wa mijini na jumuia utamaduni asilia na hivyo shughuli zisizo rasmi ambamo zilizoathiriwa vibaya na vita nchini Kenya, Sudani na kwanza kipaji hicho kinapata fursa ya kuwepo. Msumbiji9, na, ambako programu inayoelezea “njia za 1 Tini za MA 42 kufahamu” za wanawake wa Senegali iliishia kuwa mbinu 2 Tini za MA 3, 4, 6, 7, 8, 16, 17, 20, 22, 23, 25, 31 na 46 mpya ya kupambana dhidi ya ukeketaji wa wanawake, bila 3 Tini za MA 5, 7, 11, 13, 18, 25, 27, 29, 31, 33, 38 na 42 4 Tini za MA 5, 29 na 42 kulaani utamaduni ulimochipukia.10 5 Tini za MA 9 Mwisho, mahali na njia za kupatia elimu ya wenyeji na 6 Tini za MA 16 mahusiano yake na maarifa asilia bado ni pana zaidi, kwa 7 Tini za MA 11 8 Tini za MA 7 vile karibu kila shughuli inayozalisha maarifa ya wenyeji 9 Tini za MA 20 na 33 na kisha kuyatumia katika kutatua matatizo ya sasa ya 10 Tini za MA 3 na 31 maendeleo—au kuyaunganisha na vyanzo vingine vya 11 Tini za MA 14 12 Tini za MA 6 maarifa kwa namna inayohifadhika—inaweza kuleta 13 Tini za MA 23 kishindo kikubwa cha kielimu kwa washiriki na pia 14 Tini za MA 8 watazamaji. Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa mifano 15 Tini za MA 38 inayochambuliwa kuhusu utafiti wa elimu nchini 4. Maarifa Asilia ya Wanawake: Kujenga Madaraja kati ya Mapokeo na Uasiria Mamphela Ramphele Wanawake katika jamii nyingi duniani, wakiwa kama akinamama, akinabibi, wake, akinadada, mara nyingi huwakilisha mstari wa mbele katika huduma za afya, kutayarisha chakula kwa ajili ya familia, kutoa maadili mema, na ndio watu wa kwanza wanatoa mifano ya kuigwa katika ujenzi wa tabia. Katika jamii nyingi za vijijini za nchi zinazoendelea, wanawake hubeba mzigo wa kulima mashambani na kusafirisha mazao; hutafuta nishati kwa Dk. Mamphela Ramphele ni matumizi ya nyumbani (mara nyingi kuni) na maji. Wakati wa vipindi vya Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya njaa, wanawake wanafahamu mimea ipi inaweza kutumiwa kama chakula Dunia cha dharura ili kunusuru familia. Licha ya kutoa riziki kwa jumuia ya wenyeji katika nyanja za afya ya familia, ulimaji wa mazao ya chakula, utatuzi wa migogoro, na uhifadhi wa bio-anuwai, wanawake pia wamekuwa wakitafuta ufumbuzi wa masuala mbalimbali ya wenyeji kama vile biashara, utalii, elimu, afya na ajira. Licha ya mchango mkubwa kwa maisha ya familia na jumuia zao, wanawake bado wanakabiliana na matatizo mengi katika kuboresha hali za maisha yao. Matatizo hayo yanajumuisha mzigo mkubwa mno wa kazi, ugumu wa kuzifikia au kuzidhibiti njia kuu za uzalishaji, na kukosekana kwa fursa za mafunzo na taarifa sahihi, huduma za ugani na za ushauri.1 Baadhi ya Tini za MA katika chapisho hili zinatoa mifano mahususi ambapo maarifa na matendo asilia ya wanawake huwasaidia wao, familia zao, na jumuia zao kukabili kwa mafanikio changamoto za wenyeji za maendeleo. Makala haya yanatoa msisitizo wa baadhi ya mifano na kutoa mwito wa kutambua zaidi maarifa asilia ya wanawake na kuingizwa kwake katika mchakato wa maendeleo. Katika kipindi cha nyuma, maarifa asilia yanayohusiana na matunzo ya afya ya familia na uzalishaji wa chakula cha kujikimu haukufanyiwa utafiti wa kutosha. Matatizo yaliyopo yanaongezeka, yakizidisha tofauti za kijinsia kwa kiasi fulani kwa sababu maarifa ya kiufundi au kiasasi yanayohusiana na kazi za wanawake aghalabu huwa hayathaminiwi.2 Wakati desturi za mfumo dume katika jamii nyingi zimechangia kuendeleza mitazamo hii, tunazidi kuona ushahidi wa jinsi wanawake wakiwa wakuzaji wa vipaumbele vyao vya maendeleo, wakiwa ni pamoja na njia za kupinga desturi za namna hiyo. 13 14 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Kushughulikia changamoto za wenyeji matumizi ya nishati, na kwa kufanya hivyo, kuunga mkono juhudi za wenyeji za kuzuia ukataji ovyo wa miti. Tunafahamu kutokana na matokeo yaliyomo katika Tini Walikusanya uchafu wa majumbani kwa ajili ya mboji za MA kwamba nchini Senegali, wanawake wa Malikunda iliyotumiwa kwenye vitalu vya miche na wakaanzisha walianzisha kampeni iliyokomesha ukeketaji wa vikundi vya kuweka na kukopa fedha na mtandao wa wanawake.3 Kwa miaka mingi, mawakala wa nje, kama kanda wa vyama vya wanawake.6 vile mashirika ya maendeleo, na vikundi vya ushawishi Tini za MA7 nyingine zinaonyesha mchango mkubwa vimekuwa vikihimiza ukomeshwaji wa mila hii nchini wa wanawake katika kutunza bioanuwai ya kilimo. humo. Hata hivyo, mabadiliko yalikuja baada ya Ukame huathiri mara kwa mara maeneo mengi ya Afrika, wanawake wa Malikunda kuamua kutumia maarifa asilia aghalabu ukisababisha njaa. Wakiwa ndiyo wazalishaji ili kutatua tatizo hilo katika jumuia zao, badala kuletewa wakuu wa chakula, panapotokea upungufu wa chakula, ufumbuzi toka nje. wanawake wamebuni mikakati ya kuwa na uhakika wa Hili ni tukio kubwa la uwezeshaji na mabadiliko ya chakula kwenye ngazi ya kaya. Aghalabu hutegemea kijamii, lenye mafunzo muhimu. Kwa kifupi, wanawake mazao kutoka kwenye aina za mimea zinazostahimili walilishawishi baraza la kijiji kukomesha tendo la ukame na wadudu waharibifu, ambayo hutoa akiba ya ukeketaji kijijini hapo. Hata hivyo, wakiwa chakula kwa vipindi virefu vya dhiki ya kiuchumi.8 Mingi hawajaridhishwa na matokeo haya, wanawake waliunda ya mimea wanayoitumia wanawake vilevile hutumika timu (iliyojumuisha wanaume wachache) kutembelea kwa tiba.9 Hata hivyo, teknolojia za wanawake wenyeji za vijiji vya jirani. Walizungumza na wanawake wa huko na baada ya mavuno, kama vile uhifadhi na usindikaji wa kuwasaidia ili wapate uungwaji mkono na jumuia zao. Pia mazao, zimo kwenye hatari ya kupotea.10 Leo hii, miradi walifaulu kuwashawishi waganga wa jadi, ikiwa ni ya uhifadhi na utumiaji endelevu wa mimea ya dawa pamoja na Imam wa Malikunda, kuunga mkono ajenda ya huwashirikisha sana wanawake, waliomo na wasiomo wanawake na kushiriki kwa nguvu kama mawakala wa katika maeneo ya asili ya mimea hiyo, kwenye juhudi za mabadiliko. Mkabala huu umeongeza umiliki wa uhifadhi, kama vile kulima miti ya dawa katika bustani mchakato wa mabadiliko katika jumuia hizo na hata nje. za nyumbani.11 Matokeo yake ni kwamba, tapo hili lililoanzia kwa watu Dhima ya MA ya wanawake yanayohusu ufugaji wa wa chini lilisababisha kuwepo kwa “Azimio la Malikunda” wanyama pia imedumishwa. Ingawa umiliki wa wanyama lililofikiwa na mkutano mkuu wa viongozi wa vijiji 18 katika jamii nyingi ni wa wanaume, hata hivyo wanawake kutoka katika kanda hiyo walioazimia kukomesha hutafuta malisho ya ng’ombe, huwatunza, huwakamua ukeketaji wa wanawake kwenye jumuia zao. Mwaka maziwa, na hukusanya na kutumia kinyesi cha ng’ombe mmoja baadaye, Rais wa Senegali alipendekeza “Kiapo kama nishati.12 Kutokana na hali hii, utafiti cha Malikunda” kiigwe na taifa zima. Katika kipindi uliotofautishwa kijinsia katika eneo hili umeanza kubaini kisichozidi miaka mitatu, tapo hili lililoanzishwa na watu kuwa wanawake wamepata ujuzi mkubwa wa ufugaji na wa chini lilikuwa limeenea katika zaidi ya jumuiya 200 maarifa ya tiba ya wanyama yanayojaliza maarifa ya nchini kote na pia katika jumuia kadhaa za nchi kisayansi yaliyopo. nyingine.4 Watafiti wamebaini pia kuwa wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika kuhifadhi misitu ya asili na Kuchangia kwenye malengo ya dunia bioanuwai katika maeneo yaliyo hatarini zaidi kuharibiwa na ya pembezoni. Katika eneo la Pwani ya Utafiti kuhusu maarifa asilia umeonyesha njia ambamo Magharibi ya Senegali la Popenguine, kwa mfano, wanawake wamebuni mikakati thabiti ya kusaidia wanawake wenyeji walianzisha chama kwa ajili ya ulinzi kutimiza Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MMM). wa mazingira5 ili kukabili masuala yaliyowahusu zaidi. Katika Mkoa wa Tanga, nchini Tanzania, kwa mfano, Nayo yalijumuisha upotevu wa bio-anuwai, upungufu wa AZISE ya wenyeji inayoendeshwa zaidi na wanawake, mboga za majani, mkakati usio sahihi wa utalii, hutoa kinga, upimaji, ushauri nasaha, matunzo ya kukosekana ajira za vijana, na ukosefu wa mtaji. Chama nyumbani na fursa za kuzalisha mapato kwa wagonjwa kilijumuisha waganga wa jadi, wanawake wa mijini, na wenyeji wa UKIMWI. Kutokana na tiba itolewayo na vijana, kikihimiza jumuia zote kwenye kanda kushiriki. waganga wa jadi, wagonjwa wanaweza kuendelea na Chama kilipanda miti maalumu ya kuzuia mioto maisha yao ya kawaida na kuishi kwa muda mrefu zaidi. kuzunguka eneo lote la misitu, kilianzisha utaratibu AZISE huwasaidia wanawake wanaotoa matunzo ya mzuri wa kugawana kuni, mkaa, na gesi ili kudhibiti nyumbani ya wagonjwa wa VVU/UKIMWI. Aidha AZISE 15 imeanzisha vituo vya matunzo ya kutwa kwa yatima wa lao pia. Matokeo ya michakato yote miwili—kisomo cha VVU/UKIMWI, inatoa elimu kwa watoto wa shule, na manufaa na pia vita dhidi ya ukeketaji wa wanawake— inawashirikisha wakunga wa jadi katika kampeni zake yalifanya wanawake watambuliwe kama kikundi chenye dhidi ya VVU/UKIMWI.13 Kazi ya AZISE ina athari ya uwezo katika jumuia zake na nje ya hapo. moja kwa moja kwa watu waishio na VVU/UKIMWI kwa Katika mfano mwingine, ushirikiano kati ya sekta ya kuwawezesha kuishi kwa matumaini tena. Kwa kutoa afya ya umma ya kisasa na waganga wa jadi katika Wilaya matunzo ya jumuia kwa watu waishio na VVU/UKIMWI, ya Iganga nchini Uganda unaonyesha jinsi maarifa ya AZISE pia husaidia kuleta usimamizi mzuri wa mzigo kisasa na asilia ya wanawake yanavyoweza kuimarishwa unaozidi kuongezeka wa kazi za wanawake, na hivyo ili kusaidia kufanikisha mojawapo ya Malengo ya kuwapatia nafasi kushughulikia majukumu yao mengine Maendeleo ya Milenia. Mradi uliweza kupunguza pengo muhimu kama vile uzalishaji wa chakula na matunzo ya kati ya mifumo ya maarifa ya kimapokeo na ya kisasa na afya ya familia. kutoa matokeo mazuri kabisa: upunguzaji wa asilimia 50 Huko Afrika Magharibi, wanawake wamefasili upya wa vifo vya kima mama katika kipindi cha miaka programu za elimu ya watu wazima kuhusu kisomo mitatu.17 chenye manufaa na ujenzi wa stadi. Kufuatia ushiriki wao Kando ya kisomo chenye manufaa, uzalishaji wa katika programu za kisomo chenye manufaa, wanawake mapato hutoa fursa zaidi za uwezeshwaji wa wanawake. walirejea kwenye jumuia zao, wakiwa na uwezo zaidi sio Kwa mfano, vikundi kadhaa vinavyojisaidia vyenyewe tu kutokana na stadi zao mpya, bali pia kwa kutambua vimejitokeza kuwapatia wanawake stadi za maendeleo na kwamba stadi na maarifa yao ya kimapokeo, yaliyojalizwa fursa za kuzalisha mapato. Ni jambo la kawaida kwa na maarifa ya nje, yanaweza kutumika kutatua matatizo wanaume kuchukua shughuli toka kwa wanawake mara ya jumuia za wenyeji. Utambuzi wao mkubwa wa mambo shughuli hizo zinapoanza kuzalisha mapato ya fedha uliwawezesha kushughulikia kero nyingine za jumuia (k.m.wakati mazao ya chakula yanapokuwa mazao ya kama vile ukeketaji wa wanawake, jambo lililoogopwa biashara) na kuchukua wajibu kutoka kwa wanawake kukemewa hapo awali.14 Kwa kuanzisha vyama vya mara unapotoa mapato ya fedha, hasa katika uzalishaji kanda na kuhimiza programu za kisomo cha watu wa chakula. Hivyo, juhudi za kusaidia miradi ya wazima, waliwatia moyo wanawake wengine kuiga uzoefu wanawake inayozalisha mapato lazima izingatie dhima wao.15 Mradi mwingine wa ubunifu wa elimu nchini Mali hizo za jinsia ili kuhakikisha kwamba fursa zinazotolewa ulitumia ishara za kiutamaduni na maarifa asilia zitatumiwa kikamilifu na wanawake. Uunganishaji wa kuanzisha mjadala kuhusu hatari za mimba na afya za juhudi kama hizo na mipango ya uwekaji akiba ya fedha wanawake katika familia na jumuia. Washiriki wa mradi huongeza uwezekano wa wanawake kuendelea kudhibiti wamejifunza pia kutumia vifaa vya kutolea habari vya mapato yao. kisasa, kama vile video, chati mgeuzo na beji ili kukuza Nchini India, kwa mfano, wanawake waliunda zaidi ya utambuzi wa jumuia kuhusu hatari za afya za vikundi 175 vya kujisaidia wenyewe kwenye wilaya ya wanawake.16 vijijini ya Pratabghar huko India Kasikazini, kwa mfano Mifano inayohusu elimu inaonyesha uchangamani wa kikundi cha kujisaidia wenyewe cha Kaveri Mahela. maarifa asilia na kusisitiza dhima ya wanawake katika Kikiwa kimeanzishwa mwaka 1995, kikundi cha Kaveri muktadha huu. Wakati wanawake, hapana shaka, ni mwanzoni kilijumuisha wanachama 15. Mwanzo, kila rasilimali muhimu ya maarifa asilia, baadhi ya matatizo mwanachama aliweka akiba inayoligana na senti 10 kwa yaliyotajwa hapo juu yanatokana na mila na desturi halisi mwezi, ambayo waliiongeza mara nne hadi nane katika (au za mwelekeo huo) za kiutamaduni. Tini za MA kipindi cha miezi sita iiyofuata. Leo hii, kila kuhusu elimu zinapelekea kwenye hitimisho la mwanachama anaweka akiba ya $6 kwa mwezi. Fedha kushangaza: mazoea ya kiutamaduni lakini yenye huhifadhiwa kwenye benki ya kijijini katika akaunti madhara kama vile ukeketaji wa wanawake yameonyesha iitwayo Mfuko wa Kaveri wa Kujisaidia Wenyewe. Baada ukinzani mkubwa kwa juhudi za nje za kuyakomesha, ya kuwa na akiba ya kutosha, wanawake walianzisha ilihali njia za ndani na hata za wenyeji za kukabiliana utaratibu wa ndani wa kukopeshana miongoni mwao nayo kwa uendelevu zinaelekea kuwa na nafasi zaidi ya kikundini. Pia walichukua mikopo binafsi hadi $100— kufaulu. Hata hivyo, mikabala hii ya wenyeji ilihitaji 200 kutoka kwenye benki ya kijijini ili kuwekeza katika vichocheo toka nje—k.m. programu ya kisomo cha teknolojia za kisasa, kama vile mashine za kutengeneza manufaa cha watu wazima—kilichowapatia wanawake sukari. Vikundi hivi vya kujisadia wenyewe pia vimekuwa hali ya kujiamini kulikabili suala, kulipeleka kwa mawakala thabiti wa mabadiliko ya kijamii vijijini na viongozi wao wa kimapokeo, na kuwashawishi walione vimeshughulikia masuala kadhaa nyeti kama vile mfumo 16 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia wa mahari. Leo hii, idadi kubwa ya wanawake katika wenyeji pia wamo kwenye nafasi nzuri kushinda kero wilaya hii wanaweza kusoma, kuandika, na kuelewa zinazoletwa na mila na desturi potovu, kuliko matumizi taratibu za uendeshaji wa biashara.18 ya mikabala ya kutoka nje, kama mfano wa Malicounda Kwa kutumia uzoefu huu, katika mji mdogo wa unavyoonyesha.21 Mifano hii inaonyesha fursa kwa Embalam huko India Kusini, wanawake wanaendesha serikali, wenzi wa maendeleo, na Benki ya Dunia pia za “Vituo vya Maarifa vya Vijiji” kwa ajili ya kijiji chao na kuweza kuunganisha mifumo ya maarifa mbalimbali kwa vijiji vya jirani. Hii huwawezesha wanawake kujielimisha ajili ya kuboresha jumuia za wenyeji. zaidi, sio tu katika fani wanazopatiwa kupitia serikali na AZISE nyingine, bali pia katika masomo mengine ya chaguo lao, kama vile magonjwa ya kienyeji na tiba kwa Hitimisho binadamu na mifugo.19 Kama ilivyo nchini Senegali, Moja ya taarifa muhimu za Tini za MA ni kwamba MA ya uwezeshwaji wa wanawake kupitia elimu nchini India wanawake yanaweza kutoa mchango mkubwa katika umewapatia nguvu za kukabili vikwazo vya kiutamaduni kuleta matokeo endelevu katika maendeleo. Kwa hiyo, vya maendeleo yao. kuna haja ya kufanya kila juhudi kujumuisha maarifa ya wanawake kwenye juhudi pana zaidi za maendeleo. Ushawishi wa maarifa asilia ya wanawake Ili kuwawezesha wanawake wachangie zaidi MA yao kwenye mchakato wa maendeleo, serikali za taifa na Mfululizo wa maelezo kutoka kwenye Tini za MA unatoa wenzi wa maendeleo wanahitaji kuchukua hatua zaidi za utambuzi wa kuvutia wa maeneo mbalimbali ambao MA kuhakikisha kuwa kuna ushiriki wenye urari kijinsia ya wanawake yanaweza kuwa na athari katika katika maendeleo. Hususani wanahitaji kuandaa maendeleo. Iwe ni uzalishaji wa kienyeji au ushawishi wa mikabala inayowapatia wanawake mambo yafuatayo: kisiasa, wanawake wameweza kuwaathiri viongozi wa • Nafasi, kwa maana ya jukwaa ambako wanawake jumuia, wanasiasa na wenzi wa maendeleo. Wameanzisha wanaweza kutoa uzoefu wao, wakijfunza kutoka kwa na kushughulikia masuala mazito, kama vile ukeketaji wenzi wao, na wakakutana na wawakilishi kutoka wa wanawake, VVU/UKIMWI, uhakika wa chakula, na mifumo thabiti ya maarifa kwa ajili ya mabadilishano ukosekanaji wa uzalishaji endelevu huku wakikuza asasi na ujifunzaji wenye usawa. za ubunifu za jumuia, kama vile vikundi vya kuweka • Fursa, kwa maana ya ufikio mkubwa wa wanawake fedha na kukopa, na kamati ya kudhibiti ukame. kwenye mifumo na miundo mbinu ya maarifa nchini Utafiti zaidi unahitajika kujaliza tafiti zinazohusu mwao kwa namna ambayo sio elekezaji tu katika dhima za kijamii na kiuchumi za wanawake katika jamii mbinu na matokeo yake. Kutoka shule ya msingi hadi zao na kuhusu mahusiano ya kimamlaka, kwa kutilia kwenye programu za kisomo chenye manufaa cha watu maanani zaidi maarifa asilia na busara zao. Hii wazima, elimu ndio kitovu cha mkabala huo, ufanisi itawasaidia wenzi wa maendeleo kuelewa vema zaidi, wake unategemea ushiriki sahihi sio tu wa washiriki kuthamini, na hatimaye kuhalalisha michango ya aina wa maendeleo, bali pia wa wachangiaji wa ufumbuzi wa hiyo katika maendeleo. Hasara ya kutotilia maanani MA matatizo ya maendeleo. ya wanawake nje ya maeneo yao ya “kimapokeo” na ya • Kutambuliwa kupitia kujitoa kwa moyo thabiti kwa ndani inaweza kuwa hatimaye kupoteza kiwango serikali na wenzi wa maendeleo kufanya utafiti kikubwa cha maarifa yao. Hii inatoa changamoto maalum mahususi wa MA ya wanawake; kubaini, kuweka katika kwa wenzi wa maendeleo: wanahitaji kusaidia kubuni maandiko, na kusambaza ipasavyo MA ya wanawake; nafasi na fursa zaidi kwa wanawake kuelezea, kutumia kusaidia kuimarisha mitandao ya maarifa ya wanawake na kuchangia maarifa yao ya kutatua matatizo ya iiyopo; na kutoa jukwaa la mabadilishano ya maarifa maendeleo. kati ya wanawake na sayansi rasmi. Kutambuliwa, bila Wanawake kama wabebaji wa maarifa asilia, wanaweza shaka, kunajumuisha pia uwezekano wa wanawake pengine vema zaidi ya wanaume kutoa huduma kama watendaji wa kimapokeo kupata mapato kutoka kwenye daraja kati ya wawakilishi wa mifumo mbalimbali ya MA yao na sio kudhumuliwa na wajanja. Zaidi ya yote, maarifa. Katika eneo la afya ya familia, kwa mfano, “kutambuliwa” hutegemea mchakato jumuishi na ambako wanawake wana manufaa mahususi ya shirikishi kati ya watendaji wa umma na binafsi katika kuchukuliwa na watu wengi kuwa watendaji wakuu, maendeleo. Kwa kuwapatia fursa za aina iliyoelezwa fursa za maingiliano na ujifunzaji wa pande mbili zipo, katika Tini za MA, wanawake wanaweza kuwa kama uzoefu wa Iganga unavyoonyesha.20 Wanawake mawakala wa mabadiliko wenye mizizi ndani ya mila na 17 desturi zao na bado wakaweza kushawishi ujifunzaji 9 Tini za MA 44, 58. 10 Nchini Kenya, vijana wanaweza kukataa kula mboga za majani kutoka nje ya jumuiya zao. kwa sababu wanadai kuwa ni chungu. Wanawake watu wazima wanasema kuna pengine hii ni kwa sababu chakula hakipikwi 1 Shirika la Maendeleo ya Austria, CTA, Shirika la Maendeleo la vizuri. (http://www.ipgri.cgiar.org /Institute/fact-gender.htm) Hellen; 1999: “Dhima ya kiuchumi ya wanawake katika maendeleo 11 Tini za MA 35 ya kilimo na vijiji: Kukuza shughuli za uzalishaji mapato” Ripoti ya 12 Tini za MA 58 Semina (http://www.ita.int/pubs/erw/english-intro.pdf) 13 Tini za MA 51 2 Madge, Clare; 1994: Mkusanyiko wa maarifa ya chakula na ya 14 Tini za MA 31, 58 ndani nchini Gambia, Afrika Magharibi. Jarida la Jiografia, Juzuu 15 Tini za MA 3, 8 160, Toleo 3. 16 Tini za MA 12 3 Tini za MA 3 17 Tini za MA 40, mfano umewekwa kwa muhtasari kwenye makala 4 Tini za MA 31 tangulizi ya mwisho: Maarifa Asilia: Mwelekeo wa Baadaye. 5 Regroupment des Femmes de Popenguine pour la Protection e la 18 Tini za MA 45 Nature or RFPPN 19 Tini za 63, haimo kwenye toleo hili: inapatikana kutoka 6 Tini za MA 8 http:www.worldbank.org/afr/ik/iknt63.pdf 7 Tini za MA 8, 23 20 Tine za MA 40 8 Moja ya mimea hiyo ni “sharubu za paka” (Cleome gynandra 21 Tini za MW 3, 31 L./Gynandropsis gynandra (L) Brig.) ambao umefanyiwa utafiti mwingi. (http://www.ipgri.org/publications /pdf/350.pdf) 5. Mbinu za Wenyeji za Kupambana na UKIMWI Barani Afrika Edward C. Green Tini za MA, katika toleo hili zinaonyesha kwamba masuluhisho mengi ya matatizo ya watu masikini yamo ndani ya jamii zenyewe na watu wake. Mjadala wa mapambano dhidi ya janga la VVU/UKIMWI barani Afrika yanaonyesha kuwa masuluhisho ya wenyeji dhidi ya ueneaji wa ugonjwa huo pia yanafaa zaidi na yana ufanisi kuliko yale yanayobuniwa toka nje. Ushahidi unazidi kuonyesha kuwa modeli ya dunia ya kuzuia UKIMWI Edward C. Green, Mwanasayansi haifai katika Afrika. Msingi wa modeli hiyo ni kupunguza hatari au kutoa Mtafiti Mwandamizi katika Kituo cha “tiba” (kondomu, kutibu magonjwa yaenezwayo kwa ngono kwa dawa), Havard cha Idadi ya Watu na badala ya kujiepusha na hatari (kuwa na mke/mume mmoja, kutofanya Maendeleo. kabisa tendo la ndoa, au kusubirisha umri wa kuanza ngono).1 Modeli ya uzuiaji iliyokitwa kwa tiba haihamasishi kupunguza idadi ya wapenzi, au hata kukemea ngono ya wenzi wengi. VVU/UKIMWI uliojitokeza kwa mara ya kwanza barani Afrika, serikali nyingi ziliamua kutolishughulikia suala hilo. Kulikuwa na hasira kutokana na kuilaumu Afrika kama chanzo cha ugonjwa huo wa kufisha. Pia kulikuwa na woga kwamba ushahidi wa kuwepo kwa UKIMWI ungeliua utalii na uwekezaji wa biashara za nje. Hata hivyo, angalau nchi mbili za Afrika zilipambana na UKIMWI mara moja: Uganda na Senegali. Nchi hizi mbili sasa zinatambuliwa kuwa nchi mbili za mwanzo kufanikiwa kupambana na UKIMWI katika Afrika; na ni muhimu kuziangalia kwa makini programu hizi, ambazo kwa kiasi kikubwa zilibuniwa na nchi zenyewe, na kabla mashirika ya UKIMWI ya nchi za Magharibi hayajaanza kuisaidia Afrika kupambana dhidi ya UKIMWI. Nchi zote mbili—Uganda na Senegali—zilibuni programu za kujikinga na UKIMWI zinazosisitiza kubadili tabia,2 pamoja na huduma za kupunguza hatari ya ugonjwa. Kwa maneno mengine, mbinu zilizoshughulikia UKIMWI kama suala la tabia linalohitaji ufumbuzi wa kitabia, na sio tu tatizo la kitiba linalohitaji ufumbuzi wa kitiba. Nchi zote mbili zilifanikiwa sana kupunguza ueneaji wa UKIMWI (Uganda) au kuzuia maambukizo ya UKIMWI kwa wananchi wa kawaida (Senegali). Hakuna nchi duniani inayofikia kiwango cha Uganda cha upunguzaji wa maambukizo cha asilimia 66. Ni sahihi kusema kuwa serikali hizi za Afrika, baadaye zikisaidiwa na AZISE zake, zilitumia maarifa asilia kubuni programu sadifu. Na hili sio jambo la kushangaza. Kuathiri tabia, au kubadili ruwaza za ndani kabisa za 18 19 tabia na za kijamii, sio sawa na kuhamasisha matumizi ya kondomu na uhamasishaji wa matumizi yake. Hakuna dawa au chanjo. ushahidi hadi leo kwamba uhamasishaji wa kondomu umepunguza viwango vya maambukizo ya UKIMWI miongoni mwa wananchi. Utafiti uliofanywa na Shirika la Modeli ya kupunguza hatari Umoja wa Mataifa la Kupambana na UKIMWI—UNAIDS -, na kuchapishwa katika toleo maalumu la UKIMWI Mfumo wa kinga dhidi ya UKIMWI ulioletwa Afrika toka mwaka 2001, ulibaini kuwa matumizi ya kondomu nje mwishoni mwa miaka ya 1980 ulibuniwa kwa ajili ya hayakuchangia chochote katika kuukilia ueneaji wa vikundi vilivyo hatarini zaidi kuambukizwa, kama vile UKIMWI (Bure na wenzake 2001). Na tathmini ya hivi mabasha/mashoga wa miji mikuwa ya Marekani, mathalani karibuni ya UNAIDS ya ufanisi wa kondomu (Hearst na San Francisco. Sehemu ya modeli ya kupunguza hatari Chen 2003) imehitimisha, “hakuna mifano dhahiri ya haikupaswa kubadili tabia ya ngono. Ilitolewa hoja kwamba magonjwa ambayo ueneaji wake umezuiwa na programu hii ilikuwa sawa na kuwahukumu watu, jambo ambalo sio ambazo msingi wake ni uhamasishaji wa kondomu.” la kisayansi na lingezuia ufikwaji wa wale wanaotakiwa Baadhi wanadai kuwa hazitumiki kondomu za kutosha kufikiwa na kusaidiwa. Wataalamu wa UKIMWI wakacha- barani Afrika kuweza kuleta mabadiliko, na kwamba gua mikabala ya kupunguza hatari au madhara, inayochu- kondomu zingeleta nafuu kama zingepatikana kirahisi kulia kwamba ni ngumu au haiwezi kubadilishwa, na katika mabilioni badala ya makumi ya mamilioni tu kwamba juhudi zinafaa kuchukuliwa kupunguza matatizo yaliyopo. Pengine, lakini tunachojua kutoka kwenye data yanayoletwa na tabia za hatari. Hivyo, kondomu na sindano za hivi karibuni za USAID ni kwamba, baada ya zaidi ya safi (inaporuhusiwa kisheria) zilitolewa ili kupunguza miaka 15 ya uhamasishaji wa matumizi ya kondomu maambukizo ya UKIMWI ya kupitia ngono na kuongezea katika Afrika (fani niliyoifanyia kazi), matokeo ni wastani mtu damu, kwa mfuatano huo. Hakukuwapo na bado wa kondomu 4.6 tu zinapatikana (sio lazima kwamba hakuna kampeni yoyote ya kuzuia aina yoyote ya ngono, au zinatumiwa) kwa kila mwanamume kwa mwaka barani udungaji wa dawa za kulevya. Wataalamu wa UKIMWI Afrika katika miaka ya hivi karibuni (Shelton na walijipongeza wenyewe kwa uwazi na uhalisia wao. Johnston 2001). Idadi hiyo ilikuwa kubwa kidogo katikati Mkabala huu pengine ungefaa kwa San Francisco, au ya miaka ya 1990; imeshapungua kwa kiasi fulani tangu hata Sao Paulo au Bangkok. Lakini ulipoletwa Afrika, wakati huo licha ya mfumuko wa UKIMWI Afrika ya kulikuwa na jitihada kidogo za kuirekebisha modeli Kusini. Tatizo yaelekea ni mahitaji madogo, na sio ugavi iendane na mila na ruwaza za magonjwa ya Afrika, haba. pamoja na kuwapo madai ya kinyume chake. Huko Marekani, Ulaya na sehemu kubwa ya Asia, maambukizo ya UKIMWI yamekusanyika zaidi katika vikundi Mkabala wa Uganda uliobuniwa na nchi yenyewe vichache vya hatari kubwa kimaambukizo. Katika Afrika kusini mwa Sahara, maambukizo mengi ni dhidi ya Licha ya kondomu, programu nyingine ambazo ni aghali wananchi wa kawaida. Kusema kweli, wengi wanapinga kidogo za kuzuia UKIMWI zinazofadhiliwa sasa na mtazamo huu, wakidai “tusibague vikundi fulani tu na wahisani wakubwa ni tiba pana ya magonjwa ya ngono, kusema vimo hatarini. Kwa kufanya hivyo, tutawanya- ushauri nasaha wa hiyari, upimaji virusi na uzuiaji wa nyapaa—kuwalaumu waathirika—na kufanya wananchi maambukizo ya mama kwa mtoto kupitia dawa wengine wadhanie hawako hatarini.” Hivyo ujumbe wetu zijulikanazo kama ‘Nevirapine.’ Kama uhamasishaji wa lazima uwe, “sote tuko hatarini kuambukizwa UKIMWI.” kondomu, haya ni masuluhisho ya kitiba, na sio Hii italeta usawa; sote tumo katika janga hili kwa pamoja. uhamasishaji wa kubadili tabia. Programu hizi, pamoja Hata hivyo, tofauti za ruwaza za kiepidemolojia na za na uhamasishaji wa kondomu, zilikuwa hazijaanzishwa kiutamaduni ni halisi, hivyo panahitajika—pamoja na Uganda wakati wa viwango vya maambukizo vilipoanza mambo mengine—mikabala tofauti ya kujikinga kupungua mwishoni mwa miaka ya 1980. Hata hivyo, kutegemeana na mazingira mahususi. Uganda ndiyo iliyopunguza maambukizo ya UKIMWI kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko nchi zote. Msingi wa mkabala wake uliobuniwa nchini ulibebwa na ujumbe Kinga ya UKIMWI barani Afrika katika sitiari (msemo) ya wenyeji: “malisho ndani.” Hii inamaanisha lisha wanyama wako shambani mwako; Je, modeli ya kupunguza hatari imefanikiwa vipi katika usilishe nje ya hapo (yaani, usifanye ngono nje ya ndoa au Afrika? Juhudi zaidi zilielekezwa kwenye ugawaji mpenzi umwaminie). Akijibu ushauri wa wataalamu wa 20 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia nje kuhusu UKIMWI, Rais Museveni alisema mwaka • Kama nchini Uganda, wanasiasa nchini Senegali 1991, “kama tulivyopatiwa risasi ya kiinimacho” walishughulikia haraka ugonjwa mara tu ulipozuka mwanzoni mwa miaka ya 1940, sasa tunapewa kondomu katika nusu ya pili ya miaka ya 1980. kwa ajili ya “ngono salama.” Tunaambiwa kwamba • Kwa vile asilimia 93 ya WaSenegali ni Waislamu, kipande chembamba tu cha mpira kimesimama kati yetu serikali ilifanya juhudi za kuwashirikisha viongozi wa na kifo cha bara letu. Ninadhani kwamba kondomu zina dini; VVU/ UKIMWI ukawa mada ya kawaida kwenye dhima kama njia ya kuzuia, hasa kwa wapenzi wenye sala za Ijumaa misikitini, na viongozi waandamizi wa VVU, lakini haziwezi kuwa njia kuu ya kuzuia UKIMWI”. dini waliuzungumzia katika televisheni na redio. Ndani ya kipindi cha miaka minne tu tangu programu • Ngazi nyingine za jamii za WaSenegali zilijiunga ya kinga ya Uganda kuanza, tafiti za tabia (zilizothibi- kwenye kampeni. Kufikia mwaka 1995, AZISE 200 tishwa na data za kibiolojia) zilianza kuonyesha zilikuwa katika harakati za mapambano, na pia kupungua kwa ngono za kizembe, ucheleweshaji wa umri vikundi vya wanawake vyenye takribani wanachama wa kuanza ngono, na matumizi makubwa ya kondomu nusu milioni. miongoni mwa wale wachache walioendekeza ngono za • Uzuiaji wa VVU uliingizwa kwenye mitaala wakati kizembe. Uganda pia ilikuwa ya kwanza kubuni mikabala elimu ya ngono ilipoanza kufundishwa shuleni. Juhudi ya kupunguza unyanyapaa, ikiweka mahali pa wazi sambamba na hizi zilifikishwa kwa vijana walio nje ya mijadala kuhusu tabia za ngono, ikiwashirikisha shule (Sttitrai 2001:9). waathirika wa VVU katika elimu ya umma, ikishawishi watu binafsi na wapenzi (wanandoa) kupimwa na Tena, kama nchini Uganda, tunabaini mabadiliko ya kupatiwa ushauri nasaha, na ikiboresha hadhi ya msingi ya tabia huko Senegali, yaani upunguzaji wa wanawake. Busara ya programu ya Uganda ya ABC wenzi na ongezeko la umri wa kuanza ngono. Kulingana (Jinyime [Abstain], Kuwa mwaminifu [Be faithful] au na tovuti ya DHS,3 umri wa kati wa kuanza ngono Tumia Kondomu [use Condoms]) ni kwamba inalenga umepanda zaidi kuliko katika nchi yoyote ya Afrika yenye “viukilia vya karibu” au sababu za mara moja za data za DHS, kuanzia 16.6 hadi 17.4. Na mwandishi wa maambukizo ya VVU, na pia kuhusu nini watu binafsi UNAIDS anasema yafuatayo kutokana na tathmini ya wenyewe wanaweza kufanya kubadili (au kudumisha) data za kidemografia na kitabia: tabia, na hivyo kukwepa au kupunguza hatari za Wanawake wa KiSenegali wenye umri wa mwanzoni maambukizo. Lakini ilishughulikia pia matatizo magumu mwa miaka 20 hawakufanya ngono hadi walipokuwa ya kijamii na kiasasi ambayo ni serikali zenye mwito tu takribani na miaka 19 au zaidi. Kwa kizazi cha mama zinaweza kuyashughulikia. Programu hizi ziliongozwa na zao—wanawake waliokuwa na umri w kati ya miaka 40 serikali (hasa Wizara ya Afya), lakini pia zilishirikisha na 49 mwana 1977—umri wao wa kati ulikaribia miaka AZISE nyingi na asasi za jumuia za kijamii. 16 (Sttitrai 2001:11). Utafiti wa mwaka 2001 wa wanawake ambao hawajawahi kuolewa jijini Dakar wa umri wa miaka 15-23 Masuluhisho asilia ya Senegali ulifanywa na Shirika la Kimataifa la Afya ya Familia, (Family Helth International—FHI), kwa ufadhili wa Kama Uganda, Senegali ilikuwa miongoni mwa nchi za USAID na CDC, kupitia Wizara ya Afya ya Senegali. kwanza barani Afrika kukubali kuwepo kwa VVU/ Wanawake 29 tu kutoka sampuli ya majaribio ya UKIMWI na kuanza kutekeleza programu kamambe za wanawake 699 walisema kuwa tayari wamefanya ngono. kuzuia na kudhibiti VVU/UKIMWI. Kulingana na Idara Hii inamaanisha kwamba asilimia 95.6 walijichelewesha Kuu ya Sensa ya Marekani (BUCEN—Bureau of Census), kufanya ngono; asilimia 4.1 tu ndio walikuwa wakifanya kama Uganda, “Senegali imekuwa na mafanikio ngono (Hyggea/FHI 2001:31). Hii inawakilisha idadi makubwa, kwani serikali imeweza kuudhibiti ugonjwa” ndogo sana ya wasichana na vijana wa kike wanaofanya (BUCEN 2000: 1). Kwa mujibu wa UNAIDS, Senegali ngono mapema, kwa viwango vya nchi yoyote, hasa kwa kwa sasa ina kiwango cha chini kabisa cha ueneaji wa vile takribani asilimia 11 ya sampuli imo kwenye kundi la VVU katika Afrika Kusini mwa Sahara, na yaonekana umri wa miaka 20-23. Idadi kubwa zaidi (asilimia 55) ya kutoyumba, ikiwa na chini ya asilimia 1 au chini ya hapo vijana wa kike 29 wa utafiti wa FHI walioripoti kuwa na ya maambukizo (BUCEN 2000). idadi fulani ya wenzi mwaka 2001, walisema kwamba Tathmini ya UNAIDS ya mapambano ya Senegali dhidi wamekuwa na mwenzi mmoja (Hyggea/FHI 2001:35). ya UKIMWI (Sittitrai 2001:9) inabainisha mambo Kama Uganda, Senegali ilipata msaada wa mashirika muhimu yafuatayo: ya kidini katika uzuiaji wa UKIMWI, ilianza elimu ya 21 UKIMWI katika shule za msingi, na kwa makusudi makasisi wa Uganda 4, 500 na 6,750 walipatiwa mafunzo ilitumia mbinu za kuibua hofu kama mkakati wa kuzuia kila mwaka ya kuzuia UKIMWI kwenye ngazi za wilaya maambukizo. Hii haifanani na modeli ya Magharibi ya kati ya 1995-1998. Aidha theluthi moja ya wilaya za kupambana na UKIMWI. Yaliyotokea nchini Uganda na Uganda iliwapatia mafunzo waganga wa jadi, ikimaanisha Senegali ni mbinu asilia za Kiafrika za kupambana na kuwa zaidi ya waganga 1,800 walipatiwa mafunzo kila UKIMWI. Na zinaafikiwa. mwaka kwa miaka minne. Bila shaka, msingi wa makadirio haya ni rekodi zilizoko katika maandiko. Hata kama namba hizi zimeongezwa kidogo, bado hii Mkabala wa Kiafrika ulifanikiwa zaidi inaonyesha kuwa ni idadi kubwa zaidi ya waganga wa jadi wanaoshiriki kuzuia UKIMWI kuliko katika nchi yoyote Kuhusu hatua za kuingilia kati, kuna ufanano kati ya barani Afrika. THETA, AZISE ya Uganda, ilikuwa modeli nchi mbili za Afrika zilizofanikiwa, kuanzia na ukweli ya kuwapatia mafunzo waganga wa jadi. kwamba programu zote mbili zilikuwa kwa kiwango Kwa kifupi, nchi mbili za Kiafrika zilitumia utamaduni kikubwa za kiasili. Kusema kweli, Senegali inaonekana wake, pamoja na kile kilichokuwa maarifa ya kawaida ilikuwa jasiri kupita Uganda katika kuyaeleza mashirika kwao, na zinaendelea kufanya kile kilichohitajika kuzuia ya ufadhili makubwa kwamba, ingawa ufadhili wa kwa ufanisi UKIMWI. Na zilifanya hivyo kwa kiwango ulihitajika, wasithubutu kuwaambia Waafrika jinsi gani kikubwa zenyewe, pasi na usaidizi toka nje. Jambo la inafaa zaidi kuzuia UKIMWI. Kulingana na tafiti za kusikitisha ni kwamba nchi nyingi za Kiafrika zilichukua kidemografia na kiafya, Senegali na Uganda ndizo nchi hatua kidogo tu au hazikuchukua kabisa hatua yoyote pekee miongoni mwa nchi za Afrika ambamo idadi kubwa mpaka walipofika wataalamu wenye nia safi, na kutokana zaidi ya wananchi wake wanasema kuwa walijifunza na hali hiyo, nchi nyingi zaidi za Kiafrika zina programu kuhusu UKIMWI kutokana na makusano ya uso—kwa— za UKIMWI zinazoelekea kuakisi mtazamo wa nje wa uso, na sio kutoka kwenye redio, machapisho, au wafa- nini kifanyike. Tukitaka kuwa wakweli kabisa, ni vigumu nyakazi rasmi wa sekta ya afya. Senegali inajidhihirisha kuhitimisha kuwa programu za kuzuia VVU/UKIMWI kuwa ni nchi ambamo wanawake hujihisi kuwa hatarini zimefanikiwa sehemu nyingine, kwa vile viwango vya kupata UKIMWI (ingawa ueneaji wa VVU ni wa chini maambukizo ya VVU vinaelekea kuongezeka (tena) kabisa katika Afrika kusini mwa Sahara, takribani miongoni mwa vikundi muhimu vya Marekani na Ulaya asilimia 0.50), na Uganda inajidhihirisha kuwa ni nchi (k.m. Gross 2003; MAP 2000). ambamo wanawake hujihisi kuwa wanaweza kukataa ngono wasizozitaka au kusisitiza matumizi ya kondomu. Nchi hizi mbili pia ziliwahamasisha viongozi wa kidini Kutoa nafasi zaidi za kuchagua na waganga wake wa jadi kushiriki katika kupambana na UKIMWI mara tu ulipoingia nchini mwao. AZISE dhidi Imekuwa vigumu kwa mashirika ya wafadhili na ya ya UKIMWI ya waganga wa jadi na wa kisasa ya Uganda washauri yanayoshughulikia uzuiaji wa UKIMWI kuku- iitwayo THETA (Traditional Healers and Modern Prac- bali ushahidi unaoonyesha kwamba kile walichokuwa titioners Together Against AIDS) hukuza ushirikiano wakikifanya pengine hakikuwa na manufaa makubwa kati ya waganga wa jadi na madaktari wa kisasa katika barani Afrika; wakati huohuo programu ambayo mapambano dhidi ya UKIMWI.4 AZISE hii ilibuni modeli hawakuiunga mkono moja kwa moja imefanikiwa vizuri shirikishi ya uzuiaji na tiba ya UKIMWI, ikishirikisha zaidi. Baadhi wamepuuza mkabala wa ABC kuwa ni sahili maarifa ya maelfu ya waganga w jadi nchini Uganda. mno na finyu. Lakini, mkabala wa ABC unaongeza AZISE ya Afrika nzima—PROMETRA -, yenye makao kipengele cha kubadili tabia ya msingi (A na B ya ABC) yake makuu nchini Senegali, inaratibu programu za kwenye programu zinazopendelewa na wafadhili, UKIMWI zinazowashirikisha waganga wa Kiafrika programu ambazo kwa kiwango kikubwa haziendi mbele barani kote.5 ya “C”, mbele ya kondomu na D- ya tiba kwa dawa. Kwa Serikali za Uganda na Senegali zilitambua nguvu zake hiyo uongezaji wa mabadiliko ya msingi ya tabia zilikuwa wapi wakati wa kuhawilisha ujumbe unaofaa huwapatia watu nafasi zaidi za kuzuia maambukizo ya kiutamaduni kwenda kwa wananchi wengi wa kawaida. VVU kuliko zile zilizopo sasa katika programu nyingi. Na Kwa kiwango kikubwa nguvu hizo zilitoka kwa viongozi hizi ni nafasi za uchaguzi zilizo endelevu ambazo wa jumuia. Katika zoezi la Benki ya Dunia la mwaka 1998, hazitegemei dawa za gharama kubwa kutoka nchi za nje. mwandishi wa sura hii aliweza kukadiria kwamba kati ya 22 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Matunzo, msaada na tiba “Kutokana na dhima kubwa ya kiutamaduni ya waganga wa jadi katika jumuia, wanatoa matumaini Licha ya kinga, yapo masuala mengine yanayohusu bora ya kutibu na kupunguza ueneaji wa UKIMWI. matunzo, msaada na tiba kwa watu waishio na Lakini waganga wanategemea miti ya dawa na VVU/UKIMWI na familia zao. Suala la tiba linalotawala kumekuwepo na kupungua kwa kasi kwa spishi nyingi sasa majadiliano ya dunia linahusu dawa za kurefusha muhimu za miti ya dawa kutokana na huharibiwa kwa maisha ya waathirika (ARV) na jinsi ya kupunguza bei mazingira yao ya asili kwa sababu ya ukataji miti ovyo, zake ili kuwawezesha watu masikini kumudu kuzinunua ulimaji , uchungaji wa kupita kiasi uchomaji mioto, na kuzitumia. Bila shaka, dawa nzuri (hata kama ni ya ukame na upanukaji wa jangwa n.k.”10 gharama) lazima ipatikane kwa wale wanaohitaji sana, hata kama ni maskini au hawafikiki kirahisi. Lakini ni Baadhi ya programu za kijumuia za kuwahudumia lazima itambulike kuwa itachukua angalau miaka kadhaa waathirika wa UKIMWI hutoa taarifa na ushauri kuhusu kutatua matatizo yote yanayohusu utoaji wa ARV lishe bora, maswala ya kisaikolojia na kiimani, ushiriki unaozingatia usawa barani Afrika. Wakati huohuo yapo katika vikundi vya kusaidiana, ukwepaji wa mafadhaiko, matunzo ya gharama nafuu yanayotolewa nyumbani na ukuzaji wa afya ya mfumo wa kinga wa kawaida, uachaji programu za misaada zinazoendeshwa sasa katika Afrika wa kuvuta sigara na kunywa pombe, ujenzi wa ambazo zinaweza kupata misaada kutoka kwa wafadhili matumaini, na mengineyo kama hayo. Tukichukua tu wa nje. Kikundi cha kupambana na UKIMWI cha Tanga dhima ya lishe bora. Imedhihirishwa kwamba mshindilio (TWWG) ni mfano mzuri wa programu ya gharama nafuu wa VVU kwenye njia ya ginitalia husababishwa na na endelevu ambayo msingi wake ni maarifa asilia6. ukosefu wa vitamini A (Mostad na wenzake 1997), hivyo kupatikana kwa wingi kwa vitamini hii peke yake “Kazi ya TAWG ni mfano bora wa namna ya kupata kunaweza kuwa na dhima ya kuzuia na pia tiba kwa VVU. mafanikio mazuri katika mapambano dhidi ya Na vitamini A inaweza kupatikana toka kwenye matunda UKIMWI kwa kuunganisha kwa dhati ujuzi wa na mbogamboga zinazolimwa katika jumuia husika. wenyeji, maarifa asilia, na wafanyakazi wa afya ya sasa Kusema kweli, programu bora za jumuia hazitegemei ili kutoa tiba nzuri na yenye gharama nafuu kwa watu teknolojia, bidhaa na mawazo toka nje. waishio na VVU/UKIMWI.”7 “Serikali ya Ethiopia, kwa msaada wa Benki ya TAWG nchini Tanzania na THETA nchini Uganda ni Dunia, hivi karibuni itaanza kutekeleza mradi wa programu za kijumuia zinazotoa dawa za mitishamba ili kwanza wa uhifadhi na utumiaji endelevu wa mimea ya kutibu magonjwa dowezi ya VVU/UKIMWI. Zaidi ya dawa katika Afrika Kusini mwa Sahara. Lengo kuu la ushahidi wa simulizi, zipo data za majaribio ya hospitalini mradi ni kuwezesha uhifadhi, usimamiaji na utumiaji ( ambayo daima ni magumu kugharamiwa kwa vile endelevu wa mimea ya dawa kwa ajili ya matunzo ya yanajumuisha bidhaa asilia zisizo na hataza) afya ya binadamu na mifugo.”11 zinazoonyesha kwamba baadhi ya dawa hizi zinafaa. Kwa mfano, majaribio ya hospitalini yamethibitisha ufanisi wa Programu za kijumuia zinazohusu UKIMWI zinaweza mojawapo ya dawa za mitishamba za THETA kwa ajili ya kuleta matumaini kwa wale walio na VVU au Mkanda wa Jeshi na kuhara kunakohusiana na UKIMWI wanaoshuku kuwa wanavyo. Ujumbe wa programu hizi ni (Homsy na wenzake 1999). Kutokana na bei na matatizo kuwa waathirika wanaweza kuishi maisha marefu zaidi, ya upatikanaji, inaelekea kuwa Waafrika wengi zaidi maisha yenye faida zaidi kama hatua kadhaa za matunzo watategemea dawa za mitishamba au tiba asilia kwa binafsi zitachukuliwa. Mkabala na ujumbe huu kutibu maambukizo yanayohusiana na UKIMWI. Tasnia vinakinzana na imani iliyoenea Afrika kwamba UKIMWI ya ufamasia imeanza kutambua thamani ya mikabala ya ni kama hukumu ya kifo. Vinakinzana na hofu, tiba inayotumia mitishamba kwa kuanza na utafiti unyanyapaa wa kijamii na mawazo ya kukata tamaa. kuhusu dawa zinazotokana na mimea asilia ambazo Hofu na unyanyapaa huwafanya waishio na zinatumiwa sasa na waganga wa jadi na /au wananchi VVU/UKIMWI kuficha hali yao (na kwa hiyo kutopima wenyeji kwa ujumla wao.8 Na Benki ya Dunia imetambua VVU), kukata tamaa, kudhoofisha zaidi mfumo wao wa thamani ya maendeleo ya kiuchumi ya kuhifadhi mimea kinga ya mwili na bila shaka kutoshiriki katika elimu ya ya dawa katika mazingira yake ya asili au kuizalisha UKIMWI kama ilivyotokea nchini Uganda. kibiashara katika mazingira unde.9 23 Wapo baadhi ya watu wanaodai kuwa programu kutakuwepo na mahitaji ya programu endelevu ya zinazotegemea mitishamba na rasilimali asilia zinaakisi kijumuia za matunzo, msaada na tiba, zinazotegemea tu “matunzo ya afya ya kikauleni,” kukiwa na “dawa za dawa asilia, tiba asilia, vyama vya wenyeji na mifumo daraja la pili kwa ajili ya umma wa vijijini” huku dawa yenye taratibu nzuri zaidi za kugharamia huduma za nzuri za kisasa zimehifadhiwa kwa ajili ya nchi tajiri na afya. wakazi wa mijini wenye uwezo kifedha. Kwa muda mrefu hii imekuwa moja ya hoja zinazotumiwa dhidi ya “Katika nchi nyingi zinazoendelea, ufinyu wa ushirikiano wa aina yoyote kati ya madaktari wa kisasa mipango ya sasa ya ugharamiaji wa huduma za afya, na waganga wa jadi katika Afrika (taz. Green 1994). unaojidhihirisha wazi kutokana na kuzidi kupungua Naam, kwa nini dawa ghali zisikazaniwe pia kwa kwa bajeti na kuibuka kwa mipango mingi ya masikini? Jibu la swali hili, bila shaka, ni tukazanie uchangiaji wa gharama, umesababisha kutafuta kupata dawa bora kwa watu masikini, endapo tutapata mikabala ya ziada na mbadala ya kuboresha hali ya njia ya kuzilipia. Lakini zingatia kuwa ARV ni ghali sana, upatikanaji wa fedha za kulipia gharama. Miongoni hata zile za kawaida, na tunazungumzia kuhusu kuzitoa mwa mikabala iliyopendekezwa ni taratibu za mwa nchi ambazo hutumia chini ya dola za Marekani 10 kuchangia hatari zinazojumuisha mipango ya kijumuia kwa mwaka kwa mtu mmoja kwa afya yake yote, kutoka inayojengeka kwa mifumo asilia ya kijamii.”12 kuzaliwa hadi kifo. Zaidi ya hayo, hatupaswi kudharau 1 Utenganishaji huu si kamili kwa sababu upunguzaji wa idadi ya dawa za kienyeji na tiba za kienyeji bila kuwa na ushahidi wenzi katika ngono ungeweza kubainishwa na upunguaji wa hatari thabiti unaohusu ufanisi wake. na si ukwepaji. Hapana shaka kwamba litakuwa ni jambo la hiyari 2 John Richens alipendekeza istilahi mabadiliko ya msingi ya tabia ili kueleza mabadiliko ya msingi katika tabia za ngono, kama vile kutafuta njia za kulipia dawa za ARV , kuzigawa kwa upunguzaji wa idadi ya wenzi, au kuacha ambavyo vyote usawa, na kuzisaidia programu za kujitegemea za havitegemei vitu au dawa. kijumuia zinazotegemea maarifa, teknolojia na miundo 3 http://www.measuredhs.com/ 4 Tini za MA 26, 54 asilia. Mengi ya mashirika ya wafadhili yanaonekana 5 Tini za MA 26 kuzingatia tu ulipiaji na ugawaji wa dawa za ARV . 6 Tini za MA 51 Programu ya Benki ya Dunia ya Maarifa Asilia kwa ajili 7 kama iliyotangulia ya Maendeleo haifuati msimamo huo, na kwa hiyo ina 8 Tini za MA 15 9 Tini za MA 35 mambo kadhaa ya kutoa kuhusu masuala mengi muhimu 10 Tini za MA 30 yanayohitajika, zaidi ya dawa za ARV . Hata wakati dawa 11 Tini za MA 35; mradi tayari umeanza na sasa hivi uko katikati za ARV zitakapokuwa zinapatikana kwa wingi, bado 12 Tini za MA 48 6. Kilimo Endelevu na Njia za Kujitafutia Maisha Vijijini: Ubunifu wa Maarifa Asilia Katika Maendeleo John Aluma Bila shaka shughuli nyingi zaidi zinazofanywa na wenyeji duniani kote zinahusiana na kilimo. Wakulima na wafugaji walipanda mazao na kufuga wanyama katika maeneo ya unyevu, makame au ya joto wastani, wakijenga mifumo ya uzalishaji iliyotangamana vyema na maeneo hayo na ambayo hatimaye ilikuwa hatua kwa hatua kulingana na hali ya mabadiliko ya mazingira. Mifumo mingi ya aina hii ilidumu kwa kujiegemeza katika John Aluma, ni Naibu Mkurugenzi himaya za uwekezaji—uvunaji duni. Matumizi ya mashine, mbolea na dawa Mkuu wa Asasi ya Taifa ya Utafiti wa za kilimo yamebadili baadhi ya mifumo hii na kuifanya kuwa mifumo ya Kilimo (NARO) nchini Uganda uwekezaji—uvunaji mkubwa, mifumo ambayo kwa kiasi kikubwa kudumishika kwake hutegemea msaada kutoka nje.1 Hata hivyo idadi kubwa ya mifumo hii ya uwekezaji mkubwa ama haikuweza kudumishika au ilishindwa kutoa mavuno makubwa kama ilivyokuwa imetarajiwa. Wakati ambapo mara nyingi mazingira ya kisiasa2 ndiyo yaliyokuwa kikwazo kwa mzalishaji wa mazao cha kuingia katika mifumo hii mipya, hasa kutokana na ama vikwazo vya masoko au haki ya kutumia ardhi, kikwazo kingine bayana kilikuwa uhawilishaji mbovu wa teknolojia. Mifano ni pamoja na (a) matumizi ya aina chache za mbegu katika mazingira ya aina tofautitofauti (b) matumizi ya ulimaji unaotumika katika maeneo ya joto la wastani ambao unapotumika katika maeneo ya unyevu au ya kitropiki husababisha upotevu wa mbolea asilia na mmomonyoko wa udongo (c) mimea na bridi za wanyama zilizoshambuliwa na magonjwa na wadudu na ambazo hazikuwa na kinga au ustahimilivu. Uasirishaji wa kilimo na mabadiliko mengine ya matumizi ya ardhi pia vimesababisha upungufu wa mabadiliko ya kijeni. Watafiti na wazalishaji wanakabiliana na tatizo hili kwa kuanzisha tena spishi asilia katika kapu la jeni za mazao wanayolima na la mifugo. Wakati ambapo juhudi za kufanikisha jambo hili zinaimarika, kiasi cha fedha kilichoko kwa ajili ya utafiti ni kidogo, kwa vile, kwa jumla hakuna rasilimali za utafiti wa kilimo kwa ajili ya uma.3 Hata hivyo idadi inayoongezeka ya asasi za taifa za utafiti wa kilimo katika nchi zinazoendelea hujishughulisha na utafiti, maendeleo, na uingizaji wa uzalishaji unaotokana na maarifa asilia katika biashara, hususan uzalishaji wa mazao ya mimea yanayoweza kutumika katika dawa, tibalishe na viwandani.4 24 25 Bila shaka manufaa ya kilimo cha kisasa na yale ya umaskini. Mjatrofa, ambao asili yake ni huko Amerika mapinduzi ya kilimo hayana mjadala—na kama Kusini, kwa mara ya kwanza ulipandwa kwa ajili ya yasingekuwepo, basi ingekuwa vigumu kuwapatia lishe kutengeneza mafuta ya kulainishia. Mmea huu huvu- watu zaidi ya bilioni sita walioko duniani. Hata hivyo milia ukame na ni wa kudumu na huweza kutumika ushahidi unaonyesha kwamba unapotokea upungufu kama uzio wa asili. Uzio wa Mjatrofa huzuia wanyama mkubwa wa vyakula vikuu, jumuiya nyingi katika Afrika, wasile mazao na kuharibu mashamba na hivyo hupungu- hurejea katika mazao ya asili kama njia ya kujihami. za mmomonyoko wa udongo. Aidha uzio husaidia Mazao hayo ya asili kwa kiasi kikubwa hayajafanyiwa kupunguza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa utafiti kama ule unaofanyiwa mazao makuu. Tabia hii vile huzuia wanyama wasiingie katika mashamba na inaashiria jambo muhimu ambalo limesahaulika na kuharibu mazao.6 Ufufuaji wa shughuli asilia uliofanywa ambalo linastahili kufanyiwa utafiti. Jambo hilo ni na wanawake ambao huvuna mbegu za Mjatrofa kwa ajili ubainishaji wa mbinu za kujikimu zinazotumiwa na ya kutengeneza dawa na sabuni umewezesha uanzishwaji jumuiya mbalimbali katika kukabiliana na changamoto wa kiwanda chenye faida cha sabuni kinachosimamiwa za namna ya kujipatia maisha. Kwa mujibu wa jambo hili, na kinamama na ambacho husaidia katika kupunguza yanaibuka maswali makuu matatu: umaskini. Machicha yanayobakia baada ya kukamua ma- • Ni kwa vipi maarifa, utendaji na ubunifu asilia futa ni aina nzuri ya mboji. Mafuta ya Mjatrofa pia hutu- vimeimarisha njia za kujipatia maisha katika hali mika kama dizeli ya kuendeshea mitambo midogomidogo endelevu kiikolojia, toshelevu kiuchumi na kubalifu ya mashine za kusaga nafaka na pampu za maji. kijamii, na hasahasa, MA yamechangia je katika Awali, kilimo cha Mjatrofa kiligharamiwa kwa msaada mambo matatu yaliyo muhimu sana kwa upande wa kutoka Shirika la Misaada ya Kifundi la Ujerumani (GTZ) uhakika, uwepo, upatikanaji na utumiaji wa chakula? chini ya mpango wa nishati rudifu, lakini baada ya • Ni nani wenye usukani katika ubunifu au utumiaji wa kujifunza kwa jamii mradi huo sasa umepanuka na MA kuingia katika mpango mpana wa maendeleo ya kilimo, • Ni mazingira gani yanayowaendeleza au yanayowakwa- udhibiti wa mazingira, uongezaji kipato, na mshikamano za wenye usukani hao katika juhudi zao au ambayo ni wa kijamii. Wahusika walijifunza mambo yafuatayo: changamoto kwa upanuzi wa mafanikio yaliyopatikana? Mkabala huo uliotumika: • Hujengeka katika desturi za manufaa za Maarifa asilia Tini za MA zilizomo katika andiko hili zinatoa mfano ya wenyeji wa mikabala ya wenyeji ambayo inaweza kutoa majibu • Hudhihirisha matumizi mbalimbali ya mazao (mmea, kadhaa ya maswali haya. Inaonekana kuwa kanuni mafuta ya mbegu, uzuiaji wa mmomonyoko, upangaji msingi ya utendaji asilia katika kukabiliana na changa- wa mali) moto za maisha ya vijijini ipo katika matumizi ya mka- • Hujishughulisha na maswala yenye umuhimu kwa bala jumuishi uliovuka mipaka ya ‘utaalamu pekee’. Kwa jamii kwa wakati husika upande wake mkabala wa kijumuiya kwa jumla unahu- • Huhimiza uhusishwaji wa wanawake katika kubuni siana na namna ya kushughulikia maswala ya umaskini, miradi ya kiuchumi na huendeleza viwanda vidogovidogo chakula cha kaya na uhakika wa lishe, afya, kilimo • Huoanisha udumishikaji wa kiikolojia na maendeleo ya endelevu, ajira nje ya kilimo, ushirikishwaji, uendelezaji kilimo. wa rasilimali za kijamii na nguvukazi, utumiaji wa asasi • Huhimiza matumizi ya malighafi za asili. na mitandao ya kijamii. Wakati ambapo sio jambo la kawaida kuwa na mmea wenye matumizi mengi kiasi hicho,7 matumizi ya Ufufuaji wa shughuli asilia kwa ajili ya kuinua hali ya Mjatoffa yamekuwa na manufaa makubwa katika kuinua maisha katika Mali kipato cha jamii husika: matumizi hayo yamekuwa chanzo cha kipato kwa wanawake na yamesaidia Mradi wa mmea wa Mjatrofa Kakasi5 huko Mali kuiwezesha jamii kiuchumi. unaendeleza uzalishaji na usindikaji wa Jatrofa (Njugu za familia ya Ufobiasea). Upandaji wa mmea huu husaidia kudhibiti mmomonyoko na kuboresha udongo katika Kujenga ubunifu wa wenyeji mazingira ya ardhi kame ya kijangwajangwa. Kusindika (kuondoa mbegu) Jatrofa husaidia kuinua kipato (hasa Katika mwaka 1999 Huko Hondurasi Chama cha kwa kina mama) na kuchangia katika uondoshaji wa Washauri wa maswala ya Kilimo Endelevu, cha Kiikolojia 26 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Ubunifu wa wakulima katika teknolojia wakulima kuondosha magadi katika zaidi ya hekta 68,000 asilia katika Hondurasi (1999) za ardhi yenye magadi.9 Katika maeneo ya utekelezaji wa mradi wakulima wa Uta Pradesh waliunda kamati za Kategoria ya utekelezaji na vikundi vya kujitegemea ambavyo vilifanya Kategoria ya teknolojia teknolojia kazi kwa kushirikiana na mameneja wa mradi na asasi Udhibiti wa wadudu 15 zisizo za kiserikali kwa lengo la kutumia maarifa ya Urutubishaji 10 wenyeji na kujenga ubunifu kazini ili kujenga mikakati Udhibiti wa magonjwa ya inayotokana na inayokubaliwa na wenyeji. Mradi mimea 8 uliimarisha asasi za wenyeji, uliwanufaisha na Udhibiti wa magugu 2 kuwajengea mfano ufaao kwa uenezaji wa shughuli zao Utayarishaji wa chakula 2 kwa kamati husika. Ufugaji wa wanyama 2 Mbinu za kisasa kama vile matumizi ya mbolea za Uzalishaji wa mimea 1 kemikali, dawa za kulia wadudu na teknolojia mpya ya kilimo ambazo hutumiwa na serikali ziliunganishwa na Kutumia mboji 1 teknolojia asilia ziliyogunduliwa na wakulima, kama vile Uhifadhi wa udongo 1 matumizi ya jasi katika ufufuaji wa ardhi, ujenzi wa Mengine 3 vizuizi vya mmomonyoko, kuchuja udongo, kilimo Jumla 45 mchanganyiko, kutumia mboji, ubadilishaji mazao, mbolea za asili na utifuaji wa ardhi. Mbinu hizi asilia na chenye kulenga mahitaji watu, (COSECHA) kiliamua hazikuhitaji gharama kubwa na hazikuwa na madhara kufanya utafiti juu ya ubunifu mbalimbali wa wakulima. kwa mazingira. Hatimaye kiliweza kuorodhesha aina 82 za teknolojia Matokeo ya mbinu hizo ni kuwa wakulima wameweza zilizobuniwa na wakulima 52.8 Zile ambazo zimeainishwa kufufua ardhi kwa matumizi ya familia 247,000, upandaji kuwa zinahitaji utafiti zaidi na usambazaji zimeonyeshwa wa mazao umeongezeka kutoka asilimia 37 hadi asilimia katika jedwali lililopo hapo chini. 200, mavuno na kipato cha wakulima vimeongezeka kwa Idadi inaashiria vikwazo halisi vya msingi vya asilimia 60 katika kipindi cha miaka mitano, na ubora wa kibiofizikia vinavyowakabili wakulima wadogo wa nchi ardhi umeongezeka mara nne. Matokeo fiche ni pamoja zinazoendelea: wadudu, magonjwa na magugu. na kuingiza kipato kwa vikundi vya kujitegemea vya Hivyo shughuli za udhibiti zimechangia zaidi Masuala ya ya nusu ya idadi ya ubunifu. Utafiti huo usalama wa Dhima/mchango unaoweza kutokana na MA ulionyesha pia kuwa hapakuwa na ubunifu chakula uliohusu maeneo ambayo kwa watafiti na Uwepo • Uzalishaji bora/endelevu Uwepo11 wanasayansi yangeonekana kuwa ya muhimu • Teknolojia12 mkubwa kama vile uvunaji wa maji na utunzaji • Njia nzuri zaidi za kuhifadhi mazao na kupunguza wa mazao ya miti. Utafiti ulihitimisha kuwa upotevu13 wakulima hawakuonyesha juhudi zozote katika ubunifu wa teknolojia ambayo waliona kuwa Upatikanaji • Uthabiti wa uzalishaji (uzalishaji usio na madhara hawana uwezo wa kuitumia (uvunaji wa maji kiikolojia)14 ya mvua) au teknolojia ambayo matunda yake • Masoko, huduma, taarifa, haki , hadhi za kijamii15 yangechukua muda mrefu kupatikana • Uwezo wa kununua16 (utunzaji wa miti). Utumiaji • Ulaji17 • Usafi wa mwili, maji, usafi wa mazingira, usalama Kuwasaidia wakulima wafanyao majaribio na wa chakula, ubora18 kuwekeza • Uleaji wa watoto, desturi za ulishaji, utayarishaji, mienendo, ugawanyaji wa chakula katika kaya19 Serikali ya Jimbo la Uta Pradesh huko Kaskazini mwa India iliingiza swala la maarifa Masharti ya kiunzi • Utafiti20 asilia katika Mradi wa Benki ya Dunia wa • Kujitayarisha kwa ajili ya dharura ya chakula21 Uondoshaji Magadi katika Ardhi. Mradi huo • Afya ya mwili ya walaji na wazalishaji22 ambao ulianza mwaka 1993 umewasaidia 27 kinamama kwa njia ya shughuli mbalimbali kama vile wenyewe au kama sehemu ya vikundi (wanawake, vijana, ufungaji wa kuku na bustani za mboga, na mishahara ya wakulima, washiriki wa kisomo chenye manufaa, nk.) vibarua imepanda mara mbili kutokana na ongezeko la vilivyoanzishwa kutokana na misukumo na malengo ya shughuli za uzalishaji katika eneo husika. Matokeo pamoja na wala sio kwa taratibu tu za kiserikali. Kwa muhimu sana ya kuzipa mbinu hizo nafasi na kuzitilia kiasi kikubwa ‘wabunifu hawa wameshapitia ‘maarifa ya mkazo hutoka katika shule za wakulima, ambako dunia’ kiasi kwamba wao pia wangependa kuona maarifa wakulima wenyewe hufundisha na kubuni mitaala kwa na uzoefu vilivyomo kwenye mazingira yao na kubaini kushirikiana na wakufunzi kwa lengo la kudumisha na uwezekano wa kuleta mabadiliko kutokana na wenyeji. kuendeleza zaidi ubunifu wa maarifa asilia. Utambuzi huu ni muhimu kwa ajili ya majukumu ya mawakala wa nje, kama vile wafadhili, watafiti wa kilimo na wa ugani pamoja na wahusika wengine wa maswala ya Maendeleo vijijini, uhakika wa chakula na maarifa vijijini yenye lengo la kuvisaidia vijiji katika kuboresha asilia shughuli za kuendeshea maisha ya watu wake. Wakati ambapo asasi hizi zimebadili majukumu yao ya kuwa Mifano hii na mingine iliyotolewa katika Tini za MA10 wasambazaji wa maazimio ya serikali hadi kuwa wabia kuhusu kilimo, uhakika wa chakula na maendeleo vijijini wa jumuiya, bado kwa kiasi kikubwa hazijajipa jukumu la inajibu mswali matatu yaliyoulizwa mwanzoni mwa kuelewa au la kutathmini maarifa asilia. makala hii: mchango wa MA katika uhakika wa chakula Mazingira ambayo ni mazuri kwa ukadiriaji na ukuzaji na kipato cha vijijini, vichocheo vya mchakato wa wa matumizi ya maarifa asilia sio tu kwamba uvumbuzi vijijini na masharti ya uwezeshaji. Mchango ambao hutokana na maarifa asilia na ubunifu wa wakulima katika mazingira ya Uingizaji wa MA katika matriksi ya NARO uhakika wa chakula ni mkubwa. Jedwali Ainisha tatizo hapo chini linaonyesha mambo muhimu Fafanua hatua ya kuchukuliwa yanayohusu chakula cha uhakika— uwepo, upatikanaji na utumiaji—pamoja na vikorombwezo vyake ambavyo vina- Je MA inahusiana na tatizo Aainisha na jaribisha liliopo? Hapana marifa ya nje yanayofaa weza kunufaishwa na mchango wa MA. Majadiliano ya Tini za MA kuhusu kilimo na uhakika wa chakula—au Ndio shughuli za kuendesha maisha vijijini kwa jumla—zinaonyesha kuwa msukumo wa msingi kwa mabadiliko ya wenyeji ni Je MA inafaa na ina utatuzi wa kudhoofika kwa misingi ya rasilimali kudumu? Ndio Pendekeza na kuza MA asilia (kutoweka kwa makazi asilia, kutoweka kwa misitu, na kuchakaa kwa udongo), kushuka kwa uzalishaji wa Hapana kilimo, kupuuzwa kwa mbinu za wenyeji za kilimo, na migogoro juu ya upatikanaji Je MA iliyopo inaweza Jaribu maarifa mbadala na utumiaji wa rasilimali asilia. Uende- kuboreshwa na ikafaa vizuri Hapana ya nje yanayofaa levu wa kiikolojia wa mbinu zilizobo- reshwa umekuwa msingi wa aina nyingi za uvumbuzi. Ndio Wakati ambapo mifano iliyotolewa haisadifu tathmini ya matokeo ya muda Fafanua mrefu ya MA katika upatikanaji shughuli Thibitisha za kuendeshea maisha, matokeo ya muda Pendekeza MA yaliyoboreshwa mfupi na ya kati ni dhahiri katika mifano yote. Washika usukani wa ubunifu na mabadiliko kwa kiasi kikubwa ni watu Tumia na himiza matumizi ya MA yaliyoboreshwa binafsi, aghalabu wakijishughulisha wao 28 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia yanawezesha asasi kutumia MA kwa njia inayofaa na ya Utafiti wa kilimo na maendeleo vijijini vinakabiliwa na ufanisi zaidi, bali pia huionyesha jamii kwamba michango mahitaji kinzani ya aina mbili pale vinapokabiliana na yao katika sayansi na teknolojia ina thamani na bila changamoto ya kuvihusisha na maarifa asilia. Watu shaka kuchochea zaidi udadisi wa kibunifu. Kwa mfano, wengi wenye maarifa asilia ni wa kizazi cha zamani na Shirika la Taifa la Utafiti wa Kilimo (NARO) nchini wataondoka na maarifa hayo pale watakapofariki. Na Uganda hivi karibuni limebuni mkabala wa kuingiza wakati huohuo, maswala ya kuchangia uondoshaji wa maarifa asilia katika shughuli zake katika uungaji mkono umaskini na uzuiaji wa upungufu wa chakula mara wa Programu ya Taifa ya Kuasirisha Kilimo. Kwa nyingi huhitaji suluhisho zenye kuhusisha mambo mengi. kutumia matriksi sahili, lakini yenye kufaa, ya mtiririko Shughuli nyingi za MA huendeshwa katika maeneo wa maamuzi, jitihada za wenyeji huchekechwa na ama mahususi na haziwezi kupanuliwa kirahisi kabla ya kusambazwa kwa ajili ya kufanyiwa utafiti zaidi au kuhakikishwa kuwa zina manufaa. Kwa hali hiyo utafiti kukataliwa. Kwa msingi wa matriksi hiyo, asasi inaweza utakabiliwa na uamuzi wa ama kubainisha shughuli kuamua kwa haraka mahali pa kuingiza rasilimali, nyingi kadri iwezekanavyo au kuchagua, huku kukiwa na mahali pa uhusiano na wahitaji na mahali pa kutoa hatari ya kuziacha zilizo nzuri zaidi, shughuli chache kwa ushauri dhidi ya mila potofu za wenyeji. ajili ya kuziendeleza na kuzihifadhi kwa lengo la Mkabala wa Shirika la Taifa la Utafiti wa Kilimo (kwa kuzisambaza na kuziendeleza. Pamoja na hivyo, kushirikiana na wahusika wengine nchini Uganda) uendelezaji wenye ufanisi unawezekana (kwa mfano umeanzisha mchakato unaochochea utafiti na matumizi Kenya inakuza mimea michache ya dawa na manukato ya maarifa na ubunifu asilia pamoja na maendeleo yake kwa matumizi ya viwanda na biashara), hasa pale ya baadaye. Katika muktadha wa mkakati wa kitaifa wa ambapo sekta binafsi inaweza ikahusika katika uwekezaji maendeleo endelevu ya MA na uingizwaji wake katika unaohitajika. Hata hivyo, hii yaweza isiwe njia tosha ya mchakato wa kitaifa wa uondoshaji umaskini, Uganda kuzuia kutoweka kwa mazao na mboga23 zenye matumizi inatoa kielezo cha namna ya uhamasishaji wa watendaji machache au ambazo matumizi yake hayajagundulika. na watafiti katika ukuzaji na usambazaji wa utendaji asilia. Wakati huohuo sheria imetungwa ambayo itawalinda wabunifu wa maarifa asilia. Jumuiya hupanua msingi wa maarifa Miundombinu ya usafiri na simu hatimaye inaenea hata Changamoto katika maeneo ya ndani kabisa ya vijijini katika Afrika. Hali hii inazipa jumuiya hizo nafasi ya kuanza kushiriki Wakati ambapo bioteknolojia inaendelea kuchukua nafasi pamoja na jumuiya nyingine katika uchangiaji wa muhimu na kujenga matumaini ya kuongeza uzalishaji matatizo, uzoefu na masuluhisho na kwa pamoja kujenga katika ardhi chakavu na bila kutegemea sana dawa za mwega wao wenyewe wa maarifa. Katika Afrika ya Kusini kuulia wadudu, jumuia na watendaji wa vijijini, hususan kikundi cha Rooibos cha wakulima wa chai walitembelea katika Afrika, bado wataendelea kutegemea teknolojia ya kikundi kingine kujifunza kushua masoko. Kutokana na kawaida kwa siku za usoni. Watafiti na watendaji ziara hiyo kikundi hicho kiliunda ushirika wa wakulima, wanaendelea kuzifanyia marekebisho teknolojia hizi. Ili kikaboresha mfumo wake wa soko, na sasa kinauza chai kubainisha na kutumia maarifa asilia katika uboreshaji Ulaya, na kujiongezea kipato. Watendaji kutoka Afrika wa teknolojia hizo, watafiti na wadau wengine hawana Masahriki na Asia Kusini walikutana katika mabadi- budi kupiga hatua moja zaidi kuelekea maarifa asilia. lishano ya kikanda kufunzana juu ya uhifadhi na ukuzaji Watafiti na watunga sera hawana budi kufahamu fika wa miti ya dawa.24 Watafiti, mawakala wa ugani na watoa kuwa shughuli za kuendeshea maisha ni zaidi ya maswala huduma wengine wa vijijini wanaweza kuzisaidia ya utamaduni pekee. Badala yake iko haja ya kutambua jumuiya katika kutafuta jumuiya nyingine kwa ajili ya kuwa utendaji wa wenyeji ni matokeo ya majaribio ushirikiano, utafiti unaweza kujenga mahusiano baina ya yaliyochukua muda mrefu (na yanayoendelea) katika watendaji, ukahusika katika majaribio yanayosimamiwa mazingira yasiyo rasmi. Watendaji hawa wenyeji kwa na wakulima na ukasaidia katika mawasiliano ya mbali. kiasi kikubwa hawakuingiza itifaki katika matokeo ya Mfano ufuatayo unaonyesha jinsi jumuia zinavyoweza utafiti wao na kwa sababu mbalimbali wamekuwa kuhifadhi maarifa yao zenyewe na namna teknolojia ya wakiyatumia matokeo wao wenyewe bila ya kuwa na habari ilivyozisaidia jumuiya kusambaziana uzoefu. utaratibu wowote wa kuyasambaza nje ya jamii zao. Mradi wa Maendeleo ya Kilimo wa Milima ya Uluguru (UMADEP) nchini Tanzania umebuniwa kuwashirikisha 29 wakulima wenyeji katika uhifadhi wa maarifa asilia juu 1 Kutoka nje sio kwa maana ya misaada ya nje ya maendeleo bali kwa maana ya nje ya mfumo wa uzalishaji wa wenyeji, km. mbolea ya Uhifadhi wa Mazao Asia (NCP). Kisha wakulima za chumvichumvi badala ya mboji iliyotengenezwa shambani husambaza maarifa hayo kwa wenzao kwa kutumia 2 Sera za kuwezesha huhusisha mambo mengi zaidi ya teknolojia na mafunzo na warsha ambazo huwavutia wengi na zenye uchumi wa uzalishaji chakula—ama kwa ngazi ya kujikimu au ya manufaa katika mazingira husika.25 Mkabala huu biashara. Mambo mengine ni pamoja na akiba ya chakula, msaada wa chakula na bei ya chakula, utafiti, huduma za ugani, na huhusisha jumuiya ya eneo husika katika mchakato kukabili changamoto za utandawazi wa teknolojia ya chakula, mzima wa ukusanyaji, uhifadhi na usambazaji wa biashara na ushindani na uharibifu wa soko unaosababishwa na maarifa. ruzuku katika nchi za viwanda. 3 “Inafahamika, kwa mfano, kwamba Monsanto, kampuni la kimataifa la sayansi-uhai lenye makao yake makuu huko Missouri, lina bajeti ya utafiti na maendeleo ambayo ni mara mbili zaidi ya Hitimisho bajeti ya R&D ya mtandao wa dunia nzima wa sekta ya taasisi za utafiti wa umma” J. Sachs, 1999 Mifano ya Tini za MA iliyojadiliwa hapo juu inadhihirisha http://www.cid.harvard.edu/cidinthenews/article/sf9108.htm 4 GFAR (Foramu ya Dunia kwa ajili ya Utafiti wa Kilimo) hivi kuwa jumuiya za vijijini zinaelewa fika maswala karibuni ilizindua tovuti ya maswala ya spishi ambazo hazitumiki yanayohusu njia zao za kujitafutia maisha. Hubadili kikamilifu http//www.underutilizes-species.org/ maarifa asilia kwa lengo la kufanyia mageuzi asasi za 5 Tini za MA 47 kimila na kuzalisha rasilimali zinazohitajika kwa ajili ya 6 Mjetrofa ni mmea wenye matumizi mengi. Wakulima wa Uganda huutumia kama kizuio cha mimia ya vanila. Jumuiya za wenyeji ushughulikiaji wa maswala mahususi ya jumuiya. huutumia mmea huu kwa matumizi ya aina mbalimbali ikiwa ni Serikali mbalimbali pamoja na wabia wa maendeleo pamoja na utengenezaji wa mapambo. zinaweza kutoa mchango muhimu katika kusaidia 7 Kwa taarifa, mmea wenye matumizi mengi kuliko yote ni mnazi ambao hutumika kwa lishe, afya, kujengea, usafiri, kazi za sanaa, uanzishaji wa utaratibu kwa ajili ya uhifadhi, nzuri, na nyingine nyingi. Hata hivyo, kama ilivyo kwa mimea uthibitishaji, usambazaji, ubadilishanaji na uingizaji wa mingine, utafiti wa mnazi umejikita zaidi katika uzalishaji wa maarifa asilia katika mchakato wa maendeleo ya taifa. mafuta yake, hapa ndipo ambapo mnazi hukabiliwa na ushindani mkubwa kuliko yote kutoka kwa mimea mingine. Hatimaye, mafanikio ya aina mbalimbali yanaweza 8 Tini za MA 49 kuletwa na misaada ya aina hii ya kiasasi na kifedha 9 Tini za MA 48 inayotolewa na serikali pamoja na mawakala wa 10 Tini za MA 2, 4, 24, 43, 44, 45, 49 maendeleo kwa lengo la uendelezaji wa juhudi za jumuiya 11 Tini za MA 2, 4, 44, 45, 58 12 Tini za MA 23, 24, 43, 47, 58 ya kujitafutia maisha zinazotokana na wenyeji. 13 Tini za MA 47 14 Tini za MA 2, 8 15 Tini za MA 9, 15, 19, 23, 27, 28, 34, 43, 57, 58 16 Tini za MA 6 17 Tini za MA 47 18 Tini za MA 44, 47 52 19 Tini za MA 36 20 Tini za MA 14, 36, 39, 49, 54 21 Tini za MA 39, 44 22 Tini za MA 15, 26, 30, 32, 35, 37, 41, 51, 52, 54 23 Kama ilivyofafanuliwa katika Tini za MA 44, ziko aini nyingi za mimea ambazo hazitumiki, na hazilimwi ambazo hutumika wakati wa dharura. Mimea ya aina hiyo haijatumika wala kutafitiwa ipasavyo. Wakati ambapo katika mazingira ya kawaida, watu hula tu vyakula vikuu, mimea hii ya ‘akiba’ inaweza kuwa na sifa ambazo zinaweza kugunduliwa zaidi 24 Tini za MA 55 25 Tini za MA 34 7. Maarifa Asilia na Usimamizi wa Rasilimali za Asili Achim Steiner Gonzalo Oviedo Kwa kipimo cha yaliyomo katika Tini hizi za MA ni dhahiri kwamba sasa hivi umuhimu wa maarifa asilia katika maendeleo na mazingira unaendelea kutambulika miongoni mwa watafiti na watendaji. Uzoefu wa kiutafiti na wa kiutendaji kutoka duniani kote, na labda hasa kutoka Afrika, unaonyesha kuwa si tu kwamba maarifa asilia yamekuwa na mchango muhimu katika maendeleo ya tamaduni za wenyeji na katika mabadiliko yanayoendelea kuzikumba Achim Steiner, ni Mkurugenzi Mkuu wa tamaduni hizo kwenye mazingira yao, bali pia zimekuwa na mchango muhimu IUCN—Umoja wa Wahifadhi Duniani, sana kwa mambo yanayofanyika nje ya ulingo wa jumuiya zinazoyabuni. Gland, Uswisi Uanzishwaji wa Programu ya Maarifa Asilia na Benki ya Dunia lilikuwa jambo jema kwa IUCN—Umoja wa Wahifadhi Duniani, ambao ulishaanza Gonzalo Oviedo, ni Mshauri Mkuu wa kujishughulisha na maswala ya maarifa asilia katika Kusini mwa Afrika tangu Sera za Kijamii wa IUCN. Taarifa kwa mwanzoni mwa miaka ya 1990. Leo hii IUCN bado inajishughulisha na maswala ajili ya makala hii zimetolewa na Ofisi ya maarifa ya asili ya kiikolojia katika eneo hilo, kupitia Ofisi yake ya Kanda kwa ya Kanda ya IUCN kwa nchi cha Kusini nchi za Kusini mwa Afrika, pia na duniani kote, na imeunganisha vizuri mada mwa Afrika (ROSA) zinazohusiana na maarifa na jumuiya za wenyeji katika programu zake za dunia. Afrika ni bara tajiri kwa rasilimali za asili, kama vile misitu, ardhi tepe, wanyama pori, madini, uvuvi, na nyingine nyingi. Mifumo yenye ufanisi ya usimamizi inaweza kuhakikisha kuwa rasilimali hizi sio tu kwamba zinaishi bali pia zinaongezeka huku zikiwa zinatumika kiadilifu, na kwa hali hiyo kujenga msingi kwa ajili ya maendeleo endelevu na kwa uchumi imara wa taifa. Kwa kipindi kirefu rasilimali za asili zimekuwa sehemu muhimu ya lishe ya binadamu, uchumi na utamaduni. Kwa watu wanaoishi kando ya misitu, mimea na wanyama huwapatia chakula, dawa, ngozi, mahitaji ya ujenzi, kipato, na ni chimbuko la kujituma. Mito huwapatia usafiri na samaki, na maji na udongo huwapatia njia za kudumisha maisha yao. Zipo kumbukumbu tosha za kudhihirisha kuwa jumuiya za asili hujenga utambulisho wao wa kijamii na kiroho kutoka kwenye ardhi. Heshima ya ardhi ilitokana na matumizi yake. Shughuli za asili zilijikita kwenye ufahamu wa kuishi kirafiki na mazingira, ambao ulisababisha kuweko kwa shughuli na matumizi endelevu. Kijadi matumizi ya rasilimali yalifanywa kulingana na maadili ya kijadi. Katika nchi zinazoendelea, matumizi ya rasilimali za asili kama vile wanyama pori ni ya lazima kwa ajili ya kuboresha maisha ya watu wa nchi hizo. Kwa karne nyingi, njia za maisha katika nchi hizo zimekuwa na utaratibu wa kuhifadhi au kuhakikisha 30 31 rasilimali ziliheshimiwa kama sehemu muhimu ya Usimamizi endelevu wa wanyamapori maisha ya kila siku. Rasilimali zilikuwa mali ya jumuiya Katika Barotseland huko kwenye Bonde la Mto na kwa hiyo jumuiya ilizitumia huku ikiwa inatafakari Zambazi katika Afrika ya Kusini, ilikuwa mwiko kuua maslahi ya vizazi vijavyo. Chini ya utaratibu wa kijadi wa mnyama jike mwenye uwezo wa kuzaa. Wanyama usimamiaji rasilimali urithishaji kwa vizazi vijavyo waliouliwa walikuwa wa kiume na wale waliozeeka. ulikuwa jambo lililokubalika. Spishi fulani za wanyama hazikuruhusiwa kuwindwa Kwa kawaida jumuiya zilirithisha maarifa yao ya asili juu katika majira fulani (kama vile majira ya kuzaliana), ili ya usimamiaji wa rasilimali kwa vizazi vijavyo kwa njia ya kuepuka hatari ya kuangamiza rasilimali hiyo. Mfumo masimulizi. Kuendelea kuwepo kwa amali za jumuiya hizo huu unafanana na ule wa kuvuna wanyama pori kwa kulitegemea kwa kiasi kikubwa utaratibu wa kurithishana utaratibu maalum wa kuchagua ili kudumisha uende- maarifa. Kwa hali hiyo kuweko kwa udumishaji na levu. Jumuiya zilikuwa na uwezo wa kuhakikisha kuwa urithishaji wa maarifa hayo pamoja na utamaduni wake rasilimali ya wanyamapori inaongezeka, na wakati kutoka kizazi kimoja hadi kingine na kuyachuja vizuri kwa huohuo inawapatia protini ambayo haikupatikana kuyaweka kwenye matendo yenye manufaa kijamii na mahali pengine katika mazingira yao ambayo haya- kiuchumi ndizo hasa sababu za msingi za kuwepo na kuruhusu ufugaji wa ng’ombe kutokana na kuweko kuendelea kukuwa kwa utamaduni wa jumuiya hizo. kwa mbung’o. Kwa Wabarotse, kama pia ilivyokuwa Endapo shughuli za kijadi hazitakuwa na manufaa na kwa Wabemba wa Jimbo la Luapula huko Zambia, motisha ya kiuchumi, baadhi ya maendeleo na matumizi kulikuwa na utamaduni wa kutoruhusu uvuvi wa vitasababisha kutoweka kwa maarifa na taratibu zenye samaki wadogo sana. Jumuiya zilizingatia misimu ya kuzingatia uendelevu. Chitemene ni mfumo wa kilimo uvuvi hasa kwa njia ya sherehe za kijadi ambazo kwa kinachotumia maarifa ya wenyeji ambao uko hatarini kawaida ziliashiria mwanzo wa kipindi mahususi cha kutoweka. Hii ni kwa sababu jumuiya za wenyeji katika msimu wa uvuvi. Taratibu za namna hii zilihakikisha Majimbo ya Kaskazini, Luapula, Kaskazini–Magharibi, kuwa matumizi ya rasilimali yanakuwa endelevu. na Kati huko Zambia ambazo hutumia mfumo wa ‘chitemene’ hazina motisha ya kuendelea na mfumo huo. Sheria ya Misitu imetenga maeneo makubwa ya ardhi matumizi endelevu ya rasilimali za aina hiyo kwa njia ya kama hifadhi ya misitu isiyoruhusiwa kutumiwa na miiko au heshima (tazama boksi) jumuiya za wenyeji. Na zaidi, sheria hiyo imepiga Kwa mfano katika Barotseland huko kwenye Bonde la marufuku au kupinga mfumo wa kilimo wa chitemene, Mto Zambezi katika Afrika ya Kati, lilikuwa kosa kubwa ambao wataalamu wa serikali waliuchukulia tu kirahisi sana kuua mnyama anayeweza kuzaa. Wanyama waliouli- kama mbinu ya kilimo cha kukata na kuchoma. Hata wa walikuwa wa kiume na wale waliozeeka. Spishi fulani za hivyo chitemene ulikuwa mfumo muhimu sana kwa ajili wanyama hazikuruhusiwa kuwindwa katika majira fulani ya kilimo cha kijadi cha mazao ya kujikimu ambacho (kama vile majira ya kuzaliana), ili kuepuka hatari ya kuzi kimedumishwa kwa karne nyingi. angamiza. Mfumo huu unafanana na ule wa kuvuna Leo hii kutokana na ongezeko kubwa la watu pamoja na wanyama pori kwa utaratibu maalum wa kuchagua ambao uhaba wa ardhi uliotokana na uzuiaji wa ardhi kwa matu- huhakikishia uendelevu. Jumuiya zilikuwa na uwezo wa mizi ya umma mfumo wa chitemene umepoteza umaarufu kuhakikisha kuwa rasilimali ya wanyamapori inaongezeka, kutokana na upungufu wa ardhi ambayo ingetumika kwa na wakati huohuo inawapatia protini ambayo haikupatika- kilimo cha mzunguko. Kwa kawaida wanavijiji walifyeke na mahali pengine katika mazingira yao ambayo hayakuru- maeneo yaliyoachwa hadi yakawa mapori ya muda mrefu husu ufugaji wa ng’ombe kutokana na kuweko kwa mbu- kabla ya kupanda, lakini sasa maeneo huachwa kwa muda ng’o. Kwa Wabarotse, kama ilivyokuwa pia kwa Wabemba wa miaka mitano tu au sanasana miaka kumi. Hapo wa Jimbo la Luapula huko Zambia, kulikuwa na utamaduni mwanzoni aina mbalimbali za mazao zilizolimwa wa kutoruhusu uvuvi wa samaki wadogo sana. Jumuiya zilipunguza uwezekano wa kukosa kabisa mavuno na zilizingatia misimu ya uvuvi hasa kwa njia ya sherehe za kuongeza aina ya vyakula katika lishe. Upandaji wa mazao kijadi ambazo kwa kawaida ziliashiria mwanzo kipindi ma- mchanganyiko na upumzishaji wa ardhi vilidumisha ubora hususi cha msimu wa uvuvi. Taratibu za namna hii ziliha- wa ardhi na kuongeza mazao. Sasa hivi kutawala kwa kilimo kikisha kuwa matumizi ya rasilimali yanakuwa endelevu. cha biashara kama kinavyohimizwa na baadhi ya sera za Katika jumuiya hizi iliwezekana kufanya mgawanyo wa umma kunasababisha kuanguka kwa mifumo ya kijadi ya kuridhisha wa kipato baina na kati ya vizazi kwa sababu 32 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia kilimo. Hali hii inasababisha kumomonyoka na kupotea kwa • Sababu za ndani na za nje zimesababisha kumomonyoka maarifa asilia katika maeneo hayo. hatua kwa hatua maarifa na taratibu asilia; mahitaji mapya yameibuka na kusababisha shinikizo katika mifumo asilia ya usimamiaji; upatikanaji wa ardhi na MA na maswala ya kiimani rasilimali umepungua kutokana na ongezeko la watu na ushindani na watumiaji wengine,4 ambavyo vimesa- Karibu nusu ya Tini za MA zinazohusu rasilimali za asili babisha kupungua uwezo wa mazingira asilia wa kuipatia zinaonyesha kuwa imani imekuwa na nafasi kubwa katika jumuiya shughuli za kuendeshea maisha. Katika mifano usimamiaji wa rasilimali hizo.1 Mbinu asilia za kulinda mingi, hali hii imeziingiza jumuiya katika migongano ya vyanzo vya maji huko Forikrom Ghana, ambapo taratibu za kimatakwa iliyosababisha kuvunjika kwa asasi za kijadi.5 kupata na kutumia maji zimekitwa katika imani ni mfano • Nguvu zinazoimbuka—kama vile vijana na vikundi vya mmoja wa matumizi ya imani katika kulinda rasilimali wanawake vilivyowezeshwa, zikisaidiwa na vichocheo asilia.2 Kwa jumuiya nyingi za wenyeji, dunia hii na rasi- vya nje—zinaingiza maarifa na taratibu mpya kwa njia limali zake ni vitu vitakatifu vyenye kustahili kuheshimiwa ya mikabala ya vikundi ambayo inakwenda mbele zaidi sana. Hali hii mara nyingi husababisha kuundwa kwa ya asasi za kijadi.6 mifumo iliyojikita katika kaida na asasi za kiimani kwa ajili • Nguvu hizi zinazoibuka zinapambana kufanikisha lengo la ya kusimamia rasilimali muhimu na nyeti za asili. msingi: kufanya maarifa asilia na kanuni za kijadi kuwa asa- Moja ya asasi muhimu sana zilizotokana na maarifa na si za kisheria zinazokubalika serikalini na kwa jamii yote.7 taratibu asilia ni maeneo matakatifu ya asili. Miiko na kanuni za usimamiaji za kijadi kwa kawaida haziruhusu Hivyo Tini za MA zinatoa funzo muhimu linalopaswa baadhi ya mambo kufanyika au baadhi ya watu kufika kutafakariwa. Ili maarifa asilia yaweze kudumu kama katika maeneo hayo. Maeneo mengi matakatifu yamedumu sehemu muhimu ya maisha ya jumuiya na mbinu ya kwa karne nyingi hali ambayo imeyageuza kuwa hifadhi ya kujipatia maisha, ni lazima maarifa hayo yaingizwe bioanuai. Aidha, maeneo hayo hutumika kama utambulisho katika muktadha wa mabadiliko ya sasa ya kijamii, wa koo au kabila na yana nafasi muhimu katika utamaduni kiuchumi na kitamaduni, na yaweze kuhimili vishindo na mtindo wa maisha wa jumuiya asilia. vya kuingizwa katika mazingira mapya. Ili jambo hili Hata hivyo serikali na mawakala wa hifadhi, sera na lifanikiwe, mikabala miwili inaonekana kuwa ni muhimu: sheria vimepuuza na kudharau mchango wa maeneo • Uunganishaji wa maarifa asilia na sayansi, vikipewa matakatifu katika uhifadhi. Wakati ambapo mbinu za umuhimu sawa katika ngazi ya jumuiya na vikifanya hifadhi zilizotokana na jumuiya zililinda maeneo kazi kwa kukamilishana. matakatifu hapo nyuma, sasa hivi jumuiya za wenyeji • Uunganishaji wa asasi na taratibu za kijadi na miundo zinazidi kusukumwa na nguvu za kisiasa na kiuchumi na kanuni rasmi ili kujenga msingi mpya imara wa ambazo hawana uweza wa kuzidhibiti. Bila ya kuweko maarifa asilia na kuifanya jamii pana itambue kwa uhakika wa upatikanaji wa ardhi na nafasi ya umuhimu na mchango wake. “Changamoto … ni namna kushiriki kikamilifu katika maamuzi yanayowagusa wao ya kuunganisha mifumo ya kijadi ya kaida na imani na matumizi ya ardhi yao, ni muhali kwa jumuiya za asili katika mfumo wa utawala wa kawaida na kujenga kuweza kudhibiti ardhi na rasilimali zake kikamilifu. mambo mapya yanayokubalika kwa pande zote na utamaduni mpya wa usimamiaji wa rasilimali za asili.”8 Uingizaji wa MA katika mazingira yanayobadilika Moja ya mambo mazuri sana yaliyoibuliwa na Tini za MA MA kama yanavyoonekana katika maeneo mengi yanayohusiana na usimamizi ya Katika dunia ya sasa yapo mambo mengi yanayotokea rasilimali za asili ni matumizi ya MA katika mazingira ya kinyume katika historia ya maarifa asilia. Moja ya mabadiliko ya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni. Hadithi mambo hayo kwamba karne nyingi zilizopita jumuiya za mafanikio kuhusu matumizi ya maarifa asilia katika zilitenga maeneo ya hifadhi au ya asili kwa kuyalinda kwa kushughulikia changamoto halisi za mabadiliko ya kima- kutumia kanuni kali za kiimani. Katika enzi ya sasa zingira hubainisha kwamba dhima ya MA ina sifa zifuatazo: maeneo ya hifadhi yaliyotengwa chini ya taratibu zisizo • Baadhi ya mambo katika maarifa asilia kama za kiimani za Hifadhi ya Yellowstone huko Marekani kwa yalivyohifadhiwa na wazee na asasi za kimila, wakati kiasi kikubwa yanafanana na ardhi na rasilimali za mwingine yakihusishwa na itikadi ya kiimani, jumuiya za kijadi. Hata hivyo, mara nyingi kanuni yamefanya kazi kwa ufanisi kwa kipindi kirefu.3 zinazinyima jumuiya za kijadi zilizomo humo haki ya 33 kutumia ardhi au rasilimali, na hata wakati mwingine Kwa kuongozwa na sera, mtazamo na malengo yake kuzifukuza au kuzichukulia kama wavamizi. Kwa bahati yenyewe, IUCN imejitolea kikamilifu kusaidia uhifadhi, nzuri leo hii dunia inatambua umuhimu wa kubali sera ufufuaji na utumiaji wa maarifa asilia katika kuhifadhi na taratibu za maeneo ya hifadhi ili kutoa kipaumbele bioanuai, na katika matumizi endelevu, chini ya utaratibu kwa mahitaji na haki za jumuiya za wenyeji. Hii ni wa fursa sawa na uzingatiaji wa tofauti za kitamaduni, pamoja na kurejesha hadhi kwa maarifa asilia ya wenyeji kama ilivyofanyiwa marekebisho na Mkutano wake na kuyaingiza katika usimamizi wa maeneo ya hifadhi.9 Mkuu. Kwa kumalizia hili, IUCN hufanya kazi pamoja na Jambo lingine lilio kinyume, ambalo matokeo yake ni jumuiya za wenyeji pamoja na asasi zao, na kujenga ubia karibu sawa au mabaya zaidi, ni ukweli kwamba, maarifa na wahusika wengine wa kitaifa na wa dunia. asilia—ambayo kwa kawaida hutazamwa kama ujinga na Bado tunayo nafasi ya kuokoa moja ya hazina kubwa ushirikina—yamesaidia katika kunufaisha kwa kiasi kabisa ya matunda ya akili ya binadamu—hazina ambayo kikubwa viwanda vya kibioanuai. Kiwanda cha dawa, yaweza kuwa imebeba utatuzi kwa matatizo dunia ya kwa mfano, kimezalisha dawa kwa ajili ya masoko ya sasa na ya baadaye. Sote hatuna budi kujitolea kwa ajili dunia nzima kutokana na mimea au wanyama ambao ya utekelezaji wa jambo hilo. uwezo wao wa kitiba ulianza kugunduliwa na jumuiya za 1 Tini za MA 4, 46, 48. kijadi. Vivyo hivyo kwa kiwanda cha vyakula. Mara 2 Tini za MA 4. chache sana waganga wa kijadi na jumuiya za wenyeji 3 Tini za MA 4, 46, 48. zinazotoa maarifa hayo zimeweza kulipwa mirabaha ya 4 Tini za MA 23, 46, 48. 4 Tini za MA 23, 45. kutosha kutoka kwa viwanda hivyo. Wakati huohuo 6 Kinaweza kuwa kikundi cha vijana kinachofanya kazi zinazohusiana ufukara katika jumuiya hizo umezidi kuongezeka. na mazingira, kama vile “Mobisqud” huko Forikrom, (Tini za MA 4) Mkataba wa Bioanuai ulianzisha mjadala na hatua au cha wanawake kama vile Umoja wa Wanawake wa Popenguine wa Kulinda Mazingira huko Senegali (Tini za MA 8) au kamati za kuhusu maswala yanayohusu matumizi mapana ya wazalishaji kama vile Kamati ya Uongozi ya Mussel Rocks ya maarifa asilia au ya kijadi nje ya jumuiya za wenyeji Zimelene, Msumbiji(Tini za MA 46). zilizoyagundua. Serikali na Jumuiya za kiraia zinatakiwa 7 Hili wakati mwingine huhusisha majadiliano na mamlaka ambayo kutazama maswala kama vile: Kimsingi ni nani kwa kawaida huwa marefu, magumu na ya kukatisha tamaa, kutokana na mamlaka kutokuwa tayari kuridhia kauli za jumuiya. anayestahili kunufaika na maarifa hayo? Je matumizi ya 8 Tini za MA 46. maarifa hayo kibiashara yatiliwe mkazo au la? Ni nini 9 Huu ulikuwa ujumbe mzito ulitolewa na Mkutano Mkuu wa Maeneo jukumu la serikali. Makala haya hayana dhamira ya ya Hifadhi Duniani ulioandaliwa na IUCN mwaka 2003, huko Durban, Afrika Kusini, mwezi wa Septemba. Mikutano ya aina hiyo kujadili mambo haya kwa undani. Tunaamini katika ambayo hufanyika mara moja kwa kipindi cha miaka kumi manufaa na thamani ya maarifa asilia katika usimamiaji hukutanisha pamoja asasi na wataalamu na kuwapa nafasi ya wa rasilimali za asili, na kwa hali hiyo msimamo wetu ni kujadili pamoja uzoefu wao na kupendekeza mikabala na hatua za kuchukuliwa kuimarisha dhima ya maeneo ya hifadhi katika kuwa matumizi mapana ya maarifa hayo yatakuwa na kulinda bioanuai. manufaa makubwa kwa dunia yote; lakini fursa sawa na haki ni mambo ya msingi katika kushughulikia swala hili. Jambo la mwisho katika makala hii ni kuhusu changa- moto kubwa ya kuhifadhi maarifa asilia. Katika hali ya ku- wepo kwa nguvu kubwa za mabadiliko ya kiutamaduni, maarifa asilia yanakabiliwa na hatari kubwa. Maarifa asilia kama yalivyosisitizwa katika ufafanuzi uliotolewa kwenye Programu ya Maarifa Asilia kwa Maendeleo pamoja na uzoefu ulioonyeshwa katika Tini za MA, kwa kiasi kikubwa hayajawekwa kwenye maandishi, huhifadhiwa kichwani na kutolewa kwa masimulizi au kwa kutumia mfano. Kwa siku hizi, maarifa yenye sifa za aina hii sio rahisi kudumu. Bila shaka kiasi kikubwa cha maarifa asilia duniani yatatoweka katika miongo michache ijayo kama hayataimarishwa kwa katika hali itakayoyawezesha kuhimili mikikimikiki ya mabadiliko ya kiutamaduni. Hili linahitaji ubunifu mkub- wa, hatua za ubunifu ambazo zitajali mahitaji na haki za jumuiya, na kujitolea kwa bidii kwa asasi zote muhimu za— kielimu, kimazingira, ushirikiano wa maendeleo na fedha. 8 Maarifa Asilia na Sayansi na Teknolojia: Mgongano, Ukinzani na Utangamano? Sibusiso Sibisi Leo hii maarifa asilia yanachukuliwa kuwa yenye manufaa katika nyanja za maendeleo ya kijamii na ya binadamu. Aghalabu mchango wake katika sayansi na teknolojia ama hupuuzwa au haufahamiki. Kwa mfano wafugaji wa Kimasai huchanja mifugo yao kwa kutumia povu la mate ya ng’ombe ambao ndio tu wamepona. Vivyo hivyo wakunga wa Kiingereza walihifadhi mkate wao wa kusubia pamoja na vifaa na nguo za kuzalishia. Kinyume Dkt Sibusiso Sibisi, ni Rais na Mtendaji chake, Pasteur alitambuliwa kwa kuwa mstari wa mbele katika ugunduzi wa Mkuu wa Baraza la Utafiti wa chanjo na Fleming naye kwa kugundua penisilini. Kisayansi na Kiviwanda (CSIR) Afrika Kwa karne nyingi, jumuiya za wenyeji zimekuwa zikitegemea maarifa na Kusini utaalamu asilia katika kukabiliana na changamoto za mazingira magumu: ukame wa muda mrefu, mafuriko, wadudu wa maradhi, au udongo chakavu. Wakulima walijijengea utaratibu wao wa kubashiri mvua kwa kutazama mwenendo wa mawingu, tabia za kuhama kwa ndege, pepo za msimu na matukio mengine ya kimsimu. Aidha wakulima walibuni mifumo changamano ya matumizi endelevu ya ardhi. Kutokana na hali hiyo, MA iligeuka kuwa sayansi na teknolojia ya aina yake, ambapo wakulima na wanajumuiya walikuwa ndio wanasayansi na wagunduzi—wakichunguza, wakifikia mahitimisho na wakichukua hatua za utekelezaji. Katika Bukinafaso wataalamu wa hali ya hewa sasa hushirikiana na wakulima katika kufanya utabiri wa hali ya hewa.1 Sayansi na teknolojia ya sasa imesaidia kuongeza uhakika wa kupatikana kwa chakula na uzalishaji wa kilimo duniani kote kwa kutumia aina ya mbegu zenye uwezao wa kutoa mazao mengi. Nyakati fulanifulani, mbegu hizi zenye uwezo wa kutoa mazao mengi zilifahamika kama aina ya mbegu inayokubali vizuri: mbegu hizi hukubali vizuri pale tu zinapopata mahitaji yao muhimu ya mbolea, maji na kukingwa vyema dhidi ya wadudu, magonjwa na magugu. Katika maeneo mengi, uzalishaji unaotumia mbegu hizi ulihitaji ujenzi wa mfumo mzuri wa kusambaza pembejeo, kumwagilia, kutoa huduma za ugani, na taratibu nyingine za maswala ya masoko na usindikaji. Kutokuwepo kwa vitu hivi kulisababisha kushindwa kwa mapinduzi ya kilimo katika Afrika kuliko ilivyokuwa katika Asia. Matumizi mabaya ya mbolea na dawa za kuulia wadudu pia yalisababisha uharibifu wa mazingira na madhara ya kiafya. Asasi za utafiti na za tasnia ya kilimo zilitatua tatizo hili kwa kuzalisha aina ya mbegu ambayo haikuwa na 34 35 mahitaji mengi sana, aghalabu uzalishaji huo ulihusisha Changamoto za sayansi ya sasa mbegu zilizotumiwa na wakulima kwa miaka mingi “mbari asilia”. Mifano iliyotolewa hapo juu ni kielelezo cha utajiri wa Pamoja na hivyo, wakulima wengi pia walianza mifumo ya maarifa asilia na mchango wake katika kukabiliana na tatizo hilo. Walirejelea maarifa na sayansi na teknolojia. Misingi ya astronomia, famakolojia, taratibu asilia. Huko Bokinafao wakulima walizuia na hata ya hisabati, teknolojia ya chakula au metalujia mmomonyoko wa udongo kwa kutumia teknolojia ya imetokana na maarifa na taratibu za kijadi. Hata hivyo, zamani ya Zaï au kwa kujenga kingo. Katika kaskazini maendeleo mapya ya sayansi na teknolojia katika kipindi mwa Tanzania na Kenya wakulima wadogowadogo cha miaka 100 iliyopita yamejenga fikra za kudunisha na walirejea kilimo cha mazao mchanganyiko, mfumo wa kudharau jambo lolote lisilotokana na majaribio ya kuchanganya mazao ya kudumu na yale ya muda mfupi kimaabara au na idara za utafiti na maendeleo (R&D). ambao sasa utafiti wa kimataifa umeanza kuutambua Aidha fikra hizo huhusisha mafanikio au ugunduzi wa kwa undani. Pamoja na kwamba mifumo ya kilimo ya kiteknolojia na watafiti wasomi au wahandisi. Swala la namna hii haitoi mavuno mengi kama ile ya zao moja kujifunza kutokana na maarifa asili bado ni la kuwazika inayotumia pembejeo nyingi, mifumo hii haina madhara tu badala ya kanuni. makubwa, ni rafiki zaidi wa mazingira ya wenyeji, na kwa kawaida ni endelevu zaidi. Huko Malawi, teknolojia za Uthibitisho wa kisayansi zamani na sasa za maswala ya usafi wa mazingira, urutubishaji wa ardhi na elimu zinaunganishwa kwa ajili Maarifa asilia na sayansi ya sasa vimeweza kukamili- ya kuendeleza ajenda kwa watafiti na wakulima.2 Huko shana kwa njia mbalimbali; kama livyokwishaonyeshwa Amerika Kusini, wakulima wameonyesha uwezo wao wa kwa upande wa kilimo na huduma za afya. Pamoja na ubunifu kwenye shughuli za maendeleo shirikishi ya hivyo, uthibitishao wa kisayansi bado ni changamoto teknolojia.3 Mtandao wa Nyuki wa Asali huko India kubwa kwa upande wa watendaji wa maarifa asilia. husaidia wabunifu wenyeji pamoja na kuhamasisha Kanuni za afya na itifaki za utafiti huhitaji kwamba ubunifu mbalimbali. matibabu katika tiba au michakato katika taaluma Huduma za afya ni eneo lingine ambalo maarifa asilia nyingine vifafanuliwe bayana na viweze kufanyiwa huchukua nafasi ya dawa za kisasa ambazo ama hazipo uchunguzi wa kina na matokeo yake yasiwe yanabadi- au ni ghali mno. Katika Afrika watu wengi hawafikiwi na likabadilika. Aidha kumbukumbu za ithibati ya ukweli dawa za kisasa na uwiano wa waganga wa jadi na wale wa wa madai yaliyotolewa hazina budi kutolewa kwenye kienyeji ni wa 8 kwa 1. Kutokana na hali hiyo, bado tiba majarida ya kitaaluma. Hata hivyo msingi wa kiasi za jadi zina mchango mkubwa katika huduma ya afya ya kikubwa cha maarifa asilia ni simulizi za kijadi na msingi na waganga wengi wa jadi wamegundua dawa za hayakuhifadhiwa katika maandishi (isipokuwa kwa tiba magonjwa mengi ya kawaida. za jadi za India na China). Kwa kiasi kikubwa maarifa Dunia inafahamu kuhusu kiwango kikubwa cha asilia humilikiwa na wazee katika jumuiya na kwa maambukizo ya VVU/UKIMWI katika Afrika. Hata hivyo kawaida sio kila mtu kwenye jumuiya ana stahili kuwa ni mambo macheche sana yanafahamika kuhusu namna nayo. Kadri lugha nyingi za wenyeji zinavyopotea bila waganga wa jadi walivyogundua dawa za kutibu shaka ndivyo pia maarifa mengi na tamaduni nyingi magonjwa dowezi yanayoandamana na VVU/UKIMWI.4 vinavyotoweka. Hivyo changamoto inayowakabili wana- Kikundi cha Wanaharakati wa Kupambana na Ukimwi sayansi wa sasa na watendaji wa kijadi ni kuziba pengo Tanga (TAWG) ambacho ni mjumuiko wa waganga wa linalogawa dunia zao zinazotofautiana katika mbinu, jadi, madaktari wa kisasa, manesi na waathirika wa ubadilishanaji, uhakikishaji na uthibitishaji na hatimaye UKIMWI kimetibu zaidi ya wagonjwa 400 kwa kutumia utumiaji wa maarifa. mitishamba na kwa maelekezo ya waganga wa jadi. Tiba Ili jambo hili liweze kufanikiwa, jumuiya za hiyo imewawezesha wagonjwa kurejea katika maisha yao wanasayansi na watafiti (pamoja na maeneo yao husika) ya kawaida na hurefusha maisha kwa miaka 5 hadi 10. hazina budi kuunda ushirikiano wa kimkakati wa TAWG kimekusanya taarifa nyingi kuhusu ukusanyaji wa wanasayansi na watendaji wa MA. Jambo hili linahitaji mitishamba, mbinu za kutengeneza dawa, za kutibu na uelewa wa pande zote mbili na uhitaji wa kujifunza za kutambua mafanikio ya tiba. kutoka kila upande. Wanasayansi wanapaswa kuuelewa na kuukubali uhusiano bayana wa MA na mazingira 36 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia halisi. Vivyo hivyo watendaji wa MA wanapaswa kuelewa Shirika la Mali za Kitaalamu la Dunia (WIPO) na kukubali kuwa kuchangia maarifa na kukosoana ni limeshirikiana na vyombo vingine vya Umoja wa mambo ya msingi katika kudumisha na kuendeleza Mataifa(UN) kuzungumzia changamoto hii ya haki ya maarifa yoyote yale. mali za kitaalamu (IPR) kwa ajili ya wataalamu wa Pia juhudi hazina budi kufanyika ili kuimarisha uwezo kijadi.5 Katika mwaka 1992, Makubaliano juu ya Uanuai wa watendaji wa MA wa kuhifadhi vizuri kazi zao ili wa Kibiolojia (CBD) yalilenga swala hili kwa kutambua ziweze kukabiliana na uchunguzi makini wa sayansi ya thamani ya maarifa na rasilimali asilia. Shirika lilibuni sasa. Hili linahitaji rasilimali pamoja na msaada wa mfumo wa kuruhusu upatikanaji wa rasilimali za kijeji na kiufundi kutoka kwa jumuiya ya wanasayansi na kwa mbinu za uchangiaji mzuri na wa fursa sawa.6 Miaka mashirika ya kimataifa. Kwa kuzingatia hili, Programu miwili baadaye, maridhiano yalifikiwa juu ya Maswala la ya Benki ya Dunia kwa ajili ya Maarifa Asilia, iliandaa Kibiashara ya Haki za Mali za Kitaalamu (TRIPS) ya warsha kuwakusanya pamoja watendaji wa maendeleo wa Shirika la Biashara Duniani (WTO). Makubaliano hayo Afrika Mashariki, Wanasayansi wa Taasisi za Afya za yaliweka viwango vya kimataifa vya ulinzi wa msingi wa Marekani, Hospitali ya Chuo Kikuu cha George Haki za Mali za Kitaalamu. Washington na watumishi wa Benki hiyo. Lengo kubwa Shirika la Mali za Kitaalamu la Dunia (WIPO) likiwa ni kujifunza kutokana na shughuli za kijadi za limeanza kutoa mafunzo kwa ofisi za Mali za Kitaalamu, Afya barani Afrika. Jambo kubwa lililotokana na warsha kwa serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali na kwa hiyo lilikuwa ni makubaliano baina ya washiriki ya jumuiya za wananchi ili kuongeza kiwango cha kuelewa kushirikiana katika kuthibitisha uwezo wa tiba za jukumu la Haki za Mali za Kitaalamu katika ulinzi wa mitishamba katika kutibu magonjwa dowezi kwa wenye maarifa ya jadi. Kuweka viwango vipya kwa ajili ya VVU/UKIMWI. uhifadhi kutajenga mfumo utakaosaidia katika Huko Afrika Kusini, mashirika ya utendaji kama vile usimamiaji wa athari za Haki za Mali za Kitaalamu Kituo cha Utafiti wa Tiba (MRC) na Baraza la Utafiti wa katika mchakato wa uhifadhi wa MA. Hili litaziwezesha Sayansi na Viwanda (CSIR), yakisaidiwa na serikali, ofisi za Mali za Kitaalamu kuingiza maswala ya uhifadhi yanaandaa mbinu za zitakazotumika katika kuthibitisha wa Maarifa Asilia katika taratibu zao za uchunguzi wa dawa za kienyeji kisayansi. Programu za Uchunguzi wa awali wa kubaini maombi yanayohusiana na ubunifu Kibiolojia za CSIR, zilizoanzishwa mwaka 1988, katika MA.7 zimelenga katika kuzifanyia mageuzi Dawa za Kijadi za Mikabala ya kiuvumbuzi kwa ajili ya kulinda MA ni ya Kiafrika. Mageuzi hayo ni pamoja na kuzifanyia lazima kwa sababu taratibu zinazotumika sasa zinaweza usindikaji rahisi na kuzipatia ithibati ya kisayansi dawa zisifae katika uwanja wa MA. MA haina kigezo cha jumla za mitishamba; kugundua chembechembe zinazofaa kwa ajili ya kushughulikia maswala yake ya hati miliki. kitiba tiba ambazo bado hazijafahamiki na kuanzisha Maarifa Asilia huhifadhiwa kwa njia za masimulizi na uzalishaji wa kibiashara wa mimea ya dawa na manukato matumizi badala ya maandishi. Baadhi ya juhudi kwa kutumia wanajumuiya. zinaweza kuwa na manufaa, kwa mfano, uhimizaji wa watendaji wa kijadi waweze kuandikisha shughuli zao za kijadi. Aina nyingine zinazojitokeza za ulinzi wa MA ni Hakimiliki za kitaalamu pamoja na Mikataba ya Kuhamisha Vitu (MTA), ambayo inahusu utoaji wa vitu (rasilimali au maandishi) kwa Sayansi hufanya kazi katika mazingira ya uthibitishaji, kubadilisha na fedha au vitu vingine visivyo fedha. ukanushaji, viunzi imara na uthibitishaji wa kimajaribio. Mifano ya ugawanaji mzuri na usio na upendeleo wa faida Aidha huhitaji uchangiaji na ukosoaji wa pamoja kwa baina ya watumiaji na wamiliki wa maarifa ya kijadi lengo la uimarishaji wa maarifa ikiwa ni pamoja na inaweza kuonekana katika nchi nyingi leo hii.8 ubadilishaji wa viunzi. Leo hii teknolojia (na ubunifu) Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya WIPO,9 vinastawi chini ya ulinzi wa haki miliki, hasa katika “wakazi wenyeji wana mifumo yao wenyewe ya mambo ya miaka ya awali ya uzalishaji. Watendaji wa kijadi hususan kisheria kwa ajili ya kusimamia uanishaji wa maarifa katika sekta ya afya hupendelea kuchangia maarifa yao mbalimbali, taratibu stahiki za kupata na kutumia pamoja na familia zao kwa lengo la kujiongezea tu kipato maarifa pamoja, na haki na majukumu yanayofungamana kutokana na maarifa na shughuli zao. Watendaji wa na kumiliki maarifa, mambo yote haya yakiwa ndani ya kijadi watakapopewa nafasi ya kuchangia na tamaduni na lugha zao”. Hivyo jumuiya ya wanasayansi kubadilishana maarifa kidunia, pia watahitaji ulinzi wa haina budi kujifunza na kuelewa itifaki zinazotawala aina fulani utakaowahakikishia usalama wa ajira zao. 37 mifumo ya wenyeji ya maarifa, na kuipa utambuzi na vya utafiti. Katia ngazi ya sera, tayari Tume imeingiza heshima inayostahili. MA katika Programu ya Kuondoa Umaskini ya nchi. Pamoja na hayo, japo ulinzi wa Haki za Mali za Hivi katibuni huko Afrika ya kusini kumekuwa na Kitaalamu unaweza kuwa sharti muhimu katika mfano unaowakilisha mkabala wa kuvutia unaoweza kuzungumzia, kutathmini na kuthibitisha MA, ulinzi huo kuwa kifani cha kujengea ubia wenye lengo la kuinua na wenyewe haitoshi. Sehemu kubwa ya maarifa na taratibu kulinda mifumo ya MA kwa ajili ya kunufaisha mchakato asilia ipo katika sekta ya umma (kwa mfano katika wa maendeleo yake. kilimo). Uanzishaji wa Haki za Mali za Kitaalamu Kitendo cha Baraza la Utafiti wa Sayansi na Viwanda hautazuia uhalifu, na watendaji wa kijadi au jumuiya za cha kutoa hakimiliki kwa fomula ya kifamasia ya dawa ya wenyeji, kwa kawaida, hazina uwezo wa kukabiliana na kudhibiti vitambi kiligusa duniani nzima. Hadithi hii ya maswala ya kisheria. Kama ilivyo kwa tiba za kisasa, P57—kama dawa hiyo ya asili inayodhibiti kitambi watendaji wa jadi wanaweza tu kuthibitishwa na ilivyoitwa—na ugunduzi wake vina mizizi katika miti kuthamanishwa endapo wataweka viwango vyao vya asilia, ambayo kwa muda wa karine nyingi ilikuwa ufanisi na umadhubuti (na vya usalama, kwa upande wa ikitumika kama sehemu ya mlo wa watu wa Afrika dawa) na kuwa na itifaki zinazokubalika kwa ajili ya Kusini. utendaji na maadili ya kitaalamu. Viwango hivyo si Mwanzoni mwa miaka ya 60 uchunguzi ulianzishwa lazima viwe kinyume au vifanane moja kwa moja na vile kwa lengo la kubaini thamani ya kilishe pamoja na vya sayansi ya sasa. uwezekano wowote wa madhara ya muda mrefu ya sumu Katika kutengeneza viwango hivi, watendaji wa kijadi ya “chakula toka mbugani.” Uchunguzi huo ulisimamiwa hawana budi kuhimizwa (na kusaidiwa) katika kufanya na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Chakula ya Baraza la tafiti zao wenyewe kwa kuzingatia zaidi taratibu Utafiti wa Sayansi na Viwanda. maalumu. Kwa kawaida jumuiya za wenyeji hazina Jinasi ya hoodia ilichunguzwa kwa sababu ilifahamika maabara wala wataalamu wa utafiti. Asasi zilizo katika kuwa baadhi ya spishi za mmea huu mweroro zililiwa na nchi zinazoendelea kwa kawaida hazipewi fedha na Wasani kama chakula na maji. Baada ya miaka sita ya rasilimali za kutosha. Ili kuhamasisha matumizi ya MA majaribio ya kutenga na kubainisha dutu kemikali katika katika ugunduzi wa dawa mpya na kuzawadia wagunduzi mmea wa mhoodi zenye uwezo wa kuzuia unene, mradi wake, asasi za utafiti za nchi zilizoendelea hazina budi ulisimamishwa kwa sababu ya vifaa vilivyokuwa kushirikiana na zile za nchi fukara. Hali hii itasaidia vikitumika havikufaa kwa utafiti uliokuwa umeku- kuimarisha uwezo wa utafiti wa watendaji wa kijadi sudiwa. pamoja na kuinua utafiti na maendeleo na uwezo wa Katika mwaka 1983, miaka 20 baada ya utafiti wa P57 maabara za taifa za dawa wa kuchunguza uwezo wa kuanzishwa na Baraza la Utafiti wa Sayansi na Viwanda, kitiba wa dawa zilizotokana na MA. Ubia utakaojengeka Taasisi ilipata vifaa vyenye uwezo wa kufanya kazi ya baina ya waganga wa kienyeji na wanasayansi kutambua muundo wa kikemikali wa mazao asilia na utawawezesha kuchangia maarifa yao ya miti ya dawa na uchunguzi ulianza tena. Matokeo yake aina mpya ya manufaa ya kiuchumi yanayoweza kupatikana kutokana kemikali iligunduliwa, ikisawiri familia ya molekuli mpya na bidhaa zilizouzwa. Vitivo vingi vya utafiti katika nchi yenye sifa za kuzuia unene. za viwanda vina programu za kubadilishana na kufadhili Matukio mengine muhimu yalifuatia: Baraza la Utafiti wataalamu kutoka katika nchi zinazoendelea ili kuwapa wa Sayansi na Viwanda lilitoa hatimiliki ya P57 mwaka nafasi ya kujifunza teknolojia za kisasa na kufunza 1996, na mwaka 1997 likatoa leseni kwa Phytopharm plc, mambo maswala ya maarifa na utaalamu asilia. Hii ni kampuni ya Uingereza, ya kuendeleza na kuzalisha njia nyingine ya kuziba pengo baina ya sayansi ya jadi na kibiashara ugunduzi huo lilioupatia hatimiliki . Katika ya sasa. juhudi zake za kuingiza P57 katika soko, Phytopharm Ili kuunga mkono juhudi hizi za kuendeleza sayansi ya ilifikia makubaliano na Pfizer Inc. mwaka 1998. MA, ni muhimu pia kwa serikali kubuni mikakati ya Uwezekano wa kuingia kwenye soko ukiwa unaonekana kitaifa ya kusaidia utafiti na maendeleo ya MA. Wizara za dhahiri, Baraza la Utafiti wa Sayansi na Viwanda liliingia Afya na Kilimo, kwa mfano, zingeweza kuongoza katika katika majadiliano na Wasani mwaka 2002, na kufanya tathmini ya mchango wa MA katika kufanikisha kuutangazia umma kuwa linatambua umuhimu wa malengo ya maendeleo ya wizara hizo. Kwa mfano huko maarifa ya kijadi ya Wasani katika aina hiyo ya utafiti. Uganda, Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Machi 2003 Hati ya Makubaliano kuhusu kushiriki (UNCST) imeanza kuingiza MA katika vipaumbele vyake pamoja katika matunda yanayoweza kupatikana ilitiwa 38 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia saini baina ya Baraza la Utafiti wa Sayansi na Viwanda Hitimisho na Baraza la Wasani la Afrika Kusini. Katika makubaliano hayo Baraza la Utafiti lilijikubali kulipa Swali lililoulizwa kwenye kichwa cha makala haya Wasani asilimia 8 ya mapato ya awali kutokana kwa linaweza kujibiwa kusisitiza jambo moja la makubaliano. Kampuni ya Uingereza iliyopewa kibali cha kutengeneza Maarifa hukuwa tu pale yanapohusisha watu wengi, na kuuza dawa hiyo, na asilimia 6 ya mirabaha yote yanapotumika na kuhojiwa. Leo hii dunia haiwezi itakayopokea pale dawa hiyo itakapoanza kuuzwa. Mfano kuikwepa hazina kubwa ya maarifa asilia na matatizo huu wa kunufaika pamoja unahakikisha kuwa Wasani yanayoikabilia hazina hiyo kama yalivyofafanuliwa watapata mafao ya haki kama bidhaa itafanikiwa kuingia katika Malengo ya Maendeleo ya Milenia. Migongano na kwenye soko. tofauti baina ya “dunia tofauti za maarifa” vitatoweka Wakati ambapo kampuni ya Pfizer ilishakabidhi haki mara tu baada ya kuzibwa kwa pengo lililopo baina ya zake kwa kampuni ya Phytopharm na juhudi za kuiingiza wanasayansi na watendaji wa jadi na wale wa sasa. Pengo P57 katika soko zinaendelea , tayari Afrika Kusini hilo litazibwa kwa njia ya wote kuafikiana kuhusu imeshanufaika kwa njia ya kupokea teknolojia ya kisasa viwango, mabadilishano ya mara kwa mara, ulinzi wa ya kutengeneza dawa. Baraza za Utafiti wa Sayansi na haki, pamoja na kutambua na kuzawadia wale wote Viwanda lina uwezo wa kukusanya, kuchopoa na wanaochangia. Hali hii pia itajenga mazingira ambayo kuchekecha sampuli za mimea kutokana na spishi 24,000 yatatokomeza mambo ya asili ambayo yana madhara na za mimea ya asili ya nchi hiyo. Uhusiano wa kikazi na ambayo yamekuwa yakichangia katika kuharibu jina la makubaliano rasmi baina ya Baraza na waganga wa kijadi tamaduni na watendaji wa kijadi. pamoja na jumuiya yaliyofikiwa vitakuwa ufunguo kwa 1 Tini za MA 39 mafanikio ya baadaye ya ushirikiano wa sayansi na 2 Tini za MA 25 maarifa asilia. 3 Tini za MA 49 4 Tini za MA 51 Baraza la Utafiti wa Sayansi na Viwanda la Afrika 5 Tini za MA 19 Kusini ni kituo kinachoongoza katika ufanisi wa maswala 6 Tini za MA 15 ya sayansi na teknolojia katika Afrika. Katika kipindi cha 7 Tini za MA 61 8 Tini za MA 19 miongo mitatu iliyopita, Baraza hilo limekuwa likifanya 9 WIPO, 2001: “Ripoti ya Tume ya Kutafuta Ukweli juu ya Mahitaji ya kazi pamoja na Wasani ya kuunda modeli ya kiunzi kwa Mali za Kitaalamu na Matarajio ya Mabingwa wa Maarifa Asilia” ajili ya kushughulikia maswala mawili yaliyokwishataja Geneva. hapo nyuma ya muhimu ya ithibati ya kisayansi na haki za mali za kitaalamu. Mfano huu uliotolewa hapa unawasilisha mkabala wa kuvutia ambao unaweza kuwa kifani cha kuundia mahusiano ya namna hii ambayo lengo lake ni kuinua na kulinda mifumo ya MA kwa ajili ya kuimarisha mchakato wa maendeleo. 9. Njia za Kienyeji katika Usuluhishi wa Migogoro Afrika Ben Fred-Mensah Uhalali, usahihi, ufanisi, manufaa na uendelevu wa usuluhishi wa kienyeji1 wa matatizo ya wenyeji ni mada za uandishi wa Tini sitini za MA. Yale yaliyohakikishwa kufaa katika nyanja za elimu, kilimo na usimamizi wa maliasili na afya, yanaonyesha ukweli kwa mifumo ya usuluhishaji wa migogoro katika Afrika.2 Kushindikana kwa juhudi za kutatua migogoro Ben Fred-Mensah ni Profesa Msaidizi katika Afrika katika ngazi ya taifa limekuwa tatizo kuu la kuzidi kuhusika wa Uhusiano wa Kimataifa, Chuo kwa mashirika ya kanda, kampuni binafsi za majeshi, asasi zisizo za serikali Kikuu cha Howard, Washington (AZISE) na Umoja wa Mataifa, ingawa kwa mafanikio kidogo. Taratibu na njia za kisasa za usuluhishi wa migogoro kwa kawaida si uendelezaji au kukubaliwa na watu wake wa kawaida.3 Kuna tofauti iliyo wazi au “muachano” kati ya filosofia na taratibu za usuluhishi wa migogoro wa kisasa na wav kienyeji. Nafasi ya usuluhishi wa migogoro ya Afrika kwa njia ya amani inaweza kuongezwa sana iwapo kanuni, maarifa, na njia za usuluhishi wa migogoro zitaeleweka na kulinganishwa na zile za sasa za serikali kwa ngazi ya taifa. Tini za MA katika chapisho hili zinagusa vigezo muhimu vya mifumo ya kienyeji ya usuluhishi wa migogoro ya Afrika, taratibu, uunganishaji upya wa askari washirika na misaada kwa waathirika wa vita. Mbali na migogoro inayojulikana, kama vile vita vya wenyewe kwa wenyewe Somalia, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Liberia, Sierra Leone, Cote d’Ivoire, Guinea Bissau na Senegali, migogoro mingi ya nchi za Afrika ni ya kijumuia. Hutokea bara mbalimbali na mara chache huripotiwa, ingawa ina kila dalili za kuendelea. Hupoteza maisha ya maelfu ya watu, na kusababisha watu ndani ya nchi kukosa makazi na kuwa wakimbizi, na kuzuia shughuli za kiuchumi hivyo kuzuia taifa au jamii kupanua maeneo yake ya uzalishaji.4 Maswali machache makuu yanahitaji kupatiwa majibu: nini kilikuwa chanzo cha migogoro Afrika kabla ya ukoloni? Kulikuwa na njia zipi za usuluhishi wa migogoro? Migogoro ya Afrika zamani inalingana vipi na ile ya sasa? Kwa njia gani, kama ipo, uelewa wa njia za kienyeji za usuluhishi wa migogoro unaweza kupunguza migogoro iliyopo? Taratibu rasmi na moyo wa usuluhishi wa migogoro kienyeji zinaweza kurekebishwa kuunda mfumo mpana zaidi wa usuluhishi wa migogoro? Je, njia za kienyeji zinaweza kuchanganywa na za kisasa na njia ngeni?5 Je, kanda inaweza kuandaa 39 40 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia mfumo mbadala wa suluhisho la migogoro (ADR)6 ambao Usuluhishi ni baraza maarufu zaidi la kusuluhisha utaiwezesha kumudu migogoro yake inayoongezeka na migogoro katika utamaduni wa Afrika. Wasuluhishi inayoonekana kuwa sugu? wakuu huwa ni wazee, viongozi wa kidini, na watu maarufu wanaojulikana kwa busara zao, ujuzi, na uaminifu katika wadhifa wao rasmi na utaalamu pamoja Migogoro katika Afrika ya asili na shughuli binafsi. Watu hawa, ambao hutajwa kwingineko10 kama du nkuwo, (au macho ya mji au jamii) Sehemu muhimu ya utafiti wa anthropolojia katika hupata heshima kubwa katika jamii zao na wana uwezo maeneo ya Afrika inaweka msisitizo kwenye uratibu wa wa kuwasihi watu walioshtakiwa wahudhurie kusikiliza mwafaka ambamo jumuia zinaonekana kuwa mifumo mashtaka yao. Mara nyingi hutokea kwamba wakuu wa iliyoshikamana ambamo shughuli za kiuchumi, kisiasa, ukoo au watu maarufu walio mahiri katika ujuzi wa kijamii na kidini hukamilishana na kuimarishana katika kujadiliana, kusihi, upatanishi, na kushauri mara nyingi mpangilio mzuri na wenye amani. Uhusiano wa kutokana hualikwa kusuluhisha migogoro nje ya ukoo wao au jamii. na ndoa, kwa mfano, au ushirikiano kati ya vikundi Usuluhishi kwa kawaida huepuka kuonyesha wazi nguvu, mbalimbali vya kikabila au nasaba, utaelekea kuendeleza fikra za mshindi-mshindwa, makovu ya kijamii, na kanuni fulani za kisheria ambazo huweka vikwazo kwa uchungu ambao kwa kawaida huambatana na hukumu. wanajamii ambao watachagua kutumia vurugu katika Wasuluhishi hutafuta suluhisho la jumla kwa sababu mgogoro wa maslahi.7 Kukiwa na aina hii ya udhibiti wa inaonekana kuwa rahisi, kuweza kubadilika, na jamii, migogoro ilisuluhishwa kwa kutumia taasisi za kukubalika. Kama njia ya kutatua migogoro, usuluhishi jamii, desturi, kanuni, maadili, imani, na taratibu za husaidia kupata suluhu kwa majadiliano, suluhisho, kimaadili, ambazo kimsingi husisitiza tabia ya usawa wa kusihi, ushawishi, na makubaliano. Kwa kawaida, kijamii.8 Hivyo, kazi za msingi za sheria zilikuwa lilikuwa ni jambo la mantiki kwa watu kutafuta kuzingatia maeneo ya manufaa ya pande mbili badala ya usuluhishi kwa sababu wasuluhishi kwa kawaida hutafuta kuvutia kusababisha madhara kwa wengine. usuluhishi wa migogoro kirafiki zaidi na usiokuwa wa Inathibitika wazi pia kuwa kama ilivyo katika jamii kiadui ili kuendelea kuishi pamoja kirafiki. yoyote ya binadamu, migogoro ilikuwa sehemu ya jamii Hukumu ni utaratibu ulio mpana zaidi kuliko asilia za Kiafrika. Migogoro ingesababishwa na kuvunjwa usuluhishi. Kwa kawaida huendelea kwa hatua na kwa kwa mkataba, wizi, kashfa na uchawi pamoja na tuhuma hali ya kawaida huhusisha uchunguzi wa karibu na za uchawi. Inaweza pia kutokana na kutoelewana katika kukusanya mashahidi na inapolazimu, vizibiti hutolewa ndoa, watu kuumizwa, na uharibifu wa mali. Mapigano kama ushahidi.11 Watu kwa ujumla hupendelea yanaweza kutokana na kutoelewana katika urithi na usuluhishi kuliko hukumu, kimsingi kwa sababu ugumu wa kugawa mipaka ya ardhi, na vilevile juu ya usuluhishi si tu kuwa huchukua muda mfupi na rahisi, kushika uongozi wa kisiasa. Migogoro pia inaweza pia huepuka matokeo ya mshindi na mshindwa, ambayo kutokea baina ya watu wa jamii mbalimbali au vikundi hufanya upatanishi baada ya usuluhishi kuwa ngumu. vya kikabila hasa juu ya haki ya umiliki wa maliasili na Pia, kesi zilizofikishwa kwa ajili ya kupatiwa hukumu ufugaji wa wanyama. kawaida ni pamoja na zile ambazo ama zimeshindikana Hivyo, utafutaji unaofaa wa mifumo mbadala inayofaa kutatuliwa kwa njia ya usuluhishi au uamuzi au kikatiba kwa usuluhishi wa migogoro ya Afrika lazima uanzie na zilijulikana kama jinai.12 usuluhishi wa tofauti hizi. Jamii nyingi za Kiafrika Uamuzi wa kutumia nguvu za miujiza kutatua zimesisitiza mwafaka wa jamii kama itikadi muhimu sana migogoro ilikuwa jambo la kawaida katika Afrika kabla ya ya udhibiti wa jamii. Haya yameonyeshwa vizuri katika ukoloni. Majaribu ya mateso yalikuwa ya kawaida nadharia na matumizi ya filosofia za ubuntu miongoni ambapo kwa mambo ya miujiza kama mzimu kuonyesha mwa jamii asilia za Afrika Kusini na kanye ndu bowi9 hatia na/au kutokuwa na hatia lingeweza kufanywa. miongoni mwa Buem wa mpakani mwa Ghana na Togo. Kama ushahidi unaleta migongano kiasi ambacho waamuzi au wasuluhishi wakaona shida kufikia uamuzi waliweza kuamua kutumia majaribio ya mateso. Hizi kwa Mifumo ya Kienyeji ya Kiafrika ya usuluhishi wa kawaida ni kesi ambazo ushahidi ulikuwa mgumu Migogoro kukubalika kwa kutumia njia za kidunia.13 Pia ilikuwa Mabaraza makuu ya kienyeji ya Kiafrika ya kushughu- kawaida kwa watu kuamua kutumia uchawi/au ulozi likia migogoro yamefupishwa hapo chini: kutatua migogoro katika Afrika. Watu waliweza kuamua 41 kutumia njia hizi za miujiza walipokuwa hawataki kuleta kwa bega na mwanaukoo au mwanajumuia aliyekuwa manung’uniko yao hadharani ili kurekebisha ama kwa katika aina yoyote ya mgogoro. Wakuu wa koo hasa hukumu au upatanishi. Kwa fikra za Kiafrika kwa hutegemewa kuhakikisha kuwa mwanaukoo au ujumla, uchawi unahusishwa na matumizi ya miujiza mwanajumuia yeyote ambaye ameshtakiwa kutokana na kwa kushambulia adui, wakati matumizi ya uchawi ni kosa lolote anahudhuria kusikiliza mashtaka yake na pamoja na matumizi ya njia za miujiza na vifaa. Ufanisi kulipa faini yoyote itakayopangwa na mahakama. Hivyo, na nguvu za uharibifu za uchawi na ulozi ziliaminiwa uhalifu hasa ulipigwa vita vikali na viongozi wa ukoo na sana na kuogopwa katika jumuia nyingi za Kiafrika. jumuia kwa ujumla, ambao kazi yao ilikuwa kuwapatia Jamii na jumuia za asili ya Kiafrika zimeshughulikia viongozi wa umma msaada wa kuimarisha amani katika changamoto za kuendeleza uhusiano wa amani na koo jumuia.17 nyingine majirani kwa kutumia diplomasia. Kushindwa Katika mchango wake, Wolff ameelezea jukumu la kwa diplomasia kungesababisha vita au kuibuka upya na usuluhishi wa migogoro wa miundo ya koo na itikadi yao au ongezeko la migogoro. Waliosimamia juhudi za ya msingi, alipojadili majaribio huko Eritrea kutoa ulinzi kidiplomasia ni wazee, au, kwa suala la mifumo imara ya kwa maelfu ya watoto waliokuwa waathirika wa mgogoro kisiasa, wajumbe wa uongozi unaotawala. Wanadiplo- wa kivita nchini humo uliochukua muda wa miaka masia hawa—mara nyingi hutajwa kama “matarishi,” thelathini.18 Katika programu hii, si wanandugu pekee “wataalamu wa lugha,” au “wapiga mbiu” walikuwa waliotafutwa ili wapewe jukumu la kuwalinda yatima kama wapatanishi, watu ambao wamepata ujuzi wa aina hao, mpango mbadala ulibuniwa pia ambapo nyumba, yake katika matumizi ya lugha na wamejitokeza na zenye kufuata maadili na miundo asilia ya kifamilia, kutambulika katika sanaa ya majadiliano, ushawishi, na ziliundwa kwa ajili ya ulinzi wa watoto ambao wazazi na upatanishi.14 ndugu zao wa damu hawakuweza kupatikana. Njia nyingine za usuluhishi wa migogoro katika Afrika Katika jamii/jumuia nyingi za Kiafrika, mpango wa ya asili ni pamoja na utenganisho, “kutukanana,” na kijamii umeendelezwa kwa kutumia “adhabu halisi.” Hizi uhusiano wa utani. Utenganisho, hujulikana kama ni njia ngumu lakini iliyoenea ambayo wanajumuia “mgawanyiko” au “kujitenga” ilikuwa tabia ambayo waliweza kunyooshwa kuheshimu kanuni za udhibiti wa kikundi kimoja au upande mmoja wa mgogoro kilihama jamii. Adhabu hizi halisi ni chanya—zawadi ya kiakili na kujenga makazi mapya mahali pengine.15 Jamii watu wanayopata wanapofuata tabia njema zinazokuba- ziliamua “kutukanana” pale pande mbili za mgogoro lika—na hasi—hisia za kero za kimaadili wanazopata zilipotaka kupunguza makali ya ugomvi, ambao, kama wanapotenda maovu. Hivyo, kuendelea kwa itikadi ya usipofanyika hivyo, unaweza kusababisha vurugu. Pande amani kama ilivyo kwa kanye ndu bowi miongoni mwa zinazohusika na mgogoro hupeana changamoto kwa Wabuem19 au ubuntu kusini mwa Afrika (imefafanuliwa kutumia nyimbo na maneno ya matusi. Uhusiano wa hapo chini) inahusisha msisitizo kuhusu visasili, imani, utani ulikuwa unasaidia kupooza hisia zilizochemka maadili na nia. kama kutukanana. Pande mbili za mgogoro zilifanya Utekelezaji wa maamuzi ya mahakama. Udhaifu mchezo wa kutukanana, lakini, zilipewa changamoto na wa mpangilio wa kisiasa na uwezo mdogo wa vyombo vya jamii au jumuia kubwa zaidi kuwa zisifikie hatua ya dola umeathiri utekelezaji wa maamuzi ya mahakama kupigana au kulipiza kisasi wakati wa utani kama huo. kabla ya ukoloni. Tofauti na mataifa ya sasa, jamii nyingi Kwa hakika, mtani alitakiwa kuwa mvumilivu kwa mtani za Kiafrika kabla ya ukoloni zilikosa polisi walio na wake. Wakati utani ulifanyika kwa watu wa jumuia au mpangilio rasmi na magereza.20 Jamii hizi ziliendeshaje jamii moja (kama ilivyo kwa Wafulbe wa Nigeria, Senegali maamuzi yao ya kisheria ili kuwepo sheria na usalama? na Niger), pia ulifanyika baina ya watu wa jamii au Utafutaji wa ufafanuzi kuhusu fumbo hili linalotatanisha jumuia tofauti (kama ilivyo kwa Wafulbe na Wativ wa unaelekeza umakini wetu katika vipengele vifuatavyo vya Nigeria).16 miundo ya kijamii. Uhusiano wa watu binafsi na jumuia na Kuaminika kwa asasi na watu. Mafanikio ya usuluhishi wa migogoro. Kulikuwepo uhusiano wa kusuluhisha migogoro katika Afrika kabla ya ukoloni karibu baina ya watu na koo zao na/au hata jumuia pana yaliyofanywa na wanasheria yangekidhi si matarajio zaidi kuhusiana na usuluhishi wa migogoro. Kama pekee ya wagomvi kuwa mgogoro wao umesuluhishwa, kikwazo cha jina la ukoo au jumuia, watu walitegemewa lakini pia yangeimarisha mashtaka ya washtakiwa wao kuonyesha tabia nzuri katika masuala ya kijamii. ambao maofisa wa kisiasa na kisheria wangetoa uamuzi Wanaukoo na wanajumuia pia walitegemewa kuwa bega wa migogoro mingine siku za baadaye. Jamii nyingi za 42 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Kiafrika kabla ya ukoloni, viongozi wa kisiasa—machifu, kifungo cha maisha. Hii ilikuwa kwa sababu, mara viongozi wa dini za kale, wakuu wa koo, na watu anapofukuzwa, mtu huondolewa katika tukio lolote la mashuhuri—pia walikuwa viongozi wa mahakama, kama kijamii, hivyo kuwa na hadhi ya “mtu asiyeweza vile mahakimu, wasuluhishi, na waamuzi.21 Kinyume na kuvumiliwa kamwe,”28 mtu aliyetengwa na jamii na uzoefu wa sasa ambapo mkusanyiko wa nguvu kama hizo laana kwa ukoo wake. Alikuwa “amenyimwa roho.”29 za kijamii unaweza kuwa mbinu za udikteta na udhalimu, Hivyo, hofu ya kutengwa katika mpangilio wa Afrika ya viongozi wa kisiasa wa Kiafrika kabla ya ukoloni asili ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba iliwapatia walitumia vyeo vyao katika usuluhishi wa migogoro kwa viongozi wa jumuia pale ilipotumika nafasi ya kuonyesha ujuzi, uwezo, na uaminifu wao, na kwa kulazimisha pande zisizokubali kupatana kufika kufanya hivyo, waliongeza uhalali wao na uwezo wa mahakamani wenyewe kusikiliza mashtaka wanapoitwa kisiasa kwa watu wao. na kuheshimu maamuzi ya mahakama. Muktadha wa mtazamo. Katika Afrika kabla ya Mara tu baada ya kupata uhuru wa kisiasa, mababa wa ukoloni, mwelekeo wa kifalsafa, ambao ulisimamia Afrika walikubali kuwepo “kutofautiana” kati ya usuluhishi wa mgogoro katika mazingira ya watu utamaduni na mila za Kiafrika na zile zilizopandikizwa wachache, ulikuwa muhimu kama ujuzi na msimamo wa na wakoloni. Pia waliona haja ya kutumia taratibu asilia, kimaadili wa viongozi wasuluhishi wa migogoro. Kwa maadili na alama zenye mantiki za kanda kama msingi mfano, katika jumuia nyingi za Kiafrika, pande zenye wa kufanya mageuzi ya kisiasa, ujenzi wa taifa, na mgogoro hutaka kushinda maamuzi ya mahakama kuona uanzishaji wa utawala wa kidemokrasia. Katika mtazamo mgogoro umetatuliwa. Kwa mfano, Wativ wa Nigeria huu Leopold Senghor alitunga nadharia ya “kujitambua huamini kuwa “hakimu mzuri halazimishi uamuzi kama mnegro au Unegro,” Kwame Nkrumah “Udha- kuhusu pande mbili lakini huwaruhusu kushinda kama mira,” Julius Nyerere “Ujamaa,” na Keneth Kaunda akiweza.22 Katika muktadha huu, maafisa wa kisiasa na “Utu.”30 Majaribio kama hayo yanaweza kuonekana kisheria walitegemewa kuhakikisha kuwa pande zenye katika kuanzisha itikadi ya uhusiano wa damu wa mgogoro zingeshinda kwa kauli moja katika haki ya Waafrika yaliyofanywa na viongozi wa Kiafrika baada ya mfumo wa uamuzi wa mahakama.23 Athari za utaratibu ukoloni ili kuongeza uhalali wao. Kuanzia mhafidhina huu wa kiasili kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya Houghuet-Boigny wa Cote d’Ivoire hadi Nkrumah wa kuleta amani kwa sasa katika kanda ni kubwa.24 Ghana mwenye siasa kali, viongozi wengi kati yao kwa Matumizi au vitisho vya kutumia adhabu za njia moja au nyingine wameita itikadi ya uhusiano wa kichawi kwa pande zisizotaka kupatana na kufikia damu kama msingi wa kuunda utawala halali. Hii makubaliano ya amani vitu hivi vilikuwa muhimu. Kama ilichukua muundo wa “sitiari ya baba na familia,” mtu amekataa kufuata maamuzi ya mahakama, kiongozi ambayo ilikuwa mtazamo wa utawala uliotokana na mkuu na walio chini yake wanaweza, kwa maapizo kumla- dhana iliyoundwa ya mamlaka na tabia ndani ya mifumo zimisha kufanya hivyo.25 Kama uimarishaji wa utaratibu ya familia za Kiafrika.31 wa hukumu, maapizo yalitumika kama adhabu kali Mifumo ya kisheria ya taifa inatambua kuwepo kwa kuhakikisha utiifu wa maamuzi ya mahakama. Kwa kuwa mifumo ya asili ya usuluhishi wa migogoro kwa uwezo dini za jadi Afrika zilikuwa zikiabudu mizimu, jukumu la wao mzuri katika masuala ya utamaduni na mila za nguvu za miujiza kuimarisha maamuzi ya mahakama wenyeji. Hata baadhi ya nchi zimeiingiza mifumo hiyo katika kanda haziwezi kuelezwa vingine zaidi ya katika sheria za nchi.32 Hivyo, kesi zilizoonekana kufaa kutekeleza jukumu la kusaidia wanaukoo au wanajumuia. kuendeshwa chini ya sheria za asili huhamishwa kutoka Matambiko ya kidini na msaada wa jumuia yalikuwa mahakama za taifa kwenda katika mahakama za jadi mambo muhimu katika marekebisho baada ya migogoro kusikilizwa. Mahakama za jadi huonekana kuwa na katika baadhi ya jumuia huko Msumbiji na Angola, katika uzoefu zaidi katika kesi zinazohitaji ujuzi wa mila na uchumi, siasa, na tiba ya kisaikolojia na kuwaunganisha historia ya wenyeji tangu zilipoandikwa na wakuu wa waliokuwa wapiganaji na wahanga wa vita.26 makabila na wazee wao ndio wanaoweza kutegemewa Ufukuzaji ni utaratibu wa kisheria unaotumika dhidi kama vyanzo vya maarifa hayo.33 ya wanajumuia ambao ni wahalifu sugu. Watu hawa— Hata hivyo, kumekuwa na matatizo katika utekelezaji hujulikana kama “wahalifu”27—ni wahalifu wazoefu, wa juhudi hizi za kuweka sambamba sheria hizi. Hii ni wasiorekebishika, ambao wamezoea kuiba, kubaka, au kwa sababu baadhi ya taratibu za mifumo ya kisheria ya kuua lakini hushindwa kuheshimu amri ya mahakama. majimbo ya kikabila yapo katika migogoro isiyoweza Wabuem wa Ghana walifikiri kufukuza ni sawa na kusuluhishwa na vyombo vya kisasa vya sheria vya 43 mataifa vilivyoweka mamlaka ya kisheria juu yao. Baadhi upande mmoja, na ukweli katika tabia zao binafsi na ya waandishi huamini kuwa utekelezaji wa sheria ya kikazi; ardhi ya taifa pamoja na sheria ya asili ya ardhi inaweza • majadiliano ya jumla na bila woga ya malalamiko kusababisha “utata baina ya sheria,” hali ambayo watu yanayotolewa na wanaogombana, yatakayosababisha wawili au zaidi au vikundi vinaweza kutoa madai tofauti, kiwango kikubwa cha makubaliano ya wote waliopo; na ingawa halali, kwa sehemu moja ya ardhi kwa wakati • kukubali kwa upande ulioshindwa kuhusu haki ya mmoja. Hii imechangia kwa kiasi kikubwa katika sababu upande ulioshinda na kukubali kwake usawa katika za migogoro ya jamii ambayo imeimeza sehemu kubwa ya uendeshaji wa kesi. jumuia za Kiafrika vijijini. Kufuatia umuhimu uliopo wa ardhi katika maisha ya kiuchumi, kisiasa, na kijamii na 4. Matumizi ya taratibu na maadili ya asili ya Kiafrika kiutamaduni wa jumuia hizi, migogoro inayotokana na kama msingi wa maendeleo ya kisiasa, pamoja na matatizo ya kuamua haki ya ardhi inaweza kuonekana usuluhishi wa migogoro, hayatoi mafanikio ya moja kwa kuwa chanzo cha migogoro katika kanda. moja. Haya yameonyeshwa na kiwango cha matatizo ya uongozi katika nchi nyingi za Kiafrika hata kama nchi nyingi kati ya hizi viongozi wao baada ya ukoloni kwa njia Hitimisho moja au nyingine walitumia taratibu na maadili ya asili lakini walishindwa katika wajibu wa kitabia uliohifa- Mawazo na mapendekezo yafuatayo yanaweza kuwa na dhiwa katika taratibu asilia na kanuni na maadili yao. manufaa kwa serikali za Kiafrika, wabia wao wa 5. Kupitisha, kurekebisha, na kuendeleza taratibu za maendeleo, na wasomi wa Kiafrika wenye nia ya asili za Afrika za usuluhishi wa migogoro, masuala makuu kusuluhisha migogoro ya Kiafrika: matatu lazima yazingatiwe. Kwanza, kuna haja ya kuwa 1. Haipendekezwi kuwa matumizi ya jumla ya taratibu na mifano ya wajibu, kwa hali hii matumizi kamili ya na mbinu asilia za Kiafrika zitatatua migogoro yote wanaume na wanawake katika upatanishi. Watu hawa iliyopo katika kanda. Hata hivyo, watunga sera wa Afrika lazima wawe du nkuwo (macho ya jumuia) ambao na washirika wao wa kimataifa lazima watafute njia wamekubalika, si kwa ufanisi bora katika maeneo fulani ambazo masuala halisi ya taratibu za sheria za asili ya juhudi za watu kama vile siasa, uongozi wa raia, usomi, zinaweza kuchanganywa na kulinganishwa na zile za jeshi, mapambano ya ukombozi, na biashara tu, bali pia serikali za mataifa ya kanda na vilevile miongoni mwa kwa kuonyesha uadilifu ulio wazi. Pili, usuluhishi mzuri mifumo kadhaa ya asili.34 wa migogoro hutegemea uongozi bora. Tatu, serikali za 2. Filosofia za asili pamoja na jukumu la kusuluhisha Kiafrika na wakala mbalimbali wa ujamiishaji wa siasa kama vile ubuntu katika fikra za Kamati ya Ukweli na katika kanda wanahitaji kuelimisha umma kwa ujumla na Maridhiano ya Afrika Kusini (TRC) baada ya kuondoa kizazi kipya hasa kuhusu taratibu muhimu za kiasili za siasa ya ubaguzi na pendekezo la kupitisha “gacaca” huko maeneo ambazo zimerithishwa kwa miaka mingi. Rwanda lazima ikubalike, zimetumika kwa kuchagua, na Serikali za Kiafrika na asasi za kanda ya Afrika mawazo yao yameingizwa katika sheria, siasa, na zinahitaji kupanga njia na nia ya kisiasa kutatua utamaduni wa uraia wa nchi. Kwa mfano, kuhusu Afrika migogoro ya kutisha na inayorudisha nyuma maendeleo Kusini fikra za TRC, matumizi ya mawazo ya ubuntu— katika kanda. Kwa jumla, uwezo wa taifa au jumuia msemo wa “mkusanyiko wa utu” ambao huishi katika kupitisha na kuimarisha sheria zinazoongoza tabia, ikiwa maadili kama hayo kama umoja wa kikundi, ni pamoja na usuluhishi wa migogoro, ni hatua makubaliano, kujali, kuona hisia za mwingine, isiyopingwa ya uwezo wake kimaendeleo.36 ushirikiano, na umoja—yalilingana na lengo kuu la TRC, kujenga uhusiano usiokuwa wa kiadui baina ya wakosaji 1 Kwa malengo ya makala hii, neno “asilia”, limetumika kwa na wahanga wao.35 kubadilishana na maneno “jadi”, “kawaida”, na “kabla ya ukoloni” 2 Neno “usuluhishi wa migogoro” limetumika katika makala haya 3. Watunga sera wa Afrika pia wanaweza kuangalia kwa maana pana kuhusisha njia zote za usimamizi, ambazo baadhi ya ubora unaovumilika wa taratibu za asili za huzuia, hupunguza, au hata husuluhisha migogoro. Hii pia ni Kiafrika za usuluhishi wa migogoro na kutafuta njia na pamoja na shughuli za baada ya mgogoro zinazotumika kuwaingiza upya, kuwaunganisha tena na kuwarekebisha wapiganaji na watu jinsi ya kuzitumia katika sheria za sasa za usuluhishi wa walioathirika na vita. migogoro katika kanda. Hizi ni pamoja na: 3 Woodman and Morse, 1987. • utakatifu wa uongozi wa wasuluhishi au mahakimu 4 Fred-Mensah (1999). 