79165 Tanzania Hebu Tutafakari Pamoja Jacques Morisset Waly Wane Isis Gaddis Loy Nabeta TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | ii www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kuhusu kijitabu hiki Kila Jumapili tangu Julai 2012 Timu ya Kitengo cha Kupunguza Umaskini ya O�si ya Benki ya Dunia nchini Tanzania, kwa kushirikiana na gazeti la ‘The Citizen’, imekuwa ikichapisha safu inayoitwa ‘Tanzania: Hebu Tutafakari Pamoja’. Shabaha ya safu hii ni kushirikishana takwimu na taarifa ambazo hazijulikani sana lakini ni za muhimu zinazotokana na ta�ti rasmi za hivi karibuni kuhusu mada mbalimbali ili kuchechemua mjadala mpana miongoni mwa wadau nchini Tanzania. Mada hizi zinagusa maeneo yote ya mijadala org/africacan/) ambako pia yalinakiliwa, ya maendeleo - kilimo, mazingira, utawala, ilionekana kwamba kijitabu kinaweza kodi, maliasili, n.k. kutayarishwa na kuchapishwa katika lugha ya Kiswahili na Kiingereza ili kufanya Kutokana na mafanikio ya makala hizi habari hizi zipatikane kwa urahisi kwa wale kama ilivyothibitishwa na idadi ya wasomaji ambao hawakuweza kufuatilia safu hiyo na walioitikia makala hizo katika gazeti, na watu kutembelea blogu hiyo. karibu 200,000 waliotembelea blogu ya Mchumi Mkuu wa Benki ya Dunia (http:// Baadhi ya michango ya wasomaji pia blogs.worldbank. imechapishwa sambamba na kila makala. iii www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Juni, 2013 Hili chapisho limetayarishwa na Timu ya Kitengo cha Kupunguza Umaskini cha Benki ya Dunia, Of�ce ya Tanzania. 50 Mirambo Street Dar es Salaam Tanzania www.worldbank.org www.worldbank.org/Tanzania www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together Design: Jamana Printers ltd. iv www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Yaliyomo Dibaji ................................................................................................................................2 Shukrani ..........................................................................................................................3 Ukuaji wa Uchumi/Umaskini/Sera.............................................................................5 Kazi/Sekta Binafsi/Huduma za kifedha ...................................................................24 Kilimo/Chakula/kijiji/Mazingira .............................................................................. 45 Huduma za Jamii ..........................................................................................................61 Miundombinu...............................................................................................................79 1 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Dibaji Wazo la mfululizo wa makala za “Tanzania, Hebu Mada zilizochaguliwa hazikuwa za kinadharia pekee, bali Tutafakari Pamoja� liliibuliwa na o�si za Benki ya Dunia ni mambo ambayo watu wa kawaida wanajishughulisha jijini Dar es Salaam. Wafanyakazi wenzangu wa Benki ya nayo katika maisha ya kila siku – ikiwa ni pamoja na Dunia, Jacques Morisset na Waly Wane walibua mjadala mahudhurio ya watoto shuleni, matumizi ya kaya, na uliojaa ubishani kuhusu matokeo ya uta�ti wa kaya huduma za usa�ri na miundombinu ya barabara kwa ambayo yalikuwa yametolewa hivi karibuni na O�si ya wananchi, n.k. Wasomaji wanayajua mambo haya na Taifa ya Takwimu. Hatimaye waliyachukua majadiliano huchangia kwa dhati katika majadiliano. Baadhi ya hayo na kuyaweka kwenye mtandao ili kuhusisha maoni yaliyopokelewa ambayo utayakuta katika kijitabu wafanyakazi wengine ambao wanaguswa na mada hiki inaonyesha watu wengi wana mawazo na maoni hizi, ambazo zinachangia tafakari kuhusu mafanikio ya mazuri katika masuala ambayo yanahusu maisha yao juhudi za Tanzania za kuleta maendeleo ya kiuchumi na na wanayothamini. kijamii. Makala ya kwanza katika mlolongo huo ilizaliwa Kijitabu hiki kina mada 50 ambazo zimechapishwa mwezi Aprili, 2012. hadi leo na inawapatia wasomaji mrejesho wa kisera Kutokana na unyeti wa mada zilizojitokeza, tuliona ni na tafakari katika baadhi ya masuala muhimu sana vema tupanue wigo wa kushiriki katika mijadala hiyo yanayotengeneza au