5 Zartman, 2000, uk. 9 kuhusu usahihi kimaadili unaoonekana, kutoegemea 6 Nader, 1995, uk. 64. 44 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia 7 Angalia Gluckham, 1965. 21 J.F. Holleman (1974) kur. 16-17. 8 Bates, 1993. 22 Tazama Bohannan, 1957. 9 Tini za MA 56. 23 Tazama pia Fred-Mensah, 2000, 2001, Tini za MA 56, 59. 10 Kouassi, 2000, uk. 64. 24 Tazama Stedman et al., 2002. 11 Swartz, 1966 Fred-Mensah, 2000, Tini za MA 56. 25 Tazama A.R. Radcliffe-Brown, 1940, uk. Xviii. 12 Fred-Mensah, 2000. 26 Tini za MA 10. 13 Radcliffe-Brown 1940, uk. Xviii. 1985, uk. 225. 27 Radcliffe-Brown, cited by Gluckman, 1965. 14 Schraeder, 2000, kur. 74-77. Smith (1976), Adjaye, 1996, na Kouassi 28 Llewellyn and Hoebel, also cited by Gluckman, 1965. (2000). 29 Fred-Mensah, 2000, uk. 43. 15 Merry, 1989. 30 Tazama Deng and Zartman, 1991, uk., 14. 16 Wilson-Fall, 2000, kur. 55-56. 31 Tazama Schartzberg, 1986, kur. 14-15. 17 R.D. Cooter, op. cit., uk. 22. 32 Woodman and Morse, 1987. 18 Tini za MA, 50 33 Ghana, 1960, uk. 8. 19 Tini za MA 56. 34 Easton and Belloncle, 2001, kur. 170-179. 20 Cooter (1996) citing J. Locke’s The second Treatise of Civil 35 Tazama Masina, 2000, kur. 170-179. Government. 36 Tazama Brautigam, 1996. 10. Maarifa Asilia: Mambo ya Usoni Nicolas Gorjestani Makala hii ya kuhitimisha inahakiki muktadha wa Mpango wa Maendeleo ya Maarifa Asilia ulioandaliwa na Benki ya Dunia pamoja na mafanikio yake kwa jumla, inajadili mafunzo makuu ya mpango huo yaliyojitokeza mpaka hivi sasa pamoja na kutayarisha mikakati ya kuuwezesha Mpango huo kusonga mbele katika siku zijazo kwa kuzingatia Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MMM). Katika kufanya hivyo, makala inatumia mafunzo Nicolas Gorjestani, ni Mshauri Mkuu yaliyojitokeza kutokana na Tini 60 za MA pamoja na mapendekezo na Ofisa Mkuu wa Maarifa na Mafunzo yaliyotolewa na waandishi wachangiaji katika makala zilizotangulia na katika Benki ya Dunia, Kanda ya Afrika ambazo zimepangiliwa kwa kuzingatia dhamira mahususi, mwisho, makala inatumia uzoefu uliopatikana katika kipindi cha kwanza cha miaka mitano ya Programu ya Maarifa Asilia. Kwa pamoja, mambo yote haya yanadhihirisha yafuatayo: uko uwezekano mkubwa wa mafanikio endapo maarifa asilia yatatumika, maana ni chachu katika kuongeza uendelevu na msukumo wa jitihada za maendeleo, hali kadhalika, jumuia yenyewe ya maendeleo haina budi kuunga mkono programu zinazosaidia kuziwezesha jumuia za wenyeji wa mahali kushirikishana maarifa asilia pamoja na kuyatumia ili wapate matokeo bora zaidi ya maendeleo. Muktadha Kama ilivyodokezwa katika utangulizi wa chapisho hili, Benki ya Dunia ilianzisha Programu ya Maendeleo ya Maarifa Asilia mwaka 1998 hatua hii ilikuja ili kukabili changamoto zilizotokana na matamshi ya viongozi wa serikali na jumuia za wananchi kwa jumla katika mkutano mkuu wa Maarifa ya Dunia uliyofanyika Toronto Canada mwaka 1997. Kuanzishwa kwa programu hiyo kulitokea sambamba na kubuniwa kwa dira mpya ya Benki ya Maarifa. Kwa kuzingatia mazingira ya dira hii, na kwa kutambua kuwa benki hiyo ya maarifa haitakuwa tu ghala la maarifa ambayo yanaweza kuhamishiwa mahali popote ulimwenguni kwa matumizi, Benki ingetafuta uwezekano wa: • Kuwawezesha wateja wake kutumia maarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na maarifa asilia yaliyomo ndani ya jumuia zao, 45 46 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia • Kusaidia katika kuwaunganisha wateja wake pamoja shughuli za maendeleo pamoja na watoa maamuzi na kwenye vyanzo vingine vya uzoefu, wanazidi kutambua kwamba MA ni chanzo muhimu cha • Kujifunza kutoka kwa wateja na pia pamoja nao yale maarifa ambacho hakitumiki ipasavyo7; MA yanazidi yanayowezekana katika mazingira yao pamoja na kupata umaarufu katika majadiliano kuhusu maendeleo sababu zake. ya dunia;8 mivutano ambayo ilikuwa jambo la kawaida kuhusu MA, imepungua kwa kiasi ambacho wadau wa Kwa “suala la biashara” uwezekano wa kutumia MA MA sasa ni pamoja na watendaji wa shughuli za uko katika misingi ifuatayo: kwamba kuelewa vyema maendeleo, watafiti na mabingwa wengine kutoka mazingira ya wenyeji kunaruhusu urekebishaji mzuri sayansi asilia na sayansi za jamii;9 na jumuia yenyewe ya zaidi wa maarifa ya dunia; kwamba matumizi ya vyanzo maendeleo inaanza kutambua na haki za kitaalamu vya maarifa ya wenyeji huongezea walengwa umiliki na zinazohusiana na MA.10 hatimaye kuifanya miradi ifanikiwe na kuwa uendelevu;1 Mabadiliko haya pia yanaonekana dhahiri kwenye kwamba kujifunza na kujenga kutokana na mifumo ya Benki ya Dunia. Maarifa “Asilia” au “ya wenyeji wa maarifa iliyomo ndani ya jumuia za wenyeji, husaidia mahali” yameongezeka katika machapisho ya Benki na katika kuziwezesha jumuia hizi kuimarisha fikra kuhusu mazungumzo yake na wateja wake. Hii ni tofauti na fursa sawa katika uhusiano wao na serikali pamoja na ilivyokuwa huko nyuma, ambapo Benki kwa kawaida wabia wa nje wa maendeleo yao; kwamba matumizi ya ilizingatia zaidi maarifa ya “dunia.”11 Hali kadhalika, MA hayawezi kufanikiwa bila ya kuwako kwa ubia baina katika kuonesha muhimu wa mifumo ya maarifa asilia, ya jumuia zenyewe, serikali na jumuia za wananchi, na katika Mikutano yake ya mwaka 2001, ilisambaza baina ya wabia wa maendeleo na wanataaluma, ili kuwa kijitabu kiitwacho: “Mafunzo Kutokana na Jumuia za na msingi wa matumizi bora ya maliasili adimu na Wenyeji wa Mahali: Changamoto na Fursa zake” ambapo unufaishaji wa wadau;2 na muhimu zaidi, uwekezaji ndani ya kijitabu hiki kilichosambazwa kwa wajumbe wa katika MA na uingizaji wa maarifa hayo katika programu utawala wa Benki, mlikuwa na mifano mahususi ya za maendeleo ambazo zinasaidiwa na Benki pamoja na mafanikio ya MA ambayo wajumbe walipewa wazingatie. wabia wake wa maendeleo, ungesaidia katika kufikia Mwisho, mahitaji ya maandiko yanayohusu MA kutoka lengo kuu la maendeleo ambalo ni kupunguza umaskini. kwenye Benki yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku: tovuti ya Benki kuhusu MA ni ya pili kati ya zile zinazoangaliwa sana kwenye Lango Kuu la Benki ya Mafanikio Dunia, Ukanda wa Afrika;12 na matoleo ya Kiswahili na Kiwolof ya tovuti ya MA hupokea wasomaji kwa idadi Wakati wa uzinduzi wa Programu ya maarifa asilia, takribani maradufu ya wale wa Kifaransa. Hii ni dalili ya Benki ya Dunia ilichapisha “Mwongozo wa Utekelezaji”3 kuwa kuna mwitikio mkubwa wa kupokea MA kwa lugha Mwongozo huu ulikuwa sehemu ya mkakati uliolenga za wenyeji. katika uboreshaji wa viwango vya mipango ya maendeleo pamoja na uwezeshaji wa jumuia za wenyeji wa mahali kwa kuwashirikisha katika maeneo makuu matatu ya Kuimarisha uwezo wa wenyeji shughuli: (a) kuinua kiwango cha uelewa wao kuhusu Kumekuwa na maendeleo makubwa ya kuimarika kwa muhimu wa MA; (b) kuimarisha uwezo wa wenyeji wa uwezo wa jumuia za wenyeji wa mahali na vituo vya MA kuhifadhi na kubadilishana MA; na (c) kutumia wa MA katika ubadilishanaji wa uzoefu wa wenyeji katika katika Programu za maendeleo. Ufuatao ni muhtasari kushirikishana mafunzo, maendeleo haya yanathibi- mfupi wa mafanikio ya awali wa mambo ambayo juhudi tishwa na yafuatayo: kuna urahisi sasa hata katika nchi za programu ya MA zimeyapigania mpaka sasa.4 za Kiafrika, wa kupatikana kwa taarifa zilizochapishwa za kumbukumbu mbalimbali, hali hii imetokana na kuongezeka kwa upatikanaji wa huduma za mtandao wa Kuuongeza utambuzi Intaneti, huduma za mtandao za washiriki wa MA Umuhimu wa MA ndani ya mchakato wa maendeleo zinaongezeka kwenye nchi mojamoja na hata katika umezidi kuongezeka kama inavyoonekana kwa ushahidi kanda (vyama vya waganga wa jadi nchini Uganda, huu ufuatao:5 machapisho yanayohusu MA yameonge- Tanzania pamoja na nchi nyingine, vyama vya kanda vya zeka kwa kiasi kikubwa;6 kumekuwa na ongezeko la kasi uwindaji wa jadi huko Afrika Magharibi, n.k.), vituo vya la mfululizo wa washiriki mbalimbali, AZISE na hata ukusanyaji na usambazaji wa kumbukumbu vimeanzi- taasisi za utafiti, katika masuala ya MA; watendaji wa shwa katika jumuia za wenyeji, (k.m. nchini Uganda); 47 Jedwali 1. Mifano ya matumizi ya MA katika miradi inayofadhiliwa na Benki ya Dunia Mradi Nchi Kipengee husika cha MA Mradi fungamani wa maende- Eritrea Kukusanya na kusambaza shughuli za kijadi kwa kuzingatia leo ya hatua za awali za utoto migogoro ya nyuma Mradi wa lishe na maendeleo Uganda Kubadilishana mafunzo ya shughuli za MA katika miradi ya ya hatua za awali utotoni maendeleo ya hatua za awali utotoni nchini India Sri Lanka pamoja na matumizi ya ICTS Mradi wa hatua za Awali Kenya Kubadilishana mafunzo ya shughuli za MA katika miradi ya utotoni maendeleo ya hatua za awali utotoni nchini India Sri Lanka pamoja na matumizi ya ICTS Mradi wa chachu ya maendeleo Ethiopia Shughuli asilia za wanawake zilizokusanywa na kuunganishwa: ya wanawake uzoefu wa miradi midogomidogo ya SEWA huko India uliohamishiwa Ethiopia Mradi wa II wa utafiti wa Uganda Shughuli asilia za kilimo zilizounganishwa na upelekaji huduma kwa kilimo na mafunzo wahitaji pamoja na programu za usambazaji Mradi wa taifa wa huduma za Uganda Msaada kwa ajili ya huduma za ugani kwa wakulima ushauri wa kilimo Mradi wa taifa wa utafiti wa Kenya Shughuli asilia za kilimo zilizounganishwa na upelekaji huduma kwa kilimo wahitaji pamoja na programu za usambazaji Mfuko wa kijamii wa Malawi Malawi MA ni chombo cha mawasiliano kwa ajili ya uwezeshaji na (MASAF 3) maendeleo ya jumuia Mfuko wa Jamii wa Uganda Uganda Kutumia MA katika kuhamasisha ujenzi mpya wa jumuia Kaskazini (NUSAF) zilizoathiriwa na migogoro ya vita Mradi taifa wa huduma za Uganda Kuweka vidokezo vya MA vinavyoonesha kuridhia wakulima katika ushauri wa kilimo huduma zao za ugani Mchakato wa PRSP/CAS Kenya Kuainisha nafasi ya asasi za wenyeji zenye ushiriki na uwazi wa huduma Programu ya VVU/UKIMWI Burundi Kutumia MA kusaidia Wenyeji kupambana na VVU/UKIMWI kwa Ya Nchi nyingi pamoja kushirikiana na Waganga wa jadi Programu ya VVU/UKIMWI Guinea Kutumia waganga wa jadi ili kusaidia kupunguza maambukizi Ya Nchi nyingi pamoja yanayohusiana na VVU/UKIMWI Mradi wa Uhifadhi na Ethiopia Kipengee cha MA kitasaidia ukusanyaji na uchambuzi wa data Matumizi Endelevu ya Mimea kuhusu manufaa ya mimea yenye sifa za dawa ya Dawa Mradi wa Uhifadhi wa Ghana Kukuza moyo wa uhifadhi na matumizi endelevu ya mimea yenye Bioanuai katika Savana sifa ya dawa kubadilishana kikanda mafunzo yanayotokana na MA Hii 2C2 inawakilisha moja ya mbinu bora za kumejenga mazoea ya kusambaza shughuli za asili;13 na kushirikishana mazoea asilia ambayo ni maarifa yenye kushirikiana maarifa kati ya jumuia moja na nyingine nguvu kimaudhui. Kwa mfano, huko Afrika ya Kusini pamoja na kubadilishana mafunzo ndani ya kila nchi na C2C ilikuwa na matokeo makubwa katika uboreshaji wa baina ya nchi mbalimbali (C2C) kumeimarisha uwezo wa hali za washiriki. Washiriki walijifunza kwa kutumia wenyeji wa kujifunza kutoka kwa wenzao. C2C, namna ya kuboresha mikakati ya masoko na wakafanikiwa kupata mkataba mkubwa wa kuuza mazao 48 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia yao ya bishara nje.14 Mapato kutokana na mauzo yale yalikuwa mengi zaidi yakilinganishwa na gharama ndogo Wakunga wa jadi na wafanyakazi wa Afya ya utayarishaji na uuzaji. Mafunzo ya uzoefu kutokana na wanashirikiana kuokoa maisha C2C kadhaa, pamoja na vidokezo vya mbinu zenye huko Uganda vijijini mafanikio kwa maandalizi, usimamizi na tathmini ya C2C, vimeandaliwa kuwasaidia washiriki katika kupanga Katika wilaya ya Iganga nchini Uganda, mradi mabadilishano hayo.15 unaofadhiliwa na UNFPA (maarufu kwa jina la MWOKOAJI) uliwapatia wakunga wa jadi teknolojia ya kisasa ya mawasiliano kwa nia ya kutafuta mbinu Kutumia MA katika maendeleo za kupunguza vifo vya kina mama wajawazito. Mradi ulihakikisha kuwako kwa mfumo wa mawasiliano ya Ziko jitihada za wazi zinazoongezeka za uingizaji wa MA redio ambayo yaliambatana na kuwako kwa vituo vya katika programu za upunguzaji wa umaskini kwa lengo la msingi ndani ya Kituo cha Afya cha Msingi, vyombo kuleta ufanisi bora zaidi kama inajidhihirisha katika vya mkono vya mawasiliano kwa ajili ya wakunga wa matokeo yafuatayo: nchi kadhaa zimeanza mchakato wa jadi, gari la kuchukulia wagonjwa na akiba ya maandalizi ya mikakati ya MA kwa njia ya warsha za kuaminika ya damu. Mawasiliano ya kuaminika na kitaifa na matukio mengine (k.m. Uganda imemaliza vyombo vya usafiri vinavyounganisha walipo waku- mkakati wa MA kitaifa na Burkina Faso, Malawi, Mali, nga wa jadi na vituo vya afya ni mambo yaliyosaidia Kenya, Sri Lanka na Tanzania zimefanya warsha za katika kuhakikisha kuwa wagonjwa waliohitaji kusaidia uzinduzi wa mchakato); nchi chache zimekwisha utaalamu zaidi walifikishwa mapema kutakiwako. ingiza MA katika programu zao za upunguzaji umaskini Papo hapo, utoaji wa huduma kwa wagonjwa (kwa mfano, Mpango wa Utekelezaji wa Uondoshaji wa uliimarika zaidi na zaidi kwa kuwafikia akinamama Umaskini Uganda (PEAP) umeingiza MA kama kipengee wengi zaidi. Kuunganishwa kwa wakunga wa jadi na cha sayansi na teknolojia; jimbo la Kerala huko India wafanyakazi wa afya kumenyanyua mifumo yote linaingiza MA katika Mpango wake wa 10 wa kila Miaka miwili: maarifa asilia na maarifa ya kisasa. Matokeo Mitano n.k.) na miongozo ya uingizaji wa MA katika makubwa ya mradi ni kule kupungua kwa vifo vya upangaji na maandalizi ya miradi imetayarishwa kwa akinamama wajawazito. Inasemekana vifo hivyo kushirikiana na CIDA, ILO na Mpango wenyewe wa vilipungua kwa zaidi ya asilimia 50 katika kipindi cha MA.16 Baadhi ya asasi za kikanda pia zimeanza kuingiza miaka mitatu, yaani, robo tatu ya Lengo la MA katika mikakati yao, (kwa mfano, SADC imejumuisha Maendeleo la Melenia la mwaka 2015!22 MA kuwa kipengee kimojawapo chini ya sayansi na teknolojia katika Mpango wa Mkakati wa Maendeleo wa kujifunza undani wa mazingira kimaumbile, uhusianao Kanda).17 wa watu kijamii, uchumi wa wenyeji, historia na Hatua zilizopatikana katika uingizaji wa MA katika utamaduni pamoja na maarifa ya jumla yaliyo sehemu ya juhudi za maendeleo zimeonekana kuongezeka pia uzoefu wa jumuia. Matumizi ya mbinu jumuishi kama kwenye miradi inayofadhiliwa na Benki ya Dunia. hizi husaidia uelewa bora zaidi wa hali halisi ya wenyeji Ilivyokuwa, miaka mitano iliyopita miradi michache sana kwa ukamilifu; kubuni mipango endelevu na yenye kuzaa ilikuwa na kipengele maalumu kilichohusiana na MA, matunda; kujifunza kutokana na jumuia na kuzisaidia hivi leo, zaidi ya miradi ishirini na nne ambayo ama iko jumuia kujifunza mazoea ya dunia na kuyatumia katika kutekelezwa au kuandaliwa ina vipengee ipasavyo. Matokeo yake, mchakato wa maendeleo huwa maalumu vya MA. Jedwali la 1 linaonesha baadhi ya imara zaidi na wenye kuzaa matunda . Aidha, kwa njia miradi hiyo barani Afrika. hii, utapatikana urari wa dhana za maendeleo za “wageni” na “wazawa” katika maendeleo.19 Mafunzo na Changamoto. Kwa kutokana na asili jumuishi ya MA, ubadilishanaji wa taarifa zake unaweza kuwa na thamani ambayo ni Kujifunza MA kunasaidia kujenga mbinu mcha- zaidi ya mazoea fulani mahususi. Uvushaji na upashanaji nganyiko katika jitihada ya kuleta maendeleo.18 wa taarifa jumuia kwa jumuia, yaani C2C, uliogusiwa Mbinu hizo mchanganyiko husaidia uwezeshaji wa huko nyuma, kwa mfano, umeonesha kwamba washiriki jumuia za wenyeji wa mahali na huwajengea msingi wa hawajifunzi stadi maalumu au mazoea fulani tu, bali pia, kuleta mabadiliko. Mbinu hizo huhusisha jitihada za na muhimu zaidi, huzingatia mbinu tofautitofauti za 49 kupatia ufumbuzi wa matatizo. Mbinu hizo huwaibulia mbegu zinazostawi katika maeneo husika.23 Kwa bahati fursa ya kufikiria kwa makini mikakati yao wenyewe kwa mbaya, matokeo ya jitihada hizi hayakuwa ya kuridhisha. kulinganisha na ile mipya wanayopata katika muktadha Jitihada hizi zimeleta mapendekezo machache sana yenye wa shughuli mahususi. Hivyo C2C imeonesha uwezekano mashiko ambayo yanaweza kuwafaa watendaji wa asili. mkubwa wa kuziwezesha jumuia za wenyeji wa mahali na Kwa mfano, mabwana shamba wanaendelea kutilia kuzisaidia kwa kuimarisha pumzi ya kuleta mabadiliko mkazo jumbe zinazohusiana na mazao “makuu” kwa zaidi ya kujifunza teknolojia maalumu iliyopo. Kwa kuwa kuzingatia kanuni za utaratibu wa uhusiano wa maendeleo, kwa dhati yake, ni mchakato wa mabadiliko pembejeo-mazao. yanayotakiwa, mbinu zilizofafanuliwa hivi punde, Hata hivyo, bado inabakia haja ya kuweka kumbu- zitachangia kikamilifu katika kufikia malengo ya msingi kumbu na kuthibitisha madai kuhusu taathira ya MA, ya jumuia. hususani katika maeneo kama vile tiba za jadi ambazo MA hufungamana sana na mazingira maalumu huhusisha maisha ya watu. Mtu anajuaje kuwa ni kweli na kwa hivyo yasingeweza kuigizika isipokuwa dawa fulani inaponya na mimea itumikayo ni salama? Iko kama yangerekebishwa au yangechanganyika na haja ya kutengeneza taratibu zitakazotumika kwa mifumo mingine ya maarifa. Kwa maana yake, MA ni kulingana na sifa mbalimbali za umahususi wa MA. ya mazingira maalumu.20 Kwa sababu hiyo, yana miiko Jitihada za hivi karibuni katika suala hili zimeonesha yake inayohusiana na uvushikaji wake kutoka mazingira dalili za kupatikana kwa maendeleo ya kuridhisha. mengine na uenezaji. Kinachofanikiwa katika mtaa fulani Mathalani, Mpango wa MA umeanzisha ubia wa mwanzo au ndani ya jumuia moja kinaweza kusifanikiwe baina ya kundi la kupambana na UKIMWI la Tanga, kwingine.21 Hata hivyo, baadhi ya shughuli asilia huweza nchini Tanzania na Taasisi ya Afya kitaifa ya Marekani ili kurekebika kwa ajili ya matumizi ya mazingira mengine washirikiane katika uthibitishaji wa nguvu za dawa ya kitaasisi au ya kijamii-utamaduni au yanaweza zinazotumiwa na waganga wa jadi kutibu magonjwa kunyanyuliwa kiwango kwa kuchanganywa na ya mifumo dowezi yanayowapata maelfu ya watu wenye mingine hadi yakaleta matokeo ya sifa. Sanduku la hapa VVU/UKIMWI katika wilaya ya Pangani. Mfano chini linaonesha jinsi msukumo wa maendeleo uliotokana mwingine wa taratibu hizo unahusu utayarishaji wa na wenyeji ulivyofanikiwa katika wilaya ya Iganga huko mwongozo ambao kwa huo Shirika la Afya Duniani Uganda, inasemekana wilaya hiyo ilipata mafanikio (WHO) linataka utumike kuamulia namna bora za katika kupunguza vifo vya akinamama wajawazito kwa kuhakikisha usalama, nguvu na viwango vya ubora wa asilimia 50 katika kipindi cha miaka mitatu, kwa mimea yenye sifa za dawa.24 matumizi ya teknolojia rahisi ambayo ilinyanyua ubora Njia ya pili ni kuweka taratibu za maadili kwa wa maarifa asilia pamoja na mifumo ya maarifa ya kisasa. watendaji wa jadi wote wa MA ambazo hulingana kitaifa Mifano hii ya mafanikio inaweza kuigizwa katika jumuia na pengine kimataifa. Njia hii ya pili inaweza kuwa na nyingine (nchini Uganda pamoja na nchi nyingine) zenye manufaa zaidi ya uwezeshaji wa wenyeji wanaohusika na sifa zinazofanana (k.m. sehemu zenye waganga wengi na MA. Mathalani mafanikio ya dawa za kisasa hutokana na wakunga wa jadi katika maeneo ya vijijini.) utaasisishaji wa vyombo vya weledi wa tiba vyenye Uhalalishaji wa MA ni muhimu katika kuthi- taratibu, wakala za kiserikali na zifaazo kwa tasnia bitisha matokeo na thamani yaliyo nayo endapo yenyewe. Vyombo hivi vya wataalamu na jumuia yatapelekwa kwingine, ila inahitajika itifaki zinazojishughulisha na tiba zimeunda viwango na maadili inayoendana na hali maalumu ya MA na inayowe- yao. Hatua hii ambayo kwa sehemu kubwa imeleta zesha watumiaji wake. Wanasayansi wanaotilia shaka mafanikio, husaidia katika udhibiti wa matumizi mabaya, uhalali wa uzoefu wa watendaji asilia huelekea kudai kughushi na uovu wa namna yoyote. kwamba “wingi wa vituko si ushahidi.” Ziko njia mbili za Hata hivyo, kwa upande wa watendaji wa jadi, kuijibia changamoto hii. Njia ya kwanza (ambayo ni uwakilishi wa aina hii ni wa nadra kuliko kawaida (k.m. maarufu kuliko hiyo nyingine) ni kutaka uzoefu huo katika baadhi ya nchi kuna vyama vya waganga wa jadi). upimwe na kuthibitishwa kwa mbinu za utafiti na Pamoja na matatizo yote hayo ziko dalili za maendeleo. kufuata taratibu zote za uchambuzi wa kisayansi. Kuna mtandao wa dunia nzima unaoibuka wa vituo vya Mathalani, baadhi ya nchi zimewekeza katika uanzishaji rasilmali ya MA. Huu ni mtandao wa taasisi za wa maabara ya kifamasia kwa ajili ya uchambuzi wa kitaaluma, AZISE, jumuia za wananchi na watu binafsi mimea ya dawa ili kugundua thamani ya mimea hiyo wanaojishughulisha na utafiti huu, ukusanyaji katika tiba; wengine wamewekeza katika utafiti wa kumbukumbu, uenezaji na utetezi wa MA. Mitandao ya mifumo ya kilimo kwa nia ya kuelewa mifumo asilia ya 50 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia kikanda imeanza kuibuka pia. Miongoni mwa mitandao changamoto ya namna ya kupata mkabala wa kiubunifu hiyo ni Usimamizi Shirikishi wa Matumizi ya Ardhi kwa ajili ya haki ya mali za kitaalamu za maarifa asilia. Kiikolojia maarufu kama PELUM. Mtandao huu Yako maeneo kadhaa ambayo yakichukuliwa hatua kwa umeanzishwa katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki vitendo, yanaweza kusaidia katika kulikabili suala hili. na Kusini kwa ajili ya kushirikishana na kuunganisha Katika eneo la uhifadhi, jumuia za wenyeji zingeweza uzoefu, stadi na maarifa katika shughuli za kilimo cha kutiwa msukumo wa kutangaza na kusajili shughuli zao wakulima wadogowadogo vijijini. za kijadi. Mifano ipo25 ya uhifadhi ambayo haina gharama Mitandao yenye vuguvugu kubwa na yenye kubwa wala ugumu wa kutekelezeka. Mikataba ya kuendeshwa na wananchi wenyewe inaweza kufanya kazi Kuhamisha Vitu ni njia nyingine ya kulinda MA. nzuri ya uenezaji na utetezi wa MA. Hata hivyo, mpaka Mikataba hii inahusisha kupatiana (sampuli ua taarifa) hivi sasa wenyeji watendaji wa jadi hawana umoja; kila kwa ajili ya kubadilishana na fedha au manufaa mengine mmoja na lwake, tena wanashindana wao kwa wao au yasiyo ya kifedha. Mifano ya mapatiano ya haki katika “kulinda” maarifa yao kwa kutumia mipango ya siri au ushirikishanaji baina ya watumiaji na walinzi wa MA kushirikisha watu waliomo katika familia zao tu. huweza kupatikana katika nchi kadhaa hivi leo. Matokeo yake ni kwamba watendaji wa jadi wa MA Mathalani, serikali ya Cameroom, inasemekana kuwa, hawashirikishwi kikamilifu katika mijadala inayohusu imeingia mkataba na Taasisi ya Taifa ya Kansa huko maarifa na bado hawana mkakati mzuri wa kuwawezesha Marekani, baada ya kugunduliwa kwa aina ya mmea wa kufundishana kwa lengo la kupanua maarifa yao. Hali hii msituni ulioonesha kuwa na nguvu za kikemikali za huwafanya watendaji wazuri wa kijadi kutofahamika (na kupambana na UKIMWI. Camerroon inatoa mimea hiyo kutuzwa) nje ya sehemu zao. Aidha hupunguza kasi ya kwa malipo ya fedha ambayo inatumika katika miradi ya kuwagundua watendaji matapeli na hivyo kuchafua jina maendeleo ya jumuia.26 zima la utaalamu wa jadi. Mikataba ya kanda pia ingeweza kusaidia upatikanaji Mbinu mbili zilizotajwa hapo juu hazitofautiani moja wa ulinzi wa gharama ndogo wa mali za kitaalamu kwa kwa moja na utafiti unahitajika kama vile utetezi ajili ya jumuia za wenyeji wa mahali. Mathalani, Mkataba unavyohitajika. Hata hivyo, bila ya utetezi kwanza utafiti wa Andes wa 1996 ulioridhiwa na Bolivia, Colombia, hautaweza kufanikiwa kufikia lengo kuu la watendaji wa Ecuador, Peru na Venezuela huwezesha mamlaka ya jadi: kazi zao kutambuliwa kama zenye uwezo na za kitaifa na jumuia za wenyeji katika kila nchi kuwa kitaalamu. Watendaji wa jadi watakaopewa uwezo kwa wamiliki halali wa maarifa na rasilimali za kijadi, kwa kutamubaliwa ndio watakaoshirikiana na jumuia ya mujibu wa mkataba huo, wao hutoa kibali cha matumizi watafiti katika kuhimiza mambo yao na kutafuta mbinu ya maarifa na maliasili zao kwa mapatano ya mabadi- za kulinda haki zao za kitaalamu. Aidha watashirikiana lishano ya haki. na watunga sera pamoja na wawakilishi wa sayansi Haja ya MA ya kulishupalia suala la haki ya mali za zinazokubalika. Wabia wa maendeleo wanaweza kuwa na kitaalamu (IPR) isiwe kikwazo cha maendeleo na mchango mkubwa katika kufanikisha mchakato huu. utekelezaji wa miradi ya MA yenyewe ambayo ina Kapanga mbinu za kiubunifu kwa ajili ya manufaa kwa jumuia pamoja na mchakato mzima wa kulinda haki za kazi za kitaaluma zinazohusiana maendeleo. Hata hivyo, baadhi ya asasi zilizo ndani ya na MA ndiyo changamoto kubwa inayoikabili jumuia zenyewe pamoja na AZISE huendelea kuchukua jumuia ya maendeleo ya dunia. Mikabala (mbinu) ya hadhari kubwa kuhusu sababu ya maslahi ya wabia wa kiubunifu inatakikana kwa sababu taratibu zilizoko maendeleo katika MA. Moja ya hofu zao ni kwamba wabia zinaweza zisifae kwa masuala ambayo ni maalumu kwa hao wanaweza kuwapora wenyeji maarifa yao (pamoja na MA tu. Kwa mfano, MA kwa kawaida huhifadhiwa kwa mazao ya maarifa hayo, michakato yake, haki kadhaa na njia ya simulizi za mdomo na kimatumizi badala ya manufaa mbalimbali). Ingawa hakuna anayetilia shaka maandishi. Kwa kawaida maarifa haya huibuka hatua ile haja ya, na muhimu wa, kuwa na haki ya kumiliki mali kwa hatua na ni nadra sana yakahusisha michakato ya za kitaalamu, lakini wabia wa maendeleo, pamoja na kiviwanda. Aidha sio rahisi kumtambua mgunduzi binafsi watu wa serikali hawana budi kukumbuka, bila ya wa maarifa haya. Hizi zote ni sifa muhimu katika makosa, kuwa MA ni rasilimali iliyo hatarini kutoweka mchakato wa kubainisha haki miliki ya mchakato au ya kama haitahifadhiwa, ikafanyiwa uchambuzi na teknolojia chini ya kanuni zinazotawala sasa haki ya mali kukosolewa, ikaenezwa na kurekebishwa.27 Changamoto za kitaalamu (IPR). WIPO ambaye ni mbia katika inayoikabili jumuia ya maendeleo ni kubuni mkabala usio programu ya MA, imekuwa msitari wa mbele katika na upendeleo ambao utasimamia uhifadhi wa mifumo ya kuendeleza mdahalo wa dunia na ubia kuhusu MA na wakati huohuo kulinda wamiliki wake. 51 Jedwali 2. Mchango unaoweza kutokana na MA katika kufanikisha Malengo ya Maendeleo wa Milenia (MMM) Malengo ya Mifano ya MA Vyanzo Maendeleo ya Milenia Ondoa umaskini Katika jimbo la Uta Pradesh nchini India, wakulima walitumia Tini za MA na njaa maarifa ya asilia na ufundi wao katika kuongoza tija katika kilimo na Na. 45 mapato yao kwa asilimia 60 katika kipindi cha miaka mitano. Jenga uwezo wa Katika Afrika ya Magharibi, matumizi ya lugha za wenyeji kwa Tini za MA kutoa elimu ya kufundishia kumefikishia watu wengi wa vijijini ujuzi wa kusoma na Na. 5 msingi kwa wote kuandika pamoja na vijana wengi kupata ajira ya ualimu. Hamasisha usawa wa Wanawake ni chachu kubwa ya kuleta mabadiliko ya kijamii kote Tini za MA kijinsia na kuwawe- barani Afrika. Nchini Senegali, wanawake wa Malicounda Na. 3 zesha wanawake walijiwezesha kukomesha mila ya wenyeji ya ukeketaji. Punguza vifo vya Kote barani Afrika, jumuia za wenyeji hutumia mazoea asilia ya kulea Tini za MA watoto katika kuongeza lishe ya watoto zaidi ya maziwa ya mama. Huko Na. 35 Ethiopia, dawa za jadi hutumika katika tiba ya magonjwa ya kawaida ya watoto. Inua kiwango cha Nchini Uganda, wakunga wa jadi, kwa kushirikiana na watumishi wa Tini za MA afya ya kina mama vituo vya afya, kwa kutumia Teknolojia ya habari, walisaidia katika Na. 40 wajawazito kupungua kwa vifo vya kina mama wajawazito kwa zaidi ya asilimia 50 katika kipindi cha miaka mitatu. Pambana na VVU/ Nchini Tanzania waganga wa jadi wamefanikiwa kutibu maambukizi Tini za MA UKIMWI, malaria na dowezi ya wagonjwa 4,000 wa ukimwi na hivyo kuwarefushia maisha. Na. 51 magonjwa mengine Hakikisha kuwako Jumuia za vijijini huko Msumbiji zinasimama kidete kulinda misitu ya Tini za MA kwa mazingira ufukweni isifyekwe ovyoovyo kwa kutumia masimulizi ya jadi pamoja Na. 46 endelevu na miviga yao. Kwa njia hii mali hizi asilia huendelea kuwako hadi vizazi vijavyo. Jenga ubia wa Kikosi cha wataalam wa MA kutoka Afrika ya Mashariki hutembelea Tini za MA maendeleo katika wenzao huko Asia ya Kusini kujenga ubia wa kupatia ushirikiano wa Na. 55 kiwango cha dunia Nchi Kusini ya shughuli zinazohusiana na MA. Mambo ya usoni mwanzomwanzo za chapisho hili zinazohusu mafunzo na changamoto. Ni dhahiri kuwa, wahusika wa msingi ni Mambo yaliyo kwenye chapisho hili yanaonyesha kuwa jumuia zenyewe na watendaji wake wa jadi. Hata hivyo, katika miaka michache iliyopita kumekuwepo na serikali zinazohusika pamoja na wabia wao zinaweza maendeleo mazuri katika uwekaji wa MA katika ajenda kuchangia vyema katika ufanikishaji kwa kuwasaidia ya maendeleo: utambuzi wa thamani ya MA katika wadau hao katika sera, programu, tafiti pamoja na mchakato wa maendeleo unaongezeka; ingawa kuwaonya inapobidi lakini kwa malengo maalumu. ushirikishanaji wa MA unaovuka mipaka ya nchi na Je, itakuwa ndoto ya kweli kufikiria kuwa miaka jumuia limekuwa ni suala la wataalamu zaidi kuliko mitano ijayo, mafunzo ya MA pamoja na ushirikishaji wa watendaji wa jadi wenyewe. Haya ni mabadiliko ambayo mazoea yake ndani ya programu za maendeleo utakuwa yanakwenda polepole, lakini pia kuchanganywa kwa MA mtindo utakaokuwa umekubalika badala ya kuwa jambo katika mchakato mzima wa maendeleo kunaanza linalopuuzwa kama hali ilivyo sasa? Tuangalie, ajenda kujitokeza. Hata hivyo, jambo la msingi ni kwamba, kuna ifuatayo yenye vipengele sita, inayotangaza vitendo mambo mengi yanayopaswa kufanya ili kuimarisha ambavyo serikali na wabia wanapaswa kutekeleza ili mabadiliko hayo yaliyopo sasa na kupanua wigo wa kuiota ndoto hiyo. Mpango wa MA umejitoa kwa dhati mabadiliko hayo pamoja na upeo wake. Baadhi ya maeneo kuunga mkono ajenda hiyo kwa kushirikiana na wadau yanayohitaji hatua za haraka yamo katika sehemu za wengine wanaohusika. Misingi ya ushirikiano itakuwa 52 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia kufuata kanuni zenye manufaa kwa kila upande pamoja • Kuwezesha ubadilishanaji maarifa baina ya jumuia. na ushirikishanaji wa uzito wa majukumu. • Kuunda vyama vya Kitaalamu, viwango na kaida za MA • Kuunga mkono juhudi za jumuia za kuanzisha 1. Kutia nguvu shughuli za MA zilizofanikiwa ili shughuli za biashara zinazohusiana na MA. kufikia Malengo ya Maendeleo Milenia Serikali zenyewe zingeweza kuwa mstari wa mbele Uko ushahidi kamili kuwa miongoni mwa njia bora za katika kuandaa sera ya mazingira yanayowezesha kuziwezesha jumuia ni kuzipa fursa ya kutumia mazoea jitihada hizi zichuchuke. Wabia wangeweza kuziunga yao asilia katika shughuli za maendeleo ambazo mkono kwa kutoa maliasili za kuunganisha, kusuhulisha zinawagusa moja kwa moja. Ingawa kuna mvuto wa na kueneza masomo ya uzoefu yanayotokana na jitihada taasisi za wenyeji wa mahali pamoja na serikali, ambao hizo, (wabia wanaweza kutumia kwa mfano vifunge na unatilia mkazo kuingizwa kwa MA ndani ya programu na miongozo, na sampuli kifani ambazo tayari zimeanda- miradi, lakini, viwango hivyo vya mvuto unaokua liwa). Miradi, vyombo vya kati na wakala za serikali vinahitilafiana. Kwa upande mmoja, hali hii inatokana na hupaswa kuunga mkono kwa kudhihirishia watendaji wa baadhi ya serikali kutokuwa na hakika bado na dhamira jadi katika jumuia za tafiti za kisayansi pamoja na wadau ya kujitoa kwa dhati kwa wabia wa nje wanaounga mkono wengine walio weledi wa nyanja hizo. Wakati huohuo, shughuli za aina hii, ambao wanaweza kuwa na shaka sekta binafsi ingehamasishwa, kwa kuwako kwa sera kuhusu matunda ya njia nzima inayotumiwa. Jedwali (2) zifaazo ili kuwekeza katika uendelezaji wa mazao linaonyesha wazi jinsi ambavyo MA yanaweza kutoa yanayotokana na mazoea asilia au kwa kuanzisha ubia mchango wa hakika katika ufanikishaji wa Malengo ya unaofaa kati ya jumuia na sekta binafsi.28 Maendeleo ya Milenia (MMM). Mifano hii ifuatayo inaonyesha kuwa ikiwa MA yatafanyiwa marekebisho yanayopasa, pamoja na kuchuchuliwa kwa vyanzo 3. Kuendeleza itifaki bunifu kwa kupatia ithibati vingine vya maarifa, kuna hakika ya MA kutoa mchango na ulinzi wa MA mkubwa katika uokoaji maisha, uelimishaji wa watoto, ongezeko la uzalishaji katika kilimo, uinuaji wa viwango Kama ilivyodokezwa mwanzoni mwa makala hii, misingi vya utawala bora, n.k. Basi, kwa akili ya kawaida, ya itifaki/protokali za kimataifa zinazolinda haki za inawapasa wabia wote wa maendeleo kuwa mstari wa umiliki wa mali za kitaalamu (IPR), kwa dhati yake, imo mbele katika kuunga mkono shughuli za kijumuia katika dhana ya hataza. Hali kadhalika, protokali/itifaki zinazoegamia kwenye MA. za kupatia ithibati ya dawa za jadi, kwa nafsi yake, huruhusu kufanyika kwa utafiti wa nguvu za dawa mojamoja kwa tiba ya ndwele mahususi au ugonjwa. Hali 2. Kuimarisha uwezo wa jumuia za wenyeji wa hii husababisha matumizi ya itifaki/protokali hizo katika kuchuchua, kushirikisha na kutumia MA yao dawa za jadi kuleta mushkeli kwa sababu tiba ya dawa za jadi hushirikisha, kwa pamoja, aina nyingi za vipengee Miongoni mwa njia bora za kuziwezesha jumuia za vya mitishamba. Hivyo iko haja ya kupatikana kwa wenyeji ni kuzisaidia kuimarisha kiwango cha uwezo wao mbinu mpya zitakazoleta ufumbuzi wa suala la haki za wa kubadilishana na kutumia mazoea yao ya jadi (ama umiliki wa mali za kitaalamu na upatikanaji wa ithibati moja kwa moja ama yanapounganishwa na mengine). ya kisayansi ya dawa zinazofungamana na MA. Ingawa Uzoefu unaonyesha dhahiri kuwa kuunganisha maarifa hatua za mwanzomwanzo zimekwisha kuonekana, kama ya aina mbalimbali pamoja na kuunganisha wale ilivyodokezwa huko nyuma, lakini itabidi juhudi wanaoyatafuta na wale waliyo nayo kuna manufaa ya zizidishwe katika ufumbuzi wa suala hili. Serikali kuongeza uwezo wa jumuia za wenyeji wa kutanzua zinaweza kusaidia kwa kutunga sera zifaazo pamoja na matatizo kwa kuongeza washiriki. Hatua mahsusi na mikataba ya kisheria. Wadau wote, wakiongozwa na muafaka katika eneo hili zingeweza kujumuisha uungaji WIPO, kwa upande wa masuala ya haki za umiliki wa mkono wa: mali za kitaalamu (IPR) na Shirika la Afya Duniani • Kubuni mikakati ya MA kitaifa pamoja na kuiingiza (WHO), kwa upande wa dawa za jadi, wangeweza katika programu za upunguzaji wa umaskini. kuchangia kwa kukazania matumizi yanayofaa ya • Kunadi Maarifa ya Nchi za Kusini pamoja na protokali/itifaki za kimataifa na kuzieneza kwa kutumia ubadilishanaji wa mafunzo. 53 kampeni za kupeana habari ambazo zitawafikia washiriki kwa ufumbuzi zimehusisha MA.29 Mfuko wa na jumuia zao za wenyeji, vyama vyao vya utafiti, n.k. kuhamasisha ubunifu maalumu wa MA ungeweza kuanzishwa kwa muundo wa ule wa uhamasishaji wa uvumbuzi na kuwapatia washirika fursa ya kuchangia 4. Kutengeneza kiunzi cha kufuatilia matokeo ya rasilimali ili kupata mtaji wa “ujasiriaji” kwa ajili ya usimamizi wa MA na kupima taathira zake ubunifu unaohusiana na MA. Wakati miradi na shughuli zinazoshirikisha MA zinaongezeka, pia kuna kuongezeka kwa ushahidi ambao 6. Kuandaa Kongamano la MA la Dunia ili utakuwa na manufaa katika upanuzi wa matumizi ya MA kuhamasisha ajenda iliyotajwa hapo juu yanayovuka mipaka ya nchi mojamoja. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya uandaaji wa seti za vidokezo mahususi, Licha ya maendeleo yote yanayoonekana mpaka sasa, mwafaka kwa sekta binafsi. Vidokezo hivyo vitaonesha bado uelewa wa mchango ambao MA yanaweza kutoa maarifa ya ushirikishwaji wa MA au ubaya na mazoea katika maendeleo, kwa jumla uko chini. Bado uko mabaya katika maendeleo. Kiunzi hicho cha vidokezo pia ushahidi unaozidi kuongezeka kuhusu jinsi mazoea ya kitasaidia kuchuja mbinu zilizofanikiwa ili ziweze kijadi yalivyochangia kikamilifu katika ajenda nzima ya kupanuka kimatumizi kwingineko. Kiunzi chenyewe maendeleo. Katika muktadha huu, litakuwa jambo kihusishwe na Malengo ya Maendeleo Milenia ili kioneshe mwafaka kuitisha kongamano ambalo litakusanya jinsi kitakavyochangia mafanikio ya malengo hayo. Ama, watunga sera wawakilishi wa jumuia za MA ambazo kwa njia hii, masuala ya upatikanaji ithibati na ya haki ya huzitumia kimazoea, asasi nyingine za ndani ya jumuia, umiliki wa mali za kitaalamu (IPR) kuhusu miradi yenye wabia wengine wa maendeleo, n.k. kwa pamoja mnasaba na MA kushughulikiwa, serkali zinaweza wataitumia fursa hii kusaidia kujenga dhamira kuhakikisha kwamba mikakati ya MA kitaifa ina madhubuti ya utekelezaji wa ajenda iliyotajwa hapo juu. mipango ndani yake inayofaa kwa upimaji wa matokeo. Mwaka wa 2005 utakuwa mwafaka kwa ajili ya Wabia wenyewe wanaweza kusaidia kutayarisha mbinu kongamano hilo na litaweka msingi wa MA katika hima mbalimbali kwa kuongozwa na mafanikio yaliyopatikana ya kusaidia kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo ya katika nchi pamoja na kuzieneza mbinu hizo kwenye Milenia kwa muongo uliobakia ili kufikia tarehe jumuia zinazokusudiwa. ilivyowekwa ya mwaka 2015. Mpango wa MA wa Benki ya Dunia uko tayari kushirikiana na wabia wengine, mamlaka za nchi mbalimbali, pamoja na mashirika yaliyo 5. Kuanzisha mfuko wa uvumbuzi wa ndani ya jumuia katika uandaaji na uitishaji wa kuhamasisha utundu wa MA wenye mafanikio kongamano la namna hiyo. Kongamano la kimataifa litazingatia na kudhihirisha dhamira ya wabia wa Wakati kimsingi MA hurithishwa kutoka kizazi kimoja maendeleo ya kukuza matumizi ya MA katika mchakato hadi kingine, maarifa haya huwa hayabakii kama yalivyo, wa maendeleo. kila kizazi huyapokea na halafu huongeza, hupunguza au kubadili mambo fulanifulani kwa kulingana na mazingira mapya. Jumuia za wenyeji wa mahali zina fursa na uwezo Hitimisho wa ubunifu na sanaa ya kubadili MA. Uko ushahidi kwamba jumuia na watendaji wa jadi, wapatapo fursa, Chapisho hili la sasa limejaribu kuweka pamoja ushahidi wanaweza kuchukua mbinu mpya za kutanzua matatizo unaounga mkono dhima muhimu ambayo MA inaweza mapya mbinu ambazo kimsingi, hutokana na mifumo yao kutoa katika mchakato wa maendeleo. Ni chapisho ya MA. Pia uko ushahidi kuwa mfuko wa uhamasishaji linalokumbusha miaka mitano ya Programu ya Maarifa wa uvumbuzi wa mbinu mpya ni chachu nzuri ya Asilia ambayo ni miongoni mwa jitihada kadhaa za Benki kusisimua fikra za kibunifu katika jumuia. Kwa mfano, ya Dunia katika miaka michache iliyopita. Jitihada hizi ni shirika la misaada ya kiufundi la Ujerumani (GTZ) za kujaribu kuleta mabadiliko ya kimsingi katika limefanya tathmini ya miradi midogomidogo pamoja na mwelekeo wa Benki katika kukabiliana na changamoto za ubunifu ndani ya jumuia. Hali kadhalika, soko/konga- kuleta maendeleo. Programu ya MA pamoja na jitihada mano la Maendeleo la Benki ya Dunia limeibua aina nyingine huenda zinaifanya Benki yenyewe iwe na mbalimbali za utatuzi wa matatizo zinazotokana na mwitikio kwa wateja kuhusiana na mahitaji yao, kwa jumuia zenyewe, baadhi ya mbinu zilizosaidia kupatikana kulenga haja ya kuziwezesha jumuia wenyeji. Aidha, 54 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Benki imedhamiria kujifunza kutoka kwa wengine ili 4 Angalia. Muhtasari uliotolewa kijedwali mwishoni kwa makala hii uone shughuli na mafanikio mbalimbali ya Programu ya MA. kuneemesha maarifa yake yenyewe kuhusu maendeleo 5 Programu ya MA haidai kuwa shughuli zake pekee ndiyo ambayo harakaharaka yanazidi kuwa sarafu yake ya pili. zilizosababisha kuongezeka kwa uelewa. Programu inakiri kuwako Kama vile Mheshimiwa Raisi wa Tanzania kwa sababu nyingine zilizochangia. alivyohitimisha katika utangulizi wa chapisho hili: ni 6 Tafiti za tovuti kuhusu maarifa asilia zilitoa takribani mapigo 10,000 mnamo 1998, zinazidi 120,000 mwishoni mwa 2003. wale tu wanaojifunza ambao wana fursa ya kufanikiwa. 7 Kwa mfano, washiriki kwenye makongamano ya hivi karibuni Tumejifunza kuwa MA ni jambo kubwa kwa ajili ya yaliyoandaliwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa (FAO, maendeleo endelevu na uwezeshaji wa jumuia za wenyeji UNCTAD, WHO, WIPO, WTO) wameanza kushirikishana taarifa na uzoefu kuhusiana na uhamasishaji, utumiaji na uhifadhi wa MA wa mahali. Kuingizwa kwa MA ndani ya mchakato wa katika mchakato wa maendeleo. maendeleo kutasaidia kuyaneemesha na kuyafanya yawe 8 Kwa mfano Lango kuu la maendeleo lina tovuti iliyo mahususi kwa wa sawa zaidi. Kama yalivyo maarifa mengine yoyote, MA MA ambayo ni miongoni mwa kurasa zenye kutembelewa sana. Angalia: http://www.development gateway.org/node/130646/. huhitaji kutumiwa, kupewa changamoto na kureke- 9 Hii ina maana ya kuwako kwa mabadiliko makubwa ya kiwango bishwa kwa kadiri mazingira yanavyobadilika. Kuunga cha juu na ambayo yameleta hali iliyo bora zaidi kuliko yale mkono mitandao ya wenyeji mahali na ile ya kikanda ya yaliyotokea katika nusu ya mwisho ya miaka ya tisini wakati (i) watumiaji wa MA na kuwezesha ubadilishanaji wa wanaanthropolojia jamii waliposhika hatamu za mjadala wa MA kwa sehemu kubwa kinyume cha hao ni ushiriki wa wataalamu wa maarifa na mafunzo jumuia–kwa–jumuia ambao kilimo walioshiriki baadaye, Michael Warren, na (ii) watu wote kwa utasaidia kuzipatia jumuia fursa ya kushiriki kikamilifu jumla ambao waliunga mkono kwa kuwa na mtazamo chanya zaidi katika mchakato wa maendeleo, zenyewe zikiwa kuhusu MA ilihali wachache waliona MA ni kifani cha uchawi au visa vya vikongwe. wahusika wakuu wa maendeleo yao. Hali ya kuwa iko 10 WIPO ambayo imeunda kitengo cha kushughulikia masuala ya MA haja ya ujenzi wa mfumo mpya na imara wa kupatia inatoa fursa ya mjadala katika kiwango cha ulimwengu unaohusu ithibati pamoja na ulinzi wa MA, mazoea ya wenyeji mali za kitaalamu (Intellectual property) na MA. Aidha, kitengo kinajishughulisha na utengenezaji zana zinazokusudiwa yaliyopo yanaweza, wakati huohuo, kurekebishwa na kuboreshea maslahi ya mali za kitaalamu za wamiliki wa MA. kuunganishwa na juhudi za maendeleo kijumuia, kitaifa 11 Kwa mfano, matokeo ya tafiti za “maarifa asilia” katika na kikanda. Kuendelea mbele na mwelekeo huu wa kumbukumbu za Benki, yanaonesha kuongezeka kwa kiwango maendeleo kunahitaji dhamira imara kutoka serikalini, kikubwa kutoka 13 ya mwaka 1998 hadi 237 ya mwaka 2003. 12 Viwango vilivyo vingi vya wastani vilivyopatikana kwa kila mwaka wabia, mashirika yaliyo ndani ya jumuia na watu wengine huonesha: watu kati ya ~120,000 waliotembelea, ~ 500,00hits wanaopenda kushiriki kazi za pamoja katika ubia wa (hodi?) za kuingia kwenye vitu vinavyohusika na MA. Viko vitabu kutumia MA, kwa ajili ya maendeleo katika mchakato wa vya taarifa vipatavyo 25,000 ambavyo vimepigiwa hodi. Isitoshe Tovuti ndogo ya Tini za MA ina kiwango kikubwa cha matumizi kujifunza kutoka kwenye jumuia na kuzisaidia jumuia (yaani kila mpiga hodi huangalia kwa wastani, tini zipatazo 20 za zenyewe kujifunza. MA). 13 Kundi la watu wapatao 20 ambao miongoni mwao kuna watunga sera, waganga wa jadi na maofisa wa mradi kutoka Ethiopia, 1 Kabla ya uzinduzi wa programu ya MA katika miaka ya themanini Kenya na Uganda na wenzao wa Benki ya Dunia walitembelea Sri Benki yenyewe ilikuwa na jitihada iliyokuwa imehusiana na Lanka na India mnamo Septemba 2002 kujifunza mafanikio maarifa asilia katika sekta ya kilimo kwa nia ya kunyanyua ubora yaliyopatikana kutokana na uhusishaji wa MA kwa njia ya dawa za wa uundaji wa miradi ya maendeleo (Warren D.M. 1991) jadi katika mradi ya maisha ya awali ya utotoni. Ubadilishanaji 2 Kwa mfano WIPO italenga masuala ya haki za umiliki wa mali za huu ulipelekea ubadilishanaji kati ya Nchi za Kusini baina ya Asia kitaalamu (IPR), IFAD, mada za kilimo; asasi zisizo za serikali ya Kusini na Afrika ya Mashariki (kama kundi la akinamama wa (NGOs) zingekuwa kiungo cha jumuia n.k. Wabia wa mwanzo Ethiopia lilichukua na kutumia miongozo kutoka SEWA (Ushirika waliosaidia kuzindua programu ya Maarifa Asilia walitoka ECA, wa wanawake kwa kujiajiri nchini India). Miongozo hiyo iliwasaidia CISDA, IDRC, ITU, UNESCO, UNDP na shirika la Afya Duniani katika uboreshaji wa uuzaji wa kazi zao za sanaa za mikono. (WHO) katika muktadha wa PICTA (Ubia wa ICT barani Afrika). 14 Maelezo zaidi yanapatikana katika tovuti ya Ushirika wa Herveld: Baadaye Programu ya MA ilishirikiana pia na watu wengine http://www. Indigo.dc.org/history.html. pamoja na CIDA, CIRAN huko NUFFIC (shirika la ushirikianao 15 Taratibu za kiwango cha Dunia zilizoko katika IFAD (GM/CCD) na wa kimataifa la Elimu ya juu la Uholanzi), FAO, GM/CCD,GTZ, programu ya MA kwa pamoja waliibua ile jitihada ya C2C ambayo IFAD, ILO, shirika la ushirikiano la Uholanzi, NORAD, iliungwa mkono kwa moyo mmoja na Serikali ya Uholanzi. Kifungu Ushirikiano wa maendeleo wa Uswiss, UNCED, UNCTAD, WIPO cha zana kimetayarishwa kwa ajili ya maandalizi, utekelezaji na na asasi nyingine nyingi zisizo za serkali, asasi za kijamii na vituo tathmini ya maarifa baina ya jumuia–na–jumuia pamoja na vya ubora, hususani barani Afrika na Asia ya Kusini. ubadilishanaji wa mafunzo. Kifungu hicho kinapatikana kwenye 3 Angalia Maarifa Asilia kwa ajili ya Maendeleo: Msingi wa tovuti: http://www.worldbank.org/afr/ik/ commun- utekelezaji (Indgenous knowlerge for Development :n Framework toolkit/starthere.htm. for Action) November, 1998, http://www.world bank.org/off 16 Miongozo hii inapatikana kwenye tovuti: /ok/ikrept.pdf. Kwa majadiliano ya awali ya madhumuni ya http://www.worldbank.org/afr/ik/guidelines/ Programu pia Tini za MA na kwa hatua zake zilizofuata punde, 17 Angalia URL:( URL http://www.sadc.int/index Tini za MA za 21. php?lang=English&path=about/risdp&page=risdp+ 55 18 Matumizi ya istilahi taaluma shirikishi katika muktadha huu ni ya 24 Angalia mkakati wa dawa za jadi wa Shirika la Afya Duniani makusudi: ina maana ya mgusano na maathiriano baina ya (WHO), wa 2002-2005, Shirika la Afya Duniani (WHO)2002. taaluma mbalimbali (kama uchumi, sosholojia, tiba, mbinu za 25 Kwa mfano Taasisi ya Ujenzi Upya vijijini (IIRR) imetoa ufundishaji n.k.), kinyume chake ni istilahi sekta–changilizi yenye mwongozo. “Uwekaji kumbukumbu na utumiaji wa Maarifa maana ya kila sekta kuchangia mazoea kwa wakati mmoja (k.m. Asilia.” Mwongozo huu huwapatia watumishi wa maendeleo vijijini katika elimu, afya, usafirishaji n.k). taarifa na zana zinazohitajika katika kuingiza MA katika mchakato 19 Tasnifu ya hivi karibuni juu ya shahada ya udaktari kuhusu wa maendeleo na hufafanua zaidi ya mbinu thelathini za maendeleo kwenye Chuo Kikuu cha Toulouse, Ufaransa inafanana ukusanyaji na uhifadhi wa MA. Angalia, mvutano baina ya dhana ya maendeleo yenye msukumo “nje” na http://www.panasia:org.sg/iirr/ikmanual/ ile yenye msukumo “ndani” katika kuchambua programu ya MA, 26 Posey, D na Dutfield G.(1996).Ng’ambo ya Mali za kitaalamu: mwandishi anaunga mkono mbinu shirikishi–taaluma Kuelekea Haki za Maliasili za kijadi za wenyeji na jumuia za zinazotumika katika MA kwa ajili ya maendeleo. Angalia Virginie wenyeji. IDRC. Ottawa. Escudie, ‘Du de’veloppement’ et la technologie’: impasses des 27 Matokeo mengine ya mjadala wa Haki za kumiliki mali za repre’sentations exogenes e’t e’merrgence de programmes kitaalamu(IPR)kuhusu MA ni kwamba Mashirika ya wenyeji na ya alternatifs” January 2004 Taifa yaliyojitoa katika uhamasishaji wa MA yanaibuka na mbinu 20 Kwa makusudi ya utekelezaji Programu ya MA ya Benki ya Dunia za kujihami katika suala hili, kwa kujenga mazingira ya utengano kutumia fasihi hii MA yana upekee wa kila utamaduni au jamii, badala ya ushirikiano. Baadhi ya mashirika, kwa mfano, yamo katika mazoea ya kila jumuia, asasi, uhusiano na miviga, hushindania mafungu ya fedha(ambayo ni adimu) au hushindania hutegemeza mbinu za uamuzi katika kiwango cha jumuia za kutambulika kuwa wawakilishi pekee wa MA ya kweli. Hivyo wenyeji; MA huzipatia jumuia mikakati ya kutanzulia matatizo uwekezaji katika uendelezaji wa mikakati ya MA au mipango ya yanayozikabili kwa kutumia zana au maliasili ndani ya mazingira utekelezaji huweza kukabiliwa na gharama za miamala yao. Programu ya maarifa Asilia hutofautisha maarifa ya “wenyeji” inayohitajika kuwaweka washiriki pamoja na kuwajengea moyo wa na maarifa ya “kimila” kwa kuwa MA (i) hayatokani na mafunzo ushirikiano. rasmi ya kishule (ingawa inawezekana maarifa hayo hukuzwa kwa 28 Kuna mifano mizuri huko Afrika ya Kusini wakulima wa chai wa kuingizwa katika mfumo wa elimu (ii) bado yanaendelea kutumika Suid Bokkeveld wametumia mazoea ya asilia (yaliyotoka kwa na (iii) yamo katika kukua na kupanuka wakati wote. “Maarifa ya wakulima wa Wupperthal huko jimbo la West Cape) kwa ajili ya kimila” pamoja na kuendelea kutumika hadi sasa, si maarifa kuboresha michakato ya kilimo chao baadhi ya mavuno na kuunda yanayoendelezwa kipekee kwa sasa. Maarifa ya wenyeji (pamoja na ushirika ambao umefanikiwa kuwapatia soko la chai yao huko weledi wao) hujumuisha maarifa yote yaliyomo ndani ya nchi Ulaya. Nchini Uganda, Serikali inaunga mkono uuzwaji wa dawa mahususi au jaribu fulani ambayo ni pamoja na maarifa ya hao ya mswaki inayotokana na mimea asilia. wenyeji wenyewe ya kijadi na ya kisasa. Angalia, 29 Kwa kweli, Programu ya MA ya Benki ya Dunia ilizinduliwa http://www.worldbank.org/afr/ik/what.htm. kutokana na ruzuku iliyotolewa na Kiwara –soko cha ubunifu 21 Katika miaka ya awali ya mashirikiano katika masuala ya mpya ambacho kilitangulia dhana nzima ya Kiwara-soko cha maendeleo, teknolojia zilihawilishwa moja kwa moja kutoka nchi Maendeleo, kisha ikabanwa na mapendekezo yaliyotokana na timu zenye viwanda hadi nchi zinazoendelea kwa matumaini kwamba za Benki. Kiwara-soko cha Maendeleo kilipanua dhana ile kwa zitasaidia chumi zinazoendelea kwa kasi ya ‘kuruka kichura’ kujumuisha mapendekezo ya kutoka kwenye makundi ya jumuia za Wahamasishaji wa ‘teknolojia mwafaka’ walirudia mbinu hiyohiyo kiraia ya nchi zinazoshiriki katika Viwara-Soko vya Maendeleo kwa kiwango ambacho kilipungua walipofikiria kuwa, kilichofaa ambavyo kwa kawaida hutokea mara moja katika kipindi cha India kwa mfano, kitafaa Tanzania pia jitihada hizo za mwanzo za miaka miwili (Matukio matatu yamekwisha kupangwa yakatimia uhawilishaji wa teknolojia kwa baadhi, ziligeuka kuwa ‘vyama mpaka sasa),benki inatoa ruzuku (za wastani wa dola 100,000) kwa fulani’ hasa teknolojia mwafaka-mkanganyo wa malengo na mbinu, ajili ya miradi kadhaa ya ubunifu mpya ambayo inateuliwa jambo ambalo waunga mkono wa MA wanatakiwa waepuke. miongoni mwa maelfu ya mapendekezo yanayopokewa. Kiwara- 22 Tini za MA za 40 Soko cha mwisho kilikuwa Desemba2003, kikaruzuku takribani 23 Jitihada za uwekezaji katika tafiti za aina hii, kwa hali ilivyo, dola milioni sita kwa mapendekezo 47 yaliyotolewa kwenye nchi umebanwa mno na ufinyu wa bajeti pamoja na kudumishwa kwa 27. makusudi na bajeti za Serikali na sekta binafsi ambazo hutegemeza tafiti hiyo. Hata hivyo kwa kadri uelewa wa muhimu wa MA yameingizwa Kitaifa katika Programu ya upunguzaji wa Umaskini kwa ajili ya kuchangia katika sekta ya Sayansi na teknolojia, ni dhahiri kuwa MA hutambuliwa kuwa kitovu halali cha eneo la utafiti wa Kisayansi. 56 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Tathmini ya Jumla ya Programu ya Maarifa Asilia kati ya 1998–2003 Malengo Shughuli Mafanikio Kukuza utambuzi Kuanzisha hifadhi Hifadhi data yenye viingizo zaidi ya 260 wa umuhimu wa MA data ya shughuli za http://www.worldbank.org/afr/ik/datab.htm; imeanzisha mawasiliano MA, mafunzo na zaidi ya vituo 20 vya MA ulimwenguni kote; hifadhi data yapatikanayo, vyanzo, imeunganishwa na mlango mkubwa wa WIPO wa hifadhi data za washirika n.k. MA ili kusaidia ofisi za hataza Kubainisha na kupima Ilianzisha mtindo wa kutoa ripoti bila kuweka wazi undani wa vifaa vya kupatia na shughuli husika kwa ajili ya uingizaji kwenye hifadhi data; ilifanyia kusambazia MA majaribio teknolojia ya kutolea taarifa, kuhifadhi kumbukumbu za video na mahojiano kwa vyombo vya kurekodia sauti, gegedugumu la njia nyingi za mawasiliano (vifurushi vya maarifa, juu ya matumizi ya maarifa asili katika kusaidia kufikiwa kwa MMM) Kuchapisha shughuli Zaidi ya Tini za MA 60 zimechapishwa kila mwezi zilizoteuliwa katika http://www.worldbank.org/afr/ik/iknotes.htm mitindo ya karatasi na kielektroni Kukuza utambuzi wa Wabia wengi wa maendeleo sasa wanachukua jukumu la kuingiza umuhimu wa MA au kujenga juu ya MA katika programu za maendeleo miongoni mwa wabia wa maendeleo Kuongeza uwezo wa Kusaidia kuongeza Ilisaidia kuundwa kwa mitandao ya kieneo; ilisaidia vituo vitano wenyeji wa uwezo wa wenyeji kuanzisha uunganishaji; ilisaidia nyumba za kumbukumbu za vijiji kuhifadhi na kushirikishana MA kwa ajili ya utamaduni wa desturi za Wamasai kubadilishana MA hasa miongoni mwa vituo mahalia vya MA Kubainisha njia sahihi Ilisaidia Baraza laTaifa la Sayansi na Teknolojia la Uganda za kukusanya, kuanzisha uwekaji wa kumbukumbu vijijini na vituo vua kusambaza MA usambazaji miongoni mwa jumuia mbalimbali Uwezeshaji wa Ilisaidia zaidi ya dazeni mbili za ubadilishanaji wa MA wa mahali, ubadilishanaji wa kieneo na katika eneo kubwa zaidi kwa ajili ya jumuia na kuzalisha maarifa na mafunzo sanduku la vifaa kwa ajili ya maarifa ya jumuia na ubadilishanaji miongoni mwa jumuia wa mafunzo.* Utumiaji MA katika Kuzisaidia nchi Ilisaidia Uganda kuunda mkakati wa kitaifa wa MA; ililisaidia mchakato wa kuandaa mikakati ya Jimbo la Kerala, India kuingiza MA katika mpango Mpango wa 10 maendeleo kitaifa ya kusaidia wa Maendeleo wa kila miaka mitano; ilizisaidia Malawi, Kenya, uingizaji wa MA katika Uganda, Tanzania, Burkina Faso, Mali na Sri Lanka katika mipango ya upunguzaji kuendesha warsha za kitaifa juu ya MA ambazo zilisababisha umaskini shughuli za ufuatiliaji katika kupendekeza vipengele kwa ajili ya mikakati ya kitaifa Ujumuishaji wa Zaidi ya dazeni mbili za miradi zilifadhiliwa na Benki ya Dunia, shughuli za wenyeji baadhi kwa ushirikiano na wabia wengine wa maendeleo, kuwa na katika programu/ vipengele na vifungu maalumu vya MA. Hivi vinajumuisha miradi miradi inayofadhiliwa ya maendeleo ya awali ya utoto, afya, VVU/UKIMWI, kilimo, na Benki ya Dunia na mitishamba, na usimamizi wa maliasili wabia wengine wa maendeleo. * Kubainisha moja kwa moja kwa shughuli za programu na uhusikaji wa MA wa wabia wa maendeleo sio rahisi. Hata hivyo, upitiaji wa tovuti za wafadhili mbalimbali unaonesha kwamba jitihada za jumla katika eneo hili zimeongezeka kwa kiasi kikubwa ukilinganishwa na mwaka 1998. 57 Marejeo Uboreshaji wa Uwezo Asilia: Kukuza Maarifa ya May, S. and Aikman, S. (2003). “Indigenous Education: Jumuiya kwa ajili ya Uwezeshaji. Addressing Current Issues and Developments.” Allen, Tim & Thomas, Alan (2000). Poverty and Develop- Comparative Education, Vol. 39 (2): 139-145. ment: Into The 21st Century. Oxford University Press, Monteil, Vincent (1964). L’islam noir. Paris : Editions du UK. Seuil Ashman, Davey (2001). “Civil Society Collaboration with Mugambi, J.N. Kanyua (2002). Christianity and African Business: Bringing Empowerment Back In.” World Culture. Nairobi, Kenya: Acton Publishers. Development, Vol. 29 (7): 1097-1113. Sembène, Ousmane. (2001). Ceddo [videorecording]. Brinkerhoff, Derick W. (1996). “Enhancing Capacity for New York: New Yorker Films. (Originally released in Strategic Management of Policy Implementation in 1977 by Filmi Doomi Reew in Dakar, Senegali). Developing Countries.” IPC Monograph No: l, United Vergas, C. (2000). “Sustainable Development Education: States Agency for International Development. Averting or Mitigating Cultural Collision.” Interna- Defilippis, James (2004). Unmaking Goliath: Commu- tional Journal of Education Development, Vol. 20: 377- nity Control in the Face of Global Capital. Routledge, 396. New York. Smith, J. and Eterovic, 1. (2000). “From Altruism to a Desart, Michel & Ubogu, Roland E. (2001). Capacity New Transnationalism? A Look at Transnational Building, Governance and Economic Reform in Africa. Social Movements.” In Giugani, M. and Passy, F. International Monetary Fund. (Eds.). Political Altruism?: Solidarity Movements in Eade, Deborah (1997). Capacity-Building: An Approach International Perspective. 197-218. Rowman & to People-Centered Development. Oxfam, UK. Littlefield Publishers, Inc. New York. Grindle, Merilee S. (Ed.). (1997). Getting Good Govern- ment: Capacity Building in the Public Sectors of Maarifa Asilia ya Wanawake—Chimbuko la Developing Countries (Harvard Studies in Interna- Uwezeshaji tional Development). Harvard University Press. Benavides, M.(2000). “New Challenges for Alternative Ivison, D., Patton, P. and Sanders, W. (Eds.). Political Ways of Development Among Indigenous Peoples of Theory and the Rights of the Indigenous Peoples. the Amazon.” In Peters, P (Ed.) Development Cambridge University Press. Encounters. 61-75. Harvard Institute for International Siri, Gabriel (2002). The World Bank and Civil Society Development. Development: Exploring Two Course of Action for Howitt, Richard (2001). Rethinking Resource Manage- Capacity Building. WBI Working Papers. World Bank ment: Justice, Sustainability and Indigenous Peoples. Institute. Routledge, New York. Stern, Nicholas (2002). A Strategy For Development. The Mihesuah, Devon Abbott (2003). Indigenous American World Bank, Washington, DC. Women: Decolonization, Empowerment, Activism. University of Nebraska Press, London. Elimu na Maarifa Asilia Murdoch, J. (1994). “Sustainable Knowledge,” Bunyi, Grace (1999). “Rethinking the place of African Geoforum, Vol. 25 (2): 115-132. indigenous languages in African education.” Interna- Nussbaum, Martha C. (2001). Women and Human tional Journal of Educational Development. Vol. 19: Development. Cambridge University Press, UK. 337 -350. Coombs, Philip and Manzoor Ahmed (1974). Attacking Kukabili UKIMWI Barani Afrika kwa Kutumia Rural Development: How Non formal Education Can Maarifa Asilia Help. Baltimore: John Hopkins Press. Bessinger, Ruth, Priscilla Akwara & Daniel, Halperin Dyer, C. (2001) “Nomads and Education for All: (2000). “Sexual Behavior, HIV and Fertility Trends: A Education for Development or Domestication?” Comparative Analysis of Six Countries. Phase I of the Comparative Education, Vol. 37 (3): 315-327. ABC Study. Calverton, MD: ORCBUCEN (US. Bureau of the Census). HIV/AIDS profile: Senegali. Washing- ton, DC: U.S. Bureau of the Census. 58 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Buve, A., Carael, M., Hayes, R, Auvert, B., Ferry, B., Kilimo Endelevu na Riziki za Vijijini : Ubunifu wa Robinson, N., et aI. (2001). “Multicentre study on Maarifa wa Maarifa ya Wenyeji katika Maendeleo factors determining differences in rate of spread of Sustainable Agriculture and Rural Livelihoods: Local HIV in sub-Saharan Africa: Methods and prevalence of Knowledge Innovations in Development HIV infection.” AIDS, 15(Supp1.), S5-S14. Ellis, Frank (2000). Rural Livelihoods and Diversity in Green, E.C. (1994) AIDS and STDs in Africa: Bridging Developing Countries. Oxford University Press, the Gap Between Traditional Healers and Modern Oxford. Medicine. Boulder, Co. and Oxford, UK: Westview Ellis, Frank & Bahiigwa, Godfrey (2003). “Livelihoods Press. and Rural Poverty in Uganda.” World Development, Green, E.C. (2003) Rethinking AIDS Prevention. Vol. 31 (6): 997-1013. Westport, Ct.: Praeger Press, Greenwood Publishers. Francis, Elizabeth (2000). Making a Living: Changing Green, E.C., V . Nantulya, R Stoneburner, J. Stover, Livelihoods in Rural Africa. Routledge, New York. (Hogle, J. editor) (2002) What Happened in Uganda? Tripp, Robert (1993). “Invisible Hands, Indigenous Declining HIV Prevalence, Behaviour Change and the Knowledge, and Inevitable Fads : Challenge to Public National Response. USAID/Washington and The Sector Agriculture Research in Ghana. World Develop- Synergy Project, TvT Associates, Washington, D.C. ment, Vol. 21 (12) : 2003-2016 Green, Edward c., (2003) Vinand Nantulya, Yaa Oppong, World Bank (2003). World Development Report 2003: Teresa Harrison, “Literature Review and Preliminary Sustainable Development in a Dynamic World: Trans- Analysis of “ABC” factors in six developing countries.” forming Institutions, Growth, and Quality of Life Cambridge: Harvard Center for Population and Devel- opment Studies. Maarifa Asilia na Usimamizi wa Maliasili Gross, Michael, (2003)The Second Wave will Drown Us. Fabicius, Christo (Ed.) (2004). Rights, Resources and AJPH 93(6):872-882. Rural Development: Community Based Natural Hearst, N., and S. Chen. (2003). Condoms for AIDS Resource Management in Southern Africa. Earhscan prevention in the developing world: A review of the Publishers Ltd., London. scientific literature. Geneva: UNAIDS. Knight, Richard L & Bates, Sarah F. (Eds.) (1995). A Homsy, J., Katabira, E., Kabatesi, D., Mubiru, F., New Century for Natural Resources Management. Kwamya, L, Tusaba, C., et al. (1999). Evaluating Island Press. herbal medicine for the management of Herpes zoster Matowanyika Joseph Z. Z (1995). ‘The Missing Links: in human immunodeficiency virus-infected patients in Reviving Indigenous Knowledge Systems in Kampala, Uganda. Journal of Alternative and Comple- Promoting Sustainable Natural Resource mentary Medicine, 5, 553-65. Management in Southern Africa : Proceedings of a Hygea/FHI. (2001). Enquete de Surveillance du Regional Workshop Held in Midmar, KwaZulu-Natal Comportement ESC 2001. Senegali Ministry of Province.” IUCN, Southern African Research & Health. Republique du Senegali, Ministere de la Sante Documentation Centre, Zimbabwe. et de la Prevention, Comite National de Prevention du Warren, D. Michael, Slikkerveer, L Jain & Brokensha SIDA CNPS, FHI/USAID Senegali, Eleves Filles- (1999) (Eds.). The Cultural Dimensions of Dakar. Development: Indigenous Knowledge systems. MAP (Monitoring the AIDS Pandemic) Network Sympo- Intermediate Technology Publications. UK. sium. (2000, July). The status and trends of the HIV/ AIDS in the World, Durban, South Africa. Maarifa asilia na Sayansi na Teknolojia: Mgogoro Mostad, S. 8., Overbaugh, J., DeVange, D. M., et al. Msigano au Utokeaji Sawia? (1997). Hormonal contraception, vitamin A deficiency, Gupta, Ann K. et al. (2003). “Mobilizing Grassroots’ and other risk factors for shedding of HIV -1 infected Technological Innovations and Traditional Knowledge, cells from the cervix and vagina. Lancet, 350, 922-927. Local Pathways to Global Development Knowledge, Shelton, J. & Johnston, 8. (2001). Condom gap in Africa: Values and Institutions: Articulating Social and evidence from donor agencies and key informants. Ethical Capital.” Futures, Vol. 35: 975-987. BMJ, 323, 139. Sittitrai, W. (2001). HIV prevention needs and success: A tale of three countries. Geneva: UNAIDS. 59 Jagged, O. (1999). “Science Education in Non-Western Deng, F. M. Zartman, I.W. (1991) “Introduction”, Con- Cultures: Towards A Theory of Collateral Learning.” flict Resolution in Africa ed. by F.M. Deng and 1.W. In Samali, L. and Kincheloe, J. (Eds.). What 15 Indig- Zartman (Brookings Institute, Washington, D.C. enous Knowledge?: Voices from the Academy. PP . 119- Dia, M. (1996), Africa’s Management in the 19905 and 142. Falmer Press, New York. Beyond: Reconciling Indigenous and Transplanted Nader, L. (1996). Naked Science: Anthropological Institutions, Washington, D.C: The World Bank. Inquiry into Boundaries, Power, and Knowledge. Downs, . R E. Reyna, S. eds., (1988). Land and Society Routledge, London. in Contemporary Africa, Hanover: University Press of Niamir, M. (1999). “Indigenous Systems of Natural New England. Resource Management among Pastoralists of Arid and Englebert, P . (2000), State legitimacy and Development Semi-Arid Africa.” In Warren, D., Slikkerveer, L., and in Africa, (Boulder: Lynne Reinner publishers. Brokkensha, D. (Eds.) The Cultural Dimensions of Evans-Pritchard, E. E. (1940), The Nuer: The Descrip- Development: Indigenous Knowledge systems. PP . 245- tion of the Modes of Livelihood and Political Institu- 257. Intermediate Technology Publications, London. tions of a Nilotic People, Chapter IV , “The Political System,” Oxford: The Clarendon Press. Mikabala Asilia ya Utatuzi wa Migogoro Barani Fukuda-Parr, S. Lopes, C. Malik, K. (2002), eds. “Insti- Afrika tutional Innovations for Capacity Development,”, Adjaye, J. K. (1996), Diplomats and Diplomacy in 19th Capacity for Development: New Solutions to Old Century Asante, Trenton: Africa World. RH. Bates, Problems. Sterling, VA: Earthscan. 1983. The Preservation of Order in Stateless Societies: Fred-Mensah, B. K. (2000), “Bases of Traditional A Reinterpretation of Evans-Pritchard,” (in his book), Conflict Management among the Buems of the Ghana- Essays on Political Economy of Rural Africa, New Togo Border,” 1. William Zartman, ed., Traditional York: Cambridge University Press. Cures for Modern Conflicts: African Conflict “Medi- Bentsi-Enchill, K. (1964), Ghana Land Law: An Exposi- cine, Lynne Reinner Publishers. tion, Analysis, and Critique, London: Sweet & Fred-Mensah, B. K. (2001), “Indigenous African Conflict Maxwell. Management Schemes: Analyses and References, “A Bercovitch, J. (1989). “International Mediation: A Current Bibliographyon African Affairs.” Vol. 32, No. 1. Comparative Empirical Analysis, “ D. G. Pruitt and K. Fred-Mensah, B. K. (2003)a, “Ghana: ‘Kanye Ndu Bowi,’ Kressel, (eds.), Mediation Research: The Process of An Indigenous Philosophical Context for Conflict Effectiveness of Third Party Intervention, San Fran- Management,” IK Notes, No. 56, May. cisco: Jossey-Bass Publishers. Fred-Mensah, B. K. (2003)b, “‘Adzina:’” An Indigenous Bohannan, P . J. (1957). Justice and Judgement among Trial by Jury on the Ghana-Togo Border, IK Notes, the Tiv, London: Oxford University Press. Washington, DC: World Bank, No. 59, August. Brautigam, D. (1991), Govemanceand Economy: A Ghana, (1960). Interpretation Act, (1960), Accra: Assem- Review, Policy and Review Department, WPS 818, bly Press. Washington, DC: World Bank, 1991. Gluckman, M. (1965), Politics and Ritual in Tribal Brautigam, D. (1996), “State Capacity and Effective Society, Chapter Chicago: Aldine Publishing Company. Governance, “ B. Ndulu and N. van Walle, eds., Green and A. Honwana, E. C. (1999). “Indigenous Heal- Agenda for Africa Economy Renewal, New Brunswick: ing of War-Affected Children in Africa,” IK Notes, No. Transaction Publishers. 10, July. Cohen, A. (1974), Two-Dimensional Man: An Essay on Kenyatta, J. (1985) Facing Mountain Kenya: The Tradi- the Anthropology of Power and Symbolism in Complex tiona1 Life of the Kikuyu. London: Heinemann,. Society, Berkeley: University of California Press. Khadiagal, G. M. (1994), Allies in Diversity: The Front- Cohen, R (2001), “Language and Conflict Resolution: line States in Southern Africa Security, 1975-1993, The Limits of English,” International Studies Review, Athens: Ohio University Press. Vol. 3, Issue 1, Spring. Kouassi, E. K. 1. William Zartman, ed. (2000), “West Cooter R D. (1996) The Rule of State Law Versus the Coast Dip1omacy among the Akan and their Neigh- Rule-of-Law State: Economic Analysis of the Legal bors,”, Traditiona1 Cures for Modern Conflicts: Foundations African Conflict “Medicine, Lynne Reinner Publishers. of Development, Washington, DC: World Bank, April. 60 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Magistro, J. (1997), “An Emerging Ro1e for Applied Smith, R S. (1976), Warfare and Dip1omacy in Anthropo1ogy: Conflict Management and Dispute Preco1onia1 West Africa, Madison: University of Reso1ution”, Practising Anthropo1ogy, Winter, Vol. 19, Wisconsin Press. No.1. Stedman, D. Rothchild, and E.M. Cousens, eds., S. J. Masina, N. (2000) “Xhosa Practices of Ubuntu for South (2002), Ending Civil Wars, The Imp1ementation of Africa” Traditiona1 Cures for Modern Conflicts: Peace Agreements, Boulder: Lynne Reinner. African Conflict “Medicine, “I. William Zartman, ed., Swartz, M. J. Turner, V .W. and Tuden, A. eds. (1966), Bou1der: Lynne Rienner Publishers. “Bases for Political Compliance among Bena Villages,” Merry, S. E. “Mediation in Nonindustrial Societies” In Politica1 Anthropo1ogy. Chicago: Aldine Publishing Mediation Research: The Process of Effectiveness of Company. Third-Party Intervention, San Francisco: Jossey-Bass Wilson-Fall, W. Zartman, 1.W. ed. (2000), “Conflict Publishers. Prevention and Resolution among the Fulbe,” Tradi- Nader, L. , (1995), “Civilisation and its Negotiations”, P. tiona1 Cures for More Conflicts: African Conflict Carlan, ed., Understanding Disputes: The Polities of “Medicine, “Boulder: Lynne Reinner Publishers. Argument, Providence: Berg Publishers. World Bank, ed., (1989), The Long-term Perspective Nukunya, G. K. (1992), Tradition and Change in Study of Sub-Saharan Africa: Vo1ume 3. Institutiona1 Ghana: An Introduction to Socio1ogy, Accra: Ghana and Sociopolitica1 issues, Washington DC: World University Press. Bank. Osaghae, E. E. (2000), “Applying Traditional Methods to Zartman, I. W. (2000), “Introduction: African Traditional Modern Conflicts: Possibilities and Limits,” I.W. Conflict “Medicine,” Traditiona1 Cures for More Zartman, ed. Traditiona1 Cures for More Conflicts: Conflicts: African Conflict “Medicine, “Boulder: Lynne African Conflict “Medicine, “Boulder: Lynne Reinner Reinner Publishers. Publishers. Radcliffe-Brown, A. R (1940), “Preface” M. Fortes and Maarifa Asilia: Hatua ya kwenda Mbele E.E. Evans-Pritchard, eds., African Politica1 Systems, (Indigenous Knowledge: The Way Forward) London Oxford University, for the International Escudie, Virginie. “Du développement et la technologie: African Institute. impasses de représentations exogènes et émergence de Roehl and RF. Cook, J. A. (1989). “Mediation in Inter- programmes alternatifs.” University of Toulouse, personai Disputes: Effectiveness and Limitations” D. January 2004. G. Pruitt and K. Kressel, (eds.), Mediation Research: Southern African Development Community, (2003) The Process of Effectiveness of Third Party Regional Indicative Strategic Development Plan Intervension, San Francisco: Jossey-Bass Publishers. Warren, D. M. (1991). “Using Indigenous Knowledge in Rose, L. L. (1992). The Politics of Harmony: Land Agricultural Development”; World Bank Discussion Dispute Strategies in Swazi1and, Cambridge: Cam- Paper No.127. Washington, D.C.: The World Bank bridge University Press. World Bank (1998). Indigenous Know1edge For Deve1op- Schatzberg, M. G. (1986),”The Metaphor of Father and ment-A Framework For Action, Washington, D.C.: The Family”, M.G. Schatzberg and 1. William Zartman, World Bank. eds. The Politica1 Economy of Cameroon, New York: Praeger. 61 Waandishi wa Makala Zinazoongoza (Majina yamepangiliwa kialfabeti, na majina ya makala yao yakiwa katika mabano) John Aluma (Kilimo Endelevu na Uendeshaji wa Magharibi uliofadhiliwa na OECD. Profesa Easton pia Maisha ya Vijijini: Ubunifu wa Maarifa Asilia katika ametumika kama mkufunzi wa mbunu za kutathmini Maendeleo), raia wa Uganda, ni Naibu Mkurugenzi Mkuu elimu ya watu wazima kwa Tasisi ya Elimu ya UNESCO. wa Asasi ya Taifa la Uganda ya Utafiti wa Kilimo Mawasiliano: easton@coe.fsu.edu (NARO). Dkt. Aluma ni mwanasayansi aliyebobea na mwalimu wa masuala ya misitu. Alisoma katika Chuo Nicolas Gorjestani (Maarifa Asilia: Nini Kifuate), Kikuu cha Makerere, nchini Uganda, nchini Norway na raia wa Iran, ni Mshauri Mkuu na Ofisa Mkuuwa Maarifa nchini Uholanzi na akatokea kuwa mwakilishi wa na Ujifunzaji, Mkoa wa Afika katika Benki ya Dunia. Ni Uganda mwenye sifa za pekee katika mabaraza ya kitaifa mchumi kwa taaluma, Bw. Gorjestani ameshika nyadhifa na kimataifa, asasi za utafiti, makongamano na vyama. kadhaa za juu na utumishi katiki Benki. Mwaka mmoja Alisadia katika kutoa mwelekeo kwa maarifa asilia uliopita aliongoza menejimenti ya maarifa katika Benki kwenye utafiti wa kilimo katika mradi uliofadhiliwa na na tangia hapo amekuwa mtaalamu mwenye sauti katika Benki ya Dunia, Utafiti wa Kilimo na Mafunzo, Awamu matumizi ya ushirikishanaji wa maarifa katika muktadha ya II. Ameongoza juhudi katika nchi yake na kwingineko wa maendeleo. Ni Mkurugenzi wa Programu ya Maarifa juu ya dhima ya jumuia katika maendeleo, ubunifu wa Asilia kwa Programu ya Maendeleo, ambayo aliibuni kwa wakulima na maarifa asilia. usaidizi wa wenzi wengine wa maendeleo. Kama kiongozi Mawasiliano: ddgr@infocom.co.ug wa Kundi la Maarifa na Mafunzo wa Mkoa wa Afrika, pia anasimamia shughuli kadhaa zinazohamasisha Peter Easton (Elimu na Maarifa Asilia), raia wa ushirikishanaji wa maarifa na mafunzo miongoni mwa Marekani, ni Profesa wa Maendeleo ya Elimu ya Watu wafanyakazi wa Benki na kati ya Wafanyakazi wa Benki Wazima na Rasilimali Watu katika Idara ya Misingi ya na nchi zilizo wateja katika kusaidia kutia nguvu uzoefu Kielimu na Stadi za Sera katika Chuo Kikuu cha Jimbo la wa wadau wote katika kufikia Malengo ya Maendeleo ya Florida. Amejikita hasa katika uchumi wa mafunzo na Milenia. Bw. Gorjestani ameandika vya kutosha juu ya elimu ya watu wazima, mbinu za utathmini, vuguvugu masuala ya maarifa na maendeleo. shirikishi, na ulinganifu wa kimataifa katika elimu ya Mawasiliano: ngorjestani@worldbank.org watu wazima. Ana zaidi ya miaka thelathini ya uzoefu katika elimu ya watu wazima na masuala yanayohusiana Edward Green (Ukabilianaji wa Kienyeji dhidi ya na hilo huko Marekani, Afrika, Visiwa vya Karibea na UKIMWI), raia wa Marekani, ni Mwanasayansi Mtafiti Kusini-Mashariki mwa bara la Asia. Ameshughulikia Mwandamizi katika Kituo cha Masomo ya Idadi ya Watu miradi kadhaa inayohusiana na masuala ya elimu ya na Maendeleo katika Chuo Kikuucha Harvard. Amefanya watu wazima, ikiwa ni pamoja na mradi wa elimu- kazi kwa zaidi ya miaka 25 katika Afrika, Asia, Amerika tumikivu ya usomaji ya watu wazima huko katika ya Kati, na Ulaya Mashariki, katika masuala ya UKIMWI Jamhuri ya Niger, uborashaji wa elimu ya msingi katika na maradhi ya ngono, huduma za msingi za afya ya Jamhuri ya Haiti, uwezeshaji wa jamii na mradi wa familia, watoto walioathiriwa na vita, afya ya mafunzo ya watu wazima katika maeneo ya watu wa kimazingira, bioanuwai na uhifadhi. Ametumikia kama kipato cha chini huko Florida, na mradi wa utafiti-stadi mshauri kwa serikali za Msumbiji na Swaziland. Bw. linganifu wa elimu ya watu wazima huko Afrika ya Green ni mtetezi mwenye sauti katika uunganishaji wa 62 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia mifumo ya Kiafrika na tiba-hai na watumiaji wa taaluma usalama wa Kiafrika na mitaji-jamii inayohusiana na katika eneo hilo katika kufikia malengo ya jamii ya afya. ukarabati wa baada ya migogoro. Amechapisha vitabu vitatu juu ya waganga wa jadi wa Mawasiliano: bmens@earthlink.net Kiafrika na mifumo ya kiimani. Alichunguza mambo yalivyokuwa huko Uganda na Senegali, akithibitisha Mheshimiwa Benjamin W. Mkapa (Utangulizi: Njia kwamba masuala ya ubadilishaji wa tabia yamesaidia kwa Asilia katika Maendeleoya Ulimwengu) ni Rais wa kiasi kikubwa sana katika kupunguza viwango vya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Ameshika nyadhifa uambukizaji wa VVU. mbalimbali za uwaziri, zikiwemo za Uwaziri wa Mambo Mawasiliano: egreen@aol.com ya Nje; Habari na Utamaduni; Mawasiliano na Utangazaji; na Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu. Pia Frannie Leautier (Ukuzaji wa Uwezo wa Wenyeji: amewahi kutumika kama Balozi wa Nchi yake huko Uendelezaji wa Maarifa ya Jamii kwa ajili ya Uwezeshaji), Canada na Marekani. Pia aliwahi kuwa Mhariri raia wa Tanzania, ni Makamu wa Rais wa Taasisi ya Mwendeshaji wa magazeti ya serikali ya ‘Daily News’, Benki ya Dunia. Kabla ya kuchukua wadhifa huu, Bi ‘The Nationalist’ na ‘Uhuru’ na Mkurugenzi mwanzilishi Leautier alikuwa Mkuu wa Watumishi wa Rais wa Kundi wa Shirika la Habari la Tanzania (SHIHATA). la Benki ya Dunia. Bi. Leautier ni maarufu katika ubunifu wa mkakati wa miundo-mbinu. Amefundisha Prasad C. Mohan (Mhariri), raia wa India, ni katika Kituo cha Utafiti na Elimu ya Ujenzi, katika Idara Mtaalamu Mwandamizi wa Mawasiliano katika kitengo ya Mipango-Miji, katika Taasisi ya Teknolojia ya cha Maarifa na Mafunzo cha Mkoa wa Afrika, Benki ya Massachussets. Ni Mhariri Mshiriki wa Jarida la Mifumo Dunia. Ana zaidi ya miaka 20 ya uzoefu kazini katika ya Miundo-mbinu na mwanachama wa kamati mbali- kuzisaidia serikali kusanifu mikakati ya maendeleo ya mbali za kimataifa juu ya maendeleo ya miundo-mbinu.] mawasiliano. Kabla ya kujiunga na Benki ya Dunia Mawasiliano: fleautier@worldbank.org mwaka 1991, alikuwa akifanya kazi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kilimo (FAO) huko Roma na Shirika la Callisto E. Madavo (Dibaji), raia wa Zimbabwe, na Umaja wa Mataifa la Makazi ya Binadamu huko Nairobi kwa sasa ni Makamu wa Rais wa Mkoa wa Afrika. Bw. na Bangkok. Madavo alipata shahada zake za Kwanza, Uzamili na Mawasiliano: pmohan@worldbank.org Udaktari wa Falsafa katika Uchumi katika Chuo Kikuu cha Notre Dame. Kabla ya uteuzi wake kama Makamu wa Gonzalo Oviedo (Maarifa Asilia na Usimamiaji wa Rais wa Mkoa wa Afika, alishika nyadhifa mbalimbali za Maliasili), raia wa Ecuado, ni Mshauri Mwandamizi wa juu katika idara za sekta na za mikoa za Benki ya Dunia. Sera-Jamii katika IUCN. Amejifunza kuhusu Bw. Madavo amekuwa mhamasishaji mkuu katika Anthropolojia Jamii, Sayansi ya Mazingira na Usimamizi Programu ya Maarifa Asilia kwa Mandeleo na wa Maeneo Yaliyotengwa Makusudi. Amefanya kazi ameshajiisha utoaji wa mwelekeo kwa MA katika katika masuala yanayohusu mitizamo ya hifadhi ya asili, muktadha mpana zaidi wa kufikia Malengo ya Maendeleo sera za wenyeji, uhusikaji wa jumuia katika uhifadhi na ya Milenia. maendeleo, sera za maeneo yalihohifadhiwa na Mawasiliano: cmadavo@worldbank.org mazingira, na elimu ya vijijini. Kabla ya kujiunga na Sekretariati ya IUCN huko Gland, Switzerland, alifanya Ben K. Fred-Mensah (Mikabala ya Wenyeji katika kazi na WWF ya Kimataifa huko Switzerland kama Ofisa Utatuzi wa Migogoro katika Afrika), raia wa Ghana, ni wa Uhifadhi na Kiongozi wa Watu na Uhifadhi. Amefanya Profesa Msaidizi wa Uhusiano wa Kimataifa na mshauri kazi huko Amerika ya Kati kwa AZISE kadhaa za katika Maendeleo ya Kamataifa katika Chuo Kikuu cha mazingira na maendeleo, kama vile the Charles Darwin Howard huko Washington, DC. Ni tunda la vyuo vikuu Research Station ya Visiwa vya Galapos, UNESCO, na vya Johns Hopkins, Cambridge na Cape Coast. Profesa asasi nyinginezo za huko Ecuado na za kimataifa. Mensah alifanya masomo yake ya baada ya shahada ya Mawasiliano: gonzalo.oviedo@iucn.org udaktari wa falsafa katika Chuo Kikuu cha Brown. Amefanya kazi kama mshauri wa Benki ya Dunia, Taasisi Mamphela Ramphele (Maarifa Asilia ya ya Utafiti wa Sera ya Kimataifa ya Chakula, miongoni Wanawake—Chanzo cha Uwezeshaji), raia wa Afrika ya mwa mambo mengineyo kadhaa. Amechapisha juu ya Kusini) ni Mkurugenzi Mtendaji katika Benki ya Dunia. masuala ya migogoro, ardhi, na maendeleo katika Afrika Kimsingi yeye anahusika na usimamizi wa ushiriki wa na kwa sasa anafanya kazi kuhusu uongozi wa kieneo, Benki katika maendeleo ya maarifa na uchumi-jamii, 63 kufuatilia masuala ya muhimu ya kiulimwengu, kujenga Kikuu cha Cambridge; Fulbright Fellowhuko katika ushirika uliopo na vyama vya kiraia na wadau wengine. Taasisi ya Teknolojia ya California) pamoja na usimamizi Dkt. Ramphele anaongoza utungaji wa sera za Benki wa utendaji na harakati za kibiashara. Alianzisha uundaji katika masuala ya afya na elimu, na ni msimaizi wa wa miradi ya kibiashara iliyojisheheneza kwa habari uingizaji, usimamizi na tathmini ya maendeleo kuhusu kedekede kote katika vyuo vikuu vya Cambaride na Cape ufikiwaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia. Dkt. Town. Ramphele alikuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mawasiliano: ssibisi@csir.co.za Cape Town. Alipokuwa mwanafunzi alikuwa na dhima kubwa katika kuhamasisha Vuguvugu la Utambuzi wa Achim Steiner (Maarifa Asilia na Usimamizi wa Mtu Mweusi huko Afrika Kusini. Ameandika vitabu Rasilimali), Mjerumani mwenye asili ya Brazil, kadhaa na makala kuhusu elimu, afya, na maendeleo ya Mkurugenzi Mkuu wa IUCN, Umoja wa Uhifadhi wa jamii. Ulimwengu. Ana Shahada ya Kwanza katika Sanaa Mawasiliano: mramphele@worldbank.org kutoka Chuo Kikuu cha Oxford, Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha London na alipata mafunzo Preeti Shroff-Mehta (Mhariri), ni raia wa India, katika Taasisi ya Ujerumani ya Maendeleo na Shule ya anaongoza Jitihada za Kidunia za Mafunzo Asilia na Biashara ya Harvard. Kabla ya uteuzi wake katika nafasi anafundisha kozi za uzamili katika Elimu na Maendeleo ya Mkurugenzi wa IUCN, Bw. Steiner alikuwa Katibu ya Kimataifa kwenye Idara ya Sera za Elimu na Uongozi, Mkuu wa Tume ya Dunia ya Mabwawa. Kama Mshauri Chuo Kikuu cha Maryland, Marekani. Ana miaka kumi Mwandamizi wa GTZ na Tume ya Mto Mekong na na mitano ya uzoefu katika usimamizi wa miradi ya elimu Mshauri Mwandamizi wa Sera wa IUCN katika kitengo rasmi na isiyo rasmi, mafunzo katika mafunzo ya vyama cha Sera ya Ulimwengu, alianzisha ushirika mpya vya kiraia, ukuzaji wa uwezo wa ndani na utafiti katika miongoni mwa jumuia za uhifadhi, Benki ya Dunia na maendeleo ya kimataifa huko Kusini mwa Asia, Ulaya na Umoja wa Mataifa. Pia amefanya kazi katika Afrika na Amerika ya Kaskazini. Amepata mafunzo ya uzamili na Asia. Bw. Steiner ni mwanachama wa bodi mbalimbali za tuzo nyingi katika nyanza za Uchumi, Masomo ya kitaifa na kimataifa, zikiwemo Baraza la Ushauri la Maendeleo, Elimu ya Kimataifa na Mipango Miji kutoka Umoja wa Mataifa, Baraza la Ushauri la Mazingira la kwenye taasisi maarufu za kitaaluma nchini India, EBRD, Baraza la Uchina la Ushirikiano wa Kimataifa Uingereza na Marekani. kuhusu Mazingira na Maendeleo. Mawasiliano: prtshroff@aol.com Mawasiliano: achim.steiner@iucn.org Sibusiso Sibisi (Maarifa Asilia na Sayansi na James D. Wolfensohn (Utangulizi), raia wa Marekani Teknolojia: Migogoro, Mikinzano au Michangamano?), mwenye asili ya Australia, ni Rais wa Tisa wa Kundi la raia wa Afrika ya Kusini, ni Rais na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Dunia, na ambaye hivi sasa yuko katika muhula CSIR ya Afika ya Kusini. Kabla ya uteuzi wake, alikuwa wake wa pili wa uongozi. Alianzisha uwekezaji wa Kaimu Makamu wa Mkuu wa Chuo, Utafiti na Ubunifu kimataifa katika biashara za kibenki kwa kuhimiza katika Chuo Kikuu cha Cape Town ambapo ushirikishwaji katika masuala ya maendeleo na sanaa. aliongeza”Ubunifu” kwenye idara ili kuhakikisha Ameweka mkakati wa upunguzaji umaskini kama msisitizo wa kijamii na kiuchumi unarejea katika tafifi za mhimili wa lengo kuu Benki na kuelekeza kazi ya taasisi chuo kikuu. Dkt. Sibisi alijiunga na Plessy Ltd., mnamo katika kusaidia juhudi za jumuia ya kimataifa za kufikia mwaka 1997, akishughulikia na kuongoza utafiti na Malengo ya Maendeleo ya Milenia. Bw. Wolfensohn maendeleo katika teknolojia za mawasiliano ya simu. amekuwa mtetezi mkubwa wa Maarifa Asiliakwa Amekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Taifa Programu za Maendeleo, ikiwemo uzinduliwaji wa kuhusu Ubunifu (NACI). Dkt. Sibisi amejiimarisha juu ya programu za tovuti za Kiswahili na Kiwolof. Pia usuli wake wa sayansi na teknolojia (Shahada ya Sayansi ameongoza mikakati mingine ya Benki katika kutambua katika Fizikia, London; Shahad ya Udaktari wa Falsafa dhima ya utamaduni na mila katika maendeleo. katika Hisabati Tumivu na Nadharia za Fizikia, Chuo Mawasiliano: jwolfensohn@worldbank.org 64 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia Reinhard Woytek (Mhariri), raia wa Ujerumani, anashughulikia Programu ya Maarifa Asilia katika Maendeleo katika Mkoa wa Afrika wa Benki ya Dunia. Kabla ya hapo, aliendesha Huduma za Ushauri na Habari kwa Teknolojia Sahihi za GTZ/GATE, kusaida AZISE za mahali katika kujenga mtandao wa maarifa kuhuus maendeleo ya vijijini. Pamoja na GTZ na EU, alifanya kazi kwa miaka 10 nchini Tanzania katika sekta za kilimo na mazingira. Uzoefu wake wa kazini unajumuisha maendeleo ya jamii yaliyojikita katika MA na hasa katika mifumo ya matumizi ya ardhi. Kama mshauri wa Katibu Mkuu katika Wizara ya Fedha, alihusika katika uboreshaji wa sekta za kahawa, usalama wa chakula na vyama vya ushirika. Mawasiliano: rwoytek@worldbank.org Sehemu ya Pili Tini za MA Mihutasari ya Tini za MA Jina la Makala za Na. Tini za MA M/waandishi Muhtasari Rejea 1 Mifumo ya maarifa Donnelly- Tini ya kwanza ya utangulizi huunganisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi na 2, 10 asilia katika Afrika Roark, P. mbinu ya ushiriki. Jitihada za ujenzi wa uwezeshaji na wa taasisi ni muhimu na kusini mwa Jangwa unaohusu uunganishaji wa mbinu asilia na za kisasa. Vipengele muhimu vya la Sahara. Muhtasari mbinu ya MA katika maendeleo ni: ushiriki wa jumuia katika kufasiri mchakato Okt. 1998 wa maendeleo na matokeo yake, ukuzaji wa mbinu za wenyeji za umamizi wa miradi na uwezo na kulenga matokeo ya miradi ambayo huakisi mahitaji ya jumuia. 2 Mifumo Endelevu ya Larson, J; Utafiti huu unaakisi athari ya MA, kisiasa—jamii, kimazingira, kiuchumi na 6 Maarifa Asilia Katika Sibana, H kidini katika shughuli za kilimo; kunabainisha na kuchambua mbinu za Kilimo katika usimamizi wa maliasili na kufanya tathmini ya ubora na kasoro za mifumo ya MA. Maeneo ya Matebele Utafiti unadai kuwa kuna haja ya kutambua na kuingiza teknolojia asilia katika Vijijini, Majimbo ya jitihada za maendeleo. Mkakati wa msingi ni ule utakaojumuisha uboreshaji wa Kaskazini na Kusini, uwezo wa jumuia katika kutengeneza na kuhifadhi kumbukumbu na mwa Zimbabwe; ubadilishanaji wa MA Novemba 1998 3 Wanawake wa Easton, P Baada ya kuhudhuria mafunzo ya ufundishaji wa Elimu ya Watu Wazima, 2, 3, 4 Senegali Wanaunda akinamama wa jumuia ya Malicounda wanakabiliana na suala la ukeketaji. Kwa Upya Utamaduni kuwashirikisha viongozi wa kimila na wa kidini, wanafanikiwa kukomesha tabia wao, Desemba 1998 hiyo ndani ya jumuia yao na nyingine nyingi nchini kote. 4 Kutoka “Kufuru” Easton, P Vijana nchini Ghana—hukusanya makundi mbalimbali ya jumuia kujadili 3, 6, 7 hadi Kuendelezwa: uharibifu wa misitu pamoja na matatizo mengine ya maeneo yao. Kundi Ukuzaji Misitu na lililoundwa hivi karibuni limeweka pamoja vijana waliokuwa tayari kupanda Kilimo cha Kutumia misitu ili kuondoa hatari ya jangwa. Zaidi ya mafanikio ya misitu chama chao Mbolea ya Mimea kinapata mafanikio katika misitu kilimo, kilimo cha kutumia mbolea ya mimea Asilia huko Forikrom asilia, elimu ya watu wazima na mafunzo kwa kufanya kazi na uongozi wa wenyeji Ghana, Januari, 1999 pamoja na taasisi ya elimu ya watu wazima, idara ya misitu na wakala za maendeleo ya kimataifa. 5 Burkina Faso: Easton, P Chama cha Manegbzange cha Burkina Faso kiliingiza jitihada mpya mbadala kwa 3 “Kisomo cha Ujuzi- ajili ya ufundishia shule za msingi na elimu ya watu wazima kwa kufundishia Herufi kwa Watoto lugha ya wenyeji ya Kimoore. Walitengeneza mtalaa wenye maudhui ya kilimo na Wadogo” huko utafiti unaoangalia nafasi ya utamaduni katika mafunzo darasani. Matokeo Nomgana; Februari, yanaelekeza kiwango cha juu cha mafanikio kuliko ilivyokuwa kabla na hasa 1999 kikilinganishwa na kufundisha kwa kutumia kifaransa. 6 Wanakijiji Wamiliki Easton, P Chama cha vijana wa Fandene, AJF nchini Senegali kinaunga mkono jitihada za 3, 6 Benki: Uzoevu wa kutafuta ufumbuzi wa tatizo la vijana kukimbilia mijini, matatizo ya njaa Fandene, Senegali; yanayoikumba nchi kila mara, kukosekana kwa mitandao ya kitaasisi na March 1999 kukosekana kwa ushiriki wa wenyeji katika jitihada za maendeleo. Kuanzishwa kwa mtandao uliobuniwa kimuktadha, kwa ajili ya kuweka na kukopa, hupanuka haraka na kuingia katika jumuia nyingine katika kanda na ni chachu ya maendeleo kiuchumi, uwezeshwaji akinamama, kilimo, programu za mafunzo ya stadi za kilimo na ufundi. 7 Kisomo cha Watu Easton P n.w. Jitihada za kamati ya maendeleo ya Nwodua nchini Ghana, inaanzisha aina za 2, 3 Wazima na Utawala utawala bora kutokana na uzoefu wa wenyeji baada ya kuingiza marekebisho. Bora wa Wenyeji Chama kinafanya kazi kwa njia ya kamati za sekta. Kila kamati inashughulikia katika Jumuia za suala moja: elimu ya watu wazima, huduma ya afya ya msingi, michakato ya Vijijini: Uzoefu wa chakula, kilimo cha misitu, mafunzo ya ufundi, kilimo na usimamizi wa ujenzi wa Nwodua, Ghana: barabara. Aprili, 1999. 8 Utunzaji wa Easton P n.w Ukame, mifugo mingi, mioto misituni, kilimo kilichozidi uwezo wa ardhi, yote 2, 3, 6 Mazingira katika haya yamekuwa tishio kwa viumbe (miti na wanyama) wanaozunguka hifadhi ya Pwani ya Magharibi maliasili ya Ker Cupaam, iliyoko “Petite Cote” katika mkoa mmoja wa Senegali. mwa Senegali, Mei, Jitihada za Wanawake wenyeji zilizoanzishwa mwaka 1988 ni juhudi zenye msingi 1999 katika jadi kwa makusudi ya kuhifadhi mazingira na kupanua tasinia ya utalii. Shughuli kuu zinahusiana na mtandao wa ushirika wa mgao wa kuni na malisho, vyanzo mbadala vya nishati vitalu vya miti na utoshelevu wa upatikanaji wa nishati ya kupikia. 9 Maendeleo ya Umoja Easton P n.w. Chama cha Ushirika nchini Mali kimeibuka ndani ya vyama vidogovidogo vya 2, 3, 6 wa Kilimo nchini vijijini vyenye nasaba na jadi na taratibu za kisasa za kufanya kazi. Ushirika wa Mali: Kuongezeka Wakulima wa Pamba na Chakula hutumia lugha mbili za mawasiliano: Kibambara kwa Viwango vya na Kifaransa ili kuwapa uwezo wenyeji kushiriki kikamilifu katika vyama vyao. Uwezeshwaji wa Ushirika unaratibu uzalishaji wa chakula, na shughuli katika uuzaji wa mazao Wenyeji wa Mahali: sokoni, za kifedha, usimamizi na mafunzo ya wanachama wao. Juni 1999 68 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia 10 Uponyaji Asilia wa Green, E.C.; Waganga wa jadi na viongozi wa jumuia wanasaidia watoto walioathirika na vita 9 Watoto Walioathirika Honwana, A. warudie hali yao ya kawaida kwa kutumia matambiko. Mbinu zenye msingi wa na Vita, Barani kijamii zilizofanikiwa kwa watoto wa Angola na Msumbiji huonesha kuwako kwa Afrika, Julai, 1999 haja ya kuutumia vizuri msingi huu katika hima ya kuwarudisha tena watoto waliotawanywa na maafa mbalimbali kwa kuwako kwa ubia kati ya waganga wa jadi na wanasaikolojia wanaofadhiliwa kutoka nje. Kwa kuwa jitihada za kukabiliana na matatizo ya kijamii, kiakili na ya mihemko kwa watoto walioathiriwa na vita, migogoro ya kikabila ziko katika hatua za awali, utafiti wa mazoea ya uponyaji wa kijadi unaweza kusaidia katika kupatikana kwa mbinu mwafaka za kuwasaidia wahanga. 11 Elimu na Ujuzi wa Easton, P., n.w. Shule za kufundishia Kurani ni mfumo wa muda mrefu unaoendesha elimu isiyo 3 Kusoma Kuran huko rasmi katika Afrika. Shule hizo hufundisha ujuzi wa kusoma na kuandika na Afrika ya Magharibi, sayansi ya Kiislamu, mifumo ya mafunzo ya viwango vingi ambavyo si rasmi, Agost, 1999 vipengele fulanifulani vya mfumo wa shule rasmi na huunganika na taasisi za elimu ya juu barani Afrika pamoja na uhusiano wa karibu na mtandao wa Kiislamu, kijamii na kiuchumi katika bara zima. 12 Maliasili za Clemmons, L; Mradi wa nusura ya mtoto wa Africare katika wilaya ya Dioro, mkoa wa Segou, 4 Kitamaduni na Afya Coulibaly, Y kusini mwa Mali uliendesha utafiti unaozingatia mwelekeo katika vitendo ili ya Mama Wajawazito kutafiti, maarifa, mitazamo na mazoea kuhusu afya ya mama mjamzito, mimba na nchini Mali; uzazi wa mtoto, ukionesha haja ya mazungumzo ya wazi ndani ya jumuia kuhusu Septemba, 1999 afya ya akinamama wajawazito, matumizi ya mbinu mwafaka kiutamaduni kwa kutolea elimu ya mimba na utambuzi wa nafasi ya sanaa inayofaa (hadithi, visa, nyimbo za asili, n.k.) 13 Lugha za Kisaheli: Easton, P Program za ujuzi wa kusoma na kuandika nchini Burkina Faso zinazidi kutambua, 3 Maarifa Asilia na matumizi ya lugha nyingi, elimu ya msingi iliyojikita kwenye maarifa asilia na Kujiongoza dhima ya mitandao ya shule za kufundishia kusoma na kuandika zinazoendeshwa na jumuia, matumizi ya programu za ujuzi wa kusoma na kuandika zinazotumia lugha za kinchi yamenyanyua viwango vya mafanikio ya wanafunzi, jitihada za wanawake kiuchumi, machapisho ya lugha za kinchi na kikanda,na kuongezeka kwa ujuzi wa kusoma na kuandika kwa watu wazima 14 Uenezaji wa Utafiti Easton, P Mafanikio ya Mradi wa Elimu ya Msingi na ujuzi wa kusoma na kuandika pamoja 2, 3, 6 Vijijini katika Afrika: na chama cha maendeleo ya Elimu barani Afrika huelezea uzoevu wa kuunda, Kukusanya na kueneza na kutoa madaraka ya utafiti wa maendeleo kwa makusudi ya Kuunganisha kuwajengea wenyeji uwezo. Jitihada za miradi ambayo ni mahususi huelekea Novemba.1999 kwenye maswali kama: ni kwa mara ngapi kazi za mtafiti wa Kiafrika hushirikishwa watu ambao wanaweza kufaidika nao? Mikondo gani ya mawasilianao na kuna ngazi gani za kupandia ili kufanikisha kudhihirika kwa manufaa ya utafiti wenyewe? 15 Afya:Maarifa Asilia, Moran, K Kampuni ya Dawa ya Shaman imeanzisha uhusiano wa kushirikishana faida na 5, 6, 8 Mafao ya Haki; taasisi za kisayansi za Nigeria, jumuia za vijijini na waganga wa jadi. Kampuni ina Desemba 1999 malengo ya ugunduzi wa dawa imara/zenye nguvu pamoja na michakato ya kuzichuchua/kuziendeleza kwa hali inayohakikisha kulindwa kwa haki za umiliki mali akili pamoja na za kibiashara kwa ushirikiano kati ya kampuni na nchi, tamaduni na jumuia husika. Utafiti unaonesha jinsi faida inavyoweza kupatikana kwa kuunganisha mifumo ya tiba za jadi na taasisi za tiba za kisasa 16 Senegali: Demokrasia Easton P AISE moja ya Senegali, TOSTAN hutoa elimu ya demokrasia na haki za binadamu 3 Vijijini katika inayohudhuriwa na wanawake, wanaume, watoto na vikongwe waliomo katika Matendo, Januari, jumuia ya wenyeji. Vifaa vya kufundishia vilivyoandaliwa kwa pamoja na shirika 2000 na jumuia zenyewe huzingatia elimu isiyo rasmi ya wanawake wa vijijini, njia za kuingizia mapato na elimu ya afya. Kwa sababu ya jitihada hizi wanawake wamechukua uongozi katika masuala ya kuzima migogoro, jumuia za wenyeji zimeibuka na vigezo vipya vya kufanyia tathmini ya wagombea wa vyeo vya kisiasa, wanawake wanasimamia kwa karibu sheria za kitaifa kuhusu haki za wanawake, jumuia zimeanzisha miradi ya bustani na ushirika wa matunda. 17 Mipango Kimkoa, Easton, P Wakulima, wanawake na watu wengine ndani ya jumuia walishiriki kuendeleza 3 Ndoto za Wenyeji: ‘mtazamo wa mfumo’ kwa ajili ya mipango ya kanda, kubainisha mielekeo ya hapo Ushiriki huko Afrika baadae ambayo huenda ikailetea jumuia ya wenyeji athari fulani. Kulikuwa na ya Magharibi, mfululizo wa mazoezi yenye nguvu za utabiri huo yaliyofanyika katika nchi Februari, 2000 fulanifulani za Afrika ya Magharibi. Mazoezi yale yalionesha masuala yafuatayo: mabadiliko ya kisaikolojia na kiuchumi, kupatikana kwa kiungo kati ya maeneo ya mijini na vijijini, haja ya kutegemea rasilimali za wenyeji na utundu, kuimarika kwa muundo ya kifamilia, tafsiri ya hati mbalimbali za kiserikali pamoja na miongozo kwa lugha za kinchi, kuimarika kwa ushirika vijijini, kuibuka kwa ushirikisho baina ya vijiji kwa nia ya ushiriki wa kisiasa 18 Usimamizi Shirikishi Easton, P Methali za wenyeji ambazo zinachukua mitazamo ya wenyeji pamoja na ufahamu 3 na Utamaduni wa wao kuhusu masuala kama uwajibikaji, utendaji na upokeaji wa majukumu, Wenyeji: Methali na huweza kutoa miongozo inayofaa katika kuelewa mtazamo wa wenyeji, mambo Vielelezo; Machi 2000 wanayopenda na uzoefu wao kuhusiana na masuala haya, katika kufanya tathmini ya utendaji unaohusika na programu za umma na miradi yake 69 19 Maarifa Asilia na Prakash, S Hizi Tini za MA hudhihirisha baadhi ya midahalo kuhusu faida na hasara za 6, 8 Haki za Umiliki Mali taratibu za Haki za Usimamizi Mali Akili. Mapendekezo yanayojitokeza ni ya Akili, April, 2000 kuhakikisha kuna mfumo wa sheria za mila wenye kujumuisha haki za umiliki wa mali akili kwa namna ya kipekee, uwekaji kumbukumbu wa maarifa asilia ndani ya nyaraka za jumla za umma pamoja na kukuzia mifumo ya ushirikishanaji faida kiasasi 20 Kugundua Tena Easton, P. Kuwapa vijana mafunzo ya kuingia maisha ya utu uzima katika jamii pamoja na 3 Uanagenzi na taratibu zake na stadi, ni mazoea ya kawaida ndani ya jumuia za vijijini, barani Kupitia Jando na Afrika. Mifumo ya namna hii haipatikani mijini kwa ajili ya watoto wa mitaani. Unyago: Kiingilio cha Ziko jitihada tatu za kujaribu uwezekano wa kuzirekebisha taasisi za vijijini ili Uchumi wa Mijini, ziwafae vijana waishio mijini: mtandao wa “shule zisizo rasmi” kwenye mitaa ya Afrika, Kusini mwa watu fukara jijini Nairobi na vitongoji vyake; zile jitihada za shirika la kimataifa la Sahara Mei, 2000 watoto wa mitaani ambalo hutegemea maarifa na nguvu za watoto wenyewe wa mitaani huko Sudani, na jitihada za ubunifu za kusaidia wahusika wa sekta isiyo rasmi huko Senegali 21 Maarifa Asilia kwa Prakash, S Hizi Tini za MA hutathmini shughuli, mafanikio na changamoto za ‘Maarifa Asilia 10 Maendeleo: Safari ya kwa Programu na Maendeleo’ baada ya miaka miwili. Baada ya hapo, hatua Miaka miwili zilizobainishwa ni kuzidisha nguvu za kujengea mkondo ili MA yawe sehemu ya Barabarani; Juni, maendeleo, kuanzisha jumuia za mazoea; na kuimarisha watu katika utayari wa 2000 kufundishana mambo. 22 Maarifa Asilia Yaingia Easton, P, Kuingizwa kwa MA na kuwa sehemu ya mfumo wa elimu rasmi na kuunganishwa 3 Shule. Matarajio na Capacci, C, kwa ujuzi wa kusoma na kuandika na mahitaji ya jumuia barani Afrika Hofu Zinazoyakabili Kane, L kunakwenda polepole sana. Baadhi ya serikali za kitaifa zimeanza kujaribu mbinu Elimu ya Jumuia za jamii zisizo rasmi katika elimu kwa maudhui ya lugha za kinchi. Baadhi ya katika Saheli ya mbinu hizi huwapa moyo watu wa jumuia kushiriki katika maeneo ya fedha, Magharibi; Julai, 2000 utawala na ukuzaji mitalaa ya elimu ya msingi na sekondari. 23 Mbegu za Uhai: Easton P, Wanawake walimao maharagwe nchini Kenya wanachangia sana katika uhifadhi 3, 4, 6, 7 Wanawake na Kilimo Ronald, M wa aina za Kijenetiki na kilimo cha bio-anuwai. Kilimo cha zao moja hulingana na cha Bio-anuwai Kilimo cha jadi nchini Kenya kwa kupunguza mchanganyiko wa mazao na barani Afrika, Agosti usalama wa chakula. Kutambua na kuelewa maarifa ya wanawake katika eneo hili 2000 kungewasaidia kubadilisha mwelekeo. 24 Uimarishaji wa Ngula, L, Jumuia katika Jamhuri ya Kidemokrasi Kongo huhamisha maarifa ya 6 Maarifa Asilia ya Khonde, B, utengenezaji wa mvinyo wa miwa kwa njia teule za uanafunzi pamoja na Kiufundi: Mfano wa Charles, P, ushirikishanaji maarifa. Wazee wa jumuia na wanawake ndiyo walioruhusiwa Mvinyo wa Miwa. Pruzabana, J-J kushiriki mchakato wa mwisho. Uchambuzi unaelekeza haja ya kuimarisha MA Septemba, 2000 kwa kuyachaganya na maarifa ya kisasa ili kuboresha malighafi na upatikanaji wake, uboreshaji wa mazao na uuzaji wake 25 Mali: Maarifa Asilia Easton,P, Timu ya utafiti nchini Mali iliyotoa tathmini ya programu ya ujuzi wa kusoma na 3, 8 Mchanganyiko wa Bellonde, G kuandika inayoendelea inapendekeza kuhusishwa kwa viongozi wa jadi na wazee Mapya na ya Kale; wa jumuia katika uhamasishaji wa mafunzo ya ujuzi wa kusoma na kuandika. Octoba 2000 Wizara ya Elimu inaunga mkono matumizi ya zana na mbinu zinazotokana na maarifa ndani ya jumuia kwa ufundishiaji wa ujuzi kusoma na kuandika ambazo zinatilia mkazo stadi za ufundi, tathmini ya mahitaji na uelewa wa mbinu zenye msingi wa MA katika ufumbuzi wa matatizo 26 Dawa za Jadi na Bodekar. G, Katika kupendekeza ufumbuzi fulani wa Kiafrika katika kupambana na Ukimwi 5, 6 UKIMWI; Novemba Kabatesi. D, barani Afrika, makala hii inaeleza haja ya kufanya dawa za jadi kuwa sehemu ya 2000 King. R, mbinu pana ya uzuiaji wa VVU/UKIMWI na inajadili njia za uboreshaji wa Homsey. J. mtandao wa wadau wake kusini mwa Afrika. 27 Uganda: Teknolojia Prakash, S Kituo cha mawasiliano cha matumizi mengi huko Nakaseke kimeanzisha 3, 6 ya Habari na teknolojia mpya ya habari na mawasiliano kwa ajili ya kuleta msisimko katika Maendeleo Vijijini; maendeleo vijijini kwa kuratibu upatikanaji wa taarifa, visaidizi vya kujifunzia, Desemba 2000 mafunzo ya matumizi ya kompyuta na teknolojia za mawasiliano, kujenga kumbukumbu za mazoea ya kilimo cha wenyeji na kuboresha huduma za afya. 28 Maarifa Asilia na Easton, P Utafiti wa kutoa tathmini ya jitihada zinazoendelea za ujuzi wa kusoma na 6 Sauti ya Wenyeji kuandiika nchini Mali, unaelekeza kuwa, miradi mingi ya mafunzo ya ujuzi herufi katika Kupigania imekuwa haifanikiwi kwa sababu ya vikwazo hivi vifuatavyo: washiriki wa vijijini mabadiliko huko walikuwa na fursa chache za kutumia huko vijijini wanakoishi maarifa ya Afrika ya Magharibi Kibambara kilichoandikwa. Serkali za mitaa na huduma za kilimo hazikuwa Januari, 2001 zikitumia lugha za kinchi wakati wote, shule zilitegemea Kifaransa kwa kufundishia na kulikuwa na uhaba wa fursa za mikopo au uwekezaji mwafaka wa vitegauchumi mbadala vilivyopo 29 Lugha za Afrika ya Easton, P Uchunguzi wa muundo na kamusi ya Kihausa huelekeza kuwa kuelewa lugha ya 3 Magharibi: Mkondo kinchi kunaweza kusaidia katika mchakato wa maendeleo kwani zinaakisi uzoefu na Ujumbe, Februari mahususi wa kitamaduni 2001 30 Maarifa Asilia na Naur, M Tunapolinganisha Ghana na Zambia inathibitika kuwa serikali za kitaifa zina 3, 6 VVU/UKIMWI: wajibu mkubwa wa kutayarisha mbinu za mafunzo yanayoandikwa kwa lugha ya Ghana na Zambia: kinchi kwa ajili ya waganga wa jadi pamoja na mikakati ya elimu kwa ajili ya Machi 2001 kukabiliana na janga la VVU/UKIMWI 70 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia 31 Malicounda–Bambar, Easton, P Baada ya kujiunga na wazee na wanajumuia wengine, akinamama wa Kibambara 3, 4 Matokeo, Safari ya walifanikiwa kukomesha mila mbaya ya ukeketaji katika jumuia yao, kwa kutumia Mapinduzi ya mitandao ya kanda na jitihada za elimu, akinamama wale walifanikwa kuondoa Wenyeji; Machi, 2001 mila hiyo katika jumuia nyingine hadi kuvuka mipaka ya nchi yao. 32 Waganga wa Jadi wa Leonard. K.L Pamoja na upanukaji wa dawa za kisasa, waganga wa jadi bado wangali maarufu 6 Kiafrika: Masuala ya barani Afrika na hupata malipo ambayo si haba na wakati mwingine yaliyo juu ya Uchumi katika yale ya tiba za kisasa. Utaratibu wao wa malipo baada ya kupona na mikataba Uponyaji; Mei, 2001 inayotegemea uponaji huwapatia sifa ya motisha mwafaka wa kuvutia kwa wagonjwa wengi. 33 Kukarabati Athari za Easton.P, Shirika asasi moja isiyo ya serikali nchini Msumbiji ya “Watoto, Familia na 3 Vita Nchini Msumbiji Mahade. A, Maendeleo” huonesha kuwa jitihada zenye mmsingi ndani ya jumuia zipatapo Jamii za Jando na Ahmed. Z. kukolezwa kwa mtalaa wenye maudhui ya modeli ya mafunzo ya kijadi, Unyago na Shule za zikatekelezwa kwa maelekezo ya wenyeji kwa ajili ya vijana waliosambaratishwa Jumuiya na migogoro ya kivita, zimesababisha kuongezeka kwa wanafunzi shuleni pamoja kiwango cha ushiriki wa wanajumuia katika mageuzi ya mitalaa 34 Tanzania: Usamba- Mgumia A.H Mradi wa Maendeleo ya kilimo wa milima ya Uluguru hufanya kazi na wakulima 6 zaji wa Maarifa ya wengine katika mkoa. Utafiti huu unaoshirikisha taaluma nyingi hutegemea Wenyeji kuhusu kupatikana kwa elimu inayofaa na utekelezaji ya mawasiliano na ushirikishanaji Kilimo; Julai 2001 wa maarifa baina ya wakulima 35 Ethiopia: Tiba ya Lambert, J. Uharibifu wa misitu, kilimo, mifugo mingi ndani ya eneo dogo la malisho, mioto, 4, 5, 6 Jadi na Daraja la mmomonyoko wa udongo n.k., ni tishio kwa mimea yenye thamani ya dawa Kuingilia kwenye pamoja na maliasili nyingine ambazo zimewanufaisha watu wengi Afrika kusini Afya Bora; Agosti mwa Sahara. Ufumbuzi wa tatizo la kuzidi kupungua kwa mimea yenye thamani 2001 ya dawa, kunahitaji utambuzi wa mchango mkubwa ambao mimea hiyo hutoa kwa ajili ya afya ya wanadamu na mifugo barani Afrika. Mapendekezo ya msingi yanayojitokeza ni kuchanganya sayansi za kisasa na MA kuimarisha uwezo wa kitaasisi wa kuhifadhi mazoea ya kupanda mimea yenye nguvu za dawa 36 Eritrea: Mchakato wa Pidatala, K. Hizi Tini za MA hufafanua jitihada za kimfumo za kuweka kumbukumbu na 6 Kumiliki Maarifa kuthibitisha uhakika/uhalali wa maarifa asilia katika mikoa ndani ya Eritrea, Asilia; Septemba, kupendekeza mafunzo ya mtu mmojammoja au makundi ili kutengeneza 2001 kumbukumbu na kuchambua MA kwa kuhusisha taasisi za kitaaluma zilizomo nchini Eritrea 37 VVU/UKIMWI: Naur, M Waganga wa Jadi na Maarifa Asilia huweza kuziwezesha jumuia kukabili athari za 6 Waganga wa Jadi, VVU/UKIMWI na kuchangia katika mgawanyo wa maliasili unaofanywa na Jitihada ya Jumuia serikali kwa ajili ya matumzi yenye manufaa zaidi. Kwa mfano, jitihada za Kuji-tathmini na uhamasishaji jamii za Afrika ya Kusini zinaonesha kuwako kwa haja kubwa ya Uwezeshwaji, Octoba kutambua umuhimu wa msingi wa jumuia kuhusu haki za binadamu kwa kutumia 2001 kanuni za elimu za Paulo Frevre 38 Senegali Lugha za Easton. P , Kukosekana kwa maandiko ya wenyeji ni kikwazo kikubwa katika ufanikishaji wa 3 Asili, na Fasihi kwa Fagerberg— mafunzo ya ujuzi wa kusoma na kuandika. Ujuzi wa kusoma na kuandika Kipullar Biashara isiyo na Diallo, S. na chama cha kujitambua kitamaduni huelekeza kuongezeka kwa haja ya kuwako Faida—Masimulizi ya kwa matini za Kipullar. Maudhui ya lugha za kinchi yaliyochapishwa ni pamoja na ARED, Novemba miongozo ya ujuzi- herufi, ujuzi- hesabu; riwaya na maandiko mengine vitabu vya 2001 MA, vya dini na vya mafunzo ya kamili 39 Burkina Faso: Roncoli. C, Tini hii ya MA inalinganisha mbinu za utabiri wa hali ya mvua kijadi na kisayansi 6, 8 Uunganishaji wa Ingram. K, ikionesha kwamba wakulima wanategemea aina zote mbili za utabiri: kijadi na za Vigezo vya Kisayansi Jost, C kisasa na Asilia katika Utabiri wa Mvua; Desemba, 2001 40 Huduma ya Akina- Musoke, M.G.N. Huduma za vijijini zinazofadhiliwa na UNFPA na Mradi wa Misaada ya Dharura 3, 4, 10 mama Wajawazito ni jitihada ambazo, zimeboresha huduma kwa akinamama wajawazito kwa Vijijini Uganda: kuwafunza wakunga wa jadi na kuwapatia zana za mawasiliano, usafiri na Uboreshaji wa upatikanaji wa hakika. Wa damu ulio ns viwango vya vifo vya akinamama Mifumo ya Maarifa: vimepungua kwa asilimia 50 katika kipindi cha miaka mitatu Asilia na ya Kisasa: Januari; 2002 41 Eritrea: Kuondoa Wolff, P.H Mila ya ukeketaji imeenea katika jumuia nyingi za Kiafrika, na, kihistoria, 6 Mila Zinazodhuru; akinamama wenyewe waliingia katika mila hiyo kwa ridhaa yao kwa sababu Februari 2002 mbalimbali. Uzoefu wa majeshi ya ukombozi ya Eritrea yanaelekeza kuwa makatazo dhidi ya mila hii hayawezi kufanikiwa kwani huleta athari ya kuzitenga jumuia na kuzilazimisha ziiendeleze mila hiyo kwa siri. Kushirikiana na wakunga wa jadi, kuwaelimisha kuhusu hatari za mila kiafya kumedhihirika kuwa mwafaka zaidi 42 Kuendeleza Maarifa Easton. P, Kuwako kwa makabila mengi, sera za taifa na utekelezaji wake na nafasi ya 4 Asilia katika nchi Nikiema. E, AZISE kuingizwa kwa MA ndani ya maendeleo. Taasisi zilizomo ndani ya jumuia zinazozungumza Essama, S. (k.m. shule) hazina budi kuchukua nafasi muhimu katika kushiriki kazi zenye Kifaransa barani mnasaba na MA pamoja na jitihada za serikali za kugawa madaraka ili Afrika: Muhtasari wa kuyawezesha MA kuingia katika mkondo wa maendeleo kwa matokeo bora zaidi Nchi Nne Machi 2002 71 43 Maonesho ya Mbegu Mponda O.KK, Maonesho ya mbegu bora nchini Tanzania husaidia kupatikana kwa mtandao wa 2, 6 Kusini Tanzania: Kafiriti, EM watafiti, wakala wa uenezaji huduma, wakulima wadogo wadogo, wazalishaji Kwa nini Maonesho wanyama na watoa mbegu. Manufaa ya mara moja, kwa kipindi cha kati na cha ya Mbegu Ukanda wa muda mrefu cha matazamio ya mafanikio ni kuongezeka kwa aina mbalimbali za Kusini? mbegu, umilikaji wa ushirika wa kanda, kuongezeka kwa tija katika kilimo na usalama wa chakula, kuongezeka kwa mapato na ubadilishanaji wa maarifa asilia 44 Uganda: Mchango wa Rubaihayo, E.B Mboga asilia zinazooteshwa, aghalabu na akinamama, katika bustani zao za 4, 6 Mboga Asilia kwa nyumbani au zilizochumwa makondeni ni lishe kuu katika familia za vijijini zilizo Uhakika wa Chakula nyingi katika nchi nyingi za Afrika. Lakini sera kuhusu usalama wa chakula cha Kaya; Mei, 2002 katika familia hazitilii mkazo ukulima wa mboga hizi. Walaji wa mboga mijini na vijijini wangefaidika zaidi kama wangeelewa faida ya mboga hizi kwa afya zao, uchumi wa nchi na mazingira yao. 45 Utumiaji Maarifa Prakash, S Wakulima walifanya ushirikiano katika kuinua tija ya kilimo huko Uttar Pradesh 4, 6, 7 Asilia Kuinua Tija ya katika mradi wa urutubishaji ardhi ambao uliongozwa na wakulima wenyewe. Kilimo: Mfano Kwa kutumia uzoefu wao wenyewe, waliweza kurutubisha ardhi ikaweza kutoka India Juni; kutumika tena kwa kilimo. Matokeo ni kwamba kulikuwa na ongezeko la mazao 2002 kwa mara nyingi sana kupanuka kwa shughuli za kiuchumi, kuongezeka kwa mara mbili kwa viwango vya ujira, kupungua kwa uhamaji na kuongezeka kwa thamani ya ardhi. 46 Dhima ya Visasili na Easton, P; Msumbiji ina maliasili nyingi lakini kupanuka kwa miji kuanguka kwa bei ya 3, 7 Mila katika Dava, F; mazao na mabadiliko makali ya hali ya hewa huathiri uendelevu wa maliasili hizi. Kusimamia Maliasili Ahmend, L Taasisi mahalia, kanuni zisizo rasmi, visasili na miviga na mfumo wa usimamizi Kwenye Mwambao wa pamoja zimekuwa na maanufaa makubwa katika usimamizi wa maliasili hizo. wa Msumbiji Mfano mzuri wa mafanikio ni ule wa uongozi wa makazi ya aina fulani ya samaki mwenye gamba ambaye huliwa, kwa njia mchanganyiko za usimamizi wa familia na baraza la jumuia kuonesha kuwa kuna tofauti kati ya mbinu za kisasa na NRM 47 Utumiaji wa Maarifa Henning, R. K Jitihada za mmea uitwao Jatrofa zimehamasisha maendeleo ya kiuchumi, 6 Asilia ya Jatrofa: kisaikolojia na nishati. Jitihada zenyewe ni za kuhifadhi maarifa mahalia na mazoea Matumizi ya mafuta ya matumizi mengi ya Jatrofa katika kuzuia /kudhibiti mmomonyoko na kuboresha ya Jatrofa curcas ardhi, kupunguza umaskini na kuhakikisha kuwako kwa nishati inayoweza kama malighafi na kutumika zaidi ya mara moja kwa kuwahamasisha wanawake wawe na maarifa nishati 48 Ethipia: Uwezo wa Haile, D ‘Eder’ ni taasasi ya kijadi iliyoanzishwa kwa msingi wa jumuia ambayo hunufaisha 6, 7 Bima ya Jamii ya watu kwa kuwa chombo cha fedha cha kijamii nchini Ethiopia. Katika maeneo Kijadi katika mengi ya vijijini Eder hutoa msaada kwa ajili ya tiba kwa familia za wenyeji. Asasi Kusaidia Huduma ya kama hizi zisizo za kibiashara zinazotumia kanuni za mshikamano, urafiki na Afya kusaidiana, hutoa vivutio vya vya ushiriki na uimarishaji wa taratibu fulanifulani za jumuia 49 Wakulima Wafanya Bunch, R. Chama cha washauri wa kilimo endelevu cha kiikolojia chenye msingi wa 6, 8 Majaribio: Teknolojia Canas, M wanufaika wake kina taarifa kwa kilicho kikubwa cha uzukaji wa mambo mapya ya Kujibunia katika teknolojia ya Kilimo.Tini za MA zinajadili aina za teknolojia zinazofanyiwa majaribio na wakulima, teknolojia gani zinaleta mafanikio na wakulima wanahitaji msaada gani wa kimtandao pamoja na masoko 50 Entrea: Majukumu Wolff, P.H. Mitandao ya jumuia mahalia iliyojiwajibisha kulea yatima na maskini 9 ya Pamoja ya Yatima ilisambaratishwa wakati wa mgogoro wa Eritrea. Tini za MA zinajadili muhimu wa Vita; Novemba wa vyandarua katika maeneo ya vijijini kwa ajili ya watoto pamoja na jitihada za 2002 nchi nzima ya wakala wa huduma ya kijamii. Jitihada hizo zinatilia mkazo haja ya kuunganishwa kwa watoto yatima wa vita katika familia kubwa za kiukoo. Kwa wale watoto ambao familia zao za kiukoo hazifahamiki, mpango unasaidia kuundwa kwa kaya za makundi 51 Dawa za Jadi Tanga Scheinman, D Waganga wa jadi, waganga wa kisasa na wahudumu wa afya wameunda kundi la 4, 5, 6, 8 Hivi leo: Enzi za Kale kazi za UKIMWI la Tanga. Msingi wa asasi hii isiyo la serkali ni matumizi ya na za Leo Zakutana; maarifa ya jadi na ya kisasa katika kulikabili janga la VUU/UKIMWI. Wataalamu Desemba 2002 wenyeji wa mitishamba wamegundua matibabu ya maradhi dowezi ya VVU/UKIMWI, ambayo hayana gharama kubwa lakini yenye uwezo wa tiba. Asasi hii ya kazi za UKIMWI linatafuta ushirkiano kimataifa kwa ajili ya kuthibitisha kisayansi nguvu za mimea inayotumika katika tiba 52 Ethiopia: Kiwango Fassil, H Utafiti uliofanyika Ethiopia ulikusudia kupata undani kuhusu utapakazaji wa 6 Bora cha Uelewa maarifa yanayohusu afya ya kijadi na matumzi ya mimea mbalimbali miongoni Maarifa ya Jadi na mwa wanaume na wanawake katika jumuia za vijijini. MA hayawi na wataalamu Mimea ya Dawa wa dawa za kienyeji lakini pia ni ya wanawake ambao ndio wanaotoa sauti ya kwanza katika suala zima la afya ya mtoto katika familia zao. Utafiti unaelekeza haja ya kuwako kwa mbinu za utafiti shirikishi za utaalamu na wadau katika jumuia husika 53 Maswala ya Uchumi Nwokeabia, H Ukosefu wa vivutio kwa waganga mmojammoja pamoja na desturi zilizopo 2 katika Maarifa Asilia kumesababisha kutokuwako kwa ushirikishanaji wa maarifa ndani ya jumuia ya Kiafrika, Februari mahalia, na kwa sababu hiyo, kupunguza kasi ya uibukaji wa mambo mapya. 2003 Maamuzi ya waganga wa jadi ya kushirikishana maarifa hukwama kutokana ya kufikiria matokeo ya kufichua siri zao, kupoteza hadhi ya utaalamu, haki za ugunduzi 72 Mbinu za Wenyeji za kuleta Maendeleo ya Dunia 54 Matumizi ya Dawa za Weisheit, A; Waandishi wanapendekeza mkondo mkubwa wa kuingiza dawa za jadi ndani ya 5, 6 Jadi nchini Uganda Moses, M. mfumo wa afya ya msingi ya umma na kusaidia ukuaji wake. Mikakati ya msingi ya Leo, Machi 2003 iliyojitokeza ni uhifadhi wa mimea ambayo inaanza kutoweka na ubadilishanaji wa taarifa, kuanzisha na kuimarisha mfumo wa kisheria na kitaasisi kwa ajili ya kujengea mkondo, mazoea ya kijadi yaingie katika mfumo wa mazoea ya afya, kuwekea viwango dawa zinazotokana na kazi za waganga wa jadi, taratibu za utengenezaji na ufungaji wa dawa hizo, mafunzo ya waganga wa jadi kuwa waelimishaji wa jumuia. 55 Maarifa Asilia: Prakash, S Ubia wa Asia—Afrika ulioendelezwa na kanda ya Afrika ya Benki ya Dunia ni 6 Ubadilishanaji wa jitihada za kukusanya na kueneza maarifa ya wenyeji kwa kuvuka mipaka ya mafunzo, Mfano wa jumuia na kanda. Mafunzo yaliyotokana na jitihada hizo yameingizwa katika Ushirikiano wa miradi ya washiriki Kusini kwa Kusini; April 2003 56 Ghana: Kanye Ndu Fred-Mensah, Jumuia ya ‘Buem’ huendeleza tangamano ndani ya mfumo wa kijamii bila ya 9 Bowi—Muktadha wa B. kujali migogoro na tangamano hili huendeshwa kwa mfumo wa utanzuaji wa Kifalsafa wa Udhibiti migogoro ambao unatoa zawadi na makatazo kwa wahusika. Pendekezo wa Migogoro; Mei linalojitokeza ni kutumia sawia vipengele husiani vya aina zote katika uingiliaji 2003 kati wa udhibiti wa migogoro 57 Haki za Kitamaduni Frommer, C Utafiti wa maliasili ya kijenetiki ya mmea na maarifa ya utabibu hudhihirisha 6 katika Upekee wa nafasi ya maarifa asilia na jinsi yanavyopatikana, kuhifadhiwa, kutumika, Mfumo wa Sheria za kushirikishwa na kufanyiwa tathmini kwa mbinu asilia na zisizo asilia Barani Zimbabwe, Juni 2003 Afrika 58 Mbinu za Wanawake Shroff-Mehte, P Mwanamke mmoja, mkulima na mfugaji sawia, anachangia mageuzi ya mikakati 2, 4, 6 Vijijini za ya shughuli za uchumi na maisha ya kijiji chake na maendeleo yanayokizunguka Kujiwezesha; Julai huko Gujarati nchini India. Mfano wa umiradi ya usimamizi wa mifugo ambayo 2003 imestawi vizuri huonesha uelewa wake wa muktadha wa jumuia, mahitaji pamoja na vikwazo na uwezo wake wa kutafuta ufumbuzi ulio pekee na wa kudumu; na ujenzi wa uwezo wa jumuia kwa kuunganisha maarifa ya jadi na ya kigeni 59 Adzina: Mfumo Asilia Mensah, B.K Bate Kate na Adzina ni mifumo ya kitaasisi iliyotengenezwa na jumuia ya wenyeji 9 wa Uendeshaji katika eneo la kijadi la Buem nchini Ghana. Inawakilisha mfumo wa kijadi wa Mahakama Mpakani kuendeshea mashtaka ulio mpakani mwa Gahana na Togo. Mfumo una taratibu mwa Togo na Ghana; zake mahususi zenye uso wa kiasasi na wa kijumuia wa mbinu za usuluhishi na Agost 2003 utatuzi wa migogoro. Kuwako kwa wazee wa jumuia na kuingilia kati kwao kwa hekima isiyo ya kawaida na rai za wanajumuia ni muhimu katika mchakato mzima wa usuluhishi na utanzuaji wa migogoro ya jinai na isiyo ya jinai 60 Vikwazo vya Kitaasisi Shroff-Mehta, P Uchambuzi wa tafiti ndogo kumi na sita za wanajumuia waliokuwa watundu wa 2 katika Uhamasishaji kuleta mabadiliko unaonesha jinsi wanajumuia hai wanavyoshinda vizuizi vya wa MA: Upatikanaji familia/jumuia vya muda na vya kitaasisi na kuvumbua mkakati wao wenyewe; wa Mitandao ya ushirikiano na mitandao ya kijamii inayowakilisha mashirika AZISE, wakala za Kijamii na Taasisi serkali, taasisi za kitaaluma na jumuia nyingine ndani ya ukanda husika Rasmi, Septemba, 2003 Mifumo ya Maarifa Asilia Katika Afrika Kusini mwa Sahara: Kwa Muhtasari Makala hii imerekebishwa na Paula Donnelly-Roark kutokana na makala ya “Mitazamo Kuhusu Mifumo ya Maarifa Asilia Kusini mwa Afrika”. Watu wa vijijini barani Afrika daima Afrika kote wanaamini kwa dhati wamehifadhi nguvu fulani za kutisha kwamba maendeleo chanya mapya zinazolinda taasisi za asili na mifumo yanaweza kutokea, lakini iwapo tu ya maarifa ya asili na kwa kufanya watu wenyewe watadhibiti viingizia- hivyo wameweza kudumisha kiwa- mali, uchumi na utamaduni. ngo fulani cha kujitegemea. Nguvu Hata hivyo, uwezo huu wa wanan- hizi zimekitwa kwa uwezo wa kuya- chi kudhibiti mambo yao, hutokea tu kataa mambo ambayo hawana sauti pale wananchi wanaporuhusiwa Tini za MA 1 nayo. Ripoti za hivi karibuni kutoka kufanya kazi ndani ya, kupanua na Oktoba 1998 kwa mashirika ya wahisani zina- kubadili taasisi zao na mifumo yao zoelezea kushindwa kwa miradi ya ya maarifa. Hivyo fursa za kuleta kupunguza viwango vya umasikini pamoja mifumo ya maarifa ya asili barani Afrika kwa kipindi cha miaka na uhifadhi wa maliasili ni nyingi- ishirini iliyopita, zinathibitisha mta- lakini hatari pia ni nyingi. Fursa ni zamo huu. Miongo hii ya mipango uwezekano wa kuanzisha miradi ya iliyoshindwa kutekelezeka haikuto- usitawishaji wa maliasili inayoen- kea kwa sababu wafanyakazi wa dana vema na taasisi na mifumo mashirika ya uhisani hawakuwa na iliyopo na hivyo kuwa endelevu. moyo wa kufanya kazi, wala si kwa Hatari yake ni kwamba mazao vile jumuiya za Kiafrika hazikupenda yanayotokana na maarifa ya asili— maendeleo. Miradi haikutekelezeka ubainishaji wa mipango, au mbinu za kwa sababu sauti za wanavijiji— upangaji mipango, kwa mfano— ushirika na udhibiti wao ulichu- huweza kubainishwa bila kujali kuliwa kuwa ni sehemu ya lengo la vipengee vyake vingine vya kanuni maendeleo, na sio njia (mchakato) na dhima-ambavyo pia ni muhimu yenyewe ya maendeleo. sana kwa vile aghalabu havionekani Nguvu za watu wa vijijini za kwa mtu wa nje. Muunganiko wa kukataa miradi ya maendeleo yenye namna hii unapotokea, umiliki mtazamo huu kwao, na inayowaju- ambao ni muhimu kwa uendelevu na muisha kama “wafaidikaji” tu, lakini kujitegemea huanza kudhoofika; na sio “watendaji” bila shaka hazija- wananchi hujikuta wamepokonywa panua msingi wao wa viingiziamali; zaidi urithi wao wa kujitegemea. na sasa uharibifu wa mazingira na Lengo la makala hii ni kuelezea kuzorota kwa uchumi kumeudho- baadhi ya fursa ili ziweze kuende- ofisha zaidi msingi huo. Pamoja na lezwa kwa ufanisi zaidi. Ili kutimiza matatizo yote haya, watu wengi lengo hili, masuala kadhaa yanaja- 73 74 Tini za MA 1 diliwa kwa kifupi hapa chini ambayo yanahusiana na nini kibadilike, wana mtazamo mmoja ule ule wa namna hatari na fursa hizo. ya kuleta mabadiliko hayo. Hivyo majaribio haya ya awali, yanayohusu mifumo ya maarifa ya asili na taasisi yatahitajika kubainisha wazi mifumo yake ya kidhana na Kuelezea Tumefika Wapi athari zake za nguvu/udhibiti ili kwamba tofauti katika mitazamo na mikabala iweze kubainishwa na kushughu- Kwa kipindi cha zaidi ya miaka 40 iliyopita, jumuiya ya likiwa kwa makubaliano, badala ya kuendelezwa katika maendeleo ya kimataifa ilichukulia kwamba mtindo wa malumbano yasiyo kikomo. maendeleo wa kuingiza pembejeo na kuzalisha mazao ndio ulikuwa muhimu zaidi kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika nchi. Hata hivyo, kushindwa kwa Kudhani Huleta Tofauti programu na taasisi hizi kupata uendelevu na ufanisi, ambayo ni matokeo muhimu ya mtindo wa uchumi wa Tofauti kuu katika kuleta mabadiliko hutegemea kama “pembejeo—mazao”, hatimaye kumesababisha mkabala mtu anatarajia maendeleo ya kiuchumi na kijamii yaanzie huu wa uchumi kutiliwa mashaka. Utambuzi wa hali hii ndani ya nchi ama yategemee msukumo toka nje. umesababisha kuiacha mifumo ya uchumi inayoanzia juu Jumuiya ya maendeleo ya kimataifa na serikali za kwenda chini na kuzingatia zaidi mifumo shirikishi Kiafrika ambazo zina upendeleo wa muda mrefu wa inayohusu nyanja zote za maendeleo ya wananchi. Nguvu mfumo wa uchumi wa pembejeo—mazao kwa kawaida ya mkabala huu mpya ni kwamba sio tu unatoa ufumbuzi zimekuwa zikikumbatia msukumo wa maendeleo mpya wa matatizo; bali pia unatoa ufumbuzi mpya wa unaotoka nje. Kadiri dhana ya uendelevu ilivyoanza kutambua matatizo. kutilia mkazo umuhimu wa umiliki wa washiriki na Jambo linaloweza kutuonyesha tumefika wapi katika uwajibikaji unaotokana na umiliki huo, haja ya kuzingatia mitazamo hii mipya ni kuangalia mabadiliko kuwashirikisha wananchi katika miradi ya maendeleo yaliyokwisha tokea katika kufasili matatizo yaliyopo. imeongezeka sana. Hapa, hata hivyo, mashirika ya Hapa “hoja ya uendelevu” imetimiza yale yaliyoshin- wahisani aghalabu yamekuwa yakidhani kwamba dikana kutimizwa na dhana za “usawa” na “mahitaji ya harakati za ushirikishwaji zingetumika kuwaelewesha msingi ya binadamu”. Yaani kuonyesha kuwa maendeleo wananchi mifumo mikuu ya sasa ya kiuchumi na yanayowategemea na kuwashirikisha watu sio tu kiutamaduni ya nchi za magharibi—lakini kwa uangalifu hupendelewa kwa vile yanazingatia haki, bali pia zaidi na kulingana na muda wao wenyewe. Kimsingi hali yanahitajika kutokana na ufanisi wake. Hata hivyo, hii hufanya mambo yanayodhaniwa kuhusu msukumo utambuzi huu unaolingana wa matatizo, haumaanishi huu wa maendeleo toka nje yasiguswe na yasitafakariwe. kuwa utatuzi wa matatizo hayo umelingana pia. Kwa Uwezekano kwamba taasisi za asili za Kiafrika— hakika hakuna ulinganifu wa namna hiyo. aghalabu hubainishwa kama za “kimila” ama “zisizo Hatari hapa ni ya aina mbili. Kwanza, wale ambao rasmi”—zinaweza kuwa msingi wa maendeleo wamekuwa wakiunga mkono mabadiliko haya kwa yanayoanzia ndani ya nchi haujachunguzwa sana. Hata miongo mingi wanaweza wakaendelea kudhani kwamba hivyo, mkazo wa sasa wa maendeleo unaolenga kuongeza hapakuwepo na mafanikio kwa vile mafanikio hayo uwezo wa wananchi na taasisi umeanza kutathimini upya hayakuwa kamilifu; bila kugundua kuwa ingawa sera za ufanisi wa taasisi hizi. Kwa mfano, Mamadou Dia, katika zama za uchumi wa pembejeo—mazao zinaweza kuwa makala yake “kwanini utamaduni ni muhimu” ya 1991 hazijabadilika bado, “sauti” ama haja ya kuwa na alipendekeza kwamba utambuzi na utumiaji wa taasisi za mkabala mbadala tayari imeshajitokeza wazi. Hatari asili za Afrika ni muhimu katika kuleta usitawi wa bara mbadala ni kufikiria kwamba kwa vile kuna utambuzi hili. Kufuatia pendekezo hilo utafiti wa kikanda linganifu wa matatizo, basi kutakuwa na upatanifu ujulikanao kama “Menejiment ya Afrika kwa ajili ya vilevile wa kutatua matatizo haya. miaka ya 1990” uliandaliwa ili kuchunguza ufanisi wa Hivyo inaonekana fursa na namna ya kusonga mbele kutumia taasisi za asili, hasa menejimenti na upangiliaji inategemea kuzingatia mambo mawili: kwa upande wa shughuli. Matokeo ya utafiti yameonyesha umuhimu mmoja kwa vile “sauti” imejitokeza na watu wako tayari wa utamaduni na taasisi za asili katika uongozi bora, kuisikiliza na kutoa ushirikiano, jitihada zaidi hasa unaoshirikisha wananchi katika uzalishaji mali. zinahitajika kuwekwa kwenye kipengee cha jinsi gani; Wakati huo huo, matokeo yameanza kuonyesha viwango kwa upande mwingine majaribio yanayohusu “jinsi gani” vikubwa vya utengano katika taasisi zilizo rasmi na hayawezi kuchukulia kuwa watu waliokubaliana juu ya jumuiya za kiraia za Kiafrika. 75 Hatari kubwa hapa ni ile ya kupanua kiwango kilichopo zi juu ya kiwango mahususi cha udhibiti kuamuliwa cha utengano. Uwezekano huo ni mkubwa iwapo matu- aghalabu toka nje. mizi ya mifumo ya maliasili za Kiafrika hayatakwepa athari za kigeni katika ngazi zote. Kwa upande mwingine, Mkakati wa Kujikusanya Pamoja ingawa zipo fursa nyingi za kuziba utengano na kupanua Vikundi vya watu waliotengwa kwa namna fulani mifumo ya maarifa ya asili, ili jambo hili lifanikiwe viunzi hujikusanya pamoja, au hukusanywa ili viwe na nguvu vya kidhana lazima vibadilike, na kazi halisi, kwa zaidi na uwezo zaidi wa kuwaathiri wale wanaofanya kiwango kikubwa, itakuwa tata na isiyopimika. maamuzi juu ya vikundi hivyo. Vyama vya ushirika, vyama vya vijijini na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) ya kwenye jumuiya, ni mifano ya mkakati huu. Kubainisha Mikakati ya Ushirikishwaji Mtendaji/washiriki huchangia kwa viwango maalum udhibiti na wakala wa nje au na viongozi waliochaguliwa. Mikabala inayotumika kushirikisha wananchi ni mingi na ina malengo, mikakati ya utekelezaji na matokeo Mkakati wa Uwezeshaji tofauti tofauti. Tathmini ya viwango vya udhibiti na Vikundi vya kijumuiya, mara nyingi kwa msaada kutoka uendelevu hutoa viwango vya ushirikishaji vilivyo dhahiri nje, huanzisha mpango wa mafunzo/uwezeshaji unaovi- zaidi. Hali hii, kwa upande wake, inatoa kipimo wezesha kuandaa malengo yao; kutathimini matokeo ya kinachofanya mashirika wezeshaji kuwa makweli kuhusu fursa mbadala zilizopo; kuamua na kuchukua hatua za juhudi za ushirikishaji na matokeo yake. Uwezo huu ni kutekeleza malengo yao. Mkakati wa uwezeshaji huweka muhimu hasa pale vikundi vinapoamua kuacha mifumo udhibiti mikononi mwa mtendaji/washiriki, ambao ndiyo ya maendeleo ya nje na kuanza kutumia msukumo na wenye haki na wajibu. taasisi za ndani ya nchi. Kwa matokeo endelevu, swali muhimu ni: je, udhibiti Ili kuweka viwango vya msingi mikakati ya unakuwa kwa nani hasa? Mkakati wa “uhamasishaji” ushirikishaji imegawanyika katika kategoria nne. huweka udhibiti wote mikononi mwa mameneja wa Mikakati hii imeanishwa zaidi kufuatana na kiwango cha mradi na hivyo ni rahisi kuanzisha na kuusimamia. udhibiti cha watendaji/washirika. Uimarishaji huu, Lakini, kwa vile udhibiti wa wenyeji ni mdogo mno, ambao msingi wake ni kipimo cha nguvu/uhamishaji wa mkabala huu aghalabu huhatarisha msingi wa uendelevu. udhibiti, unaelezea jinsi mikakati ya ushirikishwaji “Maendeleo ya jumuiya” na “mikakati ya kujikusanya mbalimbali inavyofanya kazi na nini inaweza kutarajia pamoja” kuchangia kiwango fulani cha udhibiti na kutimiza kwa mtazamo wa “ mtendaji/mshiriki” na washiriki na hivyo ina uwezo wa kuwa na uendelevu wa “nguvu za nje”. Mikakati ya msingi na msisitizo wa kutosha, lakini kwa masharti yafuatayo: (a) Kwamba udhibiti ni kama ifuatavyo: usimamizi wa mradi uzingatie mitindo ya asili; na (b) zao la mradi likidhi mahitaji muhimu ya jumuiya, kama vile Mkakati wa Uhamasishaji uimarishaji wa huduma ya upatikanaji wa maji. Mikakati Mradi wa maendeleo huchaguliwa na kuandaliwa na ya “uwezeshaji” huwawezesha washiriki kubuni miradi watu wa nje, kwa kawaida na wataalam wa taasisi za yao na kuitekeleza na hivyo kuweka udhibiti na wajibu wahisani au serikali zilizobuni mradi, kabla ushirikishaji mkubwa mikononi mwa washiriki, pakiwepo na kiwango wa watu haujaanza. Kisha uongozi wa programu “huwa- kikubwa cha uendelevu. Lakini udhibiti mkubwa mno hamasisha na kuwakusanya” “wafaidika walengwa” ili unaweza pia kuongeza utengano. kuidhinisha, kushiriki na kupitisha maamuzi yaliyo- Kila moja ya mikakati hii ya ushirikishaji, licha ya kwisha chukuliwa. Mkakati huu unaliachia shirika la nje kuwa na kipengee cha udhibiti, huwa pia na “kipengee udhibiti kamili. cha matendo”. Katika kuchagua mkakati ni muhimu kuweka wazi kipengee hiki cha matendo. Na jambo Mkakati wa Maendeleo ya Jumuiya/Taasisi muhimu zaidi kwa mafaniko ya mradi ni kuelewa jinsi Tafiti za kijamii au mikutano hufanywa ili kupata uelewa kipengee cha matendo kinavyohifadhika ama kukengeu- mzuri zaidi wa mtazamo wa jumuiya/taasis kuhusu tatizo liwa wakati wa utekelezaji. Mikakati ya uhamasishaji maalum lililoainishwa kuwa linakwamisha maendeleo. hutumia washiriki kupata ushauri; mikakati ya maen- Vikundi vya wenyeji vinaweza kuhusishwa, kwa kutumia deleo ya jumuiya na ya kujikusanya pamoja hutumia mbinu za ushirikishaji, katika kupanga na kutekeleza washiriki kufanya mapatano; na mikakati ya uwezeshaji utatuzi wa tatizo. Mtendaji/washiriki huchangia kwa huwatumia kuanzisha kujitawala. Kuelewa kipengee cha viwango maalum udhibiti na wakala wa nje, lakini uamu- matendo cha mikakati mbalimbali ya ushirikishwaji na 76 Tini za MA 1 pia tofauti muhimu miongoni mwake, huweza kutusaidia Hitimisho kuamua wapi uwekwe udhibiti kwa ajili ya uwezekano mkubwa wa uendelevu. Kwa kifupi, mikabala ya ushirikishaji inayoweza kufanya Hatari hapa ni kwamba ili kufanya kazi kwa ufanisi kazi vizuri na mifumo ya maarifa ya asili badala ya kwa kutumia mifumo ya maarifa ya asili, mikakati yote kupingana nayo haichanganuliwi kirahisi au kutoa miwili ya mapatano na uwezeshaji lazima itumike na iwe utatuzi rahisi wa matatizo. Hata hivyo, ushirikishaji huu endelevu kwa muda mrefu, kwa ngazi za chini na pia zile hukabili vema utata na utegemeano wa masuala za sera. Kuhifadhi mikakati hii bila kurejea nyuma menyewe. Aidha huelekeza kwa ufanisi mbinu zinazo- kwenye ngazi za mapatano ni jambo gumu sana. Kwa hitaji kutatua matatizo kwa ajili ya kupata masuluhisho upande mwingine, fursa iliyopo ni kwamba ulazima wa endelevu. Lakini jambo la muhimu zaidi ni kwamba hii ni lengo hili utasababisha kuvumbuliwa maarifa mengi ya hatua ya kwanza ya kurejesha maendeleo ya Afrika “jinsi gani” ambayo yatafanya juhudi za baadaye katika kwenye msukumo wa ndani badala ya ule unaotoka nje ya eneo hili kuwa rahisi zaidi kutekelezeka. bara la Afrika. Uchunguzi Kifani wa Zimbabwe Mifumo Endelevu ya Maarifa Asilia Katika Kilimo katika Maeneo ya Matebele Vijijini Makala hii iliandikwa na Harold Sibanda, Ofisa Mipango wa Umoja wa Vyama vya Vijiji kwa Maendeleo ya Bulawayo, Zimbabwe. Imerudiwa kuchapishwa kutoka Mitazamo juu ya Mifumo ya Maarifa Asilia Kusini mwa Afrika iliyoandikwa na Jeri Larson, Aprili 1998, katika Mada ya Majadiliano Na.3, Kundi la Mazingira, Kanda ya Afrika, Benki ya Dunia. Iliandikwa pamoja na IUCN (World Conservation Union). Mawasiliano: jlarson@worldbank.org Utafiti huu ulichunguza Mifumo ya jini waliiandaa jumuiya kwa ajili ya Maarifa ya Asili katika kilimo utafiti wa uwandani na pia walian- kwenye maeneo ya vijijini ya nchini daa majadiliano. Utafiti wa uwan- Zimbabwe, ukilenga hasa katika kili- dani huko Kamaziya katika Wilaya mo cha mimea cha Watonga wa Wila- ya Binga ulitembelea kaya 40; huko ya ya Binga ya Jimbo la Kaskazini la Plumtree takribani kaya 100 Matabeleland, na ufugaji wa kabila zilitembelewa. la Wakalanga la Wilaya ya Plumtree Tini za MA 2 katika Jimbo la Kusini la Matabele- land. Utafiti ulilenga kubaini baadhi Matumizi ya Rasilimali Aprili 1998 ya maarifa ya asili yaliyotumiwa na Katika Wilaya ya Binga, wanaume watu kuhimili maisha katika mazi- hudhibiti rasilimali za familia na ngira magumu ya hali ya hewa na ya kuona kwamba rasilimali hizo zina- maumbile ya nchi. gawanywa na kutumiwa vema. Rasi- Malengo mahususi katika Wilaya limali hizi hujumuisha ardhi, maji, zote mbili za Binga na Plumtree yali- mazao ya mimea, mifugo, na nguvu- kuwa: (i) kubaini athari za kijamii, kazi ya familia. Ardhi hugawanywa kisiasa, kidini, kiuchumi na kimazi- kwa familia mpya na chifu wa eneo ngira za mifumo ya maarifa ya asili ambaye, kwa kushauriana na wazee katika kilimo; (ii) kubaini na wengine, hugawanya ardhi kwa ajili kuchambua mbinu za menejimenti ya makazi na kilimo. Usimamizi wa (usimamizi) ya maliasili; na (iii) ardhi na rasilimali zake katika Wila- kutathmini thamani na upungufu ya ya Binga hufanywa na Kamati za wa mifumo ya maarifa ya asili katika Maendeleo za Vijiji zilizoanzishwa na kilimo. serikali miaka ya 1980. Wakazi wa Wilaya ya Plumtree Mbinu za Utafiti hujishughulisha zaidi na kilimo cha kujikimu na ufugaji wa wanyama. Taarifa zilikusanywa kupitia mapitio Ingawa mbao ni nyingi, wakazi wa ya machapisho mbalimbali ya kita- eneo hili huona kuwa rasilimali hizi aluma yanayohusiana na mada, hazitumiwi kwa ufanisi kuwa chanzo mahojiano na wakulima, kutembelea cha ajira na mapato. Mbao nyingi maeneo ya kilimo, majadiliano kati- hutumika kama kuni na kwa ajili ya ka vikundi na matumizi ya watafiti ujenzi wa nyumba na nyua. walioko vijijini. Watafiti walioko viji- 77 78 Tini za MA 2 Desturi za Mifumo ya Maarifa ya Asili kana kwa nyasi na ardhi za malisho umefanya uchungaji wa mzunguko, ambao ni wa mapokeo, kuwa ngumu. Mifumo ya Maarifa ya Asili imo katika maeneo yote Athari za Magharibi pia ziliitishia mifumo ya maarifa ya mawili na bado inawahimilisha wanavijiji katika ukulima asili. Wilaya ya Binga ilionyesha kuwa mbinu za kulima wa mazao—ikiwa ni pamoja na utayarishaji wa ardhi, za asili zimeachwa na badala yake zinatumika zile za uchaguaji wa nafaka, upandaji, uvunaji, na kadhalika Magharibi; mazao ya mapokeo yamebadilishwa na mazao uhifadhi wa nafaka na usimamizi wa mifugo. ya biashara. Desturi iliyozoeleka zaidi ya mifumo ya maarifa ya asili Moja ya upungufu wa mifumo ya maarifa ya asili ni ya Wakalanga ilihusu maarifa yao ya asili ya nyasi na kukosekana kwa nyaraka inayohusu mifumo hiyo. udongo unaofaa kutengwa kwa ajili ya malisho. Viongozi Maarifa ya Waafrika juu ya mimea ya asili pamoja na wa familia walikutana nyumbani kwa chifu kila majira ya majina yake yanapungua kwa kasi kubwa. Ubora wa kuchupua ili kujadili mipango ya malisho kwa majira mifumo ya maarifa ya asili ni finyu pia kutokana na hayo. Tarehe za kuanza na kumaliza kuchungia katika maarifa haya kutokitwa kwa utafiti wa kisayansi. malisho maalum pia zilipangwa kisha wajumbe na wakuu Kinachoelezwa zaidi ni kwamba ni mwiko kufanya wa vijiji walisimamia utekelezaji wa wanavijiji wa kanuni mambo fulani. Mifumo ya maarifa ya asili pia ina hatari hizi. ya kutoweka kwa vile inategemea wale wanaohadhi Jumuiya zote mbili za Binga na Plumtree walithamini maarifa hayo kuwa tayari kuwagawia wenzao. Aidha mambo matatu kuhusiana na mifumo ya maarifa ya asili. vijana wengi huyaona maarifa haya kuwa yamepitwa na Kwanza, maarifa ni nguvu. Watu walioishi Plumtree kwa wakati ikilinganishwa na maarifa ya utamaduni na miaka mingi walifahamu ruwaza za mvua na vipindi vya desturi za Magharibi. kupanda mazao ili kupata mavuno mazuri. Thamani ya Utafiti unapendekeza mambo yafuatayo: pili ya mifumo ya maarifa ya asili ilihusu msingi wa • Andaa programu imara za utambuzi wa mifumo ya maarifa unaowezesha ugawanyaji mzuri wa chakula na maarifa ya asili na nafasi yake katika menejimenti pia mgawano mwafaka wa kazi. Jambo la tatu muhimu (usimamizi) ya utumiaji wa rasilimali. mintarafu mifumo ya maarifa ya asili lilihusiana na • Tafiti, weka katika nyaraka na sambaza taarifa za kina upatikanaji wa hudumu wa rasilimali kwa ajili ya maisha kuhusu mifumo ya maarifa ya asili. endelevu. • Kuza na hamishia mifumo ya maarifa ya asili kwenye maeneo yenye sifa bainifu zinazofanana. Kutembeleana baina ya vikundi vinavyoendesha miradi inayofanana Hitimisho ni njia mojawapo ya kutekeleza azima hii, kama Wakati wa utafiti wake wa uwandani, mwandishi wa zifanyavyo warsha juu ya masuala muhimu ya mifumo makala hii aligundua jinsi jumuiya za wenyeji zina- ya maarifa ya asili. vyoithamini mifumo ya maarifa ya asili. Makabila yote • Toa machapisho juu ya mifumo ya maarifa ya asili, hasa mawili ya Watonga na Wakalanga wanathamini mifumo katika lugha za kienyeji za jumuiya lengwa. ya maarifa ya asili kama msingi wa maarifa na wa • Patia mafunzo wafanyakazi wa mashirika ya uzalishaji wa chakula na ugawanaji wa kazi kati ya jinsia maendeleo, hasa wale wanaofanya kazi moja kwa moja na marika na pia kama sehemu ya uendelevu wa uhai na jumuiya za asili. wao. Mwandishi anapendekeza kwamba mifumo ya • Jenga uwezo wa wenyeji wa kutambua thamani ya maarifa ya asili ijalize, badala ya kushindana na ile ya mifumo ya maarifa ya asili na kuza mifumo hii kupitia: Magharibi, katika utekelezaji wa miradi. Funzo kwa mikusanyiko ya kimapokeo ya jumuiya; mafunzo juu ya mashirika ya kimaendeleo sharti liwe kuchunguza utafiti wa mifumo ya maarifa ya asili; uandaaji nyaraka kwanza nini wenyeji wanajua na wanacho, na kisha na usambazaji wake; na msaada toka sekta rasmi wa kuziendeleza na kuziboresha teknolojia za asili. kuziwezesha jumuiya za asili kuendeleza zenyewe Katika Wilaya ya Plumtree, wananchi walionyesha mifumo ya maarifa ya asili. kwamba ukame unaotokea mara kwa mara na kukose- Wanawake wa Kisenegali Waunda Upya Utamaduni Wao Makala hii imeandikwa kutokana na utafiti uliofanywa na watafiti wa Senegali kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton, Profesa Mshiriki wa Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, na kwa ushirikiano hai wa jumuia husika za Kiafrika. Utafiti ulifanywa chini ya ufadhili wa pamoja wa Klabu ya Saheli/OECD, CILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA). Ingawa kwa miongo mingi Senegali huku wakiongeza hali ya kujiamini imekuwa Makao Makuu ya Afrika zaidi katika maisha yao. Zaidi ya Magharibi iliyokuwa imetawaliwa na kujua kusoma na kuandika, progra- Wafaransa, nchi hii kama zilivyo mu hii yenye mwelekeo mpya huwa- nchi nyingine za ukanda wa Saheli, pa washiriki zana za kukabiliana na sehemu kubwa ya nchi bado ni masuala ya jamii mathalani afya, vijijini. Wakati asilimia 62 ya watu elimusiha na mazingira. Programu hukaa vijijini, zaidi ya asilimia 85 ya hii hutumia mada sita ambazo Tini za MA 3 utajiri wa nchi uko mijini. Kama huunganisha kujua kusoma na Desemba 1998 ilivyo katika nchi nyingi, dhiki kuandika na stadi za maisha kwa hulundikana na kuwakumba wana- mchakato shirikishi wa hali ya juu wake na wasichana. Katika mwaka katika utatuzi wa matatizo. Shirika 1995 kiwango cha wanawake wanao- la TOSTAN kwa ufanisi linaendelea jua kusoma na kuandika nchi nzima kuimarisha uhusiano baina ya elimu kilikuwa juu kidogo ya nusu ya kile ya msingi na maendeleo vijijini sio tu cha wanaume (yaani asilimia 23 kwa kuwawezesha watu wazima ukilinganisha na asilimia 44) na kujua kusoma na kuandika na stadi tofauti ilikuwa kubwa zaidi katika za kuhesabu katika lugha zao za sehemu za vijijini. taifa bali pia kutoa uwezo wa Neno TOSTAN, kwa maana nye- kuelewa na kutatua matatizo ya pesi, linamaanisha yake ni “kuangu- mahali wanapoishi. liwa kutoka katika yai” kwa lugha ya Miaka kadhaa iliyopita, asasi hii Kiwolof ambayo huzungumzwa na isiyo ya serikali iitwayo TOSTAN, idadi kubwa ya watu wa Senegali ilijibu maombi ya viongozi wa kijiji wapatao milioni 7.9 kwa jumla, na ni katika eneo la Malicounda ambao kati ya mambo kadhaa ya ubunifu walikuwa wameona matokeo ya pro- kwa maendeleo ya vijijini na juhudi gramu za mafunzo yake kwa wana- za elimu ya wanawake ambayo wake wa jamii za jirani na kusaidia yanafanywa ili kulikabili tatizo hilo jamii hii ya Kibambara ya eneo la kutoka kwenye chanzo chake. Juhu- Kati ya Magharibi nchini Senegali di hii hutoa programu ya mafunzo ya kuanzisha kituo chake yenyewe. miezi 18 ambayo huhusisha elimu ya Programu hiyo iliweka msisitizo msingi kwa kutumia lugha za taifa maalumuu kwenye utambuaji na na masuala halisi ya maendeleo, na utatuzi wa matatizo ya kawaida, na kuwapa watu wa vijijini rasilimali ya mojawapo ya mada za mwisho za kuboresha kiwango cha maisha yao mfululizo wa mafunzo hayo ilihusu 79 80 Tini za MA 3 suala la afya ya wanawake na ujinsia. Kupendwa kwa walihofu kwamba wangefukuzwa na jamii nyingi watoke mada hiyo miongoni mwa wanawake washiriki kutoka haraka. Lakini badala yake waligundua kwamba habari vijijini kulitia fora kuliko mada nyingine zote. Mara tu za Malicounda zilikuwwa zimefungua milango na nyoyo baada ya kumaliza mafunzo yao, wanawake hawa wapya za watu na walisikia visa vya kutisha kutoka kwa kutoka Malicounda waliokuwa wamehitimu kujua wanawake, wakizungumzia kwa mara ya kwanza, yale kusoma na kuandika, waliamua kwamba tatizo yaliyowafika. walilotaka kukabiliana nalo lilikuwa mila ya ukeketaji wa Wanaume hawa walirejea wakiwa wameamini umu- wanawake—desturi iliyokuwa imeendelezwa kwa muda himu wa yale waliyokuwa wamesikia na kile walichokuwa mrefu katika jamii za Wabambara/Wamandingue na wakifanya. Waliwasaidia wanawake wa Malicounda, Wapulaar. Kutokana na kupeana taarifa kuhusu desturi Nigerin na Ker Simbara katika kuandaa mkutano baina za mahali kwingine na athari za ukeketaji kwenye afya ya ya vijiji, mjini Diabougou kwa wale wote waliopenda. wasichana na kadhalika maisha yao ya kijinsia, Mnamo mwezi Februari 1998, wawakilishi watatu wanawake hawa waliunda silaha za hoja ambazo watatu—chifu wa kijiji na wawakilishi wawili wanawa- mwishowe zilishawishi baraza la kijiji kukomesha rasmi ke—kutoka vijiji kumi na vitatu mbalimbali walikutana mila hiyo. Kati ya miezi ya Mei na Julai mwaka 1997— kwa siku mbili kujadili tatizo hili na kuunda “Azimio la kipindi ambacho kimila huwa ni kipindi cha kukeketa Diabougou” ambalo lilikuwa azma ya wanakijiji 8,000 wasichana wadogo—vitendo kama hivyo havikufanyika kusitisha ukeketaji wa wasichana tangu hapo. katika eneo la Malicounda kwa mara ya kwanza katika Kisha habari kuhusu juhudi hizi zilifika katika eneo la historia ya jamii hiyo. Casamance la Kusini mwa Senegali, ambako kundi TOSTAN na UNICEF ziliwasaidia wanawake kwa jingine la vijiji—vyote vikiwa vya watu wa koo za kuandaa ziara ya waandishi wa habari ishirini nchini Kipulaar, kabila ambalo lilifanya ukeketaji wa wasichana Senegali kuwahoji kuhusu msimamo wao. Wanawake kwa asilimia 88—viliungana ili kufanya mkutano na waliwaonyesha wageni mchezo wa kuigiza ili kueleleza azimio kama hilo. Mkutano huo ulihudhuriwa na sababu kwa nini walikuwa wamechukua uamuzi na hoja wawakilishi kutoka jumuia 18, wafanyakazi wa idara ya walizokuwa wametumia pamoja na wanakijiji wengine. afya, na Imamu wa Medina Cherif, anayeheshimiwa sana, Ziara hii ililitangaza suala hili, lakini pia ilikaribisha ambaye aliwathibitishia wanawake ya kwamba dini ya maoni yenye vitisho na shutuma kutoka kwa jamii za Kiislamu haihitaji tohara ya wasichana na inadhamini jirani za kabila lilelile. Huku kikiwa kimehuzunishwa haki za wanawake kiafya na heshima ya binadamu. lakini kimsingi bila kukatishwa tamaa, kikundi cha Wanawake wengi walieleza madhara yaliyotokana na Malicounda kiliamua kuandaa ujumbe kwenda katika desturi hii. Mmojawao aliombeleza vifo vya mabinti wake vijiji viwili vya jirani kuwashawishi wanawake wa huko wawili baada ya kufanyiwa desturi hii; na “mkataji” wa kuona umuhimu wa uamuzi wa kupiga marufuku jadi (ngariba) alikubali kwamba msichana mmoja alikuwa ukeketaji wa sehemu za siri. amefariki kijijini mwake mwaka uliokuwa umetangulia. Katika mojawapo ya jumuia hizi—jumuia ya Ngerin Wanawake wengine walizungumzia matatizo wayapatayo Bambara—wanawake ambao ndio kwanza walikuwa wakati wa kujifungua na maumivu yao wakati wa tendo wamemaliza mafunzo ya programu ya TOSTAN walia- la ndoa. Kikundi hiki kilihitimisha mkutano kwa kutoa mua kuafikiana na “kiapo cha Malicounda.” Rais wa Cha- azimio lake chenyewe kulaani desturi hiyo. ma chao cha Wanawake, yeye mwenyewe akiwa binti wa Jitihada zimeendela kuenea. Mapema katika mchakato ngariba wa jadi, alisema kwamba binti yake yeye binafsi huo, Rais Abdou Diouf wa Senegali mwenyewe alipende- alikuwa ametokwa damu nyingi sana wakati wa kukeket- keza “Kiapo cha Malicounda” kiwe mfano wa kuigwa wa na kwamba wakati wa mabadiliko ulikuwa umefika. kitaifa. Kutokana na mikutano ya eneo la Casamance, Wakazi wa jumuia ya pili, Ker Simbara, waliamua wanawake katika eneo la St. Louis la Senegali sasa kwamba wasingeweza kuamua kuandaa mila hiyo bila wanaandaa mahafali ya vijiji vya kwao, yatakayofanyika kwanza kusikiliza maoni ya ukoo wao katika mtandao mwezi Februari, 1999. mzima wa vijiji vya jirani. Kwa hiyo, kwa kipindi cha Aina ya “mafunzo hai” inayoendelezwa miongoni mwa majuma manane, wanaume wawili waliokuwa wameshi- wanawake na programu ya TOSTAN nchini Senegali riki katika mafunzo ya TOSTAN—mmoja akiwa mra- inaelekea umesababisha kutokea mabadiliko makubwa ghibishaji na mwingine, Imamu (ambaye ni kuhani wa ya kitamaduni. Vipengele vinavyochangia kwenye Kiislamu mwenye umri wa miaka 66)—walisafiri kijiji matokeo yenye ufanisi katika elimu na maendeleo hadi kijiji kujadili na watu wa huko athari hasi za endelevu vinaelezwa zaidi hapa chini. ukeketaji wa wanawake. Mwanzoni wanaume hawa 81 Masuala dhahania tu. TOSTAN imekuwa uwanja wa mafunzo ya uongozi na kadiri wanawake wanavyopata hali ya Mizizi ya Utamaduni. Kwa kujumuishwa na matumizi ya kujiamini ndivyo wanavyoanza kutambua matatizo kama lugha za taifa, thamani mzito ya utamaduni wa Kiafrika vile upatikanaji wa maji, na kuanza kuleta mabadiliko ndio msingi wa mpango wa elimu ya TOSTAN, katika jumuia zao. Hata hivyo wanaume hawakutengwa: inayoonyesha uhusiano wa hali halisi baina ya utamaduni karibu theluthi moja ya washiriki ni wanaume, na—kama na elimu. kisa cha jumuia ya Ker Simbara kinavyodhihirisha— Lugha za Taifa. Ingawa Kifaransa ni lugha rasmi ya huweza kufanya juhudi nyingi muhimu sana kwa Senegali, lakini serikali imekuwa kila mara ikizidisha kuwaondolea wanawake mizigo mizito inayowalemea. upendeleo wa kutumia lugha za taifa katika mafunzo ya kujua kusoma na kuandika, kwa kutambua kwamba kujifunza kunarahisishwa na kuwa kwenye manufaa Mchakato wa kuendeleza mikabala zaidi kiakili, kwa kutumia lugha ya nyumbani ya mwanafunzi na itaweza kuharakisha kipindi cha mpito Mbali na utaratibu wa ushirikishaji uliokwisha kutajwa, katika kujifunza lugha za kimataifa. Kujifunza kwa wanafunzi walihusishwa pia katika ukuzaji wa maudhui kutumia lugha mama huchochea kuona fahari, na ya programu kwa njia ya majaribio, mazungumzo na kuwawezesha wanawake kutoa mawazo yao nyumbani maoni-rejea. Mbinu hii mwanzo ilikuwa aghali lakini kwao na katika jumuia zao; na kuonea fahari nyumbani mwishowe ilithibitisha kustahili gharama hizo kutokana kwao, na huku wanaume wakihimizwa kuwekeza katika na kiwango cha ufanisi wa kuchukuliwa na kutumiwa na jumuia zao kuliko kuhamia mijini. Aidha huondoa ile AZISE. Elimu ya Msingi, kama Kabrasha la UNESCO fikra potofu kwamba mtoto anayejifunza kwa Kifaransa kuhusu TOSTAN lisemavyo “hugusa ufito wa ndani kati- huwa ameijenga pale nyumbani, na hivyo kuendeleza ka maisha ya watu kuliko mradi wa moja kwa moja wa mawasiliano na mshikamano baina ya vizazi; kujua kusoma na kuandika. Kuelewa jinsi kila mada ita- Utatuzi wa matatizo ndio uti wa mgongo wa mafunzo kavyochangia katika kubadili maisha yao na mazingira na ni kichocheo cha kutaka kujua kusoma na kuandika. yao ni jambo la motisha yenye nguvu sana kwa wana- Stadi zinazofundishwa katika mchakato huu wenye funzi.” Mchakato wa utatuzi wa matatizo ni wa msingi hatua tano ni pamoja na (i) kutambua na kuchanganua katika mkabala wa TOSTAN na wenye kuweza kuchu- tatizo; (ii) kuchunguza masahihisho yaliyotolewa kwa kuliwa na kutumiwa kwa urahisi katika mazingira kuzingatia rasilimali za kifedha, rasilimali watu, pamoja mbalimbali. na suala la muda; (iii) kupanga suluhisho: nini kinachotakiwa kutimizwa? Lini hatua mbalimbali zina- paswa kukamilishwa? Nani anawajibika? Rasilimali zipi Matatizo yaliyojitokeza za watumishi, vitu halisi na kifedha ni za lazima? Vikwa- Mnamo mwaka 1987 hapakuwa na programu za elimu ya zo gani vyaweza kuwapo? (iv) utekelezaji wa suluhisho; msingi kwa kutumia lugha za taifa nchini Senegali, na na (v) kutathimini matokeo: Je tulitatua tatizo? wizara mbili za serikali zilichangia jukumu la mafunzo ya Ushiriki. TOSTAN ilianzishwa pamoja na wakijiji kujua kusoma na kuandika na mara nyingi zilikuwa wakiwa katika mchakato wa ushiriki wa hali ya juu wa zikitapatapa. Programu zilizokuwapo hazikuhusishwa na miaka kumi. Mada za mitalaa ya programu zilitokana na maisha halisi na zilitumika katika mazingira ambamo hadithi, methali, nyimbo na mila za kitamaduni za kila watu hawakujua kusoma na kuandika, na stadi zilizofun- mahali husika zilizokusanywa wakati wa kusafiri kutoka dishwa lakini bila kutumika zilisahaulika baada ya muda kijiji hadi kijiji, kwa kusikiliza na kurekodi masimulizi ya mfupi. Programu ya TOSTAN ya elimu ya msingi iliji- jadi. Njia ya ufundishaji huzingatia mbinu ya ushiri- husisha na tatizo jingine la uchoshi, kwa kuhusisha kujua kishaji na daima wanafunzi huhusisha familia zao na kusoma na kuandika na jumuia ya maisha ya mtu binafsi jumuia katika mchakato wa ufumbuzi wa tatizo. na kuanzisha vitu vya kuvutia kwa kuzingatia yale Wanawake. Kwa kuwa na kiwango cha asilimia 74.9 yaliyohitajika na mahali hapo. Kuwatafuta waragha- cha wanawake wasiojua kusoma na kuandika hadi bishaji wenye sifa zinazohitajika haikuwa kazi rahisi mwaka 1990, wanawake ndilo kundi lisiloelimishwa tangu mwanzo, na pia kulikuwa na upinzani kutoka kwa kabisa nchini Senegali. Wanawake ndio hasa wamekuwa washiriki kutokana na wazo la kuwalipa waraghabishaji wakinufaika na mkabala wa TOSTAN wa kutumia lugha kutoka kwenye rasilimali za mahali hapo. Walitamani kwa jumla ambao huanza na uzoefu halisi husika fedha hizo zingetumika kwa ajili ya vifaa au kwa ujenzi kutokana na maisha yao ya kila siku kuliko mambo ya wa madarasa. Wahitimu wa TOSTAN hivi sasa wame- 82 Tini za MA 3 kwishapata mafunzo ya kuwa waraghabishaji na wao Kipeperushi cha UNESCO kuhusu TOSTAN kinatoa ndio wenye idadi kubwa ya walimu. hitimisho maridadi: “Kuwepo kwa programu kamilika inayowapa washiriki zana za utatuzi wa matatizo na ambayo hushughulikia masuala muhimu ya afya, Mahitimisho elimusiha na mazingira ni nyenzo kubwa kwa maeneo mengi ya Afrika yanayokabiliwa na viwango vikubwa vya Stadi za utatuzi wa matatizo zilizowasilishwa katika kutojua kusoma na kuandika hasa miongoni mwa mada ya kwanza zinatumika katika mada zote wanawake. Uangalifu mkubwa unapaswa uwekwe zaidi zinazofuatia zinazohusu kwa mfuatano huu wa shughuli kwenye utekelezaji wa programu hizi zilizofanyiwa utafiti za elimusiha, stadi za utunzaji wa fedha na vifaa, mzuri na majaribio kuliko kuanzisha orogramu mpya uendeshaji wa rasilimali watu, upembuzi yakinifu na nyingine. TOSTAN imeonyesha kwamba watu binafsi miradi ya uingizaji mapato. Kwa kutumia stadi hizi hata bila elimu yoyote ya shuleni, watokao katika vijiji wanawake washiriki wameanzisha shughuli kadhaa za vyenye rasilimali ndogo kabisa, wanaweza kuboresha biashara. Mbinu ya TOSTAN pia imetumika kuwafikia maisha na mazingira yao kwa kupitia programu imara watoto walio nje ya shule kwa mtalaa unaoshughulikia inayopelekea kwenye uwezo zaidi wa kujiamulia mambo masomo ya kusoma, kuandika, hisabati, utatuzi wa na kujitosheleza. matatizo, afya na elimusiha, lishe, uendeshaji wa familia, haki za watoto, historia, jiografia, elimu kwa ajili ya amani, stadi za uongozi na elimumwendo ya vikundi. Kwa kutumia mkabala wa ushirikishaji, vijana balehe hujifunza kutengeneza matini zao wenyewe. Ghana Kutoka “Kufuru” hadi Uendelevu: Ustawishaji Misitu na Kilimo cha Kutumia Mbolea ya Viumbe Hai huko Forikrom Ghana Makala hii imeandikwa kwa msingi wa utafiti uliofanywa na wachunguzi wa kutoka Ghana, Kanada na Marekani kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton, Profesa Mshiriki wa Mafunzo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, na kwa ushirikiano wa jumuia husika. Ufadhili wa kifedha ulitolewa na Klabu ya Saheli/OECD, CILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu katika Afrika (ADEA). Forikrom, jumuia yenye watu 6,000 Mzozo wa kidini kuhusu maji katika Wilaya ya Techiman (Jimbo la Brong Ahafo) nchini Ghana, iko Tatizo lilianza kwa mzozo kuhusu katika eneo pana la nyasi ambalo kuweza kutumia “Asukantia” kijito wakazi wake hudai kwamba wakati ambacho daima kilikuwa kikiupa mji fulani lilikuwa msitu mnene. Kilimo, maji, lakini kikaanza kukauka. Kili- ambacho ndiyo shughuli yao kuu, kuwa kimetengwa kama eneo taka- huhusu hasa kilimo cha mahindi, tifu kwa muda mrefu katika jadi, na mwiko wa pale ulizuia kuzuru Tini za MA 4 viazi, migomba na mihogo kwa ma- tumizi ya wakulima wenyewe na kwenye eneo hilo siku za Jumanne. Januari 1999 Amri hii ilifuatwa kidini mpaka kuuza katika soko la Techman; na kuhusu mazao ya biashara kilimo mwaka 1989, mwaka ambao ulikuwa hulima tumbaku, michikichi na wa ukame wa ajabu nchini Ghana. tangu hivi karibuni wanalima Wakati wa majira ya kiangazi, korosho. Hapo awali eneo hili liliza- madhehebu Fulani mpya katika lisha kokoa lakini shughuli hii jumuia hiyo ilitangaza kuwa mwiko ilikoma mwaka 1983 baada ya mioto hao ulikuwa umepitwa na wakati na kuteketeza mashamba mengi ya kuwashauri wafuasi wake kutotii kokoa. Ufyekaji zaidi wa misitu ulito- amri hiyo. “Kufuru” hiyo mara ilisa- kana na njia zisizofaa za kilimo— babisha mgogoro baina ya madhe- hasa utumiaji sana wa matrekta ulio- hebu mapya na viongozi wa jadi wa fanyika katika miaka ya 1960 ambao jumuia hiyo ambao ndio waliokuwa sasa umetelekezwa—ambao ulidho- na jukumu la kutekeleza sheria ofisha rutuba ya ardhi na kukausha zilizosimikwa katika jadi: Viongozi mito na vijito. hao walishutumu madhehebu hayo Hivi sasa Forikrom imegeukia mapya kwa kuikasirisha miungu na kwenye jitihada za urudishaji wa kuchochea kukauka kwa chanzo misitu katika mazingira yake, lakini hicho cha maji; nayo madhehebu jitihada hizi hazikufanikiwa bila mapya yalilaani desturi hizo za kutokea mgogoro mkubwa wa kita- kipagani za utawala wa kijiji. maduni na wala jitihada hizo zisinge- Mambo yalikuwa yamefikia hali weza kuwa zimefikia kiwango cha mbaya sana wakati kikundi cha mafanikio ya sasa bila msukumo wa vijana kilipojitokeza. Walitaka kure- kutafuta ufumbuzi mpya yaliyosaba- jesha amani; na walikuwa na maarifa bishwa na mgogoro huo. kuhusu uhusiano wa kimazingira kuliko wazee wao, mathalani ule 83 84 Tini za MA 4 uhusiano uliopo baina ya urudishaji misitu, ukame na tizo ya jumuia. Pia kikundi kilikuwa kimefanikiwa kupa- upungufu wa rutuba ya ardhi. ta msaada kutoka kwenye Shule ya Misitu pamoja na Wakiwa wameongozwa na Katibu Mipango wa chama Idara ya Misitu ili kuanza mradi wa upandaji misitu cha pale kiitwacho “Mobisquad”—ambacho ni chama cha (miti). vijana kilichoanzishwa chini ya Programu ya Uhama- Mradi ulizunduliwa rasmi mnamo mwaka 1990, katika sishaji ya Taifa mnamo mwaka 1983, ili kuzisaidia jumuia mkutano ulioandaliwa na kikundi kwa kushirikiana na za wenyeji mahalia kutekeleza programu za uboreshaji na Ofisi ya Sunyani ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima. ukabilianaji na maafa asili—kikundi hiki kilipendekeza Katika mkutano huo, wataalamu kutoka Shule ya Misitu kwa jumuia kwamba ijaribu kupanda miti karibu na ya Sunyani na kutoka ofisi za Idara ya Misitu za Sunyani chanzo cha kile kijito kama njia moja ya kurejesha uhai na Kumasi, ambao kikundi kilikuwa kimefanya kazi nao, wa kile kijito. Wazo hili, hata hivyo halikumpendeza chifu walizungumza kwa zamu kuelezea umuhimu wa kupanda wala wale wazee ambao waliendelea kujihisi ya kwamba misitu (miti). Walisisitizia manufaa yake kama njia ya walidharauliwa na viongozi wa yale madhehebu na hivyo kuleta ukanda wa hifadhi kandokando ya vyanzo vya wakaamua kwenda mahakani kudai fidia. maji, hifadhi dhidi ya uharibifu mbaya utokanao na hali Huku wangali wakiamini kuwa suluhisho lilikuwa ya hewa, kuwa kinga dhidi ya upepo na kuwa kanda za kupanda miti katika chanzo, kikundi kiliamua kufuatilia kuzuia moto kuzunguka makazi ya jumuia, kusaidia na kutekeleza wa wazo lao, wao wenyewe. Kwa bahati kuhifadhi rutuba ya ardhi na pia kuzalisha kuni na mkaa nzuri walifurahishwa na manufaa ya kuwepo uongozi kwa kupikia. wenye mwamko. Uchanganyaji wa mafunzo ya shuleni na Wakiwa wameridhishwa na hoja hizo, wazee wa jumuia uzoefu wa hali halisi ulimpa Katibu Mipango mtazamo waliridhia wazo la kuzindua mradi wa kupanda misitu, muhimu na mpya kuhusu matatizo ya mahali pale. Aliku- na kisha wakashiriki katika masomo ya mwanzo kuhusu wa amepitia mafunzo ya msingi, na ya kati pamoja na ya uandaaji vitalu vya miti yaliyotolewa na Maofisa Misitu ufundi stadi na alikuwa amefanya kazi katika nyadhifa wawili kutoka Sunyani ambao walikuwa wawezeshaji. mbalimbali kama vile ualimu, umlipaji fedha wa serikali Wakati wa mfululizo wa ziara za mafunzo ya uenezi muda mahali pengi nchini Ghana na uuzaji bidhaa nchini wa saa sita yaliyotolewa na maofisa hawa kwa kipindi cha Nigeria. Zaidi ya hayo, yeye binafsi alikuwa na “vitambu- miezi sita, vikundi vya watu 30 waliongozwa na kuka- lisho” vya Uinjili kama mtaalamu wa fasihi wa chama milisha mambo muhimu jinsi ya kutayarisha ardhi na fulani cha kimisionari. Baadaye kidogo ilidhihirika, hata kutengeneza matuta, kutunza miche, kuhamisha miche hivyo, kwamba si yeye wala si wanakikundi wengine pia, na kuitunza hiyo mimea michanga. Jumla ya watu kama wote waliokuwa na maarifa ya kutosha kuhusu 2,000 hivi wengi wao wakiwa watu wazima wa Forikrom changamoto maalumuu ya ukuzaji wa miti ili kufanikisha walishiriki katika mafunzo haya. juhudi zao. Ukosefu wao huo wa uzoefu ulisababisha Kwa msaada wa kitaalamu kutoka kwa wawezeshaji na kuwepo na ugumu kwa viongozi wa jadi kuwaamini. kiasi kidogo cha msaada kutoka mashirika ya nje kama shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na Wakala wa Misaada ya Maendeleo la Kupata maarifa ili kuanza upya Waadventista Wasabato, kikundi kilianzisha baadaye bustani ya kuotesha miti mipya, hasa kwa lengo la kuru- Kwa kujua kikwazo hiki, Katibu Mipango aliwasihi disha misitu na polepole kwa kilimo cha biashara kadha- wenzake kutafuta maarifa na stadi ambazo hawakuwa lika. Miche ya mikorosho, michikichi na mivule ilitolewa nazo. Kwanza walimwendea ofisa mwandamizi mmoja na kwa wanajumuia kila mmoja akapande nyumbani kwake. mjumbe wa ofisi ya Jimbo ya Taasisi ya Elimu ya Watu Kufikia mwezi Oktoba mwaka 1993, mradi ulikuwa Wazima mjini Sunyani yenye jukumu la kazi za uenezi za umegawa miche 15,000 bure kwa vikundi vingi vilivyo- Jimbo la Brong Ahafo. Ofisa huyo alikitembelea kijiji hiki toka sehemu nyingine kutembelea bustani ile. Katika na hatimaye akasaidia kikundi kutembelea mara kadhaa kufanya hivi Katibu Mipango na watu wengine kumi shule ya Misitu na Idara ya Misitu, Sunyani, yapata kama walipata maarifa ya kutosha na kuwa wawezeshaji wa kilomita 100 kutoka Forikrom. Kila waliporudi nyum- kutumainiwa. Taratibu mradi ulikuwa kitovu cha uene- bani, walijadiliana walichokuwa wamejifunza katika zaji misitu kwa ajili ya eneo lote la jirani. jumuia, hasa chifu pamoja na wazee. Hadi kufikia Mwishoni mwa mwaka 1995, baada ya kuanzisha kwa mwishoni mwa mwaka 1989 kile kikundi kilikuwa kime- ufanisi soko la miti ya mivule, michikichi na mikorosho, wafanya wale viongozi wa jadi waamini kwamba kufu- aina zilizokuwa na uwezekano wa kupata mauzo mazuri, ngua madai mahakamani hakukuwa suluhisho la mata- mradi uliamua kufanya shughuli za uoteshaji na ugawaji 85 wa miche kuwa shughuli za kibiashara; na mapema tano mjini Kumasi yaliyoandaliwa na Programu ya Africa mwaka 1996 mradi ulishuhudia mauzo yake ya kwanza 2000. Kwa kuunganisha saa kumi na mbili za masomo ya miche ya michikichi. Mahitaji ya mvule ilielekea darasani na saa kumi na nane za vitendo halisi na kwa yangeongezeka kadiri wakulima wa eneo lile walivyoen- kuangalia kwa makini kwenye mashamba ya maonyesho, delea kupanda miti kama kinga dhidi ya moto na kwa mafunzo yao yalihusu shughuli za bustani ya miche, kutazama mbali, pia mahitaji ya jumla kwa ajili ya kilimo misitu na utengenezaji wa mbolea-vunde. Ujuzi milingoti ya simu na umeme yaliongezeka. Kuhusu huu ulifuatwa na kushiriki katika warsha nyingine korosho, kilimo chake kimezua mvuto wa kutosha ndani kadhaa na kutembelea mahali halisi ambako kuliongeza ya jumuia ya Forikron na katika maeneo ya jirani pia. kitu zaidi kwenye maarifa ya awali kuhusu mbinu za Katika jumuia yenyewe, katika miaka ya karibuni kilimo cha kutumia mbolea za mimea. wakulima wamepanda mikorosho zaidi ya ekari 100, Hivi karibuni Katibu Mipango alianzisha mashamba ya kufuatia kuanza kuongezeka kwa bei ya korosho kadiri maoneysho shambani kwake kule Forikrom ili kuchochea mikorosho inavyozidi kukomaa. ari kuhusu kilimo cha kutumia mbolea ya mimea miongo- ni mwa vijana. Alianza na wanamafunzo ishirini—kumi wanaume na kumi wanawake—wote wamehitimu shule Upanuaji wa taathari: uhifadhi wa mazingira na kilimo lakini wasio na ajira wenye umri kati ya miaka 17 na 25. cha kutumia mbolea za asili Aliwagawa katika makundi ya wannewanne na kila kikundi kukipa maeneo ya kushughulikia karibu na kijito Ile jitihada iliyotokana na mgogoro kuhusu chanzo cha cha Asukantia. maji ilikuwa na matokeo mengine mazuri pia. Chama cha Kufikia mwaka 1996 ABOFAP ilikuwa imetoa mafunzo kuhifadhi Mazingira cha Forikrom (EPA) ambalo ni kwa vijana 130 (75 wanaume na 55 wanawake), wengi chipuo la mradi wa kupanda misitu, kilipiga hatua na wao wakiwa waliohitimu shule ya kati lakini wasio na kupata heshima wakati shirika la Wakala wa Kuhifadhi ajira na waishio na wazazi wao; katika kilimo cha kutu- Mazingira nchini Ghana lilipotumia tawi la Forikrom mia mbolea ya mimea na kilimo cha kiangazi cha bustani kama makao ya kupanulia wito wake wa matumizi za mbogamboga. Mafunzo haya ya miezi mitatu ambayo mazuri ya mazingira katika jumuia zilizo kati ya vijana hawa walipata, yalifungua mlango muhimu wa Techman na Nkoranza. Tangu mwaka 1994, tawi la kujiajiri wao wenyewe. Mathalani, wakati wa duru ya Forikrom la EPA limekuwa likialikwa kwenye mfululizo kwanza ya miezi mitatu, kundi la wanamafunzo ishirini wa warsha za shughuli za bustani na utunzaji miti na watano wa kwanza walizalisha pato la jumla ya cidi zilizoandaliwa na wakala wake mjini Kumasi. Kisha 200,000 au dola za Marekani 355, kutokana na mauzo ya walitayarisha warsha kama hizo kwa ajili ya wateja wa mbogamboga, wakagawana sawa pato halisi la cidi mahali mbalimbali na polepole Forikrom yakawa makao 160,000 au dola za Marekani 308 kila mmoja (thamani ya ya mfululizo mzima wa matukio ya mafunzo ya usima- fedha za kigeni mwezi Desemba, 1992 ilikuwa cidi 519 = mizi wa maliasili na misitu, yaliyokuwa yakifadhiliwa na dola za Marekani 1.00). wafadhili mbalimbali. Isipokuwa kama kiasi cha asilimia 10 ya wanamafunzo Chipuo la pili la mgogoro kuhusu haki za maji walioona kuwa kilimo ni kazi ngumu mno wakaacha, limekuwa kuanzishwa kwa Mradi wa Kilimo cha kutumia washiriki wengine wote sasa wanajitegemea na wanaen- mbolea za mimea ya asili wa Abrono (ABOFAP). Ukiwa delea vizuri. Wanamafunzo wa mwanzo wamejiunga umebuniwa na Katibu Mipango na wenzake mwaka 1992, katika kilimo cha korosho na wana matumaini makubwa mradi huu ulianzishwa ili ushughulikie mambo yanayo- sana kwa siku za usoni. Karibu vijana 200 kati yao wame- husu upungufu wa rutuba uliosababisha kuzuka kwa jiundia ushirika katika vikundi vya watu 6 mpaka 10 mgogoro wa “Asukantia.” Malengo yake mahususi yali- kuanzisha kilimo cha mapande ya maeneo baina ya ekari kuwa kuwafunza wakulima vijana uzalishaji mazao kwa 1 mpaka 2 kando ya kile kijito. kilimo cha kutumia mbolea za mimea, kukuza matumizi Jambo la kufurahisha ni kwamba Katibu Mipango ya mbolea-vunde ili kuboresha hali ya udongo (na kuzuia hakujitwalia uongozi katika asasi zozote alizozianzisha utumiaji wa dawa za kemikali), njia za kilimo cha kia- na kuziendeleza. Badala yake amewashauri wengine ngazi cha bustani ya mbogamboga na uzalishaji wa uyoga. kushiriki katika uongozi wao wenyewe. Mathalani, mzee Katika kipindi cha mwisho cha mwaka 1990, Katibu mmoja mkulima asiyejua kusoma na kuandika ndiye rais Mipango akifuatana na mwanamke mmoja (aliyekuwa wa mradi wa kupanda miti wa Forikrom wenye wana- amehitimu shule ya Kati) na mwingine ambaye hakuwa chama 2000, na Katibu Mipango anaongoza kama Katibu; na ajira, kutoka Forikrom walihudhuria mafunzo ya siku ambaye pamoja na wengine watatu anashiriki kama 86 Tini za MA 4 mjumbe wa Kamati Tendaji. Vivyohivyo, mkulima mzee Mwamko uliotokana na jumuia kuhusu upandaji miti, wa miaka 60 ambaye ana cheti cha kuhitimu Shule ya mazao mapya, zana bora, na utambuaji wa bidii ya kazi Kati ndiye rais wa chama cha Kuhifadhi Mazingira cha kutoka kwa asasi zilizo nje ya jumuia vimesaidia sana kila Forikrom chenye wanachama 90. Na kijana wa umri wa mmoja kusahau tukio moja lililoanzisha yote haya. Kuwa miaka 23 aliyehitimu elimu ya sekondari ndiye Katibu wa na jumuia inayotambua muhimu wa kutunza na ABOFAP chenye wanachama 20. kuhifadhi mazingira ambayo inakuwa kama mfano kwa miji mingine katika eneo hili; sio jambo dogo lisilo na umuhimu. Wakati wa miaka sita iliyopita ukanda mzuri Uletaji amani kati ya jumuia na mazingira wa hifadhi ukiwa na ekari nne za miti ya mivule na ekari tatu za leucenea umejengeka kuzunguka chanzo na kijito Kumefanyika maendeleo makubwa katika jumuia ya cha Asukantia. Forikrom ndani ya kipindi cha pungufu ya muongo Sasa hivi yapo maji mengi katika kijito, na hiyo mmoja. Vyanzo vipya vya utajiri vimeanzishwa. Lakini imewafanya watu katika siku za karibuni kuwa huru na matokeo muhimu kuliko yote ya juhudi za Furikrom, kwa kujiamini vya kutosha kutumia maji hayo kwa shughuli kweli ni yale yasiyoweza kushikika kwa mkono. La za bustani wakati wa kiangazi. Zaidi ya hayo, viongozi wa kwanza kati ya hayo ni uhusiano wa kidugu katika jamii. hapo wanasema kwamba watu hawachomi tena vichaka Utengano wa jumuia uliokuwa umeoteshwa na mzozo hovyo, na kutokana na hayo hapajawa na mioto ya baina ya madhehebu ya kidini na wakuu wa kijadi ulitulia vichakani tangu mwaka 1990. baada ya jumuia yote iliposhikamana na kuzungushia ukanda wa kuhifadhi eneo la kijito cha Asukantia. Burkina Faso Ujuzi wa Kusoma na Kuandika kwa “Watoto Wadogo” huko Nomgana Makala hii imetokana na utafiti uliofanywa na wachunguzi Waburkinabe, Wakongo na Wamarekani kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton, Profesa Mshiriki wa Mafunzo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, na kwa ushirikiano wa jumuia husika. Ufadhili wa kifedha ulitolewa na Klabu ya Saheli/OECD, CILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA). Nomgana ndiyo jumuia kitovu ya kuwawezesha wanachama wake, muungano wa vijiji hai sana katika wengi wao wakiwa wale ambao Wilaya ya Loumbila, iliyo kilometa walikuwa wamesoma shule kidogo tu 30 Mashariki mwa Ouagadougou, au hawakuwa wamesoma kabisa— Mji Mkuu wa nchi ya Burkina Faso. kuendeleza shughuli zao zilizokuwa Chama cha pale kijulikanacho kwa zikikua kutokana na kuwashughuli- jina la kupanga kama Manegbzanga kiwa na watoaji wa pembejeo za (“Maendeleo kwa Wote” katika lugha kilimo na wanunuaji wa mazao yao Tini za MA 5 ya Moore) kiliundwa katika eneo hilo katika eneo la mji wa Ouagadougou. Februari 1999 zaidi ya muongo mmoja uliopita Mtu mmoja wa jumuia hii ambaye kutokana na juhudi za pamoja za alikuwa amekuwa mfanyakazi wa wahamiaji waliorudi kutoka nchi ya serikali na kisha akawa Mkurugenzi jirani ya Côte d’Ivoire na mwenyeji wa ugani wa Asasi Isiyokuwa ya mmoja aliyekuwa amekwenda kufan- Serikali ya Kiswisi, alianza kushiri- ya kazi katika asasi moja ya Kiswisi kiana na wanakijiji mnamo mwaka isiyo ya Kiserikali, Organisme Swisse 1988 kuanzisha mfumo wa ufun- d’Entraide Ouvrière (OSEO). Katika dishaji ambao ungewawezesha watu miaka ya karibuni, chama hiki wazima waliofunzwa katika vituo kimezindua programu ya majaribio vya kusoma na kuandika kuendelea kwa kutumia ujuzi wa kusoma na kutoka kujua Kimoore’ kilichoan- kuandika wa lugha ya Kimoore kama dikwa na kujifunza kifaransa cha misngi wa kujifunza Kifaransa. kuzungumza na cha kuandika. Shughuli hii imeumuka kwa miaka Programu hii ilipata mafanikio kadhaa iliyopita na kujibadili kuwa mengi na baadaye kidogo ilikabiliwa mkakati mbadala wa ufundishaji na tatizo la kuongezeka kwa mahitaji katika shule za misngi. ya kujisajili kwa vijana—watoto na vijana wenye balehe—ambao waliku- wa wamekosa masomo ya shule za Kutoka ujuzi wa kusoma na msingi au walikuwa wamelazimika kuandika kwa watu wazima kuacha shule. Kamati ya kujua kuso- mpaka kupata mbadala wa ma na kuandika ya kijiji mwishowe kujifunza shuleni iliamua kukubali changamoto ya kuanzisha programu ya “Ujuzi wa Jitihada zilianza, hata hivyo, kwa kusoma na kuandika kwa watoto watu wazima. Chama cha Manegbza- wadogo” (alphabelisation des tout nga kilikabiliwa mapema na tatizo la petits). Mkakati wa ufundishaji 87 88 Tini za MA 5 ulianzishwa kwa msaada wa wanaisimu wa Chuo Kikuu watoto 55 walishiriki katika awamu ya kwanza, wakaga- cha Ouagadougou. Unaendelea kuanzia kupata stadi za wanywa katika madarasa mawili; kwa uwiano wa Wana- kujua kusoma kuandika na kuhesabu kwa lugha ya funzi na Mwalimu wa 28:1. Kama maandalizi muhimu, Kimoorè mpaka kujifunza Kifaransa na kujifunza maso- wote walitakiwa kumaliza kozi ya haraka (ya miezi 6) ya mo yote ya shule ya msingi. Watoto wanaoshiriki kujua kusoma na kuandika katika lugha ya Kimoorè. humaliza kiwango kama kile kiwango rasmi cha masomo Miaka miwili ya mwanzo ya ufundishaji ilifanyika kwa shuleni kwa miaka minne, badala ya miaka sita iliyo- Kimoorè, ingawa Kifaransa kilifundishwa kama somo. wekwa (na mara nyingi hata miaka mingi zaidi kwa Kufikia mwaka wa tatu, wanafunzi walikuwa wakitumia sababu ya kurudia darasa). Zaidi ya hapo, hupata ujuzi vitabu vilevile vya Kifaransa kama wale wenzao wa umbo la maandishi la lugha yao wenyewe. waliokuwa katika mfumo wa elimu ya msingi shuleni: “Nadharia yetu ya kutumia” anaeleza profesa Zaidi ya hayo, walifuga mifugo ambayo—katika kipindi mwanaisimu wa Chuo Kikuu cha Ouagadougou, ambaye cha masomo cha mwaka 1997-1998—iliwapa faida halisi alisaidia kuanzisha programu hii; “ni kwamba ujuzi wa ya Faranga za CFA 233,000 (karibu $ 425) na walilima lugha ya Kiafrika na kuitumia katika kujifunza kusoma karanga na kunde (nièbè) kama sehemu ya masomo yao. na kuandika kwa lugha hiyo unasaidia sana kwa kiwango Hapakuwa na aliyeshindwa katika programu hiyo, kikubwa kuzipata stadi zilizopangwa shuleni na ni ambapo kiwango cha wastani wa msuguano wa kipunguzo cha muda unaotakiwa kumaliza rasmi kushindwa baina ya mwaka wa kwanza na wa mwisho mafunzo ya shule ya msingi, na uboreshaji wa kiwango katika mfumo rasmi wa elimu ya msingi shuleni nchini cha ushindi wa mitihani ya masomo ya shule ya msingi. Burkina Faso ni zaidi ya asilimia 40. Lakini programu ya vituo vya Nomgana pia ilianzishwa kwa kutilia maanani vipengele vingine kadhaa vya sifa ya kisomo cha shuleni. Ubunifu wenye mpangilio imara Matokeo ya kushangaza ulifanywa ili kuzingatia shughuli za uzalishaji mali katika Mitihani iliyotolewa mnamo Desemba 1996 katika shule kilimo pamoja na utafiti wa utamaduni wa mahali husika iliyotumia lugha ya Kimoorè na shule ya msingi ya jirani, katika mtalaa, wazazi walipewa nafasi ya pekee ya ilidhihirisha kwamba wanafunzi katika kituo walikuwa kushiriki katika uendeshaji wa shule, na “wawezeshaji” mbele kimasomo kuliko wale wa shule ya msingi ya wenyeji wa pale—hasa wasanii na magrioti (wanahistoria kawaida katika masomo ya Kifaransa na Hisabati, na wa jadi na watamba hadithi)—walialikwa kufundisha zaidi ya hapo bila shaka, walikuwa na manufaa ya kuwa madarasani. na ujuzi mzuri wa kuandika lugha yao ya mama. Cha kufurahisha pia ni kwamba kiwango cha uwezo wa Kukidhi haja ya watoto walioachwa wasichana katika kundi lile (ambao walikuwa wengi kidogo) kilikuwa juu kabisa ya kile kiwango cha wavulana Kazi za ufundishaji zilifanywa na vijana wa mahali pale wa ile shule ya msingi ya kawaida, ingawa kiwango hicho wale ambao hawakuwa na ajira kwanza na ambao kilikwua chini ya kiwango cha wavulana waliokuwa angalau walikuwa na sehemu ya elimu ya sekondari, katika kituo cha majaribio. Matokeo haya yalithibitishwa ingawa hapo awali hawakuwa na ujuzi wowote wa kufun- zaidi katika mwaka uliofuata wakati kundi la kwanza la disha. Walifunzwa kwa njia iliyoelezwa na wafanyakazi shule iliyotumia lugha ya Kimoorè lilipofanya mtihani wa wasimamizi kutoka Chuo Kikuu cha Ouagadougou. Idadi cheti cha kumaliza elimu ya msingi. Viwango vya kubwa ya wanafunzi walitokana na watoto wa Nomgana mafanikio miongoni mwa wanafunzi 53 waliofanya na kijiji cha jirani cha Gouè ambao walikuwa hawajapata mtihani huo vilikuwa asilimia 53 (asilimia 62 kwa kuandikishwa katika shule ya msingi ya pale, mara nyingi wavulana na 44 kwa wasichana) ukilinganisha na kwa sababu familia zao zilikuwa zimemchagua ndugu kiwango cha asilimia 62 cha wastani cha taifa kwa shule mwingine katika familia kusoma. Kwa hiyo, hawa zote rasmi nchini Burkina Faso (asilimia 47 katika Jimbo walikuwa wamevuka kabisa ule umri wa kuanza shule la Oubritenga) na kiwango kipana zaidi cha tofauti baina uliowekwa kinadharia (miaka 7) walikuwa wenye wastani ya usawa wa kijinsia. wa miaka 10 wakati wakiingia katika programu hii, na Wakati watayarishaji wa progtamu na viongozi wa kwa mawazo ya jamii waliitwa “wenye matumaini jumuia wameridhika na matokeo ya programu mpaka leo, madogo ya kufaulu”. Watayarishaji walihakikisha ya wanataja vikwazo vichache vilivyotokana na jitihada zao kwamba karibu idadi ileile iliyo sawa ya wasichana na za kutaka kupatana na mfumo rasmi wa shule ya msingi wavulana inaandikishwa katika programu. Kwa jumla na kuhakikisha ulinganifu kamili wa vyeti. 89 Ugumu wa mipango iliyowekwa awali na ugawanyaji shule ya msingi. Mazingira ya kuvutia kiasi cha shule ya wa muda kwa mada mbalimbali unaotakiwa kwa ajili ya majaribio ni wazi sharit yazingatiwe katika kulinganisha tathmini katika mfumo rasmi ulipingana na baadhi ya matokeo ya aina mbili za madarasa hayo—hasa upatika- mambo muhimu sana ambayo yalikuwa yakijaribiwa na naji kwa uhakika wa vifaa vya kufundishia na ukweli kituo cha Nomngana—kwa mfano kuingiza katika mtalaa kwamba hakuna yeyote kati ya wanaosoma hapo aliye- vifaa vilivyo katika mazingira pamoja na wawezeshaji wa toka nje ya uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa mwalimu mahali pale, na kujihusisha moja kwa moja na kazi za kama ilivyogusiwa; ukilinganisha na uwiano katika shamba. sehemu za vijijini, hakuna aliyetoka jumuia nyingine au • Baadhi ya maudhui katika vitabu vya Kifaransa anayelazimika kila siku kwenda safari ndefu kwa miguu. hayakufaa kabisa tena kutumika mara baada ya Lakini tofauti katika mifululizo miwili ya data hizi, kufasiriwa kwa Kimoorè. ambayo kwa hakika haizingatii mtalaa uliozingatia hali • Kupatana na mapigo na mahitaji ya mtalaa rasmi—na halisi ya mahali ilimo ile shule mbadala iliyotia fora kuukamilisha katika wakati mfupi ulitolewa—walimu angalau inaelekea kueleza kwa dhati kwamba mbinu iliwabidi kwa kiasi kikubwa kufundisha kwa Kimoorè kama hizo zinaweza kutoa matokeo yaliyo na kiwango moja kwa moja baada ya mwaka wa pili, pamoja na kama kile cha masomo yanayofundishwa rasmi shuleni. ukweli kwamba baadhi ya matokeo mazuri ya kujifunza Profesa wa isimu aliyezungumziwa hapo awali anaeleza yalitokea katika masomo yaliyokuwa yamefundishwa jambo hili kinagaubaga akisema: ‘Tunatumaini kwamba katika lugha mama ya wanafunzi. Kusema kweli, mara jaribio hili litachangia katika kupanda vikwazo vya nyingi wanafunzi waliofaulu kidogo sana katika eneo la kutumia lugha za Kiafrika katika mfumo wetu wa elimu, lugha ya Kifarnsa katika mtalaa na mitihani iliyofuata kama njia fupi ya kufupisha muda na kupanua upati- ya kuingia darasa lingine walikuwa wale ambao pia kanaji wa elimu ya msingi na pia kama daraja jipya baina hawakuwa wamepata msingi “mzuri” katika kujua ya elimu itokanayo na mfumo rasmi na ile isiyotokana na kusoma na kuandika lugha ya Kimoore kabla ya mfumo huo”. kuandikishwa. “Wakati huohuo” anaongeza “uzoevu huu unatuwe- zesha kufikiria upya njia za kushughulikia hali yetu ya ulumbi, ambalo ni jambo moja lenye ukweli usiopukika Uthibitisho kutokana na wenyeji katika mazingira ya bara la Afrika. kufupisha mzunguko mrefu wa masomo ya shule ya msingi kunaruhusu Kwa upande mwingine takriban wadau wote walikuwa kuwepo muda wa kutosha kupata ujuzi ipasavyo na nafasi wamekubali kwamba jitihada zilifanikiwa pale ambapo, ya kutumia lugha ya taifa iliyoandikwa katika mtalaa wa kwa wakati huu, palikuwa muhimu sana: katika shule…kwa kifupi, lugha zetu zimekuwa, nyathirika za kuwawezesha wale watoto “waliotelekezwa” kupata mtazamo wa kudharauliwa bila sababu uliopandikizwa idhini rasmi huku wakiimarisha uwezo wao katika Lugha na vitendo vya kikoloni; na hivyo ubishi unaosisitizwa na yao na utamaduni: na kwa kuonyesha uwezekano na baadhi ya watu kuhusu kupambanua lugha za Kiafrika umuhimu wa ufundishaji wa mikabala ya lugha za na Kifaransa hatimaye hauna maana.” Kiafrika katika kujifunza Kifaransa na kujua maudhui ya Senegali Wanakijiji-wamiliki Benki: Uzoefu wa Fandène Makala hii imeandikwa kutokana na utafiti uliofanywa na wachunguzi wa Senegali, kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton, Profesa Mshiriki wa Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, na kwa ushirikiano wa jumuia husika za Kiafrika. Utafiti huu ulifanyika chini ya ufadhili wa ushirikiano wa Klabu ya Saheli/OECD, CIILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA). Fandène, kijiji cha Waserere na dène kuhusu mateso ya janga kuu la Wawolof ni kijiji kilichoko umbali wa ukame wa ukanda wa Saheli mwan- kilometa sita kutoka mji wa Thies ´, zoni mwa miaka ya 1970. Katika nchini Senegali, katika eneo linalo- juhudi za kusaidia jumuia zao kupa- lima karanga kwa wingi. Ni Makao ta unafuu wa janga hilo na kuepuka Makuu ya Asasi ya Akiba na Mikopo watu kupukutika, vijana waliokuwa iliyoanzishwa pale na inayotoa hudu- wamehama kwao kwa ajili ya maso- ma bora. Kwa sasa inahudumia vijiji mo au kutafuta ajira walisaidia kati- Tini za MA 6 34 katika eneo zima, imelimbikiza ka uanzishaji wa Chama cha Vijana Machi 1999 mtaji wa zaidi ya millioni thelathini wa Fandene (“Association des Jeunes za faranga za CFA (takribani dola za de Fandène AJF’) mnamo mwaka Marekani 60,000) ilitoa mikopo zaidi 1972. ya 1500 kwa watu wa jumuia hizo. Hata hivyo, chombo hiki kilikua kutokana na kutafuta ufumbuzi wa Kutoka utamaduni mpaka kilimo matatizo ya ukame na upungufui wa Kwa miaka kumi na mitano ya rutuba mashambani, matatizo amba- mwanzo ya kuanzishwsa kwake yo yanayolikumba eneo lote la kati- chama cha AJF kilijishughulisha kati mwa Senegali. katika kusaidia matukio ya kitama- Kijiji cha Fandène chenyewe ni duni ambayo yangewavutia vijana matokeo ya mwingiliano wa kihisto- kuzingatia au kurejea katika jumuia ria baina ya makabila ya Waserere na zao za nyumbani na wakati huohuo Wawolof. Kwa kiwango kikubwa, kuimarisha utambulisho wa utama- hiki ni kijiji cha Kikristo na kwa duni wao. Juhudi za kuanzisha mira- miaka mingi kilikuwa ni makao ya di ya maendeleo zilikuwa ndogo misheni ya Kikatoliki na kituo cha sana, lakini shughuli za AJF ziliwafi- ustawi wa jamii (“Maison Familiale kia vijana wa makamo na wasomi Rurale”), lakini hugawana rasilimali wazuri wakarudi wakaishi tena kijiji- inayodidimia iliyo katika bonde la ni na kuanza kuungana wao kwa mito ya majira ya mvua na jumuia za wao kama wakulima wadogo wa kisa- Kiislamu na zile zinazoamini dini za sa na makini. Polepole kikundi hiki jadi kutoka makabila mbalimbali. kilizidi kukua na kuzidi kutoridhika Jitihada za maendeleo za hivi kari- na programu ya AJF iliyojishughu- buni zimejitokeza kiasi kutokana na lisha tu na matukio ya kitamaduni vitendo vya wahamiaji kutoka Fan- 90 91 na pia uongozi ambao kwa kiasi kikubwa ulikuwa Kwa njia hii, mtandao wa akiba na mikopo ulienea umeshikwa na watu waliokaa nje. polepole katika jumuia zote 34 za eneo la Fandène na Kwa hiyo, mnamo mwaka 1987, chama hiki kilianzisha polepole ukaanza kupata utaratibu mzuri wa kutumika. mtazamo mpya. Kwa kuzingatia matukio yaliyojirudia- Kila tawi la taasisi hiyo—19 kwa jumla—lilikuwa na jirudia kwa mzunguko ya upungufu wa chakula katika sehemu ya wanawake na sehemu ya wanaume, na eneo lile, wanachama wa chama hiki walianzisha viongozi wa kila sehemu walipata mafunzo ya msingi ya mfululizo wa uchunguzi wa “utafiti-vitendo” na watu wa uhasibu, ukopeshaji mikopo, tathmini ya utoaji mikopo vikundi vingine vya jirani ili kuelewa vizuri zaidi jinsi na usimamizi wa mikopo. Wakazi wa jumuia zilizohusika tatizo lilivyo na utatuzi unaoweza kufanyika. Mambo walihimizwa kupeleka maombi ya mikopo kwa maandishi matatu yaligundulika katika utafiti huu: kupitia kwa maofisa wenyeji wa mahali pao, na uongozi • Kikundi kiligundua kwamba kumbe tayari kulikuwapo wa taasisi ulijifunza polepole katika kufanya tathmini juhudi nyingi ndogondogo zilizokuwa zikifanywa na yakinifu ya mikopo iliyopendekezwa na kuwapa misaada vikundi vya wakulima wenyewe—jitihada ambazo ya kitaalamu wale ambao wangekopeshwa ili kuhakikisha zilikuwa na matumaini ya kuweza kufanya shughuli kwamba shughuli zao zinastahili mikopo. Hatimaye timu anuwai za uchumi wa pale na pia kuboresha msingi wa ya watathmini iliundwa kusaidia kamati za akiba na maliasili ya pale. Lakini vyote hivi vilikuwa mikopo za mahali husika ili kujifunza mbinu za vimedumazwa kutokana na kutokuwepo utaratibu wa kuthamini maombi ya mikopo na kutambua pamoja na kufaa kujipatia mikopo na rasilimali ili kuendeleza kuoanisha miitikio ya mahitaji ya utaalamu ya shughuli hazina hii. ndogondogo za biashara. • Kukosekana kwa mikopo kulitokana kwa kiasi kikubwa na kutokuwepo vyombo madhubuti au asasi ambavyo vingewawekea dhamana wenyeji ili wachukue mikopo Kutoa msaada kwa ajili ya uvumbuzi wa kiuchumi na kuwasimamia. wa mahali • Wakati huohuo wanachama wa AJF walijifunza Chama cha akiba na mikopo kilichopanuka kiliweka utaratibu na matokeo ya miradi iliyoendeshwa na msisitizo wa pekee kwenye kuwasaidia wakulima na AZISE katika eneo lilelile na kuhitimisha kwamba shughuli ndogondogo za biashara kwa mbinu mpya ya miradi mingi ilishindwa kwa sababu ilikuwa imeundwa kufufua kilimo na uuzaji wa mazao yaliyopatikana. kwingine na haikuwa imetokana na juhudi zilizopo za Ifuatayo ni mifano ya mambo yaliyofanywa yaliyoan- wenyeji wa pale. dikwa wakati wa miaka mitano ya utekelezaji: • Vikundi vya wanawake vya uzalishaji vilisaidiwa Utatuzi wa vikwazo vya mikopo kuanzisha mipango ya soko kwa ajili ya kuwaruka walanguzi na kuuza matunda ya bissap yaliyovunwa Uamuzi ulikuwa kukabiliana na matatizo haya kwa katika misitu ya jirani na pia vikapu vilivyotengenezwa kuanzisha aina fulani ya asasi isiyo rasmi ya akiba na kutokana na mimea ya pale kuuzwa moja kwa moja mikopo ya mahali husika. Kusema kweli hatua za katika soko la Dakar na kadhalika katika vyama mwanzo zilikuwa ndogo: kila mwanachama alichanga vingine vya vijiji vya eneo hilo. Kufikia mwaka 1995 faranga 250 (takribani dola za Marekani 1.00 kwa wakati kila wiki vikapu elfu moja vilikuwa vikitengenezwa ule) kwa ajili ya mfuko wa pamoja na mikopo midogo kwa njia hii. ikaanza kutolewa kwa wanakijiji waliokuwa na miradi ya • Chama kilitoa mikopo kwa wakulima waliopenda kuaminika kwa kutoza kiasi cha asilimia 15 cha riba ya kuanzisha tena kilimo na uuzaji wa muhogo katika mtaji kwa mwaka, huku zikitafutwa njia zingine za eneo hili na upanuzi wa upandaji na matumizi ya kutunisha mfuko. Mojawapo ya njia hizo ilikuwa ni kunde. kupanua uanachama kwa jumuia mpya katika mkoa wa • Mikopo ilipelekwa kwa vikundi vya wanawake kwa ajili jirani. Hapakuwa na haja kubwa ya kutangaza jambo hili. ya kuanzisha ushirika wa kutengeneza sabuni na Jitihada hizi zilikutana na hisia changamfu na zenye kuuza mazao yake. mahitaji ya dhati kiasi kwamba wakazi wa vijiji vingine • Taasisi za akiba na mikopo zilitoa mikopo mingi kwa baada ya muda si mrefu walipata uvumi kuhusu nini ajili ya uchimbaji wa visima, uendelezaji wa bustani za kilichokuwa kinatokea na wao wenyewe wakaanza kumwagilia na mauzo ya mazao yake. kuuliza kama wangeweza kushiriki. 92 Tini za MA 6 Kadiri shughuli zilivyoendelea na dau la mtaji kuonge- Usukaji wa mfumo mpya wa kijamii na kiuchumi zeka, ndivyo pia viwango na ukubwa wa mikopo vili- vyoongezeka. Kwa kipindi cha miaka mitano ya mwanzo Jambo la kuvutia kushinda yote lilikuwa ni yale matokeo ya utekelezaji, wastani wa matumizi ya kila mwaka ya ujenzi wa taasisi za shughuli hizi na uhusiano wa bega ulikuwa wa aina zifuatazo: kwa bega kati ya jumuia za Senegali na vikundi mbalim- Uendelezaji mifugo na uuzaji—Faranga za FCFA bali vya watu yaliyolelewa na jumuia hizo. Kwa upande 5,600,000 wa dini, vijiji vyote thelathini na vinne vya eneo la Biashara ndogondogo na viwanda—Faranga za FCFA Fandene ni vya Wakristo, Waislamu na watu wanaoamini 2,800,000 miungu ya jadi na pia kuna mchanganyiko wa makabila Kilimo bora faranga za FCFA—500,000 mbalimbali (Waserere, Wawolof, Wabambara, Wafulani). Uchimbaji wa visima—500,000 FCFA Hata hivyo, vimeshirikiana pamoja kwa mafanikio makubwa katika kuanzisha taasisi mpya za akiba na Faida za kila mwaka kutokana na usimamizi wa mikopo na kushiriki katika uendeshaji wa shughuli na mikopo zilipanda kutoka kuwa chini ya Faranga za FCFA rasilimali zao. Matawi ya wanaume na wanawake ya 100,000 mnamo mwaka 1991 kufikia zaidi ya 700,000 chama yamepewa uzito uleule wakati wote. katika mwaka 1994 na kufikia mwaka 1998 dau la mtaji Zaidi ya hayo, chama kimeanzisha mipango ya soko na wa Chama cha Vijiji cha Akiba na Mikopo lilikuwa ushirika wa wakulima katika maeneo mengine ya limeongezeka kwa zaidi ya Faranga za FCFA millioni 30 Senegali ambako mazao yake mengi huuzwa na pembejeo au takribani dola za Marekani 60,000. zake nyingi hutoka kwa mpango huu wa kubadilishana. Pengine jambo la kufurahisha zaidi, chama cha Fandene kimeanzisha timu za kitaalamu ili kutoa msaada kwa vikundi vichanga katika maeneo maskini ya jirani yaliyo karibu na jiji la Thie? na pia mji mkuu wa nchi, Dakar, ambayo yanataka kuanzisha mipango yao peke yao ya akiba na mikopo—kwa hakika hiki ni kinyume cha utoaji misaada kutoka vijijini kwenda mijini! Nwodua, Ghana Kisomo cha Watu Wazima na Utawala wa Wenyeji katika Jumuia za Vijijini Makala hii imeandikwa kutokana na utafiti uliofanywa na wachunguzi wa kutoka Ghana, Kanada na Marekani kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton, Profesa Mshiriki wa Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida. Ufadhili wa kifedha ulitolewa na Klabu ya Saheli/OECD, CIILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA). Nwodua ni mji mdogo wenye wakazi bayo hayakuwaridhisha vijana wengi 640 ulioko kilometa 20 kutoka jiji la waliokuwa wameandikishwa. Walita- Tamale, Kaskazini mwa Ghana na ka Kiingereza na hivyo wakaacha ma- kilomita 3 kando ya uliyokuwa bara- funzo. Lakini yule mkulima aliyeku- bara mbaya itokayo barabara kuu ya wa na jukumu la kuendelea na pro- Tamale-Kumbungu. Hadi kufikia gramu hii pamoja na rafiki yake wa miaka ya 1980, kwa kiasi kikubwa karibu walivumilia tu, wakiwa wa- Nwodua ulibaki imetengwa na bia- namlipa mwalimu kwa kumfanyia ka- Tini za MA 7 shara ya jimbo na ilikuwa na hudu- zi mashambani mwake pale wali- Aprili 1999 ma chache sana za jamii na wala poshindwa kumlipa mshahara haikuwa na shule. Njia inayoiunga wowote. Nwodua na barabara kuu sasa ime- tiwa changarawe na mji una maji ya bomba. Jumuia hii pia sasa ina Kuwezesha ujuzi wa kusoma na bustani ya miche ya miti; mashine kuandika ufanye kazi mbili za kusagisha ambazo husa- Baada ya muda mfupi Mwalimu wa gisha chakula cha kulikiza watoto, kwanza aliondoka ili akahudhurie shule ya msingi, kituo cha mafunzo mafunzo katika Chuo cha Mafunzo ya ufundi kwa watu wazima, onge- ya Ualimu kisha apate kazi nzuri zeko kubwa la mazao ya kilimo na zaidi. Wale wanafunzi wake wawili mbinu mpya ya utawala wa jumuia. walimwajiri mwalimu mwingine Mafanikio haya yaliyotajwa mwisho- badala yake na wakaweza, wakati ni huenda ni ufunguo wa mafanikio huohuo kuwarudisha shuleni baadhi mengine yote yaliyopatikana. ya wale waliokuwa wameacha shule. Mnamo mwaka 1979, mkulima Walitumia mafanikio haya madogo mmoja ambaye hakujua kusoma wala kama nyenzo ya kuishawishi dayosisi kuandika kutoka Nwodua aliamua ya ya Kanisa Katoliki kuanzisha shule kwamba wakati ulikuwa umewadia ya msingi kijijini Nwodua mwaka wa kuleta mafunzo ya kujenga Ghana 1984. Miaka miwili baadaye, wote ya kisasa katika jumuia yake. Alianza wawili walifaulu mtihani wa kitafia kwa kumshawishi mhitimu mmoja wa kujua kusoma na kuandika na wa shule ya kati kutoka kijiji cha jira- kupata sifa zinazotakiwa kufungua ni aje aanze kufundisha kusoma na vituo vyao wenyewe vya kufundisha kuandika Nwodua. Mafunzo yalitole- kusoma na kuandika katika mazi- wa kwa lughamama ya Nwodua, am- ngira yao. 93 94 Tini za MA 7 Mafanikio yao katika juhudi hii yalisababisha kuwapa Chama cha Wakulima Vijana wa Nwodua (Nwodua majukumu na fursa zaidi. Wale watu wawili Young Farmer’s Club) kiliuomba uongozi wa Programu ya walichaguliwa kama wasimamizi wa ugani na mradi Mafunzo Kujua Kusoma na Kuandika ya Dagbani mpya wa Dagbani Functional Literacy Project ambao kuliendea shirika la UNDP ukiwa na pendekezo la wakati huo ulikuwa unaanza, baada ya muda mfupi kutaka kuongeza mabomba ya maji kutoka Tamale ukawa na madarasa sabini na sita yaliyoendeshwa katika kufikia Nwodua kwenyewe, umbali wa takribani kilometa jumuia mbalimbali katika eneo lote. Kwa sababu ya 5. Shirika la UNDP lilikubali kusaidia jitihada hizo na dhima yake kama makao makuu ya mafunzo ya kusoma wanakijiji walichimba mtaro wa kilometa 5 ili kuandaa na kuandika ya eneo lile, Nwodua iliweza mnano mwaka njia za kupitishia mabomba. Uunganishwaji huo wa 1989, kufungua shule kamilifu ya msingi kwa watu mabomba ulifanikiwa na Kamati ya Maji ya Nwodua wazima ambamo zaidi ya wakazi wa jumuia walifanikiwa huweza kulipa gharama za kila mwezi kwa Tume ya Maji katika miaka iliyofuata, kupata cheti cha kumaliza ma- Machafu kwa kutoza fedha kila kaya katika kijiji funzo ya shule ya msingi, baadhi yao wakaendelea na eli- kinachotumia maji. Wakati huohuo, upatikanaji wa maji mu ya sekondari. Wakati huohuo jitihada za kujua kuso- uliondoa vikwazo vikuu vya maendeleo ya bustani ya ma na kuandika ziliendelea kuwa egemeo zaidi na zaidi la Nwodua na juhudi za upandaji wa miti. Bustani ilianza mfululizo wa shughuli za maendeleo ya mahali pale. kugawa miche ya aina za miti ya biashara na kivuli bure Shughuli ya kwanza kati ya hizo ilikuwa kuanzishwa kwa wakazi wa Nwodua na kuwauzia watu wa nje. kwa Kamati ya Huduma ya Afya ya Msingi, ambayo Mathalani, katika mwaka 1995, zaidi ya miti 2000 ya ilipeleka timu ya wakazi kwenye mafunzo katika kituo miembe ya kupandikizwa na miche 4000 ya mikorosho cha Huduma za Afya za Taifa jijini Tamale na kisha ilichukuliwa na vikundi na pia watu binafsi katika eneo ikafadhili kampeni za kuondoa utapiamlo na degedege za lote la jirani, ikiwa ni pamoja na asasi kama Baraza la watoto. Juhudi hizi zililivuta shirika la UNICEF ambalo Wilaya ndogo ya Kumbungu. Kwa sasa bustani ina mfuko liliisaidia Kamati hiyo kuanzisha mradi wa kusagisha ili wa mtaji unaoendelea kukua kwa ajili ya uanzishaji wa kutayarisha mchanganyiko wa chakula cha kulikiza miradi mipya. watoto wachanga. Wakati huohuo kamati ilihakikisha Ongezeko hili la biashara kati ya Nwodua na eneo la nje kwamba mapato kutokana na kodi ya mashine ya ulilazimisha kuboreshwa kwa ile barabara itokayo kusagisha na malipo ya shughuli zake yanalipia mashine Nwodua hadi barabara ya Tamale. Kamati ya barabara ya pili, na hivyo kuiweka jumuia kwenye njia ya kuwa ilianzishwa mnamo mwaka 1991 na kufikia mwaka ulio- kiwanda endelevu cha utayarishaji wa vyakula. fuata maofisa wa Benki ya Dunia walikuwa wameonwa na kushawishiwa kusaidia utengenezaji wa barabara inayopitika na motokaa kwenye kile kiungo cha kilometa Kurejesha mazingira 3, kwa masharti kwamba kijiji kingetoa nguvukazi na makazi ya wafanyakazi wataalamu na mafundi ambao Juhudi nyingine zilikuwa katika eneo la kilimo cha misitu wangepelekwa kwa ajili ya kazi hiyo. Barabara ilikamilika juhudi ambazo pia, kama kawaida, zilitokana na masomo kwa mafanikio katika mwaka uliofuata na kamati ya yaliyofundishwa darasani na mada zilizochunguzwa barabara ilikabidhiwa jukumu la kuitunza na kufikiria katika kujifunza kusoma na kuandika katika vituo vya uboreshaji mpya wa njia za pembeni. Elimu ya Msingi kwa Watu Wazima. Washiriki watano walihudhuria semina moja iliyofadhiliwa na shirika la UNDP mjini Tamale kuhusu matatizo ya eneo kugeuka Kuanzia na watu wazima jangwa katika sehemu za kaskazini mwa Ghana na mambo ambayo jumuia zingeweza kufanya kukabili Urahisi wa kupeleka nje mazao kutoka Nwodua pia tatizo hili kwa njia ya upandaji miti, Waliporudi Nwodua, ulimaanisha urahisi wa kufikika. Hivyo, kwa mifululizo walishawishi kundi muhimu sana la wakazi wenzao mbalimbali, jumuia ilianza kuchukua dhima ya kuwa kuchukua jukumu la kuanzisha bustani ya miche ya miti. kitovu cha shughuli za upanukaji katika eneo zima la Ingawaje kazi yote ya msingi ilikamilishwa miaka ya 1991 jirani. Nyongeza nyingine ya dhima hiyo ilikuwa ujenzi, na 1992, ilibainika baadaye kidogo kwamba juhudi hizo katika mwaka 1999, wa kituo cha kuvutia cha ufundi zingeshindwa kuendelea kutokana na ukosefu wa maji stadi kilichofadhiliwa na msaada wa kigeni kutoka kama njia isingetafutwa kuleta maji zaidi kwa jumuia Denmark. Kutokana na kuwapo kwake kijiji kilijilundikia hiyo. vyuo kadhaa vya elimu—vitabu vya watu wazima (kituo cha kufundisha kusoma na kuandika, shule ya msingi 95 kwa Watu Wazima na Kituo cha ufundi stadi) vikiwa kujua kusoma na kuandika au wa madarasa ya Shule ya vimeizingira shule ndogo ya serikali ya watoto wadogo. Msingi kwa Watu Wazima. Kamati za Maendeleo za Nwodua mara kwa mara Kamati ya Maendeleo ya Jumla hufanya kazi kwa huulizwa kwa nini, kwa kuzingatia hatua hiyo kubwa ya kupitia kamati nane za sekta, mojamoja kwa watu porogramu za elimu iliyoifikia, inaelekea kuwa imeweka wazima kujua kusoma na kuandika, usimamizi wa afya ya umuhimu zaidi kwa watu wazima kuliko watoto. Jibu lao msingi, utayarishaji wa chakula, kilimo misitu, mafunzo ni rahisi: Ndiyo njia bora zaidi ya zote ya kuingia katika ya ustadi, mafunzo ya kilimo na ujenzi/ukarabati wa jumuia za vijijini zilizokuwa maskini kama yetu hapo barabara. Katika mchakato wa kuunda kiunzi cha mwanzo. Iwapo watu wazima zaidi wataanza kukutana mtandao huu mkubwa, mambo mawili yametokea. na fursa mpya na kjifunza jinsi ya kunufaika nazo, wengi Kwanza uendelevu wa jitihada karibu umehakikishiwa zaidi watakuwa na hamu ya kuwapeleka watoto wao kuwepo kwa ufuatiliaji na pia ufadhili huu. Pili, kwa katika shule za msingi. kutumia ngazi za ziada, Kamati ya Maendeleo ya Jumla imekuwa serikali tendaji ya kijiji katika Nwodua—ingawa si kama ile ya heshima—na imefanikiwa katika kuunda Kutengeneza upya utawala kutoka kwenye kiini mazingira ambayo yanawezesha juhudi za ujasiriamali na inaunga mkono utoaji huduma bora kwa watu. Ingawa juhudi hizi ni za ajabu na aina kwa aina, moyo wa Lakini mafanikio ya Kamati ya Maendeleo ya Jumla uvumbuzi wa Nwodua uko katika kiini chake—yaani yanapaswa kufuatiliwa tangu nyuma kwenye mambo katika umbo jipya la utawala wa jumuia unaodhihirishwa mawili mengine kwa upande mmoja, kuna ile hamu na viongozi wa kijiji na washiriki vijana katika juhudi kubwa ya mabadiliko iliyoanzishwa na mfuatano wa mpya za kutoa msingi wa kuendesha na kupanua mafunzo ya watu wazima na vipindi vya elimu isiyo rasmi shughuli zao. Viongozi wa kwanza wa wimbi la kujifunza vilivyofanyika ndani na jirani na kijiji—na kwa upande kusoma na kuandika walifanya makubaliano na mtemi mwingine; kuna ile nguvu ya msukumo uliokuwa ume- wa jadi wa Nwodua na baraza lake kuunda Kamati ya wekwa na wale wakazi wawili waasisi waliokuwa hawajui Maendeleo kwa Jumla (GDC) yenye jukumu la jumla la kusoma au kuandika walioanzisha utaratibui huu takri- kuhakikisha kuwa kuna utekelezaji wenye utaratibu wa bani miaka ishirini iliyopita na wakakataa kushindwa na miradi na kuhifadhi maslahi ya jumuia. Kikundi hiki kwa vikwazo. Jitihada binafsi pamoja na kuendelea kupa- kulipa wema huo kimeanzisha kamati za utekelezaji tikana kwa mafunzo na fursa mpya na kuzitumia zilitoa zinazoshughulikia kila moja ya sekta za maendeleo ya kichocheo cha mafanikio ya maendeloeo ya mahali husika mahali husika na kuiletea Kamati ya Maendeleo ripoti. ambayo miaka ishirini iliyopita yalionekana yasinge- Kamati ya Maendeleo ya Jumla huongozwa na mkulima wezekana. Lakini pia kuna ubunifu wa mfumo mpya wa mwenye umri wa miaka sitini na mitano ambaye hajui utawala wa mahali uliochochea kuunda kiunzi ambacho kusoma na kuandika na ambaye anaheshimiwa sana bila kuwepo leo hii kusingekuwa na hata moja kati ya katika jumuia, lakini kwa wajumbe wanane wengine ni haya ambalo lingekuja na kutimizwa. yeye tu aliye na zaidi ya miaka arobaini na mitano; na wajumbe wengine saba ni wahitimu wa ama mafunzo ya Utunzaji wa Mazingira katika Pwani ya Magharibi ya Senegali Makala hii imeandikwa kutokana na utafiti uliofanywa na watafiti wa Senegali kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton Profesa Mshiriki wa Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, kwa ushirikiano mzuri na jumuia husika za Kiafrika. Utafiti huu ulifanyika chini ya ufadhili wa pamoja na Klabu ya Saheli/OECD, CILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA). Hifadhi ya asili ya Kër Cupaam iko Kuikabili changamoto katika eneo la “Petite Côte” la nchi Ingawa katiba ya hifadhi asili katika ya Senegali, kilomita 45 kusini mwa miaka ya 1980 ilisaidia kuzuia uhari- Dakar, pwani ya Bahari ya Atlantiki. bifu zaidi wa mazingira mimea ya Kipande hiki cha uliokuwa msitu wa eneo hili ilikuwa imeharibiwa mno ta- taifa chenye eneo takribani hekta 100 yari kiasi kwamba jitihada zaidi zili- kilitengwa kwa agizo la serikali kuwa zinahitajika kurejesha ekolojia katika miaka ya mwanzo ya 1980 ili ya eneo hili na kuanzisha aina ya shu- Tini za MA 8 kuhifadhi eneo la makazi ya wakati ghuli za utalii ambazo zingewanu- Mei 1999 wa baridi la Kwale bluu na Kwale faisha wenyeji wa pale. Kwa hali yoyo- mawe ambazo ni aina mbili za ndege te ile hilo ndilo lililokuwa hitimisho zilizo katika hatari ya kutoweka na lililofikiwa na kikundi cha wanawake pia kutoa hifadhi kwa njia wanazopi- wa kijiji cha Popenguine, ambao mna- ta ndege wanaoambaa pwani ya Ba- mo mwaka 1988 waliamua kuanzisha hari ya Atlantiki. Yale magende yali- Chama cha Wanawake wa Pope- yo pembezoni mwa ufukwe wa baha- nguine cha Kuhifadhi Mazingira (Re- ri katika ukanda huu ni sehemu nzu- groupement des Femmes de Pope- ri ya kutengenezea viota na ya kupa- nguine pour la Protection de la Nature tia chakula kwa aina nyingi za ndege. au “RFPPN”). Mwanzo kikundi hiki Mimea kadhalika na wanyama wa kilikuwa na wanawake 119 na mwa- eneo hili vilikuwa vimeathirika sana naume mmoja ambaye alitokea tu katika miaka iliyotangulia kutokana kuwepo siku ya mkutano wa kwanza. na athari za ukame, kuongezeka kwa Walimchagua kama mungu mlezi wao eneo la malisho na uvunaji wa kuni. Mama Cumba Cupaam “mungu Hata hivyo, pwani karibu na Pope- aongozaye wavuvi wa pwani.” nguine, bado ni sehemu inayopendele- Kwa miaka minane iliyofuata cha- wa kwa utalii na watu watokao Dakar ma cha RFPPN kilitumia rasilimali na pia kituo maarufu cha hija kwa ma- zake chenyewe na zile za nyongeza dhehebu ya Kikatoliki: Lakini shu- zilizotolewa na wafadhili waliovutiwa ghuli hii haijawanufaisha sana wenye- na shughuli hii mpya ya usimamizi wa ji na ongezeko la idadi ya watu ume- maliasili ili kurejesha mimea ya eneo ongeza shinikizo zaidi kwenye hazina la hifadhi na lile la jirani. Hatua ya rasilimali inayozidi kupungua. zilizochukuliwa na chama zilikuwa ni pamoja na kuweka vizuizi vya moto kwa kupanda miti kuzunguka eneo 96 97 zima, kupanda tena aina ya miti ya kienyeji iliyotolewa na Wakati huohuo, vikundi vya wanawake viliongeza bustani ya miti iliyoanzishwa na wanawake wakati huohuo, shughuli mpya kwenye programu yao. Kumeanzishwa na kuendesha warsha ambamo vijana wa kujitolea kutoka mielekeo saidizi ya aina tatu, na kwa hili tunashukuru maeneo ya vijiji na miji ya jirani waliletwa ili kujifunza kiasi kwa msaada mzuri kutoka Jumuia ya Uchumi ya uhifadhi wa asili na kufanya kazi za mikono zilizotakiwa. nchi za Ulaya (EEC). Mikopo na huduma za benki: Ili kusaidia kuondoa umaskini mkubwa uliosababisha kuendeleza udhoofishaji Kwenda kwenye mzizi wa jambo wa mazingira wenye kujirudiarudia, vyama vilianzisha Zaidi ya hayo wanachama wa RFPPN walijihusisha hara- benki za nafaka, mikopo mdigomidogo kwa watu binafsi ka sana na hatari iliyokuwa inayakabili mazingira ya ku- na shughuli za kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga rejesha na kuhifadhi mazingira: ufyekaji wa misitu kwa katika kila kijiji. Hili la mwisho liliongeza hamu ya ajili ya kukusanya kuni kulikokuwa kukifanywa na watu kuendeleza shughuli ya ukusanyaji wa takataka na wa eneo lile lote. Wale wanawake waliamua kuchukua ha- utengenezaji wa mbolea. tua za kuwa na vyanzo mbadala vya nishati na kufanya Miundombinu na mafunzo ya utalii: Kutokana na jamii zijitosheleze kwa nishati ya kupikia. ongezeko la hamu ya kujaribu kufanya programu kama • Kwanza, walianzisha mtandao wa ushirika wa ugavi wa ile ya Popenguine nchini Senegali na hata nje, wanawake kuni, mkaa na gesi ili kudhibiti matumizi na kusaidia hawa waliamua kuweka muundombinu mwepesi kwa ajili wanachama wao kukidhi mahitaji ya kaya zao. ya kuwapokea wageni na wajumbe, baadae walianzisha • Pili, walianzisha bustani ya kijiji ya miti na msitu wa Kituo cha Mafunzo ya Usimamizi wa Ekolojia “Centre for jumuia ili kuanza kuendelea kupata chanzo cha maada ya Training in Ecological Management.” Mpaka sasa kukokea moto. wamekuwa wakipata makundi ya wageni kutoka nchi • Hatimaye, waliandaa ukusanyaji wa takataka za majum- kadhaa za kigeni zilizovutiwa na mfano huu wenye bani na kuziweka vyomboni ili kuondoa hatari za afya ya mafanikio ya Eko-maendeleo (Ecodevelopment). jamii zitokanazo na utupaji ovyo wa takataka na kuzitumia Ajira ya Vijana: Ili kusaidia kuondoa uhamiaji kwenda kutengeneza mboleavunde kwa ajili ya ile bustani. nje wa vijana wanaomaliza shule na kukomesha • Kwa njia hii, wanawake hawa si kwamba walifaulu tu ukosekanaji wa fursa ya shughuli za uzalishaji kwa vijana kupanga upya bio-anuwai ya mahali pale na kurejesha katika eneo lote hili, vyama hutoa vivutio ili kuwaingiza mimea ya asili ya pale, bali pia juhudi zao zilichangia vijana katika shughuli mbalimbali za kikazi na za waziwazi kwenye kujitokeza tena kwa aina za wanyama kiuchumi zitokanazo na hifadhi hii mpya. Vijana wa waliokuwa hawaonekani sehemu zile kwa miaka mingi: kujitolea kutoka vijiji vya jirani na maeneo ya mjini ya aina nyingi za ndege na nungunungu, nguchiro, mbega, jirani wameajiriwa ili kusaidia kurejesha hifadhi na pia mbweha, pakashume na hata paa. kujifunza misingi bora ya usimamizi wa mazingira (ecomanagement), ambapo mara nyingi huwa ajira mpya Kujenga mtandao ya kudumu. Kiasi kikubwa cha uajiri hufanywa na vyama vya vijana wa Senegali vilivyoshirikishwa na Mfuko wa Bidii zao baadaye kidogo zilifikia kiwango ambacho ure- Nicolas Hulot, ambayo ni Asasi Isiyo ya Serikali kutoka jeshaji wa mazingira ya eneo lile usingeweza kukamilika Ufaransa, inayojishughulisha na hifadhi ya mazingira. kwa uhakika bila ushiriki mpana zaidi kutoka vijiji vya jira- ni. Kusema kweli, programu na mfano wa bidii za RFPPN vilikuwa, vimeamsha hamu iliyokuwa inazidi kuongezeka Mfano wa kuigwa miongoni mwa watu wa jumuia za jirani. Kuliko tu kupa- Hifadhi hii na maeneo ya jirani yaliyohifadhiwa sasa yana nua chama cha RFPPN, wanachama wa chama cha Pope- zaidi ya eneo la maili 50 za mraba na yanatoa fursa za nguine waliamua kuhimiza wanawake wa vijiji vya jirani kiuchumi zaidi kwa jumuia zote zilizolizunguka eneo hili: kuanzisha vyama vyao wenyewe na kuanzisha bustani zao, Uchangamano huu baina ya hifadhi ya kitaifa ya Kiafrika kupanga kwa undani shughuli zao na kuweka mtandao wa na binadamu walio katika maeneo ya ujirani, wakati ugawaji wa nishati za kupikia. Jumuia nane hatimaye huohuo pia ni nembo ya mtindo mpya wenye matumaini ziliungana na Popenguine chini ya uelekezi wa Kamati ya kuhusu hifadhi ya mazingira. Chama cha RFFPN utaratibu iliyochaguliwa na wote, na idadi ya jumla ya kimeipa Senegali na vikundi vinavyojibidisha na shule wanachama iliongezeka kutoka ile ya 119 wa mwanzo hadi kama hizo katika nchi mbalimbali za Afrika. kufikia zaidi ya 1500. Makumi ya maelfu ya miche mipya sasa huoteshwa kila mwaka na mtandao wa vyama hivi. Mali Maendeleo ya Umoja wa Kilimo nchini Mali: Kuongezeka kwa Viwango vya Uwezeshwaji wa Wenyeji Makala hii imetokana na taarifa zilizokusanywa na Peter Easton, Guy Belloncle Cheibane Coulibaly, Simon Fass, Laouali Malam Moussa na timu tano za utafiti wakati wa kuendesha utafiti wa elimu wa PADLOS, Uchunguzi kuhusu “Ugatuaji Madaraka na Ujenzi wa Uwezo katika Nchi za Afrika Magharibi” uliofadhiliwa na Klabu ya Saheli/OECD na CILSS. Ukitaka kupata nakala ya ripoti kamili ya utafiti huu, wasiliana na Peter Easton, wa Kituo cha Masomo ya Sera katika Elimu 312STB, Chuo cha Elimu katika Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, Tallahase, FL-32306 USA; Simu (850) 644-5042;Faksi (850) 644-15 95; baruapepe: easton@coe.fsu.edu Katika miaka ya mwanzoni ya 1990 tangu miaka ya 1970, pamoja na wanachama wa vyama vya vijijini wawakilishi wachache wa tabaka (Associations Villageoises au AV) ka- jipya la watu waliokuwa wamejito- tika eneo la Koutiala la kusini mwa keza katika kipindi cha muongo ulio- Mali walikuwa na tatizo waliohitaji pita: wahitimu wa elimu ya sekonda- kulitatua dhidi ya kampuni ya Nguo ri au elimu baada ya sekondari walio- ya Mali (Compagnie Malienne des kuwa wamerudi na kujiunga na Textiles, CMDT). Kulikuwa na uvu- jumuia za nyumbani kwao ili kuan- Tini za MA 9 mi uliokuwa unaenea kwamba zisha mashamba yao wenyewe. Juni 1999 CMDT ilikuwa imepanga kuongeza malipo ya wafanyakazi wake (yaani kuongeza hisa zao za faida kutokana Kubadili hali ya kitaasisi katika na pamba), bila kupandisha bei wa- maeneo ya vijijini nayolipwa wazalishaji. Mnamo Mfululizo wa mikutano na usikilizaji mwaka 1989 wawakilishi wa vyama wa matatizo vilisababisha kikundi mbalimbali vya eneo lile walikuwa cha Kamati ile kuweka orodha rasmi wamekwishaungana kudai malipo ya madai na malalamiko yao. Wakati kutokana na sera iliyokuwa inatumi- huohuo mikikimikiki ya kisiasa iliyo- ka na CMDT kuhusu majukumu ya kuwa ikiitikisa nchi ya Mali, ilicho- kifedha ya vyama vya wazalishaji, chea mageuzi ndani ya vyama vya kesi ambayo hatimaye wazalishaji vijijini, kupunguza kiwango cha waliishinda. faida ambayo tayari ilikwishakuwa Kutokana na kutiwa nguvu na ndogo kwenye mauzo ya mazao na ushindi huo wazalishaji waliunga- hivyo kuilazimu kamati kuchukua nisha nguvu tena ili kukabili tatizo hatua. Mnamo mwaka 1991, kikundi la bei na hivyo wakaunda Kamati ya hiki kiliamua kukasimu mamlaka Uratibu kwa ajili ya Vyama vya Viji- kwa msomi aliyekuwa na elimu ku- jini na Tons ya Koutiala, iliyokuwa washinda wote, mhitimu wa chuo na wawakilishi wa vyama vya huko. cha kilimo kitoacho mafuzo baada ya Wajumbe wa Kamati ya Uratibu wa- elimu ya sekondari, aliyekuwa ame- likuwa ni pamoja na wakulima walio- rudi shamba, ili azungumze na kuwa wamepata mafunzo ya kujua wanachama wa vyama vya vijijini, kusoma na kuandika na wenye uzoe- aondoe woga wao na kupeleka madai fu katika maendeleo ya kutwaliwa na maswali yao kwa CMDT. Juhudi masoko na wenyeji yaliyokuwako hizi zilizolenga vyama vya vijijini huko sehemu za kusini mwa Mali 98 99 (AVs) zilikuwa zenye mafanikio makubwa: wawakilishi Mali na pia hudhihirisha baadhi ya faida zinazoweza waliunga mkono kikamilifu jitihada za kamati ya uratibu. kupatikana kwa uhamishaji halisi wa mamlaka ya kiu- Lakini menejimenti ya CMDT ikiwa imetiwa hofu na hali chumi na kuwekwa mikononi mwa vyama vya wakulima. ya wasiwasi ya kisiasa, ilikataa kufanya upatanisho Wakati pamba imekuwa ikilimwa katika maeneo haya wowote na umoja huu wa wakulima. Matokeo yake kwa zaidi ya miaka thelathini, kumetokea hali, katika Kamati iliitisha mgomo wa wakulima wa pamba, na kipindi cha miaka kumi na mitano, ambapo wafanyakazi wanachama wake walihamasisha kanda ile yote kuunga wa mashirika makubwa kama CMDT na washirika wake mkono shabaha ya vyama vya vijijini. Kwa muda wa miezi walidhibiti ununuzi wa mazao katika eneo yanakolimwa, miwili, vyama vilikataa kupeleka pamba yao CMDT, na usafirishaji wake mpaka kwenye vituo vya usindikaji mpaka Waziri wa Maendeleo ya Vijijini yeye binafsi akaja wa mazao hadi kuingia katika mfumo ambamo shughuli Koutiala kusuluhisha mgogoro. Matokeo ya maelewano hizi karibu zote zilifanywa na vyama vya vijijini. hayo yalikuwa ni kwamba CMDT ilikubali msingi wa Wawakilishi wa vyama hivi au mashirika yake kwa sasa kuwapo madai ya pamoja kwa asasi isiyo ya kiserikali ndiyo wenye wajibu kamili wa kupima mazao, kuwalipa inayowakilisha wazalishaji wa pamba na pia ikakubaliana wakulima, kuhifadhi mazao hayo, kuyasafirisha hadi na Kamati kushiriki kwenye Bodi ya Taifa ya Bei ya vituo vya kuyasindikia, kuyauza tena kwa wasindikaji na Mazao ya Kilimo. kadhalika, na pia, kwa ajili ya majukumu muhimu ya Kwa njia hii SYCOV (Syndicat des Producteurs du utayarishaji na uhasibu pamoja na kuanzisha sera Cotton et du Vivrier) au Chama cha Wazalishaji wa Pamba zinazohusika. Hatua hii ilifikiwa, kwa kiasi kikubwa, na Mazao ya Vyakula, kilizaliwa ingawa kisheria, kisinge- kutokana na kujua kusoma na kuandika na pia programu weza kudumu kwa mwaka mwingine, kutokana na ambazo hazikuwa za mfumo rasmi wa elimu, ambazo zili- mahitaji mengine ya sifa kwa taratibu za kiutawala. fadhiliwa na hizo kampuni zenyewe za pamba (au wakati Viongozi wake mara ile walianza kushughulikia kupanua mwingine na kampuni zilizorithiwa na serikali zilizopita masuala ya chama kipya cha kilimo kwa vyama vyote vya au kwa juhudi za AZISE), ambazo ziliwezesha makundi vijijini vya sehemu ya Kusini mwa nchi ya Mali, na hata ya vijana balehe na watu wazima ambao walikuwa na ki- wakaamua pia kufuta, kwa idhini yake, ugombeaji wa wango kidogo sana cha elimu kuweza kusoma, kuandika kiongozi mkuu wa mwaka 1999 wa hiki kwa ajili ya na kupata stadi za kuhesabu katika lugha zao wenyewe uongozi wa chama kipya ili kumwunga mkono mwakilishi na pia kupata ujuzi wa kuitumia ipasavyo na kuidhibiti kutoka mojawapo ya maeneo ambayo yalikuwa hayaja- lugha ya kikabila aumfumo wa lugha zote mbili. wahi kuhusishwa. Chama hiki ambacho hutumia lugha Wala si kutia chumvi kusema kwamba juhudi hizo mbili (Kibambara na Kifaransa), kimeendelea kukua zimeokoa katika makampuni ya pamba mabilioni ya mbali na kuwepo upinzani fulani wa CMDT na matatizo Faranga za CFA (kadirio ni kuwa Faranga 500 (CFA) = ya ndani kwa ndani yanayotokana na uundwaji wa Vyama dola 1 ya Marekani). Sehemu kubwa ya kutosha ya vya Vijijini vyenyewe, baadhi ya uamuzi unaotatiza unao- makusanyo ya fedha imerudishwa katika Vyama vya fanywa na uongozi na misigano baina ya viwango vya Jumuia na zikagawiwa na vyama hivyo kati ya watu mahali husika na vile vya Makao Makuu. Hivi sasa lime- binafsi kwa mikopo nafuu kwa wakulima na mifuko ya kuwa jambo muhimu la mandhari nzima ya kitaasisi na uwekezaji wa ushirika. Matokeo ya jambo hili la mwisho kisiasa kuanzia ngazi ya taifa, kuwepo kisheria kwa haki (yaani mifuko ya uwekezaji wa ushirika) yamechochea za wakulima kushiriki katika uamuzi wote unaowahusu. mfululizo wa uwekezaji wa aina nyingi nyingine, kama SYCOV pia inaandaa kozi za mafunzo za Kifaransa cha vile uanzishaji wa vyama vya akiba na mikopo, ununuzi kuzungumza na cha kuandika kwa ajili ya Wabambara wa zana za kisasa zaidi za kilimo; uchimbaji wa visima, wawakilishi wa vyama vya vijijini wanaojua kusoma na ujenzi wa zahanati za jamii na shule, n.k. Hali hii ya kuandika na SYCOV imeelekeza matumizi ya lugha zote uwezo wa vijiji kuendesha na kusimamia mambo si mbili katika nyaraka zote inazotumia na katika shughuli kwamba hauhusiani na ongezeko kubwa la uzalishaji wa zote inazoshiriki. pamba katika eneo la Afrika, Kusini mwa jangwa la Saha- ra katika muongo uliopita, bali pia ni maendeleo ambayo yameliweka eneo hili kufikia nafasi ya nne katika soko la Mizizi ya mabadiliko: uhamishiaji wa nguvu ya dunia na kuweza kujaza bajeti za taifa ambazo zime- kiuchumi mikononi mwa wenyeji minywa vibaya kutokana na masharti ya Programu za Kwa hakika, pamoja na ubora na udhaifu wake, jaribio la Kurekebisha Mifumo ya Uchumi. SYCOV tayari linawakilisha hatua ya pili ya kutoa uwezo Zao la pamba haliwezi kufikiriwa sana kama nguvu kwa wenyeji vijijini katika eneo la Kusini mwa nchi ya kuu ya kutegemeza maendeleo endelevu, hasa ikizinga- 100 Tini za MA 9 tiwa athari mbaya za zao hilo ambazo zimesababishwa Kupeleka maendeleo katika rusu ya pili nalo kwenye rutuba ya udongo, angalau katika mfumo mbaya wa kilimo cha ubadilishaji wa mazao na uhifadhi Mfano mwingine maridhawa: ili kuboresha uendeshaji wa ardhi unaotumika katika Afrika Magharibi. Hata hiv- wao, vyama vya vijijini vya kusini mwa Mali, kwa msaada yo, uzoefu wa zao la pamba ulisaidia kuonyesha, kwa ki- wa CMDT na msaada wa nje, vilianzisha mnamo mwaka wango kikubwa, uwezo wa wazalishaji wadogo wa mahali 1993 taasisi iliyohusika na ukaguzi wa hesabu zao na husika kuandaa na kuendesha shughuli za kibiashara kutoa msaada wa kitaalamu kwa viongozi wa mamlaka ya wao wenyewe-mradi tu mafunzo muhimu yakiweza kupa- fedha vijijini. Kitengo hiki kiliitwa “Kituo cha Uongozi tikana wakati huohuo. Na pia umesababisha kuanzishwa cha Koutiala”; matawi kadhaa ya ziada yameanzishwa kwa kundi la asasi za vijijini zilizoimarika ambazo zinatoa tangu wakati huo. Kituo hiki kina wafanyakazi walioaji- “vigezo” vya maendeleo katika nyanja nyingine za riwa kutoka katika vyama vya vijijini, ambao wanawaji- maendeleo za huko. bika kuweka wakaguzi wa aina ya tatu wa akaunti za Vyama vya Vijijini. Watumishi wenyeji wa mahali hupewa mafunzo na msaada wa kitaalamu kutoka nje, ambao kwa Mazingira ya kufaa: Uoanishaji wa changamoto ya muundo wake umekusudiwa uwe mdogo. Usimamizi kiuchumi na mtaji jamii mzima wa sera wa Kituo unafanywa na Baraza la Utawa- la ambalo limeunganishwa kwenye Shirikisho la Vyama Kwa hakika vyama vya vijijini viliibuka kutokana na vya Vijiji vya kusini mwa Mali. Kinadharia, kituo hiki mambo mawili kukutanika, moja la “kijadi” na jingine la kinatazamiwa kuendeshwa kwa bajeti inayotokana na kisasa; na msukamano wa mikondo hii miwili ndio mapato ya mauzo ya huduma zake tu kwa vyama vya chanzo cha matokeo hayo mazuri. Jumuia za kusini mwa vijijini. Kwa hali hiyo uendeshaji huu ni nusu kati ya Mali kwa kawaida ziko katika mfumo wa “ton” (neno la “kumilikiwa kikamilifu” na shirikisho na shirika binafsi lugha za Kibambara na Kimalinke) au mifumo sawa na la ukaguzi wa hesabu. hiyo katika makabila ya jirani. Makundi haya ambayo Kwa hakika tangu Kituo kilipoanzishwa, na mpaka hugawanywa kwa msingi wa umri wa marika ya jando au sasa, kinaendelea kwa kiasi fulani kutegemea ufadhili wa unyago, mara nyingi huwa yamesukana kwa imara sana nje. Lakini inaelekea kimekwishapita awamu ya kwanza na yamejidhibiti kindani kwa kiwango kikubwa sana. ya kukamilisha uanzishwaji, kuanza kuendesha shughuli Hizi “ton” ndivyo vyama ambavyo vilikuja vikawa moja na urasimishwaji kwa hakika sasa kinatoa huduma zina- kwa moja au kwa namna nyingineyo kushika wajibu wa zotakiwa na kuzalisha mapato. kwa hiyo, Kituo cha kuendesha shughuli za masoko na uwekezaji tena wakati Uongozi kinaonyesha uwezo wa vyama vya mahali husika CMDT ilipofanya majaribio yake kule vijijini, na hizo kazi katika kukua kwa kiwango kizuri na kuingia katika tara- zake mpya zikavihitaji vijiingize katika mwelekeo mpya, tibu za shughuli zitakiwazo ili kujitegemea kwa mambo vikue katika mfumo mpya wa uwajibikaji na mafunzo ya ya fedha. Pia kinadhihirisha hatua muhimu isiyosahau- hali ya juu kuliko mambo yalivyokuwa katika vile vikundi lika na fursa kwa ajili ya vile vyama vilivyo katika rusu ya vya kijadi vya jando na unyago tu. pili ambayo kwayo vinaweza kutoa msaada wa kitaalamu Kwa namna fulani, kushindwa, mafanikio na juhudi za kwa shughuli mpya za kijamii ya raia. Mbegu zilizopadwa uanzilishi wa SYCOV zinawakilisha “rusu ya pili” tu ya na uhamishaji wa kweli wa rasilimali na jukumu la kisoko kampeni ya ukuzaji wa uwezo na uongezekaji wa na kupelekwa kwenye vyombo vya vijiji sasa zimeanza uwezeshwaji wa vyama vya vijijini ambayo ilianza tangu kuzaa matunda ya aina mbalimbali. kuanzishwa mfumo mpya wa soko la pamba miaka kadhaa iliyopita, na kuchochewa na uhamasishaji wa mifumo ya kijamii iliyopo. Na pia wakati huohuo vyama hivi vimesaidia kuchochea kuanzisha jitihada nyingine. Njia Asilia za Uponyaji wa Watoto Walioathirika na Vita Barani Afrika Makala hii iliandikwa na Edward C. Green, Ph.D, na Alcinda Honwana, Ph.D. Waandishi hawa wangependa kushukuru mashirika ya The Chiristian Childrens Fund, Save the Children (USA), the Children and War Project na The Dispalaced Children and Orphans Fund, USAID, kwa kutumia baadhi ya taarifa kutoka katika programu zao. Tungependa kumshukuru pia Mike Wessells kwa maoni na mapendekezo yake yenye manufaa. Kwa mawasiliano Edward C. Green anaweza kupatikana kwa baruapepe ifuatayo: egreendc@aol.com Alcinda Honwana anaweza kupatikana kwa baruapepe: honwana@beattie.uct.ac.za Watoto katika nchi zilizoathiriwa na ni, kama vile katika kukatiza ghafla vita katika Afrika na kwingineko hisia na uepaji wa mazingira ambayo mara nyingi ni waathirika wa ma- huweza kukumbusha matukio ya ku- chafuko wa moja kwa moja au wasio- tia viwewe; paramo la usingizi, kusudiwa, na/au pia ni mashahidi wa kushindwa kutuliza akili, “kuona mambo ya aina mbalimbali ya ku- maluweluwe” kama vile majinamizi tisha yanayohusiana na vita. Watoto na makumbusho ya ghalfa; uchovu wadogo wenye umri wa miaka saba wa akili, kuchanganyikiwa, hofu, Tini za MA 10 au minane huandikishwa kwa nguvu tabia za shari, kujitenga na kijamii, Julai 1999 katika jeshi na hulishwa kasumba na ukataji tamaa kuhusu maisha kama askari wadogo au wapagazi ka- yajayo, na uchangamfu wa kupindu- tika nchi kadhaa za Kiafrika. Wasi- kia kama idhihirishwavyo hata kati- chana kwa wavulana mara nyingi ka lengo la kutahadhari; kiasi cha huteseka, baadhi yao hulazimishwa kupindukia na pia kujibu kwa kutu- kufanya ngono au kutoa huduma ya mia mwitiko mkubwa wa ghalfa wa aina nyingine katika umri mdogo. matukio kuliko kiasi kilichota- Katika mfumo wa migogoro ambamo zamiwa. utishaji wa raia umekuwa njia ya ka- Katika miaka ya karibuni, mashi- waida ya kupata malengo ya kisiasa rika ya UNICEF, USAID na asasi bi- au ya kijeshi, wanawake na watoto nafsi nyinginezo, asasi ya hiari kama hulengwa kwa makusudi mazima vile “Save the Children” na Chris- kupata mateso au vifo. Hivi sasa tian Children’s Fund” yameanzisha ulimwenguni wapo watoto wasio- aina mbalimbali za programu zijiita- pungua millioni moja waliotengwa zo saikojamii ili kuwasaidia watoto na wazazi wao kwa sababu ya vita na walioathiriwa na vita. Hata hivyo, yapo maelfu mengi kadhaa ya watoto mbinu za tiba kwa ajili ya watoto wa- walioumizwa kiakili au kisaikolojia lioathirika na vita bado zingali kutokana na vitendo vya vita. Kwa katika hatua za mwanzo tu zina- mujibu wa kitambulisho kitolewacho zoendelea kukuza. Haijulikani ni na Saikatria ya Kimagharibi watoto kwa kiwango gani mbinu za tiba ya waathirika wa aina hii mara nyingi Kisaikolojia za Kimagharibi kuhusu huonyesha dalili za vurugu za mfa- PTSD—ambazo zilianzishwa kwan- dhaiko baada ya kupata kiwewe za ili kutibia Wamarekani wapiganaji (PTSD). Dalili dhahili za PTSD na wa vita ya Vietnam—zingeweza ku- vitendo vya mfadhaiko unaohusish- faa na kutibu kweli watoto wa Afrika wa ni pamoja na: uepaji/purukusha- na maeneo mengine ambayo haya- 101 102 Tini za MA 10 jaendelea sana. Mojawapo ya mambo yanayoigusa PTSD Utafiti miongoni mwa makabila mbalimbali uliofanywa ni ile dhana ya vurugu za mfadhaiko baada ya kuwewe- nchini Msumbiji na Angola unaonyesha kuwa muwewe- seka. Katika mazingira haya, ni tatizo kuzungumzia mfa- seko wa akili unaohusiana na vita unahusishwa moja kwa dhaiko kama jambo la baada (post) iwapo mtu anaelewa moja na nguvu pamoja na hasira za mizimu ya watu kuwa dhana ya vurugu ni pana kuliko tu kuwa katika waliokufa. Kule kushindikana kufanyiwa mazishi matukio ya vita (mashambulizi ya kijeshi; mabomu ya yastahiliyo katika nyakati za vita hakuruhusu mizimu hii ardhini, n.k) na kuzingatia pia kuwa maeneo mengine ya kuhifadhiwa mahali pao katika dunia ya wahenga, kwa maisha kama vile umaskini, njaa, ukimbizi wa ndani na hiyo hudhaniwa kwamba mizimu huona uchungu na ina mengine kama hayo. Jambo lingine linaloigusa PTSD nguvu zenye uwezo wa kuwadhuru wauaji wao na wapita linahusu mbinu zake za tiba zinazojikita kwa mgonjwa njia. Uchafuzi wa jamii huweza kuzuka kutokana na jamii mmoja binafsi. Mtazamo wa namna hiyo hudharau imani kugusana pamoja na kifo na umwagaji wa damu. Watu za wenyeji katika nafasi ambayo mizimu shupavu ya ambao wamekuwa vitani; walioua au waliokuwa karibu wahenga huweza kuwa na nguvu ya ajabu katika kusa- na kushudia mauaji husadikiwa kuwa wao pia huweza babisha na kuponyesha huzuni na mfadhaiko. Kadhalika kuwa wachafuaji wamtengamao wa jamii. Hivyo matam- mtazamo huo unadharau kuhusika kwa familia na jamii biko ya kusafisha na kutakatishwa ni ya muhimu ili na mchango wao hai katika mchakato wa uponyaji huo. waweze kupokelewa tena katika jumuia. Wakati katika proramu za awali za watoto walioathi- Mnamo mwaka 1994, wakati wa mradi wa kwanza riwa na vita nchini Msumbiji na Angola viongozi wa nchini Angola uliokuwa mahususi kwa kuwasaidia watoto jumuia, waganga wa jadi na familia walionyesha hazina walioweseseshwa na vita, iligundulika kwamba watoto kubwa ya maarifa ya namna ya kutibu majeraha ya jamii walikuwa tayari wakisaidiwa kwa matibabu asilia ya ya vita katika watoto na watu wazima walioathiriwa na kiakili yaliyokuwa yakitolewa na waganga wa jadi katika vita. Kusema kweli vurugu kama hizo zinaweza kutibika hali ya shughuli za mila za utakaso. Matibabu haya kabisa na waganga wa jadi, kutokana na kuelewa kijadi yalikuwa yakitolewa kadhalika kwa waliowahi kuwa jinsi vita inavyoathiri akili na tabia za watu binafsi, na wapiganaji na watoto ambao ama walikuwa wameshiriki kwa imani za pamoja kuhusu jinsi nguvu za kiroho au kushuhudia umwagaji wa damu. Ule mradi wa kwanza zinavyoingia katika taratibu hizo. Wakati wa utekelezaji wa Watoto na Vita (Children and War Project) nchini wa programu hizi, watu walisema hawakuhitaji msaada Msumbiji ulikuwa umegundua kuwepo matibabu kama wowote kushughulikia matatizo ya watoto, ya akili au hayo kwa ajili ya watoto. Katika nchi zote mbili, tiba hizi tabia maalumuu zilizojitokeza. Walichohitaji, kama wa- zilielekea kufaa, angalau kwa kipindi kifupi. Uponyaji wa livyosema, ulikuwa ni msaada wa kuwapata watu walio- jadi kwa watoto walioathriwa na vita nchini Angola na kuwa wakikosekana katika familia na katika kuanzisha Msumbiji inaelekea unazingatia hasa matambiko ya shule, shule za awali, kuanzisha fursa za ajira kwa vijana, kusafisha na kutakasa, huhudhuriwa na watu wa familia na kuweka mazingira imara na mwafaka ya kijamii ya na wanajumuia na watoto hupewa dawa ya kuharisha na kuweza kufanyia kazi. hutakaswa “uchafu” wote wa vita na vifo, kadhalika na Upo ushahidi tosha kutoka kote Afrika ya kwamba uchafu wa dhambi, hatia na mizimu ya kulipiza kisasi ya matatizo ya kuchanganyikiwa na kurukwa akili ni wale waliouliwa na askari watoto. Shughuli hizi miongoni mwa magonjwa ambayo, mara chache sana hushehenezwa na mila za matambiko na ishara ambazo dawa za kisasa au msaada wa tiba za Kimagharibi ufafanuzi wake hubainika vema katika kundi maalumuu hutafutwa ili kuyatibu. Kwa jumla Waafrika hukimbilia linalozungumza lugha ya kabila husika, lakini ambayo aina za tiba za asilia katika matibabu ya maradhi ya akili. dhamira yake ya juma hujulikana kwa makabila yote. Tafiti thabiti kuhusu uwiano wa ubora wa aina mbalimbali za tiba za Magharibi za maradhi ya akili kwa Siku ile alipofika, ndugu zake walimpeleka mpaka hakika zinaonyesha kwamba takriban tiba zote, kwa kwenye ndumba (nyumba ya mizimu). Humo alikabi- namna fulani, humsadia mgonjwa na kwamba zote zinao dhiwa kwa mizimu ya familia. Babu wa mvulana yule uwezo wa kutibu zinapokuwa zimehusishwa na mazingi- aliiambia mizimu akiiarifu kwamba mjukuu wake ra mahususi ya jamii na utamaduni. Hii inaweza kuon- alikuwa amerudi na akaishukuru mizimu kwa ulinzi yesha kwamba kama waganga wa akili, waganga asilia wa wao kwa vile mjukuu wake aliweza kurudi mzima … Kiafrika wanaweza angalau kuwa wenye manufaa kama Baada ya siku chache roho mpatanishi alikaribiswa na walivyo madaktari bingwa wa kisasa, hasa wawapo kati familia ili kuwasaidia kuendesha shughuli za tambiko ya watu wanaochangia nao utamaduni. la kumsafisha yule mvulana. Mtambikaji alimpeleka yule mvulana kichakani, na huko kijumba kidogo 103 kilichoezekwa kwa nyasi kavu kilijengwa. Yule ya vita “kusahau” (zingatia uashiriaji wa kuzuiwa kutota- mvulana, akiwa amevaa nguo chafu alizokuwa zama nyuma, katika mfano wa Uige). Miiko ya vyakula na amekuja nazo kutoka kambi ya RENAMO aliingia vizuizi vya mila nyingine pia hutumika. Mathalani katika kibandani akavua nguo zote. Kisha kibanda vyakula, samaki na kuku lazima viepukwe na mtu aliye- kiliunguzwa moto, na nduguye mtu mzima mmoja, takaswa kwa muda wa mwezi 1 hadi 2, na baada ya hapo akamsadia kumwokoa. Kile kibanda, nguo na kila kitu mtu huyo lazima atambulishwe tena kwenye vyakula kinginecho alichokuwa ameleta yule mvulana kutoka hivyo na mponyaji wa jadi aliyeendesha shughuli ile. kambini ilibidi kiunguzwe. Kuku alitolewa kafara kwa Mila ya Okupiolissa ya Huila nchini Angola hudhihi- ajili ya mizimu ya watu waliokufa na damu risha waziwazi ushiriki mkubwa sana wa jumuia katika ilinyunyiziwa kuzunguka mahali pale pa tambiko. mila hizi, na husisitiza wazo la utakasaji kutokana na Baada ya hapo yule mvulana alipaswa avute moshi wa “takataka”. dawa za mitishamba fulani, na kuoga kwa maji Jumuia na watu wa familia kwa kawaida husisimka na yaliyokuwa yametiwa dawa (Kutoka Tini za Ugani, kufurahi mtu anaporudi nyumbani. Wanawake hujiandaa Msumbiji). kwa ajili ya sherehe ya kusalimiana naye (…). Sehemu ya unga unaotumika kupaka mapaji ya nyuso za wanawake Tambiko hili la uponyaji hujumuisha kwa pamoja hutupiwa mtoto na mwanamke, bibi anayeheshimiwa mfululizo wa maana na maashirio vinavyokusudiwa kum- pale kijijini, humtupia miguuni yule mtoto kibuyu wezesha mvulana yule kukata uhusiano na mambo yote kilichojaa majivu. Wakati huohuo maji safi hurushwa juu yaliyopita (yaani vita). Wakati desturi za tiba za kisasa za yake kama njia ya utakaso (…) wanawake wa kijijini magonjwa ya akili husisistizia katika utamkaji kwa sauti hucheza wakimzunguka yule mtoto huku wakiashiria kuhusu mateso au huzuni, hapa katika tiba ya asilia, kwa kwa mikono na viganja vyao hufukuza pepo wasiotakiwa kutumia maana za kiishara mambo yaliyopita hufungiwa au athari zake (…) kila mmoja humgusa kwa mikono yote na kusahauliwa. Hii inajidhihirisha katika uchomaji wa miwili tangu kichwani mpaka miguuni ili kumtakasa kibanda na nguo na usafishwaji wa mwili. Kuzungumzia maovu yote. Ngoma hii huitwa: Ululando-w-w-w. Mila hii na kukumbuka yaliyopita si lazima kuonekane kama inapokwisha, yule mtoto hupelekwa kijijini kwake na utangulizi wa uponyaji au upunguaji wa maumivu. Kwa kijiji husherehekea kurejea kwake. Tafrija maalumuu hakika mara nyingi huaminika kuwa kunafungua nafasi huandaliwa nyumbani kwao ambako vinywaji vya Jadi tu ili nguvu zenye uovu ziweze kujiingiza. Hii pia inajidhihi- (…). Mtoto huyo hana budi akabidhiwe rasmi na wazazi risha katika mfano ufuatao kutoka Uige (nchini Angola). wake, kwa machifu wa pale kijijini, anywe na kuzungum- Mtoto au kijana anaporudi nyumbani, hufanywa za nao na kitendo hiki huashiria kubadilika kwa hadhi asubiri viungani mwa kijiji. Bibi kikongwe kabisa katika yake pale kijijini. kijiji kile humtupia unga wa mahindi yule mvulana na Mila hizi za kusafishwa na kutakaswa ambazo huhusu humzungushia kuku mwili mzima. Ataweza tu kuingia askari watoto zina sura ya dhana ambayo wanaanthropo- kijijini baada ya mila hii kufanyika. Baada ya mila hii, lojia huiita ibada za mpito. Yaani mtoto hupitia katika huruhusiwa kuisalimia familia yake pale kijijini. Mara mabadiliko ya hadhi kiishara kutoka kuwa mtu ambaye salamu ikiisha, lazima amuue kuku, ambaye hupikwa na alikuwa akiishi katika vitendo vilivyokiuka taratibu za kuliwa na familia yake. Kwa siku nane za kwanza baada heshima au vilivyoasi taratibu (yaani kuua, vita) na kuwa ya kuwasili kwake, haruhusiwi kulala kitandani kwake, mtu ambaye sasa anapaswa kuishi katika mazingira ya bali hulala kwenye mkeka tu sakafuni. Wakati huo, taratibu za tabia ya utulivu na za jamii, na kuzifuata. hupelekwa mtoni na humwagiwa maji kichwani kwake na Katika mfano uliotolewa wa Huila, mtoto aliyetakasika hupewa mhogo kutafuna. Na aondokapo kutoka kwenye hupata hadhi mpya inayomwezesha kukaa kando ya sehemu ya tambiko, hapaswi kutazama nyuma. machifu na kuzungumza nao. Mpaka pale kipindi hiki cha Mfano huu unasisitizia kule kutochangamana na mpito kinapokuwa kimekamilishwa (kwa kufanya familia na marafiki kabla ya tambiko la kutakaswa. Yule tambiko) mtoto yule bado hutazamwa kuwa yuko katika mtoto huwekwa nje ya kijiji mpaka tambiko lifanyke, na hali ya hatari, ya ukingoni “miongoni na baina ya” ma- hawezi kusalimia watu au kulala kitandani kwake mpaka suala yaliyobananishwa na hali ya utata. Kwa sababu hii, taratibu za tambiko ziishe. Kama ilivyosemwa awali, mtoto hawezi kurudi katika familia yake au kibanda cha- ingawa watoto wanaweza kuulizwa kuhusu mambo ya ke, wala kulala kitandani kwake na pengine hata kuingia vita kama sehemu ya tiba, hili silo jambo la msingi kwa kijijini mwake, mpaka pale mila itakapokuwa ime- uponyaji: shughuli zinalenga kumsafisha kiishara yule kamilishwa. mtoto aliyechafuka na kumfanya asahau kabisa mambo 104 Tini za MA 10 Dalili zenye kujitokeza zihusianazo na PTSD na Kwa hiyo, mtazamo wa mashirika ya misaada, AZISE vurugu nyinginezo za mifadhaiko husemekana na asasi nyingine zinazohusika na utoaji misaada ya zinaondoka mara baada ya shughuli hizi ambazo baadaye binadamu kwa ajili ya watoto walioathiriwa na vita zina- familia, waponyaji asili na machifu wa pale huelekeza ili paswa pia kuzingatia uelewa wa mahali kuhusu miwewe- kusaidia kurudisha uhusiano wa kudumu, wa kuaminika seko ya vita na mbinu asilia za namna ya kuishughulikia. baina ya yule mtoto mwenye miweweseko na watu wa Wafadhili wanapaswa kulenga kukuza mazingira imara, familia yake na watu wazima wenye mwenendo mwema salama na yanayoeleweka kitamaduni ambamo watoto kwa jumla. Vitendo hivi vya kuingiza mila vinakusudiwa wanaweza kuwa na hisia za kupata ustadi na usalama pia kuanzisha upya upatanisho wa kiroho, hasa ule baina katika dunia yenye mipango inayobashirika kwa kuhi- ya yule mtoto na mizimu ya wahenga. Kurejeshwa tena miza moyo wa kujitegemea, kwa kupitia miradi ya kwa uhusiano wa kawaida na shughuli na watoto wengine maendeleo ya jamii inayoaminika na kwa kukaa na kunaweza kusiwe sehemu—au sehemu kuu—ya mila hizi familia zao au familia zinazofaa, za walezi kama itabidi. za uponyaji asilia. Lakini waponyaji, wazee wa kijijini, Mradi wa Mfuko wa Kikristo wa Watoto nchini Angola walimu na waangalizi wengine wa watoto huelewa mara unajaribu kujenga tiba kwa kutumia msingi wa desturi moja wazo hili linapoletwa katika semina za mafunzo zilizopo na uimara wake katika shughuli zake, na kwa zilizofadhiliwa na mradi, katika nchi zote Angola na kuoanisha haya na muingiliano ya kijamii akili kama ile Msumbiji. Tiba ya michezo, kuchora, drama, ngoma na iliyoelezwa. Tathmini ya mradi huu na ule wa mwanzo wa kusimulia hadithi ni kati ya mbinu zinazowasilishwa “Watoto na Vita” wa nchini Msumbiji zimeonyesha katika semina hizi. kwamba uhusiano huu usio rasmi kati ya waponyaji na Hapana shaka yoyote kwamba mila hizi ni muhimu tiba zao zenye mila, na programu za misaada ya sana katika kujenga mwambatano wa familia na wafadhili; inayosisitizia marekebisho ya mtoto katika mshikamano wake, na katika kushughulikia masuala ya familia na jamii inaweza kuonyesha mfano jinsi mikabala maradhi ya akili jamii na upande wa matatizo ya hisia za ya kiasilia na ya kisayansi ya Magharibi inavyoweza kutu- watoto hawa. Lakini hata hivyo, ukweli ni kwamba, mika pamoja ili kufikia kiwango cha juu cha manufaa watoto hawa hurejea katika maeneo ya vijijini yaliyo kwa watoto wenye mahitaji. Zaidi ya hayo mfumo kama maskani yanayopambana kupata hata mahitaji ya msingi huo wa ushirikiano na kugawana majukumu husaidia ili kuweza kuishi na mengi ya mazingira haya yakiwa kuthamini uponyaji asilia na imani zake, ambazo huwatia hayana shule, hospitali, hakuna mafunzo au fursa za ajira watu wa pale nguvu na kuwahamasisha na ambao ambazo zingewawezesha kuona fursa za maisha bora hatimaye, huhitaji sana kupata majibu endelevu na zaidi kwa siku za usoni. Hivyo ingawa mila hizi ni yanayokubaliana na utamaduni ili waweze kujisaidia. muhimu lakini zinatakiwa zisaidiwe na programu za maendeoleo ya jamii ili kuendeleza matokeo mazuri yali- yopatikana katika maeneo ya akili jamii na hisia ambayo hayawezi kutenganishwa na mazingira mengine halisi. Elimu na Ujuzi wa Kusoma na Kuandika Kurani huko Afrika Magharibi Makala hii imeandikwa kutokana na utafiti ulifanywa na watafiti wenyeji kwa msaada na usimamizi wa kitaalamu wa Peter Easton, Profesa Mshiriki, Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, na kwa ushirikiano hai wa jumuia husika za Kiafrika. Utafiti huu ulifanywa kwa ufadhili wa pamoja wa Klabu ya Saheli/OECD, CILSS na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA). Je, ni stadi gani za kitendaji na za jua kusoma Kiarabu kama washauri ujuzi wa kusoma na kuandika amba- wao. zo wanafunzi huzipata katika viwa- Biashara ya kuvuka jangwa la ngo mbalimbali katika shule za Kura- Sahara ilishamiri sana katika enzi ni za Afrika Magharibi? Je ni matu- kabla ya ukoloni na ilisaidia kukuza mizi yapi mbalimbali ya kila siku bidhaa kwa kiwango cha kutosha ambayo hutumia maarifa hayo na ni kutokana na kubadilishana bidhaa mitandao ipi hutumika katika ku- baina ya Bara la Afrika na Bara la Tini za MA 11 yaendeleza na kuyatumia? Elimu ya Ulaya kati ya karne ya 11 na karne Agosti 1999 Kurani katika namna zake mbalim- ya 16—ndiyo kusema, mpaka kuwa- bali kwa muda mrefu imekuwa haina sili kwa vyombo vya majini vya mfumo ulio bega kwa bega na mfumo Ulaya katika pwani ya Afrika Ma- wa elimu katika bara zima la Afrika, gharibi na taasisi iliyosimamia bia- mfumo ambao ingawa umetumika shara ya utumwa ya kuwavusha kwa karne nyingi lakini bado haujuli- Bahari ya Atlantiki na ule mfumo wa kani sana kwa wapangaji wa maende- Biashara ya Pembetatu baina ya leo na hivyo mara chache sana hu- Afrika, Ulaya na Dunia Mpya amba- zingatiwa na kuelezwa waziwazi kati- ko mfumo huo ulineemesha sana ka sera na mikakati yao. uchumi wake. Uti wa mgongo wa Uislamu una historia ndefu Afrika biashara ya kuvuka jangwa la Sahara Magharibi na mifumo ya elimu ya kimsingi ulihusisha mitandao ya miji Kiislamu, kwa hakika, imetumika iliyokuwa imeanzishwa maalumuu huko kwa muda mrefu zaidi kuliko katika njia za misafara na wafanya- ile ya Kimagharibi. Imani ya Kiisla- biashara wazungukaji kutoka Afrika mu kwanza ilienea kutoka Afrika Kaskazini, ambao baadaye waliweka Kaskazini na kuwasili huko katika maskani au walirithiwa na makundi karne ya 7. Kufikia karne ya 10, ju- ya wenyeji katika shughuli hizo. muia za wafanyabiashara wa Kiisla- Mapato ya biashara hii yaligharamia mu na wasomi zilikwisha kuanzish- mahitaji yaliyotakiwa kujenga dola. wa katika vituo kadhaa vya kibiasha- ra vya Sahara Magharibi na ukanda wa Saheli. Hadi karne ya 11 na 12, Utaratibu wa mfumo uliodidimizwa watawala wa falme kama Takrur, Mfumo wa elimu ya Kiislamu katika Ghana ya Kale na Gao walikuwa Afrika Magharibi nzima una safu wamesilimishwa na walikuwa wame- nyingi ingawa muundo wake ni wateua Waislamu waliokuwa waki- 105 106 Tini za MA 11 legevu ukilinganishwa na ule wa Magharibi. Zaidi ya Thamani badilifu, mweneo mpana hayo, kwa sasa unahusisha njia yake ya jadi (yaani mpangilio wa Kurani kama ulivyo), shule rasmi au ya Licha ya mielekeo hii katika mfanano unaolingana kwa kisasa (shule za Kifaransa-Kiarabu ambazo wakati fulani msingi wa ndani wa utamaduni wa dini na mtazamo wa huitwa médersa), na elimu ya kiwango cha kati chenye msingi namna na thamani ya mafundisho katika shule za mchanganyiko wa elimuasilia na ya sasa ambazo mara Kurani na mfumo wa Kiislamu kwa jumla hutofautiana nyingi huitwa mafunzo ya Kurani yaliyoboreshwa. vya kutosha kutoka eneo moja hadi jingine. Katika Kwenye msingi wa mtandao wa jadi wa mafunzo ya maeneo ambako Uislamu unazingatiwa sana, idadi Kiislamu kuna shule ziitwazo shule za maktabor ya kubwa ya watoto husoma katika shule za Kurani. Kurani, ambazo ndicho kiwango cha msingi ambapo Kimsingi watoto hujifunza kwa kukariri maandiko watoto huanzia wakiwa na umri kati ya miaka 3 hivi na matakatifu. Idadi ya wanafunzi wavulana huzidi ile ya 10. Hujifunza Kurani na kujua wajibu wa msingi wa wasichana, lakini mara nyingi katika uwiano usiozidi 3:2 maisha ya Kiislamu. Kisha baada ya hapo huja “madris” au 2:1 katika hatua za mwanzo. Katika maeneo machache au shule za sekondari ambako wale waliokariri vizuri na kama vile lile la Futa Jalon la Guinea viwango vya kuweza kuandika vipande vikubwa (angalau) vya Kurani, uandikishwaji karibu vinalingana kwa kila jinsia. huendelea ili kujifunza kile kinachoitwa sayansi ya Undani wa mafundisho ya Kiislamu katika maeneo Kiislamu, (ilm), pamoja na desturi zilizoandikwa za dini haya hutofautiana sana, lakini kwa jumla idadi kubwa ya hii na aina nyingi za mambo mengi ya mahubiri. wanafunzi wa kiume huvuka ngazi ya masomo ya mwan- Wanafunzi wachache huchaguliwa kuendelea baada ya zo ya Kurani na huingia ngazi fulani ya mafunzo ya juu. kiwango hiki na huingia kiwango cha juu ama kuwa Kwa kuwa kujua ama Kiarabu cha kisasa au cha kale marabu (marabouts) au maimamu mashuhuri wa maeneo zaidi, mbali ya kile cha maandiko ya Kurani yenyewe, ni au katika vyuo vikuu vya Kiislamu vya Afrika Kaskazini nadra sana (isipokuwa miongoni mwa wale waliosomea na nchi nyingine za Kiislamu. katika nchi zinazozungumza Kiarabu), kiwango cha juu Angalau katika hali ya hatua za mwanzo—inavyowa- sana cha ujuzi wa kusoma na kuandika Kiarabu kwa kilishwa na shule za Kurani za mahali husika—usomaji vitendo—yaani, uwezo wa kukisoma na kukiandika wa Kiislamu umeenea katika Afrika Magharibi nzima. katika mawasiliano, kuweka kumbukumbu na kuwasilia- Idadi kubwa ya shule za aina hii katika nchi ya Niger na kwa maandishi kwa jumla—huonekana mara nyingi peke yake mnamo mwaka 1990 ilikuwa 40,000. Aina hii katika maeneo kama nyanda za juu za Guinea, Sine ya elimu kwa hakika hujenga mbadala wa elimu na (wa Saloum la Senegali na maeneo yazungumzayo Kihausa mawazo ya elimu rasmi na ya Kimagharibi) hazina kubwa nchini Niger, ambako kuna mtindo uliokomaa wa kuan- ya maarifa iliyofichika, mgongano wa utamaduni ambao dika lugha za Kiafrika kwa hati ya Kiarabu (uitwao ajami mara hupishana au kuchanganywa na ule rasmi, inga- kama ilivyo katika Kihausa na Kifulani). Nchini Guinea, waje katika nchi nyingi za Afrika taasisi msingi za mfumo asilimia 93 ya sampuli ya wahitimu 77 wa Kurani ule—maktab—hazithaminiwi kabisa kama shule. Lakini wanaume waliohojiwa, walidai wanajua kusoma na kuan- hata hivyo, wanafunzi wa Kurani, walimu na waumini dika ajami. Nchini Senegali kati ya asilimia 25 na 75 ya kwa jumla katika eneo zima wanafahamu sana historia watu wazima wanaume katika vijiji vilivyotembelewa na ndefu ya imani hii katika Afrika Magharibi na wengi wa kati ya asimilia 10 na 25 ya wanawake walidai wanacho wasomi wake maarufu sana na walimu, baadhi yao waki- kiwango hicho cha ujuzi pia. Katika hali zote hizo, uwiano wa wenye madaraka makubwa ya kisiasa na kiuchumi, huo ulikuwa zaidi, kama siyo maradufu zaidi, ya kile hasa katika kanda za eneo la Saheli. Wale ambao kwa kiwango cha kujua kusoma na kuandika Kifaransa katika miaka mingi walijihusisha katika biashara ya mazao ya maeneo hayohayo ya jumuia za vijijini. kibiashara katika nchi za Niger, Mali na Senegali, kwa Kwa upande mwingine, ni asilimia 26 tu ya sampuli ya mfano, wameanzisha mitandao ya mitaji ya biashara Guinea ya wanafunzi waliohitimu Kurani waliosema kubwa yenye matawi katika maeneo ya mijini na viwan- wanajua kuhesabu ukilinganisha na asilimia 93 ya dani na inayozidi kuongezeka huko ng’ambo. Mambo yote waliojiona wanaweza kuandika ajami. Hata hivyo, wengi haya kwa kiwango cha kutosha yanaimarisha mvuto kwa wa marabu wa Kiislamu na maimamu wanaelekea kuwa aina mbalimbali za elimu ya Kurani kama malango ya walipata stadi za kujua kuhesabu kwa njia moja au kuingia katika mfumo mbadala na wakati mwingine nyingine, ambazo zinasaidia kuelewa mlolongo wa namna wenye ustawi zaidi wa kiuchumi na kisiasa. Kwa kifupi, wanavyotekeleza majukumu ya uhasibu katika masuala kuna mfumo imara wa kuhusisha mataifa unaoendelea. ya jumuia. 107 Wakati mafundisho ya ufundi sio kipengele kilicho wazi Hitimisho: Njia mbadala za maarifa katika mitalaa ya elimu ya Kurani, wanafunzi wengi wanaoendelea baada ya kile kiwango cha mwanzo kabisa, Matokeo ya mambo haya ni kwamba mafunzo ya msingi huishia katika kufanya kazi kama wanagenzi fulani ama ya Kiislamu—ya ile aina inayotolewa katika shule za kwa marabu wa Kiislamu au kwa fundi stadi au Korani za mahali husika—zina pande kuu tatu za mfanyabiashara mshiriki, ikiwa tu atamsaidia kwa ajili ya matumizi ya vitendo na matokeo yafuatayo kwa Afrika kulipia matunzo basi kwa ada ya masomo yake. Elimu ya Magharibi hivi leo: Kurani hupenda kuhusisha kipengele cha vitendo kilicho • Mafunzo yanao utangulizi wa teknolojia ya kuandika, ndani ya jumuia ingawa ni mara chache huweza na kwa kiasi kidogo, ujuzi wa kuhesabu, kwa idadi kiasi kutambuliwa kama mafunzo hasa, ya ufundi; na wana- ya watu, wanaume kwa wanawake, ambao vinginevyo funzi wa Kurani hujawa na wazo kwamba itawabidi waji- wangepata mafunzo kidogo sana au kuyakosa kabisa. tafutie riziki au wapate ufadhili wa kufaa baada ya umri Wale wanaoendelea kufikia kiwango cha kupata ufasa- fulani. Hii imesababisha mtafiti mmoja MSenegali kuse- ha katika kusoma, kuandika na kuhesabu kwa ajili ya ma, “L’école coranique forme des créateurs d’activités, matumizi ya mahitaji ya kila siku (kwa lugha fulani za alors que le systeme formel forme des demandeurs d’em- kiafrika, kama maarifa ya kutumia lugha ya kiarabu ploi.” (Shule za Kurani huandaa watengeneza ajira, chenyewe mara nyingi hukuwama zaidi) ni sehemu wakati mfumo rasmi huandaa watafuta ajira). ndogo tu ya idadi ya watu wote, ingawa katika maeneo mengine huwa kubwa kiasi. Zaidi ya hayo, ujuzi wa hati ya Kiarabu umekujwa ni kigezo katika maeneo mengi Matumizi ya mafunzo ya Kurani ya vijijini ambayo hudhaniwa, kwa kiwango kikubwa, kwamba hayajui kusoma wala kuandika kwa kutumia Matumizi ya kawaida sana ya mafunzo ya Kurani kwa vigezo vya Kimagharibi. kiwango cha mtu binafsi ni kuandika na kuwasiliana, na • Ni mafunzo vilevile kwa uongozi wa mahali, kwa kuwa lengo kuu la wanafunzi waliohitimu Kurani ni wao mafunzo ya Kiislamu hasa, kuchukuliwa kwa kawaida wenyewe kuwa marabu wa Kiislamu au maimamu kwa kama ishara ya uadilifu, uaminifu na nidhamu na hiyo sababu kuna mahitaji ya kutosha ya walimu na watoaji ni sifa kuu ya kukabidhiwa vyeo vyenye madaraka huduma za dini na za uteguzi wa matego, hasa kwa makubwa. Zaidi ya hayo, mafunzo haya wakati wote kuzingatia kwamba eneo la Afrika Magharibi ya Kiislamu yamekuwa—na hasa kwa kuzingatia kuongezeka kwa katika miaka ya karibuni limepanuka. Hata hivyo, zaidi chuki za karibuni dhidi ya mfumo rasmi wa masomo ya ya robo ya washirikishwaji wa Guinea wa utafiti huu shuleni—ni njia ya kuleta maendeleo ya kijamii na walisema kuendesha shughuli za hadhara ni matokeo ya kiuchumi kutokana na uhusiano wa karibu uliopo kati mafunzo yao ya vitendo; na mtazamo huu ndio ya mtandao wa Uislamu na ile ya biashara ya jadi unaojidhihirisha katika eneo hili zima. katika hili eneo zima. Wahitimu wa shule za Kiislamu Hata hivyo, matumizi ya pamoja na ya kijumuia sio ya wana uwezo zaidi wa kupata kazi au uanagenzi kwa nadra kutokea. Maadili ya Kiislamu, maarifa ya sheria na wafanyabiashara wa jadi na pia katika shughuli za mamlaka yametumika kama uti wa mgongo wa utawala uendeshaji soko katika sekta isiyo rasmi. wa jadi kwa karne nyingi katika eneo lote la Sahel. Kusema kweli, sehemu kubwa ya msamiati wa lugha kuu za eneo la Saheli hauhusu dini pekee bali pia ni unaohusu sheria, utawala wa mahali, diplomasia na mafunzo ya elimu ya juu umetokana au metoholewa kutoka katika Kiarabu. Mali Rasilimali za Utamaduni na Afya ya Mama na Mtoto nchini Mali Makala hii iliandikwa na Lydia Clemmons na Yaya Coulibaly Katika utamaduni ambamo mimba yake nchini Marekani ifanyayo kazi imekuwa suala la mwiko na mara za maendeleo ya jamii, ilijenga wodi chache sana lilijadiliwa katika mpya ya wazazi Wilayani Dioro, kati- kiwango cha kaya, Mradi wa Matun- ka eneo la Koila, umbali wa kilometa zo ya Mtoto wa Afrika Aliyenusurika 17 kutoka Dioro. Jumuia za Koila (Africare’s Child Survival Project) zilikuwa zimeonyesha haja ya kuwa katika Wilaya ya Dioro katika Mkoa na wodi ya wazazi kama huduma wa Segou, kusini mwa nchi ya Mali kuu na wataalamu wa afya na serika- Tini za MA 12 (1989-1998) uliongeza kwa mafani- li waliiona kama sehemu muhimu sa- Septemba 1999 kio makubwa mawasiliano na tabia na ya akinamama kwa ajili ya kuji- ya ufuatiliaji wa afya wakati wa fungulia. Kabla ya ujenzi wake, ni mimba. Lengo la jumla la mradi huo vituo vitatu tu vya afya vilivyotoa lilikuwa kupunguza viwango vya huduma katika wilaya nzima ya magonjwa na vifo miongoni mwa Dioro, yenye idadi ya watu karibu watoto na wanawake waliofikia umri 90,000. Hata hivyo, viwango vya wa kuzaa. Mkakati wa mradi ambao utumiaji wa wodi ya wazazi vilikuwa ulitumia maarifa asilia na rasilimali asilimia 20 hadi 30 tu ya kiwango ya utamaduni, unatumika sana kati- kilichopaswa kufikiwa. ka wilaya nzima ya Dioro, na ume- sambaa katika sehemu zingine za nchi, na pia umetambuliwa kima- Tusilijadili taifa. Utambulisho wa pekee ulikuwa Ili kusaidia kuelewa sababu za utu- pendelu ambayo ni nguo ya ndani ya miaji mdogo wa wodi ya uzazi, watu- jadi inayovaliwa na wanawake nchini mishi wa Mradi wa Dioro waliandaa Mali ambayo ilipakwa rangi ya kijani mradi uliozingatia kutafiti vitendo iliashiria maana mpya ya kuonyesha vya mwelekeo wa tabia ili kuchungu- ujauzito. Masuala mengine muhimu za maarifa, mitazamo na desturi ku- yalikuwa ni pamoja na: afya ya ma- husu afya ya mama (Clemmons na ma, ufuatiliaji lishe na ukuaji, udhi- Coulibaly, 1994). Utafiti huu ulilenga biti wa magonjwa ya kuhara, hudu- kubainisha masuala ya jumla kuhu- ma za kinga, huduma za mpango wa su mimba na uzazi wa mtoto katika uzazi na elimu kuhusu UKIMWI na eneo la mradi na kutambua rasili- magonjwa ya kuambukiza yatoka- mali na vikwazo vinavyohusu ubore- nayo na ngono. shaji wa afya ya mama na upatikana- Mnano mwaka 1992, Africare, asa- ji wa matunzo. si binafsi ya kujitolea yenye makao 108 109 Majadiliano ya vikundi wakilishi na mahojiano ya kina mimba zenye hatari kubwa na dalili za kuonyesha hatari yalidhihirisha baadhi ya matokeo kuwa: hiyo. Pia kunaweza kukazuia kuchukua hatua za uamuzi • Wanawake na wanaume hawakuwa wanajua tu hatari muhimu wa kugawa rasilimali za familia na kuwa na zinazohusu mimba na uzazi wa mtoto, bali pia walihofu tabia zenye manufaa kwa afya ya mama. Ingawaje matokeo yake: wanawake wa eneo la Koila walitamani huduma za afya – “Mara mwanamke apatapo mimba, huhofia afya yake ya mama, mojawapo ya sababu ambazo ziliwafanya wasi- wakati wote wa ujauzito na pia mazingira atakamoji- nufaike nayo ilikuwa kwamba hawakuweza kuanzisha fungulia” (Mshiriki katika kikundi wakilishi cha mazungumzo na kuomba idhini na msada wa kifedha kike). kutoka kwa waume zao, ambao hutazamwa kama vichwa – Kila mara mke wangu awapo mjamzito, nimekuwa vya kaya na waamuzi wa mwisho wa masuala ya kifamilia nikihofia nini kitatokea wakati wa kujifungua” katika utamaduni wa Mali. Je kwa hali hiyo ingeweze- (Mshiriki katika kikundi wakilishi cha kiume). kanaje kwa mradi kuwasiliana na jumuia hizi na kukuza • Utamaduni wa mahali hapo ulithamini nafasi waliyo uchaguzi wa tabia zenye manufaa kwa afya ya mama nayo wanaume kuwasaidia wake zao wawapo wajawa- iwapo ujauzito wenyewe lilikuwa ni suala lililosababisha zito. Wanawake na wanaume kadhalika walisema kuwa hisia za kukaa kimya, aibu na tahayari kati ya wanawake mume wa mwanamke mjamzito anapaswa kuwa na wanaume? mshauri na mlinzi mkuu wa mkewe. – Ingawa wanaume hawakuwa na taarifa za msingi ku- husu utunzaji wa wanawake wajawazito, walionyesha Tuanze kujadili ujauzito: kuchota kutoka rasilimali mvuto mkubwa kuhusu ukuaji wa mimba na wali- za utamaduni sema kuwa wanajiona wanawajibika katika kupata Waelimishaji wa afya kwa kawaida hujaribu kuwafanya matokeo salama. watu wabadilishe tabia zao kwa kutumia ushawishi wa • Mojawapo kati ya vikwazo vikubwa sana vya kita- kutoa hoja zitokanazo na mantiki au masuala ya vitendo maduni kuhusu tabia za upatikanaji wa huduma ya halisi. Kama ilivyodhihirishwa na mwitikio mdogo kwa afya ya wanawake, ambao kilikuwa ni ukosekanaji wa mikakati mingi ya afya ya TEM (Taarifa, Elimu na majadiliano kuhusu mimba katika kiwango cha kaya, Mawasiliano), mkabala huu haukuleta mafanikio ya hasa baina ya watu wa ndoa; waume kwa wake. maana. Njia za mawasilaino za jadi, zikiwa ni pamoja na Washiriki wanaume kwa wanawake walitaja aibu na hadihti, nyimbo, methali, mashairi ya kusifia na tenzi tahayari kuwa ndizo sababu ya msingi za kukosekana hutoa mbadala muhimu sana kwa ajili ya mikakati ya mawasiliano kwa mazungumzo kuhusu suala hili: TEM. Rasilimali hizi za kitamaduni hutoa njia ya moja – Kimsingi mwanamke huona aibu, tangu mwanzo kwa moja ya kuifafanua mada nyeti na masuala ya mtu kabisa, pale watu wanaomzunguka wanapomgundua binafsi kupitia amali za watu, mitazamo na motisha (Hale kuwa yu mjamzito. na Stoller, 1985; Mutasa, 1994) na zinaweza kukuza – Kwa kawaida mwanamke huona aibu, tangu mwanzo, mabadiliko ya tabia, katika viwango vya mtu binafsi na kwa watu wanaomzunguka kujua kwamba ana jamii, kwa kuvuta hisia za watu, na kwa kuwaarifu na mimba, hasa ikiwa ni mimba yake ya kwanza. kuwaelimisha. Kwa sababu hizi, katika muktadha wa – Wakati wa kipindi chote cha ujauzito, mwanamke utamaduni-jamii ulioelezwa, watumishi wa mradi atazungumzia mimba yake na mumewe kama jambo waliandaa kampeni ya afya ya mama iliyotumia njia tatu la mwisho tu na pale anapokuwa na tatizo ambalo za kijadi za mawasiliano: (i) Kifaa cha kijadi cha nguo ya yeye mwenyewe hawezi kulimaliza, liwe ni la kuhusu mwanamke; (ii) Mgrioti mmoja; na. (iii) Wimbo. kitu halisi, la kifedha au linahusu afya. – Mwanaume angeweza kujadili [mimba] na matatizo mengine yahusuyo ngono na rafiki yake au mtu Pendelu ya kijani mwingine kuliko na mkewe. Kipande kidogo cha nguo (pendelu kwa Kibambara) ni Watu wa ndoa waume na wake hawakutahayari tu kitambaa kifupi cha nguo ya ndani kinachofanana na kujadili mimba baina yao, bali pia wanawake kwa nusu mkaja ambacho huvaliwa na wanawake ndani ya wanawake, wakiwa na mama wakwe zao, wake wenza na nguo. Kulingana na kanuni za mila ya jamii, ni wanawake marafiki. Kwa hiyo kukosekana kwa majadiliano katika walioolewa tu ndio huvaa pendelu, kwa sababu licha ya kiwango cha kaya juu ya mimba kunaweza kuziba kuwa nguo iliyobana kwenye mwili, hutumika kwa kupeana taarifa baina ya watu wa familia moja kuhusu wanandoa kufutia majimaji yanayotokea baada ya tendo 110 Tini za MA 12 la ndoa. Ingawaje hutazamwa kama nguo ya ashiki (kama Rangi ya kijani hasa huonyesha asili au mahali penye vile ambavyo vazi jeusi la kulalia (negligee) lichukuli- ukuaji.” wavyo nchini Marekani) pendelu ambayo kijadi hutenge- nezwa kwa pamba nyeupe ina umuhimu wa ndani zaidi wa kitamaduni. Hutazamwa kama ishara ya majukumu, Magrioti wajibu na upendeleo wa ndoa na hufasiliwa kama ishara Magrioti ni malenga ambao dhima yao ya jadi katika bila maneno au fununu ya kutolea ujumbe mahususi wa utamaduni wa Mali ni mchanganyiko wa msimulizi wa kijinsia wa mitazamo baina ya waume na wake. Mke historia, mwimbaji wa nyimbo za kusifu na msuluhishi anapojifunga pendelu kiunoni hisia zinazoandamana na wa jamii. Bakary Koita ni grioti ambaye ameishi Dioro- uvaaji wa vazi hili la jadi hutanda tangu kuonyesha hali ville maisha yake yote na anajulikana vema katika Wilaya ya kujipambanua kuwa yeye ni mwanamke na mwenye ya Dioro. Ni mmoja kati ya wanafamilia ya magrioti mvuto wa pekee hadi kuonyesha hisia za kujiamini na maarufu nchini Mali na alipata ujuzi wake kutoka kwa kwamba anadhibiti hali ambayo ameianzisha. Mwanam- baba yake. Akiwa na gitaa lake la jadi anaweza, kwa ke atavaa pendelu mbele ya mumewe katika chumba cha urahisi, kuimba nyimbo za kusifu, kutamba hadithi na kulala, kwa uangalifu lakini kwa kuvutia, kwa sababu kuimba nyimbo mpya anazotunga yeye mwenyewe. huivaa ili kunasa makini ya mume, kuamsha ashiki yake Uamuzi wa kuhitaji huduma za Koita kwa ajili ya na ili kuamsha hamu inayovuka himaya ya ngono peke kampeni ya afya ya mama ulifikiwa kutokana na kutam- yake. Na mume amwonapo mkewe amevaa pendelu, bua umuhimu wa dhima ya magrioti katika jamii ya Mali. hukumbushwa si dhima yake tu kama mwenza katika Magrioti wametambulikana kama wanasaikolojia wa tendo la ndoa, bali pia kama mshauri, mlinzi na mtu jamii, wasuluhishi/wapatanishi, wanahistoria, wasanii, anayepaswa kumkimu mkewe. Kule kuona mkewe wanadiplomasia, wamiliki wa uwezo usio wa kawaida, amevaa pendelu humfanya mwanaume ajisikie rijali, wahifadhi wa utamaduni, waelimishaji na waburudishaji. mwenye nguvu, anayejali na kuwajibika. Wanawake Katika historia nzima, Magrioti wamekuwa daima wanasema ya kwamba ndipo hapo katika undani wa siri wakionyesha uwezo wao kama vichochezi vya jamii kwa ya chumba cha kulala, huku pendelu ikiwa imefungwa kutumia nguvu ya maneno ili kuteka na kufinyanga tabia kwa uchokozi kiunono au ikiwa kando, basi wake huweza za watu kwa kupitia hisia zao (Conrad na Frank; Hale na kusema yote waliyo nayo na kutoa maombi yao maalu- Stoller; Finnegan; Johnson; Okpewho; Peek; Sienaert na muu, nao waume huwa katika hali nzuri ya kuwasikiliza. Cowper-Lewis). Pendelu ingawa ni ishara ndogo lakini yenye nguvu, hati- Kwa kujua majina, historia za familia/koo, wasifu na maye ni njia ya jadi yenye uwezo mkubwa wa kuwasiliana hata maisha ya kawaida ya mtu binafsi katika jamii grioti lakini pasipo maneno, ishara inayotumiwa na wanandoa. anayo idhini ya kijamii inayomruhusu kusema moja kwa Huanzisha kupata undani wa vitendo vya nje na hisia na moja na yeyote kile ambacho mtu mwingine hawezi kuki- huashiria kwa wanawake na wanaume kadhalika sema katika jamii, hata kwa umri wa mtu yule, jinsia, wanadhima mahususi za kitamaduni na kijinsia na kabila au heshima yake. Magriati hutumia vipaji vyao wajibu. Chiwome (1994) amefafanua kwingineko ya binafsi na nguvu za maneno kupatanisha uhusiano baina kwamba katika Afrika, utumiaji wa hiari wa ishara na ya watu wa familia moja, baina ya majirani na hata baina njia nyingine bila maneno ni njia mbadala zenye uwezo ya jamii. Nchini Mali ni grioti peke yake mwenye uwezo mkubwa badala ya maneno, hasa katika mazingira wa kuendesha majadiliano kuhusu mada nyeti za ujauzito ambamo utumiaji wa maneno usingefaa. na zinazohusu pendelu hadharani na kadhalika mafi- Watumishi wa mradi huu waliweka oda maalumuu kwa choni bila kufikiriwa na jamii za vijijini kuwa ayasemayo mafundi cherehani kutengeneza pendelu mia tatu za ni mambo machafu au yasiyofaa kwa jamii. kugawa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mwanzo ya afya ya mama. Badiliko muhimu la marekebisho ya pendelu lilikuwa ni jinsi ya kupangilia rangi kwenye vazi Wimbo hili la usiri wa ndani na kukipaka kitambaa cha pamba nyeupe cha jadi kwa rangi ng’avu ya kijani, kuashiria Kwa kipindi cha wiki mbili, Bwana Koita alishirikiana na ujauzito na kuashiria jukumu la kitamaduni la mume watumishi wa mradi kutunga wimbo ambao uliwaeli- kama mlinzi, mshauri na msaidizi. Kama alivyosema misha watu kuhusu utunzaji wa afya ya mama na pia Comaroff (1985) “rangi ya bluu na kijani,” ni rangi za alikuza matumizi yaliyokusudiwa ya pendelu ya kijani, mvua, maji, upya na ukuaji… zinazohusishwa na nguvu kutokana na muhtasari uliokuwa umetayarishwa na ya kuanza jambo… (na) zinaashiria nguvu ya kizazi… watumishi wa mradi, ambao ulikuwa na taarifa za msingi 111 sana za utunzaji wa afya ya mama. Muhtasari wa Tathmini ya taathari ilizingatia uchunguzi uliohusisha kitaalamu ulihitaji kutumia pendelu ya kijani kama watu 320, wakiwa ni pamoja na watu 205 waliokuwa ishara ya ujauzito na mawasiliano kati ya wanandoa na wameshiriki moja kwa moja katika shughuli mbalimbali uliwataja waume, wake na mama wakwe za wake kama za kampeni na watu 115 waliokuwa hawakushiriki. Sam- hadhira lengwa ya wimbo ule. Ili kuondoa ile aibu, hofu puli ilihusisha wanawake 130 walioolewa wenye umri wa na tahayari inayoelezwa na wanaume kadhalika na kuzaa (wakiitwa wake), wanaume 127 walioa (wakiitwa wanawake katika vikundi wakilishi vya majadiliano, waume) na wanawake wazee 63 wenye watoto wa kiume watumishi wa mradi pia walimwomba Bwana Koita waliooa (wakiitwa mama wake). Wastani wa umri wa kuhusisha kuonekana kwa pendelu ya kijani na hisia za wale waliododoswa ulikuwa miaka 36.5 furaha, majivuno, uwajibikaji na kujiamini. Malengo Kulingana na matokeo ya uchunguzi kampeni hii makuu ya wimbo ule yalikuwa ni (i) kuwajulisha iliongeza sana kiwango cha mawasiliano kati ya waume wanaume na wanawake wenye ndoa na wakwe wa na wake kuhusu afya ya mama. Kwa jumla, asilimia 65.5 wanawake kuhusu mimba zenye hatari kubwa, dalili za ya washiriki wote wa kampleni walisema walijadili kuashiria hatari wakati wa ujauzito na tabia za kusadia ujauzito na masuala ya afya ya mama baada ya kampeni. kupunguza hatari; (ii) kuongeza mawasiliano kuhusu Kabla ya kampeni, ni karibu asilimia 3 tu ya watu ndio ujauzito na matunzo ya afya ya mama katika kiwango cha waliokuwa wamejadili masuala ya afya ya mama na wenzi kaya, hasa baina ya waume na wake; na (iii) Kuongeza wao wa ndoa. matumizi ya huduma za matunzo ya afya ya mama Kati ya njia zote za mawasiliano zilizotumika wakati pamoja na vifaa vilivyotolewa na wagawaji wenye ujuzi. wa kampeni, pendelu ya kijani ndicho kifaa ambacho washiriki walikifurahia kuliko vyote (asilimia 83.9). Jumla ya asilimia 94.4 ya wale waliododoswa walisema Kampeni ya TEM ya Afya ya Mama walikuwa wamesikia habari zake. Ni ajabu kwamba asilimia 85 ya wale waliohojiwa Shirika la Africare liliendesha kampeni ya TEM ya Afya ambao hawakuwa wameshiriki katika kampeni walikuwa ya mama ya mwanzo katika vijiji saba vya eneo la Koila la wamesikia habari za pendelu ya kijani, hali inayoonyesha Wilaya ya Dioro ili kufanya majadiliano ya kubaini nguvu jinsi pendelu ilivyokuwa njia ya haraka na yenye ya njia za mawasiliano za jadi. Jumla ya watu wazima 600 mafanikio ya kusambaza dhana hii ya ubunifu. Ama kwa (wanaume 300 na wanawake 300) walishiriki katika hakika, tathmini ya matokeo inaonyesha kwamba ingawa kampeni hii. Ratiba ya kampeni iliweka nafasi ya ni watu 600 tu (asilimia 10 ya idadi ya watu wenye umri mikutano ya wanaume na wanawake ambapo taarifa wa miaka zaidi ya 15) walikuwa wameshiriki katika kuhusu afya ya mama zilitolewa na watumishi wa mradi, kampeni hii, karibu watu 5,000 (asilimia 89 ya idadi ya na kuwezeshwa na vyombo vya habari vya kisasa kama watu) walikuwa wameona au kusikia habari za pendelu vile video, mabango na beji pamoja na rasilimali tatu za ya kijani miezi mitatu baadaye. kitamaduni zilizokuwa zimebainishwa. Karibu wale wote waliohojiwa walijua kuwa pendelu Wakati wa mikutano ya wanawake, watumishi wa kijani iliwakilisha ujauzito: asilimia 89.9 ya waume, mradi waligawa jumla ya pendelu za kijani mia tatu kwa asilimia 79 ya wake na asilimia 76.9 wakwe wanawake. wanawake wote walioolewa wenye umri wa kuzaa kutoka Kampeni ya TEM imesababisha kuonyesha mitazamo katika kila kimoja cha vijiji saba. chanya na tabia zinazohusiana na ujauzito katika kiwango cha kaya ikiwa ni pamoja na waume kuwa- punguzia wake zao mizigo ya kazi za kufanya kuboresha Taathari lishe na kuwahimiza kupata huduma za matibabu pamoja Watumishi wa mradi walifanya tathmini miezi mitatu na huduma za afya ya mama. baadaye kupima matokeo ya kutumia pendelu ya kijani Matokeo ya tathmini ya uchunguzi yanaonyesha na njia nyingine za mawasiliano zilizokuwa zimetumiwa kwamba utumiaji wa ubunifu kwa kutumia njia za wakati wa kampeni ya mwasiliano ya kubadili tabia, mawasiliano bila kutumia maneno na pia kuwasiliana pamoja na wimbo ule uliokuwa umeandikwa na grioti; kwa kutumia maneno baina ya waume na wake, wake na video na beji ya kukuza shughuli za mradi zinazotokana wakwe zao tu, bali pia ulichochea mabadiliko ya kijamii. na jamii. Tathmini ya mwisho ya kampeni ya uchunguzi Ujauzito sasa si mada ya mwiko tena katika eneo la Koila, wa Usambaaji-Maarifa-Vitendo ulipima zaidi ile kampeni na kwa hakika, mjadala kuhusu ujauzito na utunzaji wa ya Taarifa-Elimu-Mawasiliano. afya ya mama hivi sasa ni jambo la kawaida kwa viwango vyote vya kaya na pia vya jamii. Katika mwaka ule na 112 Tini za MA 12 mwaka uliofuata kampeni hii ya mwamko, mradi ulivuka Wa upande wa yombo vya habari na njia zitumikazo lengo lake la kuhakikisha kuwa asilimia 60 ya vizazi kutoa taarifa, kuelimisha na kuwasiliana kuhusu ujauzito vilisaidiwa na wakunga waliofundishwa au wataalamu wa na afya ya mama, uchunguzi wa tathmini ya matokeo ya utunzaji afya, ukilinganisha na kiwango cha asilimia 20 kampeni ya DCSP ilionyesha kuwa zile njia za jadi wakati mradi ulipoanza. Takribani asilimia 77 ya vizazi zilikuwa ndizo zilizokumbukwa zaidi na jamii. Karibu vilisaidiwa na zaidi ya nusu ya wanawake wajawazito wahojiwa wote walikumbuka pendelu ya kijani, magrioti walitafuta ushauri kabla ya kujifungua. na ule wimbo. Hivyo, ingawa pendelu, magrioti na nyimbo ni njia za jadi za mawasiliano nchini Mali, matumizi yake yanaweza kubadilishwa kwa manufaa ya kukidhi Hitimisho mahitaji ya kisasa. Mutasa (1994) anafikia mahitimisho kama hayo katika mjadala wake wa matumizi ya kisasa Ile pendelu ya kijani ilikuwa ni ukunifu mwafaka katika ya methali za kale katika Afrika ya Kusini. mfumo wa maarifa asilia kwa kuwa maana yake ya Mabadiliko ya wakati na hali yanahitaji masuluhisho kitamaduni ni na matumizi yake vilikuwa tayari ambayo maumbo ya jadi hayawezi tena kuzalisha. Hata vinaeleweka vema katika eneo la utafiti. Kilichotakiwa hivyo, mara nyingi inatosha tu kuchukua kipengele cha kueleza tu ilikuwa ni maana ya rangi ya kijani (mimba) kale na kukitumia katika muktadha au mwendo wa na kuihusisha na vitendo mahususi vyenye manufaa kisasa. Utaratibu huu wa ubunifu huwa ushahidi hai wa kwenye afya ya mama. Ingawa maana ya pendelu ya mwendelezo wa maumbo ya jadi. kijani ilikuwa mpya, mazingira (chumba cha kulala), hali Miradi mingi ya maendeleo hutokea kupuuza au (undani wa zile zinazoonekana na zile hisia), watumiaji kupunguza gharama ya rasilimali za kitamaduni, na (wake) na hadhira iliyokusudiwa (waume) viliendelea badala yake kukimbilia teknolojia mpya na rasilimali “za kuwa vilevile kama vile vya pendelu ya jadi. Wanawake kisasa”. Kampeni ya Africare ya Afya ya mama (TEM), katika eneo la Koila walizoea kwa urahisi kuivaa pendelu kule Dioro, nchini Mali inafafanua hazina ambayo ya kijani wakati wa ujauzito kwa sababu walitumia maarifa asilia yanayo pamoja na rasilimali zingine za “mbinu ya mwili” waliyoizoea. kitamaduni ili kuweza kuchangia kwenye masuala ya Zaidi ya hayo, dhima ya mgrioti ilikuwa muhimu sana: afya na ustawi wa mawasiliano miongoni mwa jumuia za … kwa kifupi ni kwa sababu malenga … huwasilisha njia vijijini katika Afrika. inayoturejesha karne nyingi nyuma ili malenga aweze kuchangia kwa namna ya pekee kwenye aina ya maba- diliko ya jamii yanayotakiwa kwa ajili ya kuwanusuru watu wengi wa Afrika hivi leo (Hale na Satoller, 1985). Lugha za Kisaheli, Maarifa Asilia na Kujiongoza Makala hii imetokana na utafiti uliofanywa na watafiti wa ndani kwa kusaidiwa na usimamizi wa kiufundi wa Peter Easton, Profesa Mshiriki, Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, kwa kushirikiana na jumuia za Kiafrika zinazojali. Utafiti ulifanyika chini ya usimamizi wa pamoja wa Klabu ya Saheli/OECD, Kamati ya Ushirikiano wa Majimbo ya Kupambana na Ukame katika Saheli (CILSS) na Chama cha Maendeleo ya Elimu Afrika (ADEA) Afrika ni bara lenye lugha nyingi, katika eneo kubwa. Kwa hiyo, zaidi ya 2,000, kufuata hesabu za inasemekana kuwa mtu anaweza hivi karibuni ijapokuwa lugha nyingi kufasiri kwa gari kuanzia Dakar hadi zinakaribiana na kuelewana kwa Ziwa Chad akitumia lugha tatu tu za kiasi fulani. Vilevile, Afrika ni bara Kiafrika—Kiwolofu, Kibambara na la watu wenye ndimi nyingi, ambapo Kihausa, ambapo safari ya umbali kiasi kikubwa cha wakazi wana- sawa na huo kuelekea pwani hadi ongea au wanaelewa zaidi ya lugha Nigeria, atahitaji zaidi ya lugha 300. Tini za MA 13 moja. Zaidi ya hayo, mtawanyo wa Katika Mkoa wa Gulmu wa Oktoba 1999 lugha haufanani. Mfano mzuri ni wa Burkina Faso, ulioko kwenye maeneo Afrika Magharibi. Sehemu kubwa za yalioendelea kidogo upande wa maeneo ya pwani zina lugha nyingi mashariki kabisa unaopakana na za kikabila, na nyingi kati yao Benin, kuna asasi moja isiyo ya hazikutawanyika sana. Kwa upande serikali (AISE) ya kieneo iliyoanzish- mwingine, kwenye mikoa ya bara, na wa mwaka 1985, iitwayo Ti Tua. hususan maeneo ya Sahel, kuna Asasi hiyo ambayo ilianzishwa na lugha chache sana, lakini zilizosam- wanajumuia ili kuhuisha kampeni ya baa katika maeneo mapana sana. kufuta ujinga inayoungwa mkono na Sababu za hali hiyo ni za sura ya serikali na inayoelekea kushidwa, nchi na za kisiasa. Misitu minene, imeunda mtandao wa vituo vya mito mingi, na kuwepo muda wote kufuta ujinga vinavyojishughulisha kwa mbung’o hufanya mawasiliano zaidi katika kutoa mafunzo kwa na usafiri wa kutumia farasi kuwa lugha ya Kigulmanchema, lugha ya mgumu katika maeneo ya pwani na watu wachache nchini Burkina Faso, hivyo kusababisha kuwepo kwa inayozungumzwa na watu 500,000. vikundi vingi vya kimbari na jumuia Vituo hivyo vimeenea katika vijiji 31 ndogondogo za kikabila. Hata hivyo, vya mkoa, na vyote (ukiondoa makao katika maeneo ya ndani ya nyanda makuu ya wilaya), vilikuwa havina za savanna na mbuga za pembezoni shule za msingi wakati mpango huu mwa jangwa, usafiri ulikuwa rahisi ulipokuwa unaanzishwa. Mpango kwa umbali mkubwa. Falme ziliibu- huu sasa unawahudumia wanakiso- ka ili kudhibiti na kutoza kodi bia- mo balehe na watu wazima wapatao shara iliyokuwa imeshamiri ya kupi- 15,000 kwa mwaka, ambao asilimia tia Sahara na wakati huohuo kuene- 41 kati yao ni wanawake. Tin Tua za lugha za Kibantu kama vile imeanzisha pia gazeti la kila mwezi Kibambara, Kiwolofu na Kimooré katika lugha ya Kigulmanchema 113 114 Tini za MA 13 liitwalo “Labaali”, ambalo lina wateja 3,000 na huajiri Hii sio mifano katika. sehemu kubwa ya eneo la Saheli waandishi wa habari waliopewa pikipiki na vinasa sauti ya Afrika Magharibi, (eneo la nchi zinazopakana na katika vijiji vyote vilivyo kwenye mtandao. pembe za kusini za Jangwa la Sahara) hutumia sana Kuhusu ubora wa matokeo ya mipango hii ya kufuta muundo wa kimaandishi wa lugha za Kiafrika kama ujinga, chama kilianza miaka mingi iliyopita kujenga chombo cha mawasiliano vijijini, kama sio nchi nzima na shule za msingi za jumuia ambapo mafunzo ya madarasa njia ya kuelezea utamaduni wa wenyeji. ya awali hutolewa kwa Kigulmanchema na Kifaransa Mabadiliko haya yanaonekana zaidi katika nchi za kinaanzishwa polepole. Miaka miwili iliyopita, kikundi Kiafrika zinazozungumza Kifaransa, ambako lugha za cha kwanza cha wanafunzi waliofunzwa katika shule hizi Kiafrika hazikutambuliwa na zilizoonekana kama lahaja za jumuia, walifikia mahali pa kufanya mitihani ya au zinazoweza kuvunja umoja wa kitaifa na mawasiliano kumaliza elimu ya msingi ambayo lazima ifanywe kwa ya kimataifa. Kifaransa na ndio inayotumika kuchagua watakaoen- delea na elimu ya sekondari. Kwa wastani, wanafunzi ambao walianza masomo yao kwa kutumia lugha-mama, Mabadiliko ya polepole lakini yenye uhakika walifaulu vizuri zaidi ikilinganishwa na wanafunzi wa Kuna mambo mengi yaliyochangia kuleta mabadiliko shule za msingi za kawaida. Mtunga mitaala wa Tin Tua haya, ikiwa ni pamoja na kupatikana kwa serikali nyingi anaelezea mafanikio yao kama ifuatavyo: “Ukifikiria za kiuwakilishi na zenye uvumilivu mkubwa wa jumuia mazingira ambamo mambo yote haya yanatokea, na za umma, kuenea kwa lugha za Kiafrika kutokana na ukweli kwamba kuna mwalimu mmoja kwa kila shule uhamiaji wa ndani na maingiliano ya makabila. Na maba- anayeongea Kifaransa, kinachoshangaza ni ile kasi ya diliko ya polepole kuelekea kutambua thamani ya maarifa kujifunza. Je, hii inatokana na lugha-mama kuwa daraja asilia na utamaduni wa Kiafrika. Wakati huohuo, uzoefu la kujifunza vizuri Kifaransa, au inatokana na kumoti- na tafiti zimeendelea kuonyesha kuwa wanafunzi wanao- shika kwa wanafunzi, mbinu nzuri za kufundishia au anza mafunzo ya shule kwa kutumia lugha-mama au bidii ya walimu?” lugha ambazo tayari wanazifahamu sana, wana nafasi kubwa ya kufaulu kimasomo, 3/4 ikiwa ni pamoja na Lugha za Kiafrika kama chombo cha uhasibu kufaulu katika kuimudu lugha ya pili kama vile Kifaransa na Kiingereza 3/4 kuliko wale wanaolazimishwa kutumia Sasa uelekee magharibi kwa kilometa kadhaa mpaka sehe- lugha ya kigeni tu kutoka mwanzo. Watu wazima pia wa- mu za kusini za Mali, jimbo linalolima pamba na ambapo naonekana kujifunza lugha ya pili kwa urahisi zaidi kwa kiasi cha waendao shule bado ni juu kidogo ya asilimia 20. kutumia maarifa yao ya kujua kuandika kwa lugha zao. Katika miongo miwili iliyopita, msururu wa vyama vya viji- Mabadiliko yamekuwa ya polepole sana hususan katika ji vilivyokua karibu na Koutiala na Bougouni, vimekuwa ngazi ya kati, ambapo mengi yamezungumzwa kuliko hatua kwa hatua vikichukua madaraka kamili ya uuzaji wa vitendo. Uanzishwaji wa lugha za Kiafrika katika elimu mazao ya kilimo, usimamizi wa mikopo ya kilimo, na ya msingi, kwa mfano, kwa muda mrefu umebaki katika uwekezaji upya wa mapato yatokanayo na shughuli hizo. kiwango cha majaribio katika nchi kama vile Mali, Niger, Na wamefanya hivyo kwa kiasi kikubwa kwa kujifunza Burkina Faso na Senegali. Kumekuwepo na ushirika mifumo ya uhasibu na utawala iliyotayarishwa kwa mdogo kati ya mawakala wa elimu isiyo rasmi, ambao kutumia lugha ya Kibambara. Hadithi hii ni sawa hutumia lugha za kitaifa na wa elimu rasmi ambao kaskazini kwenye delta ya Mto Niger, ambapo mpunga ni hawatumii lugha hizo. zao la biashara. Katika kijiji cha Niono Koloni, viongozi wa Hata hivyo, katika kipindi cha miaka ya 1990, kasi vijiji hutoa mitihani ya kuhakikisha kuwa wagombea wa imeanza kupanda katika ngazi ya vijiji. Kasi hiyo nafasi zenye dhamana za kuchaguliwa kidemokrasia imechochewa kwa kiasi kikubwa na kule kuanzishwa kwa katika vyama vya ushirika vya wakulima, wana viwango shughuli za uzalishaji mali vyama vya ushirika, biashara, vya msingi katika kuandika kwa Kibambara, ijapokuwa asasi zisizo za serikali (AZISE) na serikali za mitaa fomu za mahesabu zinazotumika ni za lugha mbili na ambazo zimeimarika zaidi wakati wa enzi ya shinikizo la hujumuisha Kifaransa. Wanafunzi wa shule za Korani na kidemografia na soko huria. Ili kuziendesha shughuli watoro wa shule za msingi ambao wanapenda kugombea hizi, wananchi wanahitaji kwa kiasi fulani kikundi cha nafasi hizo, kwa ujumla wanatakiwa kujiunga na vituo vya watu wanaojua kusoma; kuhakikisha kiwango fulani cha vijiji vya madarasa ya kisomo ili kuongeza umahiri wao uwajibikaji wa kidemokrasia na wanahitaji njia ya katika kuandika kwa fonetiki za Kibambara. kuhakikisha kuwa kiasi kikubwa cha wanachama wana- 115 jua kusoma na kuhesabu. Lugha za Kiafrika ambazo katika nchi za Kisaheli, na minong’ono ya kwanza nyingi kati yao siku hizi zinaandikwa kwa hati za Kirumi kuhusu kampeni za kisomo zinazoendeshwa na wananchi au za Kiarabu, zinatoa njia rahisi ya kufikia lengo hili wenyewe ilipoanza kusikika, tathmini kubwa kuhusu kuliko utoaji wa mafunzo kwa lugha za Kiingereza, athari za kisomo katika Mali ya Magharibi ilifanywa. Kifaransa, Kiarabu na Kireno. Tafiti zilifanywa katika maeneo maalumuu, na timu ya watathmini wa Mali walitumia siku kadhaa katika kijiji kiitwacho Sirakoro, kilicho kusini mwa Kita. Waligundua Mafanikio ya kisomo nchini Burkina Faso kuwa ijapokuwa msaada wa serikali haukutolewa kwa mfululizo, kulikuwa na matokeo mazuri. Kuna mifano mingi sana Burkina Faso, nchi ambayo jina Kikundi cha kwanza cha vijana waliohitimu kisomo lake pekee ni muunganisho wa lugha mbili maarufu za kijijini, ambao baadaye walishika nafasi za uongozi za Kiafrika. Burkina ni Kimooré na humaanisha “mtu mkwe- kusimamia manunuzi katika soko la wenyeji la karanga, li”, na “Faso” ni Kijula na Kifulfulde, kwa maana ya “taifa” wao wenyewe walikuwa wakufunzi wa kufundisha kundi taifa la wasema kweli. Katika mji wa Bouloulou, mji mdogo la pili la wanakisomo. Muda mfupi baadaye, watu wazima ulioko kaskazini mwa nchi, sio mbali sana na Ouahigouya, wengi katika kijiji hicho wakawa wamejifunza kusoma na wanawake wanajazana kwenye vituo vya kisomo vilivyo- kuandika katika Kibambara/Kimalinke, na Serikali za funguliwa kwa ajili yao kutokana na ombi kutoka kwenye vijiji zikaamua kutia mkazo mkubwa kwenye elimu ya chama chao cha maendeleo ya kiuchumi. Katika mji mkuu, watoto. Waliamua kuwa hakuna mtoto yeyote atakayefi- Wagadugu (Ouagadougou), kikundi cha wanawake waliohi- kia miaka ishirini pasipo kujua kusoma na kuandika kati- timu kisomo hivi karibuni, kimejiunga na kuunda chama ka lugha yake. Kwa kuwa hapakuwepo na shule ya msingi chao kiitwacho “Song Taaba”, chama ambacho kimejizatiti rasmi ya karibu, kijiji kilijenga shule yake na kuunda kutengeneza na kuuza sabuni na siagi ya karanga. Baada mtaala wake chenyewe. Pamoja na hayo, vijana waliofuzu ya jitihada za awali za kuwapa madaraka ya uongozi wana- kisomo wameamua kuandika historia ya kijiji chao na chama wachache wenye elimu ndogo ya msingi, wamea- mkoa wao na kuifundisha historia hiyo kwa watoto wao. mua kuunda mfumo wa mahesabu na uongozi katika lugha Mfumo huu umekuwa ukiongezeka na kurudiwa kwa ya Kimooré na tangu wakati huo wameunda mtandao wa miaka kadhaa katika sehemu mbalimbali za Saheli. kitaifa wa wanawake wafanyabiashara. Lugha za Kiafrika zinapata mfumo wa kimaandishi na Kusema kweli, nchini kote, idadi ya wanakisomo kutumika kama njia ya kusimamia vitegauchumi na wanaohitimu masomo yao imeanza kuchuana na ile ya kuweka kumbukumbu za maarifa asilia. Madarasa ya ki- wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi, muundo wa somo yaliokuwa yakipata mafanikio ya kupishanapishana elimu ambao bado una upungufu kutokana na uhaba wa kwa kuongozwa kutoka juu hususan kwa kupitia kampe- walimu wanaojua Kifaransa na ufadhili. Mnamo mwaka ni za kufuta ujinga, yalianza kupata kasi miaka ya 1980 1996, kulikuwa na vituo vya kisomo 4,000 ukilinganisha japo yalichukuliwa na kuendeshwa na vyama vya wanan- na shule za msingi 3,000. Katika mwaka huohuo, chi na asasi zisizo za serikali. Madarasa hayo yamesaidia wanakisomo 46,000 kati ya 72,000 waliofanya mtihani, kwa njia kuelezea vema utamaduni wa wenyeji. walitangazwa kuwa wamefuta ujinga katika mojawapo ya lugha za kitaifa nchini. Kwa upande wa shule za msingi, ni wanafunzi 11,000 tu kati ya 86,000 wa darasa la sita Umahiri wa lugha-tatu wenye manufaaa waliochaguliwa kuingia kwenye shule za kati. Asilimia 52 kati ya wanakisomo waliofuta ujinga ni wanawake, Tofauti mojawapo kati ya mvuvumko wa kwanza wa ambapo kwa upande wa wanafunzi wa darasa la sita shughuli za kisomo na huu wa hivi karibuni ni umiliki wa katika shule za msingi ni asilimia 40 tu, na wale wa shule wenyeji. Jambo la pili ni kwamba kisomo cha kufuta za kati ni asilimia 8.5 tu. Zaidi ya hayo, kwa mujibu wa ujinga katika lugha za Kiafrika sasa hivi hakitolewi kama Taasisi ya Kitaifa ya Kisomo, nane kati ya wanawake njia mbadala ya kufidia lugha za kimataifa kama vile kumi waliohitimu kisomo hivi karibuni ni wanachama hai Kiingereza na Kifaransa au kama mfumo wa “elimu katika vyama vya ushirika na vyama vya wanawake. vijijini” au “elimu ya Kibantu” kwa wale ambao hawa- kustahili kupata “elimu halisi,” bali kuwa yenyewe ni rasilimali ya kisiasa na ya kitamaduni na pia daraja la Kueleza Maarifa Asilia kujifunzia lugha ya pili. Zaidi ya hayo, kukamilishana kupya kwa lugha Miaka 25 iliyopita, wakati vuguvugu la kwanza la kam- mbalimbali kunaanza kujitokeza polepole, mojawapo peni za kitaifa za kufuta ujinga lilipokuwa linafifia, 116 Tini za MA 13 ikiwa dhana ya uwezo wa kumudu lugha tatu wenye uchapishaji wa machapisho ya kujisomea katika lugha ya manufaa. Mpango huu wenye ngazi tatu unalenga Kipulaar kwa wanakisomo walioko kwenye maeneo ya kumfanya kila mtu anayefuta ujinga kwa lugha yake Senegali yanayopakana na bahari kati ya miji ya Dakar mama, apate pia kujuwa lugha mojawapo ya Kiafrika na St. Louis. Kipulaar ni lugha ya Kifulani, Kipeulh au inayozungumzwa na watu wengi (kama vile Kimooré, Kifulfulde cha mkoa maalumuu, kinachoongewa kwenye Kiwolofu, au Kibambara), na mwishowe ajifunze lugha ya nchi zote za Kisaheli, lakini bila kuwa lugha ya wengi mawasiliano ya kimataifa kama vile Kiingereza, Kifaran- popote pale, isipokuwa katika maeneo fulani ya Kaskazini sa na Kiarabu. Mfumo huu unaonekana kwa wazungum- mwa Kameruni na milima ya Futa Djalon nchini Guinea. zaji wa lugha moja wa nchi za Kaskazini kuwa kinyume Mpango wa ARED ni mojawapo ya mfululizo wa jitihada cha kawaida lakini si vigumu kuelewa au kuona katika zikiwa ni pamoja zile zinazoratibiwa na APESS (Chama bara hili asilimia 50 ya wakazi wake tayari wana- cha Peulh cha Elimu ya Sayansi) kilichopo Burkina Faso, zungumza angalau lugha mbili. ambacho kwa miaka ya hivi karibuni kimejikita kwenye kuendeleza matumizi ya lahaja mbalimbali za Kifulfulde za kijimbo. Kuzipa sauti tamaduni za wachache Shughuli za ARED zimekuwa zikisaidiwa fika na vyama vya Wazungumzaji wa Kipulaar ambao wame- Tuchukue tena mfano kutoka Burkina Faso. Nchi hii, hamia Saudi Arabia, Misri, Maghreb na Ulaya. Msaada iliyo mpakani kati ya nchi za Saheli na majimbo ya pwani, huu umekiwezesha ARED kuchapisha mfululizo wa ina lugha zipatazo 71, ingawa asilimia 75 ya wakazi vitabu na magazeti katika Kipulaar na kutoa msisimko huzungumza mojawapo kati ya lugha kuu tatu zilizoenea mpya kwa kisomo cha kufuta ujinga kwa watu wazima. sana (Kimooré, Kijula na Kifulani) kama lugha ya Wakati huohuo, ARED imekuwa ikichapisha vijarida kwanza au lugha ya pili. Karibu lugha zote zinazozungu- vinavyohusu maendeleo mbalimbali ya wenyeji, kilimo, mzwa Burkina Faso, isipokuwa chache sasa hivi zinatu- na mada za utafiti katika Kipulaar. Kujua kusoma na mika katika maandishi. Kwa hiyo, polepole, mzungumzaji kuandika katika Kipulaar kumekuwa ni kielelezo cha wa lugha ya Kimanchema ana uwezekano mkubwa wa heshima kwa jumuia ya kijijini katika eneo hili la kujifunza Kimooré au Kifulani pamoja na Kifaransa Senegali. Kampeni za kufuta ujinga zilizozinduliwa kwa wakati wa kupata elimu, ama katika shule za mkondo msingi huu, zimechangia sana katika uhuishaji wa rasmi au kupitia madarasa ya kisomo. kitamaduni katika eneo lote la mkoa. Kwa sababu hizo, wimbi linalokuwa katika ngazi za Hizi ndizo jitihada hasa za wenyeji za kujenga elimu wenyeji la matumizi ya lugha za Kisaheli limesaidia pia ambayo zinazoibuka kwa wingi zaidi na zaidi. Haijulikani tamaduni za jumuia ndogondogo za Afrika Magharibi ni umbo gani mfumo huu utachukua huko baadaye. Hata kuimarisha utambulisho wao kama sehemu ya taifa na hivyo, inaelekea kwamba mfumo huu utadumu ukilinga- kuhifadhi mila na desturi za kale, wakati huohuo nishwa na kampeni za kitamaduni na za kufuta ujinga za wakifungua milango ya mawasiliano kwa jumuia kubwa miongo ya mwanzoni ya uhuru. Ukweli ni kwamba zaidi. Chama cha Tin Tua ni mfano mzuri, kama ule wa mfumo huu unamilikiwa na watendaji wenyeji na uzoefu wa mkoa wa Todor ulioko Kaskazini-Magharibi umeundwa kutokana na haja za kiuchumi na za kijamii. mwa Senegali. Tangu mwaka 1986, chama kinachojulikana kama ARED (Chama cha Utafiti wa Elimu) kimejitosa kwenye Uenezaji wa Tafiti kwa Watu wa Kawaida katika Afrika: Ukusanyaji na Uunganishaji Makala hii imetokana na utafiti uliofanywa na watafiti wa ndani kwa kusaidiwa na usimamizi wa kiufundi wa Peter Easton, Profesa Mshiriki, Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, kwa kushirikiana na jumuia za Kiafrika husika. Utafiti ulifanyika chini ya usimamizi wa pamoja wa Klabu ya Saheli/OECD, Kamati ya Ushirikiano wa Mataifa ya Kupambana na Ukame katika Saheli (CILSS) na Chama cha Maendeleo ya Elimu Afrika (ADEA) Ni mara ngapi tafiti ambazo kwanza katika tenda kubwa. Badala ya ni chache zinazofanywa na watafiti kutumia watafiti kama bunduki wa Kiafrika zinaifikia hadhira ya zilizoazimwa ili kufanya utafiti ulio- Kiafrika ambayo iko tayari kutumia elekezwa na asasi za kaskazini, asasi matokeo yake? Mawasiliano haya inayoshirikiana na ABEL (Chuo yanafanywa kwa njia gani na ni kwa Kikuu cha Jimbo la Florida) imetoa mbinu gani yanaweza kuwa na kondrati kwa timu za watafiti kwa matokeo mazuri zaidi? gharama maalumuu na timu hizo Tini za MA 14 Njia za usambazaji kwa umma wa zipendekeze na kufanya utafiti juu Novemba 1999 matokeo ya tafiti za Kiafrika zina- ya mada mbalimbali. Mada zilibuni- tayarishwa katika kiwango cha vijiji wa kutokana na orodha ya malengo kwa msaada wa USAID, mradi wa ya utafiti yaliyowekwa na Kikundi ABEL (Kupata Elimu ya Msingi na cha Utendaji cha Elimu isiyo Rasmi Kufuta Ujinga). (WG/NFE) cha Chama cha Maende- Mradi unajumuisha usambazaji leo ya Elimu Afrika (ADEA). wa tafiti zilizofanywa na watafiti ADEA ni muungano wa Mawaziri Waafrika walioandika juu ya mada wote wa Elimu wa Afrika na wawa- ya “ Madaraka Vijijini uwezeshaji wa kilishi wa mashirika makuu ya umma”, lakini kufanya hivyo kwa ufadhili. Hufanya kazi kupitia Ma- utaratibu unaojumuisha wasamba- kundi ya Utendaji ya sekta ndogo zaji na walengwa katika kukosoa mbalimbali za elimu zinazoongozwa tafiti hizo, kuweka kumbukumbu na na muungano wa waelimishaji wa kuchambua uzoefu wao. Kiafrika wa elimu pamoja na wawa- kilishi wa wafadhili. Makundi haya ya Utendaji ya Elimu Isiyo Rasmi na Kufanya tafiti zinazofaa Mafunzo yaliyobuniwa baada ya kusambazwa mkutano wa ADEA wa mwaka 1995 unaofanyika kila baada ya miaka Utafiti wa kwanza kwa ajili ya miwili, na kufadhiliwa na Shirika la majaribio ulifanywa kati ya mwaka Uswisi la Ushirikiano wa Kimataifa 1996 na 1998, kwa msaada wa na Mawaziri wa Elimu wa Ghana, ABEL, ukifanywa na vikundi vya Mali na Senegali yalikutana kwa watafiti Waafrika katika nchi mba- mara ya kwanza mwaka 1996 mjini limbali. Njia hii ilikuwa ya kibunifu Dakar na kuidhinisha orodha ya kwa namna nyingi, hasa kwa kutu- mada za aula za utafiti. mia njia kutoa tenda ndogondogo 117 118 Tini za MA 14 Sera iliyopitishwa ilikuwa ni kuzialika timu za watafiti • Kubuni mbinu za kuwafanya watu hawa kujua wa Kiafrika kuleta mapendekezo yao ya utafiti juu ya matokeo na kuwasaidia kulinganisha na kufanya mojawapo ya mada zilizopendekezwa na kisha kuingia mahitimisho kutokana na uzoefu wa Ghana na Mali. mkataba na wale walio na uwezo wa kufanya utafiti kwa kutumia utaratibu wa kandarasi. Utaratibu huu uliwata- Muundo wa kati wa kiasasi wa kutekeleza kazi hii ka watafiti kutoa kazi bora kwa viwango walivyokuba- ulikuwa ni ule wa Makundi ya Utendaji ya Elimu Isiyo liana katika kipindi fulani maalumuu na walipewa uhuru Rasmi, muungano wa mashirika ya umma na binafsi mkubwa; uhuru ambao kweli unahitajika kutokana na (AZISE), zinazojishughulisha na elimu isiyo rasmi na hali za kiutafiti zisizotabirika zilizoko Afrika. Hii ilisaidia zinazoshirikiana na Chama cha Maendeleo ya Elimu katika kuamua njia bora ya kugawa fedha ili kupata Afrika (ADEA). malengo yaliyowekwa. Uwajibikaji mkali wa matumizi ya fedha ulitakiwa, lakini timu hazikulazimika kufuata sisisi mchanganuo wa bajeti wa awali. Matokeo nchini Benin Tafiti nyingi za kusisimua zilifanywa, nyingi kati yao Katika nchi ya Benin, Kikundi cha Watendaji cha Elimu zilihusisha zaidi ya lugha moja na ziliingiza vipengele isiyo Rasmi kilipitia tafiti zote zilizofanywa na watafiti vilivyofanywa na vikundi vingine, na hivyo kutoa fursa ya wa Kiafrika chini ya Awamu Kwanza ya Miradi ya ABEL kulinganisha matokeo. Mada zilizotafitiwa ni pamoja na: na kuchagua tafiti tatu ambazo zinafaa kwa waelimishaji (a) upatikanaji wa ujuzi katika sekta isiyo rasmi ya uchu- wa uwandani: (a) ujenzi wa ujuzi katika vyama vya mi wa mjini; (b) matumizi ya manufaa ya elimu ya kuso- ushirika vya wanawake; (b) matumizi ya manufaa ya ma na kuandika; (c) ujenzi wa ufundi katika vyama vya elimu ya Korani ya kusoma na kuandika (utafiti ushirika vya wanawake; (d) mfumo mpya wa ushirikiano ulioelezwa katika Tini za MA 11, Agosti, 1999) na (c) kati ya AZISE na serikali katika kutoa elimu isiyo rasmi upatikanaji wa ujuzi katika sekta isiyo rasmi ya uchumi na (e) majaribio katika elimu ya msingi isiyo rasmi. wa mjini. Kisha kikundi hicho kilialika makundi yake na timu nyingine za watafiti nchini Benin kupendekeza njia Kutoa habari za kusambaza matokeo ya tafiti hizi uwandani. AZISE Benin “RAMPE” zilipendekeza kuzipeleka tafiti za Suala sasa ni jinsi ya kusambaza utafiti huu kwa wale wa- vyama vya ushirika vya wanawake wa Ghana na Mali lioko vijijini na mitaani ambao watatumia matokeo yake. kwa maafisa na wanachama wa asasi kama hizo waliopo Kwa ufadhili wa ABEL mlolongo wa tafiti kuhusu upati- katika jimbo la Toviklin lililoko Kaskazini mwa Benin, kanaji wa ujuzi katika vyama vya ushirika vya wanawake ambako pamoja na mafanikio ya awali, walikuwa na matatizo wanayopata katika kukabiliana na changamo- wanapata shida ya kuanzisha chama chao. to za uongozi zimefanywa huko Ghana vijijini na Mali kati Watafiti waliwapelekea muhtasari wa chanzo na ya mwaka 1996 na 1997. Matokeo yalikusanywa, kuandi- matokeo ya utafiti viongozi wa vyama mbalimbali vya kwa na kuripotiwa katika makongamano na kutolewa ushirika na wakafanya ugunduzi wa kwanza. Kati ya kama nyaraka na kwa njia ya intaneti katika nchi zote zaidi ya vyama 100 vilivyoorodheshwa kama wanachama mbili. Hata hivyo njia hizi za usambazaji hazikuwasaidia wa mtandao, ni vyama 21 tu ndivyo vilivyokuwa sana wanawake walioko kwenye mazingira hayohayo vinajishughulisha na vitegauchumi vya wanawake. Kati katika sehemu nyingine za Afrika Magharibi ambao ya vyama hivyo 21, timu ya watafiti ilibaini vyama 10 wangaliweza kunufaika na uzoefu wa Ghana na Mali, ambavyo vimeonyesha nia ya kushiriki, vilibuni njia ya licha ya kutoweza kuhudhuria makongamano ya kuwasilisha chanzo na matokeo ya utafiti uliofanywa kimataifa au kuingia kwenye mtandao wa intaneti. Mali na Ghana kwa wanachama wa vyama vyote kumi Maofisa wa mradi waliamua kufikiria kuanzishwa kwa vya ushirika. Kisha waliwakusanya viongozi wao kujadili awamu ya usambazaji. Nia ilikuwa ni kuwashirikisha uzoefu wa nchi hizi mbili kwa kuulinganisha na wa watafiti walio katika nchi nyingine za Kiafrika zenye Toviklin na ni mahitimisho gani ya kiutendaji yanaweza raghba katika: kufikiwa kutokana na zoezi hili. • Kusoma tafiti hizo; Zoezi hili lilichochea jitihada za dhati za vikundi vya • Kubainisha tafiti ambazo zinafaa zaidi kwa matatizo ya Benin za kujitathmini na kufanya uchanganuzi wa hali jamii katika kila nchi; halisi, baada ya kufurahishwa sana na mafanikio ya • Kupendekeza makundi lengwa ambayo yanaweza wenzao katika nchi mbili za jirani. Walisonga mbele kwa kunufaika na matokeo ya utafiti; na kubainisha vikwazo mbalimbali katika mazingira yao vili- 119 vyowazuia kujitegemea. Kikwazo kikubwa kilikuwa fiti waliohusika. Kupeleka maofisa kukamilisha malengo upungufu katika mafunzo na hivyo kushindwa kusimamia magumu na yanayofungamana na hali ilivyo uwandani mambo ya kifedha ya vitegauchumi vyao. Waliamua kuta- kama hii ya kusambaza matokeo ya utafiti ilikuwa kazi futa mfungamano wa haraka, na kuanzisha kampeni za ngumu, kwani watafiti washiriki wachache walikuwa na kufuta ujinga kama zinavyoendelea kaskazini mwa Benin, uzoefu wa kusimamia kazi hii. Hata hivyo, kazi ilikuwa ya na kwamba kampeni hizo zidhaminiwe mahali pamoja, na kuvutia na changamoto zake zilitoa mafunzo. vilevile kuwapatia mafunzo viongozi wao waliochaguliwa. Mtindo wa usambazaji nchini Benin sio pekee Mambo mengine mengi kuhusiana na chama cha ushirika uliobuniwa. Nchini Botswana, Kikundi cha Watendaji cha wa wanawake nchini Mali na Ghana, na majukumu Kitaifa kilifanya zoezi kama hili. Wao walichagua pia seti yanayofanywa na wanaume katika vyama hivyo yalija- ya tafiti zilizofanywa na watafiti wa Kiafrika ambazo diliwa na kulinganishwa na hali ilivyo nchini Benin. zimegusa masuala ya wanachi. Hata hivyo wao wali- waleta viongozi vya AZISE kwa kila mada ili kupata uzoefu wa kitaifa na kuulinganisha na data na mahiti- Unadishaji wa masuala ya kijamii kama panga lenye misho ya tafiti. Ijapokuwa mbinu hii imekaa mbali na makali kuwili uwanda, ilikuwa na uwezo wa kuweka mazingira mazuri ya kutolea maamuzi ya kisera na mifumo mipya ya Mtazamo huu umetokezea kuwa njia ya unadishaji wa ushirikiano miongoni mwa wahusika. masuala ya kijamii na tafiti za kiutendaji na kama mbinu ya kusambaza ugunduzi. Ubora wake uko katika ushiri- kishwaji wa makundi lengwa, umilikaji wa mada husika, Baada ya hapa je? ikiwa ni pamoja na athari zake na matokeo ya kujifunza. Lakini uzoefu katika awamu zote mbili za tafiti za ABEL, Jitihada nyingine zilikuja miezi ya Septemba/Oktoba unaonyesha kuwa kuna athari katika ngazi mbili: 1999 nchini Gambia na Chad na zimezingatia tafiti Kwanza, ndani ya jumuia inayohusika, na miongoni mwa zilizofanywa katika nchi tano nyingine za Afrika watafiti wanaowajibika katika utekelezaji wa zoezi hili. Magharibi zinazohusiana na mada za madaraka mikoani Utafiti huu ni tofauti na ule tuliozoea kufunzwa na na ujenzi wa uwezo wa wenyeji. Yaani, ni kwa jinsi gani kutekeleza. Ni utafiti unaohusu maarifa asilia, uboreshaji jamii ya kijijini, vitegauchumi na vyama vimepata uma- wake na matumizi yake. Wale wanaowajibika na kazi hii hiri wa kuanzisha mipango mipya ya kimaendeleo katika wanatakiwa kufanya bidii kufanya tafiti zilizopo zieleweke kipindi cha madaraka mikoani. Watafiti wa Gambia na kiutendaji na kuwasaidia wateja wao kuona umuhimu wa Chad walioitwa kutoka kwenye vikundi vya watendaji vya matunda ya uzoefu wao kama utafiti ambao una faida elimu isiyo rasmi, na kutoka Wizara za Kilimo na Maen- katika kuulinganisha na tafiti zilizofanywa mahali pengi- deleo Vijijini, walianza kwa kuweka orodha ya maeneo ne. Zaidi ya hayo kipengele kilichokuwa kigumu na cha ambapo vikundi vya wenyeji vimeanza kubainisha wale kiugunduzi kilikuwa ni kiwango cha uwajibikaji, ikiwa ni ambao watashiriki katika kusambaza na kulinganisha. pamoja na bajeti na uwajibikaji, kinachohusiana na wata- Matokeo yatapatikana mwishoni mwa mwaka. Na Katy Moran Afya: Maarifa Asilia, Faida Linganifu Makala hii imerekebishwa kidogo kutokana na makala inayoitwa “Moving ON: Less Description, More Prescription for Human Health (Kuendelea Mbele: Maelezo Madogo, Maagizo Zaidi Juu ya Afya ya Binadamu)” iliyoandikwa na Katy Moran, katika Jarida la Ecoforum, la Kituo cha Kimataifa cha Uhusiano wa Kimazingira, Kitabu cha 21, Na. 4, Januari 1998. Kwa taarifa zaidi juu ya somo hili, tafadhali wasiliana na Katy Moran, Mkurugenzi Mtendaji, Hifadhi ya Msitu wa Dawa, Mtaa wa 3521 S, NW- Washington, DC 20007. Moran HFC@aol.com Tangu Mapatano kuhusu Bioanuwai yatauza bidhaa zao kwa bei nafuu? (Convention on Biological Diver- Je, kuna uchunguzi kifani wowote sity—CBD) yalipoafikiwa huko Rio uliofanywa unaoonyesha uwezekano (Juni 1992), tumejifunza mengi ku- huu, na kuna maswali gani ambayo tokana na maelezo juu ya mahusiano bado yanahitaji majibu. mapya yaliyochochewa na CBD. Nchi zenye utajiri wa bioanuwai, tama- duni za kiasili na maarifa yao ya Mimea kama dawa Tini za MA 15 matumizi ya rasilimali za kibiolojia Mjadala wa haki za uvumbuzi Decemba 1999 kama dawa, na makampuni yanayo- unaonyesha umuhimu wa bioanuwai jitahidi kugundua tiba mpya kwa kwa afya ya binadamu. Tangu zama kutumia mimea inayotoa dawa, na za kale hadi sasa, mimea imekuwa maarifa ya asili—vyote hivi sasa vina msingi wa famasia. Spishi kutoka shauku na lengo moja. Thamani ya nchi za tropiki zina utajiri mkubwa mimea kwa ajili ya dawa sasa inajuli- wa bioanuwai na biokemikali kuto- kana zaidi na “haki za uvumbuzi” za kana, kwa kiwango fulani, na hali ya dawa hayo zimeshajadiliwa duniani hewa ya maeneo hayo. Katika mae- kote. Kwa hakika, haki za uvumbuzi neo yenye halijoto wastani, majira ya limekuwa ni jambo la kawaida kwa baridi kali huwaua wadudu wahari- udhibiti wa miliki ya wenyeji ya bifu wa mimea, na mimea inayohi- maarifa ya kimapokeo kwa lengo la mili halijoto wastani husitawi majira kuhakikisha kuwa faida za uvum- ya kuchipua kabla idadi ya wadudu buzi zinarejeshwa kwa tamaduni na waharibifu wa mimea haijaongezeka. nchi zilizo vyanzo vya uvumbuzi Lakini kwa vile spishi za tropiki husika (Mays, et al., 1997). Lakini, haziathiriwi sana na wadudu wahari- kadiri muda unavyopita, kiwango bifu wa mimea wa majira mbalim- cha kutoweka kwa spishi na tama- bali, nyingi zimejitengenezea kinga duni kinaongezeka na afya ya bina- ya kikemikali dhidi ya wadudu wengi damu imezidi kuzorota kutokana na waharibifu wa mimea. Kemikali hizi magonjwa ambayo bado hadi sasa za mimea ya tropiki zilizoongeza hayana tiba. Tunawezaje kutumia ustahimilivu wa mimea hiyo dhidi ya mafunzo ya CBD na tukaharakisha bakteria na vijidudu vingine vihari- kutafuta mbinu za utekelezaji wake? bifu zinaweza pia kutoa kinga na Je, nchi zinaweza kutoa fursa za zikatumiwa kutengenezea dawa kwa utafiti na uwekezaji kwa makampu- afya ya binadamu. Leo hii, robo ya ni, ambayo, kwa upande wake, 120 121 dawa yetu yanatokana na mimea. Katika nchi zinazoen- kijasiri, faida za hisa, ubia na mashirikiano ya namna delea, asilimia themanini ya wananchi wake hutegemea hiyo—uwekezaji na watu wa nje katika mradi wa mimea kwa matunzo ya afya yao ya msingi. kampuni wenye hatari nyingi, lakini pia wenye faida kubwa. Wawekezaji waweza kuwa watu binafsi ama mashirika na uwekezaji wao una hakimiliki ya ruhusa ya Nchi kutengeneza, kuuza, na kutumia dawa yatakayovumbu- liwa. Hakimiliki hutoa kinga ya uvumbuzi kwa kampuni, Nyingi ya nchi zenye utajiri wa bioanuwai hupatikana na hivyo kuwawezesha wawekezaji kurejesha fedha kwenye tropiki za Kusini, ilihali nchi zenye utajiri wa walizowekeza kwenye utafiti na maendeleo ya dawa, pale teknolojia, zenye rasilimali kwa ajili ya maendeleo dawa hayo yanapouzwa kibiashara. Hayamkiniki kwam- endelevu ya bioanuwai, hupatikana zaidi Kaskazini ba kampuni yoyote ama mwekezaji yeyote atahatarisha kwenye halijoto wastani. Kabla CBD haijafungamanisha mtaji wake kugundua au kuendeleza dawa fulani bila mataifa na bioanuwai zao, bioanuwai hizo zilichukuliwa uwekezaji huo kulindwa kwa hakimiliki dhidi ya kuwa ni “urithi wa binadamu wote”. Kila mtu aliruhusi- ushindani na makampuni mengine. wa kutumia rasilimali za kibiotiki, na zilikuwepo taratibu chache mno za kisheria za kurejesha faida zilizotokana na uvumbuzi wa dawa katika nchi zilizo chimbuko la Tamaduni uvumbuzi huo. CBD sasa inajitahidi kuleta urari wa jinsi wahusika wote wa harakati hizi wanavyoweza kufaidika Asilimia sabini na nne ya dawa makuu 121 yatokanayo na na matumizi endelevu ya bioanuwai na viambato vyake. mimea yana matumizi yanayofanana kwa tamaduni Nchi za Kaskazini zinaweza kutumia bioanuwai ya nchi nyingi za asili. Badala ya kuchagua na kuichunguza za Kusini kwa kushirikiana teknolojia na faida inayoto- mimea kiholela, mkakati ulio bora zaidi ni kwa baadhi ya kana na matumizi ya kibiashara ya bioanuwai. Ni makampuni kutumia maarifa ya asili ili kuitambua miti jukumu la kila nchi mwanachama wa CBD, hadi sasa ziko bora zaidi kwa dawa mapya. Lakini mikakati michache nchi 169, kutunga sera ya taifa ya bioanuwai ikielekeza sana inayojishughulisha na jinsi maarifa ya asili yanavyo- namna ya utekelezaji wa suala hili nchini, ikiwa ni weza kufikiwa na faida linganifu zinavyoweza kuga- pamoja na kutunga sheria za utekelezaji huo. Baraza la wanywa kwa kuzingatia utamaduni unaohifadhi mifumo Utafiti wa Kisayansi na Viwanda la India, linalopata ya kijamii iliyoujenga. Tofauti kati ya uchumi wa soko, ruzuku kutoka serikalini, kwa mfano, hivi karibuni uliokitwa kwa umiliki wa watu binafsi, na uchumi wa limeanzisha programu ya kuzuia uigaji wa uvumbuzi kijumuiya, ambao kwa kawaida huwezesha kumiliki wake ili kulinda mkusanyiko wa maarifa yake kuhusu pamoja rasilimali za kibiolojia na kiutamaduni, humaani- dawa yatokanayo na mimea. sha kwamba kikundi kizima cha kitamaduni lazima kifaidike. Ni vikundi vichache sana vya asili vimeshiriki- shwa katika mijadala ya kitaifa kuhusu masuala haya, au Makampuni kuhusu ufafanuzi na utekelezaji wa CBD katika nchi zao. Tangu CBD ianzishwe, hakuna dawa kutoka nchi za tropiki iliyotengenezwa kwa maarifa ya kimapokeo Uchunguzi kifani: Nigeria inayouzwa kibiashara. Faida za kiuchumi bado hazijapa- tikana. Utengenezaji wa dawa kwa kawaida huhitaji Kiutendaji, uchunguzi kifani wa jinsi gani nchi mbalim- utafiti ghali na wa muda mrefu ili kupata ithibati ya bali, makampuni na tamaduni zinaweza kushirikiana na serikali kabla dawa husika haijaanza kuuzwa. Nchini kutekeleza malengo ya CBD ni ule wa Kampuni ya Dawa Marekani, dawa mpya huchukua, kwa kawaida, miaka 10 ya Shaman (Shaman Pharmaceuticals, Inc.) ya Nigeria. hadi 15 kuwa tayari kwa matumizi, baada ya uwekezaji Kwa mujibu wa daktari Tom Carlson, Mkurugenzi Mwan- wa zaidi ya $ milioni 300 na kampuni na wawekezaji damizi wa Utafiti wa Uwandani wa Etinobiotiba wa kam- wanaokubali kuchukua dhima ya kuitengeneza, kuifanyia puni ya Shaman, “Katika nchi hii ya Afrika Magharibi, majaribio na kuiuza dawa hiyo mpya. Kwa kampuni yenye utajiri wa bioanuwai na tamaduni, mifumo ya dawa mpya, miundombinu kama vile majengo, vifaa na ya asili inasitawi sambamba na fursa za dawa za mishahara ya wanasayansi watafiti lazima vigharamiwe Magharibi. Mnamo mwaka 1995, serikali ya Nigeria kabla dawa yenyewe haijaanza kuzalisha mapato. Ili iliwaunganisha rasmi waganga wa kienyeji katika kupata fedha hizi nyingi zinazohitaji kugharamia utafiti huduma ya afya ya taifa kama watoaji wa matunzo ya na maendeleo ya dawa, makampuni hutegemea mtaji wa afya na leo hii theluthi mbili ya watoaji wa matunzo ya 122 Tini za MA 15 afya ni waganga wa kienyeji wa namna moja au nyingine” jumuiya, au kijiji hujitawala chenyewe kikiwa na chifu na (Carlson et al., 1997). serikali yake. Utaratibu wao wa kufikia maamuzi ya Nchini Nigeria, Profesa Maurice Iwu ni mwanasayansi kijumuiya hujumuisha chifu wa kijiji, washauri wake, na Mkurugenzi wa Programu ya Maendeleo na Hifadhi ya waganga wa kienyeji na wazee,” aliongeza Iwu. Baada ya Rasilimali za Kibiolojia (Bioresources Development and majadiliano ya muda mrefu, vikundi hivi viliafiki kwamba Conservation Programme—BDCP), ambalo ni shirika kampuni ya Shaman ilikuwa na malengo kama yao na lisilo la kiserikali (NGO) la Nigeria. Iwu anafafanua, yaliyozingatia utamaduni kuhusiana na afya ya binada- “BDCP ilianzishwa mwaka 1991 kama kitovu cha mu. Kutokana na majadiliano haya na yale ya awali, sera mashirikiano ya kitafiti yanayojenga stadi za kiufundi mwafaka za ushirikiano na kampuni zilifikiwa. Majadilia- nchini Nigeria ili kwamba rasilimali za kibiolojia ziwe no yaliyopelekea kwenye makubaliano yalihusu maswala chombo imara cha maendeleo endelevu. Stadi zilizobo- kama vile nia na malengo ya mradi; vipi na wapi mimea reshwa zinapelekea kwenye uchunguzi wa makini zaidi itachanganuliwa; fursa ya kibiashara ya mimea hiyo na wa dawa ya magonjwa ya kitropiki yanayopatikana kwa namna ya kugawana faida. wingi nchini Nigeria kama vile malaria, leishimaniasisi, “Tangu wakati huo, utafiti wa uwandani wa kietnobo- na tripanosomiasisi” (Iwu, 1996). tania umeshafanyika mara nne,” alisema Steven King, Makamu wa Rais Mwandamizi wa Etnobotania na Kampuni ya Dawa ya Shaman Hifadhi wa Kampuni ya Shaman. “Kwa uchaguzi wa Kampuni ya Dawa ya Shaman ilianzishwa mwaka 1990 washirika wa Kinigeria, faida zimechukua umbo la na, kupitia BDCP , ikaanzisha ushirikiano wa kitafiti na warsha na programu za mafunzo juu ya afya ya jamii, asasi za kisayansi za Nigeria, jumuiya za vijijini, na botania, hifadhi na etnobotania; msaada kwa hifadhi ya waganga wa kienyeji na vyama vyao. Kampuni hii ndogo, mimea ya dawa; vifaa kwa ajili ya shule za vijijini; ambayo makao yake makuu yako California, ilianza ukusanyaji wa vifaa vya kibotania kwa ajili ya hebaria utafiti ukilenga katika uvumbuzi na uendelezaji wa dawa (mahali pa kuhifadhia mimea iliyokaushwa); vifaa vya mapya yanayotokana na mimea yenye historia ya maabara kwa ajili ya utafiti wa kisayansi wa mimea kutumiwa na wenyeji. Lisa Conte, Rais na mwasisi wa inayotibu magonjwa ya vimelea yaliyoenea sana Afrika kampuni anaelezea juu ya suala hili, “Kama jina lake Magharibi na kuwasaidia wanasayansi wa Kinigeria ili linavyoashiria, Shaman hutumia sayansi ya etnobotania, waweze kutumia mbinu mpya za uchanganuzi. Kutimiza na pia kemia ya kutenga na ya mazao asilia, sayansi ya sera ya kampuni, faida za moja kwa moja na za muda wa tiba ya maradhi na famakolojia ili kupata mbinu bora wastani, kama za hapo juu, zenye jumla ya thamani ya zaidi ya ugunduzi wa dawa. Wakati ikiundwa kama dola za Marekani 200,000 (elfu miambili) zimegawanywa kampuni ya kuzalisha faida, Shaman ilianzisha pia kupitia katika programu mbalimbali kwa washika dau Hifadhi ya Msitu wa Dawa (Healing Forest Conservancy), wanaoshiriki katika mpango huu”. shirika lisilo la kutafuta faida lililoanzishwa mahususi Iwu aliongeza, “Kampuni hupeleka ripoti za uchunguzi kutafuta utaratibu wa kurejesha faida kwa nchi na wa maabarani mara kwa mara kwa jumuiya zinazoshiriki tamaduni zinazoshirikiana na Shaman baada ya dawa kwenye mradi. Maandiko ya kawaida kuchapishwa kuuzwa kibiashara.” Ingawa kampuni hii changa bado kuhusu mimea ya dawa kutoka Nigeria yakionyesha haijauza dawa yake, matumizi ya etnobotania katika utambuzi wa umma wa faida za maarifa ya kimapokeo ya utafiti yamewezesha dawa zinazotafitiwa na kampuni Nigeria kwa jamii na afya ya binadamu”. kuanza kufanyiwa majaribio ya matumizi mapema sana (King, et al., 1996). Faida za Muda Mrefu Baada ya dawa kuuzwsa kibiashara, kampuni ya Shaman Faida za Moja kwa Moja na za Muda wa Wastani itatoa asilimia fulani ya faida zake kwa Nigeria na Zilizosambazwa Nchini Nigeria makampuni mengine yaliyoshiriki mradini kupitia Iwu na mwanasayansi mwingine wa Nigeria, Cosmos kwenye Hifadhi ya Msitu wa Dawa kwa kipindi chote Obialor, walipendekeza majadiliano ya awali na waganga kampuni itakapokuwa na faida. Hifadhi itagawa faida na viongozi wa kimapokeo kuzungumzia juu ya kushiri- hizi, kwa usawa, kwa nchi na tamaduni zote zilizo kiana na kampuni ya Shaman muda mrefu kabla ya washirika na kampuni ya Shaman, bila kujali nchi ama kuanzishwa kwa CBD huko Rio mwaka 1992. “Tulizitem- utamaduni ulio chanzo cha mmea wa dawa au maarifa ya belea jumuiya ambako tulikuwa tumefanya kazi kwa kimapokeo yanayouzwa kibiashara. Katika mradi kama miaka kadhaa,” alisema Iwu, “ikiwa ni pamoja na vijiji huu ambapo mapato yake ya kifedha hayatabiriki, alikozaliwa Obialor na nilikozaliwa mimi. Kimsingi, kila kusambaza faida na hatari za hasara miongoni mwa 123 washirika wote wa Shaman kunaongeza fursa za fidia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Mazingira la (Moran, 1997). Shirikisho la Nigeria. Waziri wa Makao Makuu ya Shiri- Kampuni ya Shaman na Hifadhi zinafuata kanuni ya kisho ya Abuja alisema, “… stadi za waganga wa kienyeji CBD kwamba wahifadhi wenyeji wa bioanuwai ambao pia ni wahifadhi wa utamaduni wetu wa dawa ya wanapofaidika kutokana na matumizi endelevu ya mimea asili sasa zinapatiwa nafasi yake mwafaka katika jamii”. yao ya dawa na watu wengine wa nje, basi fursa za Dhana ya mfuko wa dhamana inatoa fursa zaidi ya uhifadhi huongezeka. Ili kuzuia shinikizo la uchumi kushawishi na kusimamia vyanzo vya fedha kutoka NGO mwingine ambao unaweza kuwa na athari mbaya kwa nyingine, mashirika au makampuni yenye wito wa ku- bioanuwai, faida za kuilinda bioanuwai hiyo lazima changia katika mfuko ulio imara. Wakati mchango wa zionekane mahali bioanuwai ilipo. Hata hivyo, Hifadhi ulipotangazwa, Chama cha Wazalishaji wa Dawa kukosekana kwa modeli mwafaka kunafanya nadharia ya Asili na Kampuni ya Dawa ya 0range za Nigeria zilia- tete hii isithibitishwe. Ili kujaribu uwezekano wa hidi kuchangia fedha zaidi kujaliza mchango wa Hifadhi. kutumia mapatano ya dhamana kama chombo cha Mwaka ujao, mradi utatathiminiwa na kutumiwa kugawana faida, Hifadhi imetoa $ 40,000 (dola elfu kuiongoza Hifadhi kuanzisha mfuko wa dhamana wa arobaini) kwa mfuko wa dhamana nchini Nigeria kwa kiolezo utakaotumiwa na washirika wote wa kampuni ya ajili ya mradi wa majaribio. Shaman, makampuni na mifuko mingine ya kutoa Mfuko wa Maendeleo Unganifu ya Vijijini na Dawa ya misaada. Kienyeji (Fund for Integrated Rural Development and Traditional Medicine—FIRD—TM), mfuko huru wa Masuala yaliyobakia dhamana, ulianzishwa na BDCP kama chombo cha fedha Uchunguzi kifani wa kampuni ya Shaman nchini Nigeria kwa ajili ya maendeleo endelevu ya vijijini na kwa ajili ya unatoa mfano wa jinsi nchi, vikundi vya utamaduni na kusambaza faida miongoni mwa washika dau wa Nigeria. makampuni yanavyoweza kushirikiana kwa faida ya Bodi ya mfuko huu inajumuisha vikundi vyote vya washika dau wote kuleta maendeleo endelevu ya washika dau, yaani viongozi wa vyama vya waganga wa bioanuwai kwa ajili ya afya ya binadamu. Ni njia kienyeji, maofisa waandamizi wa serikali, wawakilishi wa mojawapo ya kutimiza malengo ya CBD na kila mshiriki mabaraza ya vijiji ya makabila mbalimbali na wataalam anapaswa kuendelea kutafuta, kubainisha na kuagiza wa kiufundi kutoka kwenye asasi za kisayansi. mbinu mpya zinazofaa zaidi kwa mazingira yake. Nchi, Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi wa Mfuko, Mtukufu tamaduni na makampuni yanayoshirikishwa yametofau- Eze E. Njemanze wa 0werri, ni mtawala wa kimapokeo tiana mno kiasi kwamba hatua zinazochukuliwa zitafaa anayeheshimika sana. Nafasi kubwa inayochukuliwa na tu iwapo zitazingatia miktadha mahususi ya kiutama- mifumo ya mshikamano wa kimapokeo, kama vile vyama duni, kiuchumi na kimazingira. Masuala yafuatayo bado vya kikabila na vyama vya kitaalam vya waganga, hutoa hayajapatiwa ufumbuzi. muundo wa kijamii unaohakikisha ushiriki wa jumuiya. • Nigeria ilitoa mkakati wa ushirikiano kwa ajili ya Vikundi mbalimbali vya kitamaduni vya Nigeria kampuni ya Shaman, kwa kushirikisha asasi zenye vitapatiwa fedha kupitia vyama vya waganga wa kienyeji uwezo kamilifu, hasa kwenye ngazi ya kijiji. Mifumo hii na vijiji kulingana na desturi zao. Vyama vya mijini, inayojitegemea, ikiwa na machifu wao na serikali wakuu wa vijiji na vyama vya kitaalam vya waganga zinazofanya kazi, ilichagua kutumia maarifa yao ya vimepewa uwezo wa kufanya maamuzi kuhusu miradi ya kimapokeo kuhusu ulimwengu wa nje kufikia malengo maeneo yao. Miradi itakayopatiwa fedha itafuata vigezo ambayo iliyaona muhimu kwake. Vikundi mbalimbali vya kusitawisha hifadhi ya bioanuwai na kuendeleza vya asili vina imani zinazotofautiana kuhusu shughuli dawa, na kadhalika usitawi wa kijamii na kiuchumi wa za biashara na vina mitazamo inayotofautiana kuhusu tamaduni za vijijini. Kwa ngazi ya kijiji, stadi za kiufundi dhana ya soko. Tofauti hizi hazipashwi kamwe kuwa zilizopatikana kutokana na kugawana faida husaidia kisingizio cha kuvitenga vikundi vya kiasili na kusanifisha na kukuza dawa fita (phytomedicines), ku- matumizi endelevu ya bioanuwai, kwani huu ndio sambaza na kushirikiana taarifa zinazowafaidisha wa- uamuzi wao pekee wa kufanya, na sio ufanywe na NGO ganga wa kienyeji na afya za jumuiya wanazozihudumia. zisizo za kiasili, kama inavyofanyika mara nyingi, NGO Uzinduzi wa FIRD-TM ulitangazwa jijini Abuja, zinazodai kuwakilisha mawazo ya wenyeji katika kutoa Nigeria, kunako Septemba 30, 1997, wakati wa konga- uamuzi juu ya masuala haya. mano la kimataifa juu ya mimea ya dawa lililohudhuriwa • Kifungu 8 (j) ni sehemu ya CBD inayozungumzia na mawaziri watano wa Nigeria na wakuu kadhaa wa kuhifadhi na kuheshimu maarifa ya asili. Lakini mashirika ya serikali ya Nigeria, ikiwa ni pamoja na kinatoa ulinzi hafifu sana wa vikundi vya utamaduni 124 Tini za MA 15 na kina- lazimisha CBD ifuate sheria za nchi. Kisheria, mdogo sana kwenye warsha ya hivi karibuni ya CBD ni washiriki wa CBD, sio sera za makampuni, wenye iliyofanyika Madrid na kuhudhuriwa na wawakilishi mamlaka ya kuamua jinsi ya kutekeleza maendeleo wa serikali na vikundi vya wenyeji. Watu wengi waliona endelevu ya bioanuwai katika maeneo yao. Hali ya kuwa hii ilikuwa ni fursa iliyopotezwa. Wengine kisiasa ya nchi vinamoishi vikundi vya kiasili ni waliiona warsha hiyo kama hatua ya kwanza ambako muhimu kwa mafanikio ya maendeleo ya bioanuwai. maagizo ya kimaendeleo kuhusu hifadhi ya bioanuwai Kwa vile vikundi vya kiasili ni washika dau wakubwa kupitia haki za maeneo, kama vile Sheria Na. 8371 ya wa masuala ya CBD, ni lazima vishirikishwe kwenye Philippines, yangeweza kutangazwa. Jambo lililobaki mijadala ya mataifa yao kuhusu ufafanuzi na ni kuangalia endapo katika mikutano inayofuata suala utekelezaji wa CBD. Ili kuhakikisha kudumishwa kwa la hifadhi ya bioanuwai kupitia haki za maeneo mifumo yao ya kiutamaduni, ni lazima vishiriki na litabanwa tena na madondoo mengine ya ajenda vipigania vyenyewe masilahi yao. Kama nchi zinataka (Burgiel, et al., 1997). kufaulu vema kuhifadhi spishi za dunia, mikakati yao • Taarifa sahihi ni jambo muhimu. Ni wajibu kwa lazima ilenge kuwashirikisha watunzaji wa bioanuwai, washika dau wote wa CBD kuwa na uelewa sahihi wa na sio ilazimishwe juu yao kutoka kwenye ngazi za juu. dhana ya haki za uvumbuzi. Haki hizi si mbadala wa • Kufungamanishwa kwa wenyeji na maeneo ya haki za ardhi na haki za binadamu na kukatishwa kimapokeo kunaongoza matendo yao yanayohusiana na tamaa hujitokeza pindi watu wanapojaribu kuzitumia ikolojia. Utambuzi wa kisheria na serikali wa haki za haki za uvumbuzi kwa malengo yasiyo yake. Jambo maeneo unavipatia mamlaka vikundi vya wenyeji litakalofaulu ni kwa nchi, tamaduni na makampuni kuwakatalia ama kuwaruhusu watu wa nje kuingia kuchangia pamoja uzoefu wao, kwani hakuna mfumo katika maeneo hayo—hatua ya kwanza ya kuhifadhi mmoja pekee unaoweza kufaa katika mazingira yote. bioanuwai kupitia usimamizi wa kimapokeo wa ardhi Hifadhi na maendeleo endelevu ya bioanuwai na rasilimali. Lakini suala hili muhimu lilipewa uzito yanahitaji mikabala tofautitofauti. Senegali Demokrasia ya Umma Ikifanya Kazi Msingi wa makala hii ni utafiti uliofanywa na watafiti wa Senegali kwa msaada na ushauri wa kiufundi wa Profesa Peter Eastom wa Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, wakishirikiana na baadhi ya jumuiya za Kiafrika. Utafiti ulifadhiliwa na Club du Sahel OECD, CILSS na ADEA. Katika vijiji vya bonde la walima nguvu katika mada hii kilikuwa karanga wa Kiwolof na Wafulani wa msisitizo wa mada juu ya haki za Fouta Toro nchini Senegali, “demo- binadamu, hasa haki za wanawake krasia” limekuwa ni neno litumikalo na watoto kutobaguliwa na kutotish- na wengi. Shirika la Senegali lisilo la wa na vurugu. Watu walitaka kufa- kiserikali (NGO) “Tostan” (jina la hamu zaidi juu ya mambo haya. Kiwolof linalomaanisha kujitoa kati- ka yai), ambayo ni programu ya Tini za MA 16 elimu isiyo rasmi ya wanawake wa Demokrasia kuanzia kwenye vijijini, kwa kipindi cha zaidi ya familia hadi kwenye ngazi ya Taifa January 2000 miaka miwili limekuwa likiendesha Kabla ya kuandaa maudhui mapya, mafunzo ya misingi na mienendo ya wafanyakazi wa NGO waliamua ku- demokrasia. Mpango huu umefuatia fanya utafiti uliowashirikisha wa- programu ya mafunzo na uwezeshaji nanchi ili kujua mahitajio muhimu ambayo imekuwa ikiendeshwa na ya wananchi hao katika mafunzo NGO hii katika eneo lote la Senegali ambayo yangetolewa. Matokeo ya ya kati kwa muongo (miaka kumi) utafiti yalikuwa ya kushangaza. uliopita. Mpango huu ulikuwa wazi Wananchi walihitaji sana kupanua kwa watu wote, lakini uliwalenga uelewa wao wa masuala ya haki za hasa wanawake na ulijumuisha ma- binadamu na kuangalia kwa makini funzo katika utatuzi wa matatizo, masharti yake na hata aina ya jamii, uzalishaji mapato, kusoma na kuan- ambamo haki hizi zinaweza kuteke- dika katika lugha ya Kiafrika na afya lezeka kwa uthabiti zaidi. Neno ya mtoto. Ili kukidhi mahitaji yaliyo- “demokrasia” lilijitokeza mara jitokeza na kadiri mpango ulivyokua, nyingi, likiwa limesikika kutoka maudhui mapya ya mafunzo yalita- kwenye mjadala wa kisiasa wa kitai- yarishwa kwa kuwashirikisha wana- fa, lakini hakukuwa na mtu aliyeku- funzi walengwa. Mojawapo ya mau- wa na uhakika wa maana ya neno dhui ya mwisho yalihusu afya ya wa- hilo. Hivyo wafanyakzi waliamua ku- nawake, ikiwa ni pamoja na majadi- fanya majaribio ya utaratibu wa ma- liano juu ya somo nyeti lililohara- funzo uliohusisha dhana ya demo- mishwa—yaani nafasi ya wanawake krasia na mfumo wa kijamii uliopo katika ngono-mada iliyowavutia wa- ambamo haki za binadamu zinaweza shiriki wengi vijijini kote. Wafanya- kutekelezwa kwa ufanisi na watu wa kazi wa Tostan waligundua kwamba aina zote wanaweza kushiriki kua- chanzo cha hamasa kubwa na yenye 125 126 Tini za MA 16 mua majaliwa yao. Maudhui ya mafunzo yaliyotokana na jambo lililo hadharani. “Kuwa hadharani”—ingawa kwa majaribio haya yaliyodumu kwa miezi kadha yaliju- kawaida si kwa namna ya ushari—ndiyo imekuwa zana muisha taarifa (habari), majadiliano, uigizaji na shughuli kuu ya mabadiliko haya”. zenye matumizi yenye manufaa—vyote vikisisitiza juu ya Haki za watoto ni jambo jingine muhimu linalotiliwa haki za binadamu ambazo jamii lazima izilinde, jinsi mkazo. Vikundi vingi katika mji wa Thies vilivyoshiriki maadili binafsi na ya vikundi yanavyowekwa sawa, kwa kwenye programu hii vilibaini kuwa kukosekana kwa njia gani wale walionyang’anywa haki zao wanaweza vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wengi katika jumuiya zao kuzidai, jinsi gani mizozo hutatuliwa, na mikakati ya ilikuwa mojawapo ya ukiukwaji mkubwa wa haki za uongozi bora inayohitajika kwa ajili ya malengo ya aina binadamu. Jambo hili lilipaswa kurekebishwa, kwani hii. Waandaaji waliona ni vema kurejea maana ya msingi liliwazuia watoto hawa kujiandikisha shuleni na kupata ya “demokrasia” katika Kigiriki—yaani serikali inayoen- fursa nyingine za maisha bora. Washiriki wa programu deshwa na watu—na kutoa nafasi kwa majadiliano walishawishi uanzishwaji wa taratibu mpya na upatika- mapana juu ya kilichomaanishwa hasa na dhana hii na naji na vyeti vya kuzaliwa kwa idadi kubwa ya vijana. jinsi ilivyohusishwa na madai ya haki za binadamu na Katika baadhi ya maeneo ya mkoa, tatizo la ndoa za utatuzi wa mizozo. Demokrasia ilifasiliwa na kujadiliwa utotoni bila ridhaa ya wasichana lilijadiliwa pia kwa kina. kama mpango unaoathiri maisha ya familia na jumuiya Ongezeko la msisitizo juu ya haki za wasichana lilipe- za vijiji kama unavyoathiri pia siasa katika ngazi ya mkoa lekea pia kwenye upigwaji marufuku tabia ya kutahiri au taifa. Mjadala na mabadilishano ya mawazo juu ya wanawake—jambo lililojadiliwa kwenye Tini za MA 3 mada hizi katika jumuiya zilizoshiriki ulikuwa wa kuhusu Kiapo cha Malicounda. kusisimua na punde ukavuka mipaka ya kozi ya elimu isiyo rasmi. Mazungumzo mengi ya pande mbili kati ya wanaume na wanawake, vijana na wazee, na hata baina Desturi za uwajibikaji ya kabila mbalimbali yalijitokeza katika maeneo mengi Mjadala wa demokrasia unaelekea pia kuwa na athari yaliyohusishwa kwenye mradi huu. kubwa kwa utendaji kazi wa vyama vya kijumuiya na jumuiya zenyewe. Dhana za uwajibikaji, uwazi, sifa za Kutunza imani ya wananchi uongozi, uwakilishi wa vikundi mbalimbali na utawala bora zilijadiliwa sana kwenye mtaala kama ilivyokuwa Waandaaji walijali sana kushirikisha mamlaka za vijiji na pia kuhusiana na mbinu za kutatua mizozo inayoletwa na viongozi wa kidini katika programu hii. Kusema kweli, madai ya kutambulika kijamii na ya usawa. Wafanyakazi pengine kichocheo kikuu cha mpango huu ulikuwa wa Tostan wanawaona washiriki wa awali wa programu mwingiliano na maadili ya kidini, hasa ile ya Kiislamu, hii wakikiri kuwa pamekuwepo na mabadiliko makubwa katika maeneo husika. Mtazamo wa waumini wengi katika taratibu na hata watumishi wa vyama vya ulikuwa kwamba haki na kanuni za kidemokrasia kijumuiya kutokana na mafunzo haya. “Sasa tunajua zilizokuwa zikijadiliwa ziliakisi vema zaidi maadili ya vizuri zaidi sifa za kiongozi”, wanasema: na kuna Kiislamu kuliko ya jamii ya kisasa au desturi za kileo. ongezeko kubwa la ushiriki wa wanawake katika shughu- Matokeo ya dhahiri yalionekana punde katika nyanja li za uongozi. Aidha wanawake hawataki tena kuvumilia mbalimbali. Msukumo mkubwa ulielekea kutokana na utaratibu wa kijadi ambapo kiongozi—wa kiume au wa falsafa ya Gandhi ya kutotumia nguvu—yaani, kutokana kike—hutoa maamuzi kwa ajili ya washirika wenzake. Na na juhudi za makusudi za kuwafanya wananchi katika maeneo kadhaa vituo vya kutatua mizozo vimean- kutambua ukinzani kati ya maadili na mienendo halisi. zishwa na wanawake waliohitimu mafunzo ya Ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika familia demokrasia. unatoa mfano hai. Washiriki wa programu ya elimu ya Zaidi ya hayo, yapo pia madai mengine ya kisiasa. demokrasia ya Tostan walishutumu tabia ya kuwapiga Washiriki wanadhani kuwa idadi kubwa zaidi ya wake na watoto katika familia. Matukio halisi ya vipigo wanawake wanapendelea kupiga kura kuliko ilivyokuwa yalitolewa na kujadiliwa katika jumuiya mbalimbali. hapo awali—na wachache wanaukubali utaratibu uliozoe- Kama kiongozi wa kiume wa kaya katika kijiji cha leka ambapo kiongozi wa kiume wa kaya huwaelekeza Ngaparou alivyosema “sote tulijua kwamba haikuwa haki wanafamilia wote jinsi ya kupiga kura. (Kwa hakika kuwapiga wanawake. Tulifanya hivyo kwa mabavu tu. katika baadhi ya vijiji chifu ndiye aliyeamwua namna Lakini hatuna budi sasa kubadilika, kwa sababu jambo wakazi wake wote watakavyopiga kura). Mjadala juu ya hili sasa linachukuliwa kuwa ni uovu na watu wote. Ni sifa za kiongozi umepelekea kuanzishwa kwa vigezo vipya 127 vya kuwatathimini wagombea wa nafasi za uongozi wa Matokeo yameonekana pia kwenye maeneo ya mbali kisiasa katika baadhi ya maeneo. Orodha mahususi ya kabisa. Washiriki kutoka eneo la Ngirin Bamba vigezo hivyo ilitayarishwa na wagombea wakahitajika walianzisha mradi wa bustani kwa kuomba mashamba kuwa na idadi kubwa ya vigezo hivyo kabla ya kuteuliwa kutoka kwa wanaume wa kijijini kwa msingi wa “ardhi kushika madaraka. Wanawake wa eneo la Fouta Toro kwa mkulima”—na kisha wakaweka bango kwenye lango waliazimia kufuatilia kwa karibu utungaji wa sheria za la bustani yao ya mboga za majani na matunda lililoso- kitaifa ili uzingatie haki za binadamu. meka “haki ya kumiliki ardhi”. Hivyo dhana za “demokrasia”—zinazozingatia ma- zingira halisi ya Senegali zinajumuishwa katika madai Sekta inayokua haya mbalimbali ya haki za binadamu. Neno lenyewe limekopwa moja kwa moja katika lugha za Kiwolof na Dai la mafunzo ya demokrasia limekuwa likiongezeka na Kifulani/Kipulaar na kutumika mara kwa mara katika kuchochea ari ya kupigia kampeni masuala ya haki za mabishano, matangazo, na utani kwenye vijiji vyote wanawake. Washiriki kutoka visiwa vya Sine Saloum vinavyoshiriki katika programu ya mafunzo. Kama kiangazi hiki walitumia mitumbwi kuzifikia jumuiya mwanamke mmoja wa Ker Simbara alivyomweleza mbalimbali katika eneo lao ili kuunda umoja dhidi ya mwendesha mafunzo aliyetembelea huko kufuatilia ute- tohara za wanawake. Zaidi ya vijiji themanini, vilivyoenea kelezaji wa programu, “tulilazimika kubadilisha uende- takribani katika tarafa nzima ya Dabo, vimejiunga na shaji wa mikutano yetu ya ushirika kwa sababu tulibaini umoja huu kwa hiari yao. Na katika maeneo ya Toucou- kuwa ilikuwa haiendani na “demokrasia”. Wakati majali- leur ya Fouta Toro washiriki wa programu ya mafunzo wa ya serikali ya uwakilishi wa kitaifa yangali mashakani wameanzisha “maonyesho ya barabarani” ambayo katika bara lote la Afrika, iaelekea demokrasia inayo- huonyeshwa kwenye vijiji mbalimbali vya maeneo hayo. zingatia mazingira halisi ya eneo husika ndiyo itakayo- pendelewa na nchi nyingi siku za usoni. Mipango ya Kieneo, Dira za Wenyeji: Ushirikishwaji katika Kuandaa Mustakabali huko Afrika Magharibi Makala hii imeandikwa kutokana na utafiti uliofanywa na watafiti wa ndani kwa kusaidiwa na usimamizi wa kiufundi wa Peter Easton, Profesa Mshiriki, Masomo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, kwa kushirikiana na jumuia husika za Kiafrika. Utafiti ulifanyika chini ya usimamizi wa pamoja wa Klabu ya Saheli/OECD, Kamati ya Ushirikiano wa Majimbo ya Kupambana na Ukame katika Saheli (CILSS) na Chama cha Maendeleo ya Elimu barani Afrika (ADEA) Kuanzia mwaka 1990, Klabu ya na wa Amerika ya Kaskazini walio- Saheli—ambayo ni tawi la Chama cha pendelea mwelekeo wa vijijini. Ushirikiano wa Kiuchumi na Maen- Vilevile kulikuwa na kutoelewana deleo ambacho kinahusika na ku- baina ya wataalamu kutoka kaskazi- ratibu mashirika ya misaada ya ku- ni ambao karibu uchambuzi wote toka kaskazini ya usimamizi wa usa- waliufanya wao na watafiti wa Ki- lama wa chakula na maliasili katika afrika ambao walihisi kwa kiasi fu- maeneo ya pembezoni mwa jangwa ya lani wanadanganywa. Mradi mzima Tini za MA 17 Afrika Magharibi—imeamua kuduru- kwa muda fulani ulionekana ume- Februari 2000 su mpango wa muda mrefu uliopo wa jawa na mitafaruku ambayo imeficha kanda. Katika jambo hili, chama faida ya data zilizokusanywa. kimeshirikiana na Kamati ya Majim- bo ya Kupambana na Ukame katika Saheli (ambayo katika maeneo yana- Kupeleka mradi uwandani yozungumza Kifaransa inajulikana Mtafaruku ulikwisha kwa kiasi kwa kifupi kama “CILSS”), asasi am- fulani baada ya kusuluhishwa na bayo imeshirikisha Wizara ya Kilimo wakulima wa Afrika Magharibi. na wakala nyingine za serikali za nchi Wakati huohuo, Klabu na Kamati ya saba za Kisaheli yenye makao makuu Majimbo ya Mapambano dhidi ya jijini Ouagagougou. Ukame walikuwa wakishirikiana Kazi hii ilifanywa kwa kiasi kikub- katika utafiti wa ushirikishwaji wa wa na wataalamu wa uchumi, na utoaji madaraka na utayarishaji wa siasa waliopewa kazi hiyo na Chama nguvukazi katika nchi tano za cha Saheli. Wataalamu hao walitu- kanda: Burkina Faso, Ghana, Mali, mia tafiti na data zilizopo zinazoon- Niger, na Senegali. Utafiti huo yesha mwelekeo wa kikanda na ulijumuisha tafiti za maeneo maalu- kupanga utaratibu mbadala kwa ajili muu za jumuia za wenyeji na vyama ya miaka thelathini ijayo ya maen- ambavyo vimejichukulia madaraka deleo ya Afrika Magharibi. Chapisho vyenyewe makubwa ya maendeleo na lililopatikana, maarufu kwa jina la uongozi. Wasimamizi wa jitihada za “Utafiti wa Mitazamo ya Muda Mre- kiutafiti za nchi tano walishauri fu ya Afrika Magharibi”, au “Utafiti kuwa njia mojawapo ya kuondokana wa WALTPS” ilichochea mitafaruku na mtafaruku uliomo ndani ya Uta- mingi. Kulikuwa kuna kutokukuba- fiti wa WALTPS ni kupeleka swali la liana watu wa Ulaya waliopendelea msingi, maangalizo, na mahitimisho utaratibu wenye mwelekeo wa kimji, 128 129 uwandani na kuitisha maoni kutoka kwa wananchi wa mwelekeo kama huu na mambo yake yataendelea kuwepo jumuia husika, kwa msingi kwamba wanajumuia hao kwa namna hiyo. wanawakilisha wadau muhimu sana katika mipango hiyo 4. Jadili mambo yatakavyokuwa baadaye na hali ya muda mrefu. Wataalamu walielezea wasiwasi wao juu ambayo kikundi kingependa iwepo katika utabiri huu, ya njia hii ya kiumma: je, wananchi wa kawaida wana yaani aina ya maisha ya baadae ambayo wangependa upeo unaohitajika wa dira na shauku katika masuala ya kuwamilikisha watoto wao. kila siku vitu ambavyo vinatakiwa, ili waweze kuchangia 5. Fikiria kitu kitakachohitajika kufanywa katika katika utayarishaji wa mustakabali? Watetezi wa kiwango cha kijiji, kitaifa na kimataifa ili kuisogeza hali mwelekeo wa umma wanadai kuwa, karibuni kila kijiji kuelekea kwenye hali ya baadae inayotakiwa. kina watu ambao ama wamesafiri sana katika kanda au Mbinu zilizotumika kuzindua mchakato na kuongoza kwa sasa wako nje wakifanyakazi katika miji ya pwani, mdahalo zilitofautiana kutoka nchi moja na nyingine: kama sio ng’ambo, na kwa maana hiyo, mseto wa uzoefu • Nchini Ghana, kwa mfano, timu ya utafiti ilipanua wao pamoja maarifa waliyokuwa nayo kuhusu mazingira wingo wa watafitiwa wa vyama vya msingi na biashara ya uwandani huwafanya wawe washirika muhimu. ili kujumuisha pia shule chache za sekondari na taasisi Mwishowe, iliamuliwa kuwa upatikane ushauri kutoka za mafunzo ambapo wangeweza kupata mwelekeo wa uwaandani kuhusu mipango ya muda mrefu katika nchi kizazi kijacho cha viongozi wa Afrika Magharibi. zote tano. Watafiti wa Kiafrika na wa kimataifa walio- (Mbinu zilizotumika nchini Ghana zinawasilishwa husika wakatayarisha mbinu ya majaribio kwa kufanya kikamilifu mwishoni mwa kiambatisho hiki). mdahalo na uchambuzi kuhusu mustakabali wa jumuia • Nchini Niger na Mali, timu ya utafiti ilitafsiri kijitabu ya karibu na kwa kanda . Kazi hii ilijumuisha kuorodhe- cha wawezeshaji na mwongozo wa mdahalo katika sha wawakilishi kutoka kwenye makundi mbalimbali ya lugha mbalimbali za Kiafrika. kijamii wakati wa ukusanyaji wa data, kujadili na • Nchini Burkina Faso, watafiti waliamua kuuliza kila kutabiri mustakabali. jumuia kuchagua jopo la washiriki kwa mujibu wa umri na jinsia na kufanya kazi kikamilifu na kundi hili lengwa. Mwongozo wa mdahalo wa wenyeji wa mahali • Nchini Senegali, watafiti wa kitaifa waliwapa kila timu ya watafiti wa vijijini seti ya vifaa rahisi vya waweze- Kazi inajumuisha hatua tano zinazofuatana: shaji, ikiwa ni pamoja na ramani ya Afrika, ramani ya 1. Kuchunguza mabadiliko muhimu yaliyotokea katika Senegali, na chati mgeuzo na kalamu. Uwakilishi kati- jumuia ya karibu, nchi zinazozunguka, na kanda nzima ka zoezi hili ulipewa pia umuhimu mkubwa nchini ya Afrika Magharibi kwa kipindi cha miaka thelathini Senegali, timu ya kitaifa ya utafiti ilialika vyama iliyopita, na kwa kuzingatia maeneo matano muhimu ya vyenye mikataba kuendesha mdahalo vyenyewe, kuwa- maisha ya kila siku: pa mafunzo maofisa waliowachagua na kuanzisha • Mazingira mikataba na taasisi hizi za wenyeji ili kuelekeza kazi. • Demografia (idadi ya watu) • Uchumi • Jamii na utamaduni Dira za wenyeji • Siasa Zoezi hili lilichochea hamasa kubwa katika jumuia zote Watafiti walitayarisha muhtasari wa matokeo muhimu zilizoshiriki–jumla zikiwa hamsini na sita katika nchi ya Utafiti wa WALTPS, lakini walijaribu pia kupata mao- zote tano. Matokeo muhimu ya utafiti yanaweza kufu- ni ya wananchi. Swali muhimu lilikuwa, “Mambo yame- pishwa kama ifuatavyo: badilika vipi katika jumuia yako na maeneo yanayoi- 1. Viongozi na wajumbe wa vyama vya msingi vilivyoshi- zunguka katika mambo haya matano muhimu tangu rikishwa—wakiwa wanaume kwa wanawake– walifura- watu wazima vijana walipokuwa watoto wachanga?” hishwa sana na wazo la kutabiri na kujadili musta- 2. Fikiria jambo la msingi ambalo linaweza kuelezea kabali wa jumuia yao, nchi na kanda, na wakawa na mabadiliko haya, uhusiano uliopo kati yao, na mwelekeo uwezo mkubwa wa kushiriki katika zoezi hili. Walifura- wa muda mrefu unaoakisi hayo. hishwa zaidi na: 3. Fikiria hali inayoweza kuwepo katika miakia thela- • kupata kwa mara ya kwanza, fursa ya kushiriki katika thini ijayo–katika maeneo yote matano yaliyotajwa–kama mijadala ya kisiasa kuhusu mikakati ya kimaendeleo na mustakabali wa mazingira yao; 130 Tini za MA 17 • nafasi ya kupata “maoni ya kimifumo” ya mabadiliko itakuwa jambo la lazima hapo baadaye kutegemea zaidi ya mazingira yao na kukosoa shughuli za wenyeji rasilimali na maarifa ya vijijini, na kwamba kutokana ambazo haziendani na maendeleo endelevu; na kukua kwa chuki dhidi ya wageni katika nchi wenye- • utafiti huu wa majaribio unaohusu utaratibu ambao ji, kuhamia nje hakutakuwa tena suluhisho mwafaka. utaviwezesha vyama vya msingi kuandaa mpango wa • Msamaha unakubalika sana mintaarafu tafiti zinazore- muda mrefu wenye mfumo na kuona mahusiano yao jelewa kwa kukosa kutilia maanani kuporomoka kwa katika mazingira mapana zaidi. maadili ya kijamii na mambo ya kimbari na kiutu ya wakati huu. Kuvunjika kwa mfumo asilia wa kifamilia 2. Uchambuzi wao wa mabadiliko yaliyotokea katika na ongezeko la ubinafsi ni mambo ambayo yametajwa ngazi ya mitaa, na sababu zake, na mambo yanayoweza katika maeneo ya mjini na vijijini. kujitokeza kutokana na mabadiliko hayo, lakini ambayo sio moja kwa moja yale yaliyotajwa na waandishi wa tafiti 3. Kuna tabia ya kuelezea wakati uliopita (ukiwaki- mbalimbali zilizorejewa. Mada zifuatazo zilitawala sana lishwa kwa mujibu wa zoezi hili na miaka ya 1960) kwa mdahalo: kusifia: ardhi ilikuwa na rutuba, wanyamapori walikuwa • Mabadiliko makubwa na kero kubwa zilizobainishwa wengi, watu walikuwa wameridhika, n.k. Kwa upande zilikuwa zile zilizo katika maeneo ya kiikolojia na mwingine, matukio ya wakati huu yanaonekana ni kiuchumi, yanayohusiana hasa na kilimo. Uwelewa makali kila mtu anazungumzia utafutaji wa ufumbuzi mkubwa uliosambaa kwa watu wengi kuhusiana na 4. Katika uwanja wa siasa, kipindi cha mwanzo cha uharibifu wa mazingira na nafasi ya binadamu demokrasia kilichoonekana miaka ya hivi karibuni, (ongezeko la watu, njia za kilimo, matumizi ya mali ya kimepewa alama nzuri na washiriki, lakini wamevilaumu asili) katika uharibifu huo ulionekana kila mahali. vyama vya siasa kwa kuleta mfarakano. Maeleze yao • Ijapokuwa inatambuliwa kuwa idadi ya watu kuhusu hali ya baadaye yalijumuisha kutoa umuhimu inaongezeka karibu kila mahali, na wakati huohuo zaidi kwa serikali za mitaa. Karibuni watu wote waliweka mwingiliano baina ya makundi ya kimbari na kijamii umuhimu maalumuu kwenye vyama vinavyoendeshwa umeimarika zaidi, hakuna jambo mojawapo katika kimitaa, biashara za ushirika, na mashirikisho ya vijiji. hayo limetafsiriwa kuwa tatizo au chanzo cha Tatizo la kuunganisha vyama hivi vya msingi na mipango migogoro. Maoni kuhusiana na mpango wa uzazi ya ugawaji madaraka na mipango ya kukuza demokrasia yanatofautiana sasa, hususani kati ya watu wazima na inayotekelezwa sasa limetajwa mara nyingi. wazee, kwa upande mmoja na kati ya vijana na 5. Watafiti ambao wameratibu zoezi hili walizangatia wanawake kwa upande mwingine. Kwa ujumla, kundi sababu kubwa za kupinga mgawanyo wa madaraka la pili linaunga mkono mpango wa uzazi, na kundi la katika ngazi ya mtaa miongoni mwa makundi kwanza wanaelekea kupinga. Mwanamke mmoja yalionufaika na hali ya sasa na kuitisha utungaji wa sera mkulima wa Senegali anasisitiza kuwa “sisi sio zilizo wazi zaidi zinazohusiana na njia za kufuata. mashine za kutengeneza watoto.” Hata hivyo, pater Walifikiria kwamba mfumo wa ugawaji madaraka wa familias (baba wa familia) anayeishi katika jumuia ya kutoka juu kwenda chini ukiunganishwa na vyama jirani, kwa kuangalia maeneo ya Ulaya yenye watu vilivyoanzishwa huko uwandani kwa mfumo wa kutoka wengi zaidi anadai kuwa: zikiwepo rasilimali za chini kwenda juu, labda inawezekana ikawa njia rahisi kutosha, hakutakuwa na matatizo katika kukabiliana kuzuia upinzani kutoka kwa wananchi na vilevile njia ya na ongezeko la watu. kuunda msingi imara wa zoezi la kugawa madaraka. • Washiriki wa mahali husika waliweka mkazo mkubwa 6. Jambo lingine lililotajwa sana na washiriki lilikuwa kwenye uhusiano baina ya maeneo ya mjini na vijijini, ni muungano na ushirikiano mzuri miongoni mwa nchi na kuongelea kukamilishana kwa maeneo haya, maoni za Kisaheli. Hitimisho kubwa lilikuwa kwamba, kwa kiasi ya pande mbili, na hata kubadilisha mwelekeo wa fulani jina lenyewe “Saheli” na uanachama wa CILSS uhamaji mara nyingi kuliko hata namna walivyofanya huonyesha ukubwa wa tatizo, na sio suluhisho. Maen- waandishi wa tafiti zilizorejelewa. Baadhi ya watoa deleo ya kiuchumi katika Afrika Magharibi hutegemea habari walioko mjini na katika majiji walikazia haja ya kwa kiasi kikubwa uunganishaji wa maeneo yasiyo na kuongeza vitegauchumi katika maeneo ya vijijini, bahari na yale ya pwani kwa kupitia mihimili ya mahali ambapo wengi wao wanaendelea kuwa na kaskazini-kusini iliyotumiwa na wafanyabiashara kabla mahusiano nako. ya ukoloni ambayo ilichochea maendeleo ya falme kubwa • Kuna kutambulika kwa ujumla kulikoenea sana kwen- za ukanda huo, lakini zikaja kuvunjiliwa mbali na ye nchi zisizo na bahari kama vile Mali na Niger, kuwa mifumo ya kikoloni. Kwa hiyo, suluhisho la muda mrefu 131 la kudumaa kwa uchumi linaonekana kuhitaji mipango na zana bora zaidi na za kawaida za “uchunguzi wa mipya kati ya nchi za Kisaheli na maeneo ya pwani kama mambo”, upangaji mipango ya kimkakati, na utumiaji wa vile Nigeria, Benin, Ghana, Cote d’Ivoire, Guinea na taarifa ndani ya vyama hivi. Kitendawili kinaweza kuwa Liberia–na kwa nchi zote za Afrika zinazozungumza wakati mbinu ya upangaji wa mradi inakuwa ama Kifaransa/Kiingereza–na kwamba CILSS inaweza haitumiki au inakuwa kitu cha kukosoa ndani ya kusaidia lakini haiwezi kufanya hivyo ndani ya mfumo mashirika ya misaada yenyewe, baadhi ya vyombo hivi wake pekee. vidogo lakini vinavyotumika sana vinaweza kugeuka na kuwa ndio tiketi ya kuingia katika vyama vya kimtaa, jumuia na vitegauchumi. Mafunzo ya kimbinu Mojawapo ya timu za utafiti iliombwa kupendekeza mbinu rahisi ya upangaji wa miradi kwenye chama cha Wakati huohuo, “utafiti wa mpango wa muda mrefu wa kimtaa kilichoshiriki katika zoezi hili la kutabiri hali ya mitaa” ulikuwa kwanza ni jaribio la kutafuta mbinu za baadae, kwa wasiwasi, chama hicho kikapendekeza utekelezaji na pili udadisi kamili wa mitazamo ya mfumo mara moja badala ya ule wa zamani wa muda wananchi kuhusu mustakabali wa Afrika Magharibi. mrefu. Kwa mshangao wa watafiti, jambo hili lilikuwa Washiriki katika warsha ya kuhitimisha walikuwa na pigo la papo kwa papo, kwa sababu wametoa “sampuli” fikra kwamba faida ya muda mrefu ya mbinu iliyojari- cha kukusanyia maoni ya kimtaa juu ya hali ya baadae biwa katika zoezi hili itatokana na kugeuzwa kwake inayowezekana kuwa na uwekezaji unaofaa. Labda kuwa mkakati na chombo cha kujifanyia tathmini na cha mapungufu yake kwa kiasi kikubwa ni matokeo kuwekea mipango ya kimkakati ya vyama mbalimbali vya yanayoweza kutokea kwa kukitumiachama katika msingi na biashara vilivyoshiriki katika zoezi hili. kiwango kisicho, yaani kiwango cha kati badala ya Chombo hiki kinakosekana kabisa katika vyama vingi, kiwango cha kimtaa. Ni kwa kiasi gani utendaji wa ambavyo mara chache sana huwa na mbinu za kuji- shirika la ufadhili na shirika la kiserikali yanayokosolewa tathmini, uhifadhi wa taarifa, upataji wa taarifa zilizo- sasa yanaweza kuthibitisha kuwa ni chachu kama hifadhiwa na upangaji mipango. yataachwa mikononi mwa watendaji wa kimtaa? Matokeo ya utafiti yameonyesha jambo moja lingine muhimu. Jambo hili ni kuwepo kwa haja kubwa ya kuwa Usimamizi Shirikishi na Utamaduni wa Mhali: Methali na Mikabala Makala hii inatokana na utafiti ulifanywa na watafiti wenyeji kwa msaada wa usimamizi wa kiufundi wa Peter Easton, Profesa Mshiriki, Mafunzo ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima katika Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida. Pamoja na ushirikiano na jamii husika za Kiafrika. Utafiti umefanywa chini ya juhudi za pamoja za Klabu ya Saheli/OECD na kamati za Kijimbo za kupambana na ukame katika Sahel na Chama cha Maendeleo ya Elimu katika Afrika. Mara nyingi tathmini inafikiriwa ni Tathmini: Agizo kutoka nje au shughuli inayohitajiwa na wafadhili, tendo-hiari la wenyeji? kimsingi kutoka nje hadi utamaduni wa wenyeji—ni ujuzi na njia ya kufi- Mitazamo hii inaimarisha umuhimu kiri kuwa ni suala la kigeni. Kama wa wenyeji kushiriki na “umilikaji” siyo tu linatishia wanufaikaji wa pro- wa juhudi za tathmini. Hata hivyo gramu na wafanyakazi wake pia. wanaweza wasigusie jambo lenyewe Mambo mengi yamefanywa katika kikamilifu. Je mawazo ya uwajibi- kaji, kupima utendaji na kufanya Tini za MA 18 miaka ya hivi karibuni katika kuan- zisha mifumo shirikishi na wenye maamuzi yanayojikita kwenye data March 2000 bila kulazimishwa au yanazingatia kutoa uwezo wa kutathmini progra- mu ambayo inawapa wafanyakazi na analojia inayowahusu wenyeji? Ka- wadau wajibu tendani wa kutoa ma hivyo ndivyo, kuna uhusiano gani maoni ya jinsi tathmini inavyoende- na unachukuliwaje na kutumiwa ka- shwa na jinsi matokeo yake yanavyo- tika tathmini ili kuifanya iwe zana tafsiriwa. Njia bunifu zimepatikana ya wenyeji na teknolojia sahihi? ili kuoanisha ushiriki huu uliozoele- Swali lina umuhimu mkubwa wakti ka kwa kuongeza nguvu zaidi, kua- wa enzi ya kuongezeka kwa ugatuaji minika na kuwa na matokeo wakili- katika utawala na elimu ambapo shi kupitia nyenzo zifaazo toka kwa mitazamo inayofanikiwa kwa mane- wadau. Zaidi ya hayo, kumekuwapo jimenti binafsi ya kweli bado ipo na ongezeko la utambuzi wa hali ya katika hatua ushawishi. juu wa athari za tathmini za progra- Ukweli ni kuwa moja ya matokeo mu zinazotokana na usimamizi ma- yasiyotegemewa ya kufanya tathmini kini wa siku kwa siku na maelekezo shirikishi katika Afrika Magharibi ni ya michakato halisi kwa wanaohusi- kuingiza tabia na mitazamo ya wen- ka na maana ya matokeo ya kitakwi- yeji katika tathmini. Kufanya hivi mu yanakuwa na tafsiri zaidi ya moja kunasaidia kuwa na msingi wa uan- hadi hapo yatakapotafsiriwa, na ma- zishaji wa mbinu za tathmini zifaazo. kundi ya wadau tofauti yanayohusi- Moja ya njia ya ugunduzi ni kwa ku- ka, wakati mwingine matokeo hayo tumia methali zinazoelezea tabia za hujipinga. wenyeji na uelewa wao kuhusu ma- suala ya nayo husiana na tathmini kama uwajibikaji, utendaji wa kazi na wajibu wa jamii. 132 133 Methali: Mila katika mwendo program ambapo matokeo yaliyotangazwa yalionekana kuwa mbali na ukweli uliokuwapo uwandani. Mmoja wa Katika kanda yote, methali zinakuwa dirisha la kishairi watafiti alitoa methali toka nchi ya Niger iliyoonekana lililotoa kwa muhtasari wa juu uzoefu wa binadamu na kueleza hali ilivyokuwa kwa lugha ya mkato yenye jinsi wenyeji wanavyouelewa ulimwengu. Neno lenyewe ucheshi mzuri: Da an ce da kare tuwo ya yi yawa a gidan “methali” linaeleza ukweli katika mila nyingi za biki, ya ce imagani a kas!: “mbwa alivyoelezwa kuwa kitamaduni. Kwa mfano katika lugha ya Kihausa neno ni kuna chakula kwa kila mmoja katika tafrija ya harusi, “karini Magana” likiwa na maana “hotuba iliyofungwa”. alijibu, “tutahakikisha hilo huko huko chini ya meza.” Methali za Kiafrika zina aina ya muundo uliopembuliwa Ukweli ni kuwa kunaweza kuwa na aina zote za ambapo maana imefungwa ndani na kuleta uhusiano kati vyakula mezani katika tafrija, lakini mpaka vifikie chini ya uzoefu wa sasa katika nyanja tofauti unaoleta mwanga kabisa mbwa anaweza kuwa hana sehemu yoyote. Hivyo mpya juu ya mambo na mpangilio wa mtazamo. Hai- ndivyo ilivyo kwa programu nyingi za maendeleo: mambo shangazi kuwa uzoefu huu mara nyingi hauhitaji mengi yanayosemwa hayalingani na faida wanazopata kufundishwa ambapo wahakiki wa kisasa wanapenda washiriki katika kiwango cha kijiji. Na ni ukweli kuwa kuuita “ufunguaji” unaweza kuwa ni ushairi ili kuuwe- tofauti hii inafanya tathmini isaidie upimaji. kea ufahamu wa finomena ya pamoja kama katika kusan- Kitu kinachofurahisha hapa si umuhimu wa methali yiko lolote la kisiasa. zinapotumiwa wakati wa masuala ya tathmini, lakini kwa Katika methali za kiafrika kuna mpya na za zamani. Ni kuwa zina ukweli na uhusiano wa kutia uchungu mara chache zinafungwa katika vitabu vya busara. zilieleweka haraka na kukubaliwa na watu wa kundi la Methali mpya zinabuniwa muda wote na methali za za- jamii jirani. Msemo huo ukawa kama wito kwa ajili ya mani zinaondoka katika matumizi, ni mchakato unaoen- tathmini. delea na wanasimu wanauita “ubunifu wa msamiati” wakati huo huo methali hazitoi majibu ya mizimuni. Kwa kila methali, inasemekana ipo nyingine inayoeleza wazo Uwajibikaji na ufanisi la kinyume. Methali ni karibu sawa na lugha ya fikra. Hata hivyo, methali zinakuwa njia ya kuhusisha mambo Uwajibikaji unaweza kuonekana kama fikra iliyoletwa. ya sasa na uzoefu wa kihistoria wa kundi na kusaidia Lakini msemo wa Kihausa wa kipindi kilichopita kuhakikisha uendelezaji wa mshikamano wa mifumo ya unajumuisha taswira zinazofahamika katika tamaduni amali na motisha inayohimiza juhudi mpya. Kama nyingi za Afrika Magharibi: In ba kira, me ya ci gawai? msemo kutoka lugha ya Ewe, ya Mashariki mwa nchi ya “Kama hakuna kitu kilichoundwa nini nimetokea kwa Ghana unavyoweka wazi, ka xoxoa nu wogbia yeyea ƒo— makaa?” “kamba mpya inasukwa mwishoni mwa ya zamani”. Uhunzi bado unafanywa katika maeneo mengi ya Afrika Magharibi kwa kutumia moto wa mkaa. Lakini rasilimali hii muhimu imetumika na hakuna kilicho- Tathmini na utendaji tengenezwa, kuna sababu tu inayohusika. Ufanisi ni jambo la kuliangalia mara kwa mara. Kibeti, Kufikiria kuwa hakukuwa na uwajibikaji kwa rasilimali lugha ya Cameroon inaweka suala hili katika uwazi: Fà è katika ngazi ya vijiji kabla ya uafuaji wa programu rasmi tèbé nèbài è dùgàn à àbam: “Kama panga halitaki kukata za maendeleo ni kama kudhani kuwa hakuna mtu kichaka ni bora ulirudishe kwenye ala. aliyejifunza kitu chochote kabla ya shule rasmi kuanzi- “Ufanisi” siyo dhana ya kigeni. Misemo mingi ya shwa au kilimo hakikuwapo kabla ya kufika kwa wakala kienyeji inadokeza tatizo la michakato ya kijamii inayotoa wa uenezi/upanuzi wa kilimo. Methali toka lugha ya Ki- matokeo mabaya au bila ya matokeo yoyote. Hasara za niger inatukumbusha: Kunkuru ya san makamar matar- kiutendaji ambapo uwiano wa pembejeo na mazao ni shi: “Kobe anajua jinsi ya kumkumbatia mkewe”. mdogo kwa kutumia istilahi ya wapanga mipango. Moja Kwa kifupi, baadhi ya vitu vinaweza kuonekana ya methali inayosifika inatoka lugha ya Wolof ya Senegali havieleweki kwa mtu wa nje lakini kwa kuwa vinahusu “Kumi wanachimba, kumi wanajaza vumbi jingi, lakini afya ya msingi na ustawi wa watu unaweza kuwa na hakuna shimo.” Maoni hayahitajiki! uhakika wale waliohusika walitoa majibu kwa angalau kujiridhisha kwa kiasi fulani muda mrefu uliopita. Tukiangalia nyuma tathmini ya kisomo chenye manu- faa katika Jamhuri ya Mali kwa miongo miwili iliyopita. Kuna kukata tamaa kutokana na matatizo ya kufuatilia 134 Tini za MA 18 Kufanya maamuzi ya pamoja kwa mara, Wahausa wanatoa maoni kwa wepesi kabisa: Ba a gardamar noma ga damana: “Hakuna sababu ya Kufanya tathimini ni njia moja ya kufanya maamuzi ya kujadili stadi za kilimo wakati wa masika!” Kwa kifupi pamoja juu ya matumizi ya rasilimali na malengo sahihi acha kila mtu atumie mbinu yake katika kulima shamba ya maisha ya jumuia. Tathmini shirikishi inalifanya lengo lake, na matokeo halisi tutayona muda si mrefu. liwe linarudiwarudiwa mara kwa mara. Utamaduni wa Msemo mashuhuri wa lugha ya Kiewe unasisitiza Afrika Magharibi ni tajiri kwa busara kuhusu umuhimu umuhimu wa kulinganisha taarifa katika madhari yote. wa ushirikiano katika kufanya maamuzi na njia za “Mkulima ambaye hajapata kwenda zaidi ya shamba lake kuufikia. Lugha ya kihausa inaeleza suala hilo kwa mane- atasema mbinu zake ni bora zaidi” Usemi mwingine wa no machache: Kihausa unasisitiza hali ya mazingira ambayo inapaswa Shawara d’awakar d’aki “kufanya maamuzi ni kama kufahamika ili kueleza mwenendo usiotarajiwa Abin day kuweka paa kwenye kibanda”. Kwa kifupi kila mtu a ka’da kusu wuta, ya hi wuta zahi: “Kile kilichofanya lazima ainame na kuinua kwa pamoja! panya kurukia moto ni lazima kiwe cha moto zaidi kuliko Msemo wa lugha ya Kiewe unatoa msisitizo juu ya moto wenyewe”. suala hili na hususan umuhimu wa tathmini. “Nunya Wakati huo huo uwiano wa maelezo yote ya vitendo avemexevie ame ƒeka me len o. “Maarifa ni kama ndege na hivyo na umuhimu wa kugawa tafsiri ikiwa ni pamoja na msitu: mtu mmoja pekee hawezi kumkamata.” zile zilizowasilishwa vizuri, unaelezwa vizuri na methali Wakati huohuo, methali mara nyingi huweka wazi nyingine kutoka Bara la Afrika, hii ni kutoka Zimbabwe ukweli unaotofautiana, ni kitu muhimu katika kufanya “Hadithi za uwindaji zitakuwa vitendawili vya fahari uamuzi na kwamba hakuna kitu kinachokuwa na tafsiri mpaka siku wanyama watakapokuwa na wanahistoria moja tu. Sira kelen sira tè. Watu wa Malinke wanasema wao!” “Njia moja si njia kabisa”. Na lugha ya Kihausa ina namna mbili nzuri za kueleza diplomasia na uungwana ambao ujenzi wa maamuzi ya Kujitawala na kujipima pamoja lazima ushughulikiwe: Girma da arziki kan sa jan sad a abawa: Ni kutokana na kuheshimu na wema Kujipima ni stadi muhimu katika kujitawala. Methali za unaomfanya mtu aongoze ng’ombe dume akiwa na Kiafrika zinatoa idadi kubwa ya utambuzi husiani. kipande cha kamba. Msemo toka kabila la Morè la huko Burkina Faso Makiyayen kwadi ya yi hankali da sandarshi! unatumia taswira nzito kutukumbusha kuwa hatujawa “Mchunga kundi la chura anahitaji kuwa na subira!” huru bila zana na rasilimali zetu wenyewe: “Yule Vyura haviendi kwa fimbo yake kwa kasi au vyote uelekeo anayelalia mkeka wa kuazima atambue kuwa analala mmoja bali vina ngozi laini na ni viumbe vinavyoweza kwenye baridi, baridi ya chini”. kudhurika kwa urahisi na iwapo mchungaji anaviangalia Lugha ya Wolof inaizungumzia dhana hiyo tofauti akipata hasira na kuanza kuvichapa na fimbo yake ana kidogo lakini ikiwa na athari kidogo: ku la abal I tànk, uhakika wa kuvichakaza baadhi yake. nga deni fa ko neex. “Azima miguu ya mtu na utaenda kule anakotaka yeye uende”. Lakini kuchukua usukani wa majaliwa ya mtu Uchambuzi wa matendo jarabati na sababishi kunahitaji uwezo: Barawon kakaki bay a da iko ya busa shi, katika Kihausa wanasema “yule anayeiba tarumbeta Ushahidi mara nyingi si muhimu sana katika tamaduni la chifu hana nguvu za kulipiga”. Na inahitaji uwezo na za wenyeji wa Afrika Magharibi kuliko ilivyo katika moyo wa kujituma ili kupima na kujisahihisha makosa. utamaduni wa nchi za Magharibi za kisayansi, ingawaje Katika lugha ya Kibambara wanasema Sa kògòlen be haiwezi kuchukuliwa kwa namna moja mara zote. Ukweli dogo “Nyoka aliyefichwa anakua na kuwa mkubwa. Hii ni kama Levi Strauss anavyoeleza katika kitabu chake La ina maana makosa na udhaifu tusiourekebisha unakuwa sience du concret “Mila ni utamaduni uliofungamana mbaya zaidi. Na lugha ya Kihausa inaongezea Ranar zaidi kwenye data halisi” ya uzoefu kuliko ule wa wanka ba a b’oyon cibiya. “Katika siku ya kuoga hakuna kitaaluma. Vitendo vya wenyeji ni matokeo ya miaka sababu ya kuficha kitovu!”. mingi ya kuangalia, kubahatisha na majaribio. Tendohisia hizi ni muhimu katika tathmini na zinaelez- wa katika methali na misemo kadhaa katika kanda yote. Katika kupima, mbali na vitu vingine chaguo la sera na madai ya ubadhilifu yanayofanywa na wanasiasa ya mara 135 Lugha ya kuhamasisha utambuzi wa wenyeji utamaduni wenyewe. Mtazamo huu unakuwa ndiyo msingi wa kusaidia wanufaika kuanzisha teknolojia Matumizi ya methali za kienyeji katika tathmini ambayo inaendana na utamaduni wa kidemokrasia wa yamesaidia mambo mawili: Kwanza inaweza kutoa kujitawala na la muhimu zaidi ni wao wenyewe kuwa na mwanga mpya kwa mitukutiko ya kijamii inayoathiri madaraka. utekelezaji wa programu, kama matone haya machache Gyorgy Szell alisema kuwa kigawo cha kawaida cha katika utamaduni wa wenyeji—ambapo mengi yake kanuni za imani katika harakati za menejimenti yanafanana na kutambuliwa na makabila mengi, na shirikishi za maendeleo ya wakati huu ni fikra kuwa unaeleza ukweli unaohusu tabia ya mtu binafsi na tabia “mtaalamu wa kazi ya mfanyakazi hatimaye ni mfanya- ya pamoja. kazi mwenyewe” Methali ya Kihausa inaliweka wazo hilo Zaidi ya umuhimu huo, methali na misemo inatoa njia tofauti kidogo lakini katika hali karibu sawa: Kome yak e ya kuonyesha kuwa tathmini na uwajibikaji na fikra cikin aikin d’an tsako, shaho ya dade da saninsh: “Kwa kama hizo za kuongeza umuhimu wa ugatuaji na kila kihusucho tabia ya kifaranga [unaweza kuwa na maendeleo ya wenyeji siyo vitu vigeni bali ni vipengee vya uhakika kuwa] mwewe alianza kujifunza haya muda masuala husika ambayo ni ya zamani kama ulivyo mrefu uliopita”. Maarifa Asilia na Haki za Amali za Kiakili Makala hii imeandikwa na Siddhartha Prakash wa Kanda ya Afrika, Benki ya Dunia. Imetolewa kwa kifupi kwa ruhusa ya mchapishaji wa awali: “Towards a synergy between biodiversity and intellectual property rights” na S. Prakash, Septemba 1999, Jarida la World Intellectual Property, Juzuu 2 No. 5. Biashara ya kimataifa katika rasili- arifa asilia na rasilimali. Ulianzisha mali za kijenetiki mara nyingi hure- kiunzi kusaidia upatikaji wa rasili- jewa kama biashara ya bio ambayo ni mali za kijenetiki na njia za halali na kitegauchumi cha juu kwa hivi sasa. kugawana faida kwa usawa. Mauzo ya dawa kwa kuzingatia dawa Miliki ya kitaaluma ni njia ya ku- ya asili peke yake yanafikia zaidi ya pata umiliki wa rasilimali maalumu dola za Marekani bilioni 32 (bilioni ambayo kwa asili yake haipimiki. moja ni sawa na milioni 1000) kwa Kwa kawaida inahusu kulinda aina Tini za MA 19 mwaka. Inakadiriwa kuwa kwa ku- fulani ya ugunduzi uliyovumbuliwa Aprili 2000 shauriwana na wenyeji watafuta bio kwa akili za mwanadamu. Hii inaju- wanaweza kuongeza uwiano wa ma- muisha uvumbuzi wa aina mbalim- fanikio katika majaribio toka sampu- bali toka muziki mpya, riwaya, dawa li moja kati ya 10,000 hadi moja kwa hadi programu za komputa na mazao sampuli mbili. Uzoefu wa mtaalam yaliyopatikana kutokana na matumi- mwingine unaonyesha kuwa maarifa zi ya maarifa asilia. asilia yanaongeza ufanisi wa kuchuja CBD ulianzisha wazo la haki miliki mimea yenye sifa za dawa kwa asili- kitaaluma kama mkakati wa kuhifa- mia 400. Bila nyenzo za maarifa asi- dhi biolojia anuwai kwa kuzipa nchi lia dawa mengi muhimu yanayotu- haki ya kisheria juu ya rasilimali zao. miwa sana leo yasingekuwapo Hii ilikamilishwa na Mkataba wa Kabla ya mwaka 1992 maarifa asi- Biashara unaohusiana na haki mili- lia na rasilimali yalionekana kama ni ki. kitaaluma (Agreement on Trade- urithi wa kawaida wa binadamu. Ha- Related Intellectual Property Rights kukua na sheria za kimataifa (katika —TRIPS). Kuhusisha TRIPS katika nchi nyingi) kuhusu upatikanaji wa mfumo mkuu wa WTO kulianzisha rasilimali za kijenetiki. Matokeo ya- nidhamu mpya kwa nchi nyingi kati- ke kulikuwa na ongezeko la matumi- ka hatua za hakimiliki, viashiria vya zi ya kibiashara ya maarifa na rasi- kijiografia, alama za biashara na usa- limali za kibiolojia za watu wa asili. nifu wa viwanda. Madhumuni ma- Kumalizika kwa rasilimali za ki- kubwa ya mkataba ni kuanzisha vi- mazingira na haja ya kuwatunza wa- wango vya kimataifa kwa ulinzi wa tumiaji na watoaji kumesababisha chini wa haki miliki kitaaluma. kuanzishwa kwa mkataba wa Biolo- (Intellectual Property Right (IPR) jia anuwai (Convention on Biologica protection). Diversity CBD) ambao kwa mara ya kwanza ulitambua thamani ya ma- 136 137 Haki ya amali za kiakili: mgogoro au nguvu ya pamoja? Kuelekea katika nguvu ya pamoja Ulindaji wa maarifa asilia na rasilimali kwa kuanzisha Mambo haya yanaweza kusuluhishwa kwa kufanyia kazi IPRS kunakuza au kuzuia upelekaji wa faida sawa za katika kiunzi cha TRIPS kwa kutumia aina mbalimbali kiuchumi kwa watunzaji? Wahakiki wanadai kuwa IPRS za haki miliki kitaaluma. Hizi ni pamoja na viashiria vya ni tishio kwa bioanuwai kwa kupunguza upatikanaji wa kijiografia ambavyo vinatumika zaidi kwa ugunduzi rasilimali na mazao yanayopatikana kutokana na rasili- wenye misingi ya kijumuia. Uwezekano mwingine ni mali hizo. Kuna kuhimiza kampuni kuweka hataza kwa kupanua upeo wa IPRS kujumuisha wazo la Haki za ugunduzi unaotokana na rasilimali na maarifa asilia bila Kijumuia. Hii inaweza kujumuisha kundi la watu wa aina kugawana sawa na jumuia hizo faida ya kibiashara. yake na kuwa na aina za ulindaji ambazo zinaweza kuwa Watetezi wa TRIPS wanadai kuwa inahimiza uhawili- bora zaidi kuliko hataza. shaji wa teknolojia ambao ungekuwa mkakati mmoja wa Baadhi wanashauri kuwa sheria za hataza zirekebish- kugawana sawa manufaa yanayopatikana. Kuna pia we ili kuhakikisha kuwa matumizi yote ya hataza yana- masuala mengine yanayoibuka kwenye mjadala ambayo onyesha nchi ya asili ya nyenzo za kibiolojia na maarifa yatashughulikiwa na kulinganishwa kwa kuangalia mika- asilia yaliyotumika kupata uvumbuzi. Suala linalohusu kati ya kufanyia kazi katika mfumo wa IPR na kupanua ukatazaji wa matumizi ya uvumbuzi wa asili ni haja ya wigo wake pale itapoonekana kuna umuhimu wa kuwa na nyaraka. Tatizo la mazoea ya asili ni kuwa yana- kuhifadhi maarifa asilia na bioanuwai. rithishwa toka kizazi kimoja hadi kingine kupitia masi- mulizi ya mdomo na siyo kumbukumbu za kimaandishi. Ili kuzuia maarifa ya jadi yaliyo tayari katika miliki ya Matatizo ya utumikaji umma yasiwekewe hataza kama uvumbuzi mpya katika Asili ya utofauti wa IPR mbalimbali unazua matatizo ka- nchi nyingine, ni lazima kuwa na nyaraka za kimaandishi dhaa inapotumiwa na jumuia za wenyeji. Zinashindwa kuo- ya desturi hizo. Kwa njia hii, jumuia asilia zinaweza ku- na kuwa jumuia hizi zina mtazamo mpana kuhusu mazingi- pinga hataza zinazotolewa kwa wengine kwa desturi za ra yao. Jumuia hizo zinaona vigumu kutofautisha rasilimali kijadi ambazo ni za kwao. Kanzi ya maarifa asilia ya Ben- kutoka riziki wanaoyopata hadi ubainishi wa kiuchumi na ki ya Dunia na juhudi kama hizo zilizoanzishwa na WIPO rasilimali za jamii. za kusajili desturi za jadi ni juhudi zenye mwelekeo huu. Kwa jinsi IPR inavyohusika, hii inaleta tatizo lingine. Ni Zaidi ya hayo, uanzishwaji wa usajili wa maarifa ya jadi kwa namna gani mtu atatafsiri uvumbuzi na mfaidika kati- utasaidia kugawana faida kati ya viwanda na jumuia za ka jumuia za wenyeji, kutokana na uhitaji wa kuwa upekee wenyeji. Hizo zinaweza kuunga mkono hatua zinazohu- na usio wa kawaida. Katika jumuia nyingi za asili maarifa ya- siana na IPR kama vile kuimarisha hadhi ya maarifa asi- napatikana baada ya muda na yanarithishwa toka kizazi ki- lia kama sanaa tangulizi inayowezesha machapisho ya moja hadi kizazi kingine. Kupitia mchakato huu maarifa ya- kujilinda. naendelea kuibuka na kujibadili. Kwa hiyo, ni vigumu kuse- Mbali na hataza, kuna njia nyingine ambazo zinafaa ma kwa uhakika wakati ambapo maarifa ya aina fulani ndi- ambazo ni kuanzisha hakimiliki kitaaluma juu ya maarifa po yalipovumbuliwa na lini yaliingia kwenye miliki ya umma. asilia na rasilimali. Hii ni pamoja na matumizi ya Kipengele cha pili cha mtanzuko unahusu kipengele cha viashiria vya kijiografia (majina ya mahali au neno maarifa asilia ya jumuia. yaliyoanzishwa kwa kushirikiana linalohusiana na mahali ili kubainisha asili, aina na ubora kwa wanajumuia kama vile wazee ambao wana busara wa zao. Kwa mfano “chai ya Darjeeling). Juhudi hizi ni za zitokanazo na uzoefu wa miaka nenda rudi ambao pekee katika kunufaisha mila za pamoja na wakati huo unaongeza thamani zaidi ya maarifa. Kwa maana hii kila huo kuruhusu mabadiliko. Inasisitizia uhusiano kati ya wakati yamekuwa katika miliki ya umma wa jumuia na tamaduni za binadamu na mazingira yao, na kuweza hivyo kushindwa kufikia kigezo cha kuwa sio maarifa ya kutunzwa mradi tu mila za pamoja zinadumishwa. kawaida. Wakati jumuia yote inahusika na uibukaji wa Hakuna tatizo iwapo mgunduzi ni mtu binafsi, familia au maarifa asilia utawezaje kubainisha mgunduzi? Tatizo shirika kubwa. Jumuia asilia zinadai maarifa yao linakuwa la kutatanisha zaidi ambapo maarifa asilia yasinunuliwe au kuuzwa ovyo. Vivyo hivyo viashiria vya yanayofanana yanatumiwa na jumuia tofauti katika kijiografia vinakosa sifa asilia za miliki binafsi za kuweza ulimwengu. Kwa mfano kama mtishamba fulani kuhamishika kwa urahisi. unatumiwa na Wamasai wa Kenya na wakati huo huo Aina mojawapo ya ulinzi ni kuwa na hakimiliki na siri unatumiwa na Wahindi wa misitu ya Amazon ni kwa za biashara. Hakimiliki mara nyingi inatumika kulinda namna gani mtu atabainisha mgunduzi halali. amali za jadi zisidurufiwe bila idhini. WIPO imelinda 138 Tini za MA 19 sanaa za jadi toka sehemu mbalimbali ulimwenguni kama Sui generis inatoa uwezekano wa kwenda zaidi ya aina hakimiliki. Siri za biashara ni njia ya kulinda taarifa za za jadi za IPR na kuangalia mbinu nyingine za kureke- siri ambazo zinaweza kuzipa biashara nyingine faida bisha fursa ya kupata rasilimali na ugawanaji sawa wa fai- katika ushindani. Siri za biashara zinaweza kuwa njia da. Hizi zinaweza kujumuisha mikataba kati ya watumiaji zifaazo kulinda maarifa asilia. Jumuia za wenyeji na walindaji wa rasilimali kama ule mikataba ya Uhawili- zinaweza kuzuia uingiaji katika maeneo yao na taarifa zao shaji Nyenzo (Material Transfer Agreements). Kwa mfano, kwenda nje kupitia mikataba ambao ina usiri na manufaa katika nchi ya Cameroon Taasisi ya Kanzaya Taifa ya Ma- kiuchumi. Hayo yamefanyika katika nchi kama Ecuador rekani ilitia sahihi mkataba na serikali kufuatia ugunduzi kwa masada wa Inter-American Development Bank. wa spishi za mmea wa msituni ambao una kemikali zinazo- weza kupambana na UKIMWI. Cameroon inatoa sampuli za mimea kwa malipo ambayo yanatumiwa na jumuia za Sui generis: Fursa na ugawanaji manufaa ya haki sawa asili katika miradi ya maendeleo ya kuhifadhi misitu. Baadhi ya mambo yenye utata yanayozizunguka IPR Wengine wanadai kuwa mfumo sui generis ambao una- mbalimbali inahusu ulinzi wa aina mbalimbali za spishii ruhusu kufanya mabadiliko katika aina ya kinga inayoto- za mimea. Mkataba wa TRIPS unasema kuwa wanacha- lewa unahitaji kupanuliwa zaidi kuingiza haki za jumuia ma wanaweza kujitoa kutoka katika hataza. na haki za rasilimali za jadi. AZISE kama vile mtandao “Mimea na wanyama mbali na viumbe wadogo sana wa Nchi za Dunia ya Tatu (Third World Network) zinate- na hasa michakato ya kibiolojia ya kuzalisha mimea na tea kuwa na utaratibu wa haki mbadala unaoakisi utama- wanyama mbali na michakato isiyo ya kibaiolojia na duni na kuthamini mfumo wa jumuia za wenyeji. Wana- maikrobiolojia. Hata hivyo Wanachama watatoa ulinzi dai kuwa tukizingatia hali ya mitukutiko ya maarifa asi- kwa aina za mimea kwa kutumia hataza au kwa lia, dhana ya “uvumbuzi” inahitaji kufasiriwa upya zaidi kutumia mfumo wajumla ufaao au kwa kutumia ya kuwa tu uvumbuzi wa viwandani. Hili linaweza mchanganyiko wowote”—(Ibara 27.3b). kuingizwa kwenye haki za jumuia. Wanataaluma wana mtazamo wa jumla ulio juu Sui generis inarejea kwenye mbinu za ulinzi mbali na unaounganisha haki miliki, sheria za jadi na desturi. Wana- matumizi ya hataza. Aina iliyozoeleka ya kinga ya sui dai kuwa maarifa asilia hayawezi kutengwa kutoka haki za generis kwa aina mpya za mimea inahusisha aina fulani ya asili kama vile haki za binadamu, haki ya ardhi na kuji- haki za wazalisha mimea (plant breeders rights) katika tawala. Njia moja ya ufumbuzi ni mtazamo wa kuungani- kiwango cha kimataifa zipo nchi zilizoungana pamoja sha haki mbalimbali kwa kuanzisha haki za rasilimali za ja- katika Umoja wa Kimataifa wa Ulinzi wa Aina Mpya za di ambazo zinaweza kutoa kiunzi cha kanuni zinazoshikiria Mimea na zilifanya majadiliano ya mkataba wa Ulinzi wa haki za jumuia za jadi. Hizi zinaweza kuwa mwongozo wa Aina mpya za Mimea. Mkataba uliweka viwango vya chini haki nyingine kama vile Haki Miliki ya sui generis. vya kinga ambayo mifumo ya Kitaifa inaweza kukubaliana. Hii inawawesha wazalishaji kufaidi kile kinachoitwa Hitimisho “upendeleo kwa wazalishaji” unaowapa wazalishaji uhuru wa kutumia aina za mimea inayokingwa katika programu Haki miliki kitaaluma inaweza kuwa mnjia sahihi ya kulin- za uzalishaji ili kupata aina nyingine za mimea. da mifumo ya maarifa asilia na aina mbalimbali za mimea. Aina kama hii ya ulinzi imefanya nchi hususani Matini hii inasisitiza umuhimu mkubwa wa kuweka katika zinazoendelea ziwe na mambo ya kujiuliza, mengi ya hayo maandishi maarifa asilia ambayo yanaweza kutumiwa ba- ni uvumi huo na msingi. Kuna woga, kwa mfano adaye kupinga madai ya hataza za maarifa ambayo tayari wakulima hawataweza tena kuruhusiwa kuendelea na yamo katika miliki ya umma. Pili, inadokeza manufaa ya ai- kilimo chao cha jadi kutokana na kuwa na ulinzi wa aina na nyingine za haki miliki za kitaaluma kuliko hataza kama ya hataza au sui generis unaotolewa kwa zao ambao vile viashiria vya kijiografia. Hizi zinaweza kuwa na manu- wamelitumia kwa muda mrefu, woga huu si wa kweli. faa zaidi kwa jumuia asilia zinazohitaji kurekebisha upatika- Zao au mchakato uliotumiwa na umma sio mpya na naji rasilimali zao. Kama zitakavyotumiwa kwenye maarifa hivyo hauwezi kuwekewa hataza. Ni aina mpya tu za mi- yanayoibuka baada ya muda na kuwa nyenzo za jumuia ya mea ndizo zitawekewa kinga na hata hivyo ni juu ya mza- wenyeji kwa ujumla. Hii inatoa nafasi ya kupanua mkataba lishaji kutafuta kinga. Siyo lazima. Hivyo wakulima wa- wa TRIPS ili kuhakikisha kuwa hataza inaonyesha asili ya naweza kuhifadhi mbegu kutoka mavuno yao kwa ajili ya rasilimali za kijenetiki na matumizi ya maarifa asilia na kupanda katika mashamba yao (hii imekuja kujulikana kuichukulia sui generis kuwa aina ya miliki kitaaluma kama kama “upendeleo wa wakulima”). haki za jumuia ili kuhakikisha ugawanaji sawa wa manufaa. Kuingia kwenye Uchumi wa Mijini katika Afrika Kusini mwa Sahara Uvumbuzi Mpya wa Uanagenzi na Taratibu za Kuingia Utu Uzima Msingi wa makala hii ni utafiti uliofanywa na watafiti wenyeji kwa msaada na ushauri wa kiufundi wa Prof. Peter Easton wa Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida, wakishirikiana na baadhi ya jumuiya za Kiafrika. Utafiti ulifadhiliwa na Club du Sahel/OECD, CILSS na ADEA. Jamii nyingi za kimapokeo katika labu makazi ya kudumu ambao Afrika Kusini mwa Sahara zina wanazurura katika barabara kuu na mifumo mizuri ya kuwaingiza vijana ndogo za miji ya Afrika. katika desturi, stadi na uelewa wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na utu uzima. Mifumo hiyo hujumuisha ‘NGO’ nyingi zinazoshughulikia sua- vyama vya marika, unyago na jando, la hili huwachukulia watoto wa mi- na uanagenzi katika stadi mbalim- taani kama kikundi cha watoto bali za uzalishaji mali. wanaofanya kazi—yaani, watoto wa- Tini za MA 20 Utaratibu wa kimapokeo kwa ajili dogo ambao hawajafikia umri rasmi Juni 2000 ya uanagenzi na jando na unyago ba- wa kuajiriwa au hawajakomaa kija- do una mashiko katika jumuiya za mii ambao wanafanya kazi katika vijiji ilihali unalegalega kwenye mae- mazingira yenye kuleta madhara neo ya pembezoni mwa miji miongoni katika makuzi na maendeleo yao. mwa watu ambao njaa, ukosefu wa Watoto wengi katika jamii zina- ajira au mvuto wa maisha mazuri zai- zoendelea, ni kweli, kuwa wanafanya di umewafanya wakimbilie mijini. kazi na wataendelea kufanya kazi. Hapana shaka kuna mambo mbalim- Changamoto iliyo sahihi zaidi sio bali yanayounganisha maeneo haya kukataza aina zote za kazi kwa wato- mawili, na vyama vya wahamiaji to wenye umri mdogo, bali kuhakiki- kutoka vijiji na mikoa mbalimbali ni sha kwamba watoto hawalazimishwi mambo ya kawaida mijini. kufanya kazi zisizofaa na za hatari kwa sababu ya kuokoa maisha yao, na kwamba wapatiwe fursa nzuri za Kizazi Kilichoachwa Kifanye kuingia katika maisha ya utu uzima. Kipendavyo Lakini hali mbaya ya watoto wa mitaani inadokeza hali ya uchumi Kwa ujumla, uhamiaji mijini kutoka ilivyo pembezoni mwa miji, ambako vijijini umechangia katika kuvunja ukosefu wa fursa za kijamii umewan- polepole uhusiano na nguvu za mila yima vijana wakimbizi nafasi ya ku- za jando na unyago na utaratibu wa kuza utambulisho wa utu uzima. uanagenzi tangu upatikane “uhuru Miundo ya kimapokeo ya jamii si wa bendera”. Mfano wa upeo wa rahisi kujitokeza sasa. Kama methali uvunjaji wa desturi hizi za kuingia ya Kihausa inayosema “In rawa ta utu uzima pengine unaonyeshwa na sake, ki’di ita ma sai ta sake”: Mdun- hali ya watoto wa mitaani, wale do wa ngoma unapobadilika, uchezaji vijana wasio na elimu, kazi na agha- wa ngoma pia hubadilika. Ipi ni mi- 139 140 Tini za MA 20 dundo mipya ya maana katika mazingira ya sasa ya hizi zililenga wavulana na wasichana wenye umri wa kiuchumi na kiutamaduni, na kadhalika hali iliyobadilika miaka 10—16 ambao walikuwa hawajaenda shule kabisa inayoitia changamoto midundo hiyo? Mifano mitatu ama ambao walishindwa kuendelea na shule, na hivyo kutoka Afrika na mmoja kutoka Caribbean inatoa kuwa katika hatari ya kuwa watoto wa mitaani mwangaza kwa kiasi fulani. wafanyakazi, kama kweli walikuwa hawajawa hivyo tayari. Programu hii ilipangwa ichukue miaka mitatu, iwapatie washiriki elimu ya msingi (kusoma na kuandika) Kusimamisha wimbi la watoto wa mitaani: Chama cha na stadi za kunusuru maisha, pia iwawezeshe kujitha- Undugu cha Kenya mini, na hali kadhalika iwawezeshe wale wanaohitaji kurudi kwenye utaratibu rasmi wa elimu au kujiunga na Chama cha Undugu kilianzishwa kwa juhudi za padri vyuo vya ufundi stadi. mmoja wa Kiholanzi aliyehamia Nairobi mwaka 1972 Kurejea huku kwenye elimu rasmi au mafunzo ya baada ya uzoefu wa miaka 17 ya kuishi vijijini nchini Tan- ufundi stadi ndiyo ilikuwa hatua ya pili ya mkabala na zania, ambako alianzisha huduma za kichungaji kwa vija- ilichukua mwaka mmoja zaidi. Wale waliobaki kwenye na wa mijini. Vijana wachache waliziitikia programu zake programu hii—au wale waliorejea baada ya kumaliza za kidini, lakini aliona kwamba mitaa ya Nairobi ilifurika shule rasmi—walipata nafasi ya kujaribu ujuzi wao vijana wasio na ajira, hasa vijana “waegeshaji magari” katika kazi mashuhuri za ufundi za sekta ya uchumi isiyo ambao waliomba ujira kidogo kutoka kwa wenye magari rasmi za Nairobi: hususani ufundi seremala, ushonaji, kwa ajili ya kuyalinda na kuyaosha magari hayo katikati ufundi magari na ufundi chuma. Kwa kazi zote hizi ya jiji la Nairobi lenye msongamano wa watu na vitu. Chama cha Undugu kilikuwa na zana za kutosha za Mwaka 1973, padri alianza kutumia muda wake kufanyia kazi kwenye karakana yake. mwingi mitaani akijenga uhusiano mwema na watoto wa mitaani na kuzungumza nao kuhusu hali halisi ya maisha yao na juu ya matarajio yao. Aligundua kuwa wengi wao Kutafuta nafasi katika jamii walikuwa wameacha shule za msingi na kuhama toka nyumbani kwao kwa sababu familia zao hazikuweza Hatua ya tatu ilijumuisha kipindi cha mpito kuelekea kuwalipia karo za shule na kuwanunulia sare na vifaa katika ajira na majukumu ya kiuchumi ya utu uzima. vinginevyo vya shule. Wengi wao, kama kiongozi mmoja Vijana walioonyesha upendeleo wa kazi ya ufundi wa Chama cha Undugu anavyoeleza, walipoulizwa mahususi walisaidiwa kumpata fundi stadi katika sekta wanahitaji nini, walijibu “Nataka kusoma”. isiyo rasmi ambaye angewachukua kama wanagenzi kwa Kutokana na sababu hizi, awali padri aliamua kwamba kipindi cha mwaka mmoja ili wapate mafunzo zaidi na jitihada za kuwasaidia watoto wa mitaani zielekezwe uzoefu. Chama cha Undugu kilishiriki kama mwenzi zaidi katika kuwarejesha shuleni, na akaanza kutafuta katika mapatano haya na kikabuni vigezo vya kuteua fedha za kulipia karo na vifaa vingine vya shule kwa mafundi stadi “ wenyeji” na taratibu za ukaguzi wa mara vijana wengi kadiri ilivyowezekana. Hata hivyo, kwa mara wa vifaa vya Chama ili kuhakikisha kuwa aligundua punde kuwa mara nyingi wakuu wa shule wanagenzi wanafundishwa na kwamba mazingira na waliwakataa watoto hao au hawakutaka warejee kwenye masharti ya kazi si ya kinyonyaji. Wakati wa mwaka huu shule zao za awali. Wakuu hao walihofu kuwa sababu wa uanagenzi, vijana walirejea kwenye karakana za zilezile zilizowafanya watoto hawa watoroke shule mara Makao Makuu ya Undugu kila juma ili “kuinua viwango ya kwanza zinaweza zikajirudia; ama kutokana na tabia vya stadi zao”. Mafunzo haya yalihusu hasa matumizi ya zilizojengwa huko mitaani, watoto hawa hawawezi zana za kazi ambazo mafundi stadi wengi hawakuweza kuendana na utaratibu wa kawaida wa shule. kuyafundisha, na wakati huo huo yalilenga kuwataya- risha vijana kufanya mitihani ya kwanza ya serikali ya Namna ya kujifunza ufundi stadi kwenye stadi walizochagua. Mitihani hii Matatizo haya ya kwanza yalifuatiwa na mikakati ilifanyika mwishoni mwa mwaka. mbalimbali ambayo hatimaye ilikiwezesha Chama cha Kuwapatia nafasi za kazi wahitimu wa Undugu, au Undugu kubuni mkabala wenye mafanikio zaidi uliokidhi kuwawezesha kujiajiri wenyewe kwa faida kwenye sekta hali ya vijana masikini wa Nairobi. Mkabala huo ulikuwa isiyo rasmi ndiyo ilikuwa hatua ya mwisho na ya nne. na hatua nne. Hatua ya kwanza ilikuwa mtandao wa Kitengo cha Ushauri wa Kibiashara cha Undugu hutoa “shule zisizo rasmi” zilizoenezwa katika makazi ya watu mafunzo ya kuanzisha miradi midogo midogo na mikopo masikini ndani na pembezoni mwa jiji la Nairobi. Shule kwa wahitimu wa programu ili kuwasaidia wajiimarishe 141 kwenye kazi zao. Chama vilevile kimeanzisha Idara ya Chama cha Mafundi Stadi cha Senegali (ENDA/GRAF). Usanifu na uuzaji wa bidhaa na huduma zinazotolewa na Programu zilizosaidiwa na ENDA (Environment and sekta isiyo rasmi na hasa katika kazi za ufundi zina- Development = Mazingira na Maendeleo) katika jiji la zosaidiwa na Undugu na zinazofanywa na mafundi stadi Dakar, Senegali, zilianza, kwa namna fulani, kinyume na walio na wanagenzi wa Undugu. Wafanyakazi wa Kitengo utaratibu. Watumishi wa ENDA walikuwa wakiwasaidia cha Usanifu Viwanda huendesha warsha kwa mafundi mafundi stadi wa sekta isiyo rasmi—katika ufundi stadi wa sekta isiyo rasmi wanaoshirikiana na Undugu seremala, utengenezaji vinywaji—kuunda vyama vyao ili juu ya usanifu na uuzaji wa mazao yao. Kwa kufanya kuinua teknolojia yao na kutatua matatizo yao ya ugavi hivyo huwatumia wanagenzi wa Undugu kama nyenzo ya na soko. Hata hivyo, kila shughuli ilianza baada ya kuboresha mazao yanayotolewa na sekta isiyo rasmi. kufanya “upelelezi” wa kutosha wa mazingira halisi. Ni utaratibu wa ENDA, na hasa wa kitengo chake cha utafiti (Groupe recherche—action—formation—GRAF), kutumia Mikabala Mingine Mbalimbali utafiti unaowashirikisha wanufaikaji kama msingi wa kazi zote za maendeleo katika makazi ya watu masikini Huduma ya Uchukuzi ya Watoto wa Mitaani mjini ya mijini. Moja ya mambo muhimu waliloliona mafundi Khartoum. Mkabala tofauti lakini unaohusiana (na ule stadi kutokana na utafiti huu ni hali ya vijana wengi wa Nairobi) umechukuliwa na shirika lisilo la kiserikali walioacha shule na kuzurura mijini. (NGO)—Shirika la Kimataifa la Watoto wa Mitaani Kutokana na hali hii, vyama viliamua kuanzisha (SKWM) linalofanya kazi Khartoum, Sudan (kwa lugha mfumo wake wa uanagenzi ili kuwawezesha vijana ya kiingereza shirika hili huitwa Street Kids Inter- wajuane katika sehemu zao za kazi na waingie vizuri national—SKI). Tatizo la jinsi ya kuwaingiza vijana hawa kwenye maisha ya utu uzima. Ushirika wa maseremala katika jamii ya mjini na uchumi wa mjini liliwafanya ndio ulikuwa msitari wa mbele kabisa katika suala hili na watumishi wa shirika pamoja na vijana wenyewe ulibuni mfumo wa kuwazungusha vijana walioacha shule kutafakari juu ya “unafuu wa kiuchumi” walionao watoto na kuchukuliwa kama wanagenzi wa Ushirika kwa wa mitaani katika soko la mjini. Moja ya stadi zao ni mafundi stadi mbalimbali ambako walijifunza stadi za kwamba wanaifahamu vema mitaa—yaani, barabara kuu kazi tofautitofauti, na kisha—kwa msaada wa na ndogo za jiji unganifu la Khartoum, na pia wanaweza ENDA/GRAF—wakafundishwa pia utunzaji fedha na kufanya kazi kwa ufanisi katika mazingira ambayo uongozi wa miradi midogomidogo. yangewatisha watu wengine. Watumishi na watoto wa SERVOL nchini Trinidad. Mfano wa mwisho mitaani walizingatia ukweli huu dhidi ya kile wachumi unachukuliwa mahali palipo mbali kabisa na bara la wanachokiita sasa “mambo magumu” katika uchumi wa Afrika, lakini panafungamana na bara hilo kwa njia mijini, na hususani ugumu wa kusafirisha vifurushi na nyingi za kihistoria na kiutamaduni: yaani kisiwa cha vifaa vinginevyo kutoka sehemu moja hadi nyingine ya jiji Trinidad huko West Indies. Matatizo ya mpito wa vijana la Khartoum lenye msongamano wa magari. Ndipo kuelekea ukubwani katika mazingira ya mijini ni wakaja na wazo la kuanzisha Huduma ya Uchukuzi ya makubwa kama vile ilivyoonekana kwenye mifano mitatu Watoto wa Mitaani. tulioijadili hivi punde—na kwa namna fulani, chanzo cha Mpango huu ulijumuisha mambo yafuatayo: programu mashuhuri inayoshughulikia matatizo hayo, • Kukopa baiskeli kwa wachukuzi, ambapo baadaye kila SERVOL (Service Volunteered for All”—Huduma Inayo- mtoto angelipia mkopo huo kutokana na ujira wake wa letwa Bure kwa Wote) kimefanana pia. Kama Chama cha kazi. Undugu, SERVOL ilianzishwa na padri wa Kikatoliki ali- • Kuwafunza watoto taratibu za uchukuzi na hatua za yechukizwa na hali duni ya vijana mjini. Kama Undugu, usalama. SERVOL kimekuwa chama ambacho sio tu kinatoa ajira • Kuwasaidia kuanzisha mpangilio mzuri wa ufanyaji bali pia hutoa njia mbadala za vijana kufahamiana kazi na utunzaji wa mahesabu utakaoufanya mradi wanapoingia katika maisha ya utu uzima. Miongoni mwa utekelezeke. njia hizo ni “Vituo vya Maisha” vya SERVOL. Kama jina linavyoashiria, Vituo vya Maisha ni zaidi ya Kwa hakika mradi ulikuwa na mafanikio ya kutosha; kuwa fursa za kufunzia ufundi stadi. Kwanza kabisa na mfano wake uliigwa na Shirika la Kimataifa la Watoto vituo hivi hujengwa na vijana wakubwa ili kupata wa Mitaani la Banglore, nchini India, miaka michache majengo ya karakana, madarasa na huduma nyingine za baadaye. kijumuiya. Pia kila kituo hutumika kama kituo cha chekechea, na washiriki wote hupangiwa majukumu ya 142 Tini za MA 20 kuwaangalia watoto wadogo au chekechea hao. Kisha Mafundisho mengine machache yanajitokeza kutokana mkazo pia huwekewa ushauri nasaha wa marika na kutoa na juhudi za kuwasaidia vijana masikini wa Afrika fursa kwa vijana kueleza matatizo yao ya kijamii na kujenga utambulisho mpya: yanayotokana na jazba za ujana huku wakizingatia • Mkabala wa “elimu ya watu wazima” hufanikiwa vizuri maadili ya dini kuu tatu za kisiwani mwao: Ukristo, iwapo utajengwa juu ya uzoefu na stadi walizonazo Uislamu na Uhindu. Vijana hushiriki katika kuandaa tayari vijana na kuwapatia nafasi ya kuchangia kutoa mtaala wao maalum unaojumuisha uelewa wa kiroho, maamuzi ya kuendesha programu husika. kimwili, kiakili, kiutamaduni na kimhemko. Kutoka • Ajira yenye faida ni msingi wa utambulisho mpya, hapo, washiriki huweza kuingia kwenye vyuo vya ufundi lakini sio wa mshikamano. Mshikamano huletwa na stadi na kuajiriwa au kuwa na sifa za kupatiwa mikopo kuwepo kwa mpango wa maendeleo wa muda mrefu midogo ya kuanzishia miradi yao binafsi. Kiwango cha mbele—uwe wa kidini, kiutamaduni ama kisiasa—na vijana wanaoshindwa kuendelea na programu hii ni asili- fursa ya kuutumia katika maisha ya mtu binafsi. Hivyo mia 5 tu, ambapo kiwango cha kuajiriwa au kujiajiri baa- ushauri nasaha wa marika mara nyingi ni jambo da ya kufuzu mafunzo ya stadi mbalimbali ni asilimia 75. muhimu la kufanikisha programu. • Namna za kimapokeo za uanagenzi na vyama vya vijana zafaa zitumike kama rasilimali za kusonga Viambato muhimu: ajira, maana na kujiongoza mbele kimaendeleo, pia lazima zihakikiwe. Programu za namna hiyo huwa kama uwanja wa majaribio kwa Mifano yote hii inawakilisha juhudi za kujaza pengo tamaduni nyingi za jirani. katika kuwatayarisha vijana wanagenzi masikini • Utambuzi wa mazingira yanayomzunguka mtu—na waliopoteza utamaduni wao wa kimapokeo na kutupwa haja ya kuyabadili—ni vijalizo muhimu vya juhudi kwenye hekaheka za majiji ya Afrika ili waweze kumudu zozote zile. vema majukumu yao ya kiutu uzima. Na mifano hii inaelekea kufaulu vizuri pale inapoyafufua upya mapokeo hayo, huku ikichanganya taratibu za kimapokeo za uanagenzi na za vyama vya marika na mwelekeo mpya wa kiuchumi na kujiongoza na kujitathimini zaidi kwa washiriki. Maarifa Asilia kwa ajili ya Maendeleo Uzoefu wa Miaka Miwili Matini hii ya maarifa asilia imeandikwa na Siddhartha Prakash wa Kanda ya Afrika, Benki ya Dunia. Maarifa kama chombo cha maende- nchi na sekta binafsi. Madhumuni ni leo hakitumiki kikamilifu. Zamani kuingiza maarifa asilia kwenye shu- nchi nyingi za Afrika zilifuata sera za ghuli za maendeleo na kutumia kwa uchumi zikiwa na mtazamo wa kuba- manufaa misaada ya maendeleo hu- dili jamii kuwa ya kisasa na kufanya susani inayoelekezwa kwa maskini. mabadiliko katika sekta ya uzali- Benki ilichukua kiunzi kwa uten- shaji. Maarifa asilia ambayo yange- daji ambao unatekelezwa kwa ushiri- saidia mchakato huu, au kwa mahali kiano na mashirika wabia. Miaka Tini za MA 21 pengine, kutoa mtazamo mbadala, miwili tangu kuanzishwa, ni wakati Juni 2000 mara nyingi yalidharauliwa na kuo- wa kuhakiki juhudi za Benki katika nekana ni ya kiwango cha chini. kufanikisha malengo hayo. Je destu- Hata hivyo mkutano wa Ardhi wa ri za maendeleo ya maarifa asilia mwaka 1992 uliofanyika Rio kupitia zimefanikiwa katika kusambaza wazo la maendeleo endelevu ilitumia habari, kuwezesha ubadilishanaji wa mazoea hayo na kuyaweka mbele habari kati ya jumuia zinazoendelea, katika kuelezea maendeleo. Watunga zimewezesha matumizi ya maarifa sera kote ulimwenguni kupitia miku- asilia katika mchakato wa maen- tano na warsha wameanza kudokeza deleo au uanzishaji wa ubia? jukumu muhimu la maarifa asilia ka- tika mchakato wa maendeo. Moja ya mikutano hiyo ni Mkutano wa Dunia Usambazaji habari wa Maarifa (Global Knowledge Con- Tangu hifadhi data ya maarifa asilia ference) uliofanyika Toronto mwezi na mazoea kwa zaidi ya chunguzi Juni 1997. kifani 100 zipo kwenye Webu. Kila Chini ya msaada wa Ubia wa moja inachota kutoka mafunzo toka Habari na Mawasiliano ya Teknolojia uzoefu wa jumuia maalumu katika kwa Afrika, (Partnership for Infor- kushughulikia kipengele kimoja cha mation and Technology for Africa— maendeleo. Chunguzi kifani haziku- PICTA) Beni ya Dunia ilihimizwa wa na maana ghala ya maarifa bali kuongoza maarifa asilia kwa juhudi hifadhi data ya kurejewa juu ya za maendeo kwa kushirikiana na ma- maarifa asili. Inajumuisha vitendo shirika mengine kama vile UNESCO, mbalimbali ikiwa ni pamoja na ITU na WIPO. Juhudi hizo zinalenga mazoea asilia kuhusu fedha kati ya kuwezesha mazungumzo kufanyika jumuia za wakulima katika Nigeria, kati ya jumuia asilia mbalimbali, uzuiaji wa UKIMWI kwa kuwahusi- AZISE, serikali mbalimbali, wana- 143 144 Tini za MA 21 sha waganga wa jadi katika kampeni za uelewa, kurejesha usanifu majengo wa wenyeji katika Misri, menejiment ya Desturi za MA Namba: 12 rasilimali maji katika Burkina Faso, na uponyaji wa asili Nchi: Nigeria wa watoto walioathiriwa na vita sehemu mbalimbali za Miliki: Fedha za Vijijini Teknologia: Akiba na mikopo Afrika. Utumizi: Desturi asilia za kifedha kati ya jumuia za wakulima. Ukubwa na uchangamano wa masomo ambayo yana- Ufupisho: Jumuia za wakulima katika Nigeria zimeanzisha mifumo weza kushughulikiwa ipasavyo kwa kutumia maarifa mbalimbali ya kuweka akiba na kukopa. Kwa kawaida wakulima asilia na mazoea yameandikwa katika mfululizo wa Tini huanzisha chama cha akiba kikiwa na msisitizo wa kuweka akiba na za maarifa asilia. Tini hizi zimechapishwa kwa njia ya kupata rasilimali katika misingi ya mzunguko. Baadhi ya vyama hutengeza kanuni na sheria ndogo ndogo. Vyama vingi vina kanuni na elektroniki na pia katika maandishi katika lugha tatu na taratibu kali rasmi lakini hazikuandikwa. Mtu anaingia uanachama, kwa kuwafikia zaidi ya wasomaji 20,000. Kila moja ya Tini 19 misingi ya wakati maalumuu unaofahamika hususani wakati wa siku za za maarifa asilia hadi sasa zimetalii kwa undani fulani soko, mikopo inatumiwa kwa mahitaji yasiyo ya chakula lakini pia kwa masuala nyeti kama vile tohara kwa wanawake na kulipia ada ya shule au kazi za shamba. Kurudisha mkopo kuelezea ufumbuzi unaotokana na wenyewe, kutoka kunadhibitiwa na jamii. Kwa kawaida wanachama hawapati faida kwa juhudi za wanawake asilia, AZISE ambazo zimefanya fedha zao walizoweka, mikopo inatolewa kwa masharti nafuu. Hakuna mahali panapotaja namna ya kuwashughulikia wakiukaji. Inachukuliwa kampeni zenye mafanikio dhidi ya vitendo hivyo hadi kuwa udhibiti wa jamii unatosha kuhakikisha vyama vya akiba na kushawishi serikali kutunga sheria mpya. Kila mfano mikopo vinaendelea. Hata hivyo kiwango cha kuweka ni kidogo kwa unaimarisha mafanikio ya matazamo wa maendeleo wa limbikizo au kwa mkopo kwa ajili ya uwekezaji mkubwa. chini—juu. Sehemu ambazo mashirika ya Kimataifa Mpaka sasa kuna kutambuliwa kidogo sana na asasi rasmi za mikopo yamesaidia kama UNICEF yametoa tu msaada zaidi zile desturi za asilia ya fedha. Somo: Vyama vya asili vya kuweka na kukopa vilivyopo vijijini bado kupitia msaada wa kifedha na kutambuliwa kimataifa. havijatambuliwa na sekta rasmi ya mikopo. Ushirikiano kwa msingi wa Katika kila mfano, kila mara juhudi zimekuzwa usawa unaweza kuongeza athari za asasi rasmi na kuongeza nyumbani na kumilikiwa na wenyeji. Suala hili limeima- uwezekano wa uwekezaji katika maeneo ya vijijini. risha taasisi za wenyeji na zimepelekea kupunguza kazi Chanzo: Nweze, N.J. Msimamizi wa 2 (2) Agosti 1994. katika maeneo ya elimu na kisomo cha korani katika Kiungo wa Nje: Msimamizi wa MA Afrika Magharibi. Tini za maarifa asilia zimeonyesha kuwa watu binafsi bila elimu yoyote rasmi toka vijijini wakiwa na rasilimali Kutumia maarifa asilia kidogo wanaweza kuboresha maisha yao na mazingira Moja ya mafanikio makubwa ya juhudi za maarifa asilia kupitia programu imara zikisaidia kufikia uhuru zaidi na ni kufanikiwa katika kutumia maarifa asilia katika kujitosheleza. Hadithi hizi za mafanikio zinathibitisha programu za maendeleo na miradi mbalimbali. Iliisaidia jinsi maarifa asilia yalivyo ya kiulimwengu, maarifa hayo Uganda katika kutayarisha sera ya Taifa ya Maarifa yanaweza kusaidia kutoa mchakato wa kuzipa uwezo asilia. Pia ilisaidia Ghana katika matumizi ya maarifa jumuia za wenyeji katika kiwango cha kanda, taifa na asilia kuboresha kilimo. Imesaidia Burkina Faso ulimwengu mzima. kudokeza jukumu la wawindaji wa jadi katika kusimamia rasilimali za asili. Kuwezesha mabadilishano Julai, 1999 Benki ya Dunia ilianzisha utafiti kwa kushirikiana na UNCST kutafiti upana wa maarifa asilia Benki ya Dunia imesaidia vituo vinane vya rasilimali ya nchini Uganda kilimo, sanyansi ya afya na teknolojia. maarifa asilia katika Afrika kwa kuboresha uwezo wake Huu ukawa msingi wa mkakati wa kitaifa ambao wa kubadilushana habari. Hii imetendeka katika aina ulingejumuisha wadau wote, toka waganga wa jadi hadi mbalimbali. Katika Cameroon, Tanzania, Ethiopia na wananchi na watunga sera. Zimbabwe mradi uliwezesha kupatikana kwa maarifa Miezi sita baadaye, warsha ya Taifa iliyowahusisha asilia kwa kupitia kutafiti chechemua za mazoea ya watu muhimu ilifanyika na kuandaa mswada wa mkakati maarifa asilia kutokana na vituo vya wenyeji. Katika nchi wa Kitaifa na kiunzi cha utekelezaji. Huu ukawa mwanzo za Burkina Faso na Uganda mradi uliboresha uwezo wa wa Azimio la Kampala kuhusu maarifa asilia kwa uunganishwaji wa mtando wa mawasiliano ya simu. maendeleo endelevu. Azimio linadai serikali kusaidia Matokeo yake vituo vya simu (Telecenters) vinatumika maendeleo ya maarifa asilia na wapanga mipango kupata habari kutoka jumuia za wenyeji na kusambaza kuingiza maarifa asilia katika mchakato wa mipango maarifa yaliyopatikana kwenye mikoa mingine. Kitaifa. Hili linatekelezwa kwa njia nyingi kama vile kuingiza maarifa asilia katika kiunzi cha maendeleo 145 makubwa ya Uganda (Comprehensive Developument AZISE na vituo vya maarifa asilia. Asilimia zaidi ya 75 za Framework—CDF) inayoongozwa na Wizara ya Mipango. desturi nzuri zilizosambazwa kwenye Webu zilitolewa na Huu ni ubia wa pamoja kati ya wahisani na serikali wabia hao. Juhudi hizi zinaendelea kukua hata kufikia mbalimbali zenye lengo la kuchapuza hatua za maendeleo wasio wanachama wa PICTA. Kwa mfano imeanza katika Afrika. Huko Uganda moja ya malengo ni kuinua kufanya kazi na WIPO kushughulikia kipengele cha tija katika kilimo. Juhudi za maarifa asilia zimechangia maarifa asilia cha haki miliki kitaaluma. Katika ngazi ya katika jukumu la kuwezesha uanzishaji wa kamati ya chini, juhudi zimeanza kuhusisha jumuia za wenyeji na utendaji za kusimamia mchakato wa utekelezaji na kujifunza kutokana na uzoefu wao. Kwa kuzisaidia sekretalieti ya kuratibu shughuli hususani zinazohusiana AZISE na asasi kama UNCST, Benki imetekeleza jukumu na maarifa asilia. muhimu la kuwezesha kuwaleta pamoja waganga wa jadi, Juhudi za maarifa asilia zinasogea toka utungaji wa wanataaluma, mawaziri, wananchi na kanisa. Matokeo sera kwenda kwenye usimamiaji wa miradi. Z.meanza yake mashirika asilia kama vyama vya wataalamu wa jadi kutoa ushauri kwa shirika la Taifa la utafiti wa kilimo la wa mitishamba vinaweza kufanya mazungumzo ya pande Uganda. (National Agricultural Research Organization— mbili na asasi za serikali juu ya kiwango cha uwanja wa NARO) juu ya matumizi ya maarifa asilia katika kilimo shughuli. Kwa kuanzisha njia kwa jumuia za wenyeji kinachosaidiwa na Benki, miradi ya utafiti na mafunzo, kutoa dukuduku lao katika ngazi ya kanda na ngazi ya Awamu ya pili ya mradi unaoendelea kwa utafiti na kimataifa, mradi umepiga hatua muhimu kuelekea mafunzo umekusudia kusaidia mradi wa muda mrefu wa kutumia maarifa asilia kwenye mchakato wa maendeleo kuendeleza teknolojia na kuisambaza. Jukumu la katika Afrika. uanzishaji wa maarifa asilia ni kutoa nyenzo za kimbinu ili kuhawilisha teknolojia husika na maarifa asilia na mazoea ya kilimo yaliyoboreshwa kwenda kwenye Hatua zinazofuata mashamba ya wakulima na kuinua matumizi yake. Mfano Changamoto ya mbele ni pamoja na: wa mazoea ni pamoja na kuboresha usimamizi wa kilimo • Kuimarisha juhudi za kuelekeza maarifa asilia kwenye cha matoke ili kupunguza madhara ya ugonjwa ya mchakato wa maendeleo. sigatoka na pembejeo za mashamba madogo yaliyotenge- • Wafadhili kujihusisha zaidi na kushiriki kikamilifu. nezwa kwa ng’ombe asili wadogo wa Uganda kama vile • Kuwezesha mabadilishano kwa kuanzisha jumuia za plau lililoboreshwa la Uganda. Ingawaje mradi upo katika vitendo (kwa kupitia mabaraza mbalimbali—kwa hatua zake za mwanzo, inatarajiwa kuwa mafanikio yake mfano kuanzisha soko. yanaweza kutumiwa na wengi na kurudufu matumizi ya • Kuanzisha ushirikiano wa wenyeji katika mada maarifa asilia katika uanzishaji wa miradi mipya. zinazohusiana kama IPR kusaidia uwezeshaji na kupata uwezo. Uanzishaji ubia Mradi umepanua uwezo wake wa misaada kwa kuanzisha ubia wa karibu na mashirika kadhaa ya maendeleo, MA Yaingizwa Shuleni Matarajio na Hofu Zinazoikabili Elimu ya Jumuia huko Saheli ya Magharibi Makala hii imeandikwa kwa pamoja na Peter Easton (Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida), Chris Capacci (Shule ya Jumuia/Kolondièba, Mali) na Lamine Kane (ANAFA/Senegali) Utafiti ulifanywa chini ya usimamizi wa Klabu ya Saheli/OECD Kamati ya majimbo ya kupambana na ukame katika Sahel na Chama cha Maendeleo ya Elimu katika Afrika. Ili maarifa asilia yaweze kuwa na miaka 1980 imetia doa motisha ya umuhimu mkubwa hapo baadaye shule na uwezo wa serikali wa toa kwenye jamii ya Afrika Magharibi, ni elimu. Uwiano wa uandikishaji ka- lazima yapate nafasi mashuleni, asa- tika kiwango cha shule za msingi si za kijamii zinazoshughulikia rasmi ambao ulikuwa asilimia 30 kwa mafunzo, kuthibitisha maarifa na nchi za Sahel mwaka 1980 ume- kutoa mafunzo kwa kizazi kifuata- ongezeka kidogo sana katika cho cha raia. Na bado katika kanda miongo iliyofuata. Mali ilikua na Tini za MA 22 yote elimu ndiyo sekta ambayo ukuaji hasi (aslimia –3), Niger ika- Julai 2000 haijapokea maarifa ya wenyeji au wa na asilimia 4, na kati ya asili- kuona kuwa sayansi asilia ni chanzo mia 1 na 2 kwa mwaka katika nchi halali cha msukumo. Tofauti kidogo ya Burkina Faso, Mauritania na inaonekana katika elimu isiyo rasmi Senegali. Katika maeneo ya vijijini na programu za kisomo ambazo uandikishaji ulikuwa mdogo zaidi. mara nyingi zimeendeshwa kwa • Serikali zimeanza kuangalia fomu- lugha za kiafrika na kulenga mahi- la mbadala na mbinu za ugavi ili taji ya wanajumuia wenyeji. kubadilisha mwelekeo wa uandi- kishaji, kufanikiwa katika kuenea na kuongeza umuhimu. Hii ni pa- Njia mpya za kupata elimu moja na kuwa na shule za jumuia, kuongeza msaada kwa elimu isiyo Mabadiliko yaliyoendelea kutokea rasmi, na program majaribio mba- kote Afrika Magharibi katika elimu limbali. ya msingi rasmi kwa miaka ishirini • Elimu rasmi ya jadi inategemea sasa, yameanza kuvunja ukuta kuongezeka kwa mashindano ya uliotenganisha elimu na jamii ya kiutamaduni na tahakiki toka wenyeji. Wakati huo huo kuanzisha modeli nyingine: baadhi zimejikita nafasi kwa ajili ya mtaala mpya. kwenye “maendeleo yafaayo”. Mifano mikuu: Zingine kwenye “mafundisho ya • Elimu ya msingi kwa wote ndiyo dini, mitazamo ya elimu ya watu lengo lisiloepukika. Kwa kupungu- wazima, au mtaala unaotumia lu- za rasilimali zinazotolewa kwa ajili gha za Kiafrika. Mageuzi ya shule ya elimu na kusitisha ajira katika za msingi na sekondari ni suala sekta ya umma, sera ya kurekebi- lililomo karibu katika kila ajenda. sha uchumi zinazotumiwa katika • Wananchi wana jukumu la kuima- nchi za Afrika Magharibi tangu risha ugavi katika elimu. AZISE, 146 147 mifuko binafsi na vyama vya wenyeji vinahimzwa ya usawa wa vyeti vya zamani na taratibu za kupanda kuanzisha shule zao wenyewe. Serikali zinapunguza (zinajadiliwa chini) zimeendelea kuwa kali. kwa kiasi kikubwa haki ya ukiritimba katika eneo la Kuongezeka kwa uhalali wa kufundisha kwa lugha za elimu ingawaje ina kazi muhimu za udhibiti. Kiafrika, taratibu umehamisha uwezo kuelekea waten- • Mfumo wa elimu rasmi wenyewe unagatuliwa kwa daji wenyeji chini ya utaratibu wa ugatuaji na mabadiliko kiwango kisichozoeleka na uwezo wa maamuzi ukiwa ya matarajio ya ajira ya wahitimu wa shule, yote hayo katika mikono ya wakaguzi wa mikoa na halmashauri yamemomonyoa mamlaka ya mtaala mmoja sanifu toka za Elimu za wenyeji. Ni katika utawanyaji huu na Magharibi na kufungua njia kwa mitazamo mengine. kutafuta utambulisho wa kitamaduni ndiyo umefungua Utafutaji wa mbadala umekuwa wa aina tofauti. Zipo mlango, hata hivyo kwa kusita katika kuruhusu mtaala shule za jumuia zinazofadhiliwa na serikali. Zipo shule za mpya na vyanzo vipya vya msukumo na umeanzisha jumuia zinazofadhiliwa na AZISE; shule za majaribio fursa mpya ya kutambua maarifa asilia. zinazofadhiliwa na serikali au shule za mageuzi (kwa ujumla shule za msingi za zamani zilichaguliwa kutumia mbinu mpya za elimu ya jumuia katika mfumo wa elimu Historia ya majaribio rasmi. Ari ya elimu ya Korani iliongezeka au aina ya mfumo chotara yaani mchanganyiko wa Kiislamu na Kwa namna fulani kutafuta aina mbadala wa kupata Kimagharibi, shule binafsi au shule za pakashume elimu siyo suala jipya katika Afrika Magharibi. Ukweli ni zilianzishwa na watu binafsi au wajasiriamali, hususani kuwa fikra ya “Mtaala asilia” limejikita toka wakati wa katika maeneo ya mjini. ukononi, wakati istilahi kama hizi zilikuwa maneno msimbo ya kutofautisha aina ya elimu iliyochukuliwa kuwa inafaa vijijini au “wenyeji” tofauti na elimu iliyoto- Modeli ya kuhusisha Jumuia lewa kwa watu wa mijini wasomi. Madai yaliyokidhiri ya elimu ya shule, au matatizo yaliyokuwapo yalisababisha Katika eneo la Sahel na pengine katika bara la Afrika, kukawa na modeli mbalimbali katika kutoa elimu baada shule za jumuia zinajikita katika fikra ya uhusika ya uhuru wa nchi za Afrika. Mfano mzuri ni ule wa mkubwa wa wazazi na jumuia katika kutawala na kutoa Harambee huko Kenya. Shule zilianzishwa na jumuia bila elimu. “Umiliki” wa wenyeji wa shule unajengwa na msaada wa serikali, ingawaje baadaye nyingi zilichu- kuelezwa kwa njia kadhaa: kuliwa na serikali. Mfano wa Bregedi za Serowe huko • Ushiriki kifedha: Michango ya majengo na zana za Botswana na “Enseigne ment moyen pratique” za Sene- madarasa, gharama za uendeshaji wa shule na gali inafafanua zaidi mfano uliotangulia. Hiyo ilikuwa mishahara ya walimu. jitahida ya kufanya mtaala uhusike na maendeleo ya • Ushiriki kiutawala: Kujihusisha katika kufanya wenyeji kwa kuchukua teknolojia, mafunzo yafaayo ya maamuzi yanayohusu utawala wa shule na taratibu. uzoefu wa biashara kwa vitendo na rejea za kitamaduni • Ushiriki kimtaala: Kuna kuongezeka kwa wajibu wa za wenyeji. wazazi na wanajumuia katika kuchagua na kubainisha Kuna tofauti chache muhimu za kitakwimu na kiubora mtaala, katika kufundisha madarasa na kupima kati ya uzoefu mbalimbali katika shule mbadala au mafunzo waliyopata. ufadhili wa wenyeji uliozinduliwa mwanzoni mwa miongo ya uhuru katika Afrika Magharibi na hali inayoonekana Ushiriki katika mtaala unajionyesha katika nyenzo sasa. Kitakwimu, mbadala na shule zinazomilikiwa na mbalimbali za jumuia zenye uhusiano mkubwa katika jumuia umekuwa kwa mara ya kwanza cheche muhimu kuingiza maarifa asilia katika elimu mashuleni. Hata ya mfumo wa taifa kwa ujumla wake katika nchi kadhaa hivyo, ushiriki kifedha na kiutawala unaweza kuwa kama Mali, Senegali na Burkina Faso. Juhudi kama hizo muhimu ili kufanya ufanye kazi. Baadhi ya hatua awali zilikuwa “miradi wa majaribio” iliyokusudiwa, zilizopendekezwa za kuufanikisha katika shule za jumuia inavyoelekea, kutopanuliwa zaidi ya maeneo yaliyo- zinazohifadhiwa toka nje ni kutumia lugha za wenyeji chaguliwa. kutolea elimu; kuwatumia wasanifu wenyeji kama Hata hivyo zimejitanua zaidi ya zilivyozuiwa na wafundishaji, hii inaweza kuwa kwa kufundisha masomo kuongezeka. Katika nchi ya Mali zilifikia karibu robo ya au ziara za wanafunzi mahali wanapofanyia kazi, kuweka shule zote za msingi. Katika nchi ya Senegali zinatarajiwa kumbukumbu na kufundisha historia ya mahali pale kufikia asilimia 20 katika miaka michache ijayo. Kiubora, pamoja na masomo mengine; na pia kuongeza masomo ya elimu mbadala si tena ni ya daraja la pili, ingawa masuala dini yatokanayo mahali hapo au elimu ya uadilifu. 148 Tini za MA 22 Zaidi ya hayo, baadhi ya AZISE na asasi za wananchi mika kuwalipa walimu mara kwa mara wanapambana na zinazojihusisha kufadhili shule za jumuia zinahuishwa na tatizo hilo. shauku ya wazi ya kuanzisha mtaala mpya unaofaa kwa Tatizo la ufundi. Kutengeneza mtaala mbadala changamoto ya maendeleo ya wenyeji katika Afrika karne kunahitaji ujuzi na umakinifu ambao upo mdogo sana. ya 21. Changamoto kubwa ni kuhusisha maudhui ya kienyeji na Kwa mfano, Taasisi ya Elimu ya Umma (Institut programu ya mafunzo ambazo zinaruhusu wengine d’Education Populaire) huko Mali imefanya kazi kubwa angalau waweze kuendelea na masomo katika elimu kwa muda mrefu wa kupata ufafanuzi wa programu ya rasmi kama wanapenda. Usanisi huu unaitwa “ufundi- shule ya msingi “Ciwara” (Neno la lugha ya Bambata shaji kutana” (pedagogie convergente) huko Mali unate- likiwa na maana ya kichwa cha paa alama ya utambulisho gemea sana kupata njia ya kufundisha lugha za kimataifa wa Wamali) inayotilia mkazo ufundishaji wa stadi za zinazotumika kwenye shule za sekondari na elimu ya juu uongozi—kwa ufupi uwezo wa vijana kuchukua jukumu kutoka kisomo cha msingi katika eneo la wenyeji au lugha zito katika maendeleo ya jumuia yao. ya taifa. Hufanya hivi kwa msaada wa wafundishaji Zaidi ya hayo, katika Senegali na Mali wabia waliosai- ambao wenyewe hawajabobea kwenye kisomo cha msingi. dia shule za jumuia walikuwa ni vyama vilivyojihusisha Juhudi hizo zinatumia nguvu kidogo inayobaki kwa ajili pia na sekta nyingine za maendeleo ya wenyeji kama msi- ya kukuza nyenzo za maarifa mapya katika mtaala. mamiaji wa mali asili, afya na kilimo. Katika Magharibi Matatizo ya kisiasa. Kufanikiwa kwa shule za jumuia mwa nchi ya Mali, CEWIGAP (Elimu ya jumuia, maji na kwa upande mmoja ni kubahatisha uwezekano wa shughuli za kuongeza mapato) na mashirika kama Tostan kujenga daraja la kiasasi la kufuatia elimu rasmi. Katika na ANAFA katika Mkoa wa Djourbel huko Senegali, kwa nchi zinazozungumza Kifaransa linaitwa “passerelles” mfano waliunganisha ufadhili wa shule na miradi mandhari haya yanaongozwa na watetezi (au wahitimu) mingine. Huku kuchanganya shughuli kulitoa fursa zaidi wa elimu za msingi na sekondari za jadi. Kejeli iliyopo ni za kuanzisha mada za maendeleo ya wenyeji katika kuwa elimu mbadala inavyozidi kupanuka na kusaidiwa mtaala wa shule za msingi na sekondari, ikiwa ni pamoja na vyama vya kienyeji na AZISE kuna kuongezeka kwa na vyanzo vya asili vya maarifa husiani. kusita kwa upande wa kisiasa kwani vyama vya kienyeji vinafikiri kuwa havina uwezo kulipa changamoto jeshi la elimu lililopo katika mazingira haya kuliko wanavyoweza Matatizo ya utekelezaji kufanya wawakilishi wa wizara au mashirika makubwa ya kimataifa. Kwa bahati mbaya, kazi kubwa imezungumzwa zaidi kuliko kufanyika. Vipengele vya maarifa asilia katika shule za jumuia vinaonekana kuwa vinatekelezwa kwa Masuala ya ubora kidogo sana, kwani vinahitaji ubunifu na uwezo, hata bila kutaja nia ya kuachana na kaida zilizopo. Ukweli ni kuwa “Ubora” na “usawa” ni maneno muhimu katika mjadala hali ya jumla inaonyesha kuwa shule za aina hii zinakuwa juu wa hali ya baadaye ya shule za jumuia katika Afrika shule zenye gharama ya chini kama siyo ubora wa chini Magharibi ya Saheli. Ubora unaibua ukosoaji ambao kwa unaojirudufu wa shule za msingi kutokana na matatizo sasa uko katika kiwango kimoja: Elimu inapatikana kwa ya kifedha yanayozikabili shule hizo. jumuia mpya na wanafunzi, lakini ni elimu ya namna Tatizo la rasilimali watu. Walimu kwa ujumla wana gani? Inawezekana walimu wasiosimamiwa vizuri ambao mafunzo ya chini na wanaweza pia kuwa na elimu ndogo. hawajui vizuri lugha ya mfumo rasmi na shule zisizo na Katika modeli nyingine, wanakijiji waliosoma au wazazi vitabu au mazingira bora kujifunzia. Hali kama hiyo wanaochaguliwa na jumuia zao hupata mafunzo ya siku inawapa nini cha maana wanafunzi. Je inalichukulia vipi chache. Tatizo lingine wanaolipwa na fedha zinazo- suala la utoaji wa elimu ya usawa. Kwani kwa kuanzisha changwa, wale waliohitimu shule huajiriwa na kupelekwa mfumo wa elimu wa ngazi mbili maskini wa vijijini na vijijini. mjini si wanapata kikaragosi tu cha elimu yenyewe? Tatizo la fedha. Modeli za Elimu ya jumuia zinaanda- Siku hizi watetezi wa shule za jumuia wanafahamu liwa ili zisiwe aghali, ufumbuzi wa kupunguza gharama suala hili na tathmini ya ndani ya mshirika yanayofadhili za kuongeza miundo mbinu ya shule zilizopo unategemea shule hizo yanalenga kwenye masuala ya ubora. Wakati kwa kiwango kikubwa vifaa na fedha toka jumuia na huo huo watetezi hao wana majibu mawili ambayo mara nyingi ni chache. Katika maeneo ambayo wanalazi- angalau yanapanua mjadala. Kwanza nini hasa maana ya “ubora”. Je kujihusisha kwa jumuia, masomo kwa lugha 149 ya wenyeji, kuhusisha maudhui ya utamaduni na wateja, yaani wazazi na mamlaka za wenyeji, hii ni kwa uhusiano wa moja kwa moja wa masuala ya maendeleo sababu ya kutumia lugha za kiafrika na umuhimu wake katika sekta nyingine yanajitokeza katika fasiri, au alama wa kuendana na utamaduni wa wenyeji. za mitihani na kiwango kinachotakiwa kuingia shule za Hatua za hivi karibuni za ufadhili wa AZISE na vyama sekondari ndiyo kigezo pekee? Pili, kwa suala la usawa vya wenyeji umeleta karibu uhusiano na nyanja nyingine sifa bainifu ni zipi kati ya usawa kijinsia na kuongezeka za maendeleo ya wenyeji ambapo maarifa asilia kwa tofauti kati ya mijini na sehemu nyingine za yanahitajika na kutumika. Hatua hii imefanya kuwe na mashambani? Shule za jumuia zina angalau wastani kiasi kikubwa na mageuzi ya shule kwa ujumla, kama bainifu wa rekodi nzuri za ushiriki wa wanawake kuliko ilivyoshuhudiwa mara kadhaa. Kwa mfano imetokea wenzao katika sekta ya zamani. katika “Estates General” (au Mabunge ya Taifa ya Elimu) yaliyoitishwa na nchi za Saheli katika miaka ya karibuni kushughulikia masuala ya mageuzi ya elimu. Elimu ya Elimu inayotolewa na wote? jumuia kwa hakika ina kitu kimoja muhimu ambacho ni ELIMU KWA WOTE, mkakati unaohitajika sana kuja- Shule za jumuia na juhudi za kuingiza maarifa asilia ziliza umuhimu unaoongezeka wa “ELIMU KWA AJILI katika elimu ya wenyeji zinakabiliana na vikwazo vikub- YA WOTE” na inatoa nafasi ambapo maarifa asilia yana- wa. Shule za jumuia zinatoa nafasi moja muhimu ya maa- weza kuingia yenyewe. rifa asilia ya kutambuliwa zaidi kuwa yameibukia Afrika Wakati huo huo hatari na nguvu ya vuguvugu la shule Magharibi na tayari yamekamilisha mambo kadhaa za jumuia linaonyesha aina ya mabadiliko ya sera makubwa. Tathmini ya utafiti katika nchi za Senegali na yanayohitajika ili kufanikisha ukuzaji wa utaratibu wa Mali unaonyesha kuwa kwa ujumla inakubalika kwa maarifa asilia katika Afrika Magharibi ya wakati huu. Mbegu za Uhai: Wanawake na Kilimo Bio-anuwai katika Afrika Makala hii imendikwa na waandishi wawili, Peter Easton na Margaret Ronald, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida. Utafiti umefanywa chini ya usimamizi wa Klabu ya Saheli/OECD, Kamati ya Majimbo ya Kupambana na Ukame katika Saheli na Chama cha Maendeleo ya elimu katika Afrika. Maendeleo ya Kilimo duniani kote yanafanya sehemu muhimu ya lishe yamesababisha kuanguka kwake. ya watu wa vijijini. Hii ilikuwa chan- Kubadili spishi za mimea ya asili kwa zo kizuri cha protini kujaliza ulaji wa mazao yanayouzika iliendana na mahindi na vyakula vingine vilivyo- upunguzaji wa aina anuwai za hifa- patikana. Maharagwe haya hususani dhi za mbegu. Kupotea kwa mimea ni ya aina ya asili ambayo ni nyeusi yenye matumizi ya dawa hususani inayoitwa “njahe” kwa lugha ya kwenye maeneo yenye bioanuwai ya Kikuyu (kwa kiasi kikubwa huyaita Tini za MA 23 juu kama mvua za misitu ya Kitro- Lablab niger na Dolichos Lablab kwa Agosti 2000 piki imeonekana sana miaka ya kari- kisayansi na “lablab beans” kwa buni. Lakini kujikusanya kwenye Kiingereza), ambayo yalilimwa na anuwai asili za spishi zinazoliwa, na wanawake na kufanya sehemu kub- wakati mwingine zinabadilishwa wa ya mavuno. Njahe ina maana kijenetiki, mazao ya fedha na ardhi maalumu kwa wanawake kwani asili kuweka mbadala (aina za mi- haragwe lilichukuliwa kuwa li- mea asilia) kwa kuwa na kilimo cha naongeza rutuba ya uzazi na hutibu biashara, hii vilevile imesababisha magonjwa ya akina mama baada ya tatizo kubwa. kujifungua. Wakati huo huo kwa kia- Juhudi zinafanyika sasa ili kuwa si fulani ni chakula kitukufu. Hulim- na akiba ya aina za mazao zinazo- wa juu ya milima ya Ol Donyo tishwa maarifa asilia ya mimea Sabuk, eneo la pili muhimu anakoi- inayotumiwa kwa chakula ni moja ya shi mwanzilishaji wa dini ya Kikuyu “sehemu” muhimu ya bioanuwai na lilikuwa linatumiwa kwa sherehe katika Afrika na ni moja ya eneo takatifu. ambalo wanawake wana jukumu Maharagwe nchini Kenya yanalim- kubwa la kufanya. wa zaidi na wakulima wadogo wado- go na zaidi hulimwa na wanawake ili kulisha familia zao. Kijadi wanawake Kilimo cha maharagwe Kenya hulima mazao mbalimbali katika shamba moja na kuhifadhi mbegu za Kilimo cha maharagwe nchini Kenya aina mbalimbali kama kinga dhidi ya ni mfano mzuri. Ushahidi uliopo magonjwa ya mbegu na hali ya hewa unaonyesha kuwa wakati kabla ya isiyotabilika. Vyakula vya kienyeji ukoloni aina mbalimbali za spishi za kama “githeri” na “irio” navyo ni maharagwe zilikuwa zikilimwa aina mbalimbali ya maharagwe. katika milima ya Kenya. Maharagwe 150 151 Ruwaza hizi zilianza kubadilika wakati wa ukoloni. changia katika kuongeza uhamiaji wa wanawake kuenda Utawala wa Waingereza kimsingi ulipenda kuongeza maeneo ya mijini. uzalishaji wa mahindi. Mahindi yalikuwa ni chakula Sera za kikoloni zilikuwa zinatumika zilipanuliwa rahisi kwa wafanyakazi wa kujenga reli na walianzisha wakati wa uhuru, kwa makosa na siyo kwa kukusudia. kilimo cha mazao ya fedha kama pamba na mkonge ili Sera hizo ziliendelea kushughulikia mazao ya fedha ya kuhakikisha kodi inalipwa. kuuza nje. Wanaume ndiyo wakahodhi kazi hizo, shini- Mkakati ulianzishwa ili kuendeleza ajenda hii ni kizo la kiuchumi kutokana na kudaiwa kodi na ada ya pamoja na vivutio vya fedha na bei nzuri kwa kilimo cha shule kulivuta usikivu wote na kuwaondolea wanawake mahindi, kwa upande mmoja, na kwa upande mwingine jukumu lao la uzalishaji wa maharagwe na uhifadhi wa walianzisha mbegu mpya za maharagwe meupe na mbegu mbalimbali. Ni baada ya miaka 1970 ndipo chuki mekundu kwa ajili ya kusafirisha nje (hususani Ulaya) ili dhidi ya spishi za jadi za maharagwe ilipoanza kupungua, kuchukua nafasi ya Njahe na spishi nyingine za jadi. baada ya sera za kilimo za Kenya kufanyiwa mabadiliko Ingawaje aina mbalimbali za maharagwe zilifanyiwa taratibu ili kuzifanya kuwa za Kiafrika. majaribio kwa miaka kadhaa na huduma ya kilimo kipana, aina chache zilistawi katika hali ya Kenya au kukubaliwa katika vyakula vya wenyeji. Aina zilizomudu Mifano toka Afrika nzima ni figo ya Kanada, rose coco na Phaseolus vulgaris. Hali iliyoelezwa kwa Kenya siyo suala lililojitenga. Afrika Taratibu aina hizi ziliingia sokoni na kuanza kuiondoa nzima kuna hadithi sawa na hizi zinazoweza kuibuliwa njahe katika uzalishwaji. juu ya ufukarishaji wa taratibu za hifadhi ya mbegu chini Huduma za nje za kilimo cha kikoloni zilifanya ya shinikizo la mazao ya fedha sambamba na upuuziaji kampeni za kuondoa kabisa kilimo mchanganyiko cha wa majukumu ya wanawake katika kilimo na kazi yao aina mbalimbali za maharagwe na kuhakikisha kuwa muhimu kama watunza bioanuwai. Ukweli ni kuwa aina moja ya zao hulimwa katika eneo moja. Mara nyingi Afrika ni moja ya kanda za dunia zenye kiwango kidogo ilikuwa ni zao linaloweza kusafirishwa nje ya nchi. cha hisa za mbegu zilizoingizwa, sifa ambayo ipo katika Maharagwe yasiyochanganyika au yaliyochambuliwa kanda zilizokuwa na kilimo cha masetla kama Amerika yalipata bei nzuri mara mbili au tatu ya mazao Kaskazini na Australia. Hifadhi ya mbegu na prazma ya mchanganyiko. mbegu inafanya kuwa hazina ya kibotania ya maarifa asilia. Kutokana na majukumu yao ya kuitunza familia, Gharama za kulima zao moja wanawake kwa karne nyingi wamekuwa kitovu cha kuzalisha spishi za mazao ya chakula, uhifadhi wa mbegu Tukio hili lilikuwa na madhara makubwa kwa lishe, kwa kwa kupanda nyumbani na kutumia mimea inayoliwa. kilimo bioanuwai katika milima ya Kenya, kwa rutuba ya Masuala ya kudhuriwa na magonjwa na uhakika dhidi ya udongo, na kwa wakulima wanawake wenyewe. Kuba- mazao kushindwa kupatikana kutokana na matatizo ya dilisha mahindi badala ya maharagwe katika chakula cha hali ya hewa isiyotabilika yamefanya wenyeji wawe na wenyeji kulipunguza mzunguko wa chakula kilicholiwa mbegu aina mbalimbali na ruwaza tofauti za kilimo. na watu wa vijijini ambacho kwa uchache kilichangia na Katika nchi ya Burkina faso na katika Afrika tatizo hili limeendelea bila kupungua. Magharibi ya Sahel kwa mfano wanawake wa vijijini Wakati huo huo uondoaji wa aina mbalimbali za wanakusanya kwa uangalifu matunda, majani na mzizi maharagwe yaliyolimwa kabla ya uhuru kuna madhara ya mimea ya jadi kama mibuyu (Adansonia digitata), sambamba. Mojawapo ni kufukarisha hifadhi ya kije- majani mekundu (Hibiscus Saddarifa) majani ya kapoki netiki iliyokuwapo na ambayo ilizalishwa miaka maelfu (Ceiba pentandra) na kweme (Cyems esculentus) kwa ya kilimo cha mwanadamu katika Afrika Mashariki. matumizi ya familia zao ili kujalizia nafaka zitokanazo na Kilimo shadidi cha mahindi na kudharau virutubisho vya kilimo (uwele mtama) ambazo hutoa sehemu moja ya ardhi vya jamii ya kunde kama maharagwe, matokeo yake lishe na huweza kukosekana katika mwaka fulani. Zaidi ni kufukarisha udongo. Ulimaji wa maharagwe uliongeza ya spishi 800 za mimea ya porini inayoliwa imeoro- uwezekano wa kudhurika kwa baadhi ya mazao dheshwa katika eneo lote la Sahel. Katika nchi ya Sudani yaliyostahimili magonjwa. Mwishowe, kwa vile kilimo cha Kusini, wanawake wana jukumu la moja kwa moja la maharagwe ni shughuli muhimu kwa uchumi wa wana- kuchagua mbegu za kuhifadhi kwa ajili ya kupanda kila wake na uwezo wao wa kulisha familia zao, shinikizo la mwaka. Wanachagua mbegu za aina nyingi na kuzihifa- kupata fedha na kuacha kilimo cha maharagwe kume- 152 Tini za MA 23 dhi na ambazo zitahimili aina yoyote ya hali ya hewa ambayo ni kuwa na radha isiyoridhisha na kukosa kama itatokea katika msimu wowote wa upandaji. anuwai za kijenetiki. Soko dogo limeanzishwa la nyanya za spishi iliyorithiwa kizazi hadi kizazi. Spishi zilizohifadhiwa mara nyingi na wanawake wakulima Dhima ya wakulima wanawake duniani wa bustani na sasa zinahifadhiwa na kuzalishwa kwa wateja maalumu. Hadithi zinazolingana zinaweza kusimuliwa kuhusu jinsia na bioanuwai katika kilimo katika kanda za dunia. Katika jamii za wakulima duniani kote, wanawake Kubadilisha mwelekeo wamekuwa ndiyo watunzaji wa bioanuwai. • Watafiti kutoka chuo kikuu cha Kilimo cha Wageningen Je, bado kuna muda kwa nchi kama Kenya? Ndiyo, lakini huko Netherland wamegundua kuwa wanawake katika hakuna kuchelewa. Kupotea kwa hifadhi za mbegu jimbo la Kalasin nchini Thailand wanachukua jukumu anuwai unafanya uhakika wa chakula kuwa hatarini. Hii muhimu la kusimamia eneo kati ya spishi za mimea ni kwa sababu ya madhara makubwa ya spishi chache inayoliwa ya porini na mimea inayolimwa majumbani. kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa na madhara mengine Wameleta spishi mpya za porini na kuanza kuzilima ya mazingira. Hali hii inaonekana haiwezi kubadilika bila katika miaka ya karibuni na wakahimiza jumuia zao kuifanyia kazi kwa karibu sana na wakulima wa jadi kwa kurekebisha kwa uangalifu haki za ukusanyaji mazao kutunza mbegu za spishi asilia, pamoja na jukumu kubwa ya porini wakati huu wa kuongezeka kwa ubiasha- la wanawake katika shughuli hii. raishaji. Maharage ya njahe yenyewe kwa kiasi fulani • Wanawake katika jumuia za Dalwa ngan na yamerudisha sehemu ya mandhari yaliyopotea katika Mammbong katika jimbo la Bukidnon, Mindanao karne iliyopita. Kuachwa kusafirisha maharagwe meupe, nchini Philippines wana jukumu kubwa katika radhi ya kiafrika kwa aina nyekundu na nyeusi za kutengeza “benki ya kumbukumbu” (memory bank) ya maharagwe zimeanza kurudia. Lakini maharagwe plazma ya mbegu na watafiti wa kilimo kwa sababu yaliyokaushwa na nguvukazi ya wanawake ambayo kijadi wote wanahusika na suala la uanuwai. “Ninalima aina zilikuwa kubwa na na anuwai, bado zimebaki kuwa ni za mbalimbali (za viazi vitamu), nyingi kiasi ninachoweza kusaidia tu uchumi wa Kenya. kupata mbegu, mkulima mmoja alisema, “kwa sababu Kuongezeka kwa unyeti wa masuala ya bioanuwai kila moja ina matumizi yake na hakuna isiyodhurika na uliotokana na mvua za msitu na mifano ya kupotea spishi majanga yote.” zenye umuhimu wa kimatibabu, imepanda mbegu mpya • Katika nchi ya India, upande wa Kaskazini, Mkulima ya matumaini katika uwanja huu kwa Afrika na kanda mwanamke mzee mmoja alisema kwa maneno zingine zinazoendelea. Kituo cha Kimataifa cha Kilimo machache wakati akichagua mbegu za kuhifadhi. cha Kitropiki cha Cali, Colombia kinaratibu utafiti wa “Inahitaji jicho kali, mkono nyeti na uvumilivu miaka kadhaa juu ya utafiti shirikishi kuhusu majukumu mkubwa kueleza tofauti kati ya mbegu hizi. Lakini hivi ya jinsia katika kilimo na uzalishaji shirikishi wa mimea siyo vitu vinavyoheshimiwa tena.” katika tovuti yao inayopatikana katika anwani • Huko Marekani ubadilishaji wa jenetiki za nyanya http://www.prgaprogram.org. Ofisi ya tawi imeanzishwa uliofanywa na viwanda vya kilimo umeleta spishi zina- nchini Uganda kwa ajili ya shughuli za milima ya zoweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu bila kuharibika. Kiafrika ambazo zinaelezea ushirikishwaji wa jinsia Mfano, uwezo wa kuiva wakati wa kusafirishwa au kwenye utafiti katika Afrika Mashariki. Wakati huo huo inapokuwa dukani baada ya kuvunwa zikiwa bado na Chama cha Maendeleo ya Mpunga cha Afrika Magharibi rangi ya kijani. Pia kuwa na umbo la mraba linalosaidia kikiwa na makao makuu katika mji wa Bouake, Ivory katika ufungashaji katika kreti. Sifa hizi zinafanya Coast kimeongeza umuhimu wa kuhifadhi bioanuwai kati kilimo cha nyanya kuwa ni shguhuli yenye faida na ni ya wakulima wa mpunga wa Sahel na kufadhili utafiti rahisi zaidi kuifanya katika mashamba makubwa. Hata unaohusiana na mazoea ya eneo la Kusini Magharibi hivyo kuna matatizo yanayoendana sambamba na hilo mwa nchi ya Mali (angalia http://www.cgiar.org/warda/). Uimarishaji wa Maarifa Asilia ya Kiufundi: Mfano wa Mvinyo wa Miwa Makala hii ilichukuliwa kutoka kwenye Kifaransa kama ilivyoandikwa na Luzietoso Nguala, Paul Charles Bom Khonde, na Jean Jacques Magloire Bazabana. Nchi za Kiafrika zimejaliwa kuwa na uteuzi wa zao hili. (i) Utengenezaji uwezo wa kutengeneza chakula na wa mvinyo wa miwa ni desturi ya vinywaji (maji ya matunda, mvinyo asili ambayo inarithishwa kutoka n.k.) kutokana na mimea mbalimbali kizazi kimoja hadi kingine. (ii) Matu- (matunda, majani, mizizi, mashina, mizi ya mvinyo wa miwa yameonge- maua). Katika mazingira ya utanda- zeka vijijini na mijini. Kwa hakika wazi, mazao ya asili ambayo yana bidhaa hii inajulikana na inapendwa soko kubwa katika nchi zina- sana katika miji mikuu ya nchi tatu Tini za MA 24 zoyazalisha yanaweza pia kuuzwa zilizotajwa, yakiwa na wakazi Septemba, 2000 nchini na katika mataifa mbalimbali. wapatao milioni 9 (milioni 2 Luanda, Ingawa mazao haya ya asili yanapa- 600,000 jijini Brazzaville na milioni 6 tikana katika masoko ya asili, mengi jijini Kinshasa). Aidha bidhaa hii huwa hayajulikani. Mvinyo wa miwa inapendwa pia katika miji mikuu na ni mojawapo ya mazao ya aina hiyo. miji minigne ambayo haina wakazi Nchini Angola, Kongo na Jamhuri wengi sana na (iii) soko la bidhaa hii ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ya mvinyo wa miwa ni muhimu sana kuna matumizi ya miwa ya aina tatu. na usindikaji wake unachangia kati- Kwanza miwa hiyo hutumika kama ka kuongeza ajira na ni njia “kinywaji cha mdomoni” “canne de mojawapo ya kuleta pato litokanalo bouche” cha kukata kiu, na/au kutu- na shughuli ndogondogo za biashara, liza njaa. Walaji huchojoa ganda la ambayo iko hasa vijijini na pembe- juu la muwa kwa kisu, hutafuna nya- zoni mwa miji. Maarifa yatumikayo ma ya ndani ya muwa na kufyonza ni mahususi katika jamii ya watu wa maji yake na kisha kutupa ganda kaskazini mwa Angola, Kongo ya (ganda linalobaki baada ya kufyonza kusini na magharibi mwa Jamhuri maji). Pili, miwa hutumika kama ya Kidemokrasia ya Kongo. Maarifa mali ghafi ya kutengeneza sukari. haya yanawawezesha wajasiriamali Tatu, miwa hutumika pia kutenge- wa sehemu hizi kuwa na nafuu ya nezea mvinyo unaojulikana kama pekee. Aidha, mahitaji ya uzalishaji “lungwila”. wa mvinyo wa miwa unaongeza Makala haya yanazingatia maarifa changamoto ya kuongeza uzalishaji yatumikayo katika utengenezaji wa wa zao la miwa na kuongeza haja ya mvinyo wa miwa, ambao ni zao la vifaa vya kutengeneza na kuiweka kiasili katika nchi tatu zilizotajwa katika vifurushi. hapo juu. Kuna sababu nyingi za 153 154 Tini za MA 24 Kuendeleza maarifa asilia shirikiana na wenzake na yeye pia atapata ujuzi wa wen- zake. Mabadilishano haya ya ujuzi yanachangia katika Teknolojia ya miwa kuendeleza ujuzi wa kikundi cha wazalishaji kwa ujumla. Ongezeko la soko la mvinyo wa miwa limesaidia Tofauti na mifumo rasmi ya kujifunza, wanufaishwa na kuendeleza viwanda vya uzalishaji na uratibu wa kazi. mafunzo ya asili hawalazimiki kulipa ili kupata ujuzi huo. Katika sehemu ya Kimbongo ambayo ina shughuli nyingi, Huu ni mfumo wa mshikamano ambao umerithishwa wazalishaji wa mvinyo wameunda umoja wao ili kutoka katika utamaduni wa zamani. Mfumo huu una kupunguza suluba ya kazi. Wanatumia ganda la ndani la faida nyingi kwa Wajasirimali: Unapunguza gharama za muwa kuvundika punje. Ili kubadilisha mtambo wa kuanzia. Kwa hakika mjasirimali anayetaka kuzalisha kusindika wenye wenzo moja, waligundua mtambo wa mvinyo wa miwa anaweza kwa urahisi kupata maarifa kusindika kwa mkono wenye wenzo mbili na kisha ule hayo. Kwa mfano, katika sehemu ya Kimbongo, mamia ya unaosindika kwa mitambo. Mwaka 1997, waliingiza wazalishaji huanza biashara hiyo bila kupitia hatua za nchini teknolojia ya Mexico na kuwasilishwa katika kiutawala na bila taarifa na gharama za mafunzo. mikoa mbali mbali iliyokuwa inatengeneza mvinyo. Aidha kila mjasirimali ambaye anajiunga na ushirika Teknolojia hiyo ilikubaliwa kwa sababu ilifupisha wa wazalishaji mijini au vijijini anaweza kuendeleza ujuzi utengenezaji, ilipunguza matatizo katika taratibu za kazi wake kwa kupitia katika utaratibu wa kubadilishana na iliboresha kiasi cha usindikaji wa juisi. Hata hivyo ujuzi kati ya wanachama. Njia hii inaweza kuzingatiwa matumizi yake ni madogo kwa kuwa ni aghali sana, na kama mtindo wa mafunzo ya ufundi unaoendeshwa na mafundi wanatengeneza aina nyingine za asili. wanajamii na pia kama njia ya menejimenti ya uvumbuzi wa pamoja bila msaada wa taasisi rasmi zilizozoeleka. Uenezaji wa maarifa Utaratibu wa utengenezaji wa mvinyo unatoka katika Matarajio ufalme wa zamani wa Congo. Wana ukoo wa jumuia Ujuzi wa jamii kiteknolojia mara nyingi hautiliwi mkazo mbalimbali ambao walikuwa wanaishi hapo sasa na watafiti endelevu, viongozi na wataalamu. Hali hii wanapatikana katika baadhi ya sehemu za Angola, imeleteleza athari mbaya katika kubuni na kutekeleza Congo, na Jamhuri ya Demokrasia ya Congo. sera. Ujuzi huu unatumiwa na wanaume tu na hasa Mfano wa utengenezaji wa mvinyo wa miwa katika wanaume wazee na wao wenyewe huleta mali ghafi. Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo unaonyesha mafunzo Wanawake hushiriki katika hatua za mwisho yaani uuzaji muhimu kuhusu maarifa ya jamii kiteknolojia na wa bidhaa iliyokwisha kamilika. Kihistoria ujuzi huu umuhimu wake kwa maendeleo ya uchumi katika Afrika. hurithishwa ndani ya ukoo na familia, toka kizazi kimoja Baadhi ya hoja zinahitaji ufafanuzi. Utaratibu wa hadi kingine. uzalishaji wa mvinyo wa miwa unaonyesha uzalishaji Kutokana na kukua kwa miji na upatikanaji wa mvinyo mdogo, usio-endelevu, uhaba wa mali ghafi na vifaa (kwa wa miwa katika baadhi ya masoko, njia nyingine za usam- sababu miwa hupatikana katika majra fulani maalumu) bazaji zimezinduliwa, hususan kutokana na makundi ya tatizo la kuhifadhi mvinyo ukiwa mwingi, n.k. Hili wazalishaji na washirika pamoja na vitongoji vya miji. huleteleza upungufu wa mvinyo. Wamiliki wa biashara ndogo ndogo husafirisha bidhaa Zaidi ya hayo, maarifa ya teknolojia ya asili hairuhusu hiyo kwa waajiriwa wao ambao mara nyingi huwa ni utumiaji wa bidhaa nyinginezo (kama ganda la ndani la ndugu zao. Ndani ya ushirika wa utengenezaji wa mvin- miwa lililokwishafyonzwa juisi ya sukari, ganda la nje la yo, mfumo wa kujifunza unaotumiwa ni tofauti, hutumia miwa). Kwa kutotumia bidhaa hizi huleteleza uchafuzi mitindo miwili ya uanagenzi inayoendana: watu wazima wa mazingira kando kando ya kiwanda. Mwishowe, wanarithisha vijana na wanashirikiana katika ujuzi. uzalishaji huu wa kiasili unakosa mbinu za ufungaji Mbinu ya kwanza ya uanagenzi (mtu mzima kwa katika vifurushi na utiaji mvinyo katika chupa kwa ajili kijana) ni ile inayopatikana katika biashara inayomili- ya kusafirisha bidhaa hiyo katika masoko ya mbali. kiwa na familia, ambapo wanaofaidi ni vijana, au wale Kwa kuzingatia mapungufu haya, ni muhimu kwa watu wasio na ujuzi ambao wanapenda kuanzisha waendelezaji (wajasirimali, watafiti, mashirika yasiyo ya biashara yao. kiserikali, mashirika ya umma n.k.) kufahamu maarifa Mbinu ya pili inazingatia ushirika wa maarifa. Ni mfu- hayo ya teknolojia asilia na kuyaimarisha. Katika hali hii, mo ambao unawawezesha wanachama wa ushirika kuba- lengo linapaswa kuwa uendelezaji wa njia bora za dilishana ujuzi wao. Mwanachama ambaye anamudu ufungaji wa virushi, utumizi wa takataka na uendelezaji utendaji kazi wa aina fulani (kwa mfano uvundikaji) ata- 155 wa urahisishaji wa nyenzo za uzalishaji viwandani, n.k. panapohusika kwa kuzingatia sera ya maendeleo ya jamii. Uimarishaji wa maarifa ya teknolojia ya asili. Aidha, muelekeo wa sasa unaopondelea “bidhaa za jamii” unafungua njia mpya ya maendeleo (kwa bidhaa za kutoka nje) ya bidhaa zinazotokana na shughuli za amali Uimarishaji wa maarifa ya teknolojia asilia za asili. Wataalamu wa maendeleo wanatilia mkazo malengo na dhima ya maarifa ya sayansi asilia. Hii haina maana Kuhamasisha maarifa asilia ya kiufundi kuwa hapahitajiki misaada kutoka nje—bali ina maana kuwa wataalamu hawa lazima waendeleze maarifa na Utandawazi wa sasa wa mabadilishano ya bidhaa ujuzi wa asili. Mchanganyiko wa maarifa asilia na yale unahitaji mabadiliko ya uchumi wa Afrika. Mahitaji haya yasiyo ya asili (yasiyo ya asili lakini ya asili kutoka katika yanazidi kuwa muhimu na yanaibua matatizo ambayo jamii nyingine) unaweza kuongeza uzalishaji. Mbinu hii yanakinzana na mbinu za sasa ambazo madaraka yote ni tofauti na ile inayodai kuwa wakala wa maendeleo yanahodhiwa na serikali hali ambayo haiwezi kutatua wanajua “kila kitu” na hivyo wana mbinu bora ya matatizo. Jamii ikipewa madaraka inaweza kupata kuhamisha sayansi na teknolojia kutoka katika tafiti na ufumbuzi wa matatizo ya kiuchumi ambayo yanajulika asasi za maendeleo hadi kwenye jumuia. Wazalishaji na kwa wanajamii wenyewe ambao wako karibu na wale watumizi wa ujuzi wa asili ndio hasa “wataalamu” hai. wanaopaswa kuyapatia ufumbuzi, kuyatumia na Wana sayansi na wana teknolojia wanapojishughulisha na kuyafaidi. masuala ya maendeleo, lazima wawasikilize na wachote Uanzishaji wa biashara unaotegemea maarifa ya maarifa na ujuzi wao na piawatafute njia za kuoanisha teknolojia ya asili unamaanisha pia uanzishaji wa nafasi maarifa ya kila upande. za kazi katika ngazi ya jamii. Mbinu hii itawezesha Licha ya matatizo ya kiufundi wanayoyapata na mwamko mpya wa shughuli za kiuchumi zinazozingatia kutoshirikishwa katika mfumo wa taifa wa uzalishaji, guvu kazi za jamii na rasilimali za kifedha. Jitihada hizo watumiaji wa ujuzi wa asilia wana uwezo wa ufundi wa za wanajamii zinaweza kuleteleza muundo wa kiwanda kubadilika kwa kuzingatia mabadiliko ya uzalishaji na cha jamii ambacho kimeundwa na biashara ndogo ndogo. kutafuta mbinu za ubunifu dhidi ya matatizo yao. Hali hii itahitaji kuwezeshwa kwa mazingira na misaada Imegundulika kuwa wanapokuwa na hali ngumu, ndipo ya kufaa. wanapokuwa wavumbuzi zaidi. Kwa hakika wanajamii Mawakala wa maendeleo wanaweza kuendeleza hujiegemeza katika maarifa asilia ili kurekebisha mbinu shughuli hizi kwa kutilia mkazo utaratibu wa ubunifu ya uzalishaji kwa minajili ya kutoa bidhaa bora. kwa kushirikiana na mashirika ya wazalishaji. Mashirika Mashirika ya tafiti na maendeleo yanawajibika haya yanaweza kuingia ubia kwa mfumo wa ushirikiano kuzingatia maarifa asilia ya kiteknolojia na uendelezaji wa madaraka. Uelewa wa serikali kuhusu athari za wa programu za maendeleo zinazokusudia kuongeza kijamii na kiuchumi wa shughuli hizi muhimu, ili kubuni thamani. Maarifa ya kiteknolojia ya asili yanaweza na kutekeleza sera inayozingatia motisha kwa ajili ya kupewa uhai mpya kwa kuyapa madaraka mahali kuendeleza bidhaa za biashara za mahali panapohusika. Mali Maarifa Asilia: Kuchanganya Mambo Mapya na ya Kale Makala hii imeandikwa na Peter Easton (Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida) na Guy Belloncle (Chuo Kikuu cha Tours). Kwa maelezo zaidi: baruapepe Peter Easton: easton@coe.fsu.edu Ni kwa njia ipi maarifa asilia yana- deleza uzalishaji na uboreshaji wa tolewa ndani ya maficho ya utama- teknolojia ya mashamba. Kwa haki- duni, hadi uwanjani yakifunga- ka programu ya kisomo iliendeshwa manishwa na teknolojia mpya na chini ya ulezi wa OACV na ilijishu- yakitumiwa katika kazi mpya za ghulisha—kinadharia—na ujuzi ulio- maendeleo? Ni katika mafundisho hitajiwa na wananchi wa vijijini ili yapi ambapo maarifa hayo yanasha- kuboresha na kuongeza mavuno na wishi, yanafunzwa upya na yanate- kuchukua majukumu ya kutafuta Tini za MA 25 kelezeka? Mafundisho muhimu ya mikopo na masoko. Kwa hakika Oktoba 2000 ujuzi wa zaidi ya miongo miwili OACV ilikuwa, katika kiwango hi- yanaelezwa kutoka katika Jamhuri cho, imejishughulisha kidogo katika ya Mali. kuhamisha madaraka na rasilimali kwa ajili ya utendaji asilia kwa wana- jamii ambao walionyesha uwezo Muundo uliofichika, maarifa kielimu. yaliyofichika Matokeo ya tathmini ya mwaka wa kwanza yalionyesha kuwa, kama Katika nchi ya Mali kama zilivyo programu ya elimu ingekuwa imefi- nchi nyingi za Afrika kuna ncha kia lengo lake kiidadi katika sehemu mbili kati ya mila na maarifa ya chache za nchi, basi wanajamii wengi utamaduni wa asili wa vijijini kwa waliohusika wangeweza kuzalisha upande mmoja na mfumo na tekno- “chanzo” cha wasomi—kwa idadi ya lojia rasmi ya jamii za mijini kwa vijana 5 hadi 8. Wanakijiji hawa wali- upande mwingine. pewa majukumu na wenzao ya ku- Mwishoni mwa miaka ya 1970, chunguza timu za watafuta soko wa- kundi la Watafiti wa Mali wakisai- liotumwa na OACV kununua mazao diwa na mwandishi walifanya tath- ya biashara; ili kuzuia udanganyifu mini ya kina ya elimu ya watu wazi- na kuhakikisha bili za kodi na ulipaji ma kwa vitendo sehemu za Magha- wake. Kama timu ya Watathmini ribi na za ustawishaji wa karanga ilivyosema baada ya ukaguzi wa nchini. Sehemu hizo zilikuwa zina- thabiti, matokeo yalionyesha tathmi- angaliwa na shirika la umma, ni sahihi iliyofanywa na wanajamii liitwalo “Opresheni ya Karanga na wa hali ya mafanikio yatokanayo na Mazao ya Chakula (Peanut and Food kisomo katika mazingira ya vijijini. Crops Operation au “OACV”), shiri- Soko na uangalizi wa kodi vilikuwa ka ambalo lilipewa jukumu la kuen- vitu muhimu lakini havikujionyesha 156 157 sana kutoka katika mtazamo wa wanajamii kiasi cha ili kutatua matatizo muhimu au kuwasilisha hekima kwa kushtahiki ustadi wa kila mtu au familia. Lakini vizazi mbali mbali. walipojumuishwa na kupangwa katika timu ndogo ndogo Katika nchi ya Mali mbinu za kuanzisha utaratibu huu za wanavijji, walifanya kazi ya umakinifu na yenye faida. ziliendelezwa na kundi la watafiti wale wale kwa Kwa kuzingatia ubora wa tathmini, watathmini kuhusisha jitihada zilizochukuliwa kuunda matumizi walifaulu kuwashawishi viongozi wa OACV kukubali mengine ya elimu. Wizara ya Elimu kwa msaada wa kuhamisha kazi za masoko—na sehemu ya faida Benki ya Dunia, ilifadhili utafiti wa muelekeo mpya wa itokanayo na uuzaji wa mazao ya biashara kwa wanavijiji elimu isiyo rasmi. Utafiti huu ulijikita katika hoja kuwa kwa kuwa sasa walikuwa na idadi kubwa ya wasomi elimu mpya iliyopatikana lazima ionwe kama chanzo cha wapya ambao wangeweza kusimamia kazi hizo. Kwa hiyo mafunzo mapya ambayo yanakidhi maendeleo vijijini mwanzoni mwa mwaka uliofuata wa kampeni ya elimu kama lengo linalokusudiwa. Timu ya watafiti ilibuni timu ilipewa jukumu, wakati wa safari zake za utaratibu wa aina tatu kwa ajili ya vijana waliofanikiwa kuzunguka vijijini kuwaeleza viongozi wa vijiji maba- hivi karibuni kujua kusoma na kuandika moja kuhusu diliko ya sera na mtindo wa utekelezaji wake. mbolea ya kilimo, nyingine kuhusu mfumo wa uhasibu Katika kufanya hivyo jambo muhimu lilibainika. kwa ajili ya shughuli za biashara vijijini, na mwingine ni Wakati wa enzi za ukoloni, wanavijji nchini Mali utaratibu wa kutambua na kukinga kuenea kwa walikuwa wamekubali tabia ya kutaja chifu makansela magonjwa ambukizi. wa kubuni kukutana na utawala wa Wafaransa wakati walipowatembelea. Kuwasiliana na utawala wa Kikoloni kulionekana, kwa sehemu kubwa, chini ya utukufu wa Mbinu za kupata maarifa asilia utawala halisi wa asili na mara chache haukukusishwa na Mbinu hizi zilifunzwa kwa aina yake. Watafiti walihitaji matakwa ya kudumu ya wanakijili. Mtindo huo huo kuchanganya maarifa ya nje ya kiteknolojia katika kila uliendelea katika sehemu nyingi baada ya uhuru wa eneo na utambuzi wa utamaduni wa wenyeji. Ili kufanya bendera wa mwaka 1960, kwa kuwa wawakilishi wa hivyo walishirikisha wazee wa jamii waliojua fika utawala wa kisasa wa Mali walionekana pia kuwa wageni utamaduni huo. Hivyo walitengeneza utaratibu ambao wa utamaduni wa asili. Watawala hao walionwa kuwa ulikuwa na hatua maalumu: hawataunga mkono uhifadhi na uendelezwaji wa Kwanza, watafiti walikutana na utawala wa kijiji utamaduni wa asili. Katika zaidi ya kijiji kimoja, timu ya kuwaomba ruhusu ya kujadiliana na wazee matatizo ya Watathmini ilianza kuelezea sera mpya na utekelezaji jamii yanayowasumbua na njia za kuyatatua katika wake kwa wanakijiji mashuhuri. Mara baada ya sehemu hiyo husika (udongo kuishiwa mboji, ugonjwa wa wanavijiji wenzao kuona kuwa uhamishaji wa kweli wa macho, au matatizo katika kuanzisha biashara kijijini). madaraka na rasilimali vinajadiliwa, basi, watathmini Kwa kuwa jamii zlichaguliwa kutoka katika maeneo waliomba majadiliano hayo yaahirishwe kwa muda na ambapo tatizo moja kati ya matatizo haya lilikuwepo kwa badala yake, kana kwamba ni jukwa la mapinduzi, timu kiasi kikubwa makubaliano yalipatikana kwa haraka. ya pili ya wapatanishi ilichukua nafasi yao. Timu hiyo Wakati wa majadiliano hayo na wazee vijijini, watafiti iliundwa hasa na watawala halisi wa asili. walichukua tahadhari kuelezea kwa kina (a) asili na umuhimu wa tatizo, kama linavyoazingatiwa na wanaja- Kuweka kipaumbele kwa mchakato wa kijamii mii wenyewe (b) upatikanaji wa mbinu mpya ya kitekno- lojia ambayo ikikubalika na kutumika ipasavyo inaweza Je, utamaduni wa kiasili na hazina ya maarifa “vinatu- kuleta matumaini ya utatuzi sahihi; na (c) kuwepo kwa mikaje” katika miradi ya maendeleo? Utambuzi wa vijana waliohitimu kusoma na kuandika katika eneo la matakwa kama yale yaliyobainika katika maelezo ya Bambora ambao wana vifaa na hamu ya kujifunza njia uhamishaji wa kazi za masoko kwa wanakijiji kwa hakika mpya na kupeana maarifa hayo na wenzao. ni kiambato kimojawapo. Lakini sayansi ya asili inaweza Watafiti walipendekeza wazo la kuwa na warsha ili kuwa ngumu kufichuliwa na kufafanuliwa kuliko kubainisha na tatizo na kujaribu njia mpya za utatuzi. utambazi wa matakwa binafsi kama methali ya Ewe Waliahidi kuleta vifaa vya kufundishia, taarifa kuhusu inavyotaja “Ndege mwenye maarifa—mtu mmoja peke teknolojia mpya na baadhi ya vifaa vya kujaribia. Aidha yake hawezi kumkamata”. Maarifa ambayo ni ya kijamii waliombo wazee wafadhali jitihada hizi na kuwahimiza na kwa asili yanarithishwa hasa hutokea katika vijana kuhudhuria warsha hii na kutakiwa kutoa ripoti mazingira ya kijamii, ambapo makundi ya watu huundwa kwa wazee kuhusu uwezekano wa mbinu hizi mpya. Vijiji 158 Tini za MA 25 vitatu hatimaye vilikubali kufadhili warsha hii, kila kupata vipengele vya maarifa asilia na kuvilinganisha na kimoja kikijadili mada mojawapo. vipengele vya “kisayansi” ambavyo vilihudhurishwa katika mafunzo. Katika kufanya hivyo vipengele hivi vya aina mbili vilisaidia kutafuta suluhisho la tatizo. Mambo yaliyohamasisha mchakato mzima Changamoto muhimu ilikuwa kutayarisha ujuzi, kiasi Maarifa ya wenyeji kuhusu magonjwa yatokanayo kwamba, haikuwa nafasi ya kueneza maarifa ya na maji kiteknolojia na mafunzo ya kiwango cha juu kwa vijana waliohudhuria, bali ilikuwa ni fursa na kichocheo cha Ingawa warsha zote tatu zilifuata utaratibu huu, lakini kuelezea maarifa yanayohusiana kijijini. Ili kuhakikisha maelezo ya kina yalitofautiana kati ya sehemu moja na mafanikio haya, mafunzo ambayo yalichukua majuma sehemu nyingine kwa sababu ya tofauti ya matatizo mawili kila moja, yalikuwa na vipengele vitano yaliyojadiliwa pamoja na tofauti ya mazingira ya wana vilivyohusiana. jamii. Kila ujuzi uliongezea jaribu jipya kuhusu mbinu • Maudhui ya kiteknolojia. Watafiti ndio walio- zenyewe. fundisha, lakini walihakikisha kuwa mwezeshaji mmoja Warsha kuhusu magonjwa ya kuambukiza ilifanyika mjuzi wa kiteknolojia alihusishwa katika kila kikao. Timu katika kijiji cha Fula, karibu na kandokando ya mto ilitengeneza mtaala wa awali uliozingatia uenezaji wa Baloue, sehemu nzuri na yenye rutuba kwa ajili ya kilimo. vifaa vilivyotafsiriwa kwa Kibambara. Hata hivyo, sehemu hiyo ilikuwa imeachwa kutumika • Kazi za maendeleo Kila mafunzo yalihusisha kazi ya miaka ya karibuni kwa sababu ya magonjwa ya upofu na “maabara” pamoja na vifaa na teknolojia mpya kichocho. Watu waliokuwa na dalili za hatua mbalimbali inayozingatia tatizo. Kwa mfano, watafiti waliohusika na za ugonjwa wa upofu walikuwa wanaonekana dhahiri programu inayohusu magonjwa ya kuambukiza walikuja kijijini, na jumuia ilishughulikia magonjwa haya mawili. na hadubini ambazo washiriki walizitumia kuangalia Wana warsha walibainisha idadi kamili ya waathirika vielelezo. katika jumuia nzima na kugundua karibu asilimia 25 ya • Uchunguzi wa uwandani au tathmini ya mahitaji ya wanajumuia walikuwa na virusi vya ugonjwa huo jamii. Katika kila mafunzo washiriki wenyewe walihi- (onchocerisians tumor) na zaidi ya theluthi ya watu hao tajika kufanya uchunguzi wa kiwango na hali ya tatizo walikuwa wamefikia hatua ya kwanza ya upofu. katika maeneo husika. Maarifa ya wanajamii kuhusu vimelea na hatua • Kulinganisha na maarifa asilia. Watafiti kwa vilipofikia yalionekana kuwa muhimu. Mhamasishaji wa ufasaha na utaratibu mzuri walitoa nafasi ya kuelezea masuala ya teknolojia katika warsha hii—daktari kutoka maarifa ya wenyeji kuhusu matatizo yaliyokuwa yana- Chuo Kikuu cha Marseille—alishangaa kuona kuwa jadiliwa na kulingalisha mafunzo hayo na taarifa ambazo wazee wa kijiji walijua ukuaji wa vimelea hivi vya zingeenezwa. kichocho, jambo ambalo alikuwa akiamini kuwa vimelea • Majaribio ya uchanganuzi. Kila mafunzo yaliele- hivi vimegundulika katika maabara za Ufaransa miaka kezwa kubaini vipengele vinavyohusu majaribu halisi ya miwili iliyopita. mbinu mpya na kuzingatia uchunguzi wa matokeo yake. Mwingiliano muhimu na maarifa asiliaa ulifanyika kwa Kufahamu urutubishaji wa udongo njia mbili. Kwanza, wakati wa utafiti wa uwandani Warsha iliyohusu urutubishaji wa udongo ilifanyika kuhusu matendo ya sasa na mahitaji, washiriki wa katika kijiji cha Suransan Tumoto, kasikazini mwa mji mafunzo walikuwa makini si katika kuangalia tu wa Kita magharibi mwa Mali sehemu ambayo inalima matatizo ya watu yaliyokuwa yanawasibu bali pia uelewa karanga. Udongo wa rutuba hapa umemalizika kabisa wao wa sababu za matatizo hayo na mbinu za kuyatatua. kwa sababu ya mfululizo wa kilimo cha mazao ya Kila jioni washiriki wa mafunzo walifanya tathmini na biashara na mashamba yalianza kuchoka kabisa. Baada majadiliano na wazee wa vijiji. Wakati huu vijana ya utafiti wa awali wa kemia ya udongo, wanawarsha walielezea waliyoyaona uwandani na kueleza wameji- walianza kazi ya kuwahoji wazee kuhusu aina ya udongo funza nini kutokana na hayo waliyoyaona. Aidha washi- inayopatikana katika mazingira ya vijiji na mimea ya asili riki waliomba maoni na ushauri kutoka kwa wazee iliyokuwa inamea katika sehemu hizo. Aidha walianza kuhusu matokeo hayo yalimaanisha nini na wafanye nini kukagua kwa makini udongo na mimea kuzunguka kijiji baada ya hapo. Tafakari ya pamoja ilidhihirisha ubora wa kwa msaada wa bwana shamba kutoka Taasisi ya Taifa ya 159 Utafiti na walileta matokeo kwa ajili ya majadiliano na • Tilia mkazo matakwa ya wanajamii wanajamii wote. • Anza na yale yajulikanayo kwa watu Ulinganifu wa mawazo ya kilimo kuhusu urutubishaji • Husisha wanajamii kama walimu katika utaratibu wa wa udongo na maarifa ya wanajamii kuhusu hali ya kujifunza udongo na mimea ihusikayo ilielekeza uamuzi wa • Unda mazingira ya tafakiri ya pamoja na zingatia data kuanzisha kituo cha kilimo cha majaribio ili kupima ihusikayo iliyotafitiwa. mbinu mbalimbali za kuboresha mavuno ya kilimo. Kwa • Tumia njia nyingi za kuwasilisha mihadhara bahati mbaya, wazo hili lilisimamishwa na wana • Fuata njia zote za hadi uondoaji wa matatizo. mazingira kutoka OACV , shirika ambalo liliona kuwa si busara kwa wakulima wa kijiji kujaribu jaribio ambalo Lakini kipengele muhimu katika kuhamasisha maarifa wakala wa kituo hicho cha kilimo cha majaribio walikuwa ya jamii katika majaribio haya—au kubadilisha “jukwaa hawajalimudu. la tafakuri” linaloelezwa mwanzoni mwa simulizi hizi kilikuwa cha katika orodha iliyotolewa. Kilihusisha njia za kushirisha “akiba” ya maarifa katika utendaji wa Mifumo asilia ya uhasibu mafunzo halafu nafasi wanayochukua katika kutafuta majibu, vyote vikiwa katika mpangilio ambao unazingatia Warsha ya uhasibu na shughuli za biashara za kijijini tafakari ya kikundi. Mbinu hii imekopa kutoka vianzo ilifanyika katika mkoa unaolima pamba kwa wingi viwili—kutoka katika mfumo wa asili wa jamii ya nchini, mahali ambapo soko la mazao lililoendeshwa na Kiafrika, ambao unawapa majukumu ya mashauriano na vijana wajuao kusoma na kuandika kutoka katika jamii wazee, majukumu ya menejimenti ya wanafamilia na yale vijana walikuwa wamefungua aina mbalimbali za ya kiteknolojia yanawaangukia vijana katika hali ambayo kiuchumi. Hata hivyo, mwenendo huu ulikuwa umepata inawafanya wafanye kazi na kushirikiana; na kutoka kizingiti kikubwa: ukosefu wa mfumo wa uhasibu katika katika matendo ya kushiriki katika tafiti ambayo inahi- lugha ya Kibambara ambao ungewawezesha wafanyakazi taji kuandaa mafunzo kwa kuzingatia kazi zinazotakiwa kutoka katika jamii kuwa na madaraka ya soko la mazao kutatua tatizo. na kuanzisha shughuli nyinginezo za biashara. Katika hali hii, ulinganisho wa ushirikiano na “sayansi Baada ya kujifunza mbinu za uhasibu, wana warsha mpya” umekuwa kichocheo badala ya kuwa kizingiti kati- waliowadodosa wazee kuhusu njia ya asili ya kuhakikisha ka kueleza maarifa asilia. Maarifa mengi ya asili—kama uwajibikaji na waliendesha warsha ili kuorodhesha na yalivyo ya mfumo wa kisayansi—kimsing ni ya uaini- kuunda istilahi za lugha ya Kibambara kuhusu hatua shaji: uangalizi wa makini na mfumo wa matukio mba- mbalimbali zitumikazo. Warsha ilihitimisha mafunzo limbali halisia yanayotokea na uwiano wake. Kuna utajiri kwa kutengeneza na kujaribisha mfululizo wa muundo wa hazina, lakini ukosefu wa njia za kurekodi na kulinga- wa uhasibu katika lugha ya Kibambara. Hili lilifuatwa na nisha mabadiliko mbalimbali au kujaribu na kuchanga- uwasilishaji, wa namna ya kufanya ukaguzi wa mahesabu nua miingiliano imefanya agenda hii isikamilike. kwa jumuia nzima. Mafunzo yaliyotolewa Mali na kuelezwa hapa yanaanzisha nafasi ambayo si ya kuelezea maarifa asiliaa na kuhusishanisha na matatizo ya maendeleo tu, bali ni Ufundishaji wa namna ya kueleza maarifa asilia kutimiza uwezekano wake wa kuboresha hali ya Hoja ya jumla katika warsha hii ilikuwa ni jinsi gani ma- binadamu kwa kulinganisha na ushirikishaji wa desturi arifa asilia yangechotwa kikamilifu na kutumika katika ambazo zimepangwa kwa kuzingatia mabadiliko ya kubuni mikakati mipya ya kutatua matatizo yanayokwa- uchanganuzi wa asili na uliopangwa. misha maendeleo. Hili lilipatikana kwa kutumia njia za busara na bunifu za kanuni za elimu ya watu wazima: Dawa za Jadi na UKIMWI Makala hii inachapishwa upya katika ukamilifu wake kwa ruhusa ya kutoka Lancet, 8 Aprili 2002, juzuu ya 305 uk. 1284. Kichwa asilia cha makala haya kilikuwa “A Regional Task Force on Traditional Medicine and AIDS (Tume Maalumu ya Kieneo Inayoshughulikia Dawa za Jadi na UKIMWI)”. Waandishi ni Gerard Bodeker, Donna Kabatesi, Rachel, King, Jacques Homsy, Chuo cha Green, Chuo Kikuu Oxford, Oxford OX2 6HG, UK; THETA, Uganda; na Madaktari Wasio na Mipaka Uganda. Hakimiliki 2000 The Lancet Ltd. kwa ushirikiano na The Gale Group na LookSmart. Hakimiliki 2000 Gale Group. Timu ya kanda ya dawa za asili na Februari, 2000. Wajumbe wapatao UKIMWI katika Mashariki na Ku- 100 kutoka nchi 17 za Afrika sini mwa Afrika itazinduliwa (sic) walikutana kutafakari athari za Kampala, Uganda, tarehe 10 Aprili, waganga wa asili katika kuzuia VVU 2000. Timu hiyo itaratibu shughuli na utunzaji wa waathirika. Wenyeji zinazohusu utumiaji wa dawa za asili wa mkutano huu walikuwa ni na watu walioathirika na VVU/ Shirika la Waganga wa asili na wa UKIMWI katika Afrika na nafasi ya kisasa kwa pamoja dhidi ya UKIMWI Tini za MA 26 waganga wa asili katika kinga ya (Traditional and Modern Health Novemba 2000 UKIMWI. Timu hiyo ya Mashariki Practitioners Together Against AIDS na Kusini mwa Afrika inaundwa na (THETA)). watu tisa wa AZISE, mashirika ya Hili ni shirika lisilokuwa la kiseri- kimataifa na timu ya watazamaji kali la Uganda ambalo linasimamia kutoka Afrika ya Magharibi. Kazi ya mahusiano kati ya watendaji wa Afya timu hiyo ni kupeana taarifa, wa asili na wa kisasa kuhusu vita kutengeneza orodha ya shughuli dhidi ya UKIMWI. Msaada ulitolewa zinazohusu dawa za asili, kuandika na UNAIDS na shirika la Kutangaza na kueneza utendaji bora, kuanzisha Dawa za Asili (Promotion of Tra- tafiti zinazohusu dawa za asili na ditional Medicine (PROMETRA)), kuhamasisha upatikanaji wa fedha. ambalo ni shirika la kimataifa Timu itazingatia ukweli kuwa katika lililopo Senegali. Shirika la Waganga Afrika, gharama kubwa na ukosefu wa asili na wa kisasa linaongoza wa dawa muhimu, ikiwa ni pamoja katika Afrika ya Mashariki katika na dawa za kinga ina maana kuwa kuendeleza ushirikiano kati ya sekta watu wengi wenye VVU/UKIMWI ya dawa ya kisasa na dawa ya kiasili. wanatumia dawa za asili za miti Wajumbe wengi wa mkutano wa shamba katika kutibu magonjwa ya- Kampala walitoa hoja kuwa, kwa nayohusiana na VVU ikiwa ni pamo- kuzingatia matumizi makubwa ya ja na maambukizo ya magonjwa nye- dawa za asili, waganga wa asili kwa melezi. Nchini Uganda kuna mganga hakika wanachukua mzigo wa wa asili mmoja kwa kila watu 200- hospitali za kisasa wa kushughulikia 400 wakati ambapo madaktari ni ugonjwa wa mlipuko wa UKIMWI mmoja kati ya watu 20,000. katika Afrika, jambo ambalo hali- Mpango wa kuanzisha timu hii zingatiwi kikamilifu na Wizara za ulitokana na ufadhili wa UNAIDS Afya, mashirika ya kimataifa, na wa mkutano wa Kampala mwezi wafadhali. 160 161 Wajumbe walilenga katika ushirikiano kati ya sekta ya wa. Wakati huo huo Waafrika wengi wenye VVU/ afya ya asili na ya kisasa. Walibainisha miradi ambayo UKIMWI hawawezi kumudu dawa za kisasa ambazo inazingatia vigezo vya “matendo sahihi” ambayo zimethibitishwa kuwa zinafaa. yanakidhi vita dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Baada ya kuzingatia umuhimu wa mfumo wa mtandao UKIMWI. Nchi nyingi ziliripoti ari iliyohusika dawa za wa mashirika yanayofanya kazi kipekee na dawa za asili asili na madaktari. Dr. Sandra Anderson wa UNAIDS, na VVU/UKIMWI, mkutano ulipendekeza uanzishwaji Afrika ya Kusini, alisema kuwa waganga wa asili wana wa timu ambayo itahudumiwa na THETA kama nafasi muhimu katika jamii za Kiafrika na wanatoa watendaji. Wanachama wa timu hiyo ni pamoja na mchango muhimu katika kukinga maambukizo ya ushirika wa waganga na Dawa za Asili wa Zambia, na UKIMWI na utunzaji wa Waathirika. Mkurugenzi wa Ushirika wa Kitaifa wa Waganga wa Asili wa Zimbabwe. THETA, Dr. Donna kabatesi, alitoa data zinazoeleza Kutakuwa na makundi ya Waangalizi kutoka nchi za kufaa kwa dawa za mitishamba katika nchi ya Uganda Afrika ya Magharibi za Ghana, Nigeria na Cameroon. dhidi ya ugonjwa wa malengelenge ya nevu ngozini Washiriki wa kimataifa ni pamoja na Umoja wa Mataifa (herpes) na VVU vinavyohusishwa na kuharisha na unaoshughulikia UKIMWI (UNAIDS), Shirikia la Afya kupungua kwa mwili. Professor Charles Wambebe, Mkuu Ulimwenguni (WHO, AFRO) na Shirika la Kimataifa la wa Taasisi ya Nigeria ya Utafiti wa Dawa aliripoti Mfumo wa Afya ya Asili (Global Initiative for Traditional matokeo ya awali ya dawa za mitishamba katika Nigeria Systems GIFTS)) na mashirika mwenza-Kundi la kazi la zinazoongeza seli za CD4 (CD4-cell counts) na zinazoon- Mfumo wa tiba ya asili na matibabu mbadala la Jumuia yesha mafanikio ya kupata nafuu kwa magonjwa yanayo- ya Madola (Commonwealth Working Group on Tra- husiana na VVU; utafiti kuhusu utumizi wa dawa haya ditional and Complementary Health Systems. Shirika la umo mbioni. Dr. Mberesero Firmina wa Kikundi cha Waa- GIFTS ilikubali kuanza shughuli za awali za mtandao wa thirika wa UKIMWI Tanga alieleza matokeo ya utumizi Watafiti na Taasisi kujenga programu za Utafiti ambazo wa mitishamba dhidi ya magonjwa ya fangasi (kuvu). zitabainisha, kutathmini na kuendeleza matibabu ya Ingawa afya ya asili inapatikana kwa urahisi na ina jamii ambayo ni salama na yanayofaa kwa matibabu ya kubalika kiutamaduni, lakini haina budi kuhakikishwa magonjwa yanayoendana na UKIMWI. Programu hii usalama wake. Hati hafifu, kutokuwepo na viwango na itatumia protokali rahisi lakini zinazozingatia usimamizi mfumo wa sheria kwa ajili ya afya ya asili katika nchi thabiti wa kuendesha uchunguzi wa haraka wa matibabu nyingi vilionekana kama changamoto ya kukabili kama yanayoleta matumaini. Programmu itazingatia hati dawa za asili zitachukuliwa katika mapambano dhidi ya miliki kulinda haki za wataalamu, ikijifunza kutoka kwa kinga ya UKIMWI na matunzo. Kutoelewana kati ya Programmu chache zilizopo katika Afrika. Kwa waganga wa asili na waganga wa kisasa, waganga wa asili kuzingatia ulimwengu kwa ujumla, kutohimili shinikizo kuwa na ushirika dhaifu, maono ya waandishi wa habari la mahitaji ya dawa ya mitishamba, kilimo cha bustani kuhusu Waganda wa asili, vyote vinachangia dawa za asili kitaendelezwa kwa spishi zinazopewa kipaumbele. kuwa na hadhi ya ukingoni katika nchi za Kiafrika. Licha Muundo msingi wa tafiti za serikali imara, zikisaidiawa ya serikali nyingi na mashirika ya kimataifa kuhimiza na mashirika ya kimataifa, utahitaji kuendelezwa ili kutambuliwa kwa dawa za asili, kutokuwepo na moyo wa kuhakikisha kufanyika kwa tafiti haraka iwezekanavyo kuwajibika na matendo kuhusu jambo hili, vimeonwa kwa kuitika matokeo chanya ya awali. Mbinu hii ita- kuwa kikwazo cha kutambua mikakati ya kiasili dhidi ya pangwa ili kuongeza matibabu ya mitishamba yanayoleta kuzuia UKIMWI. Aidha hali hiyo, haikuwezesha kujenga matumaini hadi kwenye hatua za maendeleo salama, mashirikiano ya kuunganisha juhudi na mbinu dhidi ya yanayofaa, na yanayotoa dawa rahisi. Mbinu hii italitia VVU/UKIMWI. Kwa hali hiyo, dawa chache za mkazo, panapohusika, uzalishaji na usambazaji wa dawa mitishamba zinazotumika kila siku katika Afrika na za miti shamba zinazofaa katika kiwango cha taifa, ambazo zina uwezo wa kutibu magonjwa yanayoendana jumuia na familia katika jitihada za kupata suluhisho la na UKIMWI, zinaendelea kutojulikana au kutochanguz- Kiafrika katika kupambana na UKIMWI Afrika. Uganda Teknolojia ya Habari na Maendeleo Vijijini: Kituo cha Nakaseke cha Mawasiliano Anuwai Taarifa hii iliandikwa na Siddhartha Prakash wa Benki ya Dunia na inatokana na matembezi yake ya Uandani wa kituo cha Mawasiliano cha Nakaseke. Mara nyingi inasemwa kuwa tekno- habari kwa ajili ya jamii za Nakaseke lojia hazifikii jumuia za vijijini. na Kasangombe na kusaidia huduma Lakini baadhi ya maendeleo ya za afya vijijini. kisasa ya mawasiliano yameanza Shughuli zinazoendeshwa sasa ni kuondoa umbali vijijini na vikwazo pamoja na mafunzo ya matumizi ya vya miundombinu. Kituo cha Mawa- kompyuta, na mtandao, barua pepe, siliano cha Nakaseka kilicho umbali simu, faksi, maktaba na huduma za wa kilometa 50 kaskazini mwa kutoa vivuli (photocopy), kituo cha Tini za MA 27 Kampala, Uganda katika vijiji vilivyo kujifunzia, maonyesho ya video na Desemba 2000 mbali, kimeanzisha teknolojia ya kurekodi, na mahali pa jamii pa mawasiliano katika kijiji hicho. kusikiliza na kusomea na pia sehemu Katika muda wa miaka mitatu, kituo ya shughuli za michezo kwa vijana. hicho kimechochea shughuli nyingi Ingawa kituo cha Mawasiliano ki- za maendeleo katika eneo hili. nalenga katika kuzihudumia jamii Eneo hili la Nakaseke lina idadi ya zote za Nakaseke na Kasangombe, la- watu zaidi ya 35, 983 kati yao kini hasa kinakusudia makundi maa- wanawake wakiwa 18,617. Mji wa lum ya watumizi; wanawake, vijana, Nakaseke wenyewe una idadi ya watoto, madaktari, walimu, wa- watu 3000 wengi wao wakiwa wa kulima na viongozi wa jamii. Hivyo kabila la Baganda, kabila kubwa maudhui na programu za kituo hicho katika Uganda ya kati. Hadi kituo zinalenga katika matakwa na ma- hicho cha mawasiliano kinaanzishwa hitaji ya makundi haya. mwaka 1997, magazeti yalikuwa yanapatikana katika mji mwingine ulioko umbali wa kilometa 16 na Mkakati wa utekelezaji unaonganishwa na barabara mbaya. Ushirikishaji wa wanajamii ndio Kituo cha mawasiliano cha Naka- kitovu cha utekelezaji wa shughuli seke ni kimojawapo cha msululu wa za kituo hiki. Tangu kianzishwe, ja- miradi inayofadhiliwa na (UNESCO/ mii ndiyo imekuwa kiini cha upanga- IDRC/ITU) ambayo inaendeshwa ji na utekezaji wa shughuli zote. Ka- nchini Benin, Mali, Mozambique na mati ya utendaji ya wanakijiji ilicha- Tanzania. Lengo kuu la miradi hii ni guliwa kutokana na wanajumuia kuchochea maendeleo ya vijijini kwa ikiwakilishwa na kila kundi lengwa: kurahisisha upatanikaji wa habari, • Kusimamia shughuli za kila siku nyenzo za kujifunza na teknolojia ya za kituo. 162 163 • Kushirikiana na kamati ya menejimenti • Kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo na kipato cha • Kuwahimiza wanajamii kushiriki katika shughuli za kaya katika maendeo ya Nakaseke na Kasangombe. mipango yote. • Kuwasaidia wafanyakazi wa kilimo katika kutoa taarifa • Kuendesha programu za umiliki na kushirikisha jamii na kuongoza wakulima wa jumuia. katika shughuli zo zote ambazo zinahimiza mwendele- • Kuoanisha kazi za utafiti na vitengo vya wakulima, na zo wa kituo, ikiwa ni pamoja na shughui za kuchangi- hivyo kuzidisha mtiririko wa habari kutoka sehemu sha fedha. zote mbili. Taasisi za kimataifa, kitafia na kijumuia zitahusishwa katika kituo kama kitovu cha shughuli kwa ajili ya ushauri wa kilimo. Taathari • Kutoa nafasi ya kufanya majaribio ya utumizi wa ICT ili kutoa taarifa ya Kilimo kwa wakati muafaka na Jumuia imepata maktaba/kituo cha rasilimali, simu na uenezaji matokeo ya utafiti. kitengo cha teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) kwa ajili ya shughuli/huduma zote zinazohusiana na ICT. Tangu mwanzo, mradi ulihusisha maarifa ya jamii Kituo cha mawasiliano kimebadilisha maisha ya watu katika mfumo wa uongozi. Uliunda sehemu maalumu wa vijijini. Kimteoa huduma za mtandao, simu na faksi, katika maktaba ili kukusanya na kueneza habari vinavyotumiwa kuendesha shughuli za biashara ya jamii. zinazohusiana na IK, ambazo zilitumika kuongezea Mafunzo ya kompyuta yameleta kazi kwa vijana, ambao muitikio wa wakulima wa kijijini katika mabadiliko ya sasa wanaweza kupata maktaba ambayo ina majarida ya sera ya serikali ikizingatia uongezekaji wa bidhaa za kimataifa na vitabu. Wakulima wameanza kujishughulika kilimo katika kiwango cha mkoa. Maonyesho ya picha na biashara kwa kutumia simu na mtandao wa kituo yalidhihirisha mbinu za asili katika uongozi wa maliasili, kupata na kueneza taarifa kuhusu mbinu za kilimo akiba na uenezaji wa habari na mikakati ya utumizi wa kijijini na bei za mazao. Kituo kimeanza kutekeleza Pro- dawa ya asili. gramu ya maarifa kwa jamii kwa kuwahusisha wakulima Kwa kutumia njia ya kubahatisha kwa zaidi ya miaka vijijini, programu ambayo inaweza kutumika kama mitatu, washiriki wote waliohusika walikuwa wamepata kichocheo cha kuendesha mabadilishano ya maarifa kati mafunzo ya kudhihirisha mabadiliko. Warsha zilizoshiri- ya jamii moja na jamii nyingine. Sasa wakulima wa- kisha jamii na matembezi ya mafunzo vimefanyika ili naomba kufahamu bei katika masoko na mwenendo wa kuwafunza wakulima vijijini kuelewa na kutarajia jumla kuhusu mazao wanayolima. kufanya shughuli kwa haraka ili kutumia mbinu sahihi Jumuia ya shule (wanafunzi wapatao 7000) pamoja na zinayotakiwa. wafanyakazi wa jumuia na madaktari wamefaidika Tafiti za uwandani zilifanyika ili kubaini na kutokana na kituo cha maendeleo. Jamii (yenye vijiji 42 kutathmini mbinu za asili za kilimo ambazo zilizingatia na kaya 3,000) inaanza pole pole kutahmini umuhimu wa mifumo salama ya kilimo. Matembezi ya mafunzo habari kama inavyothibitishwa na watu wengine kuanza yalionyesha maarifa, ubingwa na mantiki ya wakulima kuulizia kuhusu taarifa ya vipengele vingi. Gazeti la kila wadogo na masikini. Majadiliano mengi yaliyo rasmi na siku ambalo linapatikana katika kituo limesaidia pia yasiyo rasmi yaliwezesha mawazo na uwezo wa kuongoza kuwafanya wana jumuia kujua kinachoendelea katika uchanganuzi wao. sehemu nyinginezo za nchi. Upatikanaji wa habari mbalimbali muhimu kwa wakati muafaka ndio njia iliyowezesha washiriki wote kufanya marekebisho yaliyobadilisha hali kuwa nzuri zaidi. Njia Mradi wa kilimo watumia maarifa asilia mbalimbali za mawasiliano kama vile mtandao, simu na Ingawa idadi ya watu nchini Uganda inatarajiwa kuonge- faksi vilisababisha hali ambayo iliimarisha utaratibu wa zeka mara dufu mnamo kipindi cha miaka 30, ongezeko la majadiliano, mapatano na mawasiliano, kati ya washiriki lazima la kilimo linaloendana na idadi hiyo linatia wa- husika. Kituo cha mawasiliano kilitumika kikamilifu siwasi. Ukuaji mdogo wa kilimo unasababishwa na, kati kama mwezeshaji kwa kuunganisha Nakaseke na sehemu ya mambo mengine, udhaifu wa utafiti na uhusishanaji nyinginezo za nchi ulimwengu na kinyume chake. Kwa wa mkulima na mfumo hafifu wa upatikanaji wa mara ya kwanza, jamii ingejihusisha na majadiliano teknolojia, ikiwa ni pamoja na udhaifu wa utoaji wa yaliyokuwa yakiendelea katika jumuia nyinginezo na habari za kufaa na mfumo wa uwasilishaji wake. kubadilishana ujuzi wao. Miradi ya kilimo inakusudia: 164 Tini za MA 27 Taathari siku. Wanafahamu jumuia vizuri zaidi kuliko mtaalamu mwingine ye yote na wanawasiliana kwa lugha ambayo • Mawakala, vyama visivyo vya kiserikali na wakulima watu wanaielewa. wamefunzwa vyema katika matumizi ya ICT. Nakaseke ni mfano mzuri wa mafanikio ya kuhamisha • Taarifa muhimu za kilimo zinapatikana na gharama za matengenezo kutoka kwa Wafadhali hadi kuendelezwa kwa kushirikiana na angalau taasisi tatu kwa wanajamii wenyewe, ambapo, kwa kufanya hivyo za utafiti. Teknolojia na mazao vinajumuisha mavuno, panakuwepo muendelezo wa umiliki wa wanajumuia. ndizi, kahawa, kilimo cha bustani, mazao ya mzizi na Jumuia imefanikiwa, kwa kutumia fedha zao za nafaka. makusanyo ya kodi, kujenga jengo la kudumu la kituo cha • Vitabu vya mwongozo, vipeperushi vya habari, karatasi mawasiliano na wametafuta njia nyinginezo za za maelekezo na mabadiliko ya ujumbe vilitengezwa. kuwezesha kazi za ujenzi. Aidha jumuia imeweza • Angalau asilimia 65 ya wakulima katika sehemu za kushawishi serikali kuwezesha ujenzi wa mnara wa Nakaseke na Kasangombe wameelekezwa mbinu hii na mawasiliano ili kuwezesha uunganishaji wa zaidi ya njia asilimia 98 ya mawakala wa kilimo na wana maendeleo za simu 50 katika eneo hilo. Hili linadhihirisha kiwango wa jumuia wanahusika. ambacho wanajumuia wanathamini umuhimu wa mawasiliano katika upatikanaji wa maendeleo. Pamoja na kilimo, kituo cha Nakaseke kimeanzisha miradi mbalimbali ambayo inatumia maarifa na ubingwa wa jumuia za vijijini hasa katika maeneo ya elimu, jinsia Changamoto katika siku za usoni na afya. Hii inajumuisha ubunifu wa Programu ya Afya ya masafa marefu iliyoanzishwa kwa kushirikiana na Katika hatua za uanzishaji wa kitu kipya kama kituo cha hospitali ya Nakaseke. Wakati mpango huu utakapokuwa mawasiliano, kuna umuhimu wa kuweka kumbukumbu. tayari, wazo ni kuwaunganisha wagonjwa kijijini na Inaleta vifaa mbalimbali ambavyo vingetumika kika- madaktari walio mjini Kampala na miji mingineyo na milifu kuweka kumbukumbu za njia bora anuai za kinyume chake. Hili linaweza kudhihirika kuwa ni njia maarifa ya wanajumuia katika eneo. Utaratibu ulianza inayofaa ya kutangaza matumizi ya dawa za asili, jambo kwa mafunzo ya mbinu za tafiti za kiethnolojia na ambalo linatendaka kwa wingi Afrika. Vituo vya kuanzisha mbinu za kukusanya data na kuzirekodi mawasiliano vinaweza kutumika kama jukwaa la kupata katika benki ya data. Hali hii inapatikana kwa kutumia na kuhifadhi maarifa ya jamii na kuyasambaza toka jamii kanda za sauti na kurekodi mawazo kwa maandishi. moja hadi nyingine. Hatua nyingine ni kuanzisha utaratibu wa kueneza taarifa, kushirikiana na kuanzisha mfumo mtandao. Utaratibu huu umeanza kwa kuongoza mahusiano ndani Mafunzo yaliyopatikana ya juhudi za ICT ndani na nje ya nchi. Kituo cha mawasiliano kina mpango wa kugawana mifumo ya hati Kushirikisha jamii tangu hatua za awali katika upangaji na uwekaji wa rekodi na vituo vingine vya mawasiliano na utekelezaji wa miradi kumesaidia kueneza shughuli za vilivyomo katika majaribio nchini. vituo vya mawasiliano katika shughuli za jumuia kwa Programu zaidi zinaanzishwa kueneza maarifa yaliyo- ujumla. Kuifanya ICT kutumika katika kiwango cha jamii patikana kutokana na kituo cha mawasiliano, ikiwa ni pa- kinachoeleweka kwa wanajumuia kimesaidia kukubalika moja na biashara za jumuia na mwenendo wake. Progra- kwa dhana ya mawasiliano. Hili liliwezekana kwa mu hiyo itawawezesha wafanya biashara waelevu na wa- kutafsiri taarifa katika lugha ya Luganda, ambayo ndiyo maizi kuthamini na kutafakari kwa makini hali ya shu- lugha kuu katika jamii hii. Maonyesho ya dhana mpya na ghuli zao kwa ujumla, wakiwa na malengo ya kuanzisha programu ndio njia muhimu ya ukubalifu na uelewaji, utamaduni wa kuweka akiba na kuzuia matumizi yasiyo hususan kama inawahusisha wanajamii ambao hawajui ya lazima. Watatilia mkazo uwekaji wa rekodi na uenezi kusoma wala kuandika. Ni muhimu kuwahusisha wa matendo ya ujasirimali wa asili na utumizi. “watoto wa sehemu husika” kuendesha shughuli za kila Maarifa Asilia na Sauti ya Wenyeji katika Kupigania mabadiliko huko Afrika ya Magharibi Makala hii iliandikiwa na Peter Easton (Chuo Kikuu cha Florida) na Guy Bellonde (Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Tours). Kwa maelezo zaidi wasiliana na Peter Easton: easton@coe.fsu.edu. Ingawa maendeleo, maelezo na utara- kuandika katika vijiji vya sehemu ya tibu wa maarifa asilia katika Afrika magharibi ya nchi. Mpango wa kuso- mara nyingi vinaonekana kama vi- ma na kuandika ulianzishwa na shiri- pengele vya utamaduni na elimu ya ka la kilimo ambalo lilikuwa na juku- ufahamu (elimu ya asili na kiini cha mu la kuendeleza ukulima wa mazao maarifa), wakati huohuo vipengele ya chakula na biashara lengo lilikuwa hivyo vina umuhimu mkubwa. Uhu- ni kuwawezesha wakulima wa vijijini siano kati ya kiini cha maarifa asilia— kuwa na imani na kuweza kuchungu- Tini za MA 28 na watekelezaji—kwa upande mmoja za mapatano ya biashara. Matokeo ya- Januari 2001 na maarifa ya kimagharibi kwa upan- likuwa mchanganyiko. Vipengele viwi- de mwingine yanadhihirishwa na hali li vya “mizania” vilivyotolewa na ki- ya madaraka makubwa/madaraka ma- kundi kilichohusika na juhudi za tath- dogo, hali ambayo inabainishwa na mini shirikishi vilidhihirisha waziwazi wenyeji wa mahali wenyewe. Mpaka hofu ya wanavijiji kuhusu uhusiano hapo “mapatano biashara” kati ya wa madaraka. pande hizi mbili yatakapobadilishwa, Kipengele cha kwanza kilihusu ta- au yatakapozingatiwa katika mfumo rakimu katika mizania yenyewe. Kati- unaowezesha mashauriano basi ifaha- ka mipango ya awali iliyohusisha ku- mike bayana kwamba hazina ya sa- soma na kuandika katika lugha ya Ki- yansi ya asili itakuwa “nje ya soko.” bambara, ilidhaniwa kuwa kila jumuia itaunda kituo cha mafunzo, kuandiki- sha wanafunzi kuwa na wahitimu wa- Mbinu zilizoshindwa za kujua naume watu wazima wapatao ishirini kusoma na kuandika katika kusoma na kuandika halafu ili- Maelezo yatokanayo na tathmini ya tarajiwa kuwa litaundwa darasa lingi- utendaji unaotokana na kujua kusoma ne na kuwafunza wengine wa idadi na kuandika katika nchi ya Mali ileile au zaidi. Mwishoni mwa mwaka miongo miwili iliyopita, yanadhihiri- wa nne ilitarajiwa kuwa kati ya wahi- sha hoja na kutoa fursa ya kutafakari timu thelathini na hamsini wangeku- tatizo. Katika miaka ya 1970 juhudi wa wamepatikana katika kila jumuia zilifanyika—kwa kushirikiana na Wi- iliyohusika. zara ya Elimu, Wizara ya Maendeleo Matokeo halisi yanaonyesha kuwa Vijijini na ufadhili wa Benki ya Dunia lengo hili halikufikiwa na kwa hakika —kuorodhesha na kutathmni mato- baada ya uchunguzi wa kina yalion- keo ya utendaji wa miaka mingi unao- yesha tofauti kubwa. Hapakutokea tokana na madarasa ya kusoma na mahali ambapo “wahitimu” kumi wa- 165 166 Tini za MA 28 lipata mafunzo, katika eneo lote. Kwa upande mwingine, wepo kwa kundi muhimu la wakulima wahitimu wa kuso- hapakutokea mahali ambapo hapakuwa na mtu ambaye ma na kuandika katika eneo zima. Hatua hiyo ilichukuliwa hakujifunza chochote, isipokuwa katika sehemu chache ili kuwahimiza watendaji wawape wanajumuia wa kikundi ambapo kulikuwa na kushindwa kwa kiasi kikubwa. Baada cha msukumo wa aina hii—na kudhihirisha uwezo wa ya juhudi za miaka mingi ya uchunguzi wa programu kufunza idadi ya watu ambao wanajua uchumi na nafasi za mmoja baada ya mwingine ilionyesha kuwepo kwa kisiasa—nafasi ya kushughuhulikia mauzo ya mazao ya majigambo mengi na rekodi hafifu ya msaada wa vifaa toka kilimo na kupokea na kupokea faida kubwa ya mauzo hayo katika mashirika ya serikali katika uongezekaji wa kwa ajili ya kupunguza bei kwa wakulima binafsi au wahitimu wapya hasa kwa kadiri ya kiasi cha vijana wanne uwekezaji mpya katika miradi ya maendeleo inayoongozwa hadi saba. Kwa nini idadi hii ilikuwa ndogo au kubwa? na wenyeji wa mahali wanajumuia. Baada ya majadiliano, mwisho makubaliano yalifikiwa katika mabadiliko haya makubwa ya sera na timu ya watathmini ilianza, mkesha Ufafanuzi wa rekodi wa msimu wa uuzaji wa mazao ya kilimo, kuwasilisha Jibu lilionekana kuwa katika namna ambayo matumizi ha- mawazo haya kwa utawala wa kijiji pamoja na muhtasari lisi ya kusoma na kuandika katika lugha ya Kibambara hu- wa matokeo ya mzunguko wa awali wa tathmini shirikishi tazamwa kwa kuzingatia hali iliyokuwepo magharibi mwa ya kujua kusoma na kuandika. Jitihada zilionyesha somo la Mali wakati ule. Ingawa programu ilitangazwa kwa maji- pili kubwa juu ya maarifa asilia na utetezi wa pamoja. gambo mengi kuhusu umuhimu wa kujifunza na faida za kujifunza, lakini kwa hakika palikuwa na fursa ndogo ya ku- Kupambanua kati ya “kwa ajili ya kuonyesha” na “kwa tumia maandishi ya Kibambara katika mazingira ya kijijini. ajili ya kuondoa” Shule rasmi zilizomo kijijini zinatumia lugha ya Kifaransa na machapisho machache yaliyoandikwa kwa lugha za Kia- Kwanza, ingawa neno la mazingira ya kihistoria (mandha- frika yangeweza kupatikana. Aidha maandishi ya Kibam- rinyuma). Wakati wa utawala wa Ukoloni wa Kifaransa, ka- bara hayakutumika kwa minajili ya aina yoyote ile na ama tika sehemu zote za magharibi mwa Saheli, jumuia za ma- serikali za mitaa au katika uendeshaji wa kilimo. Zaidi ya hali husika zilikuwa na tabia ya kushughulika na hayo hapakuwa na fursa kijijini za mikopo au uwekezaji am- wawakilishi wa mfumo wa utawala wa serikali kuu kwa bavyo vingetoa fursa ya kuendesha biashara na kujitegemea. uangalifu. Kila kijiji kiliteua serikali ya vibaraka—yaani, Lakini kusema kwamba palikuwa na nafasi finyu za wa- watawala wa serikali ya mitaa ya kubuni ambao wangeku- hitimu wa kusoma na kuandika na kuhesabu kutumia ujuzi tana na Wafaransa wakati wowote walipohitajiwa. Waliku- wao haikuwa na maana kwamba hapakuwa na nafasi kabi- sanya taarifa ambazo zingewasilishwa kwa chifu wa kweli sa. Udhibiti wa kuendesha kodi na usimamizi wa biashara wa kijiji na washauri wake kama zingehitajika. Watawala ya soko la mazao ya kilimo uliofanywa na serikali ulikuwa hawa wa kubuni waliwasaidia watawala wa kweli kutojihu- na mambo mawili muhimu kwa watendaji kijijini, kwa ku- sisha na mawakala hawa wa wakoloni. Utaratibu ulien- wa walijiona kuwa wananyonywa katika maeneo haya. Kwa delezwa vyema hadi wakati wa kupata uhuru, kwa sababu mtu binafsi, usimamizi wa ulipaji kodi na biashara ya ma- wawakilishi wa utawala mpya walionwa pia kama wageni zao hazikuwa shughuli za mara kwa mara kuhalalisha kila au watu wenye uhasama na maslahi ya wenyeji wa mahali mtu mzima kujua kusoma na kuandika na muhimu zaidi kuliko hata wakoloni waliowatangulia. kuweza “kuhesabu”. Hata hivyo, shughuli hizi “zilipoju- Mtazamo huu ulikuwa mgumu kuelezea wakati wa mwa- muishwa’ na kukabidhiwa kwa wanakijiji wachache (hasa ka wa kwanza wa kazi ya tathmini katika matukio zaidi ya vijana wa kiume), zilileta manufaa kila siku na wakati moja. Mtathmini mmojawapo wa Mali aliyehusika na maja- mwingine ajira ya malipo yanayothibitika kama kinga ya diliano na mamlaka za jumuia aliona kuwa neno ambalo jamii wote. Kwa shughuli hiyo, watathmini waliona kuwa wao walilitumia katika lugha ya Kibambara kwa ajili ya programu ya mafunzo katika kila kijiji baada ya kingine, ushirika uliowekwa na serikali kuu ya kushughulikia ma- imeleteleza uanzishwaji wa kikundi cha watu wanne hadi zao ya kilimo na mauzo lilikuwa zaidi ya lile linaloonekana saba wajuao kusoma na kuandika ambao waliendesha na kuwa—neno la Kifaransa lililopotoshwa la “cooperative” kusimamia shughuli hizi. Wanakijiji walionekana kuwa (ushirika). Aliwaomba watu warudie neno walilokuwa wametathmini kisahihi ukubwa wa fursa za kutumia wanasema, alisikiliza kwa makini na kudadisi baadhi ya maarifa mapya pamoja na umuhimu wa kujitetea vyema na watu baada mjadala kumalizika. Kwa hakika watu walilo- hivyo kurekebisha mwitiko wa programu. kuwa wanasema lilikuwa neno “ko-fara-tinti” neno la Ki- Maofisa watendaji wa kilimo walijulishwa matokeo ya bambara lililochezewa na neno la Kifaransa ambalo lili- tathmini shirikishi ya mwaka wa kwanza iliyoonyesha ku- maanisha “chuna mgongo na tumbukiza sime.” Kwa haki- 167 ka hayo ni maoni dhahiri yanayoeleza jinsi wanajumuia wa miaka ya 1960, Burkina Faso miaka ya 1970, kaskazini mahali walivyoona malengo ya sera ya kilimo ya serikali. mwa Cameroon katika miaka ya 1980 na kwa wafugaji wa Kwa kuzingatia kiwango cha kutiliwa shaka, haiku- Jamhuri ya Afrika ya Kati mwanzoni mwa miaka ya 1990. shangaza kwamba timu ya tathmini iliishia kukutana—na Katika nchi ya Cameroon palihusika na uundaji wa mfumo maneno yote mawili katika mwaka wa kwanza na wakati mpya wa uhasibu katika lugha ya Kimassa, wakati ambapo wa juhudi za kusambaza taarifa wakati wa mwaka wa pili— nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ujuzi uliegemezwa katika pamoja na viongozi wa vibaraka katika jamii zilizotembele- kuwafundisha wafugaji wa Kifulani ambao walikuwa wa, hata kama watu hawa hawakuheshimika kwa maofisa wanajua kusoma na kuandika katika maandishi ya dini kwa wa kweli. Lakini jambo muhimu lilitokea mwanzoni mwa hati ya Kiarabu katika uandishi wa hati ya Kirumi kwa mwaka wa pili wakati watathmini waliporudi kueleza lugha yao. Mafunzo yao ya kusoma na kuandika yalichukua uamuzi wa serikali kuhusu kuhamishia majukumu ya muda mfupi wa majuma matatu au manne ya masomo ya uuzaji na rasilimali husika kwa wanajamii. Mara mada hizi mwendokasi (intensive training) yaliyotayarishwa—na zilipojulikana viongozi vibaraka waliomba mkutano kusimamiwa na—watu wa mahali pale; kipindi cha uahirishwe. Waliondoka kimyakimya kutoka katika eneo la ufuatiliaji wa utwaaji wa madaraka mapya na wajibu wa mkutano na baada ya muda mfupi, walibadilishwa, kana usimamizi kilikuwa muhimu na kilichukua muda mrefu. kwamba wako katika jukwaa linalozunguka, na wenzao wapya—yaani watawala halisi wa vijiji. Kama kulikuwa na Nani anadhibiti maarifa? nafasi ya kurejesha madaraka na rasilimali zilizokuwa zinatolewa, basi ilikuwa busara kuleta utamaduni wa asili Mahitimisho sawa yangeweza kufikiwa kutokana na uzoefu na mamlaka katika mizania. wa tafiti za kazi shirikishi za kilimo na upanuzi zilizofanyika nchini Mali wakati wa tathmini ya mafunzo ya Miongo minne ya uzoefu kusoma na kuandika yaliyoelezwa hapo juu. Kishawishi cha washiriki wenyeji kilikuwa ni kuchukua nafasi ya kupata Somo hili linaimarishwa na ujuzi wa uendeshaji wa madaraka ya utafiti wa kilimo, wakati huo wakijifunza programu za kusoma na kuandika pamoja na kilimo kutoka mbinu mpya zilizotakiwa na kutathmini hazina ya maarifa nchi nyinginezo za kanda kama—Burkina Faso, Cameroon, ya jjumuia ya mahali yanayoendana na jitihada hizo. Niger na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Mafanikio makubwa Hakuna sehemu ndogo ya motisha iliyotokana na fursa ya katika upatikanaji wa haraka wa haraka stadi mpya na “geuza meza” kuhusu kazi ya wapanuzi wa kilimo cha uhamasishaji wa maarifa asilia katika juhudi zinazohusiana asili—ambapo, rasilimali, mbinu na mifumo viliendelea na maendeleo ya kitaasisi vimeshuhudiwa katika mazingira kuwa chini ya mamlaka ya mawakala wa serikali na ya kudumu ya uhamishaji wa mamlaka na rasilimali na vilielekezwa katika kuzalisha mazao, na kuweka taratibu kuwekwa mikononi mwa wanajamii. Kwa hakika programu katika vituo rasmi vya utafiti kwa ajili ya kueneza habari ambazo msingi wake ni miundo shirikishi ya mifumo ya toka juu hadi chini kwa wakulima. Utawala wa wenyeji wa maarifa na matumizi ya lugha asilia zinazohitajika ili mahali uliitika ulipokaribishwa—na kuwezeshwa—kubuni kuendesha kikamilifu shughuli za uchumi mpya na mipango ya tafiti na kutaja majina ya watu ambao mamlaka ya kisiasa zinaonekana kutoa chombo muafaka wangepata mafunzo husika. Hata hivyo, ahadi hatimaye kwa ajili ya “kuorodhesha” na kuelezea maarifa asilia ilidhoofishwa na upinzani mkali wa maofisa wa huduma ya yanayohusiana kwa sababu vinatengeneza mazingira upanuzi wa kilimo vijijini kwa aina hii ya ushindani na ambamo ni dhahiri au angalau (dhahiri zaidi) kwamba ugatukaji wa madaraka, wajibu na marupurupu yao. hazina ya utamaduni iliyochimbuliwa na kuenezwa Uelezaji wa maarifa asilia, kama inavyodhihirishwa na itasaidia maslahi ya wanajamii na kubaki chini ya udhibiti mifano ya hapo juu, ni zaidi ya “epistemolojia” (elimu ya wao. Na katika mazingira haya, mafunzo ya kusoma na ufahamu) na shughuli za utamaduni. Inazingirwa na kuandika yanatokea kuwa chombo bora cha kuhamasisha maswali ya madaraka na “hadidu za biashara” kati maarifa ya jamii, kwa kuwa kinatoa fursa na njia ya “kutoa yavyama vya mahali na vya serikali ambavyo vinaweza jina jipya” la maendeleo na kwa kupanga upya utekelezaji kuthibitishwa upya—katika mazingira mengine tofauti— wake kwa ukamilifu. na matatizo ya hati miliki na hataza ya dawa za asili au Hali hii mathalani, ilidhihirika bayana, mahali ambapo maarifa ya mapokeo ya mimea. Ubunifu wa mikakati mwandishi alishiriki katika tafiti mbalimbali pamoja na ambayo inazingatia migogoro na kubuni uhamishaji wa utendaji wa shughuli za biashara vijijini ambazo mwandishi madaraka na rasilimali na kutengeneza upya maarifa ya alishiriki katika sehemu za katikati mwa Niger katika jamii ndiyo changamoto thabiti. Lugha za Afrika ya Magharibi: Njia na Ujumbe Makala hii iliandikwa na Peter Easton, Profesa wa Masomo ya Uzamili katika Elimu Endelevu na ya Watu Wazima. Kwa maelezo zaidi wasiliana naye kwa baruapepe: easton@coe.fsu.edu Maarifa asilia katika Afrika na du- husiano ya jamii na mawasiliano, niani kote, yanaelekeza katika lugha, yote haya yakijumuisha dhima muhi- na hasa lugha za “asili” kwa ufupi lu- mu inayofanywa na lugha katika gha mama za wakaazi wa sehemu mpangilio wa jamii na maarifa. husika, au lugha ya mawasiliano wa- Mifano itakayotolewa katika ma- nayoitumia katika maisha yao. Je lu- kala hii inatokana na lugha ya Ki- gha hizi hazina sifa zinazobainika ki- hausa, lugha ya pili kwa ukubwa ka- mawasiliano? Je, lugha hizi ni tika Afrika (baada ya Kiswahili) na Tini za MA 29 “chombo” kinachotumika kuelezea ni jamii ya lugha za “kichadic”. Lu- Februari 2001 maarifa na maisha ya kila siku? Au gha hiyo ya Kihausa inazungumzwa lugha hizi zenyewe zina dhima maa- kaskazini mwa Nigeria na katikati lumu, kwa kuzingatia muundo na ya Niger, lakini pia inatumika katika matumizi yake katika yanayofikirika nchi nyinginezo za kanda hiyo. na yanayojulikana? Ruwaza za lugha hii zinawakilisha Lugha ni muhimu katika Afrika. utamaduni wa lugha nyingi za Afrika Kuna zaidi ya lugha 2000, katika ba- ya magharibi na kati. ra la Afrika, idadi ikitofautiana kuto- kana na dhima ya jinsi lugha hizi zi- Lugha kama “mtaji” navyochukuliwa katika ukaribu wa- ke au uhusiano wake. Tamaduni za Wazungumzaji wa Kihausa hulipa Kiafrika zimekuwa kwa kiwango ki- kila tamko la lugha umuhimu kama kubwa za masumilizi kwa karne ilivyoelezwa hapo juu. Kama msemo nyingi ingawa pamekuwepo aina fu- wa kiutamaduni ujulikanavyo Maga- lani za uandishi (wa kimagharibi, na jari ce “lugha ni mtaji”. Katika Kiarabu na misimbo michache ya isitilahi za Kihausa, neno hausa len- asili ya Kiafrika) ambayo imejulika- yewe halina maana ya lugha ya kun- na kwa kiasi kikubwa. Katika sehe- di lizungumzalo lugha hiyo, bali “lu- mu kubwa, hadhi ya dhima ya “mi- gha” kwa ujumla na “lugha” kwa igambi” inarasimishwa katika hali maana ya ndani. Watu watauliza Me ambayo tabaka lote la wenye hadhi ne ne Hausarka? “Unazungumza wanajizatiti maisha yao katika kuji- lugha gani” Au kwa fasili ya jumla funza na kutongoa kimasimulizi his- “Hausa yako ni nini? “Ban gane ba toria na utamaduni wa sehemu husi- hausarshi” ndiyo njia ya kawaida ya ka na wakazi viongozi. Utamaduni kusema “Sielewi ana maana gani.”1 wa kiafrika hasa hutilia mkazo ma- 1. Lugha ya Hausa ya kaskazini inatumiwa katika mifano na misemo yote. 168 169 Viwango vitatu vya lugha ya Kihausa vina uhusiano na utaratibu ya uamuzi wenyewe badala ya kuwa na tarehe namna mawazo yanavyoundwa na jinsi maarifa ya- kamili na muda wa kutenda tendo lenyewe. Wazungu- navyoelezwa: sarufi ya lugha, isitilahi na ruwaza jamii mzaji wa Kihausa wakati mwingine huelezea kukatishwa zinazotawala matumizi yake. tamaa kwao na watu wa Ulaya kwa matumizi ya neno “labda” (watakila kwa Kihausa) katika mazungumzo na mipango yao. Hali hiyo inaonekana kana kwamba Muundo wa ndani wa sarufi? wanakwepa kutoa ahadi. Msemo upendwao unaeleza jambo hili bayana: Watakila abin da ya hana ma nasara Kimojawapo cha kumshangaza mtu asiyejua lugha ya Ki- karya! “labda ni neno ambalo linawaokoa “linazuia” watu hausa—na hasa asiye Mwafrika—ni kuwa mfumo wa wa ulaya kutodanganya. kitenzi haukupangiliwa katika njeo. Kwa maneno mengi- Utaratibu huu wa maelezo unaepuka msisitizo wa ne, maelezo muhimu ambayo huibuliwa na muundo wa sa- ratiba na muda, na mipango ya nyakati imekuwa rufi wa kifungu kitenzi ni mdogo wakati kitu kilipotokea muhimu katika maisha ya Wasaheli katika nusu karne au kitakapotokea kuliko kwa vipi kitendo hicho kinaonwa iliyopita. Wakati huo huo, taswira hii au “kielelezo” na watu wanaohusika na wanakikusudia nini. Ingawa haiwezi kuchukuliwa kihafifu katika mazingira ambapo mgawanyo wa kitenzi unaendana kwa kiwango fulani na utaratibu wa kufuata muda umekuwa hautabiriki na njeo za lugha zisizo za Kiafrika, zinaelezwa vizuri kama ahadi zimekuwa muhimu katika kutenda jambo—na “hali” (aspects). Kitendo kinagawanywa kiisimu katika inaweza pia kuwa na uhusiano katika matakwa ya vipengele vilivyoorodheshwa hapa chini.* baadaye katika jamii ya Kiafrika. Kwa kurudia, maelezo muhimu yanayotolewa na mgawano huu wa “HALI” katika kitenzi unahusu mwelekeo wa makusudio na sharti linalohusu tendo na sio Matumizi ya maneno yanapostahili muda, hata kama anayeondoka nyumbani atawaambia wenyeji wake Naa—ambalo, likitafsiriwa kama tamko la Dhana kuwa lugha haielezi mawazo tu, bali pia huiunda muda, litatambulisha “Nimeondoka.” Hata hivyo au kuiathiri kwa kiwango fulani, ina historia ndefu kinachomaanishwa ni kuwa mtu ameamua kuondoka na katika isimu za kimagharibi na mawazo ya kiutamaduni hivyo tendo ni kama limetendeka katika eneo la kusudio. kiasi cha kuzua mjadala mkali hadi leo. Benjamini Lee Whorf na Edward Sapir walikuwa miongoni mwa watu wa kwanza walioibua mjadala huu. Hadi sasa mjadala Kutilia maanani kusudio huu ujulikanao kama nadharia tete za Wharf-Sapir bado Kanuni muhimu ya mzungumzaji wa Kihausa kwa umeibua mjadala mpevu. Bila kuingilia mtazamo huo kawaida ni hali ya ahadi au nia ya kutenda jambo na kwa undani, tunaweza kuzingatia dhana kuwa muundo Hali ya Mifano kirai Ulinganifu Kiingereza kitenzi cha Kihausa Maana katika Kihausa Na maana Njeo Kamilifu Yaa tahi Uondokaji wake unaweza “Aliondoka” Njeo iliyopita kuangaliwa kama uliotendeka (limekamilika ahadi) Endelevu Ya naa tahiya Yuko katika hali ya kuondoka Anaondoka au Njeo iliyopo au kwenda (lengo liko katika anaenda hatua ya kukamilishwa Kusudio Zay tahiya Anapanga kuondoka au kwenda Ataondoka Njeo ijayo Uwezekano Yaa’taji “Anaweza kwenda” (Nia yake ni “Ataondoka kama mambo Njeo ijayo ya kweli bali sharti” yote yatakuwa sawa” dhaifu Kusudio Ya’ tayi Lazima aende (malengo yake Anaweza kwenda Dhamira yako wazi lakini hayajatekelezeka tegemezi Mazoea Ya kan tahi Ana mazoea ya kwenda Huenda *Uandishi wa maneno na misemo ya Kihausa uliotumika katika makala hii kwa ujumla ni ule ambao kwa sasa hivi umependekezwa na UNESCO, jedwali na kifungu cha maneno kinachofuata ni mfano mmojawapo. Sauti za kuvuta zimewakilishwa kwa kutumia vaweli mbili kwa sababu hakuna namna nyingine rahisi ya kuonesha tofauti za hali za vitenzi. Sehemu ya “bonyeo” la matamshi linaonesha sauti ya chini na matamshi ya namna hiyo katika vaweli ya pili katika kundi inaonesha sauti inayoshuka. 170 Tini za MA 29 wa lugha ni sehemu kamili ya maarifa asilia na dhana wa Kihausa wa mawazo mapya kama Baraza lile la ambayo inapaswa kuchunguzwa na kupendelewa—katika Kifaransa—Académie franscaise. Lakini kiutamaduni jaribio la kuihifadhi. wanajamii lugha waamuapo kuwa na msamiati mmoja Wharf mwenyewe hakushughulikia tu muundo wa badala ya maelezo marefu inayonyesha mawazo na lugha bali pia sifa za kileksika yaani, msamiati na hasa taswira yanayojirudia mara nyingi katika ruwaza ya tofauti kati ya maeneo ya ujuzi ambayo huelezwa kwa mawazo na misemo. kina katika lugha kwa msamiati wake. Alikuwa anapendelea kutoa mfano wa lugha za Kieskimo ambazo zina msamiati mpana kuhusu theluji lakini wakiwa na Tabia za semi msamiati mmoja tu unaohusu magari; wakati ambapo ni Kama lugha ina athari katika mawazo na usemaji, basi kinyume katika Kiingereza. Wapinzani wa hoja hizi inaarithiwa pia na ruwaza za matumizi—dhima za watu wameonyesha kuwa mashabiki wa skii wana maneno katika utumizi wa lugha na namna waitumiavyo. Haya lukuki ya Kiingereza kuhusu hali ya theluji. Hata hivyo hasa yamo katika tanzu ya wana isimu jamii. Deborah wazo kuwa maendelo tofauti ya maeneo ya ujuzi katika Tannen ameandika makala kadhaa zijulikanazo utunzi wa msamiati katika lugha yanaeleza mengi Marekani kuhusu tofauti za tabia za uzungumzaji kati ya kuhusu tofauti ambazo ni muhimu kwa wazungumzaji Waamerika wanaume na wanawake. Aidha Tannen wa lugha na hivyo mawazo haya yanahitaji kuzingatiwa. amelezea tofauti bayana ya kijinsia katika udakiaji Uperuzi wa kamusi ya Kihausa unaonyesha mawazo (interruptions) na upishanishaji (overlapping); kukatiza yanayoshabihiana na mawazo hayo juu. Kuna maneno mtu mwingine asemayo au kumalizia kwa niaba yao. Kwa machache sana yanayohusu magari lakini isitilahi zian- ufupi, kwa wanaume inaonekana kuwa ni uchokozi na zoelezea mahusiano ya watu na tabia mbalimbali za watu tendo la ushindani, wakati kwa wanawake linaonekana ni nyingi. Mifano mitatu ni muhimu hapa: (a) nurkur- kama ni tendo la kuunga mkono. kusa—neno ambalo linaweza kuelezwa kama “kupuuza Kipengele muhimu cha ruwaza za mawasiliano kati ya kumlipa mtu (deni); kwakyara lenye maana ya “kuropoka Wahausa ni marudio—na dhima ya mapishano yanayo- jambo ambalo lisingepaswa kusemwa”; na santi (au fanana. Mwandishi alikuwa wakati fulani amepewa fanya) ambalo linaonyesha “kusema kitu cha kawaida jukumu la kunukuu neno kwa neno kumbukumbu za wakati wa chakula cha pamoja, kwa sababu ya furaha mkutano wa kijiji ulioendeshwa kwa Kihausa kuhusu itokanayo na utamu wa chakula, jambo ambalo humfanya ufugaji. Baada ya kunukuu majadiliano yote na kuan- kila mmoja kucheka sana”! dikwa katika karatasi, jambo la kushangaza lilitokea, jambo ambalo wote tunalifahamu lakini lilikuwa halija- Ubunifu wa msamiati zingatiwa kwa makini. Mapendekezo muhimu kuhusu namna ya kutunza ng’ombe kijijini na kuwapatia majani Lugha yo yote ya Kiafrika inaweza kutumiwa kusema lo yalijadiliwa (jambo ambalo si la kiutamaduni katika kijiji lote mtu atakalo, na kusilimisha mawazo mapya yaani hicho). Baada ya kuangalia nukuu na kusikiliza kanda kubuni msamiati. Msamiati au istilahi ziko chache katika kwa makini; ilibainika kuwa hapakuwa na hata mtu lugha hizi kuliko za Kiingereza, Kifaransa au Kichina mmoja aliyemalizia hoja kikamilifu kuhusu mada hiyo. mifano ambayo wana sayansi jamii huita “ubunifu wa Badala yake ama mtu mmoja angetaja sentensi au wazo, msamiati”. Lugha ya Kihausa ina uwezo huo pia. Istilahi mtu mwingine ajengejazia wazo hilo, na mtu wa tatu mpya zimeundwa kwa miaka mingi, kuelezea dhana mpya angelisema wazo lile lile vinginevyo. Majadiliano hayo wakati mwingine zikiibua hadhi ya kishairi. Umoja wa yaliendelea hivyo hivyo pasipokuwana hoja kamilifu Mataifa ulipewa jina la utani la majalisar dinkin duniya iliyotolewa na mzungumzaji mmoja wapo. Lakini katika au “baraza la kuunganisha (kushona pamoja) dunia.” mfumo huu wa mawasiliano, mawazo mazuri na Pikipiki ndogo ya Kifaransa ya Solex iliitwa kwa maazimio yalitolewa. Kihausa kare ya dauko tuknya “mbwa aliyebeba chungu cha kupikia” Pikipiki hiyo ina dubwana lenye mnyororo Kutoka maneno kwenda kwenye ufanisi wa kiutendaji uliofungwa mbele ya taili la mbele na linaendeshwa kwa msuguano. Na pikipiki kubwa zaidi “mobylette” Kuna kufanana kwa utaratibu wa kikundi au uhusiano ilibatizwa jina linaloendana na mlio wake (onomatopia) katika maisha ya jamii ya eneo hili. Hadithi nyingine dan bututu. Kuna Baraza la Kihausa huko Nigeria ya itaonyesha jambo hili. Katika hali inayofanana Kaskazini ambalo linashughulikia uundaji wa msamiati mwandishi wa makala hii aliwajibika kuonyesha filamu 171 ya projekta ambayo ilikuwa haijawahi kuonwa katika mji kipaji chao chote kilichojadiliwa kwa kutumia lugha wa Madaoua, Niger. Ilihitajika genereta kwa kuwa kushughulikia tatizo ambalo walikuwa hawajapambana hapakuwa na umeme katika mji huu. Kwa bahati mbaya, nalo kabla. Katika nyakati ambapo biashara ya kimataifa kutokana na mwendo wa barabara yenye urefu wa km inadhihirisha matatizo (na hasa kasoro) ya ujuzi wa kazi 500, mashini hii haikufanya kazi. Msaada pekee ilikuwa ya pamoja, matendo haya, ambayo kwa kiwango fulani ni gereji ya wilaya mahali ambapo vijana mekanika wasio yamefungamanishwa katika muundo na utumizi wa na viatu walifanya kazi katika kibanda nyuma ya ofisi za lugha, yanaweza kuwa na manufaa. serikali. Vijana hawa walikuwa na vifaa vichache vya kutengeneza magari ya Lendrova. Makenika hawa walikubali kutusaidi lakini mara Jambo la kuzingatia walipoanza kazi hiyo wasiwasi wetu uliongezeka. Kundi Mifano hii ya matukio haya isichukuliwe kwa dhahiri lao la vijana watano hadi sita walianza kufungua sehemu sana au kupewa umuhimu mkubwa. Hata hivyo jambo mbalimbali za chombo hicho, wakivuta hiki na like linaloelezwa hapa na ujuzi, vinapaswa kupewa uzito wa kuelekea pande mbalimbali, wakati huo huo wakibishana kutosha kwa wale ambao wako makini na maarifa asilia: kuhusu wafanyalo. Wakati huo tuliona kuwa uhai wa sehemu ya maarifa hayo imo au inajitegemeza katika projekta ulikuwa umetoweka. Lakini baada ya dakika mawasiliano ya lugha yenyewe. kumi na tano projekta ilikuwa imetengamaa kabisa. Kwa namna fulani walikuwa wameweza kutumia ujuzi na Ghana na Zambia Maarifa Asilia na VVU/UKIMWI Makala hii imeandikwa na Maja Naur, PH.D katika sosholojia, mshauri wa Benki ya Dunia. Miradi iliyohusika ni: Zambia: Programu ya Msaada wa Mazingira, ripoti Nam. 16239, na Ghana: Mradi wa uhifadhi wa Bioanuwai ya Savana ya Kaskazini, makala ya mradi wa kuombea fedha kutoka Global Environmental Facility Trust Fund Mwandishi anapenda kuwashukuru Mameneja wa kazi maalumu, Yves Prevost na Hassan M Hassan na bila kumsahau John Lambert kwa kazi yake kuhusu mitishamba ya dawa. Tafiti za kijamii kuhusu miradi hiyo zimefanywa na mwandishi na kugharimiwa na Danish Trust Fund. Kwa taarifa zaidi, baruapepe:MAJANAUR@msn.com. Kwa kawaida imekuwa vigumu sana jangwa, nk. Tatizo hili limeongezwa kuwapatia msaada wa maendeleo wa- na mahitaji yasiyodhibitiwa ya nchini tu masikini, hasa inayohusu afya am- na ya kimataifa ya mitishamba. bapo misaada mingi inawafikia watu Aidha waganga wa jadi, wameaini- wa tabaka la kati katika hospitali za sha kama suala muhimu, kupotea mijini. Kwa watu maskini wa vijijini kwa maarifa asilia kuhusu dawa za na zaidi na wa mijini nao, mara asili, ambayo ni sehemu ya urithi wa nyingi huduma ya afya wanaoweza kitamaduni wa jamii na kwa kawaida Tini za MA 30 kuimudu na inayopatikana kwa ura- hurithishwa kwa njia ya masimulizi. Machi 2001 hisi ni kwa waganga wa jadi. Zambia Mara nyingi elimu hii inadharauli- yenye wastani wa asilimia 20-25 ya wa na vizazi vipya, huenda ni kuto- wananchi wenye virusi vya UKIMWI, kana na dawa za asili kutowapatia ina madaktari 900 waliosomea nchi kipato kikubwa waganga wa jadi. za magharibi (600 kati yao ni wageni) Kwa kutambua umuhimu wa ku- lakini ina waganga wa jadi 40,000 linda na kuhifadhi maarifa haya ya waliosajiliwa kwa watu milioni 10. tiba asili, na aina za mitishamba ina- Ghana yenye asilimia 5 ya wananchi yotegemea, serikali za Zambia na wenye Virusi vya UKIMWI, ina ma- Ghana kwa msaada wa Benki ya Du- daktari 1,200 waliosomea nchi za ma- nia, zimo katika utaratibu wa kuwe- gharibi, ingawa ina takribani wa- ka kiungo kati ya mazingira na afya ganga wa jadi 50,000 kwa watu milio- katika kupambana na VVU/ ni 20. Kwa hiyo uwiano wa daktari UKIMWI. Nchini Zambia asasi ya kwa mganga wa jadi ni 1:44 nchini utendaji ni Chama cha Waganga wa Zambia na 1:42 nchini Ghana. Kwa Jadi wa Zambia (Traditional Health kuzingatia jukumu muhimu la kiuta- Practitioners Association of Zambia- maduni la waganga wa jadi katika ja- THPAZ) kupitia Programu ya Msa- mii, wanatoa moja ya matumaini ada wa Mazingira (ESP), chini ya Wi- mazuri ya kutibu na kupunguza kasi zara ya Mazingira na Maliasili. Nchi- ya kuenea kwa UKIMWI. Lakini wa- ni Ghana, juhudi zitakuwa sehemu ganga wa jadi wanategemea sana mi- ya Mradi wa Uhifadhi wa Bioanuwai tishamba na kumekuwa na ku- ya Savana ya Kaskazini. (Northern pungua kwa kasi kwa aina nyingi za Savanna Biodiversity Conservation mitishamba muhimu kwa kuwa ma- Project-NSBCP), chini ya Wizara ya zingira yao yanatoweka kutokana na Ardhi, Misitu na Migodi. ukataji misitu, kilimo, ulishaji mifugo Kimsingi miradi miwili hiyo ina kupita kiasi, uchomaji moto, ukame, mwelekeo mmoja ingawa inatofautia- 172 173 na katika mpango. Nchini Zambia mradi umeingizwa ka- tamaduni-jamii zinachambuliwa. Nchini Zambia, waganga tika programu iliyokuwepo hali ya kuwa nchini Ghana, wa jadi wamepata msaada wa wahisani ili wajiunge kitaifa, shughuli zitakuwa sehemu ya mpango wa mradi unaoende- na asilimia 60 ya waganga wa jadi waliosajiliwa ni wanawa- lea. Kinachofuata ni kwanza kuwa na muhtasari wa msa- ke. Idadi ya waganga wa jadi wanawake inaongezeka sawa ada wa UKIMWI unaowahusisha waganga wa jadi chini ya na ongezeko la wagonjwa wa UKIMWI. programu ya ESP-Zambia; pili ulinganishaji wa matokeo ya Wenyeji wanaita maambukizi ya VVU/UKIMWI “Kala- utafiti wa utamaduni-jamii hasa kuhusu tofauti za kijinsia ye noko”, ikiwa na maana “nenda kaagane na mama ya- zinazohusiana na dawa za asili katika nchi mbili hizo; na ko,” kwa sababu watu wengi wanakufia vijijini kwenye tatu, baadhi ya matatizo yaliyojitokeza wakati wa nyumba za mama zao. mchakato wa kuanzisha mradi unaohusisha sekta nyingi Ingawa wanawake nchini Ghana pia ndio wanaowatunza zikiwemo kilimo, mazingira, afya na maendeleo vijijini. wagonjwa, tofauti ni kubwa inapofika kwenye uganga. Katika mradi wa Zambia, “Ulinzi na Matumizi Endele- Nchini Ghana hakuna chama rasmi cha waganga wa jadi vu ya Bioanuwai kwa ajili ya Dawa: Mradi wa Kupamba- cha kitaifa, na mikoa mitatu ya kaskazini ina chini ya moja na na VVU/UKIMWI” kuna shughuli kuu tatu. Shughuli ya tano ya waganga wa jadi waliosajiliwa. Kati ya wanacha- ya kwanza, “Uhifadhi wa Bioanuwai kwa ajili ya Kinga na na (wachache) waliosajiliwa, wanawake ni chini ya asilimia Tiba” inajumuisha kuanzisha bustani za mimea, misitu 10, isipokuwa kwa mkoa mmoja mdogo ambako mganga ya akiba kwa ajili ya mitishamba na hifadhi ya mitisham- mmoja wa jadi amefanikiwa kuongeza kiwango kufikia asi- ba iliyokaushwa. Baadhi ya mbegu, vipandikizi, na mizizi limia 49. Hata hivyo, idadi ndogo nchini Ghana inaonyesha ya viazi kwa ajili ya kupanda, vitatoka katika misitu ya imani za wenyeji zaidi kuliko idadi halisi ya waganga wa mizimu yenye bioanuwai nyingi na mimea na miti adimu, jadi wanawake. Aidha, mradi huu unaofadhiliwa na Benki iliyohifadhiwa kutokana na sheria, kanuni na miiko ya umekuwa ukiimarisha ubaguzi wa jinsia bila kutegemea, kimila inayohusishwa nayo. kwa mfano, kuwafunza waganga wa jadi waliosajiliwa tu, Shughuli ya pili “Mafunzo na kujenga Uwezo” inawa- ambao wengi wao ni wanaume. Kwa mujibu wa mganga lenga waganga wa jadi na inajumuisha orodha ndefu ya mmoja wa jadi mwanamke nchini Ghana, wanawake iwapo mada zinazoanzia ubadilishaji wa tabia kuhusiana na wanafanya uganga wa jadi “wanaitwa wachawi na kila VVU/UKIMWI, kuelewa mifumo-ikolojia, lishe, maarifa mkosi wanatupiwa wao; mara nyingi wanawake hawa wa- asilia na athari za sumu, elimuvirusi ya msingi, magon- nalaaniwa na kutengwa nje ya jamii zao. Ndio maana ni jwa ya mlipuko na elimu ya kingamaradhi. Zaidi ya vi- malikia wa wachawi tu ndiye anayeweza kutibu, kwa saba- pengele vya mazingira na tiba, kutakuwa na mafunzo ya bu ana uwezo mkubwa usioweza kufikiwa na mtu sheria ili waganga wa jadi wasivunje sheria, kama vile mwingine yeyote katika jamii”. sheria ya Uchawi, na kuelewa vizuri haki za binadamu. Katika nchi zote mbili hizo ni nadra sana kukutana na Shughuli ya tatu “Uenezaji wa Taarifa/Elimu kuhusu mganga wa jadi aliyelima mitishamba ya dawa, na iwapo Bioanuwai na VVU/UKIMWI” itaweka mkakati wa ma- atatokea, itakuwa mradi uliofadhiliwa na wahisani. wasiliano utakaotekelezwa kwa njia ya vijarida, vipindi Nchini Zambia waganga wa jadi wanawake wanaseme- vya redio, TV , Maigizo/Michezo ya kuigiza na vipeperushi. kana kuwa wanaongozwa na mizimu kwenye mitishamba Shughuli hii itajumuisha pia kituo cha taarifa na takwi- iliyokusanywa na kutayarishwa kwa dawa kwa ajili yao. mu kuhusu mitishamba ya dawa na uchapishaji wa Nchini Ghana kuna ubaguzi wa kijinsia kuhusiana na kiongozi kwa ajili ya waganga wa jadi watakachokitumia ukusanyaji wa mitishamba, utayarishaji wa dawa na hata katika shughuli zao. Vifaa vyote vya mafunzo, vipindi na ujinsia, uliowasaidia sana wanaume kuliko wanawake. machapisho vitakuwa kwa lugha kuu za wenyeji, pia Wanawake waganga wa jadi wachache sana nchini Ghana kutaendeshwa masomo ya msingi ya kusoma, kuandika wameolewa kuliko wanaume, ambapo mwanamke mmoja na hesabu ili kuwawezesha waganga wa jadi (ambao mara mganga wa jadi ameeleza kwa kusema kwamba, asinge- nyingi hawajui kusoma) kuwasajili wagonjwa wao na weza kutibu iwapo mume wake angeishi naye. Aidha wa- kuandika maarifa yao asilia. ganga wa jadi wanaotumia tambiko za dini za asili za Kia- Wakati uchambuzi wa jinsia umekuwa muhimu kwa frika katika matibabu hawawapeleki mabinti wao porini upangaji wa mradi Zambia na Ghana, majukumu ya wana- kwenda kuchuma mitishamba, “kwa sababu watu wata- wake yanatofautiana katika nchi mbili hizo. Kwa ujumla dhani kuwa ni wachawi. “Hata waume wao hawatawaru- mgawanyo wa majukumu kijinsia umekuwa na nguvu zaidi husu wake zao kusaidia kutayarisha dawa “kwa sababu Ghana kuliko Zambia. Hii imeleta athari katika nafasi ya dawa haitafanya kazi” iwapo itatayarishwa na mwanam- waganga wa jadi wanawake pamoja na uwezo wao wa ku- ke. Uhalali uliopo kwa mwiko huu ni mfumo dume na uri- shiriki katika shughuli za mradi: Baadhi ya tofauti za kiu- thi wenye maana kwamba mwanamke anapoolewa ata- 174 Tini za MA 30 hamia kwa mume, na kwamba maarifa ya siri ya familia mafunzo kwa kuwa wanawahudumia asilimia 70 ya watu. kuhusu mimea na manufaa yake kwa matibabu, Aidha wakunga wa jadi, kwa mujibu wa Shirika la Afya yatakuwa hatarini kufahamika na familia nyingine. Duniani, wanazalisha asilimia 95 ya watoto wa maeneo ya Waganga wa jadi nchini Ghana hawako tayari vijijini na hivyo kuwafanya wawe watoa huduma kuwafunza mabinti wao dawa za asili, hata hivyo muhimu, ingawa pia wanawafanya wawe hatarini wasichana wana macho na masikio, na wanawake wengi kuambukizwa VVU/UKIMWI. Hatimaye, muundombinu wanafanya matibabu ya asili ingawa ni kwa siri sana. wa afya unaotolewa na waganga wa jadi na asasi zao Hali hiyo, bila shaka ina athiri uamuzi wa wanawake kwa utaupatia mtandao wa usambazaji dawa za UKIMWI uongezaji pato kwa uganga. Ni wakunga wa jadi peke yao baada ya kupatikana kwa bei nafuu. Waganga wa jadi ndio wanawake peke yao; na wengi wao walipata malipo wana nafasi ya pekee kama waelimishaji na wasambazaji kidogo, kutokana na huduma zao. Lakini waganga wengi wa dawa za UKIMWI—kwa mfano katika kusimamia wa jadi wanapata kipato kutokana na kilimo na malipo ya dawa alizoandikiwa mgonjwa. Hakuna hata nchi moja ya uganga yalikuwa kwa njia ya mazao kutoka shamba. Afika yenye fedha au wafanyakazi wa afya wa idadi Nchini Zambia kuanguka kwa uchumi kumefanya wa- inayotakiwa kupambana na ugonjwa thakili wa UKIMWI. ganga wengi wa jadi kuacha kulipwa vitu, na waganga hao Serikali za Ghana na Zambia haziwasaidii kifedha sasa wameamua kutoza gharama ya fedha kulingana na waganga wa jadi kama wanavyovisaidia vyama vya aina ya ugonjwa. Gharama kubwa ilikuwa kwa tiba ya uta- matibabu ya kisasa, na wala tiba ya asili haikuingizwa sa, ambayo hutolewa baada ya kuzaliwa mtoto wa kiume. kwenye mitaala ya vitivo vya tiba katika nchi mbili hizo. Nchini Ghana, mgawanyo wa kazi unatoa nafasi ya Kwa upande huo, nchi za Kiafrika hazilingani na nchi pekee kupitia kwenye mradi kuwasaidia wanawake na kama China na India ambapo tiba mbadala ni sehemu ya familia zao katika kinga ya VVU/UKIMWI na uondoaji tiba ya kisasa inayofanywa katika hospitali. Hata hivyo umaskini na hivyo kuimarisha matarajio ya mafanikio ya Ghana na Zambia zina wafanyakazi katika wizara zao za mradi kwa ujumla. Lengo la muda mrefu la uhifadhi wa Afya, kuratibu sera kwa waganga wa jadi, na nchi zote bioanuwai litakuwa ndoto kwa jamii zinazokabiliwa na hizo zinataka waganga hao wasajiliwe. Ghana imeonye- upungufu wa chakula na njaa; hata hivyo shughuli za sha mwelekeo mzuri wa uhifadhi wa mitishamba na uzalishaji mali za muda mfupi kwa kulima na kuuza imekubali huduma ya waganga wa jadi kwa kupitisha mitishamba na mboga na hivyo kuboresha afya ya watoto sheria ya Tiba ya Asili, mwaka 2000. Nchini Zambia, kwa ni changamoto kwa mafanikio ya mradi. upande wake, ilikuwa mpaka zaidi ya moja ya tano ya Waganga wa jadi, wanawake na wanaume, wameonye- watu walioambukizwa UKIMWI ndipo waganga wa jadi sha shauku kubwa ya kutaka mafunzo ya kuboresha kazi walipoalikwa wawe sehemu ya Kamati ya Wataalamu ku- yao ya uganga. Nchini Ghana, vipindi vya mawasiliano husu Tiba za Asili kwa UKIMWI na magonjwa mengine kwa umma kuhusu VVU/UKIMWI vimefanikiwa katika husianifu chini ya Ofisi ya Rais. Wizara ya Mazingira na kueneza habari kuhusu maambukizo ya ugonjwa huo Maliasili ambapo ESP iko chini yake, mwanzoni haikuwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya damu, tayari kushirikisha jamii ya kiraia katika usimamizi wa kujamiiana, sindano zilizoambukizwa na kadhalika. maliasili hasa THPAZ, ambayo ni asasi kubwa isiyo ya Lakini elimu ya jamii kuhusu namna unavyoambukizwa kiserikali nchini. Waganga wa jadi wenyewe wameone- mara nyingi si kamili wala sahihi. Baadhi ya jamii kana wamepitwa na wakati na hivyo watengwe katika zimehusisha hatari ya maambukizo kwa kula au kuoga na mipango ya maendeleo. Hali ya kusita pia, ilikuwa nayo mtu aliyeambukizwa UKIMWI; hata kupeana mikono au Benki ya Dunia ambapo tiba ya waganga wa jadi kutumia nguo za mgonjwa vilitajwa kuwa vinaweza ilionekana kukosa uthibitisho wa kisayansi na uhalali. kuambukiza. Hakuna hata jamii iliyokiri kuwepo kwa Maoni ya namna hiyo pia yalienea miongoni mwa wagonjwa wa UKIMWI kijijini kwao, na nchini Ghana na madaktari wa tiba ya nchi za magharibi, ingawa tiba ya Zambia mnyanyapao ulielekezwa kwa watu wenye jadi ni ya kale kuliko tiba ya kisasa kama ilivyo kwa UKIMWI. Kwa hiyo, watu hawakukiri maambukizo na matumizi ya mitishamba na mimea ya tiba ni ya kale kuona maambukizo ya VVU/UKIMWI kama maradhi ya kuliko matumizi ya sasa ya dawa. Hata hivyo hali hii kawaida tu ingawa ni ya hatari. imebadilika hatua kwa hatua na hivi sasa inakubaliwa Umaskini na desturi na mila za kitamaduni pia kuwa juhudi kama vile zinazofanywa Zambia na Ghana hulifanya bara la Afrika liwe na uwiano mkubwa wa zinawanufaisha maskini moja kwa moja na zina wanawake walioambukizwa UKIMWI kuliko wanaume. uwezekano mkubwa wa kutibu maradhi yanayohusiana Katika vita dhidi ya UKIMWI waganga wa jadi wanahitaji na UKIMWI. Kijiji cha Malicounda–Bambara: Matokeo Safari ya Mapinduzi ya Wenyeji Makala hii imeandikwa kwa pamoja na Peter Easton, Profesa Mshiriki, Mitaala ya Digrii katika Elimu ya Watu Wazima na Elimu Endelevu, EFPS na Dkt. Karen Monkman, Profesa msaidizi wa Elimu ya Kimataifa, wote kutoka Chuo Kikuu cha Florida. Katika kipindi cha takribani miaka binadamu, na uanzishaji masomo ya minne, harakati za wananchi za ku- watu wazima—kusoma na kuandika. komesha ukeketaji wanawake zimee- Washiriki wa Malicounda-Bamba- nea kutoka kijiji kimoja cha katikati ra waliamua kuwa na lengo la ki- ya Senegali hadi zaidi ya jamii 200 tai- paumbele zaidi ya utayarishaji wa fa zima, pamoja na nchi nyingi za Ki- shughuli za uzalishaji mali, uanzi- afrika. Mbinu na utaratibu wa uene- shaji wa programu za mtoto bora, zaji wake zinaacha mafunzo na ma- kuanzisha miradi ya afya na usafi Tini za MA 31 swali mengi kuhusu namna utama- vijijini na kadhalika: kukiwezesha Aprili 2001 duni wa asili unavyojirekebisha upya. kijiji Chao kukomesha kabisa ukeke- Uzoefu wa kijiji cha Malicounda- taji. Watu wa Bambara ni miongoni Bambara katika jimbo la Thies la ka- mwa makabila madogo ya Senegali tikati ya Senegali na matokeo yake yanayofanya mila ya ukeketaji. yalisimuliwa katika toleo la awali la Wakati wa mafunzo, wanawake Tini za MA (“Wanawake wa Senegali walibadilishana uzoefu wenye mau- wanaunda upya Utamaduni Wao” mivu makubwa kuhusu mada hii Oktoba, 1998, Nam. 3). Lakini “kisa ambayo ni mwiko na kukabiliwa na kizima kimekuwa na mafunzo hisia za mara kwa mara za haki za makubwa. wanawake. Matokeo yake walionana Muhtasari wa upeo wa juhudi zen- na viongozi wa serikali za mitaa na yewe na matukio makubwa yaliyoun- wanavijiji wengine ili wawaunge da matokeo yake, vitasaidia kudhihi- mkono katika nia ya kukomesha risha kisa chenyewe. ukeketaji. Hatimaye walifanikiwa. Tarehe 31 Julai 1997 wanakijiji wa Malicounda-Bambara walitoa tamko Wakati wa kubuniwa la kulaani ukeketaji mbele ya waandishi wa habari 20 wa Senegali Kati ya mwaka 1995 na 1997 wana- walioalikwa kwa shughuli hiyo. wake na wanaume wachache katika Tukio hilo halikuleta kishindo kijiji cha Malicounda-Bambara wali- sana, pengine lingefanikiwa zaidi shiriki katika programu ya elimu isi- kwa maneno kupitia vikundi vya uta- yo rasmi iliyofadhiliwa na “Tostan”, maduni kuliko radio, TV na Asasi Isiyo ya Kiserikali yenye maska- magazeti. Kulikuwa na baadhi ya ni yake Senegali. Programu hiyo malalamiko ya kupanga walichosema ilihusu mbinu za kutanzua matatizo, wanawake wa Malicounda kutokana mada za afya ya wanawake na haki za na “aibu” ya kuzungumzia hadhara 175 176 Tini za MA 31 ni mada ambayo ni mwiko kuliko maudhui ya tamko • Epuka kuwalaani wakeketaji kwa kujitokeza au kwa lenyewe. uwazi. Wamekuwa wakifanya kazi yao kwa nia njema. Ingawa kulikuwa na upinzani, kijiji kingine cha jirani cha Nguerigne-Bambara kinachofanya programu ya ma- Kwa msingi wa makubaliano hayo, Imamu alianza funzo ya Tostan-kiliamua kuiga mfano wa Malicounda- safari, akifuatana na ngariba wa kike kutoka Ker Bambara, wakiongozwa na mwanamke ambaye alikuwa Simbara na mpwa wake, kuvitembelea vijiji kumi vingine ngariba wa jadi; na mwingine Ker Simbara alianza ku- vilivyomo kwenye jamii inayooleana. Kulikuwa na jadili sana tatizo hilo. Hatimaye tukio kubwa likatokea. mambo ya kushtusha. Wanawake walikuwa wazi- wameeleza yaliyowasibu mabinti wao waliokufa kwa kutoka damu nyingi, wengine walioambukizwa maradhi, Tukio Kubwa au msononeko wa muda mrefu kutokana na kiwewe cha ukeketaji. Hata wale mangariba nao walizungumza Imamu wa Ker Simbara- kiongozi wa dini mwenye umri kuhusu sababu za kufanya hivyo na kubadili mila. wa miaka 66 na anayeheshimiwa katika mkoa huo ame- Wanaume nao walitoa mawazo yao. kerwa na matukio na hivyo kwenda kuzungumza na wa- Kabla ya kampeni kwisha, vijiji vyote 10 viliamua wakilishi wa Tostan na wanawake wa Malicounda-Bam- kuungana na wale wanaopinga ukeketaji. Pamoja na bara. Hakupinga kukomeshwa ukeketaji. Kusema kweli wawakilishi wa Malicounda-Bambara, Nguerigne- utata umemsababishia kwa mara ya kwanza azungumze Bambara na Ker Simbara yenyewe, walikutana katika na ndugu zake wanawake kuhusu uzoefu na hisia zao kwa kijiji cha Diabougou, watu hamsini wakiwakilisha ukeketaji, na hivyo kuwa muungaji mkono mkubwa. Hata wanavijiji 8,000 na kutangaza “kutorudia” hapo tarehe hivyo alihisi kwamba kulikuwa na matatizo mawili 15 Februari, 1998. Habari zilizidi kuenea. makubwa ya namna mambo yalivyokuwa yakiendeshwa. Kampeni hiyo iliendelea katika mkoa wa kusini wa Kwanza, Imamu alisema kijiji kimoja hakiwezi kufanya Senegali karibu na Gambia ambapo kabila la Wafulani peke yake. “Sisi ni sehemu ya jamii inayooleana, mpaka walikuwa wakikeketa. Kundi la kwanza la vijiji 14 vijiji vyote vinavyohusika vishiriki, kinyume chake walijifunza mtaala wa Tostan, walisikiliza habari za unawaomba wazazi wabatilishe uwezekano wa mabinti Malicounda-Bambara, waliazimia kuchukua hatua wao kuolewa” Pili, kuna tatizo kubwa la lugha na mbinu. kulingana na mazingira yao na kuongeza jamii nne zaidi Kuna mada ambazo ni mwiko kuziongea, alisema, na ndani ya eneo la wanaooana ili kutoa tamko la pamoja zisijadiliwe juu juu au bila uzito unaostahili. Waanzilishi lililotangazwa rasmi katika kijiji cha Medina Cherif wa kampeni ya kupinga ukeketaji wa mwanzo walitumia tarehe 12 Juni, 1998. maneno ambayo wanavijiji waliona hayafai kutamkwa hadharani na kuonyesha picha na michoro vilivyo- wastaajabisha. Waliona ukeketaji kuwa sawa na ugonjwa Mkakati asilia wa uenezaji wa kuutokomeza na ngariba wake wanafaa kutengwa na jamii. Kwa hiyo hakuna namna ya kubadili utamaduni, Inafaa kwanza niache kwa muda kueleza kilichotokea au kusaidia ujibadili, aliongeza Imamu. kwa sababu inaeleza zaidi kuhusu uenezaji-mafanikio, Waliomuunga mkono walisema: Wakati umefika wa upinzani au vikwazo vilivyokutana navyo, na mafunzo kufikiria jambo zuri kwa uangalifu zaidi. Kwa pamoja yanayotarajiwa. waliweka mkakati ufuatao: Kimsingi, mkakati ulioanzia na mwitikio wa wananchi • Nenda kwenye vijiji vyote katika jamii inayooleana. na nyenzo una mambo matatu ya msingi. Anza kwa kuwahakikishia uhusiano. Kwanza ulikuwa wa pamoja, kuliko kuwa wa binafsi. • Usiwaamrishe wanakijiji jambo la kufanya. Waambie Mbinu imedhihirisha wazi kwamba familia haziwezi walichofanya wanavijiji vya Malicounda-Bambara na kuacha mila ya muda mrefu bila ya kuwa na nia ya Nguerigne-Bambara na sababu za kufanya hivyo. pamoja ya kubadili miundo ya vichochea na hali Halafu waache wajadili na kufanya maamuzi yao. iliyofanya kuwepo na mila hizo. Wakati vijiji 13 • Epuka kutumia maneno na michoro au maandamano viliposhirikiana, wahusika walibadili soko la ndoa na kwa shughuli ambazo ni mwiko. Zungumzia ukeketaji kujenga na masharti ambayo watu wangeweza kama “mila” kila mtu ataelewa unachozungumzia. kukubaliana nayo, na jamii yao. Kwa Wabambara wa Senegali “mila” kwa wingi Pili, mbinu hiyo, imetoa mafunzo ya msingi kwa inahusu mila na desturi zote na “mila”, kwa umoja, ina mtazamo wa wenyeji na kuibua baadhi ya maadili na mila maana ukeketaji. zenye nguvu za utamaduni wa watu—mapenzi ya wazazi, 177 utiifu wa mafunzo ya Korani-kuwapa changamoto mwenyewe anatoka katika kabila kubwa la Wolof, wengine. Kwa hiyo imefahamika zaidi kama kampeni ya wasiokeketa- hatimaye ilifuatiwa na hatua ya Bunge kuleta msimamo wa ndani na ukombozi kuliko kuwa shu- kupitisha sheria inayokomesha ukeketaji na kutoa tuma kutoka nje. Hakuna anayezungumzia “ukomeshaji” adhabu kali kwa watakaokiuka. Wanaounga mkono wa ukeketaji kama tauni ya kutokomezwa bali “uachaji” Tostan waliposikia walikwenda Dakar kutoa hoja zao wake—ambacho ni kitendo cha kujua na kuamua kwa kupinga Sheria hiyo-si kwa sababu wanataka ukeketaji wanaohusika. Kuwepo kwa Imamu aliyewakumbusha uendelee, bali wanaamini kwamba kukomeshwa kisheria watu kuwa Uislamu haukuamrisha ukeketaji kulikuwa na vikwazo si njia bora ya kukabili tatizo. Walihisi kuwa muhimu sana. Wanaume hawakutengwa kabisa. Kusema sheria ifuate na kulenga mabadiliko kwenye maeneo ya kweli kuunga mkono kwao kulikuwa muhimu sana kwa matukio na si kujaribu kutoa amri. Kama alivyofanya maendeleo ya Kampeni. Imamu wa Ker Simbara alivyotumia mfano wa kabila Mwisho, mbinu hiyo ilikuwa inaongeza uwezo- yaani, lake dogo. “Jaribu kuwaambia Wabambara jambo la wakati inahusu ushuhuda wa mtu binafsi na uenezaji wa kufanya kuhusu mila zao na kwamba jukumu liko habari mpya, imeachia uamuzi na hatua ya kuchukua mikononi mwenu”. kwa juhudi za kila jamii na watu wake, imelihusisha Wasiwasi wa awali umethibitisha kuwa kweli: Sheria tatizo la ukeketaji na afya ya wanawake na haki za ilipitishwa bila ya kuzingatia maoni ya wananchi, halafu binadamu, mada zinazowahusu sana hata wanaume. malalamiko ya wananchi yalitokea. Katika kuonyesha Matokeo yake ni kwamba watu si kama wameamua kupinga, ngariba mmoja mwanamke kutoka mkoa wa kufuata hiari zao, bali wako tayari kueneza ujumbe. kabila la Tambacounda alihakikisha kuwa “anakeketa” si chini ya watu 120 siku chache baada ya sheria. Kukabili njia mbili Kudumisha Kampeni ya Wananchi Kutokana na hali hiyo, mabadiliko ya Kampeni yame- fuata mihimili miwili-mmoja ni kuwa mstari wa mbele Hali ilikuwa tofauti kabisa kwa wananchi. Imamu na kwenye vyombo vya habari na jumuia ya kimataifa na ngariba mwanamke wa zamani kutoka Ker Simbara na mwingine kwa wananchi. Kama ilivyodhihirika, kampeni Nguerigne-Bambara waliamua kuendesha kampeni ya vyombo vya habari haikushinda hali halisi ya wanan- kwenye kundi jingine la vijiji 12 katikati ya Senegali. chi, shughuli hiyo imebaki mikononi mwa kanuni za kijiji. Wanawake waliokuwa viongozi katika mkoa wa Kolda Vyombo vya habari viliitikia wito haraka, nchini wamepanua juhudi zao hadi kwenye jamii za jirani, Senegali na nje ya nchi. Notisi ilitolewa kama amri fupi kutafuta kuungwa mkono na Imamu wa Medina Cherif kwenye vyombo vya habari nchini Senegali. Mwezi Ok- iwe ni kampeni iliyoidhinishwa na dini. Wakati huo huo toba 1997, makala kuhusu “Kiapo cha Malicounda-Bam- wameamua kupeleka juhudi za mabadiliko mpaka mkoa bara” yalitokea gazeti la Le Monde mjini Paris. Tangu wa- wa Futa Toro, kaskazini magharibi ya Senegali, eneo la kati huo wawakilishi wa Tostan wamekuwa wakialikwa utamaduni wa Toucouleur umbali wa kilometa 250 mikutano, mikusanyiko na matukio mbalimbali wanakoongea lugha moja ya Kifulani. yanayohusu kampeni dhidi ya ukeketaji. Katika takribani Aidha, Samba Dia ni miongoni mwa vijiji vilivyoshiriki kila tukio, wadhamini wamehakikisha kuwa wanawake katika tamko/azimio la Diabougou kiliamua kufanya na wanaume wenyeji wametoa maoni yao kupitia juhudi zake. Kusema kweli Samba Dia kina nasaba na wakalimani, inapobidi waanzilishi wa kampeni hiyo- “Serere Niominka” kizalia cha kabila la Serere ambalo Imamu mzee na mangariba wanawake na waandaji- kihistoria lilichanganyika na makabila ya Mandinka na wamehutubia Bunge la Uingereza, Wizara ya Maendeleo Bambara. Wanawake wa Samba Dia waliamua kampeni na Ushirikiano ya Ujerumani, Umoja wa Nchi za Ulaya, hiyo ienezwe miongoni mwa watu wao, wavuvi wanaoishi Brussels, kwenye Mutano wa Haki za Wanawake, visiwa vya Sine Saloum kwenye mwambao wa Senegali, Washington, na katika Kamati za Umoja wa Mataifa, kusini mashariki mwa Dakar. Wanawake na wanaume New York. Lililo muhimu zaidi wamekuwa wakitembelea wamepata msaada wa usafiri kutoka Tostan na wakaanza nchi za jirani za Burkina Faso na Mali, kuzungumza na kusafiri kwa mitumbwi kutoka kisiwa kimoja hadi wanawake wengine wenye matatizo kama yao. kingine na kutembelea jamii 26 za visiwani katika eneo Kuendesha kampeni nje kulikuwa na matatizo yake. lote la funguvisiwa. Kuridhiwa kwa “Kiapo cha Malicounda na Rais wa Katika mkoa wa Futa Toro kulikuwa na upinzani mkali Senegali Abdou Diouf-ni muhimu, hata kama yeye kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na utamaduni. 178 Tini za MA 31 Wanawake wenzao wanaowaunga mkono wameona • Mawasiliano yanafanywa kila mahali kati ya kuandaa kwamba hawawezi kutangaza kuhusu ukeketaji katika ukeketaji kulikoshawishiwa na wenyeji na masuala ya mazingira haya, hata hivyo wamepata mbadala mzuri. demokrasia na haki za binadamu. Kusema kweli, Takribani vijiji 87 vilipeleka wawakilishi katika mkutano masuala ya msingi yamekwishajidhihirisha na hivyo ulioitishwa Aere Lao katika mkoa wa Podor (mashariki kuibua juhudi mbalimbali: uchunguzi wa wananchi ku- mwa St. Louis) ambapo tarehe 4 Novemba, 2000 walitia husu ugomvi wa majumbani, utetezi wa wananchi ku- saini azimio/tamko la pamoja la kuacha mila zote husu haki za wasichana kusoma, madai ya kuongezeka zinazoathiri afya ya wanawake na maendeleo. Kwa kwa uwajibikaji katika utawala wa wananchi. kutumia msingi wa haki za binadamu, wameushinda • Wanaume wamekuwa mhimili mkuu wa juhudi hizo, upinzani. madarasani na nje “katika vuguvugu la kampeni”. Kusini zaidi ya visiwa vya Sine Saloum, wawakilishi wa Hata katika programu zinazolenga kwa kiasi kikubwa vijiji 26 vilivyopashwa habari kwa mitumbwi-ambavyo afya na haki za wanawake, ushiriki wa wanaume ni hakuna hata kimoja kilichohudhuria mafunzo chini ya takribani asilimia 30. programu ya Tostan-walikusanyika kwa ridhaa yao • Mtindo wa maazimio ya wananchi hadharani umetumi- kwenye Kisiwa cha Niodior tarehe 7 Aprili,2000 wa katika maeneo mengine mengi ya maendeleo ya viji- kutayarisha azimio lao la kuacha ukeketaji na kufanya jini yaliyohimizwa na wananchi, kuanzia maazimio ku- maandalizi ya kuanza masomo yao. Katika mkoa wa husu ugomvi wa majumbani hadi mengine ya kupinga Kolda, idadi ya jamii zinazotoa maazimio na kuchukua uchomaji misitu kama njia ya kusafisha shamba. mafunzo ya programu ya Tostan imeendelea kuongezeka • Juhudi hizo hivi sasa zimeanza kuenea taifa zima. kutoka 18 za kwanza hadi 30, na ilipofika mwisho wa Jitihada zinafuata mfano wa Senegali, ingawa mwaka jana (2000) kuongezeka jamii 75 za jirani. imerekebishwa kulingana na utamaduni wa mahali Wawakilishi wa Tostan wanaripoti kuwa ilipofika hivi, sasa zinaendelezwa nchini Burkina Faso, Mali na Februari 2001, mwitiko ulikuja kutoka kundi jingine la Sudan na nchi za Afrika Mashariki nazo zimekuwa wanawake waliomaliza mafunzo na kufanikiwa kuziku- zikiulizia. Wanawake na wanaume wanaofanyakazi na sanya jamii zote za wilaya ndogo ya vijijini ya Mampatini wananchi nchini Senegali wamekuwa mabalozi wakuu, kutokana na juhudi: takribani vijiji vingine 100 hali ya kuwa Tostan inapanga kufungua kituo cha vimeongezeka vilivyopanga azimio lao mwezi Machi 2001. mafunzo Thies kwa watu wa nje wanaopenda kutembelea, kubadilishana mawazo na kujifunza kutoka kwa watetezi wenzao wa haki za wanawake Kuiga mfano wa wenyeji katika vijiji vya Senegali. Hakuna mwenye uhakika kuwa wimbi la wananchi Kama methali ya Afrika Magharibi inavyosema kwa litaleta hatima gani. Kama Mkurugenzi wa Tostan ufasaha, “Mara jua linapokwishapambazuka, kiganja cha anavyosema, “Mengi ya haya yametushtukiza Tutayafua- mkono wako hakiwezi tena kulifunika”. tilia. Hata hivyo idadi ya matokeo zaidi ya takwimu za vijiji vilivyohamasishwa na vikundi vinavyokataa ukeke- taji ni dhahiri. Waganga wa Jadi wa Kiafrika: Uchumi wa Tiba Makala hii imeandikwa na Kenneth L.Leonard, Department of Economics, Chuo Kikuu cha Columbia, Mail Code 3308, 420 W 118 Street, New York, NY 10027; baruapepe: KL206@columbia.edu Waganga wa Jadi ni chanzo cha hudu- Nadharia ya uchumi ma ya afya ambacho Waafika wengi wamekuwa wakikilipia. Pamoja na ku- Wakati walaji wanaponunua huduma kua kwa tiba ya kisasa waganga wa ja- ambapo ubora unazingatiwa ingawa di bado ni maarufu na wanadai ada hauwezi kuchunguzwa au kutathimi- inayozidi gharama ya matibabu ya niwa moja kwa moja, nadharia ya wastani kwa madaktari wa kisasa. Je uchumi inaonyesha uwezekano wa waganga wa jadi ni wafanyakazi wa kushindwa kupata soko. Huduma ya afya ni mfano hai wa aina hii ya ku- Tini za MA 32 miujiza au matapeli? Kusema kweli jibu lolote litakuwa limekiuka mpaka. shindwa, mara nyingi huitwa wakala. Mei 2001 Wagonjwa wanaamua kuwaona ma- Waganga wa Jadi si wakamilifu: inga- wa sote tumewahi kusikia habari za ti- daktari kwa sababu madaktari wana- ba za miujiza, hali ya afya ya mkulima jua zaidi kuliko wagonjwa. Mgonjwa wa wastani wa Kiafrika haiwezi kua- hawezi kutathimini nachofanya dak- chiwa kudura ya waganga wa jadi. Ha- tari kwa manufaa yake, na wala hawe- ta hivyo, wala hawawezi kuwa mata- zi kufanya uamuzi wa juhudi za dak- peli: watu hawawezi kuwa wajinga wa tari dhidi ya matokeo. Kwa kawaida kutambua uwezo wa mtu wanayeishi wagonjwa wanatibiwa ingawa kwa hu- naye. Makala haya yanaendeleza hoja duma mbaya, au wanashindwa kutibi- ya waganga wa jadi isiyotegemea miu- wa hata kama kuna huduma ya mtaa- jiza wala ujinga wa watu. Yanapende- lamu. Iwapo wagonjwa hawawezi ku- keza kuwa waganga wa jadi bado ni sema wanachofanya madaktari, kwa maarufu ingawa kuna tiba nyingi za hiyo madaktari hawatakuwa na saba- kisasa kwa sababu wametumia kwa bu za kutumia utaalamu wa zaidi kwa busara sana mkataba muhimu wa kiu- niaba ya mgonjwa. chumi kwa manufaa ya uganga wao Kwa hiyo, ingawa wagonjwa wako na watu wanaowahudumia. tayari kulipia huduma ya kiwango cha Ingawa kuna tofauti kubwa na juu cha madaktari wako tayari kuitoa, nyingi kati ya dawa za asili na tiba ya soko linaweza kushindwa na huduma kisasa, makala yanazingatia tofauti za ya afya ya kiwango cha juu haita- namna waganga wa jadi na wa kisasa tolewa. wanavyolipwa. Sehemu muhimu ya Ufumbuzi wa kiuchumi wa kawaida kazi yao ilipuuzwa: waganga wa jadi ni kumlazimisha wakala (mtu ana- wanalipwa sehemu kubwa ya malipo yetoa huduma isiyofuatiliwa) kupata iwapo tu mgonjwa ametibiwa au faida au hasara ya matendo yake. Kwa kupona. hiyo wauzaji wanalipwa kwa kipungu- 179 180 Tini za MA 32 zo au kamisheni na maofisa watendaji wakuu wanapokea bi- balije kupokea malipo iwapo mgonjwa anaweza kuongopa dhaa. Afya kwa upande wake Hufuata mkataba wa lipa iwa- kuhusu matokeo ya matibabu na kukataa kulipa chochote? po utapona au matokeo yasiyo na uhakika. Iwapo wagonjwa Kuna sababu kuu mbili: kwanza, waganga wa jadi wanaishi watawalipa madaktari wao iwapo watapona, au wakipona, kijiji kimoja na wagonjwa wao na hivyo wanaweza wasipopona je, gharama ya kiuchumi ya wakala itapungua. kuchunguza wanachofanya wagonjwa wao: pili, wagonjwa Ingawa huduma ya afya inakabiliwa na tatizo wanaamini kuwa waganga wanajua iwapo wamepona. lililoainishwa kwenye nadharia uchumi wa afya kwa ujumla Kinyume chake mikataba ya matokeo yasiyo na uhakika umepuuza ufumbuzi wa kiuchumi kwa tatizo, kama ni haitumiki katika tiba ya kisasa popote duniani. Badala yake, jambo lisilowezekana kwa huduma ya afya. Kutotilika wagonjwa wanalipa ada ya kiwango maalumuu kwa huduma mkataba ni moja ya sababu zilizotajwa kwa kupuuza zote zinazotolewa, wawe wamepona au hapana. Hakuna hata ufumbuzi huu. Utilianaji mkataba maana yake makubaliano mmoja anayetarajia aina hii ya mpango wa malipo kuweza kuhusu malipo yanatekelezeka. Mkataba wa matokeo yasiyo kutoa huduma bora. Badala yake inachukuliwa kwamba na uhakika huonekana kuwa hautiliki mkataba kwa sababu huduma bora inahakikishwa kwa masharti ya shughuli za wagonjwa wanaweza kudanganya kuhusu matokeo na madaktari kuwa inatoka katika vyanzo vingine (vikiwemo daktari atashindwa kuthibitisha suala lake kwa mtu wa vyama vya madaktari, mitandao ya rufaa, mitandao ya tatu. Maana ya kupona au kutopona hutegemea mhusika hospitali na sheria zinazowahusu madaktari). binafsi na inaweza kupotoshwa kusudi. Barani Afrika, madaktari katika hospitali za kisasa kama vile za Serikali au mifumo ya afya inayotoa huduma nafuu (hasa inayoendeshwa na makanisa) huendeshwa na tabaka Desturi za kiuchumi za waganga wa jadi barani Afrika la viongozi, ambapo madaktari wanatathmini ubora wa madaktari wengine na hadhi ya ajira au bahashishi Mkataba huu wa kiuchumi ambao ni “muhimu” lakini uli- hutegemea matokeo ya tathimini. Kwa kuwa malipo (au puuziwa, ni mbinu ambayo waganga wa jadi wa Kiafrika wa- ustawi) ya daktari hayategemei matokeo bali juhudi mekuwa wakifanyia biashara. Wagonjwa wanawalipa zaidi anazozifanya, hii huitwa mkataba wa juhudi zisizokuwa na waganga wa jadi iwapo wamepona kuliko ambavyo hawaku- uhakika. Zingatia kwamba ili umsimamie daktari pona. Matokeo ya mahojiano na waganga wa jadi wa Came- mwingine, huna budi angalau kuwa umefunzwa kama yeye: roon, Tanzania na Ethiopia yaliyoandikwa kwenye chapisho ni madaktari tu ndio wanaoweza kusimamiana. na mwandishi huyu, yametolewa muhtasari hapa. Waganga wa jadi waliohojiwa walipokea malipo ya awali na zaidi, wali- patana na mgonjwa kuhusu malipo yatakayofanywa baada- Kulinganisha mikataba ya matokeo-yasiyokuwa-na- ye. Kwa waganga wote, iwapo matibabu hayakuweza kuleta uhakika na juhudi zisizokuwa-na-uhakika nafuu kwa mgonjwa, hatalipa zaidi ya yale malipo ya awali. Walipoulizwa kuhusu desturi ya “kuwalaani” wagonjwa Mkataba wa matokeo yasiyokuwa na uhakika wa waganga kwa kutolipa, waganga wengi walikataa katakata kuwa wa jadi unawapa sababu nzuri ya kuongeza juhudi katika ku- hawakuwalaani, ingawa takribani wote walikiri kuwa babu watibu wagonjwa ingawa mgonjwa hawezi kutathimini ana- zao au hasa wazazi wao walifanya hivyo. Desturi hiyo chofanya mganga. Hata hivyo, iwapo daktari wa kisasa ana- inafanywa kama ifuatavyo: mgonjwa anapokataa kulipa, toa huduma katika shirika linalojali ubora, atakuwa na kila mganga ama atamlaani mgonjwa au atabatilisha tiba. sababu ya kutoa huduma bora. Waajiri wake watahakikisha Desturi hii inaleta hofu kwa wanavijiji wote, na watu wote kuwa anafanya hivyo. Kwa hiyo, wakati itaonyesha kuwa wasio waganga wanaamini kwamba iwapo watashindwa mkataba wa waganga wa jadi hauna manufaa yoyote ya ziada kulipa watalaaniwa. Waganga wote walieleza habari za kulinganisha na mkataba uliotekelezwa vizuri katika wagonjwa walioondoka bila ya kulipa, lakini walirudi baada hospitali yoyote ya kisasa, hii si kweli. ya miaka kadhaa, kuomba waruhusiwe kulipa. Wagonjwa Hoja ya kwamba waganga wa jadi wanatia mkataba wanaamini kwamba kulaaniwa bado kupo, kuwaruhusu kuhusu matokeo kuliko juhudi ina matokeo muhimu kwa ka- waganga wasubiri mpaka baada ya matibabu ndiyo walipwe zi yao. Chukua mfano wa mgonjwa wa pumu anayevuta siga- bila hofu kuwa mgonjwa atakataa kulipa. ra. Daktari wa kisasa anayemtibu mgonjwa huyu atatathimi- Mkataba wa matokeo yasiyo na uhakika maana yake ni niwa na daktari mwingine anayejua kinachotakiwa kufanyi- kwamba waganga wana vivutio vya kuwafanya watoe wa mgonjwa huyo. Anaweza kutathiminiwa kutokana na vi- matibabu mazuri na bora hata kama mgonjwa hawezi pimo vitakavyoagizwa, dawa alizoandikiwa, au ushauri alio- kutathimini au kuchunguza ubora huu. Lakini kuhusu pewa, bali hatatathiminiwa kujua iwapo amepona (au kwa tatizo la kutotilika mkataba je? Waganga wa jadi wataku- mfano huu, iwapo dalili zimetoweka): Iwapo mgonjwa ataka- 181 taa kuacha kuvuta sigara, hatapona, lakini kwa daktari wa wagonjwa wanataka na wako tayari kulipia hatua hii ya kisasa hili si tatizo. ubora iwapo tu wataona kuwa ni muhimu kweli kufanya Kwa upande wa mganga wa jadi, hawezi kulipwa iwapo hivyo, aidha, kama itakavyotabiriwa na nadharia ya mgonjwa hataacha kuvuta sigara. Iwapo atashindwa kiuchumi, wagonjwa huenda wakawafuata waganga wa jadi kumshawishi mgonjwa kuacha kuvuta, atakataa kumtibu (hata kama hospitali za misheni zina huduma bora) mgonjwa, au angalau kukataa kukubali mkataba wa wanapofikia hali ya ugonjwa inayohitaji kiasi kikubwa cha matokeo yasiyokuwa na hakika. Tofauti kati ya aina mbili matibabu na juhudi za mgonjwa. Tabia ya mgonjwa hufuata hizi za mikataba haitokani na juhudi za matibabu mfumo uliotabiriwa na uelewa wa kiuchumi wa mpango wa yaliyotolewa bali na uhusiano kati ya juhudi za daktari na malipo unaotumiwa na waganga wa jadi. juhudi za wagonjwa. Kwa sababu matokeo (kuliko nyenzo) ni muhimu zaidi, mganga wa jadi anajali zaidi kuliko daktari wa kisasa, kuhusu hatua wanazochukua wagonjwa. Hitimisho Wakati waganga wa jadi wanafanya majukumu mengi Utambuzi wa wagonjwa kuhusu kazi za waganga wa jadi katika jamii zao, makala haya yanalenga jambo moja muhimu la utendaji wao: wanatumia zana ya kiuchumi ya Nadharia ya kiuchumi inasema kwamba mkataba unaotu- busara na uwiano katika kazi yao na tabia yao na tabia ya miwa na waganga wa jadi utawawezesha kufanya juhudi ya wagonjwa zinaonyesha matumizi ya manufaa ya zana hiyo. kiwango cha juu katika huduma ya afya. Madaktari wa Mkataba wa lipa tu iwapo utapona au wa matokeo yasiyo na kisasa pia wanaweza kufanya juhudi za kiwango cha juu, uhakika huwapa waganga wa jadi vivutio sahihi ili watoe ingawa hawatafanikiwa kwa wagonjwa katika mazingira huduma bora na wagonjwa nao wanatekeleza kama vile ambapo juhudi ya mgonjwa ni muhimu kwa matokeo. wanaelewa matokeo au athari za mkataba wa aina hiyo. Je wagonjwa wanawatumiaji waganga wa jadi? Iwapo Muhimu zaidi, vipengele vya kimaajabu na kimiujiza vya nadharia ni sahihi, waganga wa jadi watakuwa na nafuu kazi zao ni muhimu kwa ufanyaji kazi wa mkataba huu. Bila (kuviweka vipengele vingine imara) wakati wagonjwa ya imani kwamba waganga wa jadi wanajua matokeo ya wanaumwa maradhi yanayohitaji juhudi za matibabu na za tiba, mkataba wa matokeo yasiyo na uhakika hautatilika. mgonjwa. Hata watakuwa na nafuu katika mazingira Kwa hiyo, ingawa mkataba huu unaonyesha mafanikio kwa ambapo vifaa au ustadi/utaalamu maalumuu vinahitajika. waganga wa jadi, hautatumika sehemu nyingi. Linganisha mfano wa pumu na malaria na kidoletumbo. Waganga wa jadi, tofauti kabisa na kuwadanganya watu Malaria ni rahisi kidogo kubaini na hauhitaji juhudi kubwa wajinga, wanajifanya wenye busara na kuwahudumia kwa madaktari wala mgonjwa-badala yake unahitaji wananchi wenye busara. Maadamu tiba ya kisasa inatolewa kuwepo kwa dawa za kutosha. Wagonjwa lazima waende katika muktadha ambapo ubora hauna hakika, waganga wa kwenye hospitali zilizo nafuu sana, zenye dawa jadi wataendelea kuvuta wagonjwa. zinazotakiwa bila kujali ubora. Kwa upande wa ugonjwa wa kidole tumbo, unahitaji upasuaji-huduma ambayo hospitali zina vifaa vya kutosha kuliko waganga wa jadi; wagonjwa Marejeo hawana budi kufuata tiba ya kitaalamu. Leonard, Kenneth L., “Afrika Traditional Healers and Hapana shaka, barani Afrika kuna mifumo ya aina moja Outcome-Contingent Contracts in Health Care,” mimeo ya kuchagua daktari wa kutibu maradhi kutegemea haki ya (available on-line at www.columbia.edu/- ugonjwa: baadhi ya hali husababisha kwenda kwa baadhi ya k1206/research.html) Columbia University 2000. madaktari. Mwandishi wa makala haya amejaribu mifumo ———, “Incentives and Rural Health Care Delivery,” in iwapo itaendana na mifumo itakayotabiriwa na nadharia. David K.Leonard, ed., Africa’s Changing-Markets for Ili kufanya hivyo, kila hali ya ugonjwa inachunguzwa na Human and Animal Health Services, London: madaktari waliotathimini kiwango ambapo matokeo Macmillan, 2000. chapter 4. yatategemea juhudi za madaktari na za mgonjwa. ———, “When States and Markets Fail:Asymmtric Katika mkoa wa kusini-magharibi mwa Cameroon, Information and the Role of NGOs in African health wagonjwa wanapendelea kwenda hospitali ya misheni Care,” mimeo (available on-line at kuliko ya Serikali wanapokuwa na hali inayohitaji juhudi www.columbia.edu/~k1206/research.html), Columbia kubwa za matibabu. Kwa kuwa hospitali za misheni University 2000. zimedhibitiwa zaidi ya hospitali za Serikali, hii ina maana; Kukarabati Athari za Vita Nchini Msumbiji: Jamii za Jando na Unyago na Shule za Jumuia Makala hii imeandikwa kwa pamoja na Agostinho Mamade, Zuber Ahmed na Peter Easton ambao kwa mfuatano ni: Mkurugenzi Mtendaji, Associacão Criança, Familia e Desenvolvimento, Mshauri wa Mafunzo na Maendeleo, na Profesa Mshiriki wa Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Florida. Habari zaidi zinaweza kupatikana kutoka Crianca, Familia e Desenvolvimento; barua pepe:cfd@tropical.co.mz,au kutoka kwa Agostinho Mamade; barua pepe asmamade@tropical.co.mz. Faksi: 258-1-493345 Uganga asilia umethibitisha kuwa ni wanafunzi iliongezeka haraka sana. tiba inayofaa kwa kiwewe walichoki- Bidhaa hazikulingana na mahitaji, pata watoto katika nchi zilizoharibi- na kama ilivyo kwa maeneo mengi wa na vita barani Afrika (angalia barani Afrika, shule za jamii zilizo- Tini za Ma 10). Uzoefu wa hivi kari- jengwa na wananchi zilianza kuenea buni nchini Msumbaiji umedhihiri- nchi nzima mwishoni mwa 1970. sha kuwa nyanja nyingine za utama- Nyingi ya shule hizo zilikuwa na wa- duni zinaweza kuwa muhimu katika limu vijana wenye elimu ndogo na Tini za MA 33 kuwafunza kijamii kizazi kipya kili- hivyo kufundisha walichokijua Juni 2001 choathiriwa na migogoro ya kivita na kwenye mtaala. kukarabati athari za vita. Hata hivyo, muundo mbinu huru Miaka ya vita vya wenyewe kwa ulioanza kukua uliharibiwa na vita wenyewe nchini imewaacha watoto vya wenyewe kwa wenyewe vili- wa vijijini na jamii zao wakiwa wa- vyoanzishwa na vikundi vya waasi mejeruhiwa kwa namna mbalimbali. mwaka 1977. Shule na vituo vya afya Watoto wamefiwa na wazazi wao. nchini kote vilibomolewa kwa Wengine wametenganishwa na fami- sababu uvurugaji wa maisha ya jamii lia zao katika haraka ya kukimbia na hasa huduma za serikali kwa vita na kuishia kuishi na wazazi wa wananchi ndiyo yaliyokuwa malengo kuasilisha au katika makambi ya ki- makuu ya waasi hao. Takwimu za jeshi kwa kipindi kirefu. Vijana pia uandikishaji shule zilipungua sana walijeruhiwa na kunajisiwa. Baadhi nchini kote katika mwongo uliofua- waliandikishwa katika jeshi la waasi tilia na zilianza kurudia hali ya na kulazimishwa kufanya uhalifu. kawaida baada ya juhudi za amani Wakati huohuo, jamii za vijijini kuanza mwaka 1990. ziliharibiwa vibaya sana na kun- yang’anywa miundo mbinu micha- che na midogo waliyokuwanayo. Kuunganisha wananchi tena Shule zimekuwa chache na mbalim- Ilipofika mwishoni mwa miaka ya bali mno katika maeneo ya vijijini 1980, uadui ulianza kupungua na nchini Msumbiji. Wakati wa utawala juhudi mbalimbali zilianza kuchuku- wa ukoloni, kulikuwa na maendeleo liwa kuwaunganisha tena watoto kidogo nje ya maeneo ya mijini. Wa- waliotengana na familia zao, kusa- kati wa kipindi kifupi cha utulivu hau yaliyopita na kuanza kujenga baada ya uhuru uliopatikana kwa nchi. Asasi ya The Mozambican taabu mwaka 1975, idadi ya shule na 182 183 National Directorate of Social Action (DNAS) ilifadhili namna ya kushughulikia mahitaji ya kielimu na maende- kundi la kwanza la programu kwa kushirikiana na Mradi leo ya watoto wadogo. Ilikubaliwa kuwa zianzishwe shule wa “Children and War” (C + W) wa asasi ya kimataifa tatu za watoto wadogo za jamii-escolinhas Communita- isiyo ya Serikali ya Save the Children. rias; hata hivyo shule hizo zilidumu kwa miaka miwili tu: Hata hivyo programu hiyo ilikuwa na ukiritimba mtaala rasmi, ugumu wa utekelezaji na uzoefu wa ma- mkubwa kiasi cha kushindwa kufika maeneo ya vijijini. zoea ya kutegemea vyombo vya Serikali vilivyoshindwa Kwa hiyo C+W ilianza peke yake kwa kushirikiana moja kutekeleza ahadi, vimevunja moyo ushiriki wa wananchi. kwa moja na jumuia zilizokuwa tayari. Mpaka mwaka Tatizo la watoto wasio na huduma limebaki kuwa kubwa 1992 ilishaunda mtandao wa zaidi ya mavalantia/watu wa na kushughulisha sana jamii zinazoanza kustawi. kujitolea 14,000 na kufanikiwa kuwaunganisha tena na Ufumbuzi wa kwanza ulikuja wakati wakazi wa eneo la familia zao watoto 12,000. Itoculo waliowahi kufanyakazi na C+W wakati wa vita Mafanikio yote haya ni matokeo ya juhudi za jamii walipofikiria kutumia jamii za jando la jadi na kuingiza yenyewe. Hadi wakati walipoweza kukusanya nguvu, katika escolinhas ili kutanzua tatizo. Katika utamaduni wa kuunganisha tena familia na kurudia mkusanyiko wa Kimakua, kama ilivyo katika tamaduni nyingine barani maisha ya kawaida, hakukuwa na hata sehemu ya Afrika, vijana huwa waingia katika jando na unyago wakati huduma za jamii, na serikali iliyokuwa na mzigo wa wanapoelekea utuuzima. Katika tambiko hizo, vijana madeni imeshindwa kutoa msaada wenye uhakika. Kwa wanakusanywa katika vikundi visivyo rasmi vya marafiki hiyo wenyeji walianza kurudi kazini. Ili kushughulikia na ndugu wakati wakielekea balehe. Mara kwa mara baada mahitaji ya watoto wasiokuwa na wazazi na waliounga- ya idadi fulani kufikiwa ya kati ya wasichana au wavulana nishwa upya, baadhi walianza kujenga shule za jamii, wa- 10 hadi 15—watoto huchukuliwa mafichoni na mtu mzima lianzisha programu za kuwakutanisha watoto za kijamii, mbali na jamii. Kule wanafundishwa maarifa ya mapokeo na kubuni na kutekeleza vituo vya mafunzo ya stadi kwa ya utu uzima: majukumu ya wanawake na wanaume, vijana. Ili kuhakikisha msaada wa muda mrefu kwa ju- maana ya balehe stadi za jamii na stadi muhimu. Wavulana hudi hizo, C+W ilibadilishwa kuwa asasi isiyo ya serikali wanafundishwa uvuvi na uwindaji, ujenzi wa nyumba, na ya Msumbiji iliyokuwa na jina “Watoto, Familia na shughuli za namna hiyo. Wasichana wanafundishwa Maendeleo” “(Children, family and Development) (CFD). kuhusu miili yao na majukumu ya kuwa mama na mke wa nyumabni; na wanafundishwa kujilinda na kuacha mawasiliano na wavulana. Kijiji chachukua madaraka Juhudi zilizaa matunda yasiyotarajiwa katika tarafa ya Kuiga modeli ya kimapokeo Itoculo, kikundi cha jamii kilichoko ndani ndani katika mkoa wa kaskazini wa Nampulo, nchini Msumbiji. Watu Wazo la awali lilikuwa kufufua escolinhas Communi- wa Itoculo ni Wamakua, moja ya makabila makubwa. Si tarias zilizokufa kwa namna nyingine, chini ya udhibiti rahisi kufika Itaculo na mawasiliano yake na nje ni ya wa wenyeji. Baadhi ya vijana wachache wa vijijini taabu. Watu wanaofika mara kwa mara ni wakataji waliowahi kusoma, watasimamia vikundi vya vijana magogo wa haramu, waliodhamiria kufaidika na rasilima- wakubwa katika madarasa ya nyumba za nyasi. mbali na li nyingi za misitu hiyo, na wanunuzi wa pamba, wana- miji na kuwafundisha misingi ya kusoma, kuandika na ofika mara moja kwa mwaka wakati wa msimu wa mauzo kuhesabu: Escolinhas tatu za aina hii zilianzishwa. ya pamba. Kulikuwa na shule moja ya msingi katika kijiji Ingawa juhudi hiyo ilifanikiwa, wananchi hawakuona cha katikati cha Itoculo, iliyowahudumia sehemu ndogo kuwa zinafanya vya kutosha. Vijana wadogo walihitaji ya watu 30,000 jirani na hakuna shule kwa watu 20,000 malezi pia na mambo mengine yaliyomo kwenye mtaala wanaoishi katika vijiji vilivyotapakaa katika eneo, kilicho zaidi ya kusoma, kuandika na kuhesabu. Kwa hiyo jamii mbali zaidi ni kilomita 22 kwa njia ya mkokoteni. iliomba msaada kutoka CFD kupanua na kuendeleza Ilipofika mwanzoni mwa 1990 watoto wengi wa Itoculo wazo. Wafanyakazi wa CFD walikubali kuwafundisha waliokuwa yatima au waliokosa malezi ya utoto ya animadores kwa ajili ya shule za jamii na kutoa msaada kawaida katika kipindi cha vita sasa wamekuwa watu wa usimamizi na uendeshaji iwapo wakazi wa Itoculo wazima na wakuu wa kaya. Hawakutaka watoto wao nao walijifunza kusaidia vifaa na kusimamia. Kamati wakose huduma kama wao, kwa hiyo walitaka kujenga iliundwa, na ushirikiano ulianzishwa. upya jamii zao. Wakati huo idara ya Serikali ya Social Msaada wa CFD ulichochea kupanuliwa kwa ku- Action waliwafuata viongozi wa jamii za Itoculo kujadili changanya au “kuzalisha” kati ya shule za jamii na ma- 184 Tini za MA 33 jando ya jadi, zilizoendeshwa chini ya maelekezo ya Kueneza Ujumbe wananchi. Ingawa waliendelea kuunga mkono wazo la watoto kuelimika kwa Kireno ili waweze kuwasiliana na Miaka michache ya kwanza ya uzoefu wa escolinhas ulimwengu, wanakamati wa Itoculo walihoji iwapo aina communitarias—kuanzia 1995 hadi 2000- ilikuwa ya hii ya masomo itawatosha watoto hao kuwa wanajamii mafanikio sana. Idadi ya shule hizi Itoculo imeongezeka kamili. Kwa hiyo walianza hatua kwa hatua kufafanua hadi kufikia nane, na juhudi hizo zimeanza kujikusanyia mtaala na kufufua muundo wa escolinhas, wakachagua umaarufu katika mkoa wote. Kuanzia mwaka 1998, jamii mawazo miongoni mwa jamii za jando na unyago na nyingine za Nampulo zilianza kuomba msaada kwa mifano yenye maana na kuvumbua mingine kadri Kamati za Itoculo ili waanzishe miradi ya namna hiyo, na walivyoendelea. wanakamati wamekuwa hodari zaidi kama “washauri” na Majadiliano kuhusu mitaala na uendeshaji escolinha “wakufunzi” wa utaalamu wao. Mpaka sasa shule kwa kawaida yaliwahusisha watu mbalimbali wakiwemo nyingine sita zinafanyakazi katika maeneo ya jirani. wajumbe wa kamati, wazazi animadores na watoto. Aidha, uzoefu katika kusimamia shughuli iliyoongozwa Miongoni mwa uvumbuzi uliofanywa na Itoculo katika na wenyeji kama escolinhas umewapa wanakamati na kipindi hicho ni: jamii kwa ujumla stadi muhimu na zinazoweza • Wazee walialikwa kutamba hadithi za mila za jamii na “kuhawilishika” katika ujasiriamali wa pamoja stadi uzoefu wao wa maisha. ambazo wameanza kuzitumia katika mfululizo wa • Kamati iliwahimiza wanajamii kuchangia michezo, changamoto nyingine za maendeleo, zikiwemo huduma wanasesere, nyimbo na ushauri vitakavyotumiwa na ya maji na afya. Kusema kweli, kikundi hicho watoto. Nyimbo za utamaduni zilizotumika kufundisha kimeanzisha shule mbili rasmi za umma ili kuanza hesabu “zilifufuliwa” kutumiwa na kuingizwa kwenye kubadili zile za jamii na kutoa fursa za mafunzo zaidi mitaala. Shule nazo zilianza kufadhili au kujiunga na angalau kwa baadhi ya watoto waliopitia shule za jamii. matukio ili kubadilishana rasilimali hizi za utamaduni Kwa kila shule, fomyula iliyotumika kwa escolinhas- na escolinhas za mkoa. msaada wa nje na fedha za kutosha zitakazochangiwa na • Wasanii wenyeji walialikwa kutoa mafunzo kuhusu jamii, uwajibikaji na udhibiti wa moja kwa moja wa sanaa zao. Wanawake wanaofinyanga vyungu vya wananchi-imefanyakazi. Mwaka 2000 kijiji kilianzisha kupikia na vya maua waliwafundisha stadi zao watoto, Chama cha Marafiki wa Watoto wa Itoculo—Associação kama walivyofanya wasusi na wacheza ngoma. dos Amigos da Crianca de Itoculo (AMICI), ili kuratibu • Ratiba ya masomo ilirekebishwa na kuboreshwa ili juhudi zote, cha kwanza kuanzishwa kisheria katika kuendana na misimu ya kilimo na shughuli za kijamii historia ya jamii. za Itoculo. AMICI kinatoa nafasi ya pekee ya kuunganisha zamani • Baada ya kuanza kutumia mtaala wa serikali wa shule na baadaye katika mkoa wa Nampula na kutumia za awali kama marejeo ya sehemu za “masomo” za pro- ipasavyo mila na desturi katika majando na unyago vya gramu ya escolinha, kamati iliamua kuchukua-na kure- vijana kwa fursa zenye manufaa ya baadaye kwa vijiji vya kebisha-sehemu muhimu za mtaala wa taifa wa elimu Msumbiji. Uchanganyaji na uchaguzi wa mambo ya asili ya watu wazima kuwa unafaa zaidi kwa malengo yao. yanayofaa umedhihirisha kuwa ni kipengele muhimu kwa ufumbuzi wa matatizo ya jamii iliyoharibiwa na vita. Tanzania Usambazaji wa Maarifa ya Wenyeji kuhusu Kilimo Makala hii imeandikwa na A.H Mgumia, Mratibu Msaidizi wa Mradi wa Maendeleo ya Kilimo wa Milima ya Uluguru (UMADEP), S.L.Posta 3094, Morogoro, Tanzania. Kwa maelezo zaidi, baruapepe: umadep@mail.suanet.Ac.Tz Kiungo kati ya utunzaji kumbukumbu aina nyingi za mboga na matunda km. za elimu ya wenyeji na uenezaji wa Kabichi, koliflawa, njegere, saladi, teknolojia za wenyeji zinazofaa kwa kotimiri, liki, matunda ya mimea wakulima ni dhaifu sana katika mcha- inayopukutisha majani (mapichi, kato wa maendeleo ya teknolojia asi- plamu). lia. Kuna maarifa mengi ya wenyeji UMADEP imekuwa ikifanyakazi yaliyohifadhiwa katika kumbukumbu, katika Tarafa za Mgeta na Mkuyuni lakini mara nyingi taarifa ya namna tangu 1993 kwa lengo la kuboresha Tini za MA 34 hiyo huwa haiwafikii wakulima katika uzalishaji wa kilimo na hali za Julai 2001 hali ya kuweza kuitumia kuinua kiuchumi na kijamii za wakulima uzalishaji wa kilimo. Pale ambapo wadogo wadogo katika eneo la mradi. taarifa inawafikia, huwa ni ya jumla Mradi huo unaendeshwa kama mradi mno na/au haihusiani na mazingira wa maendeleo ya kilimo wa uwiano na utamaduni wa walengwa. kwa kutumia mbinu mchanganyiko Ili kuziba pengo hili, Mradi wa na unatekelezwa kwa juhudi za ushiri- Maendeleo ya Kilimo wa Milima ya kiano kati ya asasi za serikali na Uluguru (UMADEP) umekuwa uki- wahisani. Maofisa kilimo wanaohusi- shirikiana na wakulima wenyeji kuan- ka na shughuli za maendeleo ya ma- dika maarifa yao kuhusiana na uhi- zao wamefanya miradi mingi na ya fadhi wa mazao kiasili (NCP) na kue- utafiti mdogo mdogo kuhusu NCP neza maarifa haya kwa wakulima kuhusisha matumizi ya dawa za kuu- wengine katika milima ya Uluguru lia wadudu waharibifu za mimea; ma- kwa kutumia vifaa vya kuelimishia zao ya mtego na mboji kwenye ma- vyenye uhusiano na kuwavutia waku- shamba ya majaribio ya UMADEP na lima na warsha za mafunzo zina- baadaye kutumiwa kwenye masham- zoongozwa na wakulima wenyewe. ba yanayosimamiwa na wakulima. Mbinu iliyotumiwa na UMADEP ime- Kabla ya kuingia kwa pembejeo za wahusisha jamii katika mchakato viwandani, wakulima wa Mgeta wali- mzima wa ukusanyaji wa maarifa, tegemea sana NCP , wakitumia baadhi kuyandika na kuyaeneza. ya mimea ya asili iliyotayarishwa kwa Mgeta ni tarafa katika wilaya ya namna mbalimbali kwa ajili ya uhi- Morogoro vijijini, Mkoa wa Morogoro, fadhi wa mazao na dhidi ya magonjwa upande wa Mashariki wa Tanzania, ya wanyama. Baada ya kuingia kwa katika miteremko ya Milima ya kemikali za kilimo, wakulima haraka Uluguru. Hali ya hewa ni ya joto/ haraka waliacha njia za asili/jadi za tropiki na kuwezesha uzalishaji wa kudhibiti wadudu waharibifu na ma- 185 186 Tini za MA 34 gonjwa na kukimbilia kemikali za kilimo za viwandani. dudu za mimea ni kipengele cha msingi katika kupunguza Sababu zao ni nyingi: Serikali ilitoa ruzuku kwa ajili ya kuenea kwa mbinu za uhifadhi wa mazao wa asili. pembejeo za kilimo, zikiwemo kemikali za kilimo; dawa za kuulia wadudu za kemikali zinahitaji muda mchache wa matayarisho na matumizi, kemikali zimethibitika kufaa Hatua na Mikabala zaidi ya dawa za kuulia wadudu za mimea, na makampuni Ili kuwasilisha kwa ufanisi ujumbe kuhusu NCP kwa jamii, yanayozalisha na kuuza kemikali za kilimo, zimetangaza na UMADEP imetayarisha vielelezo (mabango, vijitabu na kuzitafutia soko kwa nguvu sana. vipeperushi) vyenye maelekezo rahisi ya namna ya kutumia Hata hivyo, Serikali imesimamisha ruzuku kwa pembejeo dawa za mimea na michoro iliyo katika mtindo wa gazeti la za kilimo, na bei ya kemikali za kilimo ni ghali. Aidha hadithi za katuni. Vifaa hivyo vimechorwa na kubuniwa na kutokana na kampeni zinazoendelea kuhusu uhifadhi wa msanii mwenyeji, vyenye lengo la kuwavutia, kufaa na mazingira, wakulima wa Mgeta, kama walivyo wa shemu kuwa na maana kwa wenyeji. Zifuatazo ni hatua na nyingine za Tanzania, wanazidi kuelewa madhara ya mikabala vilivyotumiwa katika utengenezaji wa mabango kemikali za kilimo za viwandani. yanayohusu matumizi ya dawa za kuulia wadudu za mimea Kwa kushirikiana na mabwana shamba wa serikali wa katika tarafa ya Mgeta. eneo hilo, UMADEP imeanzisha juhudi za kuwahimiza wakulima kurudia NCP . Kwa kuwa maarifa asilia kuhusu (i) Kufikia ujuzi wa uvumbuzi NCP umeanza kutoweka kutoka kwa jamii za wakulima, Kwa sababu matumizi ya vielelezo vya kuelimishia vya mimea ya asili inayotoa malighafi ya NCP imepoteza kienyeji hayafahamiki sana Mgeta, UMADEP iliendesha thamani na inapotea. Uauaji wa kwanza wa UMADEP warsha ambapo wakulima wataalamu wa dawa za kuulia ulikuwa ni kuendesha kampeni ya matumizi salama ya wadudu za mimea walikutana na msanii, wafanyakazi wa dawa za kuulia wadudu za kemikali wakati huo huo mradi na mabwana shamba. Lengo la warsha lilikuwa kuwahimiza wakulima kufanya utafiti wa dawa za kuulia kuongeza uelewa wa aina mbili tofauti za nyenzo wadudu za mimea zinazofaa kwa njia ya majaribio zinazotakiwa kwa ajili ya vielelezo, kv maarifa asilia kuhusu yanayosimamiwa na mkulima. dawa za kuulia wadudu za mimea na ubunifu wa msanii Wakulima wengi waliohusishwa katika aina hizi za utafiti unaofanya taarifa ivutie. walikuwa wanachama wa vikundi vya wakulima Warsha ya siku mbili ya kulala ilitayarishwa ambapo vinavyojulikana kama Ujuzi asili kutoka Kata ya wakulima wataalamu walialikwa kutoka kwenye vijiji sita Tchenzema, waliotenga eneo la ardhi yao kuzalisha mboga vya Tarafa ya Mgeta. Wakati wa warsha wakulima zisizotumia kemikali. Hii ni kwa sababu wana ardhi ya wataalamu waliwasilisha uzoefu wao na matokeo ya utafiti kutosha, pia wana maarifa kuhusu NCP au kupata maarifa kuhusu matumizi ya dawa za kuulia wadudu za mimea kwa ya wenyeji kuhusu matumizi ya dawa za kuulia wadudu za kulindia mazao. Kwa kutumia taarifa hii, wafanyakazi wa mimea kutoka kwa wazee. UMADEP waliamua kulenga uenezaji wa taarifa kuhusu UMADEP , kwa kutumia mashamba ya majaribio yaliyoko mimea miwili maarufu sana kutegemea ni wakulima wengi kijijini, pia wamefanya majaribio pamoja na wakulima. gani wanye imani nayo kwa kufaa kwake katika kudhibiti Wafanyakazi wa UMADEP pia wamewasaidia wakulima wadudu waharibifu. kuratibu na kufuatilia matokeo. Wakulima wamefundishwa namna ya kulinganisha udhibiti na ukusanyaji taarifa (ii) Kufafanua mahitaji ya mawasiliano kuhusu wadudu waharibifu wa kiasili na mbinu za kisasa. Masuala makuu yaliyopendekezwa kuandikwa kwa ajili ya Huko Mgeta, kama ilivyo katika sehemu nyingine nyingi matumizi ya jamii ni pamoja na: maelezo ya mmea na za Tanzania, mabwana shamba wanafundishwa kuwahi- mazingira yake, uenezaji wa mbinu, matayarisho na miza wakulima kupunguza matumizi ya kemikali za kilimo matumizi, udhibiti na usimamizi wa wadudu waharibifu, na za viwandani kutokana na madhara kwa afya za binadamu namna mimea itakavyotumiwa kwa uhifadhi wa udongo na na mazingira. Hata hivyo, ni vigumu kwao kufanya hivyo maji pamoja na kuongeza rutuba ya udongo. Mbinu za kwa kuwa maarifa ya NCP wanayo wanajamii wachache uenezaji zilisisitizwa kwa sababu, kwa mfano, kibembeni sana na kwamba wananchi hawana mbadala. Aidha, (spishi ya mmea wa kienyeji unaolingana na Buddleia) wakulima wengi wanaamini kuwa dawa za kuulia wadudu unapatikana kwenye msitu wa akiba ulioko umbali wa za mimea zipo kwa ajili ya kutumiwa na wazee na wakulima kilomita 5 kutoka maeneo ya makazi. Kwa hiyo ili kuongeza wasioweza kununua kemikali na si wakulima vijana na upatikanaji, mimea hii inahitaji kupandwa mashambani. wenye uwezo. Kusita huku kutumia dawa za kuulia wa- 187 (iii) Kuwafikia walengwa ya mipango ili kufafanua wajibu na majukumu ya Kwa madhumuni ya kushirikiana taarifa na kueleza wakulima na mabwana shamba katika kampeni ya elimu. matumizi ya dawa za kuulia wadudu za mimea, washiriki Kwa lengo la kuwafikia wakulima wengi kadiri wa warsha walipendekeza kuwa vifaa vya kufundishia iwezekanavyo, ilikubaliwa kuwa, kuendeshwe semina vitakavyotayarishwa vilengwe kwa wakulima vijana., hii ni katika kiwango cha vijiji na shule za msingi. Mabango kwa sababu wakulima vijana hawako tayari kutumia NCP yabandikwe katika maeneo ya hadhara kama vile sokoni, kwa sababu ya kikwazo cha mawasiliano katika matumizi kwenye ofisi za Serikali za kijiji na kwenye mabaa ya ya NCP kati ya wakulima wazee na vijana. Aidha, washiriki pombe. Wakulima wataalamu wamejitolea kuendesha wamependekeza kuwa mradi utayarishe ziara ya semina kwa wakulima wengine kwa msaada wa mradi, hasa mashambani kwa ajili ya wasanii kuona na kuweza kwa utayarishaji wa hadhira na kugharimia mahitaji kufahamu mahali pa kufanyia kazi, vifaa na zana na mengine ya uendeshaji. Washiriki wakulima (wa kujitolea) mazingira ya mimea iliyoteuliwa katika masikani halisi. kutoka kila kijiji walipangiwa vitongoji vichache karibu na wanapoishi, ambako watawafundisha wakulima wenzao. (iv) Kuona na kutayarisha michoro Kwa kutumia mabango yaliyokwishatayarishwa kama Msanii alitembelea wakulima wachache walioshiriki katika mwongozo. warsha. Katika ziara hizo, msanii alipata picha halisi ya mazingira ya mimea, majina ya kienyeji ya mimea na wadudu waharibifu na madhara yao kwa mimea. Aidha Mafunzo yaliyopatikana alijifunza namna wakulima walivyotayarisha na kutumia • Kujaribu mabango au vifaa vya kufundishia kunaleta dawa za kuulia wadudu za mimea na vifaa walivyotumia ili mwitiko muhimu na wenye thamani kubwa kutoka kwa kuonyesha taarifa hii kwa michoro. Baada ya kumaliza kazi hadhira kwa ajili ya kuboresha vifaa hivyo kabla ya ya ugani, msanii alitayarisha rasimu ya mabango sita uzalishaji wa mwisho. yanayoeleza na kufafanua matumizi ya mimea hiyo miwili • Ushirikishaji wa walengwa kuanzia hatua ya awali ya iliyochaguliwa. kupanga vifaa vya kuelimishia kunajenga hisia ya umiliki wa vifaa hivyo. Mtumiaji wa mwisho atathamini zaidi (v) Majaribio ya Ugani vifaa hivyo vya kufundishia na kwa hiyo kuna uwezekano Kabla ya nakala za mwisho za mabango, msanii mkubwa wa kutumia taarifa hiyo na kushirikiana na wakifuatana na mabwana shamba na wafanyakazi wa wengine. UMADEP walifanya majaribio ya ugani ya mabango hayo • Wakulima wanapenda masuala ambayo wanatambua kwa wakulima wawakilishi kutoka kwa jamii. Lengo haraka kuwa ni sehemu ya mazingira yao halisi. Kwa lilikuwa kuhakikisha: hiyo matumizi ya wasanii wenyeji ni muhimu pamoja na • Iwapo wakulima wameelewa mabango na maudhui kutumia michoro inayoonyesha kwa ukamilifu wenyeji, • Uwezo wa wakulima kutambua michoro, mazingira, picha, vifaa, shughuli, miitikio na mazingira. tatizo na ufumbuzi na sifa bainifu (umri na uhusiano wa • Uenezaji wa maarifa ya wenyeji kuhusu mimea ya asali kijinsia). Hii ilisaidia kujua iwapo uwasilishaji taarifa kwa kwa kutumia mbinu za kisasa kama vile mabango njia ya michoro na matatizo vilikuwa halisi au hapana yaliyochapishwa, kuliongeza thamani kwa maarifa ya mimea asilia inayohusika. Kwa hiyo, hukuza uhifadhi na (vi) Uenezaji wa mkulima kwa mkulima uongezekaji wa mimea ya asili. Aidha huwatia ari, Kwa kuwa mabango yalionyesha taarifa ya kuwazika wakulima ya kutafiti na kuendeleza maarifa mengine ya kuhusu matumizi ya dawa za kuulia wadudu za mimea, wenyeji yanayohusu uzalishaji wa kilimo. wafanyakazi wa mradi walidhani kuwa walimu wazuri na • Ubia kati ya wakulima na UMADEP umesaidia waenezaji wa taarifa katika kampeni za kielimu watakuwa wakulima kupata uthibitisho wa kutosha wa manufaa ya wakulima wataalamu wenyewe. Kwa kuwatumia katika kiuchumi ya mbinu za Uhifadhi wa Mazao Kiasili (NCP). warsha za uenezaji kutawapa fursa ya kueleza kwa kina Aidha umeongeza stadi zao katika kufanya majaribio uzoefu wao wa dawa za kuulia wadudu za mimea kwa yenye lengo la kutayarisha mfumo wa kilimo unaohusu wakulima wenzao. Kuwawezesha wakulima kushirikiana hali, mahitaji na malengo yao. Pia, wakulima uzoefu wao na wakulima wengine, kutasaidia pia kuongeza wanaoshiriki katika warsha za uenezaji wa mkulima kwa imani na kujiamini katika kutumia dawa za kuulia wadudu mkulima wanaweza kukuza stadi zao za mawasiliano. za mimea kwa wakulima vijana na wenye uwezo. Ili kufikia lengo hili, wafanyakazi wa UMADEP walitayarisha warsha Ethiopia Dawa za Jadi na Daraja la Kuelekea kwenye Afya Bora Kwa habari zaidi, tafadhali mwandikie barua pepe John Lambert: Jlambert@worldbank.org Katika Afrika Kusini mwa Jangwa la havina thamani kwa sasa kwa wa- Sahara, maelfu ya kilo za mitisham- nanchi wengi wa vijijini (zaidi ya ba na/au sehemu zake hukusanywa watu milioni 40). Mitishamba na na kutumiwa kila siku na kinamama maarifa ya matumizi yake inatoa majumbani, waganga wa jadi.1 Wafu- mchango mkubwa na muhimu kwa gaji na wachungaji mifugo. Kwa afya ya binadamu na mifugo nchini watu zaidi ya milioni 500 na mamia kote. Mimea huwa inapatikana kwa ya mamilioni ya mifugo hicho ndicho wingi, ina madhara madogo na ni bu- Tini za MA 35 chanzo pekee kinachopatikana kwa re au inapatikana kwa gharama na- Agosti 2001 wingi kwa huduma ya afya ya wanya- fuu. Ni sehemu muhimu sana ya sek- ma na binadamu katika kiwango na- ta za kilimo na mazingira na ina uwe- fuu. Hata hivyo, upotevu wa hekta zo wa kutoa mchango mkubwa na milioni 5.5 za ardhi kila mwaka kuto- mdogo katika ukuaji wa uchumi na kana na ukataji misitu, kilimo, mali- upunguzaji wa umaskini nchini. Uha- sho kupita kiasi, moto, mmomonyo- ribifu wa mazingira, ukataji misitu, ko, n.k hupunguza sana chanzo hiki. upanuzi wa shughuli za kilimo, Dawa, chakula na bidhaa nyingine kuvuna kupita kiasi na ongezeko la za maliasili vilivyowaendeshea mai- watu ndiyo mambo makuu yanayo- sha watu wa vijijini kwa karne nyingi hatarisha mitishamba nchini. Hasara hivi sasa vinatishiwa sana na aina kutokana na kutoweka kwa mimea nyingi za mitishamba huenda vikato- inaweza kusababisha hasara kubwa weka kabisa. Ongezeko hili la uadi- ya kiuchumi-jamii kwa Ethiopia na mikaji wa aina za mitishamba una- inaweza kuwa muhimu pia duniani. wakilisha mwelekeo ambao hauna Kwa sasa katika nchi za Afrika budi kushughulikiwa haraka. Kusini mwa Jangwa la Sahara, haku- Wananchi wengi wa Ethiopia wa- na taarifa na takwimu za nchi nzima nategemea mitishamba kama chanzo kuhusu ugavi wala mahitaji ya walaji pekee cha matibabu, hasa katika wa mitishamba na faida inayopatika- maeneo ya vijijini ambako hakufikiki na kwa kutumia mitishamba na kutokana na kukosekana barabara mchango wao kwa huduma ya afya. zinazopitika kwa gari. Huduma za Halikadhalika, wakusanyaji/wazali- afya za kisasa kupitia ujenzi wa shaji wengi na watumiaji hawaelewi hospitali mpya na kupandisha hadhi kiwango cha kupanuka kwa mahitaji zile zilizopo, vituo vya afya na zaha- ya mitishamba kinavyotishia uhai wa nati, dawa kutoka nchi za nje na ma- idadi kubwa ya aina za mitishamba. funzo ya madaktari na wauguzi Bei wanayolipwa wakusanyaji zina- 188 189 elekea kuwa ndogo sana, na rasilimali kwa kawaida zina- mahususi ya mradi ni (i) kuimarisha uwezo wa kitaasisi, milikiwa na wote au zinakwenda kuvunwa ovyo kila mara. (ii) kuthibitisha na kuandika baadhi ya mitishamba Matokeo yake ni kwamba, wakusanyaji mimea kibiashara inayotumiwa mara kwa mara. Kwa matibabu ya maradhi mara nyingi “wanaichimba” badala ya kuidhibiti. matatu makuu ya binadamu (maambukizo ya Sera za afya na dawa za Wizara ya Afya ya Ethiopia minyoo/tegu, nimonia ya kifua na shinikizo la juu la zinatambua umuhimu wa mitishamba na mifumo ya damu) na maradhi matatu ya mifugo (maambukizo ya dawa za jadi katika huduma ya afya. Kwa bahati mbaya, minyoo, kinyungi na ugonjwa wa ngozi); (iii) kuanzisha kumefanywa mambo madogo sana katika miongo ya hivi uchunguzi kwa ajili ya matumizi salama ya mitishamba karibuni kuimarisha na kuendeleza vipengele vya inayofaa kutibu maradhi makuu matatu ya wanyama na manufaa vya dawa za asili, ukiwemo utafiti na matatu ya binadamu, (iv) kutathimini manufaa ya uunganishaji wa hatua kwa hatua katika dawa za kisasa. kiuchumi yanayotokana na mitishamba kwa huduma ya Ingawa Ethiopia imedhamiria kuboresha sekta ya afya, afya ya binadamu na wanyama kwa kiwango cha taifa (v) uwezo wake wa kuongeza fedha kwa ajili ya utafiti na kuanzisha kituo cha taarifa na takwimu za mitishamba matumizi endelevu ya mitishamba umekuwa mdogo sana. cha taifa; (vi) kusaidia uhifadhi na usimamizi wa mahali Katika nchi nyingi za Kiafrika bila ya kuisahau pa asili na kuanzisha kilimo cha palipokuwa mahali pa Ethiopia, kuna kada ya wataalamu waliopewa mafunzo asili pa mitishamba katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya ambao vipaji vyao na utaalamu katika uwanja wa kemia Milima ya Bale. ya mimea, uwezo wa kidawa, utengenezaji wa dawa, Gharama za mradi zitakuwa kwa njia ya mkopo na usimamizi wa maliasili, na matumizi ya viwandani ya msaada. Mkopo utagharimia: uanzishaji wa kituo cha bidhaa za mitishamba hautumiwi kwa ukamilifu. taarifa na takwimu cha mitishamba cha taifa; tathimini Wataalamu hawa wanakiri kuwa na deni kwa waganga ya viwango vya sasa vya matumizi; manufaa ya kiuchumi wa jadi na wakunga wa jadi na kwamba wanahitaji yanayopatikana nchini kutokana na matumizi ya kushirikiana kuandaa michakato ya kusimamia na mitishamba; mafunzo na uimarishaji wa kitaasisi; kuhakikisha dawa za asili. Mpaka sasa, viwango vyote vya utayarishaji wa miongozo ya Haki Miliki ya Kazi za mtaji wa maarifa (ya asili na ya kisayansi) havitumiwi Kitaaluma kwa kutumia maarifa ya dawa za asili; kiasi cha kutosha. kubainisha usalama na ufaaji wa mitishamba Ongezeko kubwa la mahitaji ya dawa za mitishamba inayotumika kutibu magonjwa makuu matatu ya mifugo kwa nchi zilizoendelea limeongeza shinikizo la ugavi wa na matatu ya binadamu; kuanzisha utafiti wa mbinu za malighafi iliyopo katika nchi zinazoendelea. Ethiopia uenezaji na kilimo cha mitishamba iliyoteuliwa; na inaelewa upoteaji wa rasilimali zake za asili, hasa utekelezaji, ufuatiliaji na tathimini ya mradi. kutokana na kwamba rasilimali hizo ndizo vyanzo vya Fedha za msaada zitasaidia uhifadhi wa bioanuwai na msingi, kama si vyanzo pekee vya huduma ya afya kwa usimamizi endelevu wa rasilimali za mitishamba ya wananchi wa vijijini na wa mjini walio masikini. Kwa mahali pa asili katika na karibu na Hifadhi ya Taifa ya kutayarisha Kitabu cha Taifa cha Orodha ya Dawa na Milima ya Bale kama njia ya kupunguza uvunaji mkubwa matumizi yake, Serikali itaanzisha mchakato wa wa mimea ya porini. Msaada pia utatumika kugharimia kurasimisha taratibu za uziduaji, uwekaji viwango, kampeni za elimu na uhamasishaji, mafunzo ya nchini, usalama na ufanisi, matumizi, kanuni za dawa. majaribio ya kilimo yanayomshirikisha mkulima kwa Uwianishaji rasmi wa mifumo ya dawa za jadi na za mitishamba iliyoteuliwa iliyo hatarini kutoweka katika magharibi utajenga urithi wa utamaduni wa kale na bustani za nyumbani, za jamii, mipakani na maeneo unaokubalika, kuzipa nguvu programu za uhifadhi wa yanayozunguka hifadhi ya taifa. Wakala kiongozi na bioanuwai na usimamizi na kutoa kiwango cha huduma wakala shiriki, taasisi na jamii vimebainishwa katika ya afya kwa raia wote kitakachoonekana katika ustawi Kielelezo Na. 1. wa baadaye wa kijamii na uchumi. Mapendekezo ya matumizi ya dawa zinazotokana na Baada ya kupitia njia ndefu ya maendeleo, serikali ya mitishamba katika vituo vya afya vya msingi yatapewa Ethiopia, kwa msaada wa Benki ya Dunia, hivi karibuni uzito tu baada ya uchunguzi utakaothibitisha kuaminika itaanza kutekeleza uhifadhi na matumizi endelevu ya na usalama. Matumizi ya dawa za namna hiyo kwa muda kwanza ya mradi wa mitishamba katika nchi za Kusini mrefu yatatoa taarifa muhimu kuhusu athari za dawa kwa mwa Jangwa la Sahara. Madhumuni ya jumla ya mradi ni binadamu na mifugo ya baadhi ya makundi ya michangan- kuanzisha msaada kwa ajili ya uhifadhi, usimamizi na yiko ya kemikali—taarifa ambayo mara nyingi haipatikani matumizi endelevu ya dawa za mitishamba kwa ajili ya wakati wa kupima dawa sanisi mpya. Masharti ya upimaji huduma za afya kwa binadamu na wanyama. Madhumuni yaliyotolewa na mamlaka zinazosimamia ili kuhakikisha 190 Tini za MA 35 Uhifadhi na matumizi endelevu ya mitishamba ya tiba, wahusika wakuu na taasisi zinazochangia, mashirika na jamii nchini Ethiopia Wakala kiongozi Bodi ya IBCR Mwenyekiti Taasisi ya Bioanuwai na Utafiti wa Uhifadhi (IBCR) Naibu Mwenyekiti Waziri Mkuu Uhifadhi Kilimo Uhalalishaji kisayansi Mahali pa asili Huduma ya Afya ya Binadamu na matumizi Mbinu endelevu • Chuo cha Ufamasia, AAU • Idara ya Biolojia, • Idara ya Utafiti wa Dawa IBCR & AAU (DDR) MOH Jamii • EARO, MOA • Waganga wa Jadi/Wakunga • EORC wa Jadi • Jamii Utafiti wa Uchumi-Jamii. IDR,AAU Huduma ya Afya ya mifugo • Kitivo cha Uganga wa mifugo AAU Hakimiliki za Kazi za Taaluma • Wachungaji Kituo cha Taarifa na Takwimu Tume ya Sayansi na Teknolojia ya Ethiopia Hebaria ya Taifa, AAU Malengo • Huduma bora ya Afya ya binadamu na mifugo • Kupatikana kwa rasilimali muhimu za kibiolojia duniani. usalama wa “dawa” mpya si lazima kwa dawa za asili. kuwianishwa kwa manufaa ya maskini. Ingawa si tiba ya Majaribio machache ya kabla ya kuingia maabara juu ya kila kitu, zinafaa kuondolea umaskini na kusaidia athari na asili ya sumu huenda yatatosha. maendeleo na hazina budi kuangaliwa kiujumla kwa muda Mitishamba na maarifa ya matumizi yake ni kama uzi mrefu na mpango mkakati. unaounganisha elimu na taasisi za maarifa, masuala ya afya na ya watu, maendeleo endelevu, masuala ya kitamaduni na mazingira, jinsia na mikakati ya vijijini, mijini na sekta 1 Waganga wa jadi kwa muktadha huu wanawajumuisha waganga wa mitishamba, waunganishaji mifupa, waponyaji vichaa na maradhi binafsi. Kwa hiyo mradi huu hauna budi kufuatiliwa kwa ya akili na wakunga wa jadi. Waponyaji kidini, wauguzi na tiba ya makini na idara zinazohusika katika Benki ya Dunia na kiroho pia hutumia mitishamba ya tiba lakini si kama chanzo cha asasi nyingine za maendeleo ili kuona namna utakavyoweza msingi cha uponyaji. Eritrea Mchakato wa Kumiliki Maarifa Asilia Kwa habari zaidi wasiliana na: Krishna Pidatala (baruapepe: kpidatala@worldbank.org); Simu 202-473-7353); Wizara ya Serikali za Mitaa, Idara ya Utafiti &HRD, Asmara, Eritrea (Simu: 291-1-121877/291-1-115534) au (Faksi: 291-1-120014) Ikiwa katika pembe ya Afrika, la kuhifadhi na kuchapisha. Jambo Eritrea ina mikoa sita na makabila lililo bayana hapa ni kwamba fedha ya asili zaidi ya tisa (Tigrigna, Tigre, kwa ajili ya juhudi hii ya MA Rashayda, Saho, Bilen, Hidareb, ilitolewa na Idara ya Utawala wa Kunama, Nara, Afar) kila kabila Umma mpaka mwaka 1990 na likiwa na mila na desturi zake. Wizara ya Serikali za Mitaa kuanzia Wakati maarifa asilia yamebebwa mwaka 1995 mpaka sasa. kwenye shughuli za jamii, taasisi, Mpango huu ulibuniwa ili kwamba Tini za MA 36 uhusiano na tambiko, mara nyingi si utekelezwe kwa awamu mbili, am- Septemba 2001 rahisi kutambua kutokana na tabia bapo mbapo ni wa kwanza tu ndiyo yake ya ukimya. Kutokana na uliofanikiwa kushuhudia maendeleo kuongezeka kwa haraka kwa utanda- ya maana: wazi, nchi nyingi na asasi za maen- • Awamu ya I—Ukusanyaji wa deleo hivi karibuni zimetambua Taarifa za MA tishio la kupotea kwa MA na wana- • Awamu ya II—Maelezo ya kusanya nguvu za pamoja zenye uhalalishaji na uchambuzi lengo la kuhifadhi na kufufua rasi- limali hii muhimu. Mwaka 1982, kikundi cha Wa- Mfumo wa ukusanyaji eritrea kilijikusanya na kuanzisha Ukusanyaji wa maarifa asili mpango wa kuainisha na kuandika ulifanyika kwa hatua zifuatazo: maarifa yao ya asili. Lengo la juhudi 1. Kupanga MA katika makundi hizo za miaka 20 lilikuwa ni kuaini- kama vile—matumizi ya ardhi, ki- sha na kuelezwa MA ya wananchi wa limo, unajimu, tambiko za kitama- Eritrea katika muktadha wa uchu- duni, dawa za asili, familia n.k. mi-jamii. Kimejaribu kuchunguza 2. Kuchagua utamaduni lengwa— shughuli za utamaduni-jamii na za kwa mkoa na/au kabila; kuainisha kiuchumi za kila moja ya makabila wamiliki wa MA katika jamii hiyo tisa ya Eritrea kwa kuanza na 3. Kukusanya MA—kwa kutumia chimbuko la jamii ya Waeritrea madodoso, majadiliano ya vikundi kuanzia wakati wa ukoloni mpaka n.k. sasa. Katika mchakato huu, lengo 4. Uhalalishaji—kuthibitisha kwenye lilikuwa kuchunguza mila na desturi vikundi, ziara za uwandani za makabila hayo na kuelewa, kuwe- 5. Kurikodi na kuhifadhi kwenye ka makundi na kuandika kwa lengo Kompyuta kwa makundi 191 192 Tini za MA 36 6. Kuchapisha—kufafanua na kupanga katika taarifa ya Hatua ya 4 umma na ya faragha; kuchapisha MA ya umma kwa Hatua ya mwisho ya mchakato wa ukusanyaji wa MA ni maandishi (encyclopaedia). kufanya ziara za ugani ili kuhakiki taarifa zilizokusanywa katika hatua zilizotangulia. Katika Mbinu ya ukusanyaji wa MA ya Eritrea ililenga kwenye mchakato huu, timu ya ukusanyaji wa MA ilikutana na kuchunguza kabila mojamoja. Mchakato mzima wa waganga halisi wa jadi na watu wengine ndani ya kuchunguza MA ya kabila moja kabla ya jingine makabila katika mazingira yao. Madhumuni ya mikutano ulichukua kati ya miezi 18 na miaka miwili. Ukusanyaji hii yalikuwa ni kuikutanisha kila timu ya wakusanyaji wa wote ulifanywa kwa hatua nne. MA na uzoefu asilia ili kuwezesha kupata ukweli kamili na uhakiki mwingine. Iwapo baadhi ya maswali Hatua ya 1 hayakujibiwa kwa ukamilifu katika hatua ya majadiliano Hatua ya kwanza ilikuwa kubainisha mkoa linakopatika ya vikundi, juhudi zilifanywa ili kuongeza au kubadilisha kabila hilo. Uchunguzi wa majaribio ulifanywa katika wajumbe wapya katika vikundi vilivyoteuliwa katika baadhi ya maeneo ya mkoa huo kupata taarifa ya jumla hatua hii kwa lengo la kupata mwitiko wa kutosha. kuhusu eneo, watu na mila na desturi zao. Baada ya hapo yalifuata mahojiano mbalimbali na viongozi wa wilaya na eneo, jamii zilizopo na wazee wa vijijini ili kujua hasa Vikwazo mahali pa kuanza kukusanyia MA. Kwa misingi ya Katika kipindi cha miaka ishirini ya kuwepo kwake, timu majadiliano ya awali, madodoso ya mwanzo yalifanyiwa ya ukusanyaji wa MA imepitia matatizo mengi ya kijamii marekebisho na kuboreshwa. Madodoso haya yalitumiwa na kisiasa. Vita vya uhuru, mgogoro na Ethiopia, ukame, kama zana za kufanyia utafiti ili kusaidia kubainisha tatizo la VVU/UKIMWI na ukosefu wa fedha, vyote mambo muhimu ya MA na wamiliki muhimu wa maarifa vimekuwa na athari fulani kwa kasi ya ukusanyaji na haya katika kila kabila. uchambuzi wa mchakato wa MA. Madodoso ambayo yalitayarishwa nusunusu (ambayo ni zana muhimu ya Hatua ya 2 msingi ya ukusanyaji taarifa) ni waraka hai ambao Hatua ya pili ni muhimu kwa sababu ilisaidia kubainisha umekuwa ukibadilika uwiano ulio sawa, na marekebisho idadi ya watu walioelewa sana utamaduni, mila na ya mwisho kwenye madodoso hayo yalifanywa mwaka desturi ndani ya kila kabila. Matokeo ya utafiti (kuanzia 1998. Jamii ya Eritrea imekuwa ikibadilika polepole madodoso) pamoja na mahojiano yaliyotangulia katika katika kipindi ambapo uzoefu wa ukusanyaji wa MA Hatua ya 1, yaliainisha kundi hili la msingi, ambalo kwa umekuwa ukikua. Jambo la kusisimua akili ni kwamba kawaida lilikuwa kati ya watu ishirini na thelathini. katika jitihada ya miaka ishirini yote hii, kumekuwa na Kundi hili la msingi lilikuwa na Wazee, ambao shauku kubwa miongoni mwa Wazee (wenye maarifa ya wamekuwa na maarifa hayo asilia. Baada ya hapo ilifuata jadi katika makabila mbalimbali) ya kuhifadhi na kukubaliana kwa muda na mahali pa kukutania watu kuhuisha utamaduni na mila na desturi zao kwa ajili ya wote hawa kwa kipindi kirefu (siku 50 hadi 60) ili karithisha kizazi kipya. Tofauti na ilivyotarajiwa, ni kuwezesha mchakato wa ukusanyaji wa MA kuedelea. Wazee ndio ambao hawakukata tamaa. Uhodari na uvumilivu wao vilikuwa muhimu sana katika kufanikisha Hatua ya 3 machakato wa ukusanyaji wa muda mrefu. Majadiliano ya vikundi ndiyo yaliyokuwa msingi wa hatua hii ya mchakato wa ukusanyaji wa MA. Wenye maarifa asilia walioteuliwa waligawanywa katika vikundi Taathari vitatu hadi vinne na majadiliano ya vikundi yalifanywa ndani ya kila kikundi kwa vipindi vilivyochukua kiasi cha MA yaliyokusanywa katika kipindi cha miaka ishirini siku 60. Majadiliano haya yalikuwa ya kina na bado yamo katika muundo wa mkusanyiko wa taarifa za yaliyolengwa, na washiriki walipewa chakula na malazi takwimu zisizochambuliwa. Hata hivyo, baadhi ya (pamoja na kulipwa kiasi fulani cha posho ya kujikimu ili sehemu za jamii ya Eritrea zimefanikiwa kuona sehemu kufidia mapato waliyoyakosa) katika kipindi chote. Lengo ya mkusanyo huu mara mojamoja na katika namna ya la hatua hii lilikuwa kutathimini kuaminika kwa taarifa mtawanyiko; na hivyo kusababisha taathari zisizo za na takwimu, kuangalia migongano na hatimaye moja kwa moja. Mifano ya matumizi na manufaa visivyo kuthibitisha tena na taarifa iliyokusanywa na kikundi vya moja kwa moja ni pamoja na: kimoja na ile ya vikundi vingine. 193 • Kitivo kimoja na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nini kifuate Asmara wametumia mkusanyo wa MA wakati wa kuandika tasnifu zao; Kati ya watu tisa walioanza juhudi za ukusanyaji MA • Wizara ya Elimu imetumia mkusanyo huo kwa ajili ya takribani miongo mwili iliyopita, ni wanne tu ndio bado elimu ya jadi na utayarishaji wa ujumbe wa utamaduni wangali wakihusika na juhudi hizo. Baada ya kutumia unaolenga makabila; sehemu kubwa ya maisha yao ya kazi kwenye utafiti huo, • Wizara ya Afya imetumia mkusanyo huo kwa huduma wanashauku ya kuona matokeo ya kazi yao nzito ya MA ya afya ya jadi baada ya kujifungua na mazoezi, ya yatachambuliwa kitaalamu na kuwasilishwa kwa ukunga, matibabu ya watoto wenye umri wa kati ya manufaa ya watu wa Eritrea. Eritrea imetumia kiasi ya mwaka mmoja hadi mitano; Nakfa milioni 1.5 (ambazo ni wastani wa Dola 190,000 za • Wizara ya Sheria imetumia mkusanyo huo kutokana na Marekani bila kujali mfumko wa bei na kutumia wastani utajiri mkubwa wa sheria za kimila, utumiaji wa wazee wa Nakfa 8 kwa Dola moja ya Marekani) kwa sasa (tangu na mbinu za kimila za kutatua migogoro ndani ya uhuru, mwaka 1991), kwa ajili ya utafiti huu na kuna jamii; na kurasa zaidi ya 30,000 za taarifa na takwimu zinazohitaji • Wizara ya Serikali za Mitaa imetumia baadhi ya MA ili kupitiwa. Hatua za haraka za kuchukuliwa ni: kusaidia kupanga upya nasaba za mikoa na kuwapanga • Fedha na msaada wa wataalamu wa fani mbalimbali watu wanaohusika. (wakiwemo wanaanthropolojia, na wengineo) kuthibi- tisha ukweli na kuchambua taarifa na takwimu ghafi zilizokusanywa hadi sasa. Changamoto za usoni • Mafunzo yanayofaa kwa timu ya ukusanyaji MA katika vyuo maarufu nchi za nje (yasiyopungua mwaka mmo- Awamu ya kwanza ya mradi imekamilika. Bado kuna ja) ili kuwawezesha kuzungumza/kuelewa lugha ya changamoto nyingi—zikihusu uchambuzi wa kina wa pa- timu ya wataalamu wa fani mbalimbali (kwa upande moja wa taarifa na takwimu zilizokusanywa na pia kuhusu wa dhana na istilahi/lugha ya kitaalamu), na hivyo ku- matumizi ya matokeo yanayotarajiwa kupatikana kutokana wezesha ubadilishaji wa mawazo wa kutosha na na uchambuzi huo. Changamoto hizo ni pamoja na: unaofaa. • Urithishaji wa MA kwa vijana ni wa polepole sana • Ushirikishaji wa wasomi wa Eritrea katika juhudi ya kutokana na sababu mbalimbali kama vile vijana hao MA ili maarifa ya kitaalamu kuhusu ukusanyaji wa MA kuhamia mijini kutafuta ajira, ongezeko la wimbi yaenezwe kutoka kwa wafanyakazi wanne waliobaki kubwa la athari za utamaduni wa nchi za magharibi na kwenda kwao. Hii inahitaji kujielimisha vya kutosha vipaumbele katika uthamanishaji na utandawazi; wakati wa kujenga uwezo na shauku katika MA ndani • Kwa kawaida wakusanyaji wa MA ni wanaharakati wa ya nchi hii. ukombozi wenye uzoefu mkubwa lakini wasio na mafunzo rasmi ya nadharia ya uchambuzi na uwasili- Hatimaye wanufaika wa juhudi hizi za ukusanyaji wa shaji wa matokeo; MA watakuwa watu wa vijijini wa makabila tisa ambao • Utafiti uliotarajiwa haukuendelea haraka kama ilivyo- maisha yao ya kila siku, shughuli zao za kujipatia riziki, tarajiwa kutokana na sababu mbalimbali, kwa mfano na taasisi za kitamaduni zitakuwa wazi zaidi kwa asasi ukosefu wa fedha, zana za kisasa, mgongano wa zinazozisaidia huduma na kushiriki katika maendeleo uamuaji n.k; yao. Maarifa asilia na desturi zilizokusanywa katika • Taarifa na takwimu za MA zilizokusanywa haziku- mradi huu na juhudi hizi si kama vitatoa muktadha kwa pangwa kwa kanuni, kuorodheshwa na mara nyingi shughuli za maendeleo, bali pia kusaidia katika uhifadhi hazikusahihishwa na zimekaa ovyoovyo; na na uhuishaji wake. • Baadhi ya taarifa na takwimu (hasa kutoka kabila la Tigrigna) zimo katika lugha ya kikabila na zinatakiwa kufasiriwa kwa Kiingereza. VVU/UKIMWI: Waganga wa Jadi, Jitihada ya Jumuia Kuji-tathmini na Uwezeshaji Makala hii imeandikwa na Maja Naur, Ph.D katika sosholojia, na mshauri wa Benki ya Dunia. Kwa habari zaidi, waandikie, baruapepe: majanau@msn.com au mnaur@worldbank.org Nchi nyingi za Kiafrika zimeridhia asilia vinavyoweza kuipa jamii uwezo Mkataba wa Afrika kuhusu Haki za wa kukabiliana na matokeo ya kija- Watu, unaotoa tamko juu ya haki za mii ya janga hili, na wakati huohuo afya, elimu na “kuhamasisha, kulin- kuweza kuhakikisha kuwa rasilimali da na kuimarisha kuheshimiana na zinazolengwa serikali zinatumiwa kuvumiliana.” Katika nchi za Afrika kweli kwa manufaa yao. Kusini mwa Jangwa la Sahara peke Katibu Mkuu wa Umoja wa yake kiasi cha watu milioni 17.2, wa- Mataifa, Kofi Annan, hivi karibuni Tini za MA 37 mekufa kutokana na VVU/UKIMWI, ameomba dola bilioni 7 zaidi kwenye Oktoba 2001 idadi inayojumuisha watoto milioni dola bilioni 10 kwa mwaka kama 3.7 walio chini ya umri wa miaka 15. kima cha chini cha fedha kutoka nchi Mpaka sasa vita dhidi ya maradhi tajiri kwenda Afrika kupambana na haya vimeelekezwa katika kinga wa- VVU/UKIMWI. Hata hivyo baadhi ya kati ambapo ni juhudi za matibabu wataalamu wa bara hilo wamesema na vipengele vya kijamii na haki za hata kiasi hicho cha fedha kitaleta binadamu vinavyohusiana na janga matokeo madogo mpaka Mataifa ya hili vimepewa uzito mdogo sana. Hii Kiafrika yatakapojenga na kuimari- inaelekea kuupa mtihani Mkataba sha mifumo yao ya afya ya kusima- huo. Ingawa makampuni mengi ya mia dawa hizo na kufuatilia afya za dawa ya nchi za magharibi yame- wagonjwa waliopewa dawa hizo. punguza bei za dawa za kurefusha Mfumo rasmi wa huduma ya afya maisha kwa wenye VVU/UKIMWI, unawafikia kati ya asilimia 10 na 20 dawa hizi bado ni ghali mno na tu ya watu ambao zaidi ni wale tu haziwafikii Waafrika walio wengi. walioko kwenye vituo vya mjini Hata kama dawa zingetolewa bure, kwenye hospitali na kliniki. Waganga nchi za Afrika, Kusini mwa Jangwa wa jadi wanatoa huduma ya afya ya la Sahara hazina miundombinu ya msingi kwa asilimia 80 ya watu usambazaji dawa, na jambo hili katika wanaishi na jumuia ambako linaleta wasiwasi iwapo mifumo ya msaada unahitajika; wao ndio hivi hospitali itaweza kupanuliwa kwa sasa wanaowatibu wagonjwa wengi kasi na ubora unaotakiwa. Mwisho wenye maradhi yanayohusiana na kuna uwezekano mkubwa kwamba VVU/UKIMWI. Baadhi ya waganga fedha zilizotengwa kupambana na wa jadi wamefanikiwa kuongeza maradhi hazitawafikia walengwa. urefu wa maisha ya wagonjwa wa Kwa hiyo, mkazo hapa ni kwa namna VVU/UKIMWI kwa kutumia dawa za gani waganga wa jadi na maarifa mitishamba zinazopandwa katika 194 195 maeneo yao. Mfano mzuri ni mafanikio yaliyopatikana kutambua kwamba ulimwengu sio kama hali tuli bali hali huko Tanga, nchini Tanzania. halisi uliyo katika mchakato wa mabadiliko” (Freire Iwapo dawa za nchi za magharibi hatimaye zita- 2000). patikana na kwa bei nafuu kwa jamii masikini, waganga Kutumia uzoefu uliofanikiwa wa uhamasishaji wa wa jadi ndiyo watakaokuwa wasambazaji wakubwa wa kijamii katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI, dawa hizo na kuhakikisha kuwa wagonjwa wanatumia utafiti mdogo kuhusu elimu ya magonjwa ya mlipuko kiwango kinachotakiwa. Wakati waganga wa jadi lazima ufanywe na wanajamii kwa ajili ya jamii. watahitaji mafunzo ya kazi hiyo, haitakuwa ghali kuinua Waganga wa jadi (hasa waganga wanawake) huenda kiwango chao cha maarifa kuliko kupanua mfumo rasmi wakawa wawezeshaji wakuu katika mchakato huu. wa afya. Kutegemea mifumo iliyopo inaelekea kuwa na Kilicho muhimu katika utafiti unaosimamiwa na jamii ni uwezekano mkubwa wa uendelevu. mchakato wanaopitia wanajamii hao, ambao VVU/UKIMWI hauheshimu mipaka wala tabaka, hutofautiana kimsingi na upimaji wa Kijamii ambapo utamaduni wala rangi, lakini ukosefu wa maarifa na ukusanyaji wa taarifa na takwimu ni muhimu zaidi. kuelewa vibaya namna maradhi haya yanavyoenezwa Mchakato wa utafiti unaosimamiwa na jamii unaweza kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine mara nyingi kuwezeshwa, ukitoa waganga wa jadi na Asasi Isiyo ya husababisha ukiukaji wa haki za binadamu kwa Kiserikali/Shirika la Kijamii, ili kuwianisha juhudi zozote kuwatenga au kuwabagua watu na familia zenye za wasomi wenyeji kutawala mchakato huo. Miongoni VVU/UKIMWI. Aidha athari za kijamii huwahusu maski- mwa masuala ya kushughulikiwa ni pamoja na: ni zaidi. Jamii nyingi zimeelewa kwamba VVU/UKIMWI • Je, jamii inadhani VVU/UKIMWI unatoka wapi? huenezwa kwa njia ya damu na kujamiiana, lakini kuna • Mtu anapataje maradhi hayo? wengi sana wanaoelewa vibaya kwamba ueneaji unatokea • Je, kuna mahali mahususi ambapo hatari ya kupata kwa kupeana mikono, kula au kuoga pamoja, maradhi hayo ni kubwa? kushirikiana nguo, kutumia vyombo vya aina moja, au • Je, kuna wanajamii wengi wanaokwenda katika kwa watoto wanaolala kitanda kimoja. Elimu na habari sehemu hizo mara kwa mara? kuhusu namna VVU/UKIMWI unaenezwa hivi sasa ndio • Je, kuna makundi mahususi yaliyo hatarini zaidi imekuwa juhudi ya msingi katika kupambana na maradhi kuambukizwa? hayo. Mpaka sasa ni juhudi ndogo ambazo zimefanywa • Ni kina nani walio mahututi katika jamii? katika kuondoa mnyanyapao unaohusiana na janga hili • Watu wanaoumwa walikuwa wakifanya kazi gani licha ya kwamba “lile tusiloweza kulikemea hatuna wakati walipoambukizwa? hatuna chochote tunachoweza kulifanyia.” Katika • Je, tangu hapo kumekuwa na mabadiliko yasehemu ya kuongeza uwezo wa mtu au jamii ni muhimu kwa jamii kazi tangu waumwe? kushughulikia changamoto jambo ambalo huachiwa watu • Je, dalili za ugonjwa zimeendeleaje katika kipindi binafsi katika patashika la VVU/UKIMWI.” Aidha, hicho? mpaka hapo rasilimali za Benki ya Dunia kwa Programu • Je, walimwona nani walipoanza kuumwa? ya sekta nyingi ya UKIMWI (MAP) itakapoanza • Je, walipata msaada wa dawa, na waliupata wapi? kumiminika, jamii haina budi kupewa uwezo wa kupata • Hali zao za kijamii zimebadilika baada ya kuumwa, na na kufuatilia fedha zilizolengwa kwao. Zana nzuri ya imebadilika vipi? uongezaji uwezo ilitumiwa katika kipindi cha mpito • Je, kunatokea nini kwa familia (kijamii na kiuchumi?) kuanzia siasa za ubaguzi mpaka uchaguzi nchini Afrika yenye mwanafamilia mwenye VVU/UKIMWI? Kusini ambapo asasi zisizo za serikali ziliweza • Je, juhudi gani zimechukuliwa na jamii, serikali, au kuwahamasisha wananchi nchi nzima. Kampeni hiyo manispaa/wilaya kuhusiana na VVU/UKIMWI? ilikuwa kubwa na haijapata kufanywa mahali pengine • Je, kila mtu anaelewa kuhusu rasilimali ambazo jamii popote wakati huo. Mbinu iliyotumiwa ilikuwa na mizizi inaweza kuomba ili kupambana na VVU/UKIMWI? yake katika uwezeshaji wa jamii kuandaa mkataba wao wenyewe wa haki za binadamu kwa msingi wa Madhumuni ya utafiti wa jamii wa aina hiyo ni (i) demokrasia na kuwaheshimu watu wa rangi na makabila kuanza mchakato ndani ya jamii kushughulikia yote (Dorsey 1997). Wazo hilo lilitokana na mapendekezo VVU/UKIMWI, ili kuwawezesha watu kuzungumzia ya Kidemokrasia ya Paulo Freire ya utatuaji wa matazito kuhusu ugonjwa huo; (ii) kuongeza ufahamu kwamba ya kielimu ambapo “wanaume na wanawake wanajenga ugonjwa huo si jambo la kidhahania linalozungumziwa na uwezo wao wa kutambua ipasavyo namna wanavyoishi watu tu kwenye redio, bali ni jambo linalowahusu watu katika ulimwengu wanaojikuta wamo, wanatokea wa jamii yao wenyewe; (iii) kupata habari za watu binafsi 196 Tini za MA 37 zitakaowasaidia wengine wenye hali ya namna hiyo; (iv) Marejeo kuinua kiwango cha uelewa miongoni mwa watu walio hatarini; (v) kuufanya ugonjwa huo kuwa ni tatizo la Dorsey, Ellen (1997). “Uandaaji wa Mikataba na Utafiti jamii—km. kuhusu namna ugonjwa unavyoweza Shirikishi,” katika Elimu ya Haki za Binadamu kwa kukingwa na jamii na namna wagonjwa na familia zao, ajili ya Karne ya Ishirini na Moja kilichohaririwa na wakiwemo mayatima, wanavyoweza kusaidiwa; na George J. Andreopolos na Richard Pierre Claude, mwisho, tena muhimu sana (vi) kuiwezesha jamii Philadelphia: Shirika la Uchapishaji la Chuo Kikuu kutunga sheria zao za Haki za Binadamu. Kila sheria ya cha Pennsylvania. Haki za Binadamu ya kila jamii itakuwa na vipengele vya Freire, Paulo. (2000). Taaluma ya Ufundishaji Watu kipekee kutegemea hali ya mahali husika. Lakini Waliokandamizwa, Toleo la 30 la Maadhimisho, New watakachokubaliana jamii pia watakuwa na shauku ya York: Continuum. kutekeleza na kuwawekea vikwazo vya kijamii dhidi ya wale wanaokiuka kile kilichopo kwa manufaa ya jamii kwa ujumla. Senegali Lugha za Asili, na Fasihi kama Biashara Isiyolenga Faida Makala hii imetayarishwa na Dkt. Peter Easton wa Chuo Kikuu cha Florida na Dkt. Sonja Fagerberg—Diallo wa ARED. Kwa habari zaidi wasiliana na ARED,Villa 8253, Sacre Coeur 1, Dakar, Senegali, Simu (211) 825—7119,824-5098, Faksi (221)824-7097, baruapepe: ared@enda.sn. Toleo namba 13 la mfululizo huu Hivi sasa ARED inasimamia kam- (“Lugha za Sahel, Maarifa Asilia na puni ya uchapishaji inayouza kati ya Kujisimamia, Oktoba 1999) lilionye- vitabu 30,000 hadi 50,000 kwa sha kwamba, maandishi katika Lu- mwaka, ambavyo zaidi vimeandikwa gha za Kiafrika, ambayo hivi sasa ya- kwa Lugha za nchini Senegali. naongezeka katika nchi nyingi barani Vitabu hivyo vinasambazwa nchini humo, yanatoa chombo muhimu cha Senegali na gharama ya uchapishaji kujieleza na maendeleo ya maarifa wake zinalipiwa na asilimia 75 ya Tini za MA 38 asilia. Programu za kisomo na elimu mapato ya mauzo ya vitabu vyenye- Novemba 2001 isiyo rasmi barani humu yanatoa we. ARED pia iko motomoto katika kipimo cha “sauti” ya wananchi– kutoa mafunzo (CERFLA ilianzish- angalau katika kiwango cha mahali wa ili kuendeleza chuo cha ufundi fulani–hadi vikundi vya jamii na vya- cha asasi) na upataji wa maarifa ya ma na hali hiyo hapo zamani. Hata wenyeji. Je, imefanikiwa namna gani hivyo, daima hukabiliwa na kikwazo na nini mafunzo ya uzoefu huu kati- kimoja: kukosekana kwa fasihi ka “kuongeza nguvu kwenye maarifa miongoni mwa wanafunzi wapya ya wenyeji?” wote waliojua kusoma na kuandika zilizo katika lugha za kufundishia. Tatizo hilo linaanza kutanzuliwa Muktadha wa kiutamaduni miongoni mwa wazungumzaji wa Utamaduni wa Pulaar unafanya KiSenegali wa Lugha ya Kifulani au sehemu kubwa ya jamii ya watu wa- Lugha ya Pulaar katika baadhi ya chache kabila hilo nchini Senegali. njia za kufundishia. Makala haya Takribani theluthi moja ya watu yanaeleza kwa muhtasari uzoefu wa milioni 9 wa nchini humo wana- ARED (Washiriki katika Utafiti na zungumza Pulaar, ni ya pili tu kwa Elimu kwa Maendeleo) na CERFLA Wolof, ambayo ni lugha ya Kiafrika (Centre d’Etudes pour la Recherche inayozungumzwa na watu wengi et la Formation en Langues Afri- nchini. Katika Afrika Magharibi, caines), asasi mbili zinazohusiana kuanzia Senegali mpaka Cameroon zisizo za kibiashara zinazofanyakazi ya Kaskazini, wazungumzaji wa katika mikoa ya wazungumzaji wa Pulaar na lugha za Kifulani wanafi- Lugha ya Pulaar nchini humo, amba- kia milioni 25, si lugha kubwa sana yo yamekuwa yakifanyakazi kwa katika taifa lakini ni lugha maarufu zaidi ya miaka 12 kuendeleza kusoma katika baadhi ya nchi za eneo hilo. na kuandika kwa Lugha hiyo. 197 198 Tini za MA 38 Wafulani ni wafugaji wa tangu kale na kwa hiyo ni watu hapo, juhudi hiyo ilienea hadi Ufaransa na mwaka 1982 wanaohamahama, ni kabila linalosemekana kuwa na asili iliingia Senegali kwa sura ya Chama cha Mwamko Mpya ya Wamisri wa kale, walioenea katika ukanda wa savana wa Pulaar (ARP), asasi inayowaunganisha wazungumzaji wa kati na Afrika magharibi na kubaki wakazi katika wa Kipulaar wanaoishi nchi za ng’ambo na wale baadhi ya nchi fulani kutokana na kubadili dini na wanaoishi maeneo ya mijini ya Senegali waliotaka watoto mapambano ya kisiasa. Aidha wamehamia katika nchi wao waelewe utamaduni wao. nyingine barani Afrika na miji mingi ya Ulaya, Mashariki Miaka iliyofuata, ARP ilipiga hatua jubwa kutokana na ya Kati na Kusini mwa Asia. kuenea kwa programu za kusoma na kuandika lugha za Kuanzia miaka ya 1950, uzoefu huu wa utamaduni Kiafrika kwa upande mmoja na kutokana na tishio la imara na hadhi ya kabila dogo imesababisha kuzaliwa kutumia Kiwolof kama lugha rasmi ya mawasiliano kwa uhuishaji wa utamaduni. Mwaka 1958 mzungumzaji nchini humo na hivyo kuelekeza nguvu zake katika wa Pulaar wa Senegali aliyeishi Cairo kwa miaka ishirini kukuza madarasa ya kusoma na kuandika kwa Pulaar alichapisha riwaya kwa lugha ya Kipulaar—Ndikkiri nchini Senegali. Mamia ya madarasa ya namna hiyo Joom Moolo, au “Ndikkiri, Kifungua Mimba, Mpiga yalianzishwa katika kipindi cha miaka mitano iliyofuata Gitaa”—kilichoandikwa kama njia ya kukumbuka nchi —madarasa hayo yalifadhiliwa na wakala za serikali au yake. Ni hadithi—ambayo inaanza na hamu, usafihi na miradi rasmi ya maendeleo pamoja na madarasa mengine kikwakwa—ya Pulaar asiyependa ushujaa aliyeacha mengi yaliyoanzishwa na jamii zenyewe. Hata hivyo vi- nyumba na kwao kufanyakazi yenye mafanikio kama wango vilikuwa vya chini sana; mifumo ya maandishi ili- msanii wa jukwaani, kasisi wa dini na mwisho kiongozi yotumiwa ilitofautitofautiana; na ufuatiliaji wa maandi- mwenye kipaji alichopewa na mungu, aliyefuatiliwa mara shi ulikuwa adimu sana. Hata hivyo shauku ilikuwa halisi kwa mara na viongozi wa kisiasa, lakini hatimaye na juhudi hiyo ilikuzwa nyumbani kwa upendo. alishinda na kuendelea kushikilia utamaduni wake na Ili kurekebisha udhaifu uliojitokeza katika kampeni, familia. Mwandishi aliamua kutumia maandishi ya kikundi cha waandishi wa Pulaar kiliunda Kikundi kwa Kilatini ya lugha hiyo badala ya “ajami” au maandishi ya ajili ya Juhudi za kukuza Vitabu kwa Lugha za Kitaifa au Kiarabu, ambayo ni matumizi yaliyowekewa mipaka kwa GIPLLN, kukusanya vitabu vilivyopo na kuwezesha miaka mingi miongoni mwa wasomi wa kidini. usambazaji wake kwenye madarasa ya kusoma na Ingawa kimetapakaa makosa ya uchapishaji kutokana kuandika. Silika yenyewe ilikuwa nzuri, ingawa juhudi na Wamisri kushindwa kusahihisha vyema, kitabu hicho yenyewe inaonyesha matarajio makubwa kuliko vile hatua kwa hatua kimejipatia wasomaji katika ambavyo timu ya waandishi ingeweza kumudu. Hatimaye mtawanyiko wa Wapulaar wenye shauku. Msomaji mmoja mwaka uliofuata shughuli zake zilihamishwa kwa chama wa kwanza ambaye baadaye alitokea kuwa mhariri wa kisicho cha kibiashara cha ARED kilichosajiliwa Mare- machapisho ya Lugha ya Kipulaar anasimulia jinsi kitabu kani. Wanachama wa GIPLLN walikuwa sehemu kubwa hicho kilivyomwingia. Amejikuta akiisoma riwaya hiyo ya Bodi, ingawa WaSenegali wenye utaalamu na Mtafiti nje ya nyumba yake saa tisa alfajiri ili wenzake walale wa Kimarekani aliyeoana na mzungumzaji wa Kipulaar bila usumbufu. waliletwa kama watendaji wa chama. ARED ilianza kwa Mara nyingine nilikaa kandokando ya barabara kuchapisha upya vitabu vya lugha ya Pulaar vilivyopo na nikisoma riwaya ya Ndikkiri. Kwa kila ukurasa, kuandika vingine, kimsingi kama huduma kwa vituo nilishindwa kujizuia kucheka kwa sauti wakati vipya vya kisomo. nilipokuwa nimeketi mtaani..... siku ya pili, niliwasimulia marafiki wangu hadithi kutoka Ndikkiri—wakati tukinywa chai pamoja. Hatimaye Mafanikio yasiyotarajiwa marafiki wangu wote waliojua kusoma Pulaar Jitihada hizo zilifanikiwa sana kuliko wahamasishaji walishindwa kujizuia kusoma kitabu hicho... wake walivyotarajia. Mchanganyiko wa kozi za kisomo, kuzidi kupata mwamko kwa jamii iliyotawanyika, na Kuzaliwa kwa vuguvugu kukua kwa AZISE na kufungua maeneo mazuri zaidi ya uenezaji na mawasiliano na watu wanaozungumza lugha Shauku ya namna hii ilisaidia kuzaliwa kwa mabadiliko ya Pulaar, imetoa “soko” zuri la vitabu hivyo. Idadi ya ya kufufuliwa kwa usomaji na uandikaji wa utamaduni vitabu iliongezeka kutoka 6,000 mwaka 1988 na kufikia wa Kipulaar miongoni mwa watu wanaoishi Mashariki ya 41,000 mwaka 2000, na majina ya vitabu yaliyochapishwa Karibu, yaani Uturuki na Afrika Kaskazini. Kutokea yalianza machache hadi kufikia zaidi ya 150. Asilimia 95 199 ya mauzo yalikuwa ya wateja wa Senegali. Bei zilipangwa kuchapishwa na wafanyakazi wa ARED, hasa mfululizo ili kufidia gharama za uchapishaji na kuwezesha wauzaji wake wa miongozo ya mafunzo ya kusoma na kuandika kupata faida ya asilimia 25 ya uhakika. ya msingi. Kundi la tatu lina vitabu vipya vilivyotaya- Kusema kweli, “wauzaji hawakujumuisha hata duka rishwa na wafanyakazi, au machapisho yaliyopo yaliyo- moja kubwa la vitabu la nchini, ambalo lilikuwa linafanya tafsiriwa nao kwa Lugha za Senegali, kutokana na ombi biashara ya vitabu vya fasihi ya lugha za Kiafrika. Hata la baadhi ya wafadhili wa nje. Machapisho ya kundi hili hivyo ARED inategemea idadi ndogo ya wafanyabiashara hujumuisha kila kitu kuanzia miongozo ya mabwana- wanaotaka vitabu vyao kwa ajili ya wasomaji wenyeji na shamba wa ugani hadi tafsiri ya Pulaar ya L’Aventure kununua vichache ili kuviuza. Hadithi wanayoipenda Ambigue, riwaya maarufu ya mwandishi wa KiSenegali, wasomaji inahusu kijana aliyetembea kuanzia Kayes Cheikh Anadozi Kane, kilichotafsiriwa chini ya (nchi jirani ya Mali) mpaka Dakar, mji mkuu wa Senegali, usimamizi wake. Kinachofurahisha ni kwamba, mifano huku akiswaga kundi kubwa la ng’ombe. Aliuza ng’ombe yote iliyotajwa, wafanyakazi wa ARED na wauzaji vitabu wake kwenye mnada na kufika ofisi za ARED akiwa na wanaushahidi kutoka kwa wasomaji miongoni mwa sehemu kubwa ya mapato yake. Zaidi ya faranga watumishi wa Serikali na Wanafunzi wa Chuo Kikuu 1,000,000 za Afrika Magharibi (kiasi cha Dola 1,500 za waliokiri kuwa hawakuelewa kitu katika nakala za lugha Marekani). Kwa fedha hizo alishakusudia kununua za kigeni mpaka waliposoma nakala ya lugha ya Kipulaar. vitabu kwa lugha ya Pulaar na kuviuza tena jimbo la Kundi la mwisho, si kwa ubora bali kwa mfuatano ni Kayes, idadi ambayo tayari imetakiwa na wauzaji miswada isiyoombwa bali huwasilishwa na waandishi wa wengine wadogowadogo nchini huko. Kijana huyo alibeba kujitegemea. Vitabu vya aina hiyo vimekuwa vichache maktaba ndogo mpaka kituo cha garimoshi, akiwa na sana mpaka miaka ya karibuni, kwa sababu ARED uhakika wa kupata faida kubwa atakaporudi nyumbani. haikuandaa kanuni za mikataba za wazi za malipo kwa waandishi wa kujitegemea. Hata hivyo matatizo hayo hivi sasa yametanzuliwa: Waandishi ambao vitabu vyao Machapisho anuwai ya vitabu vilivyochapishwa walilipwa asilimia 10 ya mrabaha wa mauzo ya vitabu vyao kwa awamu mbili. Aidha asasi Ilipofika mwisho wa mwaka 2000, ARED na mtangulizi imeamua katika mkutano mkuu wa hivi karibu, wake, GILLPIN, walisambaza nakala 350,000 za kuwashawishi mara kwa mara waandishi wa kujitegemea machapisho yao, yanayowakilisha majina ya vitabu 168 kuwasilisha kazi zao ili kukuza wingi wa uandishi wa tofauti, 85 kati yao yakiwa katika lugha ya Kipulaar au machapisho ya wenyeji; mpaka sasa vitabu vilivyo- kufasiriwa kwa lugha hiyo na vilivyobaki vilikuwa kwa chapishwa vimeongezeka na kufikia majina sita. lugha nyingine za Senegali, kikiwemo Kifaransa. Rundo hili la vitabu linaweza kugawanywa katika angalau makundi mawili ya mada na chanzo. Vitabu hivyo Sera za kifedha viliandikia mada zifuatazo: • Miongozo ya kusoma, kuandika na kuhesabu (majina ARED haisambazi vitabu vyake bure, bali inajaribu saba ya vitabu yalichapishwa mwaka 2000 na viwili kupanga bei zake katika kiwango cha kufidia gharama za kati yao vilikuwa vipya). uchapishaji na ziada ndogo kwa ajili ya kamisheni ya • Riwaya, hadithi na hadithi nyingine za fasihi (kitabu wauzaji, bei ambayo ni nafuu kwa hali ya Senegali. Vitabu kipya mwaka jana). vingi vinauzwa kwa wastani wa sawa na dola 1.50 za • Habari za maendeleo na jamii ya kiraia (majina sita ya Marekani. Baadhi ya vitabu vinapata ruzuku na wafadhili vitabu yalichapishwa mwaka 2000, viwili kati ya hivyo wa nchi za nje, kwa mfano AZISE zenye shauku ya ni vipya). kutumia miongozo ya kusoma na kuandika au • Tasnifu kuhusu maarifa asilia na desturi za kimila au kugharimia machapisho kuhusu mada za maendeleo; au kidini (majina matatu, mawili yalikuwa mapya). mashirika ya misaada yanayotaka kuchapisha vitabu • Kitabu cha Kiada kwa ajili ya ujenzi wa uwezo wa vitakavyofaa kwa kazi za mabwanashamba wa ugani kwa menejimenti (kitabu kimoja kipya). miradi wanayoifadhili. Vingine huchapishwa kwa “fedha za uwekezaji” za ARED, au akiba waliyojiwekea kutokana Vimetumika vyanzo vinne tofauti vya kuandikia vitabu na utoaji wa mafunzo mbalimbali na shughuli za hivyo. Chanzo cha kwanza ni vitabu—hasa vya kidini au uchapishaji kwa miaka mingi. vya kubuni—vilivyoandikwa na waanzilishi wa GILLPIN Kwa jumla, hivi sasa ARED inagharimia asilimia 75 ya na ARED. Vya pili ni maandiko yaliyotayarishwa na gharama za uchapishaji wake kutokana na mauzo ya 200 Tini za MA 38 vitabu na asilimia 25 kwa ruzuku na fedha zake za kwa uenezaji wa maarifa asilia. Kuna kanuni zinazoweza uwekezaji, na kufanya ikaribie kuwa mfuko wa kufanyakazi zitakazotegemea zaidi mauzo na mapato ya kujitegemea wa machapisho ya Lugha za Kiafrika katika huduma (ingawa hutolewa kwa kiasi fulani na AZISE na nchi za Afrika Magharibi zinazozungumza Kifaransa. mtandao wa fedha za msaada), bila ya hata msaada Katika kipindi cha miaka iliyofuata cha muongo mkubwa kutoka mashirika ya misaada. ARED uliopita, mfuko wa shirika hilo ulitunishwa sana na imefanikiwa kipindi hiki na kuweza kuendelea kukua. wateja wawili. Mteja wa kwanza alikuwa programu za Hata hivyo vipengele vingi visivyo vya fedha vimetoa kisomo za serikali zinazofadhiliwa na nchi za nje, ambapo mchango mkubwa katika mafanikio ya chama: chini ya programu ya Senegali ya faire faire au mkakati • ARED na CERFLA ni “vuguvugu” na mashirika ya wa utoaji wa huduma uligatuliwa madaraka, zilifadhili biashara yasiyotengeneza faida. Michango kutoka kwa asasi mbalimbali zisizo za serikali ili kutekeleza miradi baadhi ya viongozi wa muhimu kisiasa za jamii za yao wenyewe ya kisomo na ziliidhinishwa kununua Wanaozungumza Pulaar nchini Senegali na nje ya nchi, miongozo na vitabu kutoka mashirika ya uchapishaji imekuwa muhimu sana kwa kukomaa na kukua kwao. kama ARED yaliyochapisha vitabu bora vilivyoidhi- • Uwezo wa kusoma na kuandika na kutambua yana- nishwa. Kutokana na ukubwa wa ununuzi wao, kwa yofaa kwa maendeleo ya machapisho ya lugha za Kiafrika mfano, vitabu vya msingi vya kisomo kwa Lugha ya na maendeleo ya kisomo umekuwa muhimu pia. Kuto- Pulaar mauzo yake yalipanda kutoka takribani nakala kana na ari iliyopo ya ugatuaji madaraka, uwezeshaji 9,000 mwaka 1995 hadi kufikia zaidi ya 40,000. Chanzo wenyeji na ufufuaji wa utamaduni unasababisha kanuni kingine kilikuwa msaada mkubwa kutoka Mfuko wa hiyo ifanye kazi, hata hivyo ari zaidi ya ujasiriamali na Msaada wa Kilutheri Duniani (LWR) katika miaka ya busara inatakiwa kufanikisha lengo hilo. mwanzo na ya kati ya muongo, kwa ajili ya mafunzo ya • Msaada mzuri wa kiasasi kwa ajili ya utunzaji wa vyama vya wenyeji na utayarishaji na uchapishaji wa hesabu na usimamizi umekuwa muhimu. ARED maandiko mbalimbali. Machapisho 47 ya mwisho inafaidika na mfumo na sifa nzuri kwa usimamizi wa yaligharimiwa yote au sehemu tu na LWR. Hata hivyo rasilimali na kutokana na hadhi yake kama chama msaada wake, ulipunguzwa ghafla kuanzia mwaka 1998 kilichosajiliwa Marekani na Senegali. kutokana na matatizo ya shirika hilo katika kuchangisha • Kinyume chake, pengine, vipengele vya mapinduzi ya fedha. ARED ililazimika kupunguza wafanyakazi wake habari vimerahisisha na kuunga mkono kazi ya kuunganisha shughuli zake, na kuelekeza nguvu zake uchapishaji kwa Lugha za Kiafrika. Kompyuta zinaweza kwenye maeneo yenye mahitaji makubwa yatakayoweza kushughulikia miundo maalumuu ya miandiko (chapa) kuzalisha biashara mpya. Hatimaye juhudi hizo kwa ajili ya sauti mahususi za lugha zilizoleta vipingamizi zinaonekana kufanikiwa. Katika mwaka 2000, ARED vikubwa katika enzi ya taipu, uchapishaji kwa “desk-top” ilizalisha vitabu vipya 12 na CERFLA iliendesha mafunzo unarahisisha sana usanifu na uchapishaji wa nyaraka, na mapya 26, hali ya kuwa jumla ya vitabu vilivyouzwa ili- barua pepe inarahisisha mawasiliano ya mitandao na pungua hadi 23,000 katika mwaka uliofuatia upunguz- marafiki wa mbali. waji wa ruzuku kwa machapisho yake ilifikia 41,000. Kutambua rasilimali inayotoweka Mambo ya kujifunza Juu ya mambo yote hayo, hakuna budi kuongezwa hadhi Je, uzoefu wa ARED umetoa mafunzo gani? Kutokana na ya makabila madogo na unyumbufu wa jamii ya Pulaar, hali iliyoelezwa kuhusu ARED, ni dhahiri kwamba zilizochangia katika juhudi kiasi fulani cha uzuri au wa kutokana na hali ya Senegali ambapo chama kimeka- “juhudi hii ya dhati.” Hakuna kitu kinachounda biliana nayo katika miongo miwili iliyopita, inawezekana vipaumbele vya maarifa asilia na ari ya kudumisha hata kuendesha biashara isiyo na faida na shirika la zaidi, inaelekea, kama ambavyo watu wengi wanavyo- uchapishaji kwa ajili ya kisomo kwa Lugha za Kiafrika na fahamu, kuwa yamo hatarini kupotea. Burkina Faso Uunganishaji wa Vigezo vya Kisayansi na Asilia katika Utabiri wa Mvua Makala hii iliandikwa na Carla Roncoli, Keith Ingram, Paul Kirshen na Christine Jost wa Mradi wa Utabiri wa Hali ya Hewa kwa ajili ya Rasilmali za Kilimo (CFAR), mradi wa utafiti unaoshirikisha taaluma mbalimbali ulioanzishwa kwa ushirikiano baina ya Chuo Kikuu cha Georgia na Chuo Kikuu cha Tufts na kufadhiliwa na Ofisi ya Programu ya Dunia ya Usimamizi wa Bahari na Hewa ya Taifa. Toleo refu zaidi linakuja katika jarida la Society and Natural Resources, juzuu 15. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Carla Roncoli kwa: (404) 524-8833 au croncoli@gaes.griffin.peachnet.edu. Uchunguzi kifani huu unaeleza jinsi pamoja na wanaonaje na kutabiri wakulima wa Burkina Faso wanavyo- mabadiliko. Kuelewa utamaduni wa tabiri mvua za msimu na kuchunguza wenyeji ni muhimu kwa ajili ya jinsi utabiri wao unavyofanana na kuunganisha bidhaa za utafiti na utabiri wa kisayansi. Katika miaka ya teknolojia ya maendeleo. karibuni, sayansi ya metorolojia imekuwa na mafanikio makubwa sana katika utabiri wa hali ya hewa. Mahali na njia za kujipatia maisha Tini za MA 39 Kutambua kuwa joto la juu ya bahari Bonam ni kijiji kilicho katika jimbo la Desemba 2001 huathiri mzunguko wa pepo duniani Namentenga, moja ya majimbo mas- na huwawezesha wanasayansi ku- kini zaidi miongoni mwa majimbo panga utabiri wa mvua za msimu. arobaini na tano nchini Burkina Faso. Huu huwasilishwa kama uwezekano Sehemu kubwa ya wakazi wa Bonam wa jumla ya kiasi cha mvua za msimu ni wa kabila la Mossi, kabila lenye wa- kuwa juu ya kiwango, chini ya ki- tu wengi zaidi nchini, na hupata riziki wango, au kawaida ikilinganishwa na zao kwa kilimo cha nafaka na mazao wastani uliotokana na tathmini ya jamii ya maharage kwa kutegemea mfululizo wa miaka thelathini. Kati- mvua, wakichanganya na uzalishaji ka Afrika Magharibi, mvua za msimu wa mifugo, biashara ndogondogo na huhusishwa na miezi mitatu ya Julai, kwenda kufanya kazi Côte d’Ivoire. Agosti na Septemba, ambapo asilimia Baadhi ya wafugaji wa kabila la 90 ya mvua za msimu hunyesha. Fulani pia wanaishi katika eneo hilo. Badala ya kuona ujuzi wa kienyeji Mvua hunyesha katika msimu na kisayansi kutofautiana kabisa, mmoja kuanzia Mei hadi Oktoba, ku- utafiti wetu unaonyesha kuwa waku- kiwa na mvua nyingi za mwaka na lima wamezoea kufanya kazi katika kiasi cha mvua kisicholingana katika mifumo tofauti ya utambuzi na kuwa misimu. Kiasi cha chini cha mvua za wana hamu ya kupata utabiri wa muda mrefu ni milimita 674. Wakati kisayansi kwa sababu wanaona kuwa wa mwanzo wa mvua za msimu, wa- utabiri wa kienyeji unakuwa na kulima huamua watapanda nini, lini mafanikio kidogo sana kutokana na na wapi. Hufanya hivyo kulingana na hali ya hewa kuzidi kubadilika. matarajio yao kwa mvua za msimu, Lakini ili kufanya utabiri wa hali ya hujaribu kupunguza hatari kwa hewa wa kisayansi tunahitaji kuelewa kuangalia uwezo wa kuhifadhi maji watu wanafikiri nini kuhusu mvua, wa aina tofauti za udongo na nafasi za 201 202 Tini za MA 39 mashamba yenye mahitaji ya maji kwa aina mbalimbali za koobre huko Moré) na wanaamini kuwa kama viota mazao. vitajengwa juu sana katika miti basi mvua zitakuwa Ujuzi wa wakulima wa kutabiri unajumuisha ujuzi wa nyingi; iwapo viota vitajengwa katika matawi yaliyo chini, pamoja na watu binafsi. Wakulima wenye uzoefu zaidi kutakuwa na upungufu wa mvua. (zaidi wanaume wazee) hubuni nadharia tete kuhusu Wanawake pia huchunguza tabia za wadudu katika mvua za msimu kwa kuchunguza matukio ya asili, wakati vyanzo vya maji na katika malundo ya taka nje ya nyumba. wataalamu wa kitamaduni na matambiko hufanya utabiri Kwa mfano, bugvaré ni wadudu weusi wa jamii ya kutokana na ubashiri, maono au ndoto. Orthoptera ambao hutoboa matundu ya mviringo katika malundo ya taka nje ya nyumba. Baada ya mvua za kwanza, lava hutokea na kisha hujaza matundu kwa Ujuzi wa pamoja wa utabiri uchafu. Wanawake wameeleza kuwa hutarajia msimu utakuwa mzuri kwa kilimo iwapo bugvaré watajaza Dalili za kimazingira ambazo wakulima hutumia kutabiri matundu yao hadi juu kwa uchafu, ambao huonyesha dalili mvua za msimu huonekana kwa ajili ya uchunguzi kwa za ghala kujaa nafaka. nyakati tofauti za mwaka. Miongoni mwa dalili za mwanzo Lakini, wakati dalili huchunguzwa wakati wote wa kabisa zinazotegemewa ni wakati, ukali na urefu wa msimu wa ukavu, ni wakati mvua zinapoanza ndipo kipindi cha baridi sehemu ya awali ya msimu wa ukame wakulima wanapounganisha matarajio yao kwa msimu wa (Novemba—Januari). Wakulima huamini kuwa baridi kali mvua. Mvua za mwanzo, hasa zikiwa na mafanikio ya (chini ya nyuzijoto 15 za sentigredi) wakati huu inalingana mara kwa mara ya mvua zinazosaidia mimea kuota vizuri, na kipindi cha mvua nyingi wakati wa msimu wa mvua na ni dalili za msimu mzuri zinazochukuliwa na wengi. Jinsi kuwa iwapo kipindi hiki cha baridi kitaanza mapema na mkulima anavyoweza kupanda mazao mara nyingi pia ni kuchelewa kuisha, mvua pia zitafuata mpangilio huo. njia muhimu ya kutathmini hali ya msimu na kutabiri Kipindi kinachofuatia kipindi cha baridi kavu ni kipindi mafanikio katika kilimo. Kwa mfano, ukame ulipoathiri cha joto na ukavu (Februari—Aprili): joto kali wakati huu kanda mwaka 1977, wakulima walijua kuhusu tatizo la pia linaaminiwa kuwa ni dalili za mvua za kutosha. kubwa la upungufu wa chakula lililoonekana mapema Dalili ya pili ya utabiri wa hali ya hewa uliozoeleka ni mwishoni mwa msimu wa upandaji (mwanzoni mwa utoaji matunda wa baadhi ya miti ya kienyeji, unaotokea Agosti), nusu mwaka kabla mifumo rasmi ya kutaha- kati ya Aprili na Juni. Kulingana na maelezo ya wakulima, dharisha kuhusu njaa haijatoa dalili za dhiki. mavuno mazuri ya matunda kama vile taanga (Butyrosper- Baadhi ya wazee pia wanaweza kutafsiri duru ya mum parkii) na sibga (Anogeisus leiocarpus) yanaashiria mizunguko ya nyota na mwezi. Kwa mfano, huangalia msimu mzuri. Kwa upande mwingine, wakulima huhusis- duru za kuonekana kwa mwezi, hasa mwezi mzima, ni ha utoaji wa matunda mengi kwa miti ya nobga (Sclero- dalili ya mvua kutonyesha kuliko duru ya giza kwa sababu carya birrea) na sabtuluga (Lannea acida) na ukame. mwanga wa mwezi hutoa nguvu zinazozuia mvua Miti pia hutumika kama dalili za kuonyesha kukaribia kunyesha. Nyota pia huonyesha dalili za wakati mwafaka kunyesha mvua au kuwepo kwa maji. Wakati miti ya sigba kwa kulima mashamba mbalimbali na aina mbalimbali za inapoanza kutoa matunda na sabtuluga inapoanza mazao. Souci (Pleiades) kuonekana mwanzoni mwa mwezi kupukutisha majani wakulima hutambua kuwa wakati Mei ni dalili kuwa ni wakati mwafaka kuandaa mashamba umefika wa kuandaa mashamba. Kankanga ni mti jamii ya yaliyo mabondeni kwa kulima. Kubadilika katika nafasi za mtini ambao huota mahali ambapo maji yako karibu na Budb Kutoega (Ursa Major) kunaonyesha mwanzo na usawa wa ardhi. Hivyo, huwaashiria wafugaji mahali mwisho wa msimu wa kupanda mtama. Kuonekana kwa panaofaa kuchimba visima ili kunywesha mifugo yao na Tabta (Orion) mwezi Julai kunagongana na mvua nyingi wakulima mahali wanapoweza kupanda mazao yanayo- (sa nyanga) zinazosaidia kilimo cha mahindi. hitaji maji mengi, kama vile pamba. Dalili nyingine inayopatikana katika mvua za mwanzo zinaponyesha ni kiwango cha maji katika mifereji na Ujuzi maalumu wa utabiri madimbwi. Iwapo maji yataendelea kuwa mengi baada ya mvua ya kwanza, wakulima wanaamini kuwa msimu Tofauti na uchunguzi wa dalili za mazingira zinazopati- utakuwa mzuri kwa kuwa mvua nyingi wakati wa mwanzo kana kwa wakulima wengi, utabiri wa nyota na matendo zinaaminika kuwa dalili za neema. Wafugaji ambao mengine ya kiroho ni haki ya vikundi maalumu au watu huchunga wanyama msituni huangalia ujenzi wa viota binafsi. Mwenye mamlaka kuu zaidi miongoni mwao ni unaofanywa na ndege wadogo wazuri (wajulikanao kama Tengsoba, mtu wa kwanza katika ukoo aliyeanza kuishi 203 katika eneo hili. Hutoa sadaka ili kuunganisha watu walio watu tamaa ya kulima na kuwafanya wahame, kwa hai na mababu na mizimu inayoishi katika maeneo ya kudharau mpango wa kijamii yalipo mamlaka ya wazee. kuabudu ambayo baadhi yao huathiri mvua. Utabiri huchukuliwa kutokana na tabia za wanyama wanaotolewa dhabihu, itamchukua muda gani kuanguka, ataanguka Kuchanganya utabiri wa kienyeji na wa kisayansi kuelekea upande gani, na damu itatiririkia wapi. Tengsoba Wakulima wa Bonam wanatambua kuwa jamii pamoja na na wataalamu wengine wa jadi pia wanaweza kupata hali ya hewa imekuwa na mabadiliko fulani katika miongo utabiri toka kwa mababu au miungu kwa ndoto au maono. michache ya hivi karibuni. Viongozi wa jadi wanasikitika Marabouts ni watu ambao huamini mizimu na kujiingiza kuwa elimu rasmi, dini zenye kuabudu Mungu mmoja, na katika utamaduni wa kiislamu, ingawa imani za Kiislamu itikadi za kufuata mambo ya kisasa zimepunguza mamlaka zinachukia shughuli zao. Waumini hawa wa mizimu ni yao, hasa miongoni mwa vijana. Mabadiliko ya hali ya kuanzia viongozi wa Kiislamu (Limam) ambao wametajwa hewa pia yamedhoofisha imani ya wakulima kwa ujuzi wa katika Kurani kuwa watabiri wanaouchanganya Uislamu wenyeji. Wazee wamekumbuka kuwa siku za nyuma na imani na shughuli za jadi. Sherehe ya Zambende, walikuwa na uwezo wa kutabiri mwanzo wa mvua kwa inayofanyika kusherehekea kuanza kwa mwaka wa usahihi kiasi ambacho waliweza kufanya kazi kifamilia ya Kiislamu, ni wakati muhimu wa kukutana kwa Marabouts kusia mbegu katika ardhi kavu, wakijua kuwa mvua kufanya utabiri wao. Marabouts katika utabiri wao zitanyesha punde, lakini sasa watoto wao wanakataa huangalia siku ya juma inayosherehekewa kama siku ya kwenda shamba mpaka mvua zinyeshe. kwanza ya Zambende. Kila siku inahusishwa na manabii Lakini hii haina maana kuwa wakulima wanatambua mbalimbali na mwaka unaofuata hufafanuliwa kwa dalili taarifa za kisayansi kuwa ni tishio kwa utamaduni wa za matukio katika maisha au wakati wa nabii huyo. wenyeji. Kinyume na hivyo, kwa sababu wanatambua Ubashiri umeandikwa kwa maandishi ya Kiarabu pamoja kuwa utabiri wa kienyeji hauaminiki, wakulima wako na maelekezo ya sadaka na hatua nyingine za kuepusha tayari kutumia vyanzo mbalimbali vya habari. Kuliko matukio yenye kuleta balaa. kusimama mahali pamoja na kufanana, uwanda wao wa Tofauti na Tengsoba na marabouts ambao huweza kutoa utambuzi tayari umekuwa na ujuzi wa aina mbalimbali. utabiri na sala za maombi tu, kuna wataalamu wengine Utabiri wa kienyeji umechanganya uchunguzi wa wajulikanao kama sa tatta, ambao hudai kuwa na uwezo kuangalia moja kwa moja na maono ya kiroho wa moja kwa moja kutoa amri dhidi ya mvua. Lakini nguvu yanayotokana na utamaduni wa dini mbalimbali. zao huogopwa kwa kuwa utengenezaji wa mvua huoneka- Wakulima huchanganya utabiri wa kienyeji na teknolojia na kuhatarisha wataalamu pamoja na jamii. Mvua za na familia huchanganya dawa ya kisasa na kienyeji kwa kuomba zinaaminika mara nyingi hunyesha kwa fujo vitendo wakati mmoja wa mwana familia anapougua. Ni (saraogo) zikifuatiwa na upepo mkali, radi yenye mnguru- matumizi mabaya ya mfumo wa ujuzi wa yeyote kama mo mkali na vimulimuli inayoweza kuharibu mazao, jumla ya ukweli ambao umekasirikiwa au kupingwa. nyumba na wanyama. Kwa sababu hii, mradi wa serikali Hivyo, maelezo ya kisayansi lazima yawasilishwe kwa wa upandaji mbegu katika hali ya mawingu mwanzoni njia ambazo hufuata fikra za kitamaduni kuhusu aina ya mwa msimu wa mvua za 1988 ulisababisha hasira badala ujuzi, uzalishaji wake na uhalali, na uhusiano wake na ya nafuu miongoni mwa wakulima huko Bonam. jamii. Mifumo ya kienyeji ya mawazo inasisitiza asili ya Baadhi ya watabiri walitabiri ukame wa mwaka 1997 na upendeleo wa uelewa wa binadamu, ambao humaanisha majibu yao yana athari kwa jukumu lao kuu katika kuwa chanzo kimoja cha habari hakichukuliwi kuwa na uenezaji wa utabiri wa kisayansi vilevile. Tengsoba aliku- picha iliyopo. Mifumo ya utabiri ya kienyeji hutegemea bali kuwa na wasiwasi mkubwa katika msimu wa ukame, dalili tofauti zinazoonwa na watu tofauti na kwa wakati lakini hakuuonyesha. Watabiri wengine wamekubali kuwa tofauti. Wakulima hawatatui migongano iliyopo miongoni wana tabia ya kutoeleza wasiwasi kwa sababu kufanya mwa dalili kuwa picha yenye maana. Tofauti miongoni hivyo “itakuwa kama kushusha laana” dhidi ya wale walio mwa tabiri au baina ya tabiri na matokeo hufafanuliwa chini ya mamlaka yao. Kueleza utabiri wa matukio mabaya kwa tofauti ya mafanikio ya kiekolojia na mifumo ya kutawaweka katika matokeo yasiyoepukika kwa upandaji. Sifa ya kubahatisha ya utabiri pia inaweza kubatilisha uwezekano wowote wa kufanya maombi na kuelezwa kwa kuangalia sifa ya kutokuwa na uhakika wa kuongea na mizimu. Kushindwa kubadilisha utabiri wa bahati kama matokeo ya mazungumzo baina ya walio hai kutisha kunaweza pia kupunguza imani ya watabiri na mizimu na uamuzi wa mizimu. wanaowajibika kuwa kiungo kati ya walio hai na mizimu. Zaidi ya hayo, utabiri usiokamilika unaweza kukatisha 204 Tini za MA 39 Kuna vipengele kadhaa vya njia na yaliyomo ambapo ufugaji vitasababisha uharibifu zaidi kwa mazao kuliko vile ujuzi wa kienyeji na kisayansi wa kutabiri unakutana. Kwa vinavyotokea katika hatua nyingine za kukua kwa mazao. mfano katika kufanya utabiri, watabiri wa kidini hutumia Wakati wa mwanzoni na mwishoni mwa mvua, njia za kukumbuka mambo yaliyopita ya utabiri wa kuonyesha kipindi cha mvua, ni kigezo muhimu ambapo kisayansi. Ubashiri wa Zambende hutokana na fasili ya utabiri wa kiwango cha mvua za msimu zilizo “juu ya maandiko na ushauri miongoni mwa watu wanaowasiliana wastani” kimeeleweka kwa wakulima wa Bonam kutabiri na mizimu, ambao baadaye huyawasilisha rasmi katika msimu mrefu. Kwa sasa, sayansi inashindwa kutabiri kwa umma. Katika uwanja wa taaluma ya mazingira, utabiri hakika ama muda au mtawanyiko wa mvua za msimu, wa mkulima hufanana na mbinu za kisayansi katika lakini kuunganisha utabiri wa kisayansi na ujuzi wa kutegemea uchunguzi unaofuata utaratibu rasmi wa wenyeji kunaweza kutatua baadhi ya matatizo ya matukio ya asili. Uendelezaji wa ujuzi kutokana na kuona utambuzi kama huo. Kwa mfano, mvua nyingi zisizo unaendana na mbinu za mafunzo ya utamaduni ambapo kawaida zilizonyesha Julai na Agosti 1999 zingeweza watoto hujifunza kwa kuwaona watu wazima kuliko kutabiriwa kwa kuchanganya utabiri wa wakulima wa maelekezo kwa maneno au kuuliza maswali. kuchelewa kunyesha mvua na utabiri wa kisayansi kwa Wataalamu wa hali ya hewa huweza kuchunguza kuto- mvua zinazozidi kiwango cha kawaida cha mvua za msimu. kana na utambuzi wa wenyeji kuhusu uhusiano baina ya joto na mvua na kufafanua masuala ya kiufundi ya utabiri wa kisayansi kwa kuangalia joto la juu ya uso wa bahari. Hitimisho Tafsiri ya wakulima ya mawimbi ya upepo pia imetambua Uchunguzi wetu umeonyesha kuwa si uzoefu wa bahari kama chanzo cha mvua wakati wa kiangazi, waku- kuunganisha mifumo ya utaalamu wala dhana za utabiri lima hutegemea upepo uvume kuelekea magharibi, ikimaa- wa mvua si ngeni kwa wakulima wa Burkina Faso. Utabiri nisha kuelekea baharini kuchukua maji na kisha kugeuka wa wenyeji hufanana na ule wa kisayansi katika baadhi ya na kuvuma kuelekea mashariki wakati wa mwanzo wa vipengele vya utabiri na njia, lakini pia hutofautiana msimu wa mvua. Wakulima walitabiri na kufafanua kuhu- katika utekelezaji na maana za utabiri. Tofauti hizi hutoa su ukame kwa kuchunguza pepo kama hizo. changamoto kwa sayansi katika pande zote. Lakini utabiri wa wakulima unatofautiana na ule wa Kwa upande mwingine, uhakika wa vigezo vya utabiri kisayansi katika njia muhimu, hasa vipimo na vigezo wa kienyeji unaifanya sayansi kuwajibika zaidi kwa mahi- wanavyotumia. Tofauti na utabiri wa kisayansi, ambao taji ya taarifa kwa wakulima na kufuata zaidi maamuzi ya hufanyika kwa kuzingatia “kanda” utoaji na matumizi ya njia za maisha wanazozikabili. Kwa upande mwingine, utabiri wa wenyeji hufanyika kienyeji mno. Hufanya mfumo wa kienyeji wa utaalamu na uongozi kwa karibu kutokana na maingiliano ya ndani na mazingira finyu sana unaunganisha ujuzi na majukumu ya kijamii, ambayo mahadhi yamepotana na duru za maisha ya kuwataka wanasayansi kuwa macho zaidi na kuwajibika familia na jamii. Si sibga au taanga ambao wakulima na athari za ujuzi wanaotoa na kuwapatia watumiaji. wanawaamini katika utabiri wa mvua, bali miti fulani Majukumu haya yanatupeleka mbali zaidi ya jukumu la maalumu karibu na nyumba zao au mashamba yao kuunganisha ujuzi wa wenyeji na kisayansi katika muundo ambayo wameichunguza kwa muda wote wa maisha yao. na jinsi ya utabiri, kupata changamoto ya kueleza matokeo Wakati utabiri wa kisayansi unategemea makadirio ya na muktadha wa matumizi yake. Kwa hakika, utoaji wa jumla ya wingi wa mvua za msimu, wakulima hutathmini taarifa unahitaji kuingizwa kwa kutumia uingiliaji kati misimu kwa kuangalia aina na muda mvua iliponyesha. ulio sahihi ambao utaongeza uwezo wa wakulima kupata Kwa mfano, wanatambua kuwa wingi wa aina moja cha matokeo bora ya utabiri uliofanyika. Wanasayansi, wa- mvua kinaweza kusababisha matokeo tofauti ya uzalishaji tunga sera, wafadhili, na watendaji wa maendeleo lazima iwapo zitanyesha kama sa nyanga (mvua za muda mrefu washirikiane kubuni njia zinazolingana na endelevu ili lakini kwa kiwango sawa wakati wote kiasi cha kufanya kuboresha uwezo wa kubadilika wa mifumo ya kienyeji ya udongo kuloa kwa siku kadhaa) au kama saraogo uzalishaji na uthabiti wa uhakika wa njia za maisha kwa (ngurumo za radi zikifuatiwa na upepo mkali). Vipindi vya wakulima maskini wa kanda ya Sudan-Saheli. upungufu wa maji vinavyotokea wakati wa kupanda au Usawazishaji wa Mifumo ya Ujuzi wa Kienyeji na Kisasa Huduma ya Akinamama Wajawazito Maeneo ya Vijijini Uganda: Uboreshaji wa Mifumo ya Maarifa Asilia na ya Kisasa Makala hii imeandikwa na Dkt. Maria G.N. Musoke (PhD), Chuo Kikuu cha Makerere, Kampala, Uganda. Uganda ni moja ya nchi zenye ulifunguliwa Machi 1996, kwa ajili ya maendeleo duni sana ya miji katika majaribio, katika Wilaya ya Iganga, Afrika, ambapo zaidi ya asilimia 80 ya Mashariki mwa Uganda. Kimsingi ni watu wake karibu milioni 20 huishi mradi wa rufaa, uliobuniwa kushu- vijijini. Uchumi wa Uganda hutegemea ghulikia tatizo la idadi kubwa ya vifo zaidi kilimo na wanawake huchangia vya kina mama. Mradi ulianzishwa na asilimia 60—80 ya nguvu kazi. Hivyo, Wizara ya Afya, UNFPA, na Sekreta- afya ya wanawake ina maana kubwa rieti ya Idadi ya Watu Uganda. Kikun- Tini za MA 40 kijamii na kiuchumi kwa maendeleo ya di maalumu cha wataalamu wa sekta Januari 2002 taifa. Hata hivyo, miongoni mwa mbalimbali Wilaya ya Iganga kinaen- wanawake wa kiganda wenye umri wa desha mradi huu, wakati UNFPA na kuweza kuzaa, masuala ya afya ya Wizara ya Afya zinafanya kazi ya mama ni tatizo kuu kama ilivyoon- ufuatiliaji. yeshwa na viashiria vifuatavyo: idadi Mradi wa Upanuzi wa Huduma za kubwa ya vifo vya kina mama inayoka- Afya Vijijini kwa Msaada wa Dharura diriwa kufikia 506/100,000; idadi una vitengo vitatu: mawasiliano, usa- kubwa ya uzazi karibu 6:9; karibu firi na utoaji wa huduma bora za afya. asilimia 38 tu ya wazazi huzalishwa na wafanyakazi wa afya waliopata ma- Mawasiliano funzo, asilimia 62 iliyobaki huzalishwa Aina ya teknolojia ya habari na mawa- na wakunga wa jadi na wanandugu. Ili siliano iliyochaguliwa ilitokana na sa- kushughulikia matatizo haya Wizara babu kadhaa, baadhi yao ikiwa ni pa- ya Afya Uganda imepanga mbinu moja na: kutokuwepo huduma ya ni- kadhaa na utekelezaji. Baadhi ya shati ya umeme katika maeneo mengi utekelezaji huo ni pamoja na kupanua vijijini, kutokuwepo simu za kutumia mfumo wa rufaa na kuboresha mtan- waya, haja ya teknolojia ya habari na dao wa wakunga wa jadi na vilevile mawasiliano kupatikana masaa ishiri- kuwapatia mafunzo wakunga wa jadi. ni na nne kwa siku, uwezo wa kubadi- Mradi wa Upanuzi wa Huduma za lika, haja ya kuutumia mfumo katika Afya Vijijini kwa Msaada wa Dharura maeneo mengine nchini na uendelevu ulianza kama moja ya juhudi hizo. kiuchumi wa mfumo pale msaada wa mfadhili utakapokoma. Kwa sababu hizi, redio ya mawasilisno ilichaguliwa Maelezo kuhusu mradi kama aina ya teknolojia ya habari na Mradi wa Upanuzi wa Huduma za mawasiliano itakayotumika katika Afya Vijijini kwa Msaada wa Dharura mradi. Hii ni pamoja na stesheni za 205 206 Tini za MA 40 kudumu katika vitengo vya afya, redio ya kupokea na Matokeo na taathari kupeleka habari kwa kuwasiliana na wakunga wa jadi, na simu za magari katika magari ya wagonjwa ya hospitali za Mnamo Julai 1999, mwandishi alifanya uchunguzi kuhusu rufaa na gari la Mganga Mkuu wa Wilaya. Mawasiliano ya athari za mfumo wa mawasiliano katika huduma za afya ya redio ya mawasiliano huendeshwa kwa nguvu za mionzi ya mama, na mchango wake katika mradi wa rufaa. Alitaja sa- jua, kuepuka ukatikaji wa umeme au matatizo ya mawimbi. babu zinazoathiri mradi, na vilevile gharama na uendelevu Mradi wa Upanuzi wa Huduma za Afya Vijijini kwa wa mradi. Data ilikusanywa kutoka katika vyanzo vikuu na Msaada wa Dharura uliandaliwa kuunganisha wakunga wa vidogo. Vyanzo vidogo ni pamoja na ripoti ya maendeleo na jadi na mfumo rasmi wa utoaji huduma kwa gharama hati nyingine za mradi. Data kuu ilikusanywa kwa ubora, nafuu, kiasi kwamba dharura ya uzazi inapotokea kijijini, kwa kufanya mahojiano na kuzingatia matukio yaliyoelez- mkunga wa jadi atumie redio yake ya mawasiliano kuomba wa na wafanyakazi wa afya na wakunga wa jadi. Sampuli ya msaada kutoka katika kitengo chochote cha afya kilicho utafiti inalenga wilaya ya Iganga ambapo mradi umekuwa karibu. Ujumbe kuhusu nini la kufanya hutolewa mara ukiendeshwa tangu Machi 1996. moja kupitia mfumo wa redio. Iwapo mkunga wa jadi Ongezeko la idadi ya uzazi chini ya wafanyakazi waliopa- atashindwa kumudu tatizo, usafiri hutumwa kutoka katika ta mafunzo na ongezeko la rufaa kwenda katika vitengo vya kitengo cha afya pamoja na mkunga rasmi kumchukua afya vya rufaa limesababisha kupungua kwa karibu asili- mgonjwa. Iwapo tatizo haliwezi kutatuliwa katika ngazi ya mia 50 ya vifo vya kinamama wajawazito katika miaka kituo cha afya, hospitali hupigiwa simu na gari la wagonjwa mitatu kama ilivyoonyeshwa hapo chini: hutumwa kumpeleka mgonjwa katika hospitali ya rufaa. “Uchunguzi uliofanyika hivi karibuni katika wilaya tatu za Arua, Iganga na Tororo, ambapo wilaya zote wakunga Usafiri wao wote wa jadi walipatiwa mafunzo, umeonyesha kuwa Pikipiki za matairi matatu zilitolewa kwa kila kitengo cha idadi ya vifo vya kinamama wazazi wa Iganga imepungua mwanzo cha rufaa cha afya kilichoshiriki ambavyo kwa kutoka 500/100,000 mwaka 1996 hadi 271/100,000; wakati ujumla vilikuwa vituo vya afya vijijini. Gari la zamani la wa- viwango vya Tororo na Arua vimepungua, lakini zote gonjwa lililokuwa katika hospitali kuu ya rufaa lilifanyiwa zilikuwa na idadi iliyo juu ya 350/100,000. Hii imeonyesha ukarabati na kuwekewa mawasiliano ya redio. Wakunga wa kuwa vifaa vya mawasiliano na usafiri kule Iganga jadi walipewa baiskeli ili ziwasaidie kwa usafiri kwenda vimechangia kupungua kwa Idadi ya Vifo vya Kinamama katika vitengo vya afya kuongeza chaji betri za redio zao za wazazi. Kabla ya mradi kulikuwa na matatizo ya ukosefu mawasiliano na kukusanya takwimu ya mwezi. wa vifaa vya mawasiliano na usafiri, ambavyo vimefanya rufaa kwenda polepole na mara nyingine kusababisha vifo vya mama au mtoto au wote pamoja” (Msimamizi). Utoaji wa huduma bora za afya Vitengo sita vya afya na hospitali moja ya rufaa vilishiriki katika mradi. Kati ya hivyo, vitengo vinne vya afya na hos- Hii ilikuwa pamoja na ujenzi wa uwezo (k.m. mafunzo kwa pitali ya rufaa vilifanyiwa uchunguzi na wakunga wao wali- wakunga wa jadi, wakunga rasmi, mafundi), kuajiri angalau hojiwa. Kwa kuongezea, wakunga kumi wa jadi, waendesha- wakunga wawili na tabibu mmoja katika vitengo vyote vishi- ji mradi watatu na wanawake wanne wanufaika walihojiwa. riki vya afya, ukarabati wa wadi za wazazi (ikiwa ni pamoja Kwa wakunga wa jadi, teknolojia ya redio za mawasiliano na kutoa vitanda vya uzazi, oksijeni, na visimamishio vya ilikuwa chanzo kikuu cha uwezeshaji kwa kuwa iliboresha I.V.) na utoaji wa zana za dharura za uzazi na vifaa vingine. hadhi yao na heshima, hivyo kuongeza heshima ya ushauri wa rufaa na pia kuongeza mapato yao kwa kuongeza idadi ya wanawake wanaowazalisha. Wale ambao hawawezi Utekelezaji kuandika zaidi wametaja kuwa: “Kwa kuwa siwezi kuandika, ni vigumu kwangu kuwapa- Kikundi maalumu cha wilaya kinachoundwa na Mkurugenzi tia rufaa wanawake; Ilibidi niende nao katika kitengo cha wa Huduma za Afya Wilayani (aliyejulikana kama Mganga afya na kueleza … lakini sasa, redio za mawasiliano zime- Mkuu wa Wilaya), na maafisa kutoka katika sekta nyingine niokoa kutokana na matatizo hayo, kwa sababu ninaweza katika wilaya kiliundwa ili kusimamia mipango, maendeleo, kumpigia mkunga na kueleza hali ya mtu ninayempatia na utekelezaji wa mradi. Kinawajibika katika safu ya juu rufaa … Silazimiki kwenda kumsindikiza kila mtu nina- zaidi ya uongozi wa wilaya, ambaye ni mwenyekiti wa LC5. yempatia rufaa” (TBA7). Kikundi cha kazi huendeshwa chini ya uenyekiti wa Teknolojia ya mawasiliano imewaleta wakunga wa vijijini Mkurugenzi wa Huduma za Afya wa Wilaya, na kimeundwa karibu baina yao, hivyo kupunguza kutengwa na kusaidia na wawakilishi kutoka sekta zinazohusiana na afya wilayani. kutoa ushauri. Hali za kuwa na wasiwasi wa utatuzi usio- 207 kuwa na hakika wa matatizo ilipunguzwa kwa kiasi • Kusikika kwa sauti kubwa kwa mawasiliano ya redio kikubwa. kumesaidia kuzuia matumizi mabaya au kutumia kwa Katika hospitali ya rufaa, mawasiliano yaliripotiwa manufaa binafsi. Watu waliohojiwa waliripoti kuwa miito kuifanya kazi ya wakunga kuwa rahisi zaidi kwa kuwa iliyofanyika kwa kawaida ni mifupi na kwenda mahali waliweza kujua mapema wategemee nini na kujiandaa kwa husika, na kuwa muundo wa aina hii ya teknolojia ya habari dharura. Wanawake wanufaika waliripoti kuwa mawa- na mawasiliano unailinda kutokana na wizi. siliano haya yamewapa matumaini katika hali za hatari. • Njia ya kuwepo madaraja mengi katika teknolojia ya habari na mawasiliano kunaweza kusaidia kuleta manufaa ya teknolojia mpya kwa watu wa vijijini katika Afrika Mafunzo yaliyopatikana Kusini mwa Sahara. Njia kama hiyo itasaidia kutokana na uwezo tofauti katika hali ya Afrika. Kwa mfano, huduma ya Uchunguzi umeonyesha idadi kubwa ya mafunzo. matibabu kwa njia ya simu (telemedicine) na vifaa vingine vya teknolojia ya kisasa (k.m. Intaneti) inaweza kuwekwa Kukamilishana katika hospitali ya wilaya, wakati teknolojia rahisi kama • Idadi kubwa ya shughuli za ziada inahitajika ili kuleta redio zinaweza kusaidia ngazi za chini (vituo vya afya athari kamili. Kwa mfano, uchunguzi umegundua kuwa vijijini, wakunga wa jadi, n.k.). Mashauriano yaliyofanywa ingawa sehemu ya mawasiliano imetoa mchango mkubwa na vituo vidogo kwenda katika hospitali za wilaya katika mafanikio ya Mradi wa Upanuzi wa Huduma za Afya yatahakikisha kuwa watu wa vijijini wananufaika moja kwa Vijijini kwa ajili ya Msaada wa Dharura, haikuweza moja kutokana na teknolojia. kusimama yenyewe. Ili mradi utimize malengo yake ya uboreshaji wa rufaa zitakazosaidia kuboresha huduma za Uwezo wa taasisi uzazi zitolewazo na wakunga waliopata mafunzo, vipengele • Mradi umeundwa katika miundombinu iliyopo na uwezo vingine viwili (usafiri na ubora wa utoaji huduma) ilibidi uliokuwepo, ikiwa ni pamoja na mifumo ya ujuzi wa jadi. vitekeleze wajibu wao wa ziada. Pale usafiri ulipoharibika, Ujuzi wa wakunga wa jadi kuhusu utamaduni wa wenyeji, hata hivyo, iliripotiwa kuwa kuwepo kwa mkunga na maadili na uwezo wao kuunganisha huduma za jadi na za mfumo wa mawasiliano ulichukua jukumu kubwa la kisasa ulikuwa muhimu kwa mradi. Ukweli mradi ulianza kuokoa maisha: Wakunga wa jadi waliitwa kupeana ushauri katika ngazi za mwanzo na ujuzi wa asili uliofanywa na na vitengo vya afya, hivi pia viliombwa kushauriana na wakunga wa jadi, na ukaboreshwa kwa kuwapa mafunzo wenzao na wakuu wao. Hata hivyo, pale dharura mafupi na kuwapatia wakunga wa jadi na vilevile ilipolazimu kufanya rufaa, haja ya kupata usafiri ilikuwa wafanyakazi wataalamu wa afya, teknolojia rahisi ya habari muhimu sana. na mawasiliano, usafiri na zana za kazi za kutosha. • Kusawazisha mifumo ya utaalamu wa jadi na kisasa Teknolojia kunaweza kuongeza athari. Kwa mfano, mradi wa Mradi • Athari za teknolojia ya habari na mawasiliano wa Upanuzi wa Huduma za Afya Vijijini kwa ajili ya Msaada huongezeka kama teknolojia ni sahihi kwa mazingira ya wa Dharura umewakutanisha pamoja wakunga wa jadi na mahali husika. Kama ilivyoonyeshwa, uchaguzi wa wa kisasa na kuleta maelewano na imani kwa pande zote teknolojia ya habari na mawasiliano ulifanyika baada ya mbili kulioongeza huduma za afya ya mama. kuchambua kwa kina matatizo ya maeneo ya vijijini nchini Uganda. • Matumizi ya nishati ya mwanga wa jua kwa mfumo wa 1 Mkunga wa jadi ni mtu kutoka katika jamii asiyekuwa na mafunzo rasmi, lakini ambaye ana ujuzi wa tiba asilia aliopata kwa uanagenzi mawasiliano yangevinufaisha vitengo vya afya vijijini na hutoa huduma za kuzalisha akinamama, hutoa ushauri wa tiba ambavyo havina umeme. Kwa hakika, uchunguzi umepen- kwa afya ya familia kwa kutumia mitishamba na/au dawa nyingine za dekeza kuwa nishati ya mwanga wa jua itumike zaidi kutoa asili na utabibu. (Toka: National Traditional Birth Attendants’ curriculum for Uganda. MoH/Maternal and Child Health and Family mwanga katika wadi za uzazi/vyumba vya kuzalishia kwa Planning division. Kampala.) vitengo vya mwanzo vya rufaa. 2 Chanzo: UNDP (1988). Uganda Human Development report. • Muundo rahisi wa mfumo wa mawasiliano ya redio uli- 3 Wilaya ya Iganga ilikuwa na watu 706,476 ambao kati yao asilimia 52 walikuwa wanawake. Hii ilikuwa kabla Muyage haijatengana na saidia matumizi yake kulingana na watu wote waliohojiwa. Iganga mwaka 2000. Chanzo: Iganga District Planning department. Eritrea Kufutilia Mbali Desturi Mbaya Makala hii imeandikwa na Peter H. Wolff M.D., wa Chuo cha Udaktari cha Harvard, Boston MA 02115, Marekani. Kwa maelezo zaidi, baruapepe: wolff_p@tch.harvard.edu Ukeketaji wa wanawake hufanyika za tatizo hili kubwa kwa wanawake katika sehemu nyingi za Afrika na ili kupunguza matatizo makubwa ya kwingineko. Hasa kwa kawaida magonjwa kwa wanawake. Wakati hufanyika wakati wa utoto na una huo iligundulika kuwa tabia hii madhara makubwa sana ya kiafya, haikubaliani kabisa na juhudi za kimaumbile ya uzazi na uzazi kwa kuboresha hadhi ya kijamii ya wana- wasichana. Madhara huendelea wake katika jamii. kuwepo wakati wa kubeba mimba na Wataalamu wageni katika uwanja Tini za MA 41 kuendelea. Mara chache yamegundu- huu walipewa taarifa kuhusu tabia Februari 2002 lika matatizo ya kisaikolojia, unyan- ya ukeketaji wanawake miongoni yasaji wa heshima ya kijamii na mwa wahamahamaji wa Eritrea, na mitazamo binafsi ya wasichana na wengine huko ulaya waliosikia wanawake walioathirika na vitendo kuhusu tabia hizo walishtushwa na hivi vya jadi. haraka wakasisitiza kuwa ufyataji Ufyataji ambao kwa kawaida upigwe marufuku, adhabu kubwa hufanyika wakati wa utoto ni aina zitolewe kwa wale watakaoendelea mbaya zaidi ya ukeketaji wa wana- na tabia hii yenye kuleta madhara wake yenye kuleta madhara makub- makubwa. Wataalamu hawa wali- wa. Pia una madhara makubwa kwa shindwa kuelewa hatari ya uhusiano maumbile ya mwanamke na uzazi. baina ya majeshi ya ukombozi na Ufyataji umesambaa sana katika wananchi wa kawaida, au kuwa sera nyanda za chini za Eritrea, na husu- ya jumla ya majeshi ya ukombozi ku- san miongoni mwa wahamahamaji. unganisha nchi ilitegemea ushirikia- Wakati wa vita ya miaka thelathini no na uhusiano wa pamoja miongoni kwa ajili ya uhuru wa Eritrea, idara mwa sekta zote za wananchi. Watu ya utabibu ya majeshi ya ukombozi wengi toka nje walichukulia kuwa, ambayo haikuwatibu wapiganaji kwa wakati uliopo, kuwa kimsingi pekee bali pia wananchi wa kawaida wanaume ndio waliolazimisha uke- katika maeneo yaliyokombolewa, ketaji huu wa wanawake. Kihistoria, mara kwa mara iliwabidi kuwatibu tabia hizi mbaya sana bila shaka wasichana na wanawake wenye hiti- ziliendeshwa na wanaume kuwafan- lafu kubwa za sehemu za uzazi. yia wanawake, lakini baada ya karne Wengi wao walikuwa wamefanyiwa kadhaa wanawake wamesimilishwa ukeketaji. Hivyo tatizo lilijadiliwa umuhimu wa zoezi hilo kitamaduni, miongoni mwa wapiganaji kuwa kwa imani kuwa wanawake ambao hatua gani zichukuliwe ili kupungu- hawakukeketwa au kutahiriwa wali- 208 209 kuwa hatarini kuwa wazinzi au malaya. Ili kulinda zoezi liliachwa kabisa wakati wa vita, au hata baada ya heshima yao katika jamii, wanawake walisisitiza uke- vita. Tangu uhuru, Umoja wa Kitaifa wa Wanawake wa ketaji, na bado unaendelea kufanyika katika nchi nyingi. Eritrea hufanya ziara za mara kwa mara kwa Hivyo idara ya utabibu ya majeshi ya ukombozi ya wahamahamaji kuendeleza majadiliano haya kwa Eritrea ilipitisha uamuzi wa kupiga marufuku ukeketaji kuheshimiana na kushirikiana. Mtazamo wa jumla ni katika nyanda za chini au kutoa adhabu yoyote kwa wale kuwa tabia hii inaendelea kutokomea polepole. watakaoendelea na vitendo hivyo. Walitambua kuwa kujaribu kuukomesha kwa kutumia mabavu kutawatenganisha wananchi na kufanya zoezi kuendelea Taathari kwa siri. Badala yake, mikutano ya hiari iliitishwa Ufumbuzi wa haraka kwa ajili ya kukomesha tabia ya ambapo Wakunga wa Jadi ambao walikuwa raia wa ukeketaji wa wanawake (na pendekezo moja lililotolewa kawaida waliofanya kazi ya ukeketaji walialikwa na mshauri asiye rasmi toka nje) unaweza kuonekana kushiriki katika warsha zilizoendeshwa kwa mwezi kuwa ni kupiga marufuku zoezi hili na kuwaadhibu wale mzima na wauguzi na madaktari kwa hiari. Katika watakaoendelea na zoezi. Hata hivyo, kwa mtazamo wa warsha hizi wakunga wa jadi walipewa maelezo ya kina uhusiano dhaifu baina ya majeshi ya uhuru na wananchi kuhusu madhara makubwa ya papohapo ya kutokwa wa kawaida kwa hali yoyote isingekuwa sahihi kisiasa damu nyingi na maambukizi; na vilevile kuhusu madhara kuchukua hatua za kisheria kama hizo. Zaidi ya hayo, makubwa ya sehemu za uzazi, ongezeko kubwa la vifo vya zoezi lingeendelea kichinichini. Badala yake, majeshi ya watoto na akinamama, na mengineyo kama hayo. Pia uhuru yalitegemea akili na nia safi ya wakunga wa jadi walipatiwa kozi za mbinu za usafi wa kisasa, tiba za kurekebisha haraka tiba zao za uzazi, mara wanapopewa uzazi, n.k. Kama ilivyo kawaida warsha za Eritrea, taarifa muhimu za kitabibu inayohusu jinsi ya usambazaji wa habari ulifuatiwa na majadiliano makali. kuzirekebisha, na kuwaelimisha wananchi kwa vitendo Baadaye, wakunga wa jadi walirudi katika vijiji vyao. kuliko kwa amri. Njia hii pia imejenga msingi wa Ingawa hakukuwa na uchunguzi wa ufuatiliaji rasmi, kuendeleza elimu kwa wanawake itolewayo na wanawake ripoti fupi zilieleza kuwa kulikuwa na upungufu mkubwa baada ya uhuru—hatua ya ziada kuhakikisha kuwepo wa madhara mabaya ya ukeketaji wakunga walipotumia kwa usawa kwa wanawake. ujuzi wao. Hata hivyo, haikuweza kutegemewa kuwa Uchunguzi wa Mataifa Manne Kuendeleza Maarifa Asilia katika Nchi Zinazozungumza Kifaransa barani Afrika Ujumbe katikati ya 2001 ulikuwa na waandishi wa makala hii, Peter Easton (mshauri), Emanuel Nikiema (Mfanyakazi wa Benki ya Dunia, Ofisi ya Burkina Faso), na Suzanne Essama (Mfanyakazi wa Benki ya Dunia, Washington D.C.). Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana kwa baruapepe: sessama@worldbank.org Maarifa asilia yanaendeleaje na kuhu- fa asilia” (muscler le savoir local) hu- sishwaje katika sera ya maendeleo na pokea wanafunzi kutoka Afrika Ma- utekelezaji katika nchi zinazoongea gharibi kuhudhuria semina kuhusu Kifaransa za Afrika Magharibi na uwezo wa maarifa asilia na kufanya Kati? Matokeo ya ujumbe wa Benki ya utafiti wa awali—hasa katika kanda Dunia mwanzoni wa kiangazi 2001 ya kilimo ya Ofisi ya Niger—kuhusu kwa mataifa haya manne—Senegali, jinsi wakulima wenyeji walivyokubali Mali, Burkina Faso Faso na Cameroun njia za asili za urutubishaji wa mazao Tini za MA 42 —unatoa maelezo mafupi ya hali na uzalishaji wa mazao ya dharura Machi 2002 ilivyo kwa sasa. Maelezo haya kwa ajili ya biashara. yanatokana na kukutana na wenzao • Kituo katika maeneo ya vijijini nchi- wa sekta ya umma na binafsi ni Senegali huwakusanya pamoja waliohusika katika pande mbalimbali waganga wa kienyeji zaidi ya 400 za uhamasishaji wa maarifa asilia na kubadilishana mbinu na kujaribu mahojiano yaliyojitokeza, katika ufanisi wa utumishi wao na upimaji matukio mbalimbali kutokana na magonjwa kisasa. kukutana huku kwa awali. Hali katika • Wizara ya Utamaduni na Sanaa kila nchi ilikuwa tofauti—kazi ya nchini Burkina Faso hufadhili, kupitia historia yake yenyewe na changamoto “Kurugenzi yake ya Utamaduni na na fursa inazopata; bado kulikuwepo Urithi”, mfululizo wa majumba ya kufanana sana vilevile. Yote yamefafa- makumbusho kwa ajili ya kuhifadhi nuliwa kwa kifupi hapo chini. sanaa asilia na mpango wa mabaraza ya ujuzi wa wenyeji. • Mtafiti katika Taasisi ya Utafiti wa Wingi wa juhudi Mazao ya Asili nchini Cameroun amefanya utafiti chini ya ufadhili wa Mengi yanaendelea kuhusiana na OAU, utafiti wa ethobotania wa maarifa asilia katika nchi zote nne, matumizi ya jadi hifadhi kubwa mno kote katika sekta ya umma na isiyo ya ya mimea nchini. kiserikali na mashirika ya kijamii. Shughuli zinaongezeka katika nyanja Maarifa asilia kwa sasa yanaone- nyingi za maendeleo: afya, kilimo, eli- kana kuwa mada nyeti. Kuna vyanzo mu, usimamizi wa maliasili, masuala vya ufadhili, binafsi na vya misaada ya utamaduni. Mifano michache: toka nje, kwa ajili ya utafiti na juhudi • Shirika lisilokuwa la kiserikali lime- katika eneo hili, na inazidi kuwa sahi- jitolea “kuongeza misuli katika maari- hi kisiasa kuidhinisha juhudi kama 210 211 hizi. Haya hufanyika kwa nchi nzima. Wizara ya Utama- zoambatana na uhamasishaji wa ujuzi wa lugha za Afrika duni nchini Mali siku za karibuni iliendesha mkutano wa katika nchi za pwani zenye mamia ya lugha za Kiafrika kimataifa wa wawindaji wa jadi na “viongozi wa koo” (chefs kuliko katika nchi zilizo ndani au za Sahara zenye idadi de la brousse) kutoka nchi kadhaa za Afrika Magharibi ku- ndogo zaidi ya lugha na lugha chache za mawasiliano jadili njia za asili za kuhifadhi maliasili; na Shirika lisiloku- mapana. Cameroun, kwa mfano, lazima itumie lugha rasmi wa la kiserikali la PROMETRA (Promotion des medicines (Kifaransa—Kiingereza) na lugha mbalimbali za Kiafrika traditionnelles au “Promotion of Traditional Medicine”) na hivyo bado inapambana na sera zake kuhusu matumizi nchini Senegali limeungana na mashirika mengine kama ya lugha hizo katika mfumo wa elimu. hilo au kuunda matawi ya aina yake katika nchi nyingine kumi na mbili za Afrika. Ni wazi kwamba juhudi nyingine Kwanini rekodi hii ya maendeleo yasiyokuwa na usawa? zozote zilizoanzishwa katika nchi hizi lazima zizingatie kwa Miundo ya maendeleo iliyotawala muda mrefu ni vigumu makini kuwa kitu mambo gani yameshafanywa na kuhusu kuibadili, ni kweli, na jinsi uwanja unavyokuwa wa kiufun- mafunzo yaliyopatikana kutokana na zoezi hilo hadi leo. di zaidi ndiyo unavyofungwa zaidi katika kanuni za kima- taifa za taratibu na ufanisi. Hivyo maarifa asilia kimsingi ni jambo ambalo balagha na utendaji hujaribu kuachana kiasi Maendeleo yasiyo sawa fulani: kila mara kuna mchezo wa kisiasa kuipitisha lakini Umaarufu mkubwa wa maarifa asilia kama bango kwa ajili gharama ya kweli ya kisiasa kufanya jambo kamili kuihusu. ya utekelezaji, na ufadhili, huvutia watu wengi wenye Lakini kuna sababu nyingine zilizo hai kwa maendeleo tamaa na wachangiaji kuwa hoja za kujaribu matokeo ya yasiyolingana. ASIZE hutoa maabara nzuri kwa ajili ya uwandani ni njia muhimu kwa ajili ya kutambua utendaji kuchunguza njia za uvumbuzi kabla ya kujaribu kuingiza bora na kutenganisha ngano na pumba. Hata hivyo njia zenye mafanikio na sahihi zaidi kati yao katka sera za tathmini kama hiyo bado haijawa sheria. umma; hivyo inashangaza sana kuwa juhudi mpya zinaan- Hata hivyo, kuna ongezeko la wingi wa mambo katika zia pale. Katika muktadha wa tamaduni nyingi, maarifa uwanja wa maarifa asilia katika nchi zote nne zilizotembe- asilia ya nani yapewe umashuhuri ni swali gumu, kama lewa, lakini kunabakia kuwepo maendeleo yasiyolingana lilivyo suala la lugha ipi au zipi za Kiafrika zitafikia hadhi katika baadhi ya masuala. ya kuwa lugha rasmi. Kuna sababu nzuri za kuendeleza • Mbali na uanzishaji wa Wizara za Utamaduni (kama taratibu na maamuzi kama hayo. huko Mali na Burkina Faso), ongezeko la shughuli linabakia Tokeo moja la maendeleo haya yasiyo sawa ni kukosa katika mashirika yasiyo ya kiserikali na sekta ya kujitolea. mshikamano na mawasiliano katika “sekta ya maarifa Ukuzaji wa maarifa asilia mara chache huwa sehemu ya asilia.” Washiriki katika uwanja mmoja hawajui wanacho- sera au shughuli za mashirika ya umma. Nchini Senegali, fanya walio katika uwanja mwingine, kuna viwango vicha- kwa mfano, majaribio yote ya dawa ya asili yalifanyika chini che vinavyokubalika kwa kazi, na kuna ushindani mkubwa. ya ufadhili wa mashirika binafsi, na watetezi wao walipata Hii si mbaya hata kidogo, hata hivyo. Wingi wa juhudi anga- mafanikio kidogo ya kuuridhisha mfumo mkuu wa utabibu lau husaidia kupatikana kwa mawazo mapya na huunda katika juhudi kama hizo. njia mbalimbali ambazo uzoefu unaweza kusaidia • Pia kuna tofauti kubwa kati ya kile kinachoweza kuitwa kuzichuja. sekta “ngumu” na “rahisi” za maendeleo. sehemu kubwa ya juhudi za Maarifa Asilia zimekuwa zikifanyika katika uwanja wa huduma za jamii kama vile afya, utamaduni na Kutambua aina mbalimbali za MA elimu. Kuna baadhi, ingawa chache, katika kilimo. Okeo moja la ongezeko la uzoefu wa kuendeleza maarifa Nyingine hutoka katika uwanja wa maendeleo ya jamii kue- asilia katika nchi nne zilizotembelewa ni ongezeko la usta- lekea katika ukandarasi, fedha na sekta nyingine za maen- arabu wa kuelewa maana mbalimbali na matumizi ya ma- deleo ya kiufundi, watu wachache wanaweza kupatikana arifa asilia. Kikundi kilichofanyiwa mahojiano nchini Sene- wanaoelewa jukumu la Maarifa Asilia au wako tayari gali kilitoa huenda tathmini iliyo wazi zaidi ya fafanuzi kuyazingatia. Usimamizi wa maliasili huchangia labda mbalimbali na zinazokamilishana za maarifa asilia ambao upekee unaoonekana. sasa umejumuishwa uwanjani. Walitofautisha njia tatu • Matumizi ya lugha za Kiafrika kwa masuala mengi mbadala: yanahusiana kwa karibu na juhudi za kurekodi, kuende- • Maarifa Asilia kama urithi kutoka zamani utakaohi- leza, na kuhusisha ujuzi wa wenyeji; lakini utekelezaji kwa fadhiwa kwa makini na kuheshimiwa—njia inayoonyesha hali hii hutegemea kukubalika kwa masuala mengine ya heshima kuu kwa busara zilizojaa za vizazi vilivyotangulia sera. Kawaida ni vigumu zaidi kupitisha sera zina- 212 Tini za MA 42 hivyo vimeelezwa kwa msisitizo mkali katika maneno maa- wakala ambao wana malengo haya lakini wana athari rufu kutoka kwa Amadou Hampate Bâ, “kila mara anapo- ndogo kwa sera katika sekta za “kazi” za maendeleo. Katika fariki mzee ni kama vile maktaba imeungua na kuteketea.” ngazi ya taifa, inaweza kuwepo wizara au wakala • Maarifa Asilia kama uingizaji wa mtindo tofauti na hasa anayejishughulisha na utamaduni, hata hivyo akifanya kazi wa Kiafrika wa mawazo—“epistemolojia” ya kiafrika ni katika hewa bila kuwa na athari katika masuala ya utendaji njia ya kufikiria upya mbinu za maendeleo katika maeneo wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Katika mashirika ya kama afya, kilimo, na usimamizi wa maliasili. Watetezi wa misaada, programu kwa ajili ya uhamasishaji wa maarifa njia hii wanaeleza kushindwa kwa methodolojia za asilia zinaweza kushamiri lakini hukingamana kidogo na maendeleo kama ushahidi wa haja ya dhana mpya zilizoto- ofisi kuu zinazopanga sera za misaada na utekelezaji. kana na urithi wa utamaduni wa watu zamani. Kukatisha hapa inabakia changamoto kuu. Vipimo vinne • Maarifa Asilia kama njia na utaratibu kwa ajili ya kue- vya shughuli vinaelekea kuwa muhimu hasa: leza yale wenyeji wanayoyajua, na kuwahusisha katika ku- • Kuhamasisha ushirikishaji wa maarifa asilia katika buni maarifa yanayotakiwa kwa ajili ya maendeleo, na hiv- miradi ya maendeleo kupitia taratibu zilizo wazi zaidi kwa yo kuyapokeza katika vizazi vijavyo yale mazuri ambayo kuwahusisha watendaji wenyeji katika kubuni mbinu za kizazi kilichopo kinaweza kutoa. Watetezi wa njia hii wana- uingiliaji kati na mbinu za kutoa maamuzi. Katika masuala sisitiza kuwa maarifa asilia ni suala la kuwawezesha waten- mengi, hii humaanisha kusimamia ushiriki na viwango vya daji wenyeji kuzalisha maarifa mapya—yanayotegemea uri- hatua za utafiti kuwa taratibu za uendeshaji katika thi toka siku za nyuma na tathmini kwa macho makavu mashirika ya maendeleo. changamoto za sasa—kama moja ya njia rahisi ya kuo- • Kuendeleza, kuandaa na kusambaza rasmi zana na rodhesha na kuhifadhi tamaduni zilizorithiwa toka zamani. mbinu kwa njia hii ya ushiriki ua wenyeji katika maendeleo. • Kufanya shule za ndani ya nchi kuwa kitovu cha Muungano wa haya mambo matatu unaelekea kuwa na kukusanyia maarifa asilia na mahali pa kukutana baina ya uwezekano mkubwa sana wa kuchochea heshima kubwa ya wakala wa maendeleo na watendaji wenyeji katika maarifa asilia. Lakini mifano ni michache, ingawa watu kujadiliana vitega uchumi na juhudi zinazoyahusu. wanaotumia huzidi kuonyesha matumaini tofauti. • Uundaji, majaribio na utumiaji wa zana na njia kwa ajili Washiriki wetu katika mazungumzo wameongelea kuhusu ya mafunzo ya wafanyakazi wa maendeleo kabla ya “kurejelea” au kuwa na “kutafuta msaada” katika maarifa kuajiriwa na walio katika ajira ambayo huwachochea asilia katika kujenga mitindo mipya kwa maendeleo, kuliko kutumia kwa mapana maarifa asilia na kuwasaidia kuibana. Wengi walihamasika, zaidi ya hayo, katika kugundua njia za kuunganisha mapya na ya zamani. manufaa ya njia ya tatu, ambayo hufanya maarifa asilia kuwa utaratibu hai, kuliko kuwa suala la diwani na Ni dhahiri kuwa mikakati lazima iandaliwe nchi hadi makumbusho, na kuyafunga katika ajenda ya ushiriki na nchi, ingawa huambatana na njia nyingi za mabadilishano ugawaji majukumu kwa watu. ndani ya taifa. Hatua ya kwanza ya maendeleo inaweza kuwa uchambuzi wa “tathmini ya sekta” au état des lieux unaofanywa na watafiti wa taifa ili kuorodhesha na Kujenga kiungo kinachokosekana kulinganisha juhudi mbalimbali zinazofanyika katika nchi husika na yale yanayojulikana katika matokeo yake. Hii Mabadiliko yanaelekea wapi katika nchi hizi nne? Zipi ni itasaidia kama utangulizi na vigezo vya kutoa kipaumbele changamoto kuu zinazowakabili watetezi? “Kiungo” juhudi za siku zijazo. Wizara za serikali na mashirika kikubwa kabisa kinachokosekana katika maeneo yote wahisani lazima yawe sehemu ya uchunguzi huu makini, yaliyotembelewa ni kutokuwa na uwezo au fursa ya ambao utahitaji vilevile “ukaguzi wa hesabu” wa sera zao “kuingiza” matokeo ya juhudi za maarifa asilia katika sera kwa kutegemea ushiriki wa wenyeji katika kupanga na taratibu zinazoongoza maendeleo ya wenyeji, kusogea maendeleo na matumizi ya maarifa asilia. toka katika mikutano ya kufurahisha kufikia kutia moyo Katika nchi zote nne, maarifa asilia ni uwanja wenye utafiti wa mabadiliko halisi katika sera na viwango vya ongezeko la shughuli na uwezekano mkubwa. Kwa wakati utendaji. mmoja ni uwanja ambao msaada toka kwa jamii ya Hali inaonekana katika nchi zote zilizotembelewa na wahisani unaweza kusaidia sana kuimarisha juhudi zilizopo katika mashirika ya misaada kama vile Benki ya Dunia. na “kupembua” juhudi zinazoleta matumaini zaidi kutoka Masuala ya maarifa asilia kama yangetambuliwa mara kwa katika nyingi zinazofanyika, lakini ambapo maamuzi ya mara wakati huu kuliko siku za nyuma, yanaelekea sera za nchi wenyeji lazima mwishoni yaongoze kanuni. yangeweza kutenganishwa katika huduma mahsusi au Maonyesho ya Mbegu Kusini mwa Tanzania Makala hii imeandikwa na O.K.K. Mponda (Mzalishaji Mbegu na Mtafiti Mwandamizi, Maonyesho ya Mbegu Kanda ya Kusini, ARI Naliendele, Mtwara) na E.M. Kafiriti (Mchumi wa Kilimo, Oilseeds Research Programme, ARI Naliendele, Mtwara), Chuo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele, P.O. Box 509 Mtwara, Tanzania, Faksi Na. 255 23 334023; baruapepe NARI@RAHA.COM Kwa nini maonyesho ya mbegu Maonyesho ya mbegu katika vijijini kanda ya kusini? maeneo ia vijijini kwenye Kanda ya Kusini yana malengo yafuatayo: Uzalishaji mdogo wa mazao ya kilimo ni miongoni mwa sababu Malengo ya muda mfupi zinazopelekea kuwa na mapato • Kujenga utambuzi wa na upatika- kidogo na upungufu wa chakula kwa naji wa mbegu za ziada mbadala na wakazi wa vijijini katika Kanda ya vifaa vya kilimo kutoka katika vyuo Kusini mwa Tanzania. Matumizi ya Tini za MA 43 vya utafiti, kampuni za mbegu na mbegu bora ni njia mojawapo ya wakulima; Aprili 2002 kuongeza uzalishaji wa mazao ya • Kuwawezesha watafiti, wakala wa kilimo. Ilionekana kuwa usambazaji vitengo na wakulima kukutana na wa mbegu kutoka katika mikoa kubadilishana mawazo kuhusu mi- inayozalisha mbegu katika Kanda ya kakati yao, ujuzi wanaotumia katika Kusini ulikuwa hauendi kwa mtiriri- kuendeleza mbegu na aina zake na ko mzuri kwa kiasi fulani kutokana kuuza na kubadilishana mbegu; na na miundombinu iliyopo katika kan- • Kujenga mawasiliano ya kikazi da. Katika Muundo wa kawaida wa kati ya wakulima wataalamu wa Uhamishaji wa Teknolojia, utaratibu mbegu, wakala wa vitengo, wazali- wa usambazaji wa mbegu huanza shaji/watafiti na wazalishaji mbegu kwa utafiti ambapo kazi ya uzalishaji wa taifa. Mawasiliano haya ya kikazi hufanyika na kuishia kwa wakulima yanaweza kusaidia kuboresha yaliyo- ambao hupata bidhaa ya mwisho ya po katika vitengo na kuanzisha mbe- mbegu bora/aina tofauti. Vyanzo gu mpya/mpango wa kuendeleza aina mbalimbali vya Mifano ya Uvumbuzi mbalimbali za mbegu ikiwa ni pamo- hutambua mchango wa mfumo usio ja na juhudi za ziada vijiji na ushiri- rasmi wa uzalishaji mbegu. Hivyo, kiano kati ya watafiti na wakulima inadaiwa na wataalamu wa maende- kwa ajili ya maendeleo ya teknolojia. leo kuwa wataalamu rasmi na wasio rasmi wa maendeleo ya mbegu/aina Malengo ya muda wa kati mbalimbali wanaweza kukamilisha- • Kujenga utambuzi na upatikanaji na na kuboresha usambazaji wa wa mbegu mbadala na mbalimbali za mbegu bora kwa wakulima vizuri ku- mazao yaliyozalishwa katika Vyuo liko juhudi za kila mtaalamu peke vya Utafiti vya Taifa, kampuni za yake. 213 214 Tini za MA 43 mbegu na mifumo ya uzalishaji mbegu unaofanywa na mbegu huuzwa au kubadilishwa kwa wakulima ambao wakulima katika kanda ya kusini. hupenda kuzijaribu katika mashamba yao. • Kuhamasisha wakulima kuzalisha mbegu zao wenyewe Kueneza utambuzi kuhusu maonyesho ya mbegu, na mfumo wa kubadilishana kiasi kwamba juhudi rasmi, matangazo ya redio hutolewa wiki 2-4 kabla ya tukio na kwa kujazia njia rasmi za biashara, pia kuzidi kuendelea hufanyika matangazo ya moja kwa moja siku ya sherehe. kuwezesha mifumo asilia; na Wakulima katika vijiji vilivyochaguliwa huandaa • Kuunga mkono maelewano baina ya uendelezaji wa vibanda kwa ajili ya maonyesho ya mbegu. Pia huandaa mbegu rasmi/uzalishaji mbegu na wakulima katika ngoma za asili kwa ajili ya siku ya ufunguzi wa maon- mbegu zao ya ziada/uendelezaji wa aina za mbegu. yesho ya mbegu kuwaburudisha washiriki na kuyafanya maonyesho ya mbegu kuwa hai. Ili kuratibu maonyesho Malengo wa muda mrefu ya mbegu katika ngazi ya wilaya, kamati mbalimbali • Kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo, upatikanaji wa huundwa, k.m. kamati ya ujenzi, kamati ya chakula, chakula na mapato kwa wanavijiji katika kanda ya kusini. kamati ya utamaduni, na kamati ya ulinzi na usalama. Halmashauri za Wilaya hutoa maafisa wa vitengo pamoja na fedha kwa ajili ya kuhudhuria na kushiriki Maandalizi na utekelezaji wa maonyesho ya mbegu katika maonyesho ya mbegu. Pia hutoa wataalamu wa mbegu pamoja na chakula na usafiri kwenda na kutoka Kwa kipindi cha miaka ya 1997–1999, maonyesho ya katika uwanja wa maonyesho. mbegu yaliandaliwa na kuendeshwa na Chuo cha Utafiti Maonyesho ya mbegu huendelea kwa siku mbili katika wa Kilimo, Naliendele na Halmashauri za Wilaya msaada kila kijiji kilichochaguliwa. Wakuu wa Wilaya hualikwa wa fedha ukitoka FINIDA katika Misaada ya kufungua maonyesho ya mbegu. Maonyesho huanza jioni Mchanganyiko wa Miradi Vijijini (Rural Integrated kwa ngoma za asili. Na kuanzia saa moja jioni hadi saa Project Support [RIPS]). Hata hivyo, tangu mwaka 2000, nne usiku, wakulima huonyeshwa picha za video kuhusu Halmashauri za Wilaya zimekuwa zikigharamia teknolojia mbalimbali za kilimo. Maonyesho halisi ya maonyesho ya mbegu vijijini. mbegu huendelea kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa Kabla ya kila onyesho la mbegu, uchunguzi wa 11.00 jioni baada ya hapo maonyesho ya mbegu huhamia kitaalamu wa mbegu za mkulima hufanyika na mahali pa katika kijiji kingine kilichochaguliwa katika wilaya kufanyia maonyesho ya mbegu huchaguliwa na kila nyingine. Katika siku ya maonyesho ya mbegu, mbali na wilaya. Wataalamu wa mbegu za wakulima ni wale maonyesho ya mbegu, maonyesho hufanyika kuhusu wakulima ambao katika jumuia yao wanachukuliwa kuwa upandikizaji, uzalishaji wa zana za kilimo, n.k. Watafiti wataalamu katika baadhi ya mazao kwa kutumia uzoefu hurekodi maarifa ya wataalamu wa mbegu kwa kuandika, na ambao husambaza mbegu kwa wengine. Wakulima kupiga picha na mikanda ya video. Ushiriki wa hawa hualikwa kufanya maonyesho wakati wa maonyesho wanasiasa, watafiti, vitengo, wakulima, na wauzaji ya mbegu. Wakulima ambao hawakutambuliwa kama binafsi wa mbegu hujenga mawasiliano kikaza na hivyo wataalamu pia huruhusiwa kuhudhuria na kushiriki bure. kuboresha uhusiano miongoni mwa wadau. Wanaweza kuleta mbegu, maarifa asilia na kuwaonyesha wengine. Uwanja wa maonyesho ya mbegu huchaguliwa na wilaya kwa kuzingatia ubora wa eneo kwa uzalishaji wa Uendelevu wa maonyesho ya mbegu kilimo, upatikanaji wa malazi, kufikika kwa urahisi na kuwe katikati ya vijiji vingine ili wakulima kutoka vijiji Maonyesho ya mbegu ya Kanda ya Kusini yalianza vya karibu waweze kuhudhuria maonyesho. mwaka 1997 katika vijiji vitatu vya Marambo huko Chuo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele kilikuwa kiki- Nachingwea, Mbonde huko Masasi na Kitangari katika saidiwa fedha na RIPS kununua mbegu bora kutoka sehe- Wilaya ya Newala. Mwaka 1998, maonyesho ya mbegu mu mbalimbali nchini—hususan kutoka vyuo vya utafiti, yalipanuliwa na kuhusisha Halmashauri za Wilaya tisa za kampuni za mbegu, maduka ya Chama cha Wakulima Kanda ya Kusini na mwaka 1999 yalifanyika katika Tanzania na baadhi ya mbegu ambazo ni vigumu kuzipata Halmashauri za Wilaya kumi. Ili kuendeleza maonyesho kutoka kwa wakulima. Sampuli ndogo za gramu 5-200 za ya mbegu vijijini katika kanda, kuanzia mwaka 2000 aina zote za mbegu za mazao mbalimbali ikiwa ni pamoja Halmashauri za Wilaya zilishauriwa, kama ilivyoelezwa na nafaka, jamii ya kunde, mbegu za mafuta, mazao ya awali, kuchukua nafasi ya uongozi katika maandalizi ya mboga na matunda na mbegu za miti hukusanywa na maonyesho bila msaada toka RIPS, na Chuo cha Utafiti kufungashwa katika pakiti ndogondogo. Pakiti hizi za wa Kilimo Naliendele kichukue nafasi ya uratibu. 215 Mafanikio ya maonyesho ya mbegu • Ukulima wa maharage umeanzishwa katika Kata ya Chilangala likiwa kama zao mbadala la biashara/chakula. • Ongezeko la utambuzi wa mbegu bora na upatikanaji wa mbegu kwa wakulima. Wakulima kwa sasa wanahitaji mbegu za ubora unaofaa. Tofauti kati ya maonyesho ya kilimo na maonyesho ya • Maonyesho ya mbegu yameonyesha kuwa wakulima mbegu wana mbegu bora walizozalisha wenyewe, ujuzi na maarifa ambayo yanaweza kuandikwa, kusambazwa na kuuzwa. Kumekuwepo maswali kuwa kwa nini maonyesho ya • Maonyesho ya mbegu yamekuwa zana muhimu ya mbegu vijijini yasichanganywe na Maonyesho ya Taifa ya uhamishaji wa teknolojia kutoka katika utafiti kwenda Kilimo Nanenane (tukio la kitaifa katika kila wilaya na kwa wakulima. ngazi ya Taifa) ili kupunguza gharama. Sababu • Zaidi ya aina sabini za mazao kuanzia nafaka, mimea ja- zimefupishwa hapo chini. mii ya kunde, mboga na mbegu zinazotoa mafuta zilizoza- Kuelewa tofauti hizi ni muhimu sana kwa sababu lishwa katika mfumo rasmi zimeweza kuwafikia wakulima. sehemu kubwa ya wakulima nchini Tanzania ni • Maonyesho ya mbegu yamesaidia kuongeza ufahamu wakulima wa mazao ya chakula, wakulima wa kiwango miongoni mwa watafiti na vitengo kuhusu mbegu za kidogo ambao wanaweza wasifae kwa maonyesho ya kienyeji na yamewasaidia kupata maarifa ya wenyeji kilimo. Wakulima wa mazao ya chakula hulima mazao kuhusiana na mazao. mbalimbali kwa ajili ya kupata uhakika wa chakula. • Maonyesho yameonyesha jinsi mazao yanavyoweza Maonyesho ya kilimo yanaelekea kuandaliwa kwa ajili ya kulindwa kutokana na uharibifu wa kijenetiki; hivyo, wakulima walioendelea na wanaolima kwa ajili ya inawezekana kuokoa aina fulani za mbegu ambazo biashara. Inaelekea kuwa hata wakulima maskini kabisa zingeweza kupotea katika eneo/kijiji kimoja kwa kuzipata wanaweza kufaa kushiriki katika maonyesho ya mbegu. toka kwa wakulima wengine. Maonyesho ya mbegu vijijini yanatia moyo ushiriki wa • Maonyesho ya mbegu yameongeza majadiliano kuhusu wakulima wasiokuwa na rasilmali ya kutosha katika masuala ya mbegu katika kanda na kusaidia juhudi za hifadhi ya rasilmali ya jenetiki ya mazao ambayo kanda kuongeza uzalishaji wa mbegu. huchangia uhakika wao wa chakula na njia za maisha • Chuo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele kwa sasa vijijini. Hii, hata hivyo, huwawezesha maskini wa vijijini kinawaunganisha watu binafsi, vikundi vya wakulima na hujenga kujiamini katika maarifa yao na rasilmali watafiti, vyuo vya ndani ya nchi kuzalisha mbegu za aina asilia ya jenetiki ya mimea. zinazopendekezwa kama vile mbegu zinazotoa mafuta. Maonyesho ya kilimo Maonyesho ya Mbegu Vijijini • Wafanyakazi wa vitengo hushawishi kwa kile kinachoonyeshwa. • Wakulima huamua nini cha kuonyesha. • Hudharau maarifa asilia na utamaduni wa kimapokeo. • Huhamasisha maarifa asilia na utamaduni wa kimapokeo. • Huonyesha mafanikio kutokana na utafiti rasmi tu. • Huonyesha mafanikio kutokana na utafiti na mfumo wa mbegu • Ulinganifu ni suala linalozingatiwa unaomilikiwa na wakulima. • Husisitiza ongezeko la uzalishaji. • Wingi wa aina za mazao ni tatizo kuu. • Huwashauri wakulima kutumia njia bora zaidi. • Husisitiza uhakika wa chakula. • Huonyesha mazao na wanyama. • Hufuatilia upatikanaji wa mbegu za aina mbalimbali. • Hushauri kulima mazao ya aina moja. • Msisitizo umewekwa katika mazao ya chakula. • Kilimo cha biashara husababisha kuharibika kwa jenetiki ya mbegu. • Huwapa moyo wakulima kulima mazao mengi. • Baadhi ya mazao madogo hudharauliwa. • Hulinda mazao kutokana na uharibifu wa kijenetiki. • Hufanyika baada ya mavuno ya mazao mwezi Agosti. • Mazao madogo ambayo yanaweza kuwa na sifa za dawa hushauriwa • Lengo kuu ni kuonyesha mafanikio rasmi ya kisayansi kuwa yaonyeshwe. • Huhamasisha rutuba ya udongo kwa kulima mazao mengi yenye mahitaji tofauti ya virutubisho, baadhi yao husaidia kuongeza rutuba ya udongo. • Hufanyika mwanzoni mwa mvua za msimu. • Lengo ni kuboresha usambazaji wa mbegu zilizozalishwa kutokana na utafiti na mbegu zilizozalishwa na wakulima vijijini. Uganda Mchango wa Mbogamboga kwa Uhakika wa Chakula cha Kaya Makala hii imeandikwa na E.B. Rubaihayo, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Kawanda, P .O. Box 7065, Kampala, na ilichapishwa kwa mara ya kwanza katika Jarida la Sayansi ya Mazao la Afrika, Kumbukumbu za Mkutano wa Mazao barani Afrika, Kitabu. 3, uk. 1337-1340. Toleo hili limehaririwa kidogo na kuondolewa ufupisho wa Kiingereza na Kifaransa. Juhudi nyingi zimefanywa na Seri- A, B na C, protini na madini kama kali ya Uganda kuzalisha chakula vile chuma, kalisi, fosforasi, aidini na cha kutosha watu wa Uganda na florini kwa viwango tofauti lakini ziada kwa ajili ya kusafirisha nje. vinavyotosha kwa ajili ya ukuaji na Hata hivyo, mboga asilia, mara afya ya kutosha. Kwa mfano, vitami- nyingi hujulikana kama mboga za ni A mbayo huhitajika kuzuia upofu kienyeji, zimekuwa zikidharauliwa hasa kwa watoto hupatikana katika kwa kupendelea mboga za kigeni mboga zote za kienyeji za kijani Tini za MA 44 zilizoletwa nchini (Rubaihayo, 1995). kilichokoza kama vile Amaranthus Mei 2002 Hivyo, nafasi ya mboga za kienyeji (dodo), Solanum aethopicum (naka- bado haijazingatiwa. ti), Manihotesculenta (majani ya mi- Mboga za kienyeji huharibika ha- hogo) na Ipomea batatas raka, hutoa mazao kidogo na thama- (majani ya viazi vitamu). Kwa ni yake kama mazao ya biashara upande mwingine mboga za majani bado haijachunguzwa. Hata hivyo, kama vile Solanum indicum subsp. sehemu kubwa ya wakulima wenyeji Ditichum (Katunkuma) zinaaminika hawawezi wakati wote kuzalisha kudhibiti shinikizo la damu. Hivyo, mboga za kisasa kwa sababu ya kuto- mboga za kienyeji, zina virutubisho patikana kwa mbegu na/au gharama vya protini na kalori muhimu hasa kubwa za uzalishaji wa mboga hizi. kwa watoto, wagonjwa, wazee, kina- Bahati mbaya, watu maskini kifedha mama wajawazito na wanaonyonye- waishio mijini na vijijini kila mara sha (FAO, 1988). Bahati mbaya, hupata shida ya kununua mboga za wateja bado hawajahamasishwa kisasa katika masoko ya wenyeji kwa kutambua nafasi ya mboga za kien- sababu ya gharama kuwa kubwa. yeji kukidhi mahitaji yaliyotajwa Hivyo, hutegemea mboga za kienyeji hapo juu. kama mboga za kawaida au supu ina- Sehemu kubwa ya mboga za yotumika pamoja na chakula kikuu kienyeji huzalishwa katika nchi zote kama vile mahindi, mihogo, viazi zinazoendelea hasa katika bustani za vitamu, ndizi, serena, mtama na via- nyumbani. Kwa sababu ya umuhimu zi vikuu (Rubaihayo, 1994). Vyakula wa bustani hizi, Warsha ya Kimatai- vikuu hutoa kalori zinazohitajika fa kuhusu Miradi ya Bustani za Kaya kwa ajili ya nguvu ya mwili lakini ilifanyika Bangkok, Thailand mwezi vina upungufu mkubwa wa virutubi- Mei 1991 kuunganisha mafunzo sho vingine wakati mboga za kienyeji waliyojifunza kutokana na uzoefu wa zina virutubisho vingi. Zina vitamini miradi ya bustani za kaya. Warsha 216 217 ilichambua uhusiano na ufanisi wa uzalishaji wa chakula mimea wakati wa msimu wa mvua. Katika nchi nyingi cha kaya kama uingiliaji kati maendeleo, uliolenga watu zinazoendelea, ambapo bustani hizi ni nyingi, mchango wa wote wasiokuwa na uwezo wa lishe na kiuchumi na kilimo cha bustani za mboga za asili kama mkakati wa kupanga mikakati ya utekelezaji inayofaa ya bustani za uzalishaji wa chakula umekuwa hautiliwi maanani na kaya (Midmore et al., 1991). watunga sera na wafanyakazi wa vitengo kutokana na Lengo la makala haya ni kuwadokeza wapanga sera na kuzingatia mboga za kigeni ambazo huzalishwa kwa wasimamizi wa maendeleo wakague upya na kuweka malengo ya kibiashara (Rubaihayo, 1994). Bahati mbaya, uzito zaidi katika uzalishaji na matumizi ya mboga za kaya maskini vijijini hazinufaiki na ongezeko kubwa la kienyeji uliosahauliwa ili kuongeza lishe, uzalishaji wa uzalishaji kibiashara wa mboga za kigeni kutokana na mapato na uhakika wa chakula kwa kaya zenye uwezo gharama kubwa za pembejeo za kilimo zinazohitajika kwa mdogo. Mawazo yaliyotolewa katika makala haya ni ajili ya ufanisi katika uzalishaji wake. Hivyo, ni muhimu matokeo ya usaili wa watu kadhaa kutoka nchi nyingi sana kubuni mikakati ya utafiti na uzalishaji ambayo moja ikiwa ni pamoja na Uganda, Ethiopia, Kenya, Tanzania, kwa moja huwawezesha watu maskini zaidi kuzalisha si Zimbabwe, Zambia, Rwanda, Cameroun, Nigeria, Ghana, mboga za kienyeji pekee bali pia mazao ya chakula. Côte d’Ivoire, Gaboni, Senegali, n.k. ingawa Uganda Ingawa mchango wa bustani hizi kwa ustawi wa familia imeangaliwa kwa undani zaidi. ni wa ziada, michango ya wastani kama hii ni muhimu Bustani ndogo. Bustani ndogo ni maarufu zaidi mijini na sana kwa wale wenye mapato madogo sana vijijini na pembezoni mwa miji. Kwa kawaida huwa vipande vidogo mijini. Watu hawa maskini mara nyingi huweza kupata vya shamba ambavyo hupandwa mboga za asili na huwa ardhi ndogo yenye rutuba kidogo sana na wengi wana sehemu ya bustani ya nyumbani. Mboga huzalishwa kwa vipande vidogo sana vya ardhi. Ukulima wa bustani urahisi katika bustani hizi kwa kutumia mbolea ya samadi ndogo na kubwa kwa wingi unaweza kuigeuza ardhi hii badala ya mbolea za viwandani (Midmore et al., 1991). kuwa chanzo cha uzalishaji wa chakula na uhakika wa Mboga za kienyeji ambazo kwa kawaida hupandwa ni kiuchumi kwa kutumia maelekezo ya taratibu za kilimo pamoja na interalia yenye majani, jamii ya Amaranthus, na mboga za asili ambazo zimezoelewa na wenyeji. Basellalba, Solanumaethiopicum, Solanum gilo, Solanum Umuhimu wa mboga za asili. Sehemu kubwa ya watu indicum sub sp distchum, jamii ya Capsicum, Colocasia- wa Uganda hawatumii kiasi cha kutosha cha mboga za esculenta, Phaseolus vulgaris, Gynendropsis gynandra, majani kukidhi mahitaji yao ya kila siku ya vitamini, Vigna unguiculata, Bidens pilosa, Manihot esculenta, madini na protini. Hata kile kinacholiwa kina sehemu Corchorus olitoris, Solanum nigrum, Abelmoschum escu- kubwa ya virutubisho hivi kilichoharibiwa wakati wa lenta, Cucurbita maxima, na Acalipha biparlita. Mboga za mapishi. Kuna mapungufu katika ufanisi katika kigeni kama vile Brassica oleracea, B. Oleracea na Daucus kuhakikisha uhakika wa chakula kwa mwaka mzima carota pia hulimwa sana. Mavuno ya baadhi ya mboga kutokana na ukweli kwamba mboga asilia chache sana mbichi nchini Uganda yameonyeshwa katika chati 1. hulimwa, na nyingi zaidi hukusanywa kutoka msituni au Bustani kubwa. Bustani kubwa hupatikana vijijini. mashambani na kwenye mashamba makubwa. Katika Bustani hizi huwa na eneo kubwa kuliko bustani ndogo baadhi ya mifumo ya kiekolojia huonekana kama nyasi na na mboga nyingi huchanganywa na mazao mengine ikiwa mara nyingi hufyekwa na hazipatikani katika msimu wa pamoja na matunda, mboga za majani, mimea inayotoa ukame (Rubaihayo, 1994). Lakini hali hii inaweza dawa, mazao ya chakula na miti ya vivuli. Bustani kubwa kubadilishwa kwa juhudi za pamoja za serikali kuelimisha katika vijiji vinavyozunguka miji hupandwa kabichi, watu na upanuzi wa huduma kushughulikia mboga za koliflawa, karoti, Amaranthus lividus (zinazoota katika asili na kuongeza utafiti ili kuzalisha mbegu bora, sehemu yalipotuama maji au ardhi yenye unyevunyevu), utayarishaji, utafutaji masoko na mbinu za kuhifadhi. Hili Solanum gilo, Solanum indicum subsp. dischum mara lingeleta ongezeko la matumizi ya mboga za asili na nyingi kama zao moja. Mboga hizi za majani huuzwa mchango wao katika uhakika wa chakula utaongezeka. katika miji jirani na masoko yao ya vijijini. Bustani za familia ni maarufu zaidi katika kaya zenye hali ya maisha ya wastani, na huwa ndiyo chanzo kikuu cha chakula baina ya mavuno na wakati mavuno Mchango wa mboga asilia kwa uhakika wa chakula yanapokosekana. Hutoa chanzo muhimu cha nishati na cha kaya protini, hasa kwa watoto walioacha kunyonya maziwa ya mama, wagonjwa na wazee. Baadhi ya mboga za majani za Bustani kubwa za mboga za kienyeji katika vijiji zina sifa asili huweza kuendelea kuzaa hata wakati wa ukame ya kuwa na mfumo wa kuchanganya mazao na kuota ingawa kwa kiwango kidogo kutokana na kudumaa. 218 Tini za MA 44 Uharibifu wa makazi na uhamiaji katika maeneo ya mijini mboga za asili kwa mazingira, inaaminiwa kwa ujumla humaanisha kuwa vyakula vya msituni havipatikani tena kuwa kilimo cha bustani hufuata mifumo bora ya kwa hawa wakulima maskini. Zaidi ya hayo, kugeuzwa kiuchumi ya usimamizi wa ardhi. Uzalishaji wa chakula kwa kilimo kuwa cha biashara kumeondoa mazao mengi cha kaya hutumia mbolea ambazo hazina madhara katika asilia yaliyokuwa yakitumika kuhakikisha kuwepo mlo mazingira. Mtindo wa kawaida wa bustani za kaya pia ni kamili kijijini (Rubaihayo, 1992). muhimu katika kuhifadhi rasilmali ya mimea mbalimbali Ni muhimu kukubali kuwa mboga za asili, hasa zile za (Midmore et al., 1991). majani kama Amaranthus, (dodo, Bugga) Solanum aethipicum (Nakati), n.k. huweza kupatikana katika dharura au matatizo yanayotokea kutokana na ugomvi Hitimisho wa wenyewe kwa wenyewe na majanga ya asili Mboga za asili ni chakula cha kawaida cha kaya na hutoa yanayosababisha kuhamishwa kwa jamii. Mboga hizi za mchango mkubwa katika kuleta uhakika wa chakula kwa asili huanza kumea mara baada ya mvua za kwanza watu vijijini katika nchi nyingi za Afrika, ingawa kwa kunyesha na huweza kuvunwa baada ya wiki tatu hadi nadra mchango huo hutambuliwa. Hivyo, elimu kuhusu nne baada ya kuota. Mboga hizi za majani huweza umuhimu wake kama chakula chenye lishe ya kutosha na kufuatiwa na mazao kama maharage ambayo huchukua kama njia ya mapato ya moja kwa moja na mzunguko miezi miwili hadi mitatu ili kuleta nafuu ya chakula, ili hasa kwa familia maskini, lazima itolewe kwa upana na chakula kitakachonunuliwa kiwe cha muda au cha ziada serikali za Afrika. (Rubaihayo 1995b). Wanawake na mboga za asili. Nchini Uganda, ingawa wanawake wa vijijini wanawajibika kulisha kaya zao, Marejeo hata hivyo hupata nafasi ndogo ya kuwa na rasilmali. Kilimo cha kaya huwapatia wanawake njia muhimu ya FAO (Food and Agriculture Organization), 1988. kupata mapato bila kuvunja miiko ya kitamaduni na “Traditional Food Plants.” FAO Food and Nutrition kijamii katika shughuli zao. Bustani kubwa na ndogo Paper 42. FAO, Rome. huweza kuongeza uwezo wa wanawake kifedha na Goode, P .M. 1989. “Edible plants of Uganda. The value uzalishaji wa chakula ambao una athari za moja kwa moja of wild and cultivated plants as food.” FAO Food and kwa lishe, afya na uhakika wa chakula kwa kaya. Nutrition Paper 41/1. FAO, Rome. Pale mboga za asili zinapofanywa kuwa za kibiashara Midmore, D.J., Vera Nines & Venkataraman, R. 1991. kama vile, Malakwang (Hibiscus spp.) Nakati (solanum “Household gardening projects in Asia: past aethiopicum), Egobe (vigna unguiculata), Entula experience and future directions.” Technical Bulletin (Solanum gilo), Katunkuma (Solanum indicum subsp. No. 19. Asian Vegetable Research and Development Disticum), Doodo (Amaranthus dubious), Bbugga Center. (Amaranthus lividus) hasa katika jiji la Kampala na Rubaihayo, E.B. 1992. “The Diversity and potential use katika maeneo mengine ya miji, wanaume ndio of Local Vegetables in Uganda.” Pages 109-114. In: wanaolima mboga hizi. Wachuuzi hununua mboga hizi The First National Plant Genetic Resources Workshop: kutoka kwa wakulima (wanaume) na kuzisafirisha Conservation and Utilization. kwenda sokoni, sokoni wanawake huzinunua na kuziuza Rubaihayo, E.B. 1994. “Indigenous Vegetables of rejareja kwa umma. Mauzo ya mboga za asili katika Uganda.” African Crop Science Conference masoko yenye wanawake hayatoi tu uhakika wa chakula Proceedings 1, 120-124. kwa wale wenye uwezo wa kununua lakini wanawake Rubaihayo, E.B. 1996b. “Conservation and use of wauzaji huweza kusomesha watoto wao, kuvalisha na traditional vegetables in Uganda.” In: Proceedings on kununua vitu muhimu kwa kaya zao hivyo kuepuka Genetic Resources of Traditional Vegetables in Africa: umaskini kabisa. Option for Conservation and Use, 29-31 August 1995, Bustani kubwa na ndogo na mazingira. Ingawa ICRAF Kenya (in press). hakujawa na utafiti wa kina wa athari za kilimo cha India Utumiaji Maarifa Asilia Kuinua Tija ya Kilimo Tini hii iliandikwa na Siddhartha Prakash wa Benki ya Dunia, na inatokana na ziara ya ugani kwenye chuo cha wakulima na maeneo ya mradi mwaka 2001. Kwa maelezo zaidi tumia baruapepe: Sprakash@worldbank.org Maarifa huhamishwa kutoka kizazi rutuba. Katika jimbo la Uttar kimoja hadi kingine na kutoka nchi Pradesh, India ya Kaskazini, mavu- moja hadi nyingine kwa njia ya no ya kilimo yalipungua, wakati am- mahusiano ya kibiashara na maingi- bapo idadi ya watu iliendelea kupan- liano ya kijamii baina ya jamii da katika kipindi chote cha miaka ya mbalimbali. Hii imesababisha ku- 1980. Desturi za umwagiliaji maji wepo na idadi kadhaa za mabadili- zisizo sahihi zilisababisha chumvi shano katika eneo kubwa na shughu- kuingia katika udongo, wakati huo- Tini za MA 45 li za kushirikishana maarifa ndani huo wadudu waharibifu (nzige wa Juni 2002 ya Afrika na hata nje ya bara. Waku- kikahawia) waliharibu asilimia 40-60 lima na waganga wa jadi kutoka ya mazao ya mpunga na ngano. Msumbiji wamebadilishana maarifa Sehemu kubwa ya ardhi hii ilikuwa ya utendaji bora na wenzao kutoka inamilikiwa na wakulima maskini. nchini Uganda. Miradi kadhaa ya Ili kuongeza tija ya kilimo, mawa- kikanda kama vile Mradi wa Usima- kala ugani wa serikali walijitahidi miaji Mazingira katika Ziwa Viktoria kueneza matumizi ya teknolojia na imezikutanisha jumuia jirani za wa- taratibu mpya za kilimo. Lakini vuvi kutoka Kenya, Tanzania na wakulima, ambao hata hivyo, hawa- Uganda. kuwa na imani na mawakala wa Shughuli hizi huimarisha dhana serikali, hawakutekeleza taratibu ya kuwepo kila mahali Maarifa Asilia hizi. Hata hivyo, kutokana na mbinu (MA), ambayo yamejikita katika des- mbovu za ushirikishaji, uenezaji wa turi za jadi za jamii katika maeneo teknolojia haukuwafikia wakulima. mbalimbali. Licha ya tofauti za kijio- Mwaka 1993 Serikali ya Uttar Pra- grafia, namna jamii nchini India, desh ilizindua Mradi wa Urutubisha- kwa mfano zinavyotumia vizuri ji kwa msaada wa Benki ya Dunia wa rasilimali zao za kijamii na kima- Ardhi ya Sodi unaoendeshwa na wa- zingira, inaweza kuwa funzo kwa kulima. Shabaha ilikuwa ni kuimari- jamii kama hizo katika Afrika. sha taasisi za kienyeji, kuwawezesha Mradi wa Urutubishaji Ardhi ya wanufaikaji na kuanzisha mfano wa Sodi (The Sodic Lands Reclamation ufikishaji huduma kwa jamii. Project) nchini India ni mfano mzuri Changamoto ya kwanza ilikuwa ni wa jinsi utumiaji wa maarifa ya jadi kuondoa chumvi nyingi kutoka ma- katika shughuli zinazosaidiwa na shambani. Udongo huu una ukolezo Benki unavyoweza kugeuza ardhi wa juu wa sodi ambamo ndani yake tasa kuwa ardhi inayolimika yenye chembechembe laini za udongo zime- 219 220 Tini za MA 45 tapakaa. Matokeo yake ni kwamba maji na hewa haviwezi Jivelly, Devari na Dhanepur, wakulima hutumia nduni za kupenyeza, na kusababisha kuwepo kwa kiwango cha juu “mwarobaini” kuhami mazao yasishambuliwe na wadudu cha alikali. Udongo huu unaojulikana kama udongo wa waharibifu. sodi hutoa sumu kwa mimea, huathiri vibaya kilimo, afya Mwaka 1997, kulikuwa na shambulio kubwa la nzige ya binadamu na mimea. wa kikahawia na zaidi ya asilimia 40 ya zao la mpunga liliharibiwa kote katika Uttar Pradesh. Wakulima wa sehemu hiyo walijua kwamba mafuta ya taa hufukuza Utumiaji wa maarifa ya jadi nyoka na yanaweza hata kuua baadhi ya aina za nyoka. Mmoja kati ya wakulima wenye maarifa zaidi katika eneo Wakulima waliunda kamati za mahali husika za hilo aliwaza kwamba iwapo mafuta ya taa yanaweza kuua utekelezaji na vikundi vya kujisaidia. Kwa kutumia nyoka, ni wazi yanaweza pia kuua nzige wa kikahawia. maarifa yao wenyewe na uzoefu, wakulima walirejesha Ili kufanya majaribio ya wazo hili, alinyunyizia mafuta rutuba kwenye hekta zaidi 68,000 zilizomilikiwa na ya taa katika meta moja ya mraba ya shamba lake pale familia 247,000. Walisambaza jasi, wakajenga boma, shambulio lilikofanyika. Katika muda wa dakika chache, wakachujua udongo, wakaanza kupanda mazao mengi, wadudu waharibifu wote walikuwa wameangamizwa. kutia mbolea mbichi na upandaji mazao kwa zamu waka- Kutokana na matokeo haya, mafuta ya taa yalinyunyi- tumia mboleavunde na kutifua ardhi. Uendelezaji wa ku- ziwa kwenye kona za shamba na vilevile kwenye funika ardhi kwa kupanda sana mazao kuliweza kuhami mashamba jirani. Mwanzoni, lita 10 za mafuta ya taa udongo usirejelewe na chumvi kwenye tabaka la juu. zilitumika kwenye eneo la robo hekta. Kadiri muda Kuanzia mchakato wa upangaji hadi utekelezaji, ulivyopita, mkulima alirekebisha teknolojia hii kwa mameneja wa mradi, AZISE na wakulima walifanya kazi kutumia lita tano za mafuta ya taa yaliyochanganywa na kwa pamoja ili kuendeleza mikakati yao wenyewe. makapi ya mpunga kwa ajili ya kunyunyizia robo hekta Mikakati hii mara kwa mara ilibuniwa, kubadilishwa na ya ardhi iliyorejeshewa rutuba. kurekebishwa ili ioane na hali mahsusi au ya mahali husika. Kwa mfano, baadhi ya desturi za kisasa kama vile matumizi ya mbolea za kemikali zimeonekana kuwa wa Taathari za kiuchumi madhara zaidi kuliko manufaa. Katika muktadha huu, wakulima waliendeleza teknolojia asilia zinazotokana na Njia hizi mbalimbali zilijaribiwa na wakulima 600 katika maarifa na desturi za jadi zilizothibitika kuwa za wilaya tofautitofauti. Matokeo yalikuwa ni kupungua gharama nafuu na zenye kujali mazingira. kwa kiasi kikubwa kwa madhara yaliyosababishwa na Wakati mwingine, wakulima walijifunza shughuli za nzige wa kikahawia kutoka asilimia 49 hadi asilimia 2. kilimo bora kutoka majimbo mengine. Huko Maharash- Habari hii ya mafanikio ilienea haraka kiasi kwamba tra, mkulima mwenyeji mmoja alikuwa amebuni mbinu wakulima katika jimbo lote walianza kudhibiti masham- mpya ya kutengeneza mboleavunde. Mboleavunde ya bulio ya nzige wa kikahawia kwa kutumia viziduo vya “Nadep” hutegemea muundo wa mboleavunde unao- mwarobaini, maganda ya mpunga na mbolea mbichi. tumia matofari badala ya shimo na ulitumiwa katika Aidha, baadhi ya desturi nyingine asilia ambazo zilikuwa zaidi ya vijiji 100 katika eneo la mradi. zikitumiwa na vizazi vya nyuma vya wakulima zilianza Viwango vya juu vya virutubisho vya udongo kuonekana za kisasa. Miongoni mwa hizi ni desturi za vilivyopatikana katika aina hii ya mboleavunde vili- jadi za ufugaji, tiba ya magonjwa ya kawaida kama punguza kwa takribani robo mahitaji ya mbolea na minyoo, ugonjwa wa nyayo na maumivu yanayowapata viuawadudu, na pia kupunguza gharama za pembejeo za zaidi ng’ombe na nyati. kilimo. Utumiaji wa mbolea ya kemikali pungufu ulionge- Kadiri muda ulivyopita, maarifa na hekima ya za ubora, muonjo na uzani wa nafaka za chakula. Ladha wakulima vilianza kuzaa matunda. Ushadidi wa kupanda na rangi ya nafaka zenye kunukia kama ngano na mchele uliongezeka kutoka asilimia 37 hadi asilimia 200. Mavuno wa bismati navyo viliongezwa na kuwawezesha wakulima ya ngano na mpunga kwenye ardhi iliyorutubishwa tena kupandisha bei. yalizidi mara mbili ya makadirio. Katika baadhi ya Awali wakulima walitumia viuawadudu mbalimbali maeneo thamani za ardhi ziliongezeka mara nne baada ya kama vile vumbi ya “Melathia”. Hivi sasa wanatumia ardhi kurejeshewa rutuba. Viwango vya ujira vilionge- mbinu asilia za udhibiti wa wadudu waharibifu, kama vile zeka mara mbili ikiwa ni matokeo ya kukua kwa shughuli kupanda Daincha (zao la mbolea mbichi) katika mipaka za kiuchumi. Vikundi vya kujisaidia vya wanawake ya mashamba ya mpunga. Katika baadhi ya vijiji kama 221 vilijiongezea mapato kwa kujiingiza pia katika ufugaji wa wakulima wengine. Ziara kama hizo zimepanua msingi jamii ya ndege na kilimo cha bustani. wa maarifa yao kwa njia ya kujionea aina tofauti za Kumekuwepo pia hali ya kupungua kwa uhamaji wa mifumo ya maarifa ya jadi. Leo hii, jimbo la Uttar msimu wa watu wanaotafuta kazi kutoka vijiji vyenye Pradesh limeanza kutoa mafunzo na huduma za ugani mradi. Mmoja wa wanufaika katika kijiji cha Shobapur kwa vyuo vya wakulima, vinavyowahudumia wakulima alisema “kwa sababu mashamba yangu ya usar (sodi) zaidi ya 7,200 katika vijiji 65 nje ya eneo la mradi. yalikuwa tasa, nilikuwa na kawaida ya kwenda Bhopal, Bombay na Calcutta kutafuta kazi. Hivi sasa yakiwa yamerejeshewa rutuba yake, muda huo nitaupata wapi?” Kijiji cha Dhanepur Mwaka 1996, katikati ya ardhi iliyokuwa tasa huko Shule ya Wakulima huko Pratapgarh, Uttar Pradesh Narangpur, ile iliyorejeshewa rutuba, mkulima wa mradi alipanda mti wa bale. Ardhi ya sodi ilikuwa na weupe wa Uenelevu wa mradi wowote wa urutubishaji ardhi kwa majivu na imetelekezwa kabisa. Hapakuwepo na dalili ya vyovyote vile hutegemea sana usimamiaji mzuri wa ardhi uoto wowote. hiyo. Upatikanaji wa mara kwa mara wa taarifa kuhusu Taratibu, mti ulianza kustawi na wakulima wa vijiji vya mbinu mpya za kilimo na teknolojia ni baadhi ya jirani walianza kulima ardhi hiyo. Muda si mrefu viambato muhimu vinavyohitajika ili kuendeleza mifumo mbogamboga zikaanza kupandwa. Makazi yakaanza ya upandaji mazao mengi kwenye maeneo kama hayo. kuibuka yakiuzunguka mti wa Saroj. Siku hizi kijiji chote Kwa kuzingatia hili na ukweli kwamba msaada wa Benki kimesambaa katika eneo lijulikanalo kama Dhanepur. hautakuwepo muda wote, kikundi cha wataalamu muhi- Kijiji kina pampu ya maji inayomilikiwa na jumuia, mu na wakulima waliopata mafunzo walijumuika pamoja mashine ya kukamua miwa, mashine ya kusaga na kwa lengo la kubuni mikakati mipya kwa kutumia kukoboa mpunga, na mashine ya kutengeneza chakula rasilimali na maarifa asilia kuhusu desturi za kilimo. cha wanyama. Vyote hivi viko karibukaribu, ili viendesh- Jambo hili lilisababisha kuanzishwa kwa Shule ya we kwa pamoja na umeme au injini ya dizeli. Mtambo Wakulima huko Pratapgarth. Desturi hizi zilirasimishwa umefanyiwa marekebisho kwa kutumia ubunifu wa na kuenezwa kupitia chuo. Mwanzoni kulikuwa na wenyeji ili uweze kufanya kazi katika mazingira ya wakufunzi wakuu 12 katika shule. Kila mmoja ilibidi mahali hapo. aonyeshe kwa vitendo katika shamba lake mwenyewe Awali, wakulima waliweza kuvuna zao moja tu kwenye namna njia fulani za kilimo zilivyothibitisha kuwa za mashamba yao. Leo hii, wanapanda mazao manne kwa manufaa, kabla wengine hawajaanza kuiga mbinu hizo. kutumia mbinu za upandaji mazao mengi walizofunzwa Mafunzo yaliendeshwa kwa kutumia lahaja ya wenyeji na chuo, wakipanda dengu, mtama na choroko. Mazao kama vile Avdi. haya yanalimwa pamoja katika mashamba yanayopata Mada zilizoshughulikiwa ni pamoja na mitandao bora maji kwa kutumia umwagiliaji matone. Matokeo ni mavu- ya utiririshaji, utiaji mbolea mbichi, utengenezaji no mengi zaidi mara nne/tano kutoka mashamba mboleavunde, matumizi ya samadi, menejimenti ya yaleyale. mkopo, vikundi vya kujisaidia na upandaji wa mazao Mapato yameongezeka mara tano kutokana na mengi. Kila moja ya mada hizo ilitumia uzoefu asilia wa kuongezeka kwa mavuno. Kipindi cha nyuma, wakulima miaka mingi katika kushughulikia changamoto kama vile waliweza kuweka akiba ya dola za Marekani 110 kwa mashambulio ya nzige wa kikahawia. Mara baada ya mwaka. Siku hizi akiba zao kwa mwaka zimepanda hadi matokeo kuonyesha mafanikio, yalienezwa na wakufunzi dola za Marekani 555. kutoka kijiji kimoja hadi kingine. Akiba hizi zimewekezwa kwa uangalifu katika ujenzi Mafunzo mara nyingi ni ya vitendo na huhusu wa nyumba, umeme na barabara zinazounganisha kijiji ubadilishanaji uzoefu mkulima kwa mkulima. Kwa na masoko na maeneo mengine. Awali palikuwa na mfano, kikundi cha wakulima hupelekwa kwenye eneo la matatizo makubwa ya usafiri na mawasiliano. ardhi lililorejeshewa rutuba mapema zaidi ili kujionea Mapato ya juu yameboresha kwa haraka hali ya maisha tofauti katika rutuba za udongo na kiwango cha kijijini. Watu walio wengi walikuwa hawajui kusoma na maendeleo. Aidha wakulima kutoka eneo moja la mradi kuandika. Hivi sasa kuna programu za elimu kwa watoto. walifanya ziara za mafunzo na kutembelea sehemu Kumekuwepo pia na mabadiliko muhimu katika nyingine za nchi (Haryana, Andhra Pradesh na Gujarat) mtizamo wa watu. Awali, wakulima walikuwa wamega- ili kubadilishana na kujifunza njia bora za kilimo za wanyika kuhusu mradi. Kundi moja lilikuwa tayari 222 Tini za MA 45 kushirikiana na mawakala wa utekelezaji wakati kundi baina yao. Aidha walichukua mikopo binafsi yenye jingine linalojumuisha wakulima wenye kumiliki thamani ya kati ya dola za Marekani 100 na 200 kutoka mashamba makubwa lilipinga mradi. Lakini wakulima benki iliyopo katika sehemu yao kwa ajili ya kuwekeza hawa walipoona ardhi za wale walioshiriki kikamilifu katika teknolojia ya kisasa kama vile mashine ya katika mradi zinageuka kuwa kijani, wakati ardhi zao kukamua miwa. zimeendelea kuwa tasa na kuwa na rangi ya majivu, Vikundi hivi vya kujisaidia vimekuwa pia mawakala walianza kujisogeza karibu. Hivi sasa, wana shauku wazuri wa mabadiliko ya kijamii huko vijijini na kubwa ya kushiriki katika awamu ya pili ya mradi. vimeshughulikia masuala mbalimbali nyeti kama vile mfumo wa mahari. Hivi sasa, idadi kubwa ya wanawake katika wilaya wanaweza kusoma, kuandika na kuelewa Vikundi vya kujisaidia vyawezesha wanawake vipengele changamani vya miamala yao ya biashara. Waziri wa Kilimo wa Jimbo alitembelea shule na Mafunzo yanayotolewa na vyuo vya wakulima kwa kupendekeza kwamba mbinu kama hizo za ubunifu za wanawake yamekuwa na matokeo muhimu kwenye ngazi kilimo zinapaswa kuigwa katika jimbo zima. Umoja wa ya kaya, kwa kusukuma mbele mabadiliko ya kijamii na Ulaya unafadhili mradi wa urejeshaji rutuba kwa kiuchumi kwa lengo la kuboresha ustawi wa familia kutumia mpango kama huo katika wilaya nyingine tatu. nzima. Hivi leo zaidi ya vikundi vya kujisaidia vya Mradi huu utatumia kama nyenzo mafunzo ya msingi wanawake 175 vimeanzishwa kama vile Kikundi cha yaliyopatikana katika awamu ya kwanza ya mradi; Kujisaidia cha Kaveri Mahela. kutumia kama msingi maarifa asilia huongeza uzalishaji Kikundi cha Kaveri kilichoundwa mwaka 1995, endelevu wa kilimo na huwa kama mfano wa namna ya mwanzoni kilikuwa na wanachama 15. Kila mwana- ufikishaji wa huduma kwa jamii. chama aliweka akiba ya senti 10 kwa mwezi, ambayo Mawasiliano ya jamii kwa jamii yanaweza kuwa iliongezeka kutoka senti 40 hadi 80 katika kipindi cha kipitishio cha kuhawilisha maarifa kama hayo hadi nchi miezi sita iliyofuata. Hivi leo, kila mwanachama huweka na mabara mengine. Ikizingatiwa kwamba kilimo ndiyo akiba inayofikia dola za Marekani 6 kwa mwezi. Fedha shughuli kuu katika chumi za nchi nyingi za Afrika na hizo zimewekwa akiba katika benki ya hapo kijijini chini nchini India, uenezaji na matumizi sahihi ya maarifa ya mfuko wa pamoja ujulikanao kwa jina la Mfuko wa asilia vyaweza kuwa vya manufaa sana. Kujisaidia wa Kaveri. Baada ya kuweka akiba ya kiasi cha kutosha, wana- wake walianzisha mpango wa ndani wa kukopeshana Dhima ya Visasili na Kaida katika Kusimamia Maliasili Kwenye Mwambao wa Msumbiji Makala hii iliandikwa na Fernando Dava, Zuber Ahmed, na Peter Easton. Fernando Dava ni Mkurugenzi wa ARPAC—Arquivo do Patrimonia Cultural, Msumbiji; Zuber Ahmed ni Mshauri wa Kujitegemea huko Maputo, Msumbiji; na Peter Easton ni Profesa Mshiriki, Mitaala ya Uzamili katika Elimu ya Watu Wazima, Chuo Kikuu cha Jimbo la Florida. Msumbiji ni nchi tajiri kwa maliasili upande wa Kaskazini hadi kwenye na ambayo pia kwa kiasi kikubwa ina- mpaka na Afrika Kusini. Jamii zili- tishiwa na kuisha na kupungua tha- zoko kwenye kizuizi hiki asilia hutege- mani kwa urithi huu. Miaka ya vita, mea sana uvunaji wa rasilimali za ba- shinikizo la kiuchumi, kushuka kwa hari: samaki, kome na aina nyingine bei ya mazao, uhamiaji mijini na ma- za viumbe wa baharini vyote hivi ni badiliko ya hali ya hewa vimeanza ku- vyanzo vya protini na pia vyanzo vya wa na athari kubwa kwenye msingi mapato. Umuhimu wa zawadi hii kwa Tini za MA 46 wa rasilimali ya nchi. Ingawa asilimia ustawi wa jamii umesababisha kuibu- Julai 2002 10 ya nchi iko chini ya hifadhi ya misi- ka kwa changamani za kaida, visasili tu, sehemu kubwa ya nchi imepoteza na matambiko. Vyote hivi husaidia ku- uoto wake wa asilihasa kandokando tunza umuhimu wa pekee wa ma- na mipaka na nchi za Zimbabwe na zingira na “kusimamia” utumiaji Afrika Kusini. Maeneo mengi ya pwa- wake kwa manufaa ya watu wote. ni yameathiriwa vibaya na uchafuzi Je, mbinu hizi “asilia” hufanya kazi wa mazingira unaotokana na mtiriri- vipi na iwapo—kama kweli—zinaweza sho unaosababishwa na shughuli za kutumika kudhibiti changamoto kilimo na kutoka viwandani. Shiniki- mpya kwenye chanzo cha maliasili: zo la idadi kubwa ya watu limesababi- shinikizo la idadi ya watu na uchafuzi sha kutoweka kwa karibu wanyama wa mazingira? Nchini Msumbiji taasi- pori, wengi ambao wakati fulani wa- si za kienyeji zimeanza kuelewa suala liishi katika sehemu kubwa ya nchi. hili, na uzoefu wake ni wa kuelimisha. Umalizikaji wa maliasilia ni suala la kitaifa, lakini linahusu pia hata mae- Wakulima wa kome wa Zimilene neo ya wenyeji. Kama ilivyo katika nchi nyingi zinazoendelea, idadi kub- Zimilene ni kijiji kidogo kilichopo wa ya jamii nchini Msumbiji hutege- kwenye mdomo wa mto Limpopo kati- mea matumizi ya busara ya mazingira ka Jimbo la Gaza, kusini mwa Msum- yao ya asili ili waendelee kuishi. Kuya- biji, kilometa mia kadhaa kaskazini tunza ili yaendelee kuwepo kizazi hadi mwa Maputo. Kwa wenyeji kinajulika- kizazi ndiyo changamoto muhimu. Se- na kwa majina mengine kama Kam- hemu iliyoathirika zaidi kuliko mahali hula, Inhampurca, au Zongoene. Kati- pengine ni eneo kubwa la mwambao ka eneo hili la Bahari ya Hindi, miun- lenye urefu wa karibu kilometa 3,000 do asilia ya miamba imekuwa chanzo kutoka kwenye mpaka na Tanzania cha kustawi kwa uchumi wa eneo na 223 224 Tini za MA 46 mlengo kwa ajili ya uelewa mahsusi wa mizimu kuhusu Kome wanapofikia kipindi cha kuvunwa, walinzi hupiga uhusiano wa watu na mazingira yao. filimbi ili kumwarifu kila mmoja katika jamii, hata wale Miamba iko karibu na sehemu ya juu katika eneo la maji wasiotoka katika kijiji hicho, kuwa mwindo unaweza lenye fitoplanktoni nyingi, hali inayotoa mazingira murua kuanza. Kwa desturi wageni wanaruhusiwa kuvuna kome kwa ajili ya ukuaji wa makoloni ya kome. Kwa muda wa pamoja na wenyeji kama ishara ya ukarimu. Kila mtu miaka mingi, vijiji vimekuwa vikivuna rasilimali hii kila hukusanya kadiri ya mahitaji ya familia yake na mamia mwaka, wakiitumia kama chanzo cha protini na mapato. kwa mamia ya watu huja kuvuna kome. Kazi yenyewe ni Kwa mujibu wa imani yao miamba hiyo imekuwepo hapo ngumu na inaweza kuwa ya hatari. Kwa sababu hiyo, kwa sababu ya utashi wa kimungu na imekuwepo hapo kwa ukusanyaji haufanyiki bila mpango na mahali popote kwa muda mrefu kadiri kumbukumbu ya pamoja ya binadamu wakati mmoja. Badala yake kazi huanzia kwenye mwisho inavyoweza kukumbuka. mmoja wa mwamba na taratibu huendelea hadi mwisho Jamii ina imani kuwa wahenga wao walikuwa wamiliki mwingine. Utaratibu huu huwezesha familia na machifu na wasimamizi wa miamba hii tangu walipolowea katika katika jamii kudhibiti matukio na kutoa huduma mara eneo hili. Familia anzilishi zilizoweka maskani kwenye moja kwa yeyote anayejeruhiwa. Wana pia jukumu la sehemu hii ya mwambao—Bunzula, Palate, Machava, kuhakikisha kuwa kila mmoja anapata mgao wa haki. Nhancuma na Nhabanga—ziligawana rasilimali na kuchukua wajibu ya kusimamia miamba ya kome, “Mizimu” na utawala wa sheria zikiongozwa na mizimu walezi wa koo zao. Kila familia iliweka walinzi wa kuhami maeneo ya kome. Hata hivyo, Mamlaka ya machifu ya kuratibu uvunaji wa kome wawakilishi wa familia hizi, hufanya kazi chini ya uangalizi yamefungamana na imani madhubuti kuwa mizimu ya wa mamlaka ya juu zaidi, Chifu Zimila, dhuria wa mtu wa wazee wa kale hulinda miamba ya kome. Walinzi kwanza aliyeishi eneo hili, ambaye mzimu wa ukoo wake waliowekwa na kila familia huondoka miambani wakati wa unafikiriwa kuwa na nguvu zaidi kuliko ule unasaba wa machweo na walinzi mizimu wa kila ukoo huaminika familia. Mfumo unatoa uhakika wa chanzo cha kutatua kuchukua jukumu la ulinzi hadi mawio. Huo ulinzi wa migogoro na kugawa haki za kutumia ambazo zinakubaliwa mizimu huadhimishwa katika kaida na visasili. hadi huko chini kwa mwanajamii binafsi. Chifu wa ukoo wa Banzula anaeleza, “Tunazungumza na mizimu kupitia makuhani wetu wa jadi (curandeiros) au yenyewe hutuita. Mizimu hutufundisha namna ya kuhifa- Uvunaji wa kome dhi miamba. Na tunafanya ibada za matambiko kwa lengo Kwa kawaida huko Msumbiji kome huvunwa katika kipindi la kuifurahisha ili iendelee kulinda miamba na kome.” cha majira ya baridi, kati ya mwezi Machi na Agosti. Ibada za matambiko hufanyika kwenye ngazi mbili; nda- Kwenye miezi ya awali ya mwaka dalili za kwanza za kome ni ya kila ukoo au familia na kwenye ngazi ya jamii nzima. hutokea katika maji ya kina kifupi, na makoloni huanza Chifu wa kila familia huchukua jukumu la kufanya ibada kustawi. Mara baada ya dalili hizi kuonekana, walinzi wa kwa ajili ya sehemu ya miamba ya kome ambayo iko chini kila eneo la kome huwaarifu wakuu wa familia kuhusu ya ulinzi wa ukoo. Ibada inayohusu jamii nzima huendesh- tukio hili, wakiwaomba ruhusa ya kuanza kusafisha mwani wa na Chifu Zimila mwenyewe na hujumuisha familia zote na magugu mengine yanayosaidia ukuaji wa kome na katika eneo. Kabla ya kuandaa ibada kubwa, mkuu wa ma- kurahisisha uvunaji. Uondoaji huu wa magugu kwenye chifu hushauriana na machifu wote wa familia husika maeneo ya kome huhitaji uangalifu, kwa kuwa ni rahisi katika mkutano wa baraza la wazee. Machifu wa familia kuharibu kome wachanga. Fimbo nyembamba na panga wana wajibu wa kutoa huduma kwa ajili ya shughuli hiyo. hutumika kwa madhumuni hayo. Mara “shamba” likisha Wanajamii wote hutarajiwa kushiriki katika tukio hilo kuwa safi, kome hukua kwa wingi sana. kubwa na pia kuchangia bidhaa kwa ajili ya kuhudumia Katika hali ya kawaida, wanavijiji hawaruhusiwi kuanza ibada na shughuli nzima. Michango hukabidhiwa kwa kuvuna mpaka hapo kome watakapokuwa wamepevuka. Ha- machifu wa familia ambao nao huikabidhi kwa Chifu ta hivyo, kibali maalumu hutolewa inapotokea dharura au Zimila. Ibada moja hufanyika kabla ya msimu wa kuvuna mahitaji dhahiri kama vile njaa au ujio wa ugeni usiotaraji- kuanza ili kuomba mavuno mazuri ya kome, na nyingine wa. Mavuno haya ya awali yanaratibiwa na kuwekewa mipa- hufanyika baada ya mavuno kwa ajili ya kutoa shukrani ka na familia husika pamoja na machifu wakuu. Aidha, juku- kwa zawadi waliyopokea. mu la machifu ni kuhakikisha kunakuwepo na mgawanyo sa- Inaaminika kuwa mizimu ina jukumu muhimu la kutoa wa wa rasilimali kati ya vijiji. Na hili linathibitishwa na mse- adhabu kwa wale wanaokiuka taratibu. Kama chifu mmoja mo wa wenyeji—“kome huliwa miongoni mwa jamii.” wa familia anavyoeleza: “Wakati wa kutwa nzima kila 225 familia ina mlinzi anayedhibiti njia ya kufikia miamba. kiutawala. Ule wa kwanza ulitumika kwa wenyeji, na wa Usiku mizimu ya kila familia hulinda miamba hadi pili kwa wanaotoka nje ya eneo husika. mapambazuko. Kila mmoja anajua kwamba hakuna wa Hata hivyo, suluhisho hili la “kutenga watu katika ma- kupuuzia jambo hili. Wanaovunja taratibu wana hatari ya fungu mawili” pia lilikuwa na upungufu wake. Kwa upande kutupwa baharini [na mizimu] au kutoweza kuondoka eneo mmoja, watu kutoka nje ya kijiji inawezekana kuwa rahisi hilo la ukusanyaji kwa kukosa kabisa njia ya kurudi zaidi kwao kukwepa adhabu za kiutawala kuliko wenyeji nyumbani. Njia ya kuelekea makwao hukumbwa na giza wanavyoweza kukwepa gadhabu za mizimu. Kwa upande nene.” mwingine, ongezeko la shinikizo kutoka nje kwenye msingi Inaaminika pia kuwa kome walioibwa ni mlo usiofaa wa rasilimali laelekea kusababisha vyombo vya utawala na kuliwa. Chifu anasema, “Kome wanaweza kupikwa kutwa mfumo wa adhabu kuchukua nafasi muhimu wakati dhima nzima na wasiive. Hakuna mtu anayejua sheria hizi halafu ya jadi na mizimu ikipungukiwa umuhimu hadi kubakia tu akataka kukabiliwa na adhabu za mizimu.” katika masimulizi ya jadi. Kwa hiyo, changamoto inayokabili kamati ni namna ya— kuchanganya mifumo yote miwili—namna ya “kutam- Changamoto ya mifumo ya utambukizaji uzazi bukisha” mfumo wa kanuni zinazokubalika sehemu kubwa pamoja na nafasi ya usimamiaji wa jadi pamoja wenye sifa Mfumo mahalia wa visasili, imani na kaida huko Zimilene ya kuheshimu rasilimali asilia na mfumo wa ndani wa ilisaidia kuhifadhi makazi ya kome kwa vizazi na vizazi, utimizaji. lakini chini ya shinikizo la mabadiliko yanayoendelea Mielekeo miwili iko wazi, lakini hakuna uhakika kama nchini Msumbiji kome wamekuwa siyo rasilimali ya wenyeji ama yote miwili au hata mwingine kimsingi utakubaliwa. tu. Katika miaka ya karibuni wakazi wa miji ya jirani kama Suluhisho mojawapo linahusu upanuaji wa dhima ya walin- Zai-Zai wamekuwa wakifikia kwa urahisi miamba ya kome zi wa familia kwenye ngazi ya mahitaji ya vifaa na mambo ya Zimilene, na wakati huohuo shinikizo za umaskini na ya kiroho kwa kuwasaidia kufanya uangalizi wa karibu wa msongamano wa watu vimewalazimisha kuvuna kome kwa miamba ya kome kwa muda wa saa ishirini na nne kama njia ambazo hazifuati taratibu za usimamiaji wa jadi na mfano halisi wa shughuli takatifu za wahenga za kuhifadhi kuendelea kuwepo kwa rasilimali. msingi wa rasilimali ya taifa zima. Mwelekeo mwingine, Familia za Zimilene zilitoa ombi kwa mamlaka za pengine kama nyongeza lakini wa muda mrefu unahusu utawala ili wasaidie kutatua tatizo na kuokoa kome. Baada kutumia baadhi ya viongozi wa dini za jadi (curanderios) ya ushauriano, iliamuliwa kuunda Kamati ya Usimamiaji kufundisha shuleni uwajibikaji wa kiikolojia na kuendesha wa Miamba ya Kome, iliyoundwa na viongozi wa jadi na kampeni ya maadili mapya ya kuheshimu mazingira. mwakilishi mmoja au zaidi kutoka mamlaka za utawala. Taratibu za jadi huonyesha kwamba jamii za vijijini zina Chifu wa eneo husimamia uteuzi wa wajumbe kutoka koo namna zao za kuuelezea ulimwengu na kulinda rasilimali za familia wanaowajibika kwa kila eneo la makazi ya kome. zao. Mifano kama hiyo inaweza kupatikana katika maeneo Kwa upande wa utawala mkuu wa kituo cha utawala cha mbalimbali ya nchi ambapo rasilimali kama vile misitu, ar- Chilaulene, eneo linalojumuisha Zimilene ama hushiriki dhi na samaki na vyakula vya baharini zinalindwa kwa ku- mwenyewe katika Kamati au huteua mtu wa kum- tumia taratibu hizi. Ziliruhusu rasilimali hizi kutumiwa na wakilisha. vizazi na vizazi vya watu bila kuhatarisha upatikanaji wake. Kazi za kamati ni pamoja kutoa uhalali wa matambiko, Matumizi ya visasili na matambiko kama haya si rahisi ibada na kanuni za Zimilene na kushughulikia wanaokiuka kuyaeneza sehemu nyingine za nchi kwa sababu vitu hivyo taratibu, hasa wakazi wa mijini na watu wengine hufungamana na mahali na uzoefu wa kihistoria, na wanaoendelea kuja kwenye makazi ya kome. Kimsingi huidhinishwa na kundi mahsusi la wahenga. Wananchi “wavunja taratibu” ni watu wanaotoka nje ya eneo kwa wengine wa Msumbiji hawana historia na “kosmogonia” sababu, wakati ambapo imani thabiti huwazuia wenyeji inayofanana na ya watu wa Zimilene. Lakini kwa kiasi kufanya ujangili kwenye makazi ya kome, wakazi wa mijini fulani kama jamii wana majaliwa ya pamoja, hatari ya kwa asili hawana mfumo wa imani kama hizo. Kwa hiyo, pamoja ya upoteaji wa rasilimali na kutenganishwa na kamati ina mamlaka ya kupendekeza adhabu mbalimbali mazingira yao ya asili. Tatizo la miamba ya kome za kiutawala au hata za kifungo kwa wale wanaovunja linalojirudia siku hizi katika maeneo mengi ya nchi, ni sheria za utumiaji wa miamba ya kome. namna ya kuchanganya mifumo ya taratibu za kisheria, Hivyo, katika shughuli za awali za kamati, mfumo wa visasili na matambiko pamoja na zana muhimu za usimamiaji unaokubalika kijadi na kiimani ulikuwa kiutawala ili kujenga uelewa mpya wa pamoja wa jamii na ukitumika pamoja na ule ambao ni wa “kisasa” na utamaduni mpya wa usimamiaji wa rasilimali. Kutumia Maarifa Asilia ya Jatropha Matumizi ya mafuta ya Jatropha curcas kama malighafi na nishati Makala hii iliandikwa na Reinhard K. Henning, baruapepe: henning@bagani.de. Intaneti: www.bagani.de. Kwa taarifa zaidi kuhusu mfumo wa Jatropha tazama pia: www.jatropha.org. Mali ni nchi isiyopakana na bahari mafuta kwa mwaka. Katika maeneo iliyoko katikati ya Afrika Magharibi yale ya Mali ambako hupatikana kwenye ukingo wa kusini wa Jangwa zaidi, urefu wa wastani wa uzio huu, la Sahara. Wastani wa nchi wa kiasi ni kati ya kilomita 2 hadi 15 kwa cha mvua kwa mwaka unaanzia kijiji, kiwango cha juu sana kikifikia milimita 200 kaskazini hadi milimita hadi kilomita 40 kwa kijiji.2 1200 maeneo ya kusini mwa nchi. Kwa jumla mmea wa Jatropha Kwa muda mrefu, wakulima wame- curcas unafahamika sana miongoni Tini za MA 47 kuwa wakihami bustani zao kwa mwa watu wa Mali na kwa muda Agosti 2002 kutumia uzio wa aina ya mti ujulika- mrefu unatambulika kama mmea nao kwa jina lake la kisayansi Jatro- wenye matumizi mengi. Ukipandwa pha curcas au “njugu dawa,” ambao kwa uangalifu, Jatropha siyo tu hauliwi na wanyama na hivyo kuha- kwamba huhami bustani dhidi ya mi- mi mazao ya chakula kama uzio hai. fugo yenye njaa bali pia hupunguza Jatropha curcas ni mmea wenye uharibifu na mmomonyoko vinavyo- asili ya Amerika ya Kusini ambao sababishwa na upepo na maji. Kwa kwa sasa umeenea kote duniani desturi mbegu zake zilikuwa ziki- kwenye maeneo ya kitropiki na vunwa na wanawake na kutumiwa ukame na nusu ukame. Ukiwa jamii kwa ajili ya matibabu na utenge- ya mojawapo ya familia ya mimea ya nezaji wa sabuni kwa njia za kienyeji. Euphorbiaceae, ni mmea wa kudumu Kurudi nyuma mpaka kwenye uhimilio ukame, unaweza kuishi mwisho wa miaka ya 1930 pia uwezo hadi miaka 50 na kustawi kwenye wa mafuta yake ulitambulika kama udongo usio na rutuba. Ukiwa jamii chanzo cha nishati.3 Kwa sasa yana- ya karibu ya mbarika, mafuta yake weza kutumika kama mbadala wa yana sifa zilezile za tiba. Mbegu za gazoil mchanganyiko unaotumika Jatropha zina asilimia karibu 35 ya katika injini za dizeli kutoka India mafuta yasiyoliwa. Uzalishaji wa zinazoendesha mashine za nafaka na mbegu unafikia 0.8 kg kwa meta ya pampu za maji katika maeneo ya uzio kwa mwaka, zinazotoa kiasi cha vijijini nchini Mali. Mafuta ya ubora lita 0.171.1 ya mafuta! Kwa sasa Mali wa hali ya juu yanayoziduliwa na ina karibu kilomita 10,000 za urefu mitambo inayoendeshwa kwa injini wa uzio ikiwa na kuongezeka au vinu vya kushindilia vya “Bielen- kiwango cha cha kilomita 2,000 kwa berg” vinavyoendeshwa kwa mikono mwaka, kiasi hicho kikiwa na uwezo au mashapo ya mchakato wa usafi- wa kuzalisha lita 1,700,000 za shaji wa mafuta yanaweza kutumika 226 227 katika utengenezaji wa sabuni katika maeneo ya vijijini Jatropha ili kuzuia ng’ombe, ambapo mashamba hu- na hivyo kuwapa wanawake fursa ya kujipatia kipato cha pandwa mikundekunde ili kuongeza ubora wa rutuba ya ziada na kuimarisha hali yao kiuchumi. Keki ya mashudu udongo. kama zao jingine la ziada la uziduzi inaweza kutumika kama mbolea mahuluku ya daraja la juu. Shughuli za Jatropha zilianzishwa nchini Mali mwaka Kuendeleza wanawake 1987 na Shirika la Misaada ya Kiufundi la Ujerumani Asasi nyingi za serikali na zisizo za serikali huwapa (GTZ) katika muundo wa programu ya nishati rejeshi. wanawake wa vijijini nchini Mali mashine za kusaga Mradi wa Jatropha wenyewe ulianza mwaka 1993 na nafaka zinazoendeshwa na injini ili kuwapunguzia kazi kumalizika mwaka 1997. Ulifanya kazi kwa kuunganisha za utayarishaji wa chakula. Hata hivyo, mashine hizi yaliyotajwa hapa juu na vipengele vingine katika “mfumo huhitaji rasilimali kutoka nje kwa ajili ya nishati, mafuta wa Jatropha”. Mfumo huu siyo kwamba unasisitizia tu ya kulainishia, spea na matengenezo. Kwa hiyo, kuhusu matumizi ya mafuta ya Jatropha kama nishati la- uanzishwaji wa mashine kama hizo husababisha vijiji kini pia matumizi ya mafuta haya kama msingi muhimu kuwa maskini na fedha taslimu inayotakiwa kununulia wa kuamilisha mfumo wa mduara unaounganisha na kusafirishia rasilimali hizi zitokazo nje hadi kijijini. matokeo ya kiikolojia, kiuchumi, na ya kuzalisha mapato, Kwa kutumia mafuta ya Jatropha yaliyozalishwa mahali siyo ya mwisho ikiwa mahsusi kwa wanawake.4 hapo kama nishati na mafuta ya kulainishia, kiasi cha Hivyo basi, mfumo wa Jatropha huendeleza vipengele fedha kinachoenda nje ya kijiji kinaweza kusimamishwa. vinne muhimu vya maendeleo ambavyo huungana Kijadi, wanawake wa vijijini walitumia Jatropha curcas kusaidia kuleta uhakikisho wa njia endelevu za maisha kwa ajili ya dawa (mbegu kama haluli—dawa ya kwa wakulima wa vijijini na ardhi inayowasaidia: kuharisha, ulimbo wa mpira kuzuia uvujaji wa damu na • Kudhibiti mmomonyoko na kuongeza ubora wa udongo dhidi ya maambukizo, majani dhidi ya malaria) na kwa • Kuendeleza wanawake ajili ya kutengeneza sabuni. Mchakato wa jadi wa • Kupunguza umaskini kutengeneza sabuni huhitaji nguvukazi kubwa, • Nishati rejeshi inayozalisha kiasi kidogo cha sabuni zenye ubora hafifu. Wakati mafuta ya Jatropha yanapotumika, ama peke Kudhibiti mmomonyoko na kuongeza ubora wa yake au kwa kuchanganywa na mafuta ya mimea mingine udongo kama vile “siagi ya shea,” kiasi kikubwa zaidi cha sabuni yenye ubora zaidi huzalishwa. Wanawake wanaweza kuu- “Uzio hai” wa Jatropha nchini Mali haudhibiti tu za kwa urahisi sabuni hii katika masoko ya vijijini au ya wanyama wasiotakiwa kufika katika mashamba; lakini miji jirani, kwa njia hiyo wakiongeza uwezo wao wa kuji- hupunguza pia mmomonyoko unaosababishwa upepo na, ingizia mapato kwa kutumia rasilimali za kijijini hapo. iwapo utapandwa sambamba na mteremko, unaweza Baadhi ya maelezo ya uchumi wa uzalishaji sabuni kwa kudhibiti mmomonyoko unaosababishwa na maji. Mizizi kutumia mashine ya kutumia mikono ya Bielenberg ya mmea huota karibu na eneo la juu la ardhi, ikizuia yameonyeshwa katika jedwali lifuatalo (bei kwa dola za udongo kama viboma vidogo au vizuizi vya udongo. Marekani 500 FCFA = dola 1 ya Marekani): Maboma hupunguza kwa ufanisi kasi ya mtiririko wa maji wa juu ya ardhi wakati wa mvua kubwa, ambayo ni ya kawaida, na hivyo kusababisha maji zaidi kupenya Kupunguza umaskini ardhini na kuongeza mavuno. Kwa kuhamasisha matumizi wianifu ya mmea wa Keki ya mashudu inayobaki baada ya uziduzi wa mafu- Jatropha, mfumo wa Jatropha unaweza kutoa manufaa ta ni mbolea mahuluku nzuri sana ikiwa na vijenzi vya ya kifedha ya moja kwa moja kwa uchumi wa vijijini. Ili madini vinavyoweza kulinganishwa na vile vya mbolea ya kuonyesha hili kwa kutumia mkokotoo rahisi, chukulia kuku. Mbolea hii ina thamani kubwa kwa kilimo katika kwamba kwa wastani kijiji kimoja katika eneo la mfano nchi za Saheli, kwa kuwa udongo wa kule hupoteza kwa kina kilometa 15 za uzio wa Jatropha ambao ni sawa na haraka mboji na mbolea za kemikali ni ghali sana. tani 12 za mbegu. Kampuni ya Kilimo cha Pamba ya Mali hutumia uzio Hizi tani 12 za mbegu zinaweza kuzalisha mapato ya wa Jatropha kuhakikisha programu ya kilala iliyoboresh- fedha taslimu ya dola za Marekani 1,800 wakati mafuta wa, mashamba ya pamba yanalindwa na uzio wa yameziduliwa na bidhaa kuuzwa: 228 Tini za MA 47 (Dola za Kupunguza hasara zinazosababishwa na mifugo Marekani ) inayorandaranda au madhara ya upepo; • Kilo 9,000 za keki ya mashudu kwa 0.03 = 270 • Kuongeza upenyaji wa maji ya mvua, na hivyo • Lita 2,400 za mafuta kwa 0.60 = 440 kupunguza kazi ya umwagiliaji maji inayohitajika • Kilo 600 za mashapo kwa 0.15 = 90 kwenye bustani za vijijini; Jumla: 1,800 • Kuongeza rutuba ya udongo kwa kutumia keki za mashudu kama mbolea; Tukichukua mfano halisi wa mjasiriamali katika kijiji • Kuongeza matumizi ya malighafi nafuu zipatikanazo kidogo karibu na mji wa Bamako ambaye hununua kijijini badala ya zile ghali zitokazo nje; mbegu kwa ajili ya uzalishaji wa sabuni na anayeajiri • Kupunguza migogoro kati ya wakulima na wamiliki wa watu kwa shughuli za uzalishaji (Uziduzi kwa kutumia mifugo kuhusiana na mipaka ya mashamba yao; mashine ya kushindilia ya Bielenberg, uzalishaji wa • Kutoa nafasi za kazi, na hivyo kupunguza ulazima wa sabuni, angalia jedwali hapo juu) mapato ya fedha wanavijiji kuhamia mijini kwa ajili ya kutafuta kazi. taslimu kwa watu wa kijiji hicho, akiwemo pia mjasiriamali, hufikia kiasi cha dola za kimarekani 3,630: Kutokana na manufaa ya kiuchumi, watu wa vijijini wanapanda uzio mpya wa Jatropha kwa kiwango (Dola za kikubwa. Kwa mfano huko Kita, moja ya maeneo ya Marekani ) majaribio ya mradi wa Jatropha, urefu wa wastani wa • Kilo 12,000 za mbegu kwa 0.10 1,200 uzio umeongezeka kutoka kilometa 5 hadi 15 katika • Kilo 5,000 za kazi kwa 0.20 1,000 miaka 8 iliyopita. • Faida ya mjasiriamali 1,430 Jumla: 3,630 Nishati rejea Iwapo takwimu hizi zinatumika kutabiria mashamba Katika maeneo ya vijijini nchini Mali, injini za aina ya ya Jatropha, basi faida inayokaribia kulingana na ya “Lister” hutumika kuendeshea mashine za kusaga kilimo cha pamba ni rahisi kupatikana. “Mfumo wa nafaka na pampu za maji. Hizi injini za dizeli zenye Jatropha” husaidia pia kupunguza umaskini kwa: Bei yakizio Jumla kwa Dola ya Dola ya Maelezo Kiasi Kizio Marekani Marekani Viingizia Mbegu (hutoa lita 3 za mafuta kwa 12 kg 0.1 1.20 mashine ya kushindilia kwa mkono) Magadi 0.5 kg 1.2 0.60 Nguvukazi (saa 4 kushindilia, 5 saa 0.2 1.00 saa 1 kuzalisha sabuni) Uchakavu/matengenezo Dola ya Mar/kg 0.02 0.24 (miaka 5, lot/a, 240,) Jumla ya gharama 3.04 Mapato Keki ya mashudu 9 kg 0.03 0.27 Sabuni nyeupe 28 vipande (170 g) 0.15 4.20 Jumla ya mapato 4.47 Faida halisi 1.43 Faida kwa kila lita ya mafuta 0.48 Faida kwa kila kilo ya sabuni 0.31 Bei kwa kila kilo ya sabuni 0.89 229 chumba—mwako zisizo ghali zitokazo India huhitaji tu Zaidi ya hayo, Mali ni nchi halisi ya Saheli; ukubwa nyongeza ya chujio la nishati ili ziweze kuendeshwa kwa wake kieneo na aina mbalimbali za tabia ya nchi zinaakisi mafuta ya Jatropha peke yake, na hivyo kuondoa kabisa hali za kiikolojia zinazopatikana kote katika eneo la mahitaji ya gazoil. Zaidi ya hayo, kwenye hali ya juu ya Saheli. Kwa sababu hiyo juhudi zinazofanywa tayari utendaji, mafuta ya Jatropha huwa na ufanisi hata kuliko nchini Mali za kufaidika na mimea inayotoa mafuta gazoil kwa sababu ya kuwa na kiwango cha juu cha zinaweza kuchukuliwa kama mfano na kutumika oksijeni5. Kutokana na majaribio yaliyoendeshwa na kuelezea kinagaubaga “dhana ya uzalishaji na matumizi mradi wa Jatropha, mafuta yanaweza pia kutumika kwa ya mafuta ya mimea kama nishati ambayo inafaa kwa mafanikio kama kilainishio cha injini6. eneo la Saheli kwa ujumla, na hata kwa nchi nyingine za Kwa mazingira yaliyosawa, nishati inayohitajika Afrika. kuzalisha mafuta ya Jatropha kwa kutumia mitambo ya Kwa muhtasari, mfumo wa Jatropha unabainishwa na kugandamiza hufikia karibu asilimia 10 ya mafuta vipengele vingi vizuri vya kiikolojia, kinishati na yanayopatikana. Kwa kuwa mafuta ya Jatropha kiuchumi ambavyo vinahusiana na utumiaji wa mmea yanaweza kuzalishwa kwa gharama nafuu7, vilevile huu kiuchumi. Kadiri mmea huu unavyotumiwa, ndivyo yanaweza kuuzwa kwa bei ya chini kuliko bei rasmi ya mazingira yanayozidi kuwa bora na pia uzalishaji wa gazoil kwenye vituo vya kuuzia mafuta. Na kilicho chakula. muhimu zaidi hata kuliko bei ni uwezekano wa uzalishaji wa nishati tano kijijini, kwa sababu ya kutokupatikana mara kwa mara kwa gazoil maeneo ya vijijini Marejeo kunakosababishwa na ukosefu wa barabara zinazopitika 1 Reinhard K. HENNING, Production und Nutzung von Pflanzeöp wakati wa msimu wa mvua. als Kraftsoff in Entwicklungsländern. In: VDI-Berichte Nr.1126, Teknolojia ya kutumia mafuta menyu asilia ya 1994, 215—229. 2 Reinhard K. HENNING, 3. Fachlicher Zwischenbericht zum Jatropha kama mbadala wa mafuta ya taa kwa ajili ya taa Projekt: Produktion Und Nutzung von Pflanzeöl als Kraftstoff; na majiko bado haijapatikana. Vituo mbalimbali vya unpublished project report, Project Pourghère, GTZ, 1996. utafiti vinashughulikia suala hili. 3 Siaka KONE, Les activitès précédentes sur le Pourghère au Mali, unpublished project report, Programme Special Energie Mali, 1998. 4 Reinhard K. HENNING, Klaus V . Mitzlaff, Produktion und Nutzung von Purgieröl als Kraftstoff und Rohstoff für die locale Hitimisho Seifenhestellung im Saheli. In Witzenhauser Hochschulwochen, 1995. Matokeo ya Mradi wa Jatropha hadi hivi sasa 5 Carl BIELENBERG, personal communication (1994). yanadhihirisha kuwa uwezekano wa kutumia mfumo huu 6 Reinhold Metzler, Plant Oil as Fuel and Lubrication Oil, unpublished project report, Project Pourghère, 1996. kwa mafanikio ni mkubwa, ilimradi mkabala ulio makini 7 Hans-Jürgen WIEMER, Rapport de mission: Etablissement d’un unachukuliwa. Zaidi ya yote, tahadhari lazima kuchu- système de suivi et évaluation des effets du projet, unpublished kuliwa ili kuhakikisha kuwa wanawake wanabakiwa na project report, Projet Pourghère (1995). wajibu wao wa kuvuna na kusindika mbegu. Ethiopia Uwezo wa Bima ya Jamii ya Kijadi katika Kusaidia Huduma ya Afya Makala hii iliandikwa na Prof. Damen Haile Mariam, Profesa Mshiriki na Mkuu wa Idara ya Afya ya Jamii, Kitivo cha Tiba Chuo Kikuu cha Addis Ababa, Ethiopia. Kwa maelezo zaidi tumia baruapepe, hcfp.aau@telecom.net.et Katika nchi nyingi zinazoendelea, Mpangilio na muundo wa eders mipango ya sasa ya kugharimia shughuli za afya inayobainishwa na Eder ni aina ya taasisi ya kijamii ya migao ya bajeti ambayo nayo inazidi jadi inayoanzishwa kutokana na kupungua hatua kwa hatua na makubaliano ya hiari baina ya mipango zaidi ya kuchangia gharama wanajamii ili kushirikiana miongoni imesababisha kuwepo na haja ya mwao wakati wowote mmoja wao kuchunguza mikabala mbadala na ya anapofikwa na matatizo. Kazi ya msingi ya eder ni kushughulikia Tini za MA 48 ziada ili kuboresha hali ya ugharimi- kiaji. Miongoni mwa njia mbadala masuala ya kufariji na maziko na Septemba 2002 kufariji pale unapotokea msiba zinazopendekezwa ni mbinu zina- zojumuisha mipango yenye msingi miongoni mwa wanachama. Eders katika jamii ambazo huchota uwezo pia hutoa msaada kufidia hasara kwa wa mipangilio ya kijamii ya jadi. mwanachama (kwa tukio kama la Nchini Ethiopia, eders ni aina ya wizi, n.k.), wakati wa harusi ya mipangilio ya jadi inayotumika hasa mwanachama, n.k. Zaidi ya hayo, kuwasaidia wale waliofiwa na kwa eders huwa na umuhimu mkubwa ajili ya kutekeleza shughuli zinazo- katika shughuli nyingine za maende- husiana na maziko. Vyama hivi pia leo kwenye jumuia inayowazunguka. huombwa msaada wakati wa shu- Eders hushiriki kwa kuchanga fedha ghuli mbalimbali za kujisaidia na au kuratibu kazi za kujitolea za wakati mwingine hufanya kazi kama wanachama katika shughuli kama bima za afya ingawa kwa namna isi- vile ujenzi wa barabara, shule, taasi- yo rasmi. Vina uwezo dhahiri wa ku- si za afya na nyingine kama hizo. toa huduma kama mbinu za jamii za Baadhi ya eders hutoa mchango wa ugharimiaji. Kwa kuwa hivi ni fedha kwa wanachama waliopoteza vikundi ambavyo tayari vinafanya nyumba zao kutokana na moto au kazi, gharama za utawala kwa ajili kumfidia yule aliyepoteza maksai ya shughuli za ziada zinazohusiana wake, ambapo nyingine hutoa pia na masuala ya afya si za kutisha ka- msaada kwa wanachama ili kulipia ma unapoanzisha chombo kipya cha gharama za matibabu. bima. Kwa kuongeza, eders ni vikun- Muundo wa eders zilizo nyingi ni di vyenye msingi wa uelewano baina wa kawaida sana. Vikundi hivi vina ya wanachama, hali inayopunguza mwenyekiti au “mwamuzi” na uwezekano wa uteuzi mbaya. karibu vyote vina Katibu na Mweka Hazina. Inasemekana kwamba Eders 230 231 ni vikundi vya kijamii vinavyoendeshwa kidemokrasia na Uchunguzi wa ufuatiliaji ulifanywa pia na mwandishi kwa usawa kuliko vingine nchini Ethiopia—uanachama mwaka 1999 katika vijiji vilivyoteuliwa kwa utaratibu uko wazi kwa kila mtu bila kujali hadhi yake ya kijamii na maalumu nchini humo. Data kwa ajili ya sehemu hii ya kiuchumi, dini, jinsia, na kabila. Ingawa wahojiwa uchunguzi zilikusanywa kupitia utafiti uliofanywa katika wachache walitaja uwezo wa kulipa michango kuwa kaya na mahojiano ya wanaoruhusiwa kutoka hospitalini. sababu ya wao kutokuwa wanachama wa eders, vikundi Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huu wa baadaye, karibu vyote vya eders vina taratibu maalumu kwa karibu asilimia 87 ya wahojiwa kutoka kwenye kaya na wanachama wanaokabiliwa na matatizo ya kiuchumi na asilimia 72 ya wahojiwa wanaoruhusiwa kutoka hivyo kushindwa kulipa michango yao baada ya kuwa hospitalini walikuwa wanachama wa vikundi vya eder wanachama kwa muda fulani. Wanachama wa aina hii wakitoa malipo ya mwaka ya dola za Marekani 7 (1.5 hadi huchukuliwa na vikundi vya eders kama “wastaafu” na 60) na dola za Marekani 8 (Birr 1.5 hadi 68) kwa wanaruhusiwa kupata haki zote wanazostahiki wanakaya na wahojiwa wanaoruhusiwa hospitalini kwa wanachama wengine. mfuatano huo. Muhimu zaidi, asilimia 21.5 ya wahojiwa kutoka kundi la wanakaya na asilimia 16 ya wahojiwa wanaoruhusiwa kutoka hospitalini walidai kuwa vikundi Uwezo wa eders katika kugharimia huduma za afya vyao vya eder hutoa msaada wakati wa mahitaji ya tiba. Aina ya msaada unaotolewa yaweza kuwa mkopo au Muundo wa kishirika wa vikundi vya eders ambavyo kwa pengine kulipia gharama zote za matibabu za sasa hutoa huduma za afya hautofautiani sana na ule wa mwanachama. Wahojiwa kutoka makundi hayo yote vikundi visivyotoa huduma hii—hapana shaka pangeta- mawili waliulizwa iwapo wangependa kujiunga na kiwa kuwa na msititizo wa wazi katika hili kwenye mpango wowote wa bima ya afya unaosimamiwa na masuala ya afya. La muhimu hapa ni uhusiano wa karibu vikundi vya eder. Asilimia 86 kutoka kundi la wanakaya na mawasiliano yanayoendelea pamoja na taasisi za afya na asilimia 90 katika kundi la walioruhusiwa kutoka zinazotoa huduma kwa wanachama. hospitalini walikuwa wanapendelea kujiunga na mipango Mantiki ya kifedha ya eder haitofautiani na mfumo kama hiyo. Wastani wa michango ya kila mwezi ambao wowote wa bima. Katika mazingira yaliyo mengi wahojiwa walidai kuwa wangeweza kuulipa ulikuwa ni wanachama huchanga kiasi cha fedha kilichopangwa kwa birr 2.5 (dola za Marekani 0.3) kwa mfiko wa birr 1 hadi wiki au kwa mwezi. Wakati wowote mwanachama 36 (dola za Marekani 0.13 hadi dola za Marekani 4.5) anapopata tatizo, kiasi kilichopangwa (kutegemea kanuni katika kundi la wanakaya na birr 3.4 (dola za Marekani mahsusi za eder) hutolewa kwenye ule mfuko wa pamoja 0.4) kwa mfiko wa birr 1 hadi 48 (dola za Marekani 0.13 na kupewa yule mwanachama. Kuna pia vikundi vichache hadi dola za Marekani 6) katika kundi la wahojiwa vya eder vinavyochangisha hicho kiasi kilichopangwa kila walioruhusiwa kutoka hospitalini. Wahojiwa katika kundi tatizo linapotokea. Katika upembuzi yakinifu wa bima ya la walioruhusiwa kutoka hospitalini (ambao karibuni afya yenye msingi katika jamii iliyofanywa na mwandishi wamepata uzoefu wa gharama za ugonjwa) walionyesha (wa makala hii) na mwakilishi wa BASICS* (“Basic kiwango cha juu cha mwelekeo wa kujiunga na mipango Support for Institutionalizing Child Survival”, shirika ya bima ya afya inayosimamiwa na eder wakiwa na utashi linalosaidia kutekeleza mipango inayosaidiwa na USAID) wa juu kidogo wa kulipia kwa masharti ya michango ya katika miji mitatu, Adama katika Jimbo la Oromo na kila mwezi. Manufaa ambayo wahojiwa wengi waliyatha- Yirgalem na Arbaminet katika Jimbo la Kusini, vikundi mini ilikuwa huduma za dharura zikifuatiwa na dawa. Ni vya “eders” vimeonekana kutoa msaada wa kifedha kwa dhahiri kwamba watu wa maeneo ya vijijini ambako matatizo ya afya ya wanachama. hakuna fursa za kutosha za huduma za dharura (ikiwa ni Kwa mfano, katika mojawapo ya kikundi kilichohusish- pamoja na huduma za ukunga) wangekuwa tayari wa katika upembuzi, kiasi kinachofikia hadi dola za Ma- kujiunga na mipango ambayo ingewawezesha kupata rekani 15 kilitolewa kwa kaya ambamo mwanafamilia ali- huduma hizo. Mfano wa hali halisi ni eder iliyo katika takiwa kulazwa hospitalini. Kiasi hiki hulipia gharama za eneo moja la utafiti ambayo ilitoa mkopo wa Dola za awali zinazohitajiwa na hospitali kabla ya mgonjwa Marekani 25 kwa mama mjamzito aliyekuwa anakabiliwa kulazwa. na matatizo ya kujifungua. Fedha hiyo ilitumika kukodi usafiri wa dharura wa kumpeleka mama mjamzito kwenye kituo cha afya kilichokuwa umbali wa karibu * Dkt. Logan Brenzel (Mshauri wa mambo ya fedha katika masuala kilometa 40 kutoka kijijini hapo. ya huduma za afya na BASICS) 232 Tini za MA 48 Umaarufu wa eder miongoni mwa watu wa kila aina Marejeo umekuwa ukiongezeka. Hizi taasisi zisizo za biashara zenye kutegemea msingi wa mshikamano, urafiki na Aredo, D. The Iddir: A study of an indigenous informal kusaidiana miongoni mwa wanachama zinaweza kuwa na financial institution in Ethiopia. Savings and mbinu za kushurutisha utiifu na vivutio sahihi vya Development. 1993, XVIII (No.1): 77-90. kuzitumia—sifa muhimu zinazoangaliwa wakati wa Haile Mariam, D., & Brenzel, L. Feasibility of kuchunguza wajibu wa taasisi asilia katika maendeleo ya Community-based Health Insurance in Ethiopia. kiuchumi na kijamii. Kwa jumla, inadhaniwa kwamba BASICS Publication, 1998, Arlington, VA. mipango inayosimamiwa na eder ingeweza kuongeza Klitgaard, R. Including Culture in Evaluation Research, ufanisi katika utoaji wa huduma. in Piciotto, R. and Rist,RC. eds. Evaluating Country Development Policies and Processes. 1995. San Francisco: Jossey-Bass. Pankhurst, R., & Eshete, E. Self-Help in Ethiopia. Ethiopia Observer. 1958;2(11):354-364. Seifu, A. Eder in Addis Ababa: A Sociological study. Ethiopia Observer. 1968; 12(1)8-33. Wakulima Wafanya-Majaribio: Teknolojia ya Kujibunia Makala hii iliandikwa na Roland Bunch, mratibu, na Mateo Canas, mtafiti, COSECHA, Honduras. Nchini Honduras, ikiwa ni matokeo shughuli ya manufaa kwa asasi zina- ya kazi ya mashirika ya maendeleo ya zojihusisha na maendeleo ya kilimo. kilimo yapatayo 20 katika miaka ya mwanzoni ya 1990, mamia ya waku- lima wafanya-majaribio wamekuwa Programu za maendeleo ya wakijaribisha wao wenyewe kwa teknolojia shirikishi [PTD] nchini muda unaoanzia miaka miwili hadi Honduras kumi mara baada ya kufunga progra- Ikianzia na uanzishwaji wa “World Tini za MA 49 mu ambayo awali walikuwa washiriki Neighbors-managed Guinope Pro- Oktoba 2002 wake. Mwaka 1999, nchini Hondu- gram” Januari mwaka 1981, PTD ras, shirika lijulikanalo kama “Asso- imekuwa mbinu inayotumika sana ciation of Advisors for Sustainable kwa ajili ya maendeleo ya kilimo Ecological and People-centered Agri- nchini Honduras. Kiasi cha asasi 20 culture” [COSECHA] liliamua ku- za maendeleo ziliwafunza wakulima chunguza teknolojia iliyokuwa ikien- kufanyia majaribio angalau progra- delezwa na wajaribishaji hawa waku- mu 30 tofauti nchini kote. Nyingi lima, na jinsi teknolojia za namna hii kati ya programu hizi zilifikia mwi- zinavyoweza kuenezwa vizuri kwa sho mapema kwenye miaka ya 1990, wakulima wengine. Kwa nia hiyo, zikiwa na matokeo yanayoifanya COSECHA liliwahoji watu 50 Honduras kuwa mojawapo ya nchi miongoni mwa wakulima wafanya- zenye utajiri mkubwa kwa msingi wa majaribio hawa. Teknolojia zilizooro- wingi wa wakulima-wafanya majari- dheshwa ni zile tu ambazo wakulima bio bila msaada wa kitaasisi. Hata wadogo walikuwa wamebuni wenye- hivyo, hakuna taasisi iliyowahi kuta- we, baada ya programu kuwa imefika fiti jambo hili. mwisho, na kwamba zilikuwa hazija- wahi kuenezwa au kujulikana ndani ya nchi kabla ya ugunduzi uliopang- Uchunguzi wa na wakulima hao. Utafiti unaonyesha kuwa wakuli- COSECHA limefanya ziara sehemu ma hawa wana uwezo wa kubuni ida- zote mbili nyumbani kwa wakulima di kubwa ya teknolojia muhimu na hawa na mashambani mwao wana- halisi, na hivyo kuthibitisha kuwa kotumia teknolojia waliyoibuni. ukusanyaji na uenezaji wa teknolojia Katika ziara hizi, mahojiano hu- za Majaribio ya Wakulima katika ma- fanywa kwa mtindo wa maongezi taifa mengine duniani kote ingekuwa yasiyo rasmi ambayo kupitia kwake 233 234 Tini za MA 49 mhoji huhakikisha kuwa kila suala katika orodha ya Kundi “B” hujumuisha zile teknolojia zinazoweza kufaa masuala 20 linashughulikiwa. Baada ya kila ziara kuthibitishwa, lakini kunakoweza kufanyika baadaye. (ambayo kwa kawaida huchukua nusu siku) orodha ya Kundi C hujumuisha zile teknolojia ambazo inaelekea maswali yote yaliyotayarishwa mwanzoni mwa uchungu- hazifai kuenezwa. Ingawa hizi tathmini ni za lazima zi hupitiwa ili kuhakikisha kuwa yameshughulikiwa, na kuliko kuwa za dhahania, COSECHA hutumia orodha ya yale yaliyosahaulika yanaulizwa. vigezo 19 vya teknolojia mwafaka (Bunch 1982) Maswali hushughulikia masuala kama vile ni teknolojia vinavyotusaidia kutathmini kila teknolojia. zipi ambazo wakulima wamekuwa wakifanyia majaribio Kati ya teknolojia asilia 82 zilizobuniwa, 39 na ni zipi zinazoonekana kuwa na mafanikio (yaani ni zipi zimeainishwa kuwa katika Kundi A. Kati ya hizi 39, idadi wakulima walikubali kuendelea kuzitumia). Maelezo ya ifuatayo ilifungamana na kila mojawapo ya makundi kina ya teknolojia zenye mafanikio yanachukuliwa pamoja yaliyoorodheshwa hapa chini: na uchanganuzi wa gharama kwa kila teknolojia kwa Udhibiti wa wadudu 15 kulinganisha teknolojia hii inavyodhibiti mashamba. Data Urutubishaji 10 kuhusiana na mwinuko, kiasi cha mvua, ukubwa wa mili- Udhibiti wa magonjwa ya mimea 8 ki wa ardhi, mteremko wa mashamba, n.k. nazo huchuku- Udhibiti wa magugu 2 liwa. Mkulima huulizwa kuhusu mwitikio wa wakulima Utayarishaji wa chakula 2 wengine kuhusiana na kukubalika kwa teknolojia. Ufugaji 2 COSECHA pia hudodosa ili kujua ni vitu gani mkulima Uenezaji wa mimea 1 anavyofikiria vinamkwaza, na iwapo angependelea kushi- Utiaji wa mbolea mbichi 1 rikiana na baadhi ya makampuni ya kutafuta masoko, Uhifadhi wa udongo 1 iwapo mkulima angependa kujiunga na umoja wa waku- Nyinginezo 3 lima wafanya-majaribio ya kilimo kitaifa, na ikiwa ndiyo 45 malengo makuu ya umoja huo wangependa yawe yapi. Jumla ya teknolojia ni kubwa kuliko zile 39 kwa sababu baadhi ya teknolojia zilihusisha vipengele vya makundi Matokeo hadi sasa: teknolojia zilizogunduliwa mawili. Kutokana na orodha hii inaweza kudhihirika kwamba Jumla ya wakulima wafanya-majaribio hamsini na wawili wakulima wafanya-majaribio walichagua kujaribu aina kutoka wilaya 10 kati ya 23 za nchi ya Honduras nyingi za teknolojia zinazotofautiana, ikiwa ni pamoja na wamehojiwa. Hawa wanajumuisha pia wakulima ambao hata baadhi kwa mfano utayarishaji wa chakula) zile am- hapo awali walikuwa wamepewa mafunzo na asasi 17 bazo kwa kawaida hazihusiani sana na uwanja wa kilimo. tofauti, yakianzia na AZISE 12 hadi asasi 3 za serikali na Hata hivyo, ni jambo la kushangaza pia, kwamba asasi 2 za kitaaluma. Palikuwemo pia wakulima wafanya- makundi machache ya teknolojia yameachwa kabisa. majaribio wanawake 7, ingawa hata hivyo wanawake wa Hakuna hata mkulima mmoja katika kundi hili la Amerika ya Kati, kwa ujumla, hawajihusishi sana na wabunifu aliyefanya majaribio ya uvunaji wa maji au kilimo kikubwa (yaani, nje ya bustani za kaya) mpaka matumizi, ingawa maeneo mengi ya Honduras yana kipindi cha mavuno, wala hawakupatiwa mafunzo ya ukame mbaya sana; katika sehemu kubwa ya kusini mwa kuwa wakulima wanaofanya majaribio na miradi ya Honduras, upungufu wa maji wa vipindi au wa jumla miaka ya 1980 na mapema 1990. hapana shaka ni kikwazo muhimu katika mifumo ya Hawa wakulima wabunifu 52 walibuni teknolojia 82, uzalishaji ya wakulima wa vijijini. Zaidi ya hayo, uzoefu nyingi ya hizo zikiwa kwa ajili ya kilimo cha mashamba wa wakulima wabunifu katika miradi ya sasa hutoa makubwa, lakini pakiwemo na chache za shughuli za ushahidi wa maana kwamba wakati ambapo wana baada ya kuvuna na za utayarishaji wa chakula. shauku sana ya kufanya majaribio katika uvunaji na Kumekuwepo na juhudi za kuweka teknolojia hizi katika matumizi ya maji kwa ufanisi zaidi, hakuna hata mmoja madaraja ya makundi matatu. Kundi “A” linawakilisha wa wakulima hawa aliyejumuishwa katika uchunguzi zile teknolojia zinazoonekana kuwa na thamani kwa kwa sababu mradi huu wa COSECHA bado unaendelea. mujibu wa manufaa anayoyapata mkulima na upana wa Ni jambo la kushangaza pia kufahamu kwamba hakuna matumizi miongoni mwa wakulima wengine nchini teknolojia hata moja iliyohusiana na uanzishwaji wa Honduras, manufaa yanayozifanya kustahili uthibitisho mazao mapya (ingawa vigezo vilivyotumika katika zaidi na hivyo, kutegemeana na matokeo ya mchakato wa uchunguzi, pengine vikiwa na vikwazo sana, vingeondoa uthibitisho, kuendelea kuenezwa kwa wakulima wengine. uwezekano wa kuanzisha zao lolote ambalo tayari lipo 235 mahali pengine popote nchini Honduras) au matumizi ya • Mbolea za majani zilibuniwa na kutengenezwa kwa mazao ya miti au kilimo mseto. Kwanza inawezekana kutumia ama mbolea ya wanyama, uozo wa majani ya kwamba baadhi ya makundi ya teknolojia (kwa mfano, mkakao, majani ya magugu mbalimbali ya kawaida, au uvunaji wa maji) hayakufanyiwa majaribio kwa sababu hata vumbi la mbao (ya mwisho ikiwa imethibitika kuwa wakulima ama hawakufikiria hata kidogo kama ya manufaa sana katika kuzuia magonjwa). wangefanikiwa kupata ufumbuzi wowote, au kwa sababu • Mkulima mmoja mbinifu mwanamke aligundua kuwa tu wazo linalohusu teknolojia hizo halikuwajia. Kwa hiyo, rojo la kahawa linaweza kukaushwa kwa kulitandaza tu miradi ya baadaye ya kilimo inatakiwa kujadili na juani ili kulikausha. Mkulima mbunifu mwingine wakulima kabla ya kuhitimisha kazi yao katika eneo ili aligundua kuwa kwa kuchanganya rojo la kahawa oevu kubainisha ni teknolojia zipi zinazoweza kutumika katika na mbolea ya kuku au unga wa mbao ungeweza pia siku za baadaye. kulikausha. Likiwa limekauka, rojo la kahawa ni mbolea Pili, wakulima wanaweza kuwa wanafahamu aina nzuri sana, ambalo hapo kabla lilikuwa likichafua mito fulani za teknolojia wanazoweza kuzitumia, lakini nchini humo. wakawa hawazioni kama teknolojia zenye umuhimu • Myeyusho wa uozo wa majani ya kakao na mkaratusi mkubwa kwao. Mathalani, katika suala la mazao ya miti. uligunduliwa kuwa kiuakuvu kizuri sana kwa ajili ya Wakulima wabunifu kwa hakika wanatambua kwamba bustani za miche. mazao hayo yapo na yana faida, lakini wanaweza kuhisi • Mkulima mmoja aligundua kwamba angeua bakteria kuwa mtu anayotakiwa kusubiri kwa miaka mingi kabla waliokuwa kwenye udongo katika kitalu kwa kulima ya kurudisha faida jambo linaloweza kufanya teknolojia udongo huo vizuri na kisha kuufunika kwa plastiki safi ili hizi kuwa na umuhimu mdogo kuliko zile zinazorudisha uweze kupata joto sawasawa la saa za mchana. faida haraka. Hali kama hiyo inaweza kufananishwa na • Kunyunyizia mimea na unga wa mbao ulioyeyushwa mfumo wa kilimo mseto, ingawa wakulima kusini mwa ndani ya maji na pia kuweka unga huo wa mbao kwenye Honduras katika mradi wa FAO, unaoweka msisitizo mashina ya mimea, njia zote mbili zimeonekana kwenye miti iliyotawanyika, wanafanyia sana majaribio kufanikiwa kudhibiti magonjwa ya mimea kadhaa hata mabadiliko mbalimbali ya mfumo wa miti iliyotawanyika. yale magonjwa hatari sana kama baka jani (Phytophthera Bila shaka, wakulima wabunifu pengine hawakufanyia infestas) kwenye mimea ya nyanya na viazi. majaribio mazao mapya kwa sababu, ili yahusishwe • Chakula cha wanyama kinachotokana na mahindi katika utafiti, yangetakiwa kuwa mazao yanayolimwa tu kilitengenezwa kwa kuongezea majani ya m-tithonia na nje ya Honduras, jambo ambalo lingesababisha ugumu maganda ya mayai na hivyo kuongeza uzalishaji wa kwa wakulima wabunifu kujifunza kuhusu mazao hayo mayai. au kupata mbegu za kupanda. • Mkulima mmoja mbinifu aligundua kwamba kwenye miinuko ya zaidi ya mita 500, upandikizaji wa mwarobai- ni kwenye mti wa shina la mizizi uliopo mahali hapo Teknolojia zenye kuleta matumaini zilibuniwa husababisha kukua kwa haraka sana kwa mwarobaini. • Mkulima mbunifu mwingine aligundua kwamba kwa • Wakulima waligundua kuwa vidukari hufa ikiwa kuchanganya mimea (kilimo mseto) ya (Canavalia vitakaushwa. Kwa hiyo walijaribu kwa kutumia unga wa ensiformis) ndani ya mimea ya mhogo, alipunguza kwa ngano uliochanganywa na maji kwa ajili ya kunyunyizia kiasi kikubwa muda wake wa kupalilia na kuongeza kwenye miti ya matunda katika bustani zao za miche, na uzalishaji wake wa mhogo kwa zaidi ya asilimia 25. kugundua kuwa wangedhibiti vidukari na wadudu wengine wenye tabia hiyo ya kufyonza kwa njia hiyo Inatakiwa ifahamike kwamba teknolojia hizi kwa rahisi. namna yote ile ni teknolojia zinazoweza kujumuishwa • Maji ya sukari au kidogo maji ya chumvi, yakiwekwa chini ya utambulisho wa teknolojia zinazotumia viingizia kwenye ncha ya juu ya mmea unaoota, yalifanyiwa maja- kidogo na za kiikolojia, na mara nyingi kuna pia ribio kwa mafanikio kama njia ya kudhibiti wapekecha teknolojia zinazofaa sana kwa ajili ya wakulima wa vijijini nafaka. wenye mtaji mdogo. Kwa ujumla, ni nafuu sana (baadhi • Mkulima mwingine mbunifu aligundua kuwa sungu hazihitaji fedha taslimu za kutoa hata kidogo), hutumia wanaokata majani hawapendi kuishi karibu na miaro- rasilimali iliyopo mahali pale, haziongezi mashaka, hutoa baini. Kwa kupanda miarobaini karibu na mikusanyiko mapato ya haraka na yanayotambulika, na karibu zote ni mbalimbali ya hawa sungu, aliweza kuwafukuza (waliha- za gharama nafuu sana, na karibu zote zinatumika vizuri mishia makazi yao mahali pengine). sehemu nyingi. Orodha hiyo hapo juu inadhihirisha 236 Tini za MA 49 waziwazi kwamba wakulima wabunifu wa vijijini si miongoni mwa wakulima wabunifu mapema kuanzia kwamba tu wanaweza kubuni teknolojia zenye bidhaa mwanzo ni sehemu muhimu ya mchakato mzima wa bali hata teknolojia hizo wanazobuni zinafaa sana kushajiisha ambao ni wa lazima kwa ajili ya watu wakulima wengine wadogowadogo. kutumia juhudi kufanya majaribio ya mara kwa mara. Mojawapo ya matokeo ya kukatisha tamaa ya utafiti ni • Katika baadhi ya mifano miradi haitaweza kupata kwamba teknolojia zilizobuniwa na wakulima wadogowa- teknolojia ambayo tayari imethibitishwa, yenye dogo hazikusambazwa sana. Hakuna teknolojia iliyobu- mafanikio tayari ikiwa inatumiwa na miradi mingine niwa na mkulima iliyosambazwa kwa zaidi ya wakulima katika mazingira yanayofanana (kiikolojia, kiutamaduni, 10 wengine kwa kutumia juhudi pekee za wanavijiji. n.k.). Mradi utajikuta ukifanya majaribio ya aina kadhaa za teknolojia kabla ya kufanya kazi na wakulima. Hata hivyo, kadiri muda unavyopita miradi michache zaidi Mafunzo yaliyopatikana itajikuta katika hali hiyo. • Kwa hiyo, miradi iliyotoa kipaumbele cha hali ya juu • Utafiti huu unatuacha bila shaka yoyote kwamba kwa kuruhusu mchakato wa PTD kuanza na wakulima wakulima wabunifu wa vijijini, kwa juhudi zao wenyewe, wabunifu wa siku za baadaye kujichagulia teknolojia wanaweza kubuni teknolojia za msingi na zinazoweza kutoka kwenye orodha ndefu ya teknolojia zenye kubadilishwa na ambazo zinazonekana kuwa na uwezo manufaa makubwa, inaweza kufikiria kupunguza orodha mkubwa kwa wakulima wote nchini, na pengine kote ili iwe fupi kidogo kuliko teknolojia ambazo tayari duniani. Wakati teknolojia hizi bado zinahitaji uhakiki zimethibitika kutoa mafanikio ya haraka na zaidi, uwezo wake, kwa mujibu wa vigezo vinavyo- yanayotambulika katika fursa zilizo nyingi. kubalika vya ufaaji wake na uwiano wa gharama na faida • Utafiti unatoa ushahidi muhimu kwamba ukusanyaji, kiuchumi, zingeonekana kuwa kubwa sana. uthibitishaji, na uenezaji zaidi wa teknolojia zilizobuniwa • Asasi mbalimbali nchini Honduras zimetumia mbinu na wakulima wabunifu vinaweza kuwa shughuli yenye mbalimbali katika mafunzo kwa wakulima wabunifu. thamani kwa baadhi ya watafiti na/au AZISE Wakati wa utafiti huu, ilionekana kwamba asasi zilizotu- kujishughulisha nazo. Asasi za maendeleo zinatakiwa, mia mbinu zinazoleta mafanikio ya kiwango cha juu kati- kwa hiyo, kusaidia kueneza mawazo hayo duniani kote ka majaribio machache ya kwanza waliyofanya, yaliwaha- kupitia magazeti, teknolojia ya habari, mikutano ya masisha wakulima wengi zaidi kufanya majaribio kwa kimataifa, kama huu wa sasa, na kozi na warsha ili siku za baadaye kuliko yalivyofanya mashirika yaliyo- kusambaza taarifa kuhusu uwezekano na manufaa yake. baki. Kupata mafanikio ya haraka, yanayotambulika Eritrea Majukumu ya Pamoja kwa Ajili ya Yatima wa Vita Chanzo cha makala hii ni Wizara ya Kazi na Ustawi wa Jamii, serikali ya Eritrea, Asmara, Eritrea. Makala iliandikwa na Peter H. Wolff, M.D, Chuo cha Udaktari cha Harvard, Boston, Massachusetts, Marekani. Kwa maelezo zaidi wasiliana naye kwa kutumia baruapepe: wolff_p@tch-harvard.edu. Kabla ya mgogoro wa miaka thela- waliopoteza wazazi wote iliongezeka thini kati ya Ethiopia na Eritrea, kwa kiwango kikubwa kimahesabu. dhana ya “yatima” kama inavyofafa- Wakati huohuo, mfumo wa kijamii nuliwa katika jamii za magharibi wa jamii ya jadi ulikuwa umevuru- ilikuwa kwa kweli haijulikani. Ila gika kwa kiasi kikubwa. Matokeo walikuwepo watoto waliokuwa wa- yake ni kwamba desturi asilia za metelekezwa kwa sababu mbalimbali kutunza watoto wasio na wazazi zili- na walitunzwa na taasisi (nyumba za kuwa hazifanyi tena kazi, na Tini za A MA Na. 50 yatima) zilizosaidiwa na mashirika Utawala wa Eritrea ilibidi uandae Novemba 2002 ya dini ya nje. Katika jamii ya jadi ya utaratibu maalumu wa kuwatunza Eritrea, kwa ujumla lilikuwa ni kwa pamoja kwa muda wote vita jambo lililo wazi kwamba watoto ilikuwa inaendelea. Mara baada ya waliopoteza wazazi wote wawili uhuru, uchunguzi wa kitaifa ulioen- wangeweza kuchukuliwa na ndugu deshwa na mamlaka ya mambo ya zao kiukoo; au ikiwa hakuna ndugu Kijamii ya serikali mpya ya Eritrea aliyepatikana, walichukuliwa na ulibainisha kwamba jumla ya watoto majirani au marafiki wa familia. 14,000 wenye umri chini ya miaka Watoto waliopoteza wazazi wote kumi na sita walikuwa wamepoteza wawili moja kwa moja huwa kama wazazi wote wawili kwa sababu ya wanandugu katika familia mpya na vita; na kwamba zaidi ya hiyo, kiasi walikuwa na haki zote na wajibu cha watoto wasiopungua 100,000 kama watoto wengine katika familia walikuwa wanahitaji uangalinzi hiyo. Utaratibu huu unaopatikana maalumu kwa sababu wazazi wao “ngazi ya chini” wa kutunza watoto wanaoendelea kuishi hawakuwa na katika mahitaji ya dharura ya ulinzi uwezo tena wa kuwapa watoto wao ulikuwa umeenea nchini kote na mahitaji ya msingi ya chakula, hasa katika jamii za vijijini na malazi na fursa za elimu. Kwa nia ya miongoni mwa jamii za wahamaji. kusaidia, AZISE kutoka nje na asasi Kwa kuwa utaratibu ulichukuliwa za kanisa zilianza kujenga au kuwa jambo la kawaida, hapakuwepo kukarabati na kupanua nyumba za na haja ya makubaliano rasmi au yatima katika maeneo ya watu nyaraka za kisheria, na uasilishaji na wengi, na kufanya juhudi za pamoja ulezi wa kimkataba wa watoto za kuanzisha dhana ya kukabidhi vilikuwa dhana ngeni. watoto hawa kisheria kwa nchi za Ikiwa ni matokeo ya vita vya kigeni kama watoto wa kupanga au miaka thelathini, idadi ya watoto wa kulea kama mikakati iliyokuba- 237 238 Tini za MA 50 lika kama suluhisho la kutunza watoto wasio na wazazi. wa kijamii na kiuchumi kwa watoto pamoja na familia Hata hivyo, wakala wa huduma za jamii nchini Eritrea zilizowapokea. Kwa ufupi, mashirika ya huduma za jamii yaliwahi kuwa na uzoefu mbaya na uasiliaji wa nje wakati ya Eritrea yameweza kutoa mazingira mazuri ya kifami- wa vipindi vya nyuma vya kutawaliwa. Kwa hiyo, lia kwa maelfu ya watoto wasio na wazazi kwa kutegemea walikataa misaada yote iliyohusisha upangaji watoto au na baada ya mabadiliko madogo, desturi za jadi za huduma ya ulezi wa kimkataba na kufanya juhudi kubwa utunzaji wa watoto ambazo zimekuwa sehemu thabiti ya za kufunga nyumba zote za yatima haraka kadiri Utamaduni wa jadi wa Eritrea kwa karne na karne. iwezekanavyo. Badala yake, waliandaa mpango wa kitaifa Pamoja na juhudi zote kubwa na za muda mrefu za kwa ajili ya kuokoa na kurejesha katika maisha ya ka- kutafuta, haikuwezekana hata hivyo, kupata koo zote za waida watoto wasio na wazazi ambao kwa kiasi kikubwa watoto wote yatima wa vita. Kwa hiyo, mpango mbadala ulijiegemeza kwenye desturi za jadi za kutunza watoto. ulitekelezwa sambamba ili kuwapa ulinzi watoto ambao Sehemu kuu ya mpango huu ilikuwa ni kuwaunganisha haikuwezekana kuwaunganisha na koo zao. Nyumba za tena yatima pamoja na watoto wengine wasiokuwa na kikundi kidogo hivi sasa zinajengwa katika maeneo kuwatunza na ndugu zao katika familia pana. Uchunguzi mbalimbali ya nchi. Zimepangiliwa ili kutoa mazingira katika taifa zima ulitekelezwa ili kwanza kujaribu mazuri ya kijamii na kimaumbile kwa watoto kumi na kutafuta ndugu wa kiukoo (shangazi, wajomba, mababu wawili wanaoishi pamoja na mama msimamizi wa na wengine kama hao), na kisha kuteua wale ndugu nyumba wa kudumu mmoja au wawili. Kila inapo- ambao wako katika hali nzuri ya kutoa ulinzi muhimu wa wezekana, yatima ambao ni ndugu hupangwa kuishi kijamii na kiuchumi kwa watoto. Hata hivyo, familia katika nyumba ya kikundi moja na kikundi chochote cha zilizo nyingi, zikiwemo hata zile zilizokuwa katika hali watoto kumi na wawili wanaoishi katika nyumba ya nzuri ya kiuchumi, zilikuwa zimefukarishwa na vita vya vikundi kimoja huchaguliwa kwa makusudi ili wawe na miaka 30 kiasi kwamba suala la kupokea mtoto mmoja au umri unaotofautiana kuanzia miaka miwili hadi kumi na zaidi kungewaongezea mzigo wa ziada usiokubalika sita, ili baada ya muda, pamoja na mama yao mlezi, katika maisha yao. Mradi wa kuzalisha mapato ulibuniwa waweze kuunda familia pana yao wenyewe. Zaidi ya hayo, na kutekelezwa ambapo kila familia yenye uwezo wa watoto wanapangwa katika nyumba za kikundi zilizo kupokea mtoto mmoja au zaidi ilipokea msaada wa karibu na kijiji au miji walikotokea, ili baada ya muda kifedha kwa namna ya mali ambao ungeimarisha uwezo waweze kuingizwa katika jamii zao. Mpango mbadala wao kiuchumi kwa mujibu wa njia zao za kawaida za bado upo katika hatua za awali za maendeleo, lakini kuendesha maisha. Kwa mfano, wakulima walipewa ufuatiliaji wa nyumba za vikundi ambazo zimekuwepo ng’ombe mmoja au zaidi, plau au mbuzi kadhaa. Wakazi kwa muda wa miaka karibu miwili unaashiria kuwa na wa mjini walipokea vitu ambavyo viliwawezesha mafanikio katika kushughulikia mahitaji ya watoto. kuanzisha maduka madogo au kuanzisha viwanda vidogo. Kama ulivyo mpango wa kuunganishwa upya, nyumba za Mpango huu wa kuunganishwa tena katika koo kwa kikundi zina msingi wake katika desturi za jadi za kutumia njia za kuziimarisha kimapato una zaidi ya utunzaji wa watoto ambamo kwamo jamii pana, badala ya miaka saba sasa. Unafuatiliwa kwa uangalifu ili familia ndogondogo, huchukua jukumu la kutunza watoto kuhakikisha kuwa msaada wa vitu unatumika kwa ambao hawana wazazi na wana mahitaji ya ulinzi madhumuni yaliyokusudiwa na kwa kweli unatoa ulinzi maalumu. Tiba ya Jadi huko Tanga Katika Zama Hizi Makala haya yaliandikwa na David Scheinmman Kwa karne nyingi, waganga wa jadi sha baada ya kifo. Mafarao walio- wamekuwa watoaji wakuu wa hudu- kaushwa walihifadhiwa kwa mimea, ma za afya za msingi. Siku hizi mitishamba, viungo, na madini. barani Afrika, hasa huko Tanga bado Mpaka miaka 150 iliyopita, sayansi wana dhima muhimu kwa kuwa— za botania na dawa zilikuwa zilezile. mbali na majukumu yao kama Mimea ina sifa za dawa kwa watoaji wa huduma za afya za msingi sababu ya dutu inayotoa kwa ajili ya —wanabeba mzigo wa kutibu wagon- kujilinda yenyewe dhidi ya wadudu Tini za MA 51 jwa wa VVU/UKIMWI. Huko mkoani waharibifu na pathojeni. Tunacho- Desemba 2002 Tanga, “Kundi la kushughulikia fanya ni “kukopa” tu dutu hizi ili UKIMWI (TAWG) ambalo ni asasi kutibu maambukizi yetu wenyewe isiyo ya serikali iliyo ndani ya Jengo yatokanayo na virusi, kuvu na bak- la Hospitali ya Bombo lililo juu ya teria. Dawa nyingi huchukuliwa ku- mteremko mkali kando ya bahari toka kwenye mizizi, magome ya mi- imekuwa ikishirikiana kwa mafani- mea kwa kuwa maeneo haya ni rahi- kio na waganga wa jadi tangu mwaka si kushambuliwa na ndiyo sehemu ya 1990. Hii ni hadithi ya ubia unaoleta kwanza ya kinga kwa mmea dhidi ya matumaini kati ya dunia kongwe na mvamizi. ya kisasa katika kupambana na Sekunde chache baada ya shambu- VVU/UKIMWI. lio, mimea huanza kuzalisha na ku- toa dutu ambazo zina uwezo wa kuua au sumu dhidi ya virusi, Maelezo mafupi kuhusu bakteria, kuvu, wadudu wanaosham- mitishamba bulia—au hata mamalia. Baadhi ya mimea inaweza kuzalisha kiasi cha Kwa muda wa miaka mingi mimea kemikali zinazotofautiana karibu imetumika kama vyanzo vya dawa 1,000. Kwa hiyo kinga asilia dhidi ya na ilikuwa ndiyo dawa hasa za virusi inayozalishwa na mmea kwa mwanzo. Zaidi ya miaka 4,000 iliyo- ajili ya kujihami inaweza pia kutumi- pita, Mfalme wa himaya ya Uchina wa na binadamu kama kinga dhidi ya alitangaza orodha ya mitishamba virusi. ipatayo 4,000. Maandishi kuhusu mi- Nchini Tanzania, waganga wa jadi tishamba iliandaliwa miaka 1770KK. wamekuwa wakitambua, wakifanyia Wamisiri wa zamani waliweka hata majaribio, na kutumia dutu hizi kwa mimea ya dawa ndani ya Piramidi ili kutibia wagonjwa kwa milenia kuwatibu mafarao wao katika mai- kadhaa. Kwa kushirikiana nao, tuta- 239 240 Tini za MA 51 kuwa tumefanikiwa kufikia matokeo ya utafiti wa maelfu wapasuaji, wakunga na wataalamu wa matatizo ya akili wa ya miaka. Haya ndiyo yanayojulikana kama maarifa asilia jadi. Walio wengi hutumia baadhi ya mitishamba (MA). inayopatikana katika mkoa wenye uanuwai wa kibiolojia. Dawa za kisasa zilizo nyingi hutokana na mimea. Zaidi Safu ya Milima ya Mashariki, inayojumuisha Amani katika ya bidhaa 120 za kifamasia zinatokana na mimea, na wilaya ya Muheza ni mojawapo ya maeneo 20 tu duniani asilimia 74 ilitumiwa mwanzo na tamaduni za asili! ambayo ni maarufu kibiolojia. Eneo maarufu kibiolojia lina Uhusiano kati ya matumizi ya mganga wa jadi na mato- sifa ya kuwa na aina anuwai isiyo ya kawaida ya spishi, keo mazuri ya maabara uko dhahiri. Takwimu zinaashi- nyingi kati ya hizo zikiwa za asili ya pale. Amani ni ya pili ria waziwazi kwamba mimea iliyokusanywa na waganga kwa kuwa na kiwango cha juu cha bioanuwai barani hutoa miongozo thabiti zaidi katika utengenezaji wa Afrika—eneo moja huko Cameroon ndilo la kwanza. dawa mpya kuliko uchujaji wa kubahatisha. Asilimia Waganga wa jadi wana maarifa maalumu kwa ajili ya ishirini na tano ya dawa wanazoandikiwa wagonjwa siku kutibu maradhi ya kimaumbile, kiutamaduni, na hizi zinatokana na mimea. Zinazojulikana sana ni dawa kisaikolojia. Waganga wanapatikana, ni wa gharama iitwayo “quinine” itokanayo na mti uitwao “sinchona”, nafuu, na kwa kawaida wana uaminifu, na Tanga ina dawa iitwayo “morphine” itokanayo na mti uitwao dafina ya uanuwai kibiolojia ambamo mimea inayofaa “poppy”, dawa iitwayo “asprin” itokanayo na mti uitwao hukusanywa. “willow”, dawa iitwayo “digitalis” itokanayo na mti uitwao “foxglove”, dawa ziitwazo “vinblastine” na “vincristine” (chaguo la kwanza la dawa za kutibu Waganga wa jadi na madaktari kushirikiana huko ugonjwa wa Hodgkin, Leukemia kali, limfoma mbalimbali Tanga kansa ya matiti iliyo katika hali mbaya, na sasa saratani Ili malengo ya afya ya umma yaweze kutekelezwa barani kaposi inayohusishwa na VVU) zitokanazo na mti uitwao Afrika, inabidi waganga wawe washiriki imara katika “ros periwinkle”—unaopatikana hapa Tanga—na sasa mfumo wa afya. Hili linaeleweka kwa kuwa kila jamii ina “cotexin” itokanayo na Artemisia annua kwa ajili ya waganga asilia wake wenyewe. Huko Tanga, TAWG kutibu malaria. imetambuliwa kimataifa kutokana na kazi zake za ubunifu za kushirikisha waganga wa jadi, na imepokea Waganga wa jadi mkoani Tanga msaada kutoka OXFAM, Benki ya Dunia, na Shirika la Misaada ya Kimataifa la Marekani. Wilaya ya Tanga ina waganga wa jadi takribani 670. 337 Hivi leo Tanga, waganga wa jadi na madaktari wa wako katika wilaya ya Tanga mjini na 333 wapo Tanga kisasa na wafanyakazi wa afya wanashirikiana katika Vijijini. Walio wengi ni Waislamu na wako katika mradi wa kusisimua na kuleta matumaini unaotekelezwa shughuli hiyo kwa wastani wa miaka 19. Yupo mganga na TAWG. TAWG ni Asasi Isiyokuwa ya Serikali yenye mmoja wa jadi kwa kila wakazi 343 wa Tanga Mjini na ubunifu ambayo huunganisha waganga wa jadi, mganga mmoja kwa kila wakazi 146 Tanga Vijijini. madaktari na wafanyakazi wa afya, wabotania, Nchini Tanzania kuna daktari mmoja aliyepata mafunzo wanasayansi-jamii, na watu waishio na VVU/UKIMWI ya tiba ya kimagharibi kwa wakazi 33,000. Kwa hiyo, (WAVIU). Lengo la TAWG ni kuziba pengo kati ya tiba watu wengi zaidi hupata huduma ya afya kutoka kwa asilia na ile ya magharibi kwa kutibu WAVIU kwa waganga wa jadi kuliko wanavyopata kwa watumishi wa kutumia dawa asilia. afya wa kawaida. Waganga wengi wameshiriki katika TAWG ilitokana na mikutano iliyoanzishwa na daktari Semina za TAWG. Mjerumani na madaktari wenza wa Kitanzania pamoja Takwimu hizi zinawiana vizuri na data za Afrika kusini na waganga wa jadi mwaka 1990 huko Pangani, mji wa mwa Sahara. Waganga tayari wapo; wizara za afya mwambao uliopo kilomita 50 kusini mwa Tanga. hazihitaji kuwapanga kwa kuwa karibu vijiji vyote vina Wafanyakazi wa afya waligundua kwamba wagonjwa waganga wakazi na wakunga wa jadi. Hii ni hali halisi hasa wengi—hili ni sahihi kote kusini mwa jangwa la Sahara— katika maeneo ya vijijini ambako dawa za kisasa walikwenda sehemu zote mbili hospitalini na kwa zinapatikana kwa kiasi kidogo kuliko mijini. Kwa hiyo, waganga wa jadi. Kuanzia wakati huo, waliamua kufanya kushirikiana na waganga wa jadi kupambana na VVU/ mawasiliano na waganga wa kienyeji kwa matumaini ya UKIMWI na kukuza afya ya umma ni jambo linaloeleweka. kuanzisha mtandao wa rufaa. Walikuwa na mafanikio, na Waganga wa Tanga kwa kiasi kikubwa ni waganga wa mtandao wao ndio uliogeuka kuwa TAWG. kutibu kwa mitishamba, wapiga ramli, makuhani, 241 Waganga waliitikia jitihada hizo kwa shauku. kwamba tiba yake kwa ujumla hurefusha maisha ya Walifurahia kuonekana kama watu makini na mgonjwa na kwamba baadhi ya wagonjwa waliokuwa kuchukuliwa kama wataalamu wenza. Mazungumzo ya katika hali mbaya walipata nafuu baada ya kutumia dawa awali yaligeuka na kuwa mikutano ambamo washiriki asilia (Dkt. Samuel Mtullu, Nipashe, Februari 23, 2002). walijadili jinsi ya kutibu maradhi mbalimbali, wakati gani Dawa zina ufanisi zaidi, iwapo tiba itaanzishwa wakati wa kumwelekeza mgonjwa kwenda hospitalini, masuala wa hatua za awali za VVU/UKIMWI. Dawa ni za gharama ya afya ya umma, na namna ya kushirikiana na ya chini, hutibu kwa ufanisi maambukizo nyemelezi, watumishi wa tiba ya mitishamba. Siku moja mada zinapatikana kwa urahisi, hutolewa kwa wagonjwa bila ilikuwa VVU/UKIMWI. malipo, na zimetumiwa na waganga wa jadi wa Tanzania Waziri Mrisho, mganga wa jadi mwenye umri wa miaka kwa karne nyingi. Zikitolewa katika hali sahihi na kiasi 84, aliomba apewe wagonjwa wa VVU/UKIMWI ili kinachotakiwa, hazina madhara. awatibu. Kikundi kilikubali, na Waziri aliwatibu Dawa za TAWG huongeza hamu ya chakula, husaidia wagonjwa wachache waliothibitika kuwa na VVU kwa wagonjwa kunenepa, husimamisha kuhara, hupunguza kutumia mimea mitatu ambayo bado TAWG wanaendelea homa, huondoa kuvu wa kinywani, hukomesha ukurutu kuitumia hadi leo. wa ngozi na maambukizo ya kuvu, hutibu tutuko zosta Mimea mitatu ya awali—pamoja na mingine (mkanda wa jeshi) na huondoa vidonda. kutibu wagonjwa iliyoongezwa—bado inatumika kutibu aina mbalimbali za kunawaongezea maisha marefu, huboresha hali yao ya maambukizo nyemelezi yanayosababishwa kwa kawaida maisha, na hupunguza idadi ya mayatima kwa kuwa na VVU/UKIMWI. Waziri alikuwa mwasisi halisi. wazazi huendelea kuishi. Alikuwa radhi kuwagawia wenzake maarifa yake na kwa TAWG pia hufanya kazi kwa karibu na serikali, ukarimu alikubali kutoa mimea yake ichunguzwe huendesha semina kwa ajili ya waganga wa jadi, na wana kisayansi na wabotania kutoka Hebarim (hifadhi ya programu nzuri ya elimu na kinga dhidi ya VVU/ mimea iliyokaushwa) ya Lushoto huko wilayani Lushoto, UKIMWI. katika mkoa wa Tanga. Kwa sasa hutibu wagonjwa kiasi cha 400 kutoka Wilaya Hatimaye TAWG ilianzisha huduma za majumbani ili za Tanga, Pangani, na Muheza. Tangu kuanzishwa kwa kutoa tiba ya mitishamba kwa wagonjwa wa VVU/ TAWG mwaka 1990 imetibu karibu wagonjwa 2,000. UKIMWI na familia zao. Ziara za majumbani ni msingi Katika kipindi cha miezi 6 iliyopita, kiasi cha wagonjwa wa shughuli za kila siku za TAWG. Shughuli hizo waliotibiwa kimeongezeka maradufu, hali inayoashiria hujumuisha ufuatiliaji wa afya kwa ujumla, kutoa tiba kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa wa VVU/UKIMWI. asilia, na kunasihi wagonjwa na familia zao. Ushirikiano wa TAWG na waganga wa jadi pamoja na Mwaka 1994, TAWG ilisajiliwa rasmi kama “Tanga Wizara ya Afya umejenga kisiwa kidogo cha matumaini AIDS Working Group” (TAWG) katika Wizara ya Mambo katika mji huu wa ufukoni. Hivi sasa wagonjwa wanaishi ya Ndani. muda mrefu zaidi, na maisha mazuri zaidi, na matokeo TAWG ni AISE maarufu ya VVU/UKIMWI mkoani yake ni kwamba kuna watoto wachache ambao hivi Tanga. Wafanyakazi wake wana sifa za hali ya juu, wenye karibuni wamekuwa yatima. Waganga wa jadi bidii ya kazi, na wenye kuwajibika kwa lengo la kuboresha wamepeleka ujumbe kuhusu kinga na afya ya umma hali ya maisha ya WAVIU. Wanachama wana utaalamu wa huko vijijini na wengi hivi sasa wanajua ni lini kunasihi, saikolojia, tiba, elimu, botania, utafiti, anthropo- wanatakiwa kumshauri mgonjwa kwenda hospitalini. lojia ya tiba na menejimenti. Kazi ya TAWG ni mfano mzu- Ingawa bado si tiba, mitishamba hurefusha uhai kwa ri sana wa namna matokeo mazuri yanavyoweza kufa- kupambana na pathojeni kama zile zinazoshambulia nikisha mapambano dhidi ya UKIMWI kwa kuunganisha mimea. Angalau hivi sasa wagonjwa mkoani Tanga, na utaalamu wa kienyeji, maarifa asilia, na wafanyakazi wa Tanzania wana tiba mbadala ya gharama nafuu tofauti na afya wa kisasa ili kutoa matibabu ya ufanisi ya gharama dawa ghali zinazoagizwa nje. nafuu kwa ajili ya watu wanaoishi na UKIMWI. Kwa bahati mbaya, hizi tiba mpya ambazo ni ghali mara nyingi hupoteza uwezo wake baada ya muda mfupi. Kwa hiyo, kutibu wagonjwa kwa kutumia dawa asilia Mpango wa matibabu wa TAWG kuna thamani kubwa zaidi hivi sasa kama zilivyofanya maelfu ya miaka iliyopita. Kwa kuwa na ushirikiano kati Shughuli rasmi za TAWG ni kutibu wagonjwa hospitalini ya waganga wa jadi na madaktari kumeanzisha hatua au majumbani kwa kutumia mitishamba. Katika gazeti la mpya zinazonufaisha kila mtu. Nipashe la tarehe 23 Februari 2002, TAWG lilitoa taarifa 242 Tini za MA 51 TAWG inakaribisha maulizo na ziara. Jionee mwenyewe au piga simu kwa maelezo zaidi: Anuani ya TAWG: Jengo la Cliff, Hospitali ya Bombo Tanga, Box 1374, Tanga. Simu/Faksi: 255-27 264-2266 Barua pepe: tawg@tanga.neg Tovuti: http://user.tanga.net/tawg Wasiliana na: Dkt. Samuel Mtullu—Mratibu Dkt. Anna Chaze—Mwenyekiti Dkt. Firmina Mberesero—Mwenyekiti wa zamani na Mjumbe wa Bodi Ken Down—Mshauri wa Mradi Ethiopia Uelewa wa Kina wa Maarifa ya Jadi na Mimea ya Dawa Makala hii imeandikwa na Hareya Fassil, Chuo Kikuu cha Oxford, Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo, Nyumba ya Malkia Elizabeth (QEH),21 Giles, Oxford OXI 3LA, Uingereza. Kwa taarifa zaidi, baruapepe: hareya.fassil@green.oxford.ac.uk. Takwimu halisi zaidi ya zile ambapo watafiti hawa wameshiri- asilimia 80 kiana katika kufanya kazi zao.1 Zaidi ya hayo, maandishi mba- Huenda katika wasaa huu, mahali limbali kuhusu yanayohusu dawa fulani kule katika Nyanda za Juu za zitokanazo na mimea nchini Ethio- Safu ya Milima ya Ethiopia, mkulima pia, yanatawaliwa na mtazamo ule fulani amekusanya majani au mizizi wa kuuangalia mmea mmojammoja. ya dawa kutoka mti ulio jirani na Mtazamo huo umetokana na ile makazi yake. Wakati huohuo, jirani Tini za MA 52 ‘ajenda ya utafiti wa mkondo mkuu’ yake anaandaa dawa inayoaminika ambao ulitawaliwa na sifa za kutibu Januari 2003 kuwa ‘inarudisha nguvu’, inapungu- za mmea mmojammoja. Katika kuta- za maumivu ya tumbo, inatibu mata- futa taarifa zaidi, watafiti wa dawa tizo ya ngozi au pengine inaponya ya asili wa Ethiopia wamezingatia matatizo ya kifua yanayomsumbua hasa vyanzo viwili. (i) Waganga mwanae. Hiyo ndiyo hali halisi kati- waliobobea wa jadi (ii) Herufi za ka maeneo anuwai ya vijijini Ethio- maandiko juu ya mitishamba ya tiba pia, nchi ambayo ina hiyo asilimia 80 ya kidini za kale za Ethiopia (angalia ya wakazi wanaoendelea kutegemea k.m Adebe na Ayehu, 1993) mitishamba kwa ajili ya mahitaji yao Kinyume chake, hakuna utafiti ya msingi ya huduma za afya wowote uliojikita katika dawa asilia (Bannerman, MOH, 1985; Abebe and sawasawa nje ya ule ‘wa ubobevu’ Hagos, 1991, IBCR, 1999). ulioangalia tu matibabu asilia kwa Wakati ambapo sasa kuna utam- jumla. Madhumuni ya makala haya buzi wa tafiti mbalimbali za elimu na iliyotokana na utafiti mpana ni matumizi anuwai ya maarifa asilia kushirikishana baadhi ya matokeo ya afya, imeonekana kwamba eneo ya utafiti wa hivi karibuni uliolenga hili linahitaji umoja wa wanataa- hasa katika ujuzi wa kawaida wa luma mbalimbali tofauti na ule wa dawa asilia za Ethiopia kwa mujibu kwanza ambapo wataalamu wa wa muktadha huo.2 mimea, wakemia asilia, wataalamu wa dawa, wataalamu wa mambo ya kale na watumishi wa idara za afya Malengo na mbinu wamekuwa wakifanya tafiti kila mmoja akiwa peke yake na bila Utafiti huu wa ugani ulilenga kuona ushirikiano. Katika Ethiopia kume- hasa ujuzi wa dawa za kienyeji kwa kuwa na maeneo machache sana watumiaji wenyewe, wanaume na 243 244 Tini za MA 52 wanawake, kwenye kaya zao ambazo zina wakazi wengi ujuzi mkubwa wa dawa zinazotokana na magugu na zaidi katika Ethiopia. Nia hasa ya utafiti huu ni mimea iliyo karibu na makazi ya watu. kuchangia katika fasihi zilizopo na zinazozidi kukua zinazohusu ujuzi na taaluma ya kienyeji ya dawa za asili Vyanzo vikuu vya maarifa asilia na mchango wake katika maendeleo. Zaidi ya hilo, kuna ‘Ule uchunguzi na mazoezi ya kila mara wa kawaida’ au ile imani kwamba afya ndio mhimili wa mchakato wa ‘kujifunza kwa kutenda’ ndio mtindo mkuu unaotumika maendeleo, yaani kwa maneno mengine, afya ni mwanzo kueneza ujuzi wa matibabu asilia. Wanaume wengi na mwisho wa maendeleo. walionyesha kupata ujuzi waliokuwa nao kwa njia hii. Hii Utafiti ugani ulifanyika kwa kuzishirikisha jamii za iliashiria tofauti za kijinsia za kupata ujuzi huo. Bahir Dur Zuria katika wilaya ya Gojam (ambayo sasa ni sehemu ya mkoa wa Amhara) ambayo iko Nyanda za Juu Vyanzo vya msingi vya mitishamba Kaskazini Magharibi ya nchi. Utafiti huu ulitumia zana Katika utafiti huu, majina na matumizi ya aina 80 za mchanganyiko za utafiti. Masuala ya kijinsia mimea ya dawa na matumizi yake ilikusanywa. Mingi ya yalizingatiwa na yalipewa kipaumbele kwa vile ilitarajiwa mimea hii ni aina ya magugu na majani ambavyo viko kwamba yatajitokeza katika mambo ya ujuzi wa karibu na makazi ya watu au mashambani ambayo matibabu asilia na ugawaji wake kwa jumla. Baadhi ya haihitaji uangalizi wowote. Ugunduzi huu ni muhimu mbinu zilizotumika kukusanya taarifa ni pamoja na: kwa sababu unaungamkono lile wazo la awali kwamba • Utafiti wa kaya (ndio uliokuwa kiini hasa cha utafiti); ujuzi wa dawa asili uko zaidi katika jamii kuliko kwa • Historia za kusimuliwa (mazungumzo na wazee waganga rasmi. Hii ilidhihirisha zaidi pale watoa habari mashuhuri); walipokuwa wakitaja majina ya mimea hiyo na matumizi • Mijadala na vikundi vya akinamama katika vituo vya yake kwa namna isiyotofautiana toka mmoja hadi afya; mwingine. • Uchunguzi wa kina maeneo ya sokoni; • Madodoso yaliyoandaliwa kwa wanafunzi wa vidato vya Wajibu wa waganga wa jadi waliobobea juu; na Kwa jumla, ilionekana kwamba waganga rasmi wa jadi • Mahojiano na matabibu wa kisasa na wa jadi. hawashiki nafasi ya kwanza katika suala la matibabu kama ilivyodhaniwa hapo mwanzo hasa katika sehemu za vijijini. Magonjwa mengi hutambuliwa na kutibiwa Tathmini ya awali ya data katika ngazi ya kaya na wanakaya wenyewe. Wale waganga rasmi hufuatwa tu pale magonjwa hayo Uchambuzi wa kina wa ubora na upana wa data bado yanapotokea kuwa sugu au kuwashinda wanakaya. haujakamilika lakini maoni yafuatayo yanatoa mwanga wa data hizo: Ubora wa maarifa asilia Mtazamo wa kina kuhusu sifa mbalimbali za ujuzi wa Imani na undani wa maarifa asilia ya afya dawa asilia kama ulivyoelezwa hapo juu unaibua baadhi Kwa jumla, maarifa asilia kuhusu mitishamba na ya maswali, mashaka yake asilia pamoja na vifunguo- matumizi yake yalionekana kueleweka wazi kwa macho. Haya yanahusiana na dhima tarajiwa ya maarifa wanawake na wanaume katika jamii zote zilizotafitiwa. ya jadi kiafya, asili ya mchakato wa kutoa mafunzo wa Ujuzi huu ni sehemu ya shughuli za kila siku na za kawai- jadi na tabia asilia zinazotofautiana na maarifa haya. da katika jamii hizi. Huu ni ugunduzi muhimu kwa saba- Wajibu wa ujuzi wa dawa asilia, changamoto na bu unaonyesha jinsi jamii inavyojihusisha na dawa za asili. upungufu: Neno ‘changamoto’ linaleta ile picha ya lile tatizo kubwa la afya katika eneo la utafiti- malaria. Jinsia na msukumo wa umri Hakuna mmea wowote wa kutibu malaria uliotajwa Suala la uelewa tofauti wa ujuzi wa tiba hizi asilia katika utafiti huu. Hii inaashiria jinsi ugonjwa wa kulingana na jinsia na umri wa wale waliotafitiwa malaria ulivyo ‘mpya’ katika jamii hizi na jinsi uelewa wa liliweza kung’amuliwa. Kwa mfano, watu wazima, ugonjwa huo ulivyo mdogo. Hili la mwisho linasisitiza wanawake kwa wanaume, walionekana kuwa na ujuzi umuhimu wa elimu ya afya ya jamii na mipango ya kinga. mpana wa tiba hizi. Zaidi ya hayo, wanaume walionyesha Hii inaweza kufanikiwa pale elimu hiyo itakapozamishwa kuwa na ujuzi mkubwa wa mitishamba ipatikanayo katika nyoyo za jamii kama yale maarifa mengine waliyo porini zaidi ya wanawake wakati wanawake walionyesha nayo ya dawa za asili. 245 Tatizo jingine ni uduni wa huduma za afya k.m. vyoo na Hitimisho maji vijijini. Jamii hizi ambazo zinategemea huduma za dawa asili zingetegemewa kuwa na mazingira safi ya Inatumainiwa kwamba mahitimisho muhimu yatapati- mimea hiyo ya dawa zao lakini hali sivyo ilivyo. Kwa hiyo, kana kutokana na utafiti huu unaoendelea. Kwa jumla ukosefu wa utumiaji wa vyoo na maji yasiyo safi wala kinachoweza kusemwa katika hatua hii, ni baadhi ya salama na kuwepo maji taka vinaweza kuchukuliwa kama maana pana na michango inayotarajiwaya utafiti huu. sababu za kuwepo kwa tiba nyingi za asili. Hata hivyo, Kwanza, zaidi ya muongo au zaidi uliopita hivi, hamu inaweza kusemwa kwamba endapo huduma hizo za na shauku za kujua jinsi dawa za asili zinavyotibu msingi na muhimu zingalikuwapo labda, juhudi za imekuwa bayana kila mahali na umiliki wake pamoja na huduma za afya katika ngazi husika zingalikuwa na haki za watendaji wanaohusika. Haya yanapewa ufanisi zaidi na zenye maana zaidi zilizolenga katika msukumo na nguvu zilizo nje ya uwezo wa wadau ambazo kuzuia baadhi ya matatizo sugu ya kiafya katika eneo jumuia ya kimataifa inaziendesha katika mijadala yake husika, kama vile malaria. Hivyo kasoro hizi, kwa kweli, inayohusiana na dawa za asili. Hili ni jambo ambalo wote zinaweza kuchukuliwa kama vizingiti katika kufikiwa Kaskazini na Kusini wanapaswa kulizingatia kwa makini kwa matarajio kamili ya maarifa ya wenyeji na mikabala katika vikao vyao vya kimataifa. Lakini suala hili ya kijadi katika kutimiza mahitaji ya kiafya ya eneo limefanywa la kisiasa na kuondolewa mahali pake: husika. uelewa sahihi wa dawa za asili na mchango wake katika Mchakato wa usambazaji wa maarifa: Ni kwa namna siku zijazo katika nchi zinazoendelea kama vile Ethiopia. gani hasa ujuzi huu unavyoenezwa toka kizazi hadi Inatumainiwa kuwa utafiti huu na tafiti nyingine kama kizazi? Je, njia za asili za zamani bado zinatumika? Haya hizi zitaelekeza msisitizo wa baadhi ya tafiti: kwenye ni maswali muhimu yanayohitaji upekuzi na upembuzi ngazi ya jamii. mpana na mgumu kupata majibu. Hata hivyo kwa Pili kama utafiti huu wa jumuia za vijijini za Nyanda za kuangalia jinsi watoto wanavyopata ujuzi huu ilionekana Juu za Kaskazini Magharibi ya Ethiopia ulivyoonyesha, kwamba watoto wa miaka kati ya 6-7 wana ufahamu ujuzi asili wa mimea ya dawa si miliki ya mfumo dume mkubwa wa mimea hii ya dawa. Waliweza kutofautisha wala ya waganga wa jadi. Ni wazi kwamba dawa nyingi za mimea anuwai inayoota karibu na makazi ya kaya zao. jadi hutengenezwa na wanajamii wa kawaida katika kaya. Lakini je, hawa watoto wanajua kugundua ugonjwa na Hii inaonyesha kwa nini ile asilimia 80 ya wakazi ambao jinsi ya kutengeneza dawa hizi na kiasi cha kumpa wanategemea tiba za asili hawalazimiki kuomba ushauri mgonjwa? Au ujuzi huu umehifadhiwa hadi umri fulani? kwa waganga wa jadi. Ni bahati kwamba ujuzi wa dawa Majibu ya maswali haya yatapatikana baada ya hizi umeenea katika jamii na ni muhimu hili kuchambua zaidi data zilizopatikana kwa ukamilifu. likazingatiwa na wale wanaowajibika na elimu ya afya ya Tabia tofauti za utumiaji wa dawa za asili: Jinsi jamii na wafanyakazi wa afya kwa ujumla na wenzao wa mwamko na hamu ya kujua matumizi na ujuzi wa dawa mali asili. za asili unavyozidi kuongezeka ndivyo ufanisi wa dawa Mwisho, imeonekana dhahiri kwamba juhudi za utafiti hizi unavyozidi kubainika. Ni muhimu kuzingatia na maendeleo zinapaswa pia kutambua na kushughulikia uamsho zaidi katika maeneo yale ambayo kwa jumla changamoto na vitisho vinavyokabiliwa na mifumo ya hayajajidhihirisha kutoa mafanikio ya kutosha. Maeneo maarifa ya jadi ya afya kwa ujumla. Shabaha ni haya hasa ni kama vile katika elimu za upasuaji kama vile kuimarisha na kuboresha msingi mpana wa maarifa haya ukataji wa kimeo, tezi, shingo, ung’oaji meno, na hata kwa manufaa ya watu walio wengi wa nchi zinazoendelea kutahiri wanawake3—haya yote yameenea katika jamii ambao kwa karne nyingi walitegemea dawa hizo na zilizotafitiwa. Labda zaidi kuliko mambo mengine, hasa wataendelea kufanya hivyo kwa siku zijazo. masuala tata yaliyoingizwa katika mazoea kama hayo ya kijadi, ni kwamba yanafanya utambuzi wa kijamii- kiutamaduni na uelewa mkubwa wa mazingira mahalia ambamo mambo mambo hayo yanakutikana kuwa ni lazima. 246 Tini za MA 52 Marejeo 1 Suala la pekee ni muundo unaotia moyo wa mkusanyiko wa wanafani wa taaluma nyingi katika jumuia nzima uliochukuliwa na Abebe, D. and Hagos (1991). “Plants as a primary source mradi wa taifa wa R& D unaodhaminiwa na Benki ya Dunia of drugs in traditional health practices of Ethiopia” In uliozinduliwa hivi karibuni kuhusu uhifadhi/uendelevu wa Plant Genetic Resources of Ethiopia. J.M.M.Engels J.G. matumizi ya mitishamba inayotumiwa kwa ajili ya huduma za afya Hawkes and M.Worede.(eds) Cambridge University kwa binadamu na mifugo. (Tazama pia Tini za MA 35). 2 Utafiti bado unaendelea (hatua ya mwisho) katika kutimiliza kwa Press, Cambridge: 1001-113. kiasi shahada ya udaktari wa falsafa (PhD) katika Masomo ya Adebe, D. and Ayehu (1993). Medicinal Plants and Maendeleo katika Chuo Kikuu cha Oxford, Oxford Uingereza. Enigmatic Health Practices in Northern Ethiopia. 3 Sambamba na Tini za MA 41: Eritrea; Kufutilia mbali vitendo viovu vya jadi. World Health Organisation, Ethiopian Ministry of Health (Project No. AF/ETH/TRM.001 RB) and the United Nations Development Programme. Bannerman, R.H. (1983). Traditional Medicine and Health Care Coverage. WHO, Geneva MOH(1985). Ministry of Health Care Review. Ministry of Health, Addis Ababa. IBCR (1999). Biodiversity Conservation and Sustainable Use of Medicinal Plants: Project Proposal. Addis Ababa, Institute of Biodiversity Consevation and Research (IBCR) Addis Ababa. Uchumi wa Maarifa Asilia ya Kiafrika Mwandishi wa makala hii, Hilary Nwokeabia, ni mchumi katika kitengo cha Uchumi na Sera ya Mipango (ESPD) Tume ya Uchumi ya Umoja wa Mataifa (UNECA) P . O. Box 3001, Addis Ababa, Ethiopia. Simu: (251-1) 44533/517200. Ext. 35333 baruapepe: hnwokeabia@yahoo.com au Nwokeabia@UN.ORG. Tini hizi za MA ni ufupisho wa chapisho jipya la UNECA la mwandishi huyu liitwalo “Kwa nini mapinduzi ya viwanda hayakutokea Afrika: Mtazamo wa maarifa asilia.” Maarifa asilia ya Mwafrika yanaelez- asilia wa jamii kwa ujumla umepewa wa tofauti na kwa njia za kukangan- mitazamo tofauti toka kwa waan- ya katika vikao mbalimbali vya kima- zilishi na watu binafsi katika sekta taifa na katika maandishi ya kisasa. anuwai. Katika sekta ya kipato Mara nyingi utasikia misemo ya kikubwa kama ile ya tiba, waan- “isiyoendelea”, “yenye thamani zilishi waliweka usiri ili kuhifadhi ndogo” na “ya ubunifu wa kale” huko ujuzi wao usitawanyike ovyo. Katika katika masuala yanayohusu haki za sekta za kipato kidogo kama zile za Tini za MA 53 amali za kiakili (Trade Related kilimo, waanzilishi hawakuweza ku- Februari 2003 Aspects of Interllectual Propery fanya lolote kuzuia ujuzi usienee. Hii Rights (TRIPS)) ya shirika la ilizaa kile tunachoita mwendelezo Biashara Duniani. Mara nyingi usio na faida dhidi ya ule mwen- utakutana na misemo “ajabu”, “ya delezo wenye faida. Katika hali hii nyuma”, “ya thamani ndogo” na ujuzi hubaki mdogo na kwa wacha- “yenye miujiza” katika mazungumzo che na hakuchangia sana katika yanayohusu maarifa asilia ya uchumi wa jamii. Mwafrika. Mafanikio ya dawa asilia Katika mtazamo huohuo, kile huonekana kama ni bahati tu na kinachoonekana kama kutoendelea yasiyo na viwango vya kisayansi. na mnyanyapao wake ni matokeo ya Upotofu huu huchochewa zaidi na ukosefu wa motisha kwa watu kutoelewa mazingira ambamo wa- binafsi wabunifu unaosababishwa na ganga hufanyia kazi na kule kutoona ile sheria ya kimila ya kujali jumuia eneo hilo likikua k.m. kuona wa- zaidi kuliko mtu binafsi. Matabibu ganga wa asili wakifundisha katika ya Kiafrika na wabunifu wengine vyuo vizazi vipya ujuzi wao. Na kwa wanaweza kufanya utafiti na waka- bahati mbaya zaidi, hata maandishi wa na ubunifu mkubwa kama wale yaliyotolewa kuhusu sekta hii haya- wataalamu wenzao wa tiba za kisasa. kuzungumzia sababu za upungufu Uungaji wa mifupa, tiba za nyoka, huo. kuzuia shinikizo wakati wa dhoruba Makala hii inakusudia kutoa katika jamii, yote haya yanaonyesha maelezo ya msingi ya ukosefu wa uwezo mkubwa ulio katika elimu ya uelewa huo wa maarifa asilia ya jadi ya Mwafrika. Mada hii inatoa Mwafrika. Hoja kuu inazingatia ile hoja ya kwamba ni ule usiri ulio- sheria ya mila ya Mwafrika ya changia katika kasi ndogo ya utambuzi wa elimu ya jumuia na maendeleo ya elimu ya tiba za jadi. isiyojali sana ujuzi binafsi. Huu ujuzi Ni usiri huu uliopunguza thamani ya 247 248 Tini za MA 53 shughuli zinazohusu tiba. Hata hivyo, makala haya kunakiriwa kirahisi sio tu na waganga wengine lakini pia yataeleza upungufu uliosababisha kujenga usiri huo na wanajumuia wenzake katika utumiaji wa kitabibu wa katika kile mwandishi alichoita “Modeli ya Usiri– fanya-wewe-mwenyewe. Motisha.” Ni hofu wa kuibiwa-kibishara kama matokeo ya kuwa Swali linalotarajiwa kujibiwa hapa ni kwa nini na uwazi ambalo ndio maslahi ya utafiti na kitu cha waganga wa jadi hufanya uganga wao siri kwa watu kuzingatiwa na yule aliyeshikilia maarifa hayo. Kwa njia wengine. Je, usiri huu unawaongezea chochote waganga hii, inawezekana kabisa kwa mgunduzi ambaye ni mgeni hawa? Ni ujuzi gani hasa walio nao unaohitaji usiri kiasi katika sekta hii akiwa mjanja anaweza kuuiba ule wa hicho? Yote haya huchangiaje katika pato la jumla la watangulizi wake na kuonekana ndiye tabibu mzuri zaidi jamii. huku akiwa amewekeza muda mfupi sana katika fani Ili kujibu maswali haya mwandishi ameweka vigezo hiyo. vitatu vya usiri huo wa tiba za asili: kutokuwepo motisha Kuhusianisha jambo hili na gharama za ugunduzi, mtu kwa wagunduzi na wabunifu; kutokuwepo kwa hati hudhani kwamba gharama/matumizi ya utafiti yanagha- miliki katika sekta nzima ya utabibu katika sheria za jadi ramiwa kwa kiwango kilicho sawa na rasilimali pamoja za Kiafrika; na tishio la wizi wa kibiashara unaotokana na nguvu kazi iliyotumiwa kwenye utafiti. Ni kiwango tu na ujio wa wanataaluma wapya. Ubunifu hautabiriki cha rasilimali na fedha ambacho kitazalisha malengo ya hasa katika utabibu wa asili na kilimo ambapo utafiti ni utafiti. Iwapo gharama na faida pia vimepimwa katika ghali na huchukua muda mrefu huku matokeo yake viwango vya matokeo ya mwisho, gharama za pembeni ni yakiwa hayajulikani vizuri. Katika hali hizi wabunifu na juu na zaidi ya uwekezaji wa mwanzo. waganga hufanya kazi zao huku wakijaribu kuhifadhi siri Pale mapato kamili yanayotarajiwa yanapopatikana zao zisiibwe na wafanyabiashara. kutokana na matumizi ya ugunduzi yaliyojumuishwa, mhusika hupata matokeo tofauti, ambapo faida inako- kotolewa wakati huo. Katika sula la wizi wa kibishara, Maelezo hasara itahesabiwa kama upotevu wa rasilimali iliyowekezwa pamoja na faida iliyotarajiwa. Hasara ya Mwandishi aliita mfumo huu “Modeli ya Motisha” kwa pande mbili, hii ndi sababu ya kuficha dhana mpya au sababu ya kuwepo au kuwepo haja ya motisha ambayo ugunduzi pale ambapo hakuna msaada wa kitaasisi na hasa ndiyo maelezo mazuri ya usiri wa tiba, mchakato wa msaada pamoja na ulinzi mwingine wa kisheria. utafiti na gharama zake na matarajio ya matokeo yake. Katika mazingira kama haya ugunduzi wowote “mpya” Katika hali ya kawaida ugunduzi haufanywi na mtu unaleta changamoto mpya kwa kipato na namna ya mmoja. Pale wa kwanza alipokomea ndipo wa pili kuishi ya mhusika aliyepita wa ugunduzi. Katika hali hii anapoanzia na kuendelea hadi ugunduzi unakamilika. ya kutarajia kupata hasara ndio inayosababisha hofu ya Matokeo ya ugunduzi wowote huipa faida jamii kwa kuweka wazi ugunduzi “mpya” kwamba mgunduzi ujumla au huwapa faida watu binafsi katika jamii hiyo. Ni atasababisha mkanganyiko kuhusiana na ubora wa kwa mtazamo huu mada hii inaeleza sababu za tabibu wa bidhaa na huduma anazotoa kuweka habari za kitaaluma jadi kupenda siri yake ya tiba isijulikane kabisa. bila kuzitangaza na kuziweka siri. Katika maelezo haya, tabibu wa jadi huwekeza akili na Pia akijua kutokuwepo kwa taasisi zozote za umma za mali katika lile analotafiti, pengine anaweza akagundua kulinda maarifa yake ya kienyeji, mmiliki ni lazima utaalamu mpya wakati akishughulikia tatizo fulani. atafute namna ya udadisi ili kuweka ukiritimba kwa Utaalamu huu mpya huunganisha na ule ujuzi wake wa maarifa hayo ndio unakuta tabano, kuvaa vinyago, kutoa awali na huwa amegundua kitu kipya ambacho makafara, na ujanja wa kutishatisha ili yasiigwe na hakutarajia. Kwa vile yeye mwenyewe hakutarajia yasiangukie katika mchakato wa wizi wa kibishara. ugunduzi huo, kwa kawaida huwa hatangazi hayo Katika matumizi, mambo mengine hufuata katika namna mafanikio yake kwa wenzake kwa vile ametumia muda ya kuyaingiza katika mfumo wa jamii. Kwa njia hii, hata wake na akili kuufikia. wagonjwa au wateja ambao wanaruhusiwa kuingizwa Wakati wa utafiti au wa tiba, mgunduzi huwa hana katika mfumo wa maarifa hayo hawapati kujua hasa ni hakika na kile kitakachojitokeza. Kwa vyovyote vile tendo gain au dawa ipi imesababisha kupona. Hivyo gharama huwa juu kwa sababu ya kutokuwa na uhakika inaonekana kama mambo ya kichawi. wa matokeo ya utafiti. Kushirikishana matokeo ya Pale ambapo hakuna kuficha maarifa uwezekano wa ugunduzi katika jamii kungemnyang’anya mapato kwamba watumiaji wa bidhaa za kitabibu wanaweza yatokanayo na ugunduzi, kwa kuwa unaweza kuigwa na kuziiga huongezeka na kuondosha utabibu wa fanya-kila- 249 kitu-mwenyewe na hivyo kuwanyima watendaji faida ya mkubwa wa uchumi na maarifa asilia yenyewe. Pale umiliki. Mtazamo huu wa kujilinda humsaidia mgunduzi wenye maarifa hayo wanapokufa, maarifa hayo hutoweka au mdhibiti wa maarifa mapya kuendelea kukusanya nayo. Hii inamaanisha kwamba kizazi kijacho itabidi pesa kwa sababu ya ukiritimba pamoja na kuyalinda kianze upya kuutafuta ugunduzi wake. Matokeo ni kile dhidi ya “wageni” ambao wanaweza kuiba na kuendeleza ambacho mwandishi anaita “ugunduzi unaoendelea sehemu yake na kufanya wazo la mwanzo liwe lililopitwa lakini sio unaoongezeka” kama dhidi ya “ugunduzi na wakati. unaoongezeka na unaoendelea.” Katika kukosekana kwa Hoja kubwa kwa mara nyingine ni kwamba wale mwongezeko wa ugunduzi, maarifa hayawezi kuzalisha wanaofanya kazi katika sekta ya dawa za jadi za Kiafrika ukuaji mkubwa. Hitimisho kutokana na hili ni rahisi. wana rasilimali kidogo kama yeyote, na maslahi katika Nchi za Kiafrika hazijaweka sera ya motisha ambayo kuwekeza kwenye kazi yao. Katika hali ya kutokuwepo inaweza kusaidia kufikia “ugunduzi unaoongezrka na kwa ulinzi wa umma wa ugunduzi wao na mashaka unaoendelea” katika mfumo wa maarifa asilia. Mfumo wa yanayohusiana na ugunduzi wa ufumbuzi mpya, sheria za kimila pia haujajisahihisha kwa ajili ya jambo hawataki kuingiza ugunduzi katika umma. Lengo lao ni hili. Hivyo, uchocheaji wa kukua kwa mfumo wa maarifa kwamba umma hauwezi kuiga na kufanya, na hivyo ya ndani unabaki mdogo, na hivyo kwa uongo kusaidia kuwanyima fedha wanayopata kwa kutoa dawa. dhana potofu juu ya mfumo mzima wa maarifa asili kama Mchakato wa kuficha huhusisha uharibifu na kufanya usiobadilika. Ni mahitimisho gain mengine ambayo mtu uchawi unaohusiana na shughuli zao. Maelezo hayo hapo anaweza kuyafikia? Muundo wa motisha kwa ajili ya juu yamejaribiwa kwa kutumia data zilizopo. Matokeo kukuza ugunduzi wa maarifa ya ndani na maendeleo ni yake kwa kiwango kikubwa yanaunga mkono hoja kuu ya lazima uwekwe. Kwa kufanya hili, haiwezi kuwa ama modeli hii. vibaya au vizuri, ila kunashikilia uwezekano wa faida Katika sekta nyingine ya kipato kidogo kama vile kubwa. Utafiti zaidi unaweza pia kuwa juu ya mabadiliko kilimo, kile ambacho kinaonekana ni kwamba mgunduzi ya moyo juu ya maarifa asilia ya Kiafrika, kwa namna ya au mmiliki wa MA hafichi maarifa yoyote. Kwa kawaida, pekee, dawa, usimamizi wa mali asili, kilimo na utuzaji huwa wanakuwa wasiojali iwapo ugunduzi wao umefu- wa mifugo. Kuachwa kwa unyanyapaa unaohusika na chuliwa ama la (labda kwa sababu nyingi za shughuli zao ukosefu wa sera uanweza kukiukwa kwa kuwezesha zinaweka kuonekana shambani). Wanapoulizwa wanafi- uundaji wa umoja wa waganga wa jadi ambao ni hatua ya chua kile wakijuacho lakini mara nyingi, hakuna mtu kwanza. Uwezekano wa ukuaji na upunguzaji umaskini awaulizaye. Pia kwa kuwa kwa kawaida huwa hakuna na michango inayotarajiwa katika hifadhi ya maarifa kwa fursa za kubadilishana na maarifa yao, wamiliki ajili ya utatuzi wa matatizo sugu ya kidunia, ambao huyaweka kwa ajili yao wenyewe. unaweza kutoka hazina hii iliyofungwa, ambayo ni Hata hivyo, mwishoni matokeo ya vyote viwili “usiri” kichocheo cha utendaji. na “kutojali” bila utata huwea ni vitu hasi kuhusu ukuaji Matumizi ya Dawa za Jadi nchini Uganda katika Zama Zetu Mwandishi wa taarifa hii ni Anke Weisheit, mshauri wa kujitegemea, aliyeitoa katika kuzuru Shirikisho la Waganga wa Jadi nchini Uganda 2002 akishirikiana na Male Moses, mshauri katika MA. Utafiti huu ilifadhiliwa kwa pamoja na Benki ya dunia na shirikisho la Waganga wa Jadi wa MAKO. Matumizi ya dawa za jadi huhusisha watu 50,000 vijijini. Wakazi wengi mwambatano tata wa ujuzi wa imani wa Uganda wana uwezo wa kutafuta na mila ili kufikia lengo la kutambua ushauri na tiba kwa waganga wa jadi ugonjwa, kuuzuia au kuuondoa kuliko walio na uwezo wa kukutana kabisa kutoka kwa mwathilika, hii na daktari. Waganga wa jadi wana- huhitaji kuoanisha utatuzi wa mata- kubalika katika jamii na kimila na tizo ya kimwili na yale ya akili na ya kwa vile wao pia ni wanajamii hizo kijamii wa mhusika. wanaonekana kama ndio hasa Tini za MA 54 Matumizi ya dawa za asili hute- waganga. Zaidi ya asilimia 80 ya Machi 2003 gemea na huendana na ujuzi asili, wakazi wa Uganda wanategemea jamii na uzoefu wa jamii hiyo katika waganga wa jadi kwa vile ndio mazingira yake-matumizi ya dawa za wanaofikika na wanaokubalika na asili hubadilika kufuata wakati na jamii kuliko madaktari (Bannerman, hali halisi. et al. 1993) Tiba za asili huhusisha waunga Nchi ya Uganda inaagiza dawa mifupa, waganga wa kawaida, wataa- nyingi kutoka nje na mara nyingi lamu wa kutibu vichaa, wakunga wa hukabiliwa na upungufu mkubwa. jadi, wanaojishughulisha na imani, Jambo hili linaashiria hajaj ya waleta neema na wanaoshughulikia watendaji wa dawa za jadi kuhitaji roho za watu ambao kila mmoja mimea ya dawa na ukweli kwamba hujitoa mzima katika eneo lake ili watu walio wengi vijijini na mijini kutatua matatizo ya wateja wake kadhalika, hutegemea sana miti- kulingana na upeo wa ujuzi wake. shamba kwa ajili ya kutibu magon- jwa mbalimbali (Esegu, J. F. O 2002). Hali ya huduma za afya Umuhimu wa dawa za asili Kiwango cha uhusiano wa waganga kiuchumi wa jadi na wale madaktari walioso- mea utabibu wa kisasa Uganda kama Ukosefu na gharama ya dawa za ilivyo katika nchi nyingine za Afrika kisasa hufanya wakazi kwenda kwa kinaonyesha tofauti kubwa sana. waganga wa jadi. Hii pia hutaka Nchini Uganda kuna mganga hifadhi na uoteshaji wa mimea ya mmoja wa jadi kwa watu 290 dawa za asili. ukilinganisha na daktari mmoja wa Huu uoteshaji unahitaji kuwekewa kisasa kwa watu 10,000 mijini na mikakati kwa vile utawahakikishia 250 251 wakazi kuwepo kwa zile dawa adimu nchini kwa kutumia • Kutambua na kupiga vita mila potofu zinazohusiana na ujuzi na utamaduni wao wenyewe. Kwa njia hii huduma tiba za jadi kwa kutumia programu za kielimu, kuanzisha za afya zitaachana na hali ya kuwa tegemezi kwa tiba za vituo vya utamaduni na maeneo maalumu ya kutolea tiba kisasa ambazo wengi hawawezi kuzimudu. Mikakati hii • Kuunganisha wataalamu wa tiba za jadi na matibabu inawezekana kwa ushirikiano na taasisi zoefu katika wengine ili kuongeza ubadilishanaji wa habari zinazo- nyanja hizo kama “Entebe Botanical Gardens of the husu tiba za jadi National Agriculture Research Organisation” na • Kuanzisha na kuhamasisha programu za jamii “National Chemotherapeutics Research Laboratory”. zinazohusu matumizi bora ya mazingira, hifadhi, na utunzaji wa jamii zote za mimea yenye thamani ya dawa. Juhudi za serikali kuendeleza tiba za jadi THETA—Waganga wa Jadi na wa Kisasa Pamoja Dhidi ya UKIMWI na magonjwa mengine, ni shirika la Tume ya marekebisho ya sheria ya Uganga hivi sasa afya la Uganda ambamo waganga wa jadi na wa kisasa inatunga sheria ya kutambua, kulinda na kueneza hufanya kazi pamoja. Baadhi ya shughuli zake ni pamoja matumizi ya tiba za jadi (Kakooza, J.M.N. 2002). Hii na:- itawezesha taasisi za kitaifa na kimataifa kuendeleza na • Kutoa mafunzo kwa waganga wa jadi yanayohusiana na kuweka katika mipango yao ya maendeleo tiba za jadi. magonjwa ya kuambukiza kwa ngono ikiwa ni pamoja na Asasi ya Utafiti wa kilimo ya Taifa hivi sasa inaziingiza VVU/Ukimwi sekta za chakula, manukato, dawa, vipodozi na vinyago • Kutoa mafunzo ya njia bora za kuwahudumia katika kitengo chake cha biashara ili watu wengi zaidi waathirika wa VVU/Ukimwi waweze kufaidika. • Kubadilishana habari kwa kupitia kituo cha habari Mikakati na Sera za Wizara ya Afya pia inatunga sheria kilichoanzishwa kwa madhumuni hayo ya kujua kwa ya kuziweka dawa za jadi katika sekta yake ya huduma za undani habari zinazohusiana na dawa asilia na VVU/ msingi. Ukimwi Baraza la Taifa la Sayansi na Teknolojia la Uganda • Kuwa na maktaba, kuandika kijigazeti, kuanzisha linatekeleza mradi wa ujuzi asilia na uendelezaji wa mazungumzo ya kila mwezi ambapo mtaalamu ataalikwa taasisi. kutoa mada kuhusu matumizi ya dawa za asili. Maabara ya Taifa ya Utafiti wa Tiba za Kikemikali • Kutoa mafunzo sanifu kwa waganga wa jadi kama ndiyo maabara kuu ya utafiti iliyowekwa na serikali na wawakilishi wa THETA wilayani inafadhiliwa kimataifa—baadhi ya mambo iliyofanya ni • Kutoa mafunzo ya usindikaji na utunzaji wa bustani za haya: dawa za asili • Uchunguzi wa jumla wa dawa za jadi • Kupima sumu zilizomo IIACM-Taasisi ya Kimataifa ya Dawa Mbadala na • Kuanzisha na kutunza kitengo cha dawa za asili Kamilishi hujishughulisha na yafuatayo: • Kuweka viwango kwa dawa zinazozalishwa • Utunzaji wa aina zaidi ya 10,000 za mimea ya dawa ya Uganda na nje katika bustani yake • Kuendeleza utengenezaji wa dawa zitokanazo na Asasi zisizo za serikali zinazoendeleza tiba za jadi mimea Prometra ya Uganda ni tawi la Prometra ya Kimataifa, • Utengenezaji na usindakaji dawa shirika linaloshughulikia kuendeleza dawa za asili kwa • Kufundisha mbinu bora za kutengeneza dawa za asili ajili ya kupata afya bora ya jamii zisizoweza kufikia au hii ikiwa pamoja na mbinu za Kichina, Kihindi, matumizi kumudu dawa za kisasa kwa kushirikiana na sekta ya ya vijiti, tiba ya muziki ya Yoga. afya. Makao yake makuu yako Kawempe-Kampala mji mkuu wa Uganda. Nembo yake ni chungu chenye MAKO Umoja wa Waganga wa Mitishamba (Herbalist matundu ambayo yanatarajiwa kuzibwa na juhudi za Association) inashughulikia yafuatayo: taaluma nyingine. Madhumuni yake kwa kifupi ni: • Kuwafundisha waganga wa jadi misingi ya kisasa ya • Kupata na kusambaza ujuzi asilia ili uenee na kugundua maradhi na kumhudumia mgonjwa kutumika katika sehemu kubwa zaidi • Kuandika taarifa za dawa na kuzigawa kwa waganga ili • Kuhamasisha utumiaji wa dawa za jadi vijijini na mijini wajiweke katika hali ya usasa na kushirikiana na watafiti • Kuwasaidia wakunga wa jadi kwa kutumia njia za kisasa kama vile Uzazi wa Mpango 252 Tini za MA 54 • Kuziba mapengo yaliyopo kati ya tabibu za wazee na Marejeo wale vijana kuhusu ujuzi wa tiba za jadi • Kukaribisha wadau wenza wenye nia ya kuendeleza Bannermann,R.H.Burton J&Chien Wen-Chieh (1993). tiba za jadi Traditional Medicine and Health Care Coverage, • Kila wakati kujaribu kutambua mimea ya asili ambayo WHO, Geneva. ni dawa Esegu, J.F.O.(2002) Research in Medicinal Plants in • Kuhimiza haja ya kuotesha mimea ya asili ya dawa Uganda, International Presentation, Forest Resources Research Institute, Kampala Uganga. Taasisi anuwai zinajihusisha na uendelezaji wa tiba za Kokooza, J.M.N.(2002) Personal Communication asili na kushirikiana na: mashirika ya dini, makampuni 12.07.2002 Uganda Law Reform Commission, P . O. binafsi, vyombo vya habari na watu binafsi. Hata hivyo Box 12149, Kampala Uganda. haupo mpango maalumu wa taifa wa kushughulikia Kwa habari zaidi wasiliana na: Anke Weisheit, masuala haya. Springstiller Str. 41, D-98547 Viernau, Germany: barua- pepe: ankeweisheit@web.de, tovuti: Utafiti ujao http://www.herbplant.org, au Male Moses, Mkurugenzi, MAKO Herbalist Association, P . O. 8022, Kampala, Ongezeko la uhamiaji mijini na mabadiliko katika jamii Uganda, baruapepe: makoherbal@yahoo.com unahitaji kwenda sambamba na uendelevu wa dawa za asili kwa vile tabia, utamaduni, mazingira na hali za kiuchumi pia zimebadilika. Hii itahitaji sheria ya kuzuia uvamizi wa ujuzi asili na wa maliasili. Mpaka hapa picha inayoonekana ni kwamba Uganda ina uwezo wa kukuza ujuzi wa dawa za asili. Mfano wa Ushirikiano wa Nchi za Kusini Maarifa Asilia: Ubadilishanaji wa Mafunzo Afrika Mashariki na Asia ya Kusini Tini hizi zimeandikwa na Siddhartha Prakash wa Benki ya Dunia. Ubadilishanaji Taaluma wa MA ulianzishwa kwa pamoja na Siddartha Parakash, Krishna Pidatala na E.V. Shantha. Kwa maelezo zaidi wasiliana na: Sprakash@worldbank.org au Kpidatala@worldbank.org. Mnamo Machi, mwaka 2002 timu ya jitihada zao za kuboresha maisha sekta mbalimbali ya wafanyakazi 33 yao, kwa mfano, wakulima wametu- wa Benki ya Dunia kutoka Eneo la mia samadi kuongeza rutuba katika Afrika ilianza safari ya kitaaluma ya sehemu za Asia na Afrika kwa karne nchi tano za Asia Mashariki—Japan, nyingi, vilevile waganga wa jadi Singapore, Malaysia, Thailand na wametumia dawa za mitishamba Vietnam—ili kufahamu vizuri mcha- nchini India na Tanzania kutibu kato wa maendeleo ya Kiasia. Kusudi magonjwa ya kawaida ya binadamu Tini za MA 55 kubwa lililopelekea ziara ya kitaa- na mifugo. Aprili 2003 luma katika nchi hizi lilikuwa kuwa- Asasi nyingi za ndani, taasisi na wezesha wafanyakazi kutoa huduma jumuia zina utajiri wa ujuzi wa uten- bora kwa wateja kwa kuwasaidia daji wa MA. Hata hivyo, utendaji huu kuongeza maarifa yao ya kiutendaji hausambazwi vilivyo kwa sababu wa kuelekea maendeleo, na kuonge- Mashirika ya Kijamii hayana uwezo za ujuzi wao wa tabia ya kuiga uten- wa kuuchukua, kuuhifadhi, kuutha- daji mzuri kutoka eneo moja hadi mini na kuutumia pamoja. Matokeo jingine. yake, MA yanatumika kidogo katika Likiwa limetiwa moyo na mafani- mchakato wa maendeleo, na jumuia kio ya safari ya uchunguzi, Eneo la za ndani zinabanwa na uwezo wao Afrika lilianzisha jitihada za kujenga wa kubadili mjadala wa vipaumbele ubia miongoni mwa maeneo ya vya kimaendeleo na kukosa mbinu za Afrika Mashariki na Asia Kusini kwa kuyafikia. Kuunganisha maarifa, lengo la kutafuta maarifa asilia (MA) Eneo la Afrika liliandaa ziara ya na utendaji unaoshauriwa na Benki. ubadilishanaji taaluma kati ya Madhumuni yalikuwa ni kuongeza Afrika Mashariki na Asia Kusini. uzoefu wa utendaji mzuri wa MA Hatua ya kwanza ilikuwa kubaini- kutoka Asia Kusini kwenda katika sha miradi bora huko Asia Kusini na miradi inayoshauriwa na Benki Afrika Mashariki ambayo ama tayari katika Afrika Mashariki. Hili imeshaendeleza vizuri MA kuende- lingesaidia kukuza ubia mpya wa leza maendeleo ya Jumuia na zile mazungumzo ya nchi za Kusini, ambazo hazina vigezo hivi. Kusudi ushirikiano na misaada ya kiufundi. lilikuwa kuoanisha jamii zinazofuata Kipaumbele kilikuwa ni katika maarifa na zile zinazotumia vizuri maarifa asilia ambayo ni kigezo rasilimali zao za ndani kwa kwa muhimu cha mtaji wa kijamii wa maendeleo. watu maskini, kuwasaidia katika 253 254 Tini za MA 55 Shughuli zinazopendekezwa maalumu wa video ulifanywa na mwezeshaji, ili kuzizoea shughuli zilizopangwa na kukubaliwa ziwe za mfano. Ubia wa kuingiliana—kimaeneo utaundwa katika awamu nne. Awamu ya kwanza itaunganisha miradi ya Afrika Mashariki na Asia Kusini. Awamu ya pili itatoa nafasi za Awamu ya II. Upatikanaji mafunzo kwa nchi za kujifunza kwa wafanyakazi wa mradi na wabia wa asasi Afrika Mashariki za kijamii kutoka katika miradi nchini India na Sri Lanka. Awamu ya tatu italenga katika kujenga uwezo wa Mnamo Septemba 2002 kundi la wateja (wataalamu 16 kukamilisha MA katika shughuli za miradi na kuboresha wa maendeleo) kutoka Ethiopia, Kenya na Uganda, kiwango cha nchi cha uanzishaji katika miradi ya Afrika wakishirikiana na wafanyakazi 5 wa Benki walitembelea Mashariki. Awamu ya nne itaisaidia miradi kuendeleza India na Sri Lanka. Washiriki walijumuisha wafanyakazi ubia kwa ushirikiano zaidi na mafunzo. Shughuli hizi wa mradi wa makuzi ya mtoto na miradi ya dawa za zimeundwa katika hatua hizi nne kusisitiza umuhimu wa mitishamba, wawakilishi wa wafanyakazi wa Serikali, kuunda na kuendeleza ubia zaidi ya kufanya ziara za Mganga wa Jadi, Mbunge na Waziri. Mafunzo ya wazi kimafunzo tu. yalijumuisha (a) ziara za eneo kwenye mahali pa mradi/jumuia kujua jinsi mchakato unavyofanya kazi, (b) kujumuika na watendaji wa eneo ili kujua jinsi MA Awamu 1: Kujenga uhusiano inavyochochea mazingira ya jumuia na rasilimali za jamii katika maendeleo ya kiuchumi (c) kukutana na Mawaziri Zoezi la upimaji. Shughuli ya kwanza kufanywa muhimu watatu wa nchi ya India kufahamu namna ilikuwa kubainisha watu wa mfano kutoka katika kila utawala bora na uongozi ulivyopelekea katika sera za miradi shiriki na kuendeleza utambuzi wa pamoja juu ya maendeleo endelevu. kusudi la uanzishaji na wajibu wa wabia. Habari na Kujifunza kwa picha. Pamoja na mijadala na wabia maelekezo yaliyopo tayari juu ya uunganishaji MA na na safari za maeneo ya miradi huko Asia Kusini, utendaji wa mpango wa mradi na utekelezaji ulichangiwa ubadilishanaji taaluma ulijumuisha nafasi za kundi na miradi. kutafakari mafunzo yao kwa kuuliza. Mkabala huu wa Uanzishaji mazungumzo. Mawasiliano kati ya mafunzo, unaoanzishwa sasa katika eneo la Afrika, wabia mbalimbali yalianzishwa na habari za mwanzo juu unajumuisha masimulizi ya picha za video kuhusu ya uanzishaji zilijadiliwa pamoja. Matumizi ya MA kwa masuala ya wazi yaliyoandaliwa kutoa “hadithi”. Zaidi ya ajili ya kubadilishana habari yalihamasishwa. Miradi yote maswali matano washiriki walihamasishwa kujikumbu- ambayo tayari ina mitandao itahamasishwa katika habari sha walivyojifunza umuhimu wa mafunzo kwa muktadha za baadaye zinazohusu MA na maendeleo ambayo tayari wa Afrika Mashariki, na yepi ya kuiga katika mambo yameshafanywa katika kubainisha MA na utendaji. Kama yaliyoonwa yatahitajika katika Afrika Mashariki. Majibu itahitajika ukurasa wa mtandao wa pamoja kwa ubia ya maswali yalirekodiwa katika kanda za video ambazo utatengenezwa kuunganisha habari za mradi maalumu. zipo katika mtandao. Kutafuta mwezeshaji. Kuwepo kwa mtandao mpana wa wateja na maeneo mbalimbali ya kushughulikiwa wakati wa ubadilishanaji, kulileta umuhimu wa kumcha- Awamu ya III. Ujengaji uwezo na uimarishaji juhudi gua muwezeshaji ili kuhakikisha muundo wa mchakato katika kiwango cha nchi wa mafunzo wakati wa ubadilishanaji. Mkurugenzi Mten- daji wa Baraza la Taifa la Sayansi na Teknolojia la Washiriki kutoka Kenya, Uganda na Ethiopia walianzisha Uganda (UNCST) alichaguliwa kama mwezeshaji. mikakati ya utekelezaji ya kuboresha uingizaji wa MA na Mkutano wa video na ubadilishanaji wa habari. utendaji katika miradi yao na pia kuchangia uzoefu wao Mkutano wa video uliandaliwa ukishirikisha wateja wa mafunzo na wabia wengine katika nchi yao kama vile washiriki wote ambapo habari maalumu juu ya matumizi AZISE na Wizara za Afya. Shughuli hizo zitajumuisha ya MA (Uchunguzi kifani) uliwasilishwa na kujadiliwa. mafunzo na misaada ya kiufundi ya uanzilishaji kwa Hii iliwapa nafasi kuelewa umuhimu wa MA na kutumia MA kwa maendeleo na pia kuungana na wabia kuzungumza mawazo yao katika kile walichotegemea wengine nchini. Kila timu ya nchi llilenga katika maeneo kukipata kutoka katika ubadilishanaji kwa kuwapa yafuatayo ya ushirikiano wa nchi za kusini waandaaji nafasi ya kuandaa safari za mafunzo katika • Ubia na uunganishaji (kuelekeza MA katika sera za namna itakayotekeleza mahitaji ya wateja. Mkutano maendeleo, kuandika na kubadilishana utendaji wa MA, 255 matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa Uganda maendeleo vijijini). Lishe na mradi wa maendeleo ya makuzi ya mtoto • Kujenga uwezo wa kitaasisi wa kushirikiana (utaasi- inakusudia kuboresha ukuaji na maendeleo ya watoto sishaji wa dawa za jadi, tafiti za usirikiano za dawa za chini ya umri wa miaka mitano, katika lishe, Afya, mitishamba, uundaji wa sera na usimamiaji wa rasilimali) Saikolojia ya Jamii na vipengele vya utambuzi. Mradi • Kiwango cha sera (utunzaji wa kisheria wa maarifa ya unakaribia kwisha na hatua ya pili inakaribia kuanza. Jadi, utumiaji wa MA kuuingiza katika Pogramu za ECD). Mambo mengi yaliyopatikana India na Sir Lanka • Kuanzia chini (uingizwaji wa kuwapa uwezo wanawake yanapangwa kuingizwa katika mradi mpya. Haya katika Programu zote, kuzishirikisha Jumuia katika yanajumuisha uingizaji wa MA katika sera za ECD, uandaaji wa miradi na utekelezaji, kutumia teknolojia ya uingizwaji wa mikabala ya maendeleo ya makuzi ya habari na mawasiliano kuunganisha Jumuia na Masoko). mtoto, mafunzo kwa watunzaji na balehe katika uingizaji • Kukuza utambuzi na usambazaji (semina za kuchangia wa huduma za ECD na uzazi, matumizi ya teknolojia ya uzoefu wa Asia Kusini na wadau wa Taifa, Mikutano ya habari na mawasiliano kwa ajili ya ukusanyaji wa data za ndani ya Wizara kuinua MA katika kiwango cha sera, Jumuia, maandishi na upashanaji habari kuboresha mikutano ya hadhara ya kusambaza uzoefu kwa Umma). kiwango cha upataji habari kwaajili ya utoaji maamuzi na upataji masoko. Katika muktadha huu, kama ufuatiliaji Ujumbe wa Afrika Mashariki uliona kuwa Asia Kusini wa ubadilishanaji taaluma, Waziri wa Afya ya msingi hivi ilikuwa imeendelea zaidi katika maeneo muhimu mengi karibuni aliongoza ujumbe mwingine wa Kiserikali yanayohusu maarifa asilia katika utendaji wa makuzi ya kwenda India kupanga juu ya kuwa mwenyeji wa warsha mtoto, uhifadhi wa dawa za mitishamba na matumizi ya ya mafunzo nchini Uganda juu ya dawa za jadi. Baraza la teknolojia ya habari na mawasiliano kwa maendeleo. Taifa la Uganda la Sayansi na Teknolojia (UNSCT) Walivutiwa hasa na mikabala ya Jumla ya maendeleo ya linafadhili kikundi cha wataalam wa MA kutembelea India na Sir Lanka na walikuwa tayari kujaribu baadhi ya India na Sir Lanka. UNSCT pia inapanga kuendeleza njia hizi katika mazingira ya Afrika. Katika mapendekezo ya MA ya ushirikiano wa nchi za Kusini na kubadilishana, waliona pia kuwa Asia Kusini ingeweza NASTEC wabia wake wa Sir Lanka. kujifunza kutoka Afrika Mashariki hasa kutokana na jitihada zao za kukabiliana na maradhi ya VVU/UKIMWI. Kenya Mambo muhimu waliyojifunza na maeneo ya baadaye ya Mradi wa maendeleo ya mtoto unakusudia kuboresha ushirikiano wa kimaendeleo yanajumuisha yafuatayo: thamani na elimu ya wakazi maskini wa Kenya, lengo likiwa ni kuboresha utendaji wa Walimu wa kuinua Ethiopia uwezo wa Jumuia. Mafundisho yaliyopatikana Asia Uhifadhi na matumizi endelevu ya mradi wa mitishamba Kusini yanayofanana na MA na teknolojia ya habari na unakusudia kuanzisha msaada wa uhifadhi, utawala na mawasiliano yalikuwa sawa na yale yaliyotajwa katika utumiaji endelevu wa dawa za mitishamba kwa ajili ya habari ya Uganda. Mradi uko katika mwaka wake wa tatu matumizi ya kiafya ya watu na mifugo nchini Ethiopia. wa utekelezaji na pia umelenga katika masuala Mradi uko katika mwaka wake wa pili wa utekelezaji. yaliyoshughulikiwa nchini India na Sir Lanka. Haya Wafanyakazi wa mradi waliutembelea mradi unaofanana yalijumuisha: kuipa uwezo jamii, vikundi vya kujisaidia wa dawa za mitishamba nchini Sir Lanka ambao vya wanawake, shughuli za uongezaji pato, mikopo unakaribia kwisha. Kulikuwa na mambo mengi midogo, mkabala wa sekta mbalimbali wa maendeleo na yaliyopatikana kutokana na ujuzi wa Wasirilanka ambayo upunguzaji wa umaskini unaoshirikisha viwango vyote Waethiopia wanapanga kuyaingiza katika mradi wao. vya upangaji na utekelezaji wa jumuia. Mambo hayo ni pamoja na usimamizi wa kisheria wa MA na mfumo wa uchangiaji faida, uwekaji katika maandishi ya utendaji wa MA na kubadilishana ujuzi, utaasisishaji Awamu ya IV: Uendelezaji muungano kwa ajili ya wa dawa za Jadi, ulimaji wa dawa za Jadi. Katika mwisho ushirikiano zaidi huu, timu ya mradi ilikusudiwa kuwashauri IUCN Sir Hatua ya mwisho itakuwa na shughuli ambazo Lanka juu ya mradi wa dawa ya mitishamba na taasisi ya zitahakikisha kuwa ushirikiano unaendelea zaidi ya bustani ya Tropiki ya India juu ya uhifadhi na mfumo wa ubadilishanaji na ziara za mwanzo. Shughuli mbili uchangiaji faida. hufanyika katika hatua hii: (a) Miradi ya Asia Kusini na Afrika Mashariki itapata na kutumia habari za MA 256 Tini za MA 55 ambazo tayari zipo kwao kupitia katika mtandao na kuwa • Washiriki wanapaswa kuteuliwa kutoka katika sekya sehemu ya ubia wa eneo unao jengwa kupitia katika MA na maeneo ya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na na ushiriki wa watu; (b) Miradi shiriki pia itajumuisha ba- wanasheria,watafiti na wafanyakazi wa jamii. rua za magazetini juu ya uundaji wa MA na ushiriki M&E. • Kuna umuhimu wa kuanzisha mtandao kwa ajili ya Ikiwa zaidi ya mradi mmoja inafanywa katika nchi, moja maeneo yote mawili na pia kati ya taasisi ambazo zina ya Taasisi/mradi itachaguliwa kama wakala wa mfano. programu zinazoshabihiana. Timu za nchi za Afrika ya Mashariki hazina budi kuanzisha matembezi ya Majibu ya wateja mabadilishano kati yao. Katika utafiti kwa wateja, ujumbe wa Afrika Mashariki • Uzoefu wa mafunzo ukishaandikwa na kusambazwa ulitoa majibu yafuatayo kuhusu ziara ya mafunzo: katika jamii za vijijini unaweza kuboresha jitihada za • Hii ni nafasi ya kufungua taasisi za programu kwa kila kupunguza umaskini kwa kila nchi. mmoja. • Mtu anaweza kuona uchaguzi na mbinu tofauti zinazoweza kutumika ili kutekeleza shughuli • Za maendeleo. Mabadilishano ya matembezi ya kujifunza yana manufaa katika kuelekeza madhumuni ya sera na kulenga makundi yasiyo salama; na kusaidia kuelekeza upya juhudi za kutumia mbinu kamilifu kuhusu maendeleo. Ghana Kanye Ndu Bowi: Muktadha wa Falsafa wa Utatuzi wa Migogoro Matini hii imeandikwa na Ben K. Fred-Mensah, Prof. Msaidizi wa Uhusiano wa Kimataifa na Mshauri katika maendeleo ya Kimataifa huko Chuo Kikuu cha Howard, Washington, DC. Baruapepe: bfred-mensah@earthlink.net Tangu mwishoni mwa miaka ya 1980 ya sasa katika jimbo, hasa migogoro kumekuwa na utafutaji1 wa mbinu ihusianayo na ardhi. mpya za utatuzi wa migogoro ili Kwa kusudi la uongozi, eneo la kukabiliana na migogoro ya mara uchunguzi linaitwa Buem-Kator,2 kwa mara itokeayo sehemu nyingi za linajumuisha nusu ya mashariki ya Afrika. Inaweza kusemwa kuwa utawala mkubwa wa kichifu katika tatizo kubwa linalopelekea kushin- Wilaya ya Jasikan ya Mkoa wa Volta dwa kwa utatuzi wa migogoro katika nchini Ghana. Kutokana na Progra- Tini za MA 56 Afrika ni kuwa mbinu zilzopo za mu za Ghana za kugawa madaraka, Mei 2003 utatuzi wa migogoro ya tawala mpya eneo hili ni kata, moja ya kata sita za eneo hili kwa ujumla si zile za zinazounda Wilaya ya Jasikan. Watu muendelezo zilizo igwa na jamii wa asili ambao kitini hiki kimean- asilia ambazo walizitumia tangu dika habari zao wanaitwa Wabuem. wakati wa ukoloni. Kwa maneno Kwavile eneo kwa ujumla linakaliwa mengine, kikwazo kikubwa katika na misitu ya mvua, ambayo ni sehe- utatuzi wa migogoro katika Afrika ni mu nzuri kwa kilimo cha kakao na kuwa hakuna uhusiano kati ya kahawa, tangu karne iliyopita mbinu za tawala za sasa na zile za linawavutia idadi kubwa ya waku- majimbo ya kikabila. Hivyo kufa- lima wahamiaji. hamu mbinu za utatuzi wa migogoro Afrika kwa ujumla kutaendelea ili kuboresha ujuzi wetu na mikakati ya Kanye Ndu Bowi uzungumziaji mgogoro hii inayoen- Wabuem wanasisitiza kuwa jukumu delea jimboni. kubwa la jamii yao ni kuendeleza Matini hii inakusudia kufupisha amani katika mfumo wa jamii. matokeo ya uchunguzi uliofanywa na Msingi wa kifalsafa wa mfumo wa mwandishi katika kpindi cha baridi dunia hii umewekwa katika hatua cha 1995 na cha joto cha 1996 Kanye Ndu bowi, ambao tafsiri yake miongoni mwa Wabuem wa upande sisisi ni “uendelezaji wa amani ya wa Ghana katika mpaka wa Ghana jamii”. Kanye Ndu bowi ni falsafa na Togo. Kusudi la kitini hiki ni pana ya maelekezo ya mazingira, kubainisha na kujadili muktadha wa ambayo yanatoa matumaini na kifalsafa ambao kwao mfumo wa misingi halali ya aina zote za utatuzi wa Waboem wa asili utafanya uthibiti3 wa jamii inafasiriwa katika kazi. Matini pia inapima ubora wa utendaji kupitia katika uwekaji wa kanuni kwenye utatuzi wa migogoro 257 258 Tini za MA 56 kibali cha asili. Kibali cha asili katika mazingira ya Buem huiita batekate. Kwa asili yake benyaogbar Okpikator ni vyote chanya na hasi. Ni mikataba, iliyoenea kote, ni kwa ujumla ni njia nyepesi ya amani ya kutatua matatizo. namna ambayo wanajumuia wotewanafanywa kufuata Hii ni njia nzuri kwa Jumuia ambayo watu wake huishi sheria za kawaida. Ambapo kibali chanya kinajumuisha katika namna ya ana kwa ana na kuunganiswhwa na zawadi za moyo ambazo watu hupokea wanapofanya mtandao wa jamii, uhusiano wa kidini na kiuchumi. jambo zuri, kibali hasi,ni hali ya kuadhibiwa mtu Waongozaji wa benyeogba okpikator kwa kawaida ni anapofanya vibaya. wazee wa ukoo, makasisi, na watu mashuhuri Ingawa Wabuem wanasisitiza kuwa amani ya jamii ni wanaojulikana kwa busara zao na ujuzi katika ofisi zao na itikadi inayoongoza katika uhusiano miongoni mwao, uwezo wao wa kitaalam, na pia katika mambo yao binafsi. ambapo hayahitajiki kiutawala, watu hawafuati udikteta Watu hawa kwa kawaida wanajulikana katika jamii yao wa utawala usioepuka hisia kali. Migogoro ni hali ya na wana uwezo wa kutatua mafarakano ambayo huone- kawaida ya maisha ya jamii ya Wabuem. Migogoro kana kuvuta usikivu. Mara nyingi hutokea kuwa watu hutokea katika kiwango cha ukoo na watu wa makundi ya hao mara kwa mara hukaribishwa kusuluhisha mgogoro koo mbalimbali. Pia hutokea katika jamii miongoni mwao nje ya makundi ya koo zao au jumuia. Wakatii wa na pia na majirani zao wasio Wabuem. Katika kueleza uchunguzi huu, mwandishi alikutana na kesi za asili hii. hali ya migogoro, Wabuem wanatofautisha kati ya hasira Mzee mmoja wa Ayoma Mpya alikuwa mara zote akitajwa (konyi), ugomvi (kador) mapigano (bekpeligiti), na vita kama msuluhishi hodari. Alikumbukwa hasa kwa (kekpe). Machafuko mara zote huleta kuvunjika kwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu katika maeneo mikataba, kashfa, na uchawi na matusi. Migogoro pia mawili ya kilimo. Usuluhishi huu ulichukuliwa kuwa wa husababishwa na matatizo ya kisiasa, matatizo ya ndoa, mafanikio kwa vile wakati wa mahojiano, ilishapita kujeruhiana, na uharibifu wa mali. Mipaka ya ardhi na karibu miaka 13 tangu mgogoro uliposuluhishwa na haki ya kumiliki ardhi maranyingi huathiri. Hata hivyo, haujatokea tena. kutokana na kanuni za amani ya jamii, machafuko mara zote hutegemewa kumalizwa kwa kutumia mbinu bora (ii) Lelorkalorbunu zilizopo. Hivyo, uhalifu hasa humalizwa mara zote na Nguzo nyingine moja katika itikadi ya Ndu bowi ni juu ya jamii kwa ujumla ambayo jukumu lake ni kuwaleta ugomvi na msisitizo juu ya Lelorkalor bunu. maofisa wa Umma kusaidia kuirudisha jamii katika hali Lelorkalorbunu inawakilisha dhana ya watu ya amani na ya kawaida. haki. Wabuem wanasisitiza kuwa lengo la msingi la baraza la usuluhishi ni kufikia Lelorkalorbunu. Lelorkalorbunu kwa tafsiri ya kawaida ni makubaliano ya Nguzo za amani ya jamii katika Buem–Kator pamoja, si tu kama njia ya utatuzi wa matatizo, lakini pia kutoa hukumu ili kanuni ya msingi miongoni mwa Itikadi ya Buem ya amani ya jamii inasaidiwa na Wabuem ambayo kwayo hadi pande zilizo kwenye kuendelezwa na hali ya kisiasa miongoni mwao watu wa mgongano hukubali hukumu iliyofikiwa katika baraza mataifa ya Benyaogba Ukpikator na Lelorkalorbunu na lolote la usuluhishi, mgogoro hauwezi kuchukuliwa kuwa misisitizo yao isiyokubaliwa juu ya uaminifu wa kibinafsi umetatuliwa kama matokeo yake, utatuzi na/au adhabu na kitaasisi. (kornu) haiwezi kushauriwa. Kwa maneno mengine, mara Lelorkalorbunu inapofikiwa, ambayo humaanisha (i) Benyaogba Ukpikator kuwa vikundi vyenye ugomvi vimekubaliana na hatua na Njia moja ambayo itikadi ya Kanye ndu bowi inaendeleza hukumu, waongozaji wa hatua ya usuluhishi wataanza ni kupitia katika msisitizo imara, ambao watu huuita kupendekeza njia za kuboresha uhusiano ulioharibika benyaogba okpikator. Benyaogba okpikator, kama kwa makundi yaliyokuwa na mgogoro ili kuyarudisha muhimili muhimu katika itikadi ya Kanye ndu bowi, yaliyokuwa kuyarudisha katika hali ya zamani ya inatoa nafasi kwa pande zinazopingana katika mgogoro uhusiano wao. Inaaminika kuwa njia nzuri ya baraza la na kuzishauri juu ya kutojali kile kilichosababisha usuluhishi halilazimishi maamuzi kwa pande hizo bali mgogoro kati yao, matumaini ya kutokuwepo kwa huzipelekea kukubaliana. uhusiano wa kihasama ni makubwa kuliko ugomvi. Kwa maneno mengine, kwa kuhimiza Benyaogba Okpikator (iii) Hali ya kuaminiwa kwa taasisi na kama njia ya utatuzi wa matatizo, wagomvi hufanywa watumishi kuepuka hali ya kushinda au kushindwa ambayo kwa Nguzo ya tatu inayotumiwa na wenyeji wa Buem kama kiasi kukubwa huhusishwa na hukumu, ambayo watu mbinu ya usuluhishi ni kwa walio katika mgogoro 259 kusisitizwa juu ya Taasisi na wadhamini. Hapa ni lazima kunyang’anywa ardhi. Sheria hii haiendani na sheria za ionekane kuwa sio kuna mgawanyo wa majukumi asili za ardhi za Wabuem. Sheria za ardhi za wenyeji wa miongoni wanasiasa wa Buem. Maofisa walewale wa Buem haziwafungi watu juu ya muda ambao mmliki umma, machifu, makasisi na wazee wa koo ambao wako anaweza kuathirika. Hivyo, Wabuem husema kuwa katika utawala pia hutumika kama watunga sheria na umilikaji wa ardhi, hasa kwa wahamiaji (ambao mara wasimamizi wa sheria. nyingi huchukuliwa kama wageni), usijali urefu wa muda Hata hivyo, ni tofauti na matarajio ya sasa ambapo wa kukaa ardhini, sio hali inayojitosheleza kuifanya iwe ujazaji huo wa madaraka unaweza kupelekea udikteta, mali ya mtu kuimiliki. Jambo la msingi hivyo sio vizuri ujazaji huo wa madaraka miongoni mwa wabuem kwa Serikali ya Ghana na Afrika kwa ujumla na washiriki umesaidia kuweka ukweli katika siasa, uamininifu, na wao wa maendeleo kutafuta namna ambazo mifumo uwazi kwa wote katika viwango vya watumishi na mizuri ya utatuzi wa matatizo ya jamii za asili inaweza kitaasisi. Kwa kutatua matatizo, maofisa wa siasa- sheria kushughulikiwa pamoja na tawala za kisasa ili kuleta hii hukutana sio tu kwa matarajio ya mgogoro ambao faida kwa mifumo yote miwili.7 suluhisho lake lilishatolewa, pia huimarisha imani watu waliyo nayo kwao. Kwa maneno mengine mafanikio ya 1 Neno utatuzi wa migogoro kama lilivyotumika hapa linamaanisha utatuzi mzuri wa migogoro hauhakikishi tu amani ya njia yoyote ambayo kwayo mgogoro huzuiwa, hupunguzwa au jamii, unaimarisha pia sheria na msimamo wa siasa kutatuliwa. uliopo katika taasisi za umma na maofisa.4 Wabuem mara 2 Eneo hili ni la jamii za kilimo, Ayoma ya kale, Baglo, Odumase, Kute na Lakante. zote husema kuwa kiongozi yeyote wa jamii ambaye 3 Uongozaji jamii katika mazingira haya unamaanisha maadili, hawezi kutatua mgogoro wa jamii ni kwesia panin—mzee ujumuishaji wa imani na maadili, yanayaoathiri mienendo ya watu asiyefaa. na tabia. 4 Maelezo zaidi kuhusu hii yanaweza kupatikana katika Marc J. swartz “Bases for political.”Bases for Political Compliance among Bena Villages” Mark J Swartz, Victor W. Turner, na Artheu Tuden, Hitimisho wah., Political Anthropology, Aldine Publishing Company,Chicago, 1996 na kazi ya hivi karibuni ya Ben K. Fred-Mensah,”Bases of Jambo moja linalohusu uendeleaji wa kanuni za asili za Conflict Management among the Buems of the Ghana-Togo Border Area, I.W.Zartmam,mh,.Traditional Cures for Modern Conflicts, kutatua matatizo nchini Buem—Kator ni kuwa kama Lynnne Rienner Publishers,Boulder,2000. masharti yaliyowekwa siku za nyuma bado yanaendana 5 Swali kama hilo mwanzo liliulizwa na Hareya Fassil katika makala na mabadiliko ya jamii ambayo eneo husika linayaona ya “A Qualitative Understanding of Local Traditional Knowledge tangu wakati wa ukoloni.5 Hii ni kwavile utendaji bora and medicinal Plant,” Tini za MA 52 Januari 2003, uk. 2. 6 Tamko la serikali ya Ghana la mwaka 1972.Tamko hili la serikali wa kanuni za asili sikuza nyuma uliwezekana kwa vile linakumbusha sheria za Kiingereza, hasa sheria ya mwaka 1983. walishirikishwa, na kurekebishwa, kwa kiwango cha 7 Jaribio hili limeshauriwa na Ben K. Fred-Mensah katika makala jamii na uharakishaji wa wakati huo. Kama ilivyo katika yake,”Capturing Ambiguities: Communal Comfict Management Alternative in Ghana, World Development, Juni, juzuu la 27, na. 6, maeneo yote ya Ghana, na hata Afrika nzima, kanuni 1999. Lazima ifahamike kuwa kwa uadilifu wa utekelezaji wa asilia na maadili zimebadilishwa na tawala za kisasa, sheria yake ya mwaka 1960 na Katiba ya 1992, sheria za asili uanzishaji wa Mtindo mpya wa elimu wa Magharibi, dini (ziitwazo za kimila) za makabila ya majimbo ya nchi zinatambuliwa kama miongoni mwa sheria za nchi. Hata hivyo, za duniani, uongezekaji wa fedha katika uchumi na kiuhalisia, sheria za nchi zimezizidi na pia matumizi yake yako tu kuongezeka kwa miundo mbinu na vyombo vya kwa makabila ambako zilianzia. mawasiliano. Waboem ambao mwandishi anawaongelea hufikiria suala hili. Mabadiliko yameweka mabishano juu ya uongozaji na matumizi ya kanuni za asili katika kuzuia migogoro ya siku hizi. Eneo moja ambalo kanuni za asiliza Buem zina mgogoro na zile za tawala za leo ni uamuzi juu ya haki ya ardhi, ambalo limetokea kuwa chanzo kikuu cha migogoro katika eneo. Mgogoro hu wa kanuni hutokea mara nyingi katika taifa licha ya tawala kutumia mbinu za uzuiaji wa ardhi. Kwa mfano mnamo mwaka 1972, Serikali ya Ghana ilipitisha sheria, kifungu cha 106 ambacho hasa kilisema kuwa mtu aliyemiliki ardhi moja kwa moja kwa miaka kumi na mbili au zaidi hawezi Haki za Kitamaduni katika Upekee wa Mfumo wa Sheria za Zimbabwe Mwandishi wa tini hii Chloe Frommer, alifanya utafiti huu chini ya Chuo Kikuu cha Mc Gill, kama mtafiti wa Jumuia kuu ya Sayansi na Teknolojia na maendeleo ya jamii (STANDD), na kituo cha Eneo la mafunzo ya maendeleo ya (CDAS) huko Montreal, Quebec. Unaweza kuwasiliana naye kwa Chloe@culturalrights.com. nakala nzima ya makala hii na orodha nzima ya kazi iliyoonyeshwa inapatikana katika www.culturalrights.com Katika kipindi chote cha miongo Rasilimali za kibiolojia (mimea, miwili cha shughuli ya maendeleo, madini na wanyama) ni rasilimali za ripoti juu ya “mgogoro “ wa jangwa, asili za dawa, kilimo, kosmolojia. uhaba wa chakula na uchumi duni Uwepo wao unasaidia kusawazisha vimekuwa na ushindani dhidi ya ekolojia kwa jumla na afya ya jamii masimulizi ya jadi yanayoonyesha katika mazingira ya nchi husika. Pia kujiingiza kusio na mfano katika ni matabaka ya rasilimali ya Jadi, mazingira yao katika namna ambazo utendaji na mfumo wa maarifa ya Tini za MA 57 zinazuia vichocheo muhimu vya jadi. Juni 2003 kiuchumi (Lasing 1995, Leach na Rasilimali za kiutamaduni (uten- Maearns 1996, Appadurai 1990). daji): ni urithi wa nchi (desturi na Kwa sasa, Shirika la Chakula na isiyo ya desturi) utendaji unaofuata Kilimo (FAO) linazibainisha rasili- mfumo wa uzalishaji wa jadi, mali za jenetiki ya mimea kama mzunguko na uzalishaji tena wa ma- “urithi wa binadamu” (Cullet 2001) zingira—asili na jamii ambao ili kueneza utunzaji wake duniani. unawabainisha. Wanaendelea kuji- Kama ilivyo kwa Shirika la Biashara husisha na kuungana na watu la Dunia (WTO) na Shirika la Haki wengine na mazingira ya nchi. Pia Miliki ya Taaluma (WIPO) la sheria wanatoa matabaka ya rasilimali ya limewezesha kampuni za biotek- kitaaluma. nolijia kuambatanisha nyanja za Rasilimali ya Kitaaluma (mtaji) ni urithi huu miongoni mwa haki za zao lililoongezwa, lililoundwa na kitaaluma (IPR ) kwa njia za msingi kutengenezwa kutoka katika jadi au za tasnia ya kimataifa cha ucho- rasilimali baolojia. Ili kupata hifadhi, cheaji, matokeo yake, utendaji wa rasilimali jadi au baolojia zimebadi- jadi wa kufanana na rasilimali za lishwa kutoka katika mazingira ya kibaolojia hazikosekani kama zisizo asili ya nchi na ama (a) kusafirishwa muhimu au kujadiliwa kama vikwa- (kama fungu la habari lisilojulikana) zo vya maendeleo. Hili laweza kwenda katika mazingira mapya ili kuanza na ukweli kwamba uhusiano ziweze kujumlishwa “riwaya” au (b) kati ya utendaji wa kiutamaduni wa yaliyomo ndani yake kupunguzwa, nchi, rasilimali za kibaoloja, na kurekebishwa na kufanywa mfano rasilimali za taaluma hazijatumika. mdogo wa uzalishaji mkubwa na Mwandishi aliona tofauti za msingi kusambazwa pamoja na kuchuku- zifuatazo. liwa kwa matumizi ya kiuchumi. 260 261 Hivyo, wanatengeneza au kudhani kupokea haki ya mali zisizo za desturi. Taratibu hizi zimesaidia mapendekezo taaluma (IPR). mbalimbali ya maendeleo nchini Zimbabwe. Katika mazingira ya kieneo, kikanda na kitaifa inakuwa wazi kwamba hakuna mali za kitaaluma (hata inayofanana na rasilimali jenetiki ya mmea) bila ya Mbinu uzalishaji wa maarifa ya kiutamaduni na kiutendaji. Kwa kutambua mabadiliko ya dunia na shughuli kuu ya Hivyo, uanzishaji bora kwa upande wa kuendeleza nchi maendeleo, eneo la utafiti la mwandishi lilifanyiwa kazi umetoa utungaji sheria wa pekee wa taifa ili (sui generis) katika sehemu tatu (1) Mji Mkuu wa Harare ambapo kuwezesha vyote, matakwa ya kimataifa na ya ndani makundi ya Wabantu lugha tofauti kutoka Afrika chini ya katika upatikanaji, utunzaji, utumiaji, uchangiaji na Jangwa la Sahara walikutana katika namna ya kreoli uthamini wa kibaolojia, kiutamaduni na rasilimali kuunda mawasiliano kwa kutumia lugha ya Kiingereza. taaluma zote mbili (mkutano wa Wizara wa WTO wa (2) kando ya eneo la mipaka miwili nchini Zimbabwe mjini Seattle, mwaka 2000). Umoja wa Afrika (UA) Mashariki ya vilima ambako Msumbiji imetagaa, na umekuwa ukijihusisha hasa na kuweka uhusiano wa kuelekea kaskazini kwenda katika ardhi mbichi ambayo pekee kati ya rasilimali ya jenetiki ya mmea na utendaji imeenda hadi Zambia, na (3) katikati ya uwanda wa wa jadi na umefanikiwa kuwa na Baraza la Jutunga majani, veld, eneo la Zimbabwe ambapo desturi za jadi za Sheria la Afrika kwa ajili ya Uhifadhi wa Haki za Watu Washona2 bado zinaendelezwa. wa Ndani ya Jamii, Wakulima, Wafugaji na kwa ajili ya Utafiti kwa ujumla na uchambuzi ulifanywa na watoa Masharti ya Upatikanaji wa Rasilimali za Kibaolojia habari kuu, wasimulizi wa jadi, historia ya jadi, (mfano wa sheria za Afrika 2001) kama miongozo ya nchi watazamaji wa matambiko na watumiaji wa dawa za wanachama katika kuendeleza Sheria za Taifa za mitishamba, masomo ya zamani ya ethnografia Jenetiki. Hata hivyo, kwa vile, Sheria za Taifa za Jenetiki yaliyofanywa na wanaantropolojia, pia na mazungumzo (kulingana na Haki ya Biashara Zinazofanana na rasmi na chama cha taifa cha waganga wa jadi. Taaluma kifungu cha 23 (b) cha Shirika la Biashara Mwandishi alizungumza na waganga wa jadi (n’iangas), Duniani) uchangiaji duniani pote wa vichocheo umekuwa wasaidizi wa waganga (makumbi), vyombo vya—mizimu una msaada mdogo kimataifa. Hivyo, umefanywa bila ya (svikiros), wafanyabiashara ya mimea (muti), wazee, uhusika wa jumuia za ndani ambazo zinapata, machifu na washauri wao, maofisa wa wilaya za vijijini na kunatunza, kutumia, kuchangia na kuthamini uthamani Wazimbabwe wakaao mijini. Mahojiano yote haya wa kibaolojia na rasilimali za jadi katika njia za desturi na yalifanywa kwa msaada wa mkalimani wa Kishona. zisizo za desturi. Matokeo ya utafiti Swali la utafiti Nchini Zimbabwe, matabaka ya asili ya MDJ Kwa kuwa mageuzi ya kitaasisi ni sharti la kupata yanachukuliwa kama uchawi3 na dawa (mishonga) Bado uanachama wa Shirika la Biashara Duniani, sharti hilo matabaka haya yanajidhihirisha kama uchawi na/au linaleteleza mahitaji mapya katika nchi zinazoendelea dawa wakati ule tu yanaposhikiliwa na watu binafsi wote kama Zimbabwe, wahusika wa maendeleo wanaweza wa utendaji, matambiko, dini, ishara na kuwahi muda kusaidia kwa ufanisi maendeleo ya taifa kwa kufanya kunakoongozwa na familia na jamii, utamaduni, ushirikiano na lengo la taifa la kuunda sheria za Jenetiki mazingira na maumbo ya mazingira (hun’anga).4 Kwa za Sui. Hili lingefanyika vizuri kwa kuchukua elimu ya kuongezea, katika watendaji binafsi, watu binafsi anthropolojia ya namna ya kukusanya maarifa ya awali1 wanaounda sehemu ya jamii kubwa wanauthamini hali ya jamii ya mwanzo. Kwa kuzingatia data hizi, uwekaji wakfu wao hata uchawi na dawa zinapofanya mchanganuo wa utendaji wa jadi ambao kwa pamoja vizuri (kushanda). huboresha na kuendeleza mfumo wa maarifa ya jadi Upatikanaji mwingi wa maarifa ya wahenga ya dawa za sharti ufuatiliwe. Mwandishi alifanikiwa kufanya hivi jadi (vadzimu hun’anga) unaanza wakati vijana na ndugu kwa kutumia mkusanyiko mmoja tu wa maarifa ya wa familia kuu za waganga walipochagua mmoja Zimbabwe, Maarifa ya Dawa za Jadi (TDJ), kwa miongoni mwa wale wa chini yao kuwasaidia katika kuchunguza namna zinavyopatikana, kutunzwa na utendaji (Chavanduka 1997, Reynolds 1996). Wakati kuthaminiwa kwa namna zote mbili njia za desturi na uongozi ulihitaji mikono katika utendaji wa MDJ— 262 Tini za MA 57 kubainisha, kuelewa na kuponya wagonjwa pia ulihitaji kijadi haimaanishi ni kuwa si ya kisayansi au ugunduzi. masomo juu ya desturi kuu, ishara na jamii enezi. Jumla Hakika, ubora mmojawapo wa desturi hizi upo katika ya uanagenzi ulioendelezwa ni kufikiwa kwa uwezo urahisi wake katika utafutaji tatizo na utatuaji wa kila uliodharauliwa (mapipi) unaolingana na uhusiano na tatizo au ugonjwa peke yake. Matokeo yake, desturi msimbo wa jadi unaoongoza muundo mzima wa MDJ. makini (tofauti na njia zilizopo za utambuzi) hutoa nafasi Kwa Wazimbabwe, wazee (na pia wahenga waliokufa) ni nyingi za ugunduzi na kuendelea katika desturi hizi. nguzo muhimu za kuendeleza na kurithi MDJ kupitia ndoto zao mahususi (kurotswa) na matambiko ya kidini (kusvikirwa) ambao maarifa hufunuliwa kama zawadi Desturi zisizo za kimila (Frommer 2002).5 Kwasasa, hatahivyo, desturi zisizo za Kimila ambazo Hivyo, wakati mazoea kwa ujumla ya dawa za jadi za zinaendana na umbo la tabaka la MDJ (mishonga) pia mimea yanafanywa na wengi ndani ya jumuia ya ndani, hudharau umuhimu wa utamaduni na matambiko. Kama ni watu waliochaguliwa na kufundishwa tu wanaopata wafanyabiashara wa Zimbabwe, wanasayansi na uzoefu wa MDJ kujua na mambo mengine yahusuyo muungano wa biashara wa wagangawa jadi wameanza mimea, matambiko, ucheshi, ubashiri na kutambua kuonoda umbo la mishonga kwa ajili ya maendeleo ya ugonjwa vinafanyika katika namna zipi. Matokeo yake ni uzalishaji na usambazaji, uzalishaji mzima wa desturi wa kuwa koo tofauti na jamii ya MDJ wanaendelea kiasili— MDJ (hun’anga) na pia desturi nzima za kiishara za kwa kuwa na baadhi ya mbinu, desturi, uwezo wa juu kijadi zinafishwa. kuliko wengine, kulingana na tofauti ya maeneo au hali.6 Aidha, wakati desturi hizi zisizo za kimila zinapokutanishwa na kampuni za dawa za kgeni, lengo la Mtaji wa ishara na jamii maendeleo ya uzalishaji hudhoofisha zawadi na urithi wa wahenga na kadhalika matarajio ya kazi na wajibu kwa Wakati ungunduzi wa MDJ ni wa muhimu ili kukabili jumuia za ndani zinazotegemea desturi hizi (Wyneberg mahitaji ya jumuia za ndani ya Zimbabwe. Hatua hii 1999; 2000). Kwa vile, MDJ mara zote ina uwezo wa hatahivyo haitekelezwi na vichocheo vya kiuchumi. kujumuisha pamoja, kutoweka wakfu na mambo yasiyo Waganga wa Jadi ambao wamechaguliwa rasmi ya desturi yameweza kuchukua uhuru wa mishonga kuendeleza na kutunza maarifa ya wahenga hujiona katika namna ambayo imeanza kuleta kutotumiwa kwa wameaminiwa katika kazi hiyo ambayo hutakiwa rasilimali za ndani, utambuzi na hali ya ulaghai.10 kuchangia na kutibu kabla hata ya kufikiria malipo7. Pia, Matokeo ya kuepuka desturi hizi utengano kati ya haitakiwi kuwa umahiri na uwezo wa kuelewa na waganga wa jadi na jamii yao umewekwa katika namna ugunduzi na utendaji wa mtu uchangiwe ili kupata ya kuwa uzalishaji mzima wa desturi za kijadi na malipo kwavile waganga huthaminiwa zaidi kama uhusiano uliochochea ugunduaji wa mfumo elimu dawa mamlaka za Kijadi na pili kama mabingwa tatu kama za jadi unafifishwa. wanasayansi. Hivyo, waganga wa Jadi hupokea malipo tafauti—yale ya uwekaji wakfu wa jumuia (ishara ya rasilimali)8. Mamlaka ya juu na zawadi hupewa kwa wale Utabiri waganga ambao hutekeleza vizuri MDJ (kuchengetera) na Hata hivyo, Zimbabwe ina mabadiliko na inaendelea wanaoheshimu matambiko ya jadi, utabibu, vielelezo kitamaduni. Miaka ya hivi karibuni imeshuhudia ishara, methali, na masimulizi ambayo hutumika vielelezo vya kimila vya zamani za kale (PasiChigare) au kutajirisha na kufafanua uwanja mzima wa jamii.9 Kwa “Vita vya Ukombozi”11 vimetumika kushawishi taasisi ya mfano, pamoja na utabibu mishonga hutumika kiishara utalii. Kinadharia, desturi mpya za ndani haziwezi kushawishi kuyakubali maamuzi ya kijadi, matambiko, kuchukuliwa kama sio “utamaduni” kwa sababu tu ya na shughuli yoyote ionyeshayo mambo yaliyo katika kuwa hazikutokana moja kwa moja na desturi halisi. mazingira, mfano kufanikiwa katika biashara, sasa, Hivyo kuudhibiti mfumo utoao desturi kama rasilimali, kushinda katika hoja, uwezo wa kushawishi, au utatuzi zote mbili desturi za mila na zisizo za mila lazima wa migogoro. Kwa vile, utendaji huu ni eneo ziruhusiwe kusaidia na kulinda maarifa ya tiba za jadi linalokubaliwa, zungumziwa, na kueleweka linakuwa kama sehemu ya sekta ya jamii. “kushanda”, au imara. Hata hivyo, kwavile tu desturi hizi ni za “kiutamaduni” na zinategemea misimbo ya 263 Hitimisho 1 Awali au haki za awali ni zinatambuliwa kwa ajili ya jumuia za wenyeji katika Mfano ya Sheria ya Umoja wa Afrika (2001) Wakati nchi za viwanda zinaamini kuwa IPR kwa 2 Kishona ni lugha ya Taifa la Zimbabwe kutoka urith wa Kibantu. rasilimali ya taaluma inachochea ugunduzi kwa kutoa Umuhimu wa kufanya utafiti katika lugha ya nchi inaelezwa zawadi, ongezeko la thamani kwa rasilimali ya kibaolojia katika ugunduzi wa dhana ambazo ni mahususi katika mila za kwa rasilimali za utamadumi ina ishara ya mjini Kibantu ambazo ni vigumu kutafsiriwa katika Kiingereza bila kuwa na wasiwasi wa ukweli usio wa kichawi e.g hirizi, uganga inayolisukuma. Mtazamo mmoja wa mzunguko wa 3 Uganga kulingana na Leah (1976) ni alama ya uwezekano. Wakati maendeleo ya kulinda “rasilimali za jenetiki ya mimea” sababu iliyoleta matokeo fulani haijajulikana, nguvu ya athari bado unatazama zaidi uhusiano kati yake na rasilimali ni hatari kwa waumini wake. Katika utafiti huu mwandishi pamoja ya imani kuu ushahidi wa kawaida unaweza kuvuka mipaka na nyingine na unakanusha kuwa rasilimali za kitamaduni matambiko na mishoga ni muhimu kwa kuendeleza afya ya uzazi na uvumbuzi 4 Jadi na cosmolojia, uganga na mizimu, mangimeza na usasa vyote kwa kila aina ya rasilimali. hivi vinaweza kuwakilisha wakati huohuo ukweli, ukweli kidogo, ukweli uliotiwa chumvi kwa Wazimbabwe wanaokinga imani, Matokeo ya mwandishi yanaonyesha kuwa MDJ desturi na njia za watu binafsi wanaoishi vijijini, mila, mijini yanapimwa, kuwekwa na kutumiwa na watu binafsi kisayansi ujasiliamali, utaratibu wa mizimu na uganga na jumuia. welediili kugawana kikamilifu na kupata uthamanisho 5 Usemi maalumu, zawadi toka mizimu (chipo vadzimu) inaashiria kamili katika jumuia inayozunguka ikipambana na dhana kanuni maalumu kuhusu urithi na zawadi kinyume za bidhaa. Wana Anthropolojia kama Marcel Mausa, Bronislav Malinowski na kutoka sehemu zilizoendelea kuwa MDJ kimsingi ni Annette Weiner wote wameandika kuhusu injini na kanuni za rasilimali ya pamoja. Ni muhimu kuangalia zaidi ya kutoa zawadi. Uchambuzi wao unafanana kwa msisitizo wa vitu dhana hii ambayo inaoanishwa na utaratibu uliopanuliwa maalumu haviingii kwenye uhalali wa kiuchumi bali vimefungwa kwenye katika alama za upatikanaji wa hadhi. wa haki miliki za kitaaluma, hususani hili limetumika 6 Utafiti wa mwandishi umebaini kuwa “godobori” n’anga kuhalalisha utengano kati ya watu binafsi, familia na inasemekana kuwa ndiyo yenye nguvu sana na hivyo ndiyo yenye jumuia kwa upande mmoja na tamaduni zao na urithi wa uwezo mkubwa wa kukamata mishonga. Zaidi alibainisha ruwaza zilizoashiria kuwa kuna tofauti kati ya mishoga ya mikoa, familia, kibiolojia kwa upande wa pili. uzaaji watoto, mazingira na uganga. Wakati rasilimali za kijenetiki za mimea zimeitwa 7 Kwa kawaida kitu cho chote kidogo au kupewa kitu baadaye “dhahabu ya kijani” miaka ya hivi karibuni, ukweli ni kunatosha kuwa imekuwa ndiyo mlango wa rasilimali za kitamaduni 8 Katika miaka ya hivi akribuni, maofisa maendeleo wameanza kutoa umuhimu wa mtaji wa ishara (Bourdieu 1977). Hata hivyo, wa eneo (zikiwa msingi wa desturi au mazoea yasiyo mtaji huu unaweza kubadilishwa kwa aina fulani ya mazao, desturi ya mimea ya dawa ya wenyeji) lililozaa matumizi huduma au thamani au hata ufanisi palipokuwa hakuna nyenzo ya ya dawa yakawa na kinga miliki ya kitaaluma (Wyneberg kifedha. Hadi leo haijapata sifa za kutosha katika kuwaendeleza watu binafsi, desturi hizo au jamii. Mtaji wa ishara uko wazi zaidi 1999; 2000). Kwa hivyo, mazoea ya kitamadini (desturi na katika nafasi katika familia. yasiyo desturi) yanayohusiana na urithi wa kibiolojia 9 Hii inasaidia kujenga hadhi na mamlaka katika familia hiyo au yanahitaji mfumo wa kinga unaimarisha uwezo wa ukoo (dunhu) na/au mizimu (mutopa) 10 Ninaandika kuhusu suala la kiazi cha Kiafrika (Hypoxesis kuendelea kuwa na mahusiano, mifumo ya kijamii, hemericallidae) katika utafiti wangu uliyochapishwa: “Haki ya matriki za kijamii/ishara zinazozalisha maarifa muhimu Kitamaduni ya Maarifa ya Dawa za Jadi katika Zimbabwe” (2002) yaliyo hai katika eneo husika. Mwandishi ametoa kwa Chuo Kikuu cha McGill. ufupi jinsi jambo hili linavyoweza kufanyika kwa kufuata 11 Chimurenga ni vita ya pili ya ukombozi ilipiganwa kwa ajili ya uhuru wa Zimbabwe toka serikali ya ukoloni wa Waingereza. Makataba wa Kimataifa wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Jamii, Uchumi na Haki za Kitamaduni (1966) kwa undani zaidi kwa ajili ya Zimbabwe. Mbinu za Wanawake wa Kawaida za Kujiwezesha Masimulizi yaliyotolewa hapa ni sehemu ya utafiti wa kidaktari ulioandaliwa na Preeti Shroff-Mehta katika Chuo Kikuu cha New York huko Buffalo katika kipindi cha 2000-2002. Prof. Anil Gupta wa Jumuia ya Utafiti na Uanzishaji wa Teknolojia Endelevu na Taasisi (SRISTI), India, www.sristi.org. iliongoza utafiti huko Gujarat na Jimbo la Tamilnadu nchini India. Muktadha wa maarifa asilia ya Masimulizi ya Malatiben Chaudhari mwanamke mgunduzi wa tabaka la chini Mimi ni mkulima na mfugaji mwanamke. Mara zote hushawishika Malatiben Chaudhari ni mkulima kufanya kitu kipya licha ya hali mwanamke huko Gujarat, India ngumu. Nilizaliwa katika familia ya ambaye anapambana kuendesha Prajapati (familia ya tabaka la chini) maisha yake katika mazingira katika jumuia maskini ya kijijini magumu ya kijijini katika jumuia huko Gujarat India. Nilipokuwa Tini za MA 58 inayomnyima haki. Ili kukabiliana mtoto nilizoea kumwona mwalimu Julai 2003 na hali hii amejenga na kuboresha wa kijijini akitembelea Jumuia ya uwezo asilia wa kuanzisha mradi Harijan (Dalit) kila jioni kufundisha bora na wa faida wa mifugo, na madarasa ya elimu ya watu wazima. unaochangia maendeleo endelevu Baada ya muda nilipata nguvu za katika jumuia yake na nje ya hapo. kumuuliza kama ningeweza kuhu- Kwa uvumbuzi wake Malatiben dhuria masomo hayo. Hili lilikuwa amefanikiwa kubadili shughuli za somo langu la kwanza katika kuso- kiuchumi za kilimo za eneo hili la ma na kuandika. Hatukuwa na vifaa chini katika Wilaya ya Mehasana vya shule wala darasa. Wote tulian- huko Gujarat. Kwa miaka mingi, dika kwa vijiti mchangani. Nilifani- amefanikiwa kutengeneza shamba kiwa kusoma hadi darasa la nne lenye ufanisi na mradi wa mifugo. kisha niliacha kwa vile shule ya Muhtasari wa masimulizi ya masomo ya juu ilikuwa mbali sana. Malatiben Chaudhari unaowasili- Katika siku hizo si wanawake wengi shwa hapa unapambanua nyanja walioweza kuendelea na elimu zaidi mbili za maarifa asilia: ya ile ya shule ya msingi. • Uelewa wa watu wa jumuia Mume wangu anatoka katika kuhusu mahitaji yao muhimu na familia ya Chaudhari. Hadhi yake uwezo wao wa kupata masuluhisho katika jamii ni ya juu kuliko ya ya pekee na endelevu ya matatizo ya familia yangu. Baada ya ndoa familia msimu na ya muda mrefu. hii ilitupatia chumba kidogo katika • Uwezo wa wanawake wa tabaka la nyumba yao pale kijijini. Familia ya chini katika kutatua matatizo na mume wangu haikumiliki ardhi ya kujenga uwezo wa ndani za jumuia kilimo na haikuwa ikiingiza kipato na maeneo yao. kikubwa. Tulijaribu kuanzisha duka la vyakula lakini tulishindwa kuli- 264 265 mudu. Sikuwa na furaha na nilitaka utaalamu wangu Mwanzoni nilikopa fedha na nilinunua ndama wawili mwenyewe ambao ungenifanya niwe na furaha kwa kazi kwa (Rs) rupia 40 katika soko la ndani. Niliwatunza yangu. Kwa sababu ya historia ya umaskini wa wazazi mchana na usiku kama watoto wangu. Nilifikiria kwa wangu prajapati (wafinyanga vyungu) familia ya mume makini kuhusu mahitaji ya kila siku ya nyati na ndama, wangu kamwe haikunikubali kabisa na kuniona kama kama vile ulazima wa nyasi kavu na za kijani, matatizo ya ninao uwezo wa kuweza kufikiri mwenyewe. afya na marekebisho ya nyumba, upatikanaji wa maji wa Walinichukulia kama sikuandaliwa kwa kurithi ardhi kudumu, mazingira safi, mzunguko wa mimba na au kilimo. Nilinyanyasika, kila siku waliniambia kwa njia mahitaji mengine ya misimu. Watu wa familia yangu na nyingi kwamba maarifa yangu hayakuwa na thamani na wanakijiji walinidhihaki kunikumbusha kuwa sikuwa na kwamba sikuwa na ‘Avadat’ (maarifa yanayofaa). ujuzi na maarifa ya kustahimili ufugaji na kwamba Nilibaki kimya kwa muda mrefu lakini niliendelea nilikuwa punguani kutunza mifugo kama watoto wangu. kuchunguza hali ya pale kijijini. Karibu familia zote Bado, nilidhamiria kufanya kazi kwa bidii na kusoma zilikuwa zinazalisha zao la aina moja tu la biashara la zaidi pamoja na kuwa sikupewa moyo kutoka kwenye Bajara (Pennisetum glaucum, Mtama). Ardhi duni na familia yangu mwenyewe na katika jamii. Nilihitaji pesa ukame usioisha ulizuia kilimo cha biashara chenye faida. zilizotokana na maziwa ili kutunza familia yangu. Watu walifuga sana sana kwa ajili ya kazi za shamba. Daima nilitaka kuelewa ‘sayansi’ ya menejimenti ya Watu walijishughulisha na kilimo na siyo ufugaji wala ufugaji na wakati huo huo kutegemea ujuzi wangu wa uzalishaji wa maziwa kama chanzo cha kipato. Nyati na Kotha Suz (ujuzi kwa muktadha maalumu na ufahamu). ndama hawakutunzwa vizuri. Mifugo ilisongana na Kotha Suz haijitengi kama elimu ya darasani na ujuzi wa kuwekwa sehemu ambazo si safi. Ndama walipewa utaalamu—hata wanawake wasiosoma na maskini mabaki na walipata huduma duni. Ilichukua miaka 6-7 wanayo na wanaitumia. Mama yangu alinifundisha kwa nyati na ng’ombe kutoa maziwa. Wastani wa utoaji kuhusu utunzaji wa wanyama. Alipata mahitaji yote ya wa maziwa kwa nyati mmoja ulikuwa lita 2-3 kwa siku. haraka palepale nyumbani au kutoka msitu wa karibu Ilikuwa dhahiri kuwa watu katika ukanda huu walikuwa kwa ajili ya utunzaji wa mifugo. Pia nilijifunza na bado wanapoteza fedha nyingi katika ufugaji. Ilikuwa ni mzigo ninaendelea kujifunza mengi kwa kuangalia mabadiliko mkubwa kwa wanawake kushughulika na shughuli za ya elimu ya mahusiano ya viumbe na mazingira pamoja kilimo, watoto, kazi za nyumbani na ufugaji kwa wakati na uchumi kijijini mwangu. mmoja. Daima niliamini kuwa Chila per chalava karata chilo Nilifikiri kuwa ingewezekana kuotesha nyasi za asili padvo vadhare agatyano che (kuanzisha mtindo kuna kwenye udongo duni. Kwa nini nisijaribu ufugaji ili maana zaidi kuliko kufuata mtindo). Ninakubali kuwa ni nipate pesa kutokana na kuuza maziwa? Nilishawishika muhimu kujifunza kutoka maarifa ya nje lakini kazi kuwa kama tutazingatia ufugaji, wanyama lazima watoe ngumu ni kuelewa matumizi ya maarifa yoyote katika maziwa ndani ya miaka 2-3 na tungeokoa gharama na muktadha wetu mahsusi. Ni muhimu pia kulenga katika nguvu za ziada kwa miaka 4-5. Changamoto ilikuwa ni mchakato wa kuanzisha jambo na kuliboresha ili kufikia lengo: hakuna dawa za kuua wadudu, matumizi kupunguza taathari kubwa kimkoa na kitaifa. ya mali asili, utunzaji bora wa mifugo, kustahimili kazi nzito, uzito wa kazi, kuimarisha uzalishaji wa maziwa na Uwekaji mipango kwa mradi wenye mafanikio wa mapato na jamii kutambua ujuzi wangu. Hakuna yeyote mahali: kanuni na vipaumbele vya msingi aliyeniamini. Kwa hiyo ilikuwa muhimu kuonyesha Vitu muhimu katika ufugaji ni pamoja na: Ujuzi wa mtazamo huu mpya kwa kijiji kizima. mchakato wa kila siku wa utunzaji; ujuzi wa upatikanaji wa nyasi; kuendelea kujifunza kuhusu mabadiliko ya Kudarati Niyam na mkabala wa kisayansi shughuli za ufugaji. Tangu mwanzo nimelenga katika (mantiki asilia na jatihada za hatua kwa hatua) mtindo wa kuendesha kilimo na ufugaji. Jinsi watoto wetu wanavyohitaji chakula chenye Utumiaji wa masalia ya kilimo: Niliona kuwa mabaki virutubisho na malezi ya kudumu, ndama pia wanahitaji mengi ya bajara kavu (Pennisetum glaucum, Mtama) matunzo ya pekee. Hivyo, mwaka 1970, niliamua yanaachwa mashambani baada ya kuvuna. Nilijaribu kujaribu ufugaji wa ng’ombe wa maziwa. Nilidhamiria kuchanganya mabaki na nyasi na kupata mlo maalumu kuthibitisha kuwa nilikuwa na maarifa na uwezo wa kwa mifugo. Hiki kilikuwa chakula chenye virutubisho kufanya kazi ngumu mwenyewe. Hakuna mtu anayempa vya hali ya juu vinavyotumiwa na wakulima na jamii mwanamke nafasi…ni lazima tuitafute na tuifanye. nyingine katika kanda. Daima mchanganyiko hutenge- nezwa kwa ajili ya wanyama kutegemeana na afya zao, 266 Tini za MA 58 uzito, kimo, na hali aliyonayo. Mchanganyiko maalumu Kushirikishana maarifa na elimu wa vitu vya asili kama nyasi kavu na za kijani, masalia ya Pia niliamini kwamba wataalamu katika kitengo hiki na mazao, vyakula vingine vilivyopendekezwa na serikali na taasisi bingwa lazima wajaribu uzoefu uliopo na maarifa vingine vingi kutoka majumbani kama vile Jaggery mapya. Ninahudhuria warsha za ubunifu za katika eneo (sukari guru) vinachanganywa kutengeneza chakula cha letu na za kitaifa zinazohusiana na uendeshaji wa ufugaji. asili; Ninapinga kabisa matumizi ya kemikali na viini Daima ninashirikiana na serikali na madaktari wa viambatano bandia katika uendeshaji wa kilimo na mifugo kutoka nje, wanasayansi kilimo na wataalamu ufugaji. Jumla ya uzalishaji wa maziwa kwa nyati wengine wanaosimamia maziwa wanapotembelea eneo /ngombe katika uangalizi wangu ni mara 2-3 zaidi ya hili au wakati wa mkutano katika ngazi ya kijiji au wastani katika eneo letu. warsha. Wanawake hawapaswi kuhudhuria katika miku- sanyiko ya taasisi kama hizi lakini ninachukulia kama Utunzaji Bora sehemu yangu ya kushiriki. Ninajaribu kuwashawishi Watu kijijini walishtuka wakati nyati wangu walipotoa wanawake wengine katika kijiji changu kufanya hivi jumla ya lita 17.3 za maziwa kwa siku mara ya kwanza. lakini siyo rahisi. Ni muhimu kwa wanawake wa vijijini Kiasi hiki kilikuwa ni mara mbili ya wastani wa maziwa kuwa na taasisi zinazohusu maarifa na mitandao ya nje. yanayopatikana kwa wanyama wengine kijijini. Hivi karibuni wataalamu wa uendeshaji ufugaji, wanasayansi Taathari katika eneo zima kilimo na madaktari wa mifugo wa serikali walikuja Miaka michache iliyopita, nilisikia juu ya mchanganyiko kuona shamba langu dogo na shughuli za uboreshaji. wa chakula maalumu cha wanyama kilichosambazwa na Nyati wote wawili walishinda katika shindano la ndani kampuni ya utafiti ya AGRO na kiwanda cha maziwa cha kwa ufugaji na kwa ubora wa maziwa katika eneo lote. Doodth Sagar ambacho ni kiwanda cha ushirika cha Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu, nilishinda maziwa katika kanda ambacho hakikuwa kimezoeleka (Rs) rupia 25 (inakadiriwa kuwa sawa na dola za katika eneo hilo. Wanyama hawakukipenda sana na kwa kimarekani 0.50 kwa kiwango cha sasa) na randi 200 hiyo wakulima hawakukinunua. Nilichanganya chakula kama zawadi katika mashindano mengine. Mwisho bidii hicho na nyasi za asili zilizokuwepo kwa namna nyingine zangu zilionekana na jitihada zangu zilitambulika kwa na wanyama walianza kula chakula hiki kipya, chakula kila mtu. Ujuzi wangu ulikuwa na thamani. Wakati tu chenye virutubisho vingi. Sasa ninaona fahari kwa shughuli yangu ya ufugaji ilipoimarika na kuweza kupata sababu wakulima katika wilaya yangu wanatumia msaada nilianza kulenga zaidi mahitaji mahsusi ya chakula kilekile kwa kutumia mbinu zangu ili kuongeza wanyama wangu hata kuliko uzalishaji pekee wa maziwa. uzalishaji wa maziwa. Ninafurahia kuanzisha mambo Swali nililojiuliza “Kama ninahisi kunywa maji kila mapya. Wawakilishi wa makampuni hutembelea shamba wakati labda na wanyama wanahisi vivyo hivyo”. Kwa langu na wananishukuru kwa kuboresha upya mazao yao hiyo niliunganisha mfumo wa kudumu wa upatikanaji wa asilia. maji ya kunywa na kukazania ufugaji wa wanyama kwa Wakulima wengi katika eneo hili sasa wanalenga katika usafi madhubuti. Kwa sasa wafanyakazi watano ufugaji ya ufugaji kwa ajili maziwa kuliko kilimo. wanawaangalia usiku na mchana. Wanyama wote Mwanzoni wanawake katika ukanda huu walikuwa wanaogeshwa mara tatu kwa siku. Ninahakikisha kuwa wakiagalia shughuli yangu kwa makini na hatimaye hawapati minyoo. Mazingira masafi huzuia minyoo na sio wakajifunza. Wakulima wanaume iliwachukua muda dawa. Mabaki ya chakula /nyasi yanatolewa kwenye zizi kugundua mtindo huu mpya. Kwa sasa tunapanda mazao ili kutunza usafi madhubuti . Ndama wadogo, nyati na ya chakula tu na nyasi kwa uzalishaji wa maziwa. ngombe wanapata mchanganyiko huu wa nyasi kulingana Wakulima na jamii nyingi katika ukanda huu na umri, ukubwa na uzito. Wafanyakazi wote wanategemea ufugaji wa ng’ombe wa maziwa. Tunaunga wanahakikisha kuwa nyasi hazipatwi na unyevu. mkono ushirika mkubwa wa Pili wa Maziwa—Mehsana Wakulima wengine wengi hawazingatii jambo hili. Doodh Sagar Dairy—katika kanda. Wakulima wengi wanaume humiliki wanyama kati ya 4 na 6 na wanatumia nguvu kutoka kwenye familia (zaidi Ushiriki wa wanawake wa tabaka la chini na wanawake) kuendesha ufugaji wao. Ni vigumu sana kwa umiliki wa mali mwanamke kutunza wanyama wengi, huku wakiwa na Leo hii ninamiliki nyati wawili na ng’ombe kumi na tisa majukumu ya nyumbani na shambani. Ni muhimu kuwa (Sankar Gai—mbegu ya kienyeji). Mifugo yangu inatoa na idadi ndogo ya mifugo ambao wanawake wanamudu wastani wa lita 10-12 za maziwa kwa kila mnyama kila katika familia. siku, ambazo ni zaidi ya mara mbili ya wastani katika 267 kanda. Ninapata mapato mazuri na kuishi maisha ya Wasiwasi wangu pekee ni kwamba kizazi kijacho raha. Kiwanda cha maziwa cha Mehsana Dudh Saga kinatarajia matokeo ya haraka na kinasahau kuwa kijijini kinafanya shughuli zake kwa kompyuta na sasa vipengele kama vile usafi madhubuti au upatikanaji wa sisi wanawake tunaweza kupima kiwango cha mafuta kudumu wa maji ni mambo muhimu ya kufanikisha katika maziwa tunayozalisha na kupata bei halisi ya ufugaji. Vizazi vya sasa vimepata elimu ya darasani na maziwa. Njia hii ni rahisi sana kuweka rekodi ya haviheshimu ‘mabingwa wa vijiji’ au maarifa ya watu uzalishaji wa kila siku wa maziwa na mapato ya kila maskini. Ni masikitiko kwamba kupata elimu ya mwezi. Nimenunua ardhi kwa kipato hiki, nimeajiri darasani kunamaanisha kupotea kwa maarifa asilia. wafanyakazi wanne wa kudumu, nimekarabati nyumba, (Kotha Suz na Atmagyan) Matumaini yangu ni kuwa nimetengeneza kisima katika shamba langu na mashirika kama SRISTI, ambayo yanatambua na kuunga nimempeleka kijana wangu wa kiume chuo kikuu. mkono jitihada zetu, yatahifadhi na kuendeleza shughuli Hadhi yangu katika familia na katika jamii asilia. imebadilika—sasa ninapewa heshima na ninatoa ushauri. Kamwe maisha si rahisi kwa wanawake, lakini lazima Simulizi na Malatiben Chaudhri, Gujarat, India. wajifunze kukazana licha ya mazingira magumu. Maandishi, tafsiri na mapokeo kwa MA. Mfumo wa Ninaamini kuwa ‘Mushkeli to Sanshodhanni Janamdata matini na Preeti Shroff-Mehta,Washington, DC, Che’ (Ugumu ni mama wa ugunduzi). Marekani. (prtshroff@aol.com) Adzina: Mfumo Asilia wa Uendeshaji Mashtaka wa Wazee wa Mahakama katika Eneo la Mpakani mwa Togo na Ghana Mada hii iliandikwa na Ben K. Fred-Mensah, Profesa Msaidizi wa uhusiano wa Kimataifa na mshauri katika maendeleo ya kimataifa katik Chuo cha Howard, Washington, D.C. Baruapepe: bfred-mensah@howard.edu au bmens@earthlink.net. Katika mada ya hivi karibuni katika ambayo yanatafuta chanzo cha mlolongo huu, mwandishi alijadili mgogoro na njia mbadala za kufikia taratibu asilia ambazo zinategemeza usuluhishi. maisha ya jamii miongoni mwa Kufuatana na wazee wa Buem, Wabuem wa Buem- Kator upande wa Wabuem hufanya jitihada kujaribu Ghana mpakani mwa Ghana–Togo, kuepuka bate kate ambayo wanafikiri katika eneo lililo asili ya Buem, kuwa ushauri hukuchukua muda Wilayani Jaskani ukanda wa Volta mrefu siyo kwao tu bali pia kwa Tini za MA 59 Ghana. Mada hii pia inahusu mizimu ambayo kimila wanawasin- Agosti 2003 Wabuem hao hao. Katika mada hii dikiza katika maongezi. Tofauti na mwandishi anaeleza mfumo wa jadi benyaogba ukpikator—uliojadiliwa wa mahakama unaoitwa adzina. katika mada iliyotajwa hapo nyuma Lakini kabla ya kujadili asili na —bate kate ni mchakato unaoele- mchakato wa adzina, anajadili weka, ambao unaendelea katika kwanza bate kate, ambalo ni baraza hatua na kawaida unahusu uhakiki la hukumu na adzina ni sehemu wa kina na kukusanya mashahidi na, yake muhimu. ikiwa lazima uthibitisho. Kwa upan- de wa pesa, bate kate unaweza kuwa ni ghali. Hii ni kwa sababu faini na Bate kate wakati mwingine gharama zina- tozwa kwenye pande zenye hatia. Bate kate inaweza kumaanisha Kesi zinazopelekwa kwa bate kate hukumu na pia inaweza kumanisha kwa kawaida ni zile ambazo anaona suluhu. Katika mfumo wa asili wa zimeshindikana kutatuliwa na kusimamia migogoro katika jamii ya benyaogba ukprkator au zinatambu- Buem, bate kate ni njia ya kuhimili lika kikatiba kuwa ni za jinai. Kesi za hali ya watu wengine tofauti na wale jinai zinahusisha zile za mauaji, walio katika mgogoro ambayo uhaini na kauli za kukashifu inatetea pande zinazotafuta utetezi watawala wa jadi au viongozi wa kutoka mtu wa tatu. Mfumo huu wa umma. Kuvunja miiko ya utawala usimamizi, unaweza kuendeshwa na pia ni kesi ya jinai ambayo uvumbuzi kiongozi wa ukoo au mkuu wa mji, lazima utolewe na bate kate. na unakuwa na umuhimu wakati Bate kate imependekeza sifa watetezi wanaposhindwa kuami- kuhusu taratibu pamoja na maudhui niana. Matokeoya kukosa uaminifu yake. Bate kate inaweza kuongozwa kunaruhusu mamlaka kutoka nje, ama katika mahakama ya kiongozi 268 269 wa ukoo au mahakama ya viongozi wa jadi wa mji kimaandishi humaanisha bibi au mwanamke mzee kutegemea uzito wa kosa. Katika kanuni, bate kate ambaye anasadikiwa kuwa na hekima ya ajabu, haki inaweza kufuata hatua nyingi kabla hukumu haijatolewa. ambayo haisailiwi na uwezo wa kuongoza mashauri ya Kwa maneno mengine, upande mmoja au pande zote adzina. mbili zinaweza kueleza kutokuridhika na hukumu Kama nakala ya shtaka lililofanywa na baraza la wazee iliyotolewa na zinaweza kuamua kupeleka tatizo kwenye wa Buem, Adzina inafanya kazi hivi: kesi za aina zote mahakama ya juu. Rufani kutoka mahakama za chini zilizofikishwa kwa mkuu wa ukoo au chifu wa mji ili lazima zipelekwe kwenye mahakama inayofuatia kwa kufikishwa kwenye hukumu, baadhi ya washiriki wa daraja. Kwa mfano, rufani kutoka mahakama ya kiongozi mahakama, ambao walikuwepo katika kusikiliza kesi wa ukoo lazima ipelekwe mahakama ya kiongozi mkuu hizo na kufuatilia mwenendo wa kesi hizo wanachaguliwa wa mji na rufani kutoka mahakama ya mkuu wa mji kwa makusudi ya kwenda kwenye hukumu. Pamoja na lazima ipelekwe kwa kiongozi mkuu wa eneo hilo, wengine, baraza la wazee wa mahakama linaundwa na anayejulikana kama akwamuhene. Akwamuhene ni wawakilishi wa jaji kiongozi, baraza la hukumu na pande kiongozi mkubwa kupita wote katika mgawanyo wa zinazobishana. Baraza jipya la wazee wa mahakama Buem-Kator; hivyo moja kwa moja chifu mkuu mwa- lililoteuliwa litaondoka kwenye chumba cha mahakama kilishi katika eneo. Kama suluhu haifikiwi katika ngazi na kwenda kutafuta sehemu ambayo watapima na ya mahakama ya Akwamuhene kesi inapelekwa kwenye kusikiliza watu wengine wa mahakama. Hapa watakaa mahakama ya chifu mkuu katika makao makuu ya jadi. wenyewe mpaka wafikie hukumu. Kwa kufanya hivi, Hata hivyo, katika utendaji hukumu nyingi inasemekana wanashauriana na abrewa. zinasuluhishwa katika ngazi ya mji sana sana kwa sababu Hukumu inapofikiwa, baraza la wazee wa mahakama ya gharama (kwa maana ya muda na vitu) zinazotakiwa watarudi kwenye chumba cha mahakama na kuwasilisha wakati kesi zinapopitia hatua nyingi kabla ya kutolewa matokeo kwa jaji. Kupitia kwa wazee wa baraza, abrewa uamuzi wa mwisho. Kuna dhana miongoni mwa Wabuem atatuma maneno ya maonyo kwenye upande usio na kwamba kama suluhu inaweza kufikiwa ni lazima hatia. Hukumu ama inakubalika na upande ulio na viongozi wa ukoo au machifu wa miji na wazee wake makosa kutozwa faini au unakataliwa na kupelekwa walitatue katika ngazi ya chini kadiri inavyowezekana. kwenye mahakama ya juu zaidi. Mashauriano ndani ya bate kate yanaweza kuwa Jaji kiongozi atatoa hukumu namna hii: mchakato unaohitaji kufafanunuliwa. Pamoja na Abrewa onini, fula le temi libo emimi. Osu boda mi utaratibu wa kawaida kila mtuhumiwa anawasilisha borsaka. Bokisi bobo mi nte. Osuni bafouo. Osi mui, kuhusu jambo lililotokea. Baada ya wote wawili siwu tsuedi otilikpi na onwa lelormi benu nkudor. Omui kusikilizwa, majaji wanamwuliza kila mmoja maswali ni keny kenui kebo kuboryo (Inafasirika kumaanisha kulingana na yale aliyosema. Lengo ni kufikia kwamba “kulingana na hukumu ya Mwanamke Mzee makubaliano ya aina moja kwa kuondoa vipengele vya ambayo kwayo jopo la washiriki, waikubalia, mtu fulani utata katika kauli za wapinzani. Kuna matumizi ameonekana ana hatia. Mwanamke Mzee ametuma makubwa ya kutumia uthibitisho ushahidi, na udadisi ujumbe wa onyo kwa upande wenye hatia na maneno mashauri ya mahakama daima yanakuwa ya wazi na kila ya faraja kwa upande usio na hatia”). mtu aliyehudhuria ana nafasi ya kumhoji/kumdadisi mtuhumiwa yeyote yule. Amri mahakamani inalindwa Kesi inapomalizwa, inachukuliwa kwamba sana na lugha chafu hairuhusiwi kwani inaweza lekorkalorbunu, ambayo inawakilisha ukweli na haki kusababisha kudharau mahakama. imefikiwa. Faini (banyinkortu) zinapendekezwa. Faini kwa kawaida ni za vitu, kama vileo, sana sana pombe ya mnazi—inayoitwa kubo nte—pamoja na mifugo. Kiwango Adzina cha faini kinategemea uzito wa kosa, jinsi upande wa mashtaka ulivyojiendesha katika shauri, na taarifa Neno adzina kwa mujibu wa makala hii linaweza nyingine za makosa yaliyopita. Mara tu faini zinapolipwa, kufasiriwa kama “kujitenga ili kutafakari jambo”. Adzina inachukuliwa kwamba suluhu imekubaliwa na inakuwa na baraza dogo ambamo maoni yaliyotolewa na wapinzani. Vinywaji vinatumika kama tambiko ili bate kate yalikuwa kwa misingi ya kuhakikisha haki kuridhisha miungu (atibluku). Vinamwagwa na kasisi katika pande mbili za mgogoro au mtuhumiwa aliyeletwa anayeheshimiwa na kama hayupo mzee anachukua mahakamani. Inasemekana Adzina inawapa wasimamizi nafasi. wa bate kate nafasi ya “kushauriana na abrewa”. Abrewa 270 Tini za MA 59 Akiwa na kibuyu cha vinywaji mkononi, mheshimiwa Uchambuzi kasisi, atamwaga tambiko likiambatana na maneno kama: Tofauti na mfumo wa baraza la wazee wa mahakama wa Mwenyezi Mungu uliye juu mbinguni, dunia sasa, ambapo wazee wa baraza wanachaguliwa kabla ya tuliyosimamia (Oh! Atibluku atsa kator, kalor kuanza kwa shitaka, wazee wa baraza katika mfumo wa kemenge), na kinywaji hiki, tunawaomba miungu Buem wa adzina wanateuliwa baada ya shitaka na utetezi mtusaidie sisi kudumisha amani katika pande hizi kumalizika. Faida ya kuchagua baraza kwa namna hii zinazopingana. Pande zote mbili zitakapokunywa unatokana na ukweli kuwa kwa vile hakuna mtu kutoka katika kibuyu hiki asiyepo atakayemdhuru anayeweza kusema ni nani watakuwa wazee wa baraza mwingine. Mwadhibu mtu yeyote atakayeonyesha nia kwa vile mtu yeyote aliyekuwepo kwenye mwenendo wa mbaya dhidi ya mwingine, au kudharau mamlaka ya kesi, na ambao wanadhaniwa kuwa na msimamo mzuri majaji au kujaribu kuleta maafa katika jumuia. katika jamii ya Buem anaweza kuchaguliwa. Pia jamii ya Buem wanaishi karibu karibu wanaunganishwa na Ni lazima ikumbukwe kwamba katika kesi zinazohusu vipengele vya mtandao wa matambiko, siasa na uchumi makosa makubwa kabisa, hasa kesi ambazo mhalifu ni vigumu kwa wazee wa baraza kuweza kuepuka amepatikana na kosa la kutumia silaha za kudhuru upendeleo. kuliko kupigana ngumi, na kufanywa hivyo amemtoa Kuomba nguvu za asili kama njia ya kutekeleza damu mwabuem mwenzie, anaweza kufungua faili maamuzi miongoni mwa Wabuem inaonyesha kwamba mahakamani ambayo itadai mifugo, kwa kawaida kondoo njia za usimamizi wa migogoro inatoa sio tu njia ya (kofonu). Hii faini inatolewa hata kama imeonekana mwongozo kwa wapinzani kutafuta mwafaka, bali pia ni kuwa upande huo una makosa au hauna. Katika kesi njia ambayo miungu wanategemewa kuendeleza utawala kama hii mheshimiwa kasis atamwaga kafara na kuita wa sheria za jamii. Hii haishangazi kutokana na ukweli mizimu ya pande zinazopingana mara tatu wakitaja kuwa mfumo wa kisiasa wa mahakama wa Buem hauna dunia (kalor) mara tatu na kuwaomba “watakase jamii aina yoyote ya idhini au vitisho vya kutumia nguvu, kwa kutokana na kufuru na hatari” (ntedie musue) ambayo kawaida vinafanywa na polisi kwa mfungwa na dola ndiyo inaweza kuletwa na damu iliyomwagika. Baada ya haya, inayohusishwa kulingana na mfumo wa kisasa. kondoo atachinjwa mahali palepale damu ya mtu ilipomwagikia. Kinywaji na nyama ya mnyama itagawanywa kwa watu wote waliokuwepo. Kwa sherehe hii ya tambiko, inaaminika kwamba miungu imeridhishwa na dunia pamoja na pande zote mbili zimetakaswa. Vikwazo vya Kitaasisi katika Uhamasishaji wa MA Ufikiaji wa Jumuia katika Mitandao ya Kijamii na Taasisi Rasmi Makala hii imeandikwa na PreetiShroff-Mehta na inalenga eneo la utafiti wake wa shahada ya udaktari wa falsafa (PHD) uliofanyika nchini India katika kipindi cha 2000-2001. Utafiti huu umepata taarifa zake kutokana na masimulizi ya watu binafsi kumi na sita ambao ni wabunifu wenyeji na uzoefu wa wanajamii katika kupitia upya na kurekebisha taratibu za maarifa asilia. Kazi hii ilisimamiwa na Prof Anil Gupta wa Chama cha Utafiti na Mabadiliko kwa Teknolojia Endelevu na Taasisi (SRISTI) na Bwana P . Vivekanandan wa Kilimo Endelevu na kikundi cha mazingira cha kujitolea (SEVA). Bi, Shroff-Mehta alichukuliwa na Chuo Kikuu cha Maryland na atafundisha kozi za Elimu ya Jadi na Vitendo vya Kidunia itakayoanza msimu wa Machipuko (Spring) 2004. Katika miaka ya hivi karibuni Kazi hii ya uboreshaji asilia nchini mashirika mengi ya kimataifa na India inalenga vipengele hivyo vya asasi zisizo za serikali zilifufua MA vilivyoonyeshwa hapo juu lakini jitihada zao za kutoa na kuinua inasisitiza mtazamo wa nafasi ya maarifa asilia katika kupanga na taasisi katika kuchochea /kuinua kutekeleza maendeleo. Juhudi hizi mitazamo ya uboreshaji asilia. Ni Tini za MA 60 zinasisitiza mifumo ya maarifa ya wazi kuwa kuna kufanana kwingi wenyeji pamoja na vitendo kama kuliko kutofautiana kati ya kile Septemba 2003 vyanzo vya kuthamini katika kinachoelezwa hapa na hali halisi maendeleo ya dunia. Vipengele katika nchi nyingine za kusini muhimu vinavyohusiana na maarifa zinazoendelea. asilia katika maendeleo vinavyo- jadiliwa mara kwa mara ni: • Uwekaji kumbukumbu: Maarifa Ufufuaji na urandanishaji wa asilia ya uwekaji kumbukumbu, maarifa asilia: Malengo ya mawasiliano na urandanaji na hali jumuia asilia halisi. Juhudi zinazoendelea za kufufua • Umiliki: Umiliki wa kienyeji juu ya jumuia na kilimo kilicho maalumu suala zima la maarifa maalumu katika kanda fulani, afya, elimu na • Mfumo wa motisha: Kumotisha shughuli za maisha za uchumi katika marekebisho ya maarifa asilia (kwa juhudi za maendeleo ya dunia kupitia maandishi na usambazaji, zinagusa thamani ya uboreshaji wa kutumbulika katika eneo moja hadi maarifa asilia katika kiwango cha jingine, kufaa kwake kwa ulimwengu kimataifa. Katika mfululizo wa mzima na ongezeko la thamani yake) mahojiano na waboreshaji wenyeji na yaliyoendeshwa wakati wa utafiti wa • Ufikiwaji wa maarifa na taasisi: MA, wanachama kumi na sita katika kuunganisha taasisi za asilia na zile jumuia katika majimbo mawili za kisasa kwa maendeleo endelevu nchini India waliorodhesha malengo na kuwezesha jamii za mahali ya kufufua utendaji wa MA. kupata masoko, wakala wa serikali, (1) Kushughulikia masuala ya umas- taasisi za kifedha, vituo vinavyohusu kini na mbinu za maisha; utafiti chuo kikuu na maendeleo ya uchapishaji kimataifa. 271 272 Tini za MA 60 (2) Ufanisi katika gharama na ufanyaji kazi katika (3) Vikwazo kutoka taasisi rasmi: Vikwazo kutoka uzalishaji wa kilimo; asasi rasmi kama vilivyoonyeshwa na wanajamii (3) Kuendeleza na kuhifadhi mazingira; vinaonyesha ni wenyeji kukosa nafasi kwenye “mitandao (4) Kusimamia majanga ya misimu kama vile ukame, mipya ya kijamii” kama vile teknolojia ya kilimo na mafuriko na ukosefu wa kazi; wakala wengi, asasi za elimu ya juu na utafiti, asasi za (5) Jumuia kujitegemea na kuhifadhi mila na vipa- fedha, vyama vya siasa, AZISE na mashirika ya kimataifa umbele vyake; (tofauti na mitandao ya vijiji na jumuia).2 (6) Kuboresha hali ya uchumi wa jamii na kuanzisha ajira; Jedwali linaonyesha muhtasari juu ya mtazamo wa (7) Uwakilishi kwa wanawake; wanajumuia asilia kuhusu vikwazo vya asasi katika (8) Mahitaji ya wanajumuia ya kujifunza. kuendeleza marekebisho asilia na jitihada zao za kutatua vikwazo fulani. Linaorodhesha mlolongo wa vikwazo vya Wakati wanaorodhesha malengo ya kufufua maarifa kitaasisi vilivyoonyeshwa na wagunduzi asilia na asilia na kuyatumia, wanajumuia waligusia pia mlolongo wanajumuia wengine. Linajumuisha wajibu wao kuhusu wa vikwazo katika uboreshaji wa maarifa asilia.1 mtaji hasa wa jamii kama vile—gharama za kuweza kuwa (1) Vikwazo kutoka kwenye familia na jumuia: na mitandao na kushiriki katika mitandao hiyo ya jamii, Wagunduzi wengi kutoka ndani wanapata vikwazo kawaida ya “kujitoa” kwa mitandao fulani ya mijini na kutoka kwa wanafamilia. Katika sehemu hizi za vijijini na mzigo kwa mitandao ya jamii (juu ya—undani, majaribio ya kilimo, wanafamilia husita kuwekeza katika ufinyu na ugumu). miaka kadhaa na kupoteza kipato chao cha sasa hivi bila kuwa na uhakika wa mapato yale ya siku za usoni yatakayotokana na majaribio ya ubunifu wa mazao. 1 Wagunduzi wenyeji wameainisha vikwazo vingi vya kiasasi ambavyo vinaonyesha ufinyu au kutokuwa na haki ya kuanzisha Wanajumuia hawakubali uanzishaji wa kilimo na taasisi rasmi au zisizo rasmi pamoja na mitandao yake inayohusu shughuli asilia za kilimo mpaka faida za huu uzalishaji jamii. Taasisi zinazowakilisha miundo ya mashirika, itikadi wa watu wengi unapoonyeshwa matokeo mazuri katika zinazohusu mifumo fulani ya maendeleo, mitandao ya ndani na nje, mila na desturi dhahiri. Pia, taasisi zinazofuata sheria na kanuni kipindi kifupi na uzalishaji wa mazao unapoimarishwa na zinatumia mbinu fulani kusimamia utekelezaji wa sheria. katika soko. Wakati mwingine wakulima maskini wa “Waanzishaji wa taasisi wanaweza kuwa wengi, kama vile ndani wanakuwa hawana ardhi kwa kilimo cha mbegu na wanasheria, wafanyabiashara au wanajumuia. Sheria za ushirika, za wazawa na za ufilisi wa benki ni taasisi za umma. ujuzi wa kilimo pamoja na maarifa ya uthibitisho halali Vilevile wakala wa mahakama, ukusanyaji wa kodi na wakala wa na njia muafaka kwa masoko. sheria. Mabenki, makubaliano baina ya wanajamii na taratibu za (2) Vikwazo vya msimu: Kikwazo kikubwa cha ndani kurithishana ardhi ni asasi binafsi. Asasi nyingi binafsi zipo katika kufufua na kurekebisha mifumo ya maarifa asilia kwenye usimamizi wa asasi za umma. Kwa mfano, benki binafsi zinafanya kazi kwa kutumia muundo wa sheria za umma. ni vipengere vya kimsimu. Kikundi cha wakulima asilia Kanuni za kijamii zinaweza kuwa au kutokuwa na sheria za katika majimbo ya Taminadu na Gujarat waligusia umma.” (Ripoti ya Maendeleo ya Dunia 2000, Sanduku 1.2, uk.6) kwamba majaribio ya uwekezaji wao katika shamba la 2 Dhana ya mtaji wa jamii humaanisha mali halisi anayopata mtu kutokana na kufahamiana na watu wengine, au kuwa sehemu ya dawa za mitishamba yameshindwa kutokana na pepo mtandao ambao jamii inao au wao kumfahamu mtu pamoja na hafifu za monsuni na ukame wa mfululizo, ukosefu wa kuwa na sifa nzuri. Vipengele viwili vya mtaji wa jamii ni: uwezo maji ya kunywa na ya umwagiliaji, upotevu wa mifugo na wa jamii kuweza kutumia mali kulingana na nafasi yake katika mtandao fulani wa jamii na uwezo wa jumuia kutumia mitandao uhamaji wa wafanyakazi. Kikwazo kingine ni kuelewa mingi ya jamii. Bourdieu na Coleman wanasisitiza tabia ya mazingira ya kihistoria ambayo shughuli asilia zinaweza kutogusika kwa mtaji wa jamii tofauti na aina nyingine. Wakati kuwepo, kwa mfano ukubwa wa shamba, uwiano wa watu mtaji wa uchumi uko katika akaunti za watu wenyewe, mtaji watu na ardhi pamoja na aina ya vyakula. Kufufua shughuli umo vichwani mwao, mtaji wa jamii uko katika muundo wa mahusiano yao. Ili kumiliki mtaji wa jamii, mtu lazima ahusishwe fulani asilia kwa nyakati hizi kunahitaji kuzichukua na na wengine, na ni hao ndio chanzo cha faida yake. […] Lengo la kuzifanyia marekebisho ili ziendane na mazingira asilia. watu wengine kumilikisha mali si sawa kwa kila mtu. Kwa kiwango kikubwa mtu anaweza kutofautisha kati ya malengo ya muda dhidi ya malengo yenye kuleta motisha. 273 Vikwazo vya kitaasisi katika Kuchukua Maarifa Mapya Ugunduzi Vikwazo vya Kitaasisi/Sekta Mkakati ya Mgunduzi Matokeo (Hatua pevu) Usimamizi wa mchakato wa • Wapanga mipango ya maendeleo na jumuia asilia kutoamini • Kuanzisha na kuonyesha shughuli mpya kwa • Mabadiliko ya maisha ya kanda ufugaji maarifa ya wanawake wa vijijini. wanajumuia wa kijiji au taasisi za nje. nzima (Hatua ya juu) • Wagunduzi wanawake kukosa uwezo wa kufikia taasisi mijini • Kuelimisha wataalamu kutoka nje na wakala • Ushiriki hai wa mgunduzi wa na vijijini pamoja na mitandao ya kijamii mbalimbali wa maendeleo. mwanzo katika mtandao wa maarifa Hakuna Nishati/Teknolojia ya • Kukosekana kwa uwekezaji kibiashara katika mfumo wa • Kushirikisha maendeleo ya mazao na juhudi za • Mahitaji ya kanda na kitaifa kustawisha kilimo/mitambo wenyeji soko pamoja na SKISTI. kutokana na kuongezeka kwa (Hatua ya juu) • Ufinyu wa masoko na usambazaji. mazao na mauzo. Mfumo wa zao linalotoa matunda • Ukosefu wa mbinu za kusimamia ukame katika kilimo- ukosefu • Kuendeleza mazao mbalimbali yaliyoanzishwa, • Usanbazaji wa ndani wa mauzo kwa wingi (Mpya) wa maji kuanzisha kwa misimu. yanayozaa mapema na mbegu • Uhimizaji wa Serikali katika nyenzo za kilimo pamoja na mbinu zinazotoa mapato ya juu. za kilimo. Mfumo mpya wa mazao • Jamii kutokuwa na nia na moyo kuhusu kilimo na kukosekana • Kushirikiana na mtandao wa mashirika • Kutambua aina mpya mbalimbali. mbalimbali kwa jamii ya wanasayansi. yasiyokuwa ya kiserikali. • Juhudi za pamoja katika kufanya (Hatua ya juu) • Mchakato wa kisiasa wa serikali katika kuidhinisha ubora wa majaribio ya kuendeleza shamba la mbegu mbegu na wakala wa kujaribu • Ukosefu wa ufadhili wa serikali na ajira mbadala majira ya mbegu ukame • Ukosefu wa vifaa vya maabara katika uwekaji wa viwango vya • Kushirikiana na jamii kwa utafiti na uanzishaji • Mpango wa kusambasa dawa za dawa za mitishamba, mifugo inahitaji majaribio kwa kutumia wa Teknolojia endelevu na Taasisi (SKISTI) na mwitu shamba zilizothibitishwa mchanganyiko wa madawa mbalimbali asilia na namna ya maabara ya utafiti wa dawa za miti shamba. kutumia dawa. • Madaktari wa Allopathy wa madawa kukosa imani katika matibabu ya kutumia dawa za mitishamba Mganga wa kutumia mitishamba • Kukosekana kwa aina fulani ya mali ghafi kavu za dawa za miti • Matibabu ya dawa za mitishamba na matatizo • Jukumu la wagunduzi wanawake (Mpya) shamba (kutegemea mgavi wa kibiashara) ya msimu ya afya ya wanawake kuendeleza akiba za wanawake maskini. Usimamizi wa asilia (shamba, • Muda mrefu unahitajika kubadili kutoka katika biashara kwenda • Familia inashiriki katika shamba lao, • Usambazaji wa njia za asili za gesi asilia,mifugo) kwenye mfumo wa shughuli za kilimo. usimamiaji wa mifugo na shughuli ya gesi kulima. (Hatua ya juu) • Hasara kifedha kutokana kutegemea uzalishaji wa aina • Kushiriki katika mifumo ya wenyeji ( Chama • Chama cha wakulima wa ndani mbalimbali za mbuzi na njia za biashara za kilimo hapo awali cha wakulima) kuunga mkono njia asilia za kilimo • Kuwa na mtandao na ofisi ya kodi, mashirika na njia za kujifadhili kwa wakulima ya kilimo na asasi za kitaifa za utafiti wa eneo husika Teknolojia ya kufua nazi • Kukua kwa mahitaji ya nazi mjini na misimu ya kazi ambapo • Kuendeleza zao moja ili kuwa na ugavi wa • Upatikanaji wa kudumu na wa (Mpya) haitoshelezi kijijini. nazi wa wakati wote na kumudu ukosekanaji kuaminika wa zao la nazi kwa • Usimamizi mwafaka na usambazaji wa nazi kwenye wa nguvu kazi makampuni ya mjini. makampuni ya mjini. • Ukosefu wa uwekezaji wa fedha katika kuendeleza mazao ya biashara. Aina mpya ya mpunga • Kukosa ushirikiano toka serikalini pamoja na mgogoro • Kushirikiana na AZISE za wenyeji ili • Usambazaji wa haraka na unaostahimili ukame unaoendelea wa wataalamu wanasayansi wa kilimo. kupambana na kesi ya uhalali mafanikio wa mpunga wa kienjeji (Hatua ya juu) • Mashindano mbali mbali ya aina mpya ya mbegu • Kuonyesha aina bora ya mbegu ya mpunga na kuanzisha mbinu za uzalishaji yaliyoanzishwa na wanasayansi wa kilimo. inayostahamili ukame, na yenye ladha nzuri wa mbegu za mpunga. • Hatua za kisheria zilizochukuliwa na seriikali kama changamoto kwa serikali kutokana na usambazaji wa mbegu asilia katika soko. Mfumo asilia wa utengenezaji wa • Kukosekana kwa mapato katika kilimo ili kufanya kipanuliwe • Kukuza aina ya asili ya toi ( kutumia vifaa • Utafiti wa kudumu kuhakikisha vitu vya kuchezea (mpya) zaidi asilia) upatikanaji wa lacguer kutoka • Kukosekana kwa aina fulani ya malighafi (lacquer) nchini. • Kushirikiana na AZISE za wenyeji na kitengo jimbo jingine kuendeleza michezo • Kutokuwepo kwa wakala wa maendeleo serikalini. cha utangazaji cha SRISTI(GYAN) ya kuchezea Vifaa vya kukatia magugu • Ukosefu wa pesa za kuendeleza aina hiyo ya mazao. • Kutafuta kwa bidii kwa mwekezaji na • Mgunduzi sasa ni mwanachama shambani (Mpya) • Ushindani katika soko, zao hilo hilo linaingizwa soko la kitaifa ushirikiano unaoendelea na AZISE za wenyeji wa mtandao wa wagunduzi kwa njia ya mashirika ya kimataifa. zilizoko katika mji wa Madurai- Kilimo endelevu wenyejii katika jimbo la tamilnadu. na huduma ya kujitolea ya mazingira (SEVA) • Ushirikiana na wawekezaji wa ndani. Mfumo asilia wa uchungaji wa • Aina ya mifugo chotara isingeweza kuishi kwenye ukanda • Kutegemea mifugo ya asilia • Mashirika yasiyo ya kiserikiali mifugo wenye hali ya milima. • Mgogoro na mamlaka ya misitu. kuingilia na kuhusika katika • Serikali ikimiliki misitu, wafugaji wanahangaika kupata nyasi mgogoro baina ya wakala wa kwa ajili ya mifugo yao asilia. serikali na • Vipengele vya fedha vya ugunduzi wa wenyeji vilishirikishwa kwa mtafiti tu, wagunduzi wenyeji hata hivyo waliomba kwamba habari hii iwekwe kama siri kwa ajili ya sababu binafsi na sababu maalumu za jumuia.