yatakayo tengeneza maendeleo kwa kuchapisha makala hayo katika gazeti la ‘The ya kiuchumi ya Tanzania. Msomaji ataweza kutafakari Citizen’, ambalo tulishirikiana nalo, na pia katika blogu ugumu wa changamoto za maendeleo ambazo nchi iliyosimamiwa na Shanta Devarajan, akiwa ni Mchumi bado itabidi ipambane nazo. Pia wataweza kuthamini Mkuu wa Afrika wa Benki ya Dunia wakati ule. Toka sekta ambazo Tanzania imekuwa ikifanya vizuri katika wakati huo, makala hizi zimekuwa zikichapishwa karibu kipindi cha miaka kumi iliyopita, kama vile kupanuka kila wiki kwa kipindi cha takribani miezi 15 na zimesomwa kwa sekta ya uuzaji wa bidhaa nje, teknohama na na watu zaidi ya 200,000 kwenye mtandao. Pia mjadala matumizi ya simu za mkononi, na kutafakari kuhusu ulienezwa kupitia barua pepe kwa washiriki wa ndani fursa za kimaendeleo zitokanazo na hizi sekta. ya o�si, na mara nyingi ilileta mwitikio mkubwa kutoka Tunafahamu pia kuwa, Benki ya Dunia inasaidia sio kwa wasomaji wake. tu kwa kutoa msaada wa kifedha kwa nchi husika, ila pia inahitaji kushirikisha wadau wote elimu na Moja ya sababu kubwa ya kufanikiwa kwa jitihada ufahamu utokanao na ta�ti na michanganuo katika hii ni kwamba, mada za makala za “Hebu Tutafakari maswala mbalimbali ya maendeleo, ili kukuza mjadala Pamoja� zilikuwa rahisi kuelewa na kufuatilia, na kuhusu sera na mikakati husika. Mijadala hii ambayo hivyo kushirikisha watu wengi kutokana na muundo pia husaidia kuinua ubora wa michanganuo yetu, pia wake ambao ulihusisha takwimu ambazo hazijawahi husaidia kukuza na kuboresha utekelezaji bora wa sera kuchapishwa, kuhusiana na sekta mahususi nchini na mikakati hiyo. Kwa hiyo mchango wa majukwaa Tanzania, kwa mfano, afya, elimu au maji. Mada hizi kama haya ya “Hebu tutafakari Pamoja� kwa kweli ni huwa ni fupi lakini inayotoa ufahamu mkubwa na hatua nzuri. mwanga katika mada iliyotayarishwa, ikilinganishwa na muktadha nyinginezo za ndani naza kimataifa. Wahariri Marcelo M. Giugale wa mada wanaibua maswali ili kusaidia tafakari, kabla Mkurugenzi ya msomaji kuuliza maswali ya kutaka kuelewa zaidi, Idara ya Sera za Kiuchumi na Programu za Kupunguza na hivyo kupanua uchangiaji wa mawazo ya watu Umasikini Afrika mbalimbali. Benki ya Dunia 2 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Shukrani Wakati tunatayarisha makala za ‘Hebu Tutafakari Makala za ‘Hebu Tutafakari Pamoja’ zisingekuwa hivi Pamoja’ tulipokea maoni mazuri sana kutoka zilivyzo bila ya Shanta Devarajan, aliyekuwa Mchumi kwa wafanyakazi wenzetu wengi, mrejesho na Mkuu wa Jimbo la idara ya Afrika la Benki ya Dunia, mapendekezo waliyotoa yalikuwa ni msaada ambaye alitupa fursa ya kuchapisha makala hizi mkubwa sana katika kuboresha makala na matoleo katika blogu ya ‘Africa Can’ na kuweza kuwa�kia haya. watu wengi zaidi. Mapi Buitano pia alitoa msaada wa hali ya juu wakati akiingiza makala zetu kwenye Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati hasa tovuti. kwa Bw. Sanjeev Ahluwalia, Bw. Dominic Haazen na Bw. David Rohrbach, ambao mara nyingi Katika utayarishaji wa kijitabu hiki, Bi. Agnes Mganga walitupa changamoto na kuhoji maoni yetu na alitoa msaada mkubwa wa kiutawala usio kifani. kutufanya tuboreshe hoja zetu. Pia tungependa Aidha, tungependa pia kumshukuru Bi. Rosalie kuwashukuru Kristoffer Welsien na Janneke Hartvig Ferrao kwa kuratibu ushirikiano wetu shughuli na Blomberg kwa kuhariri matoleo mawili kati ya mengi gazeti la The Citizen/Mwananchi, na Bw. Josaphat yaliyochapishwa. Bw. Philippe Dongier, Mkurugenzi Kweka kwa kusaidia katika tafsiri ya Kiswahili. wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, amekuwa ni Mwisho tungependa kumshukuru Constantine mwenye msaada mkubwa katika mchakato huu Sebastian kutoka gazeti la Citizen/Mwananchi kwa kupitia maswali aliyouliza na ushauri uliotoa kuhusu kuwezesha ushirikiano huu. maudhui na muundo wa makala. 3 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 4 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Ukuaji wa Uchumi/Umaskini/Sera 1. Siri iliyotunzwa vyema: Ukuaji wa biashara ya nje kwa Tanzania ...................... 6 2. Milima ya dhahabu: Ni baraka au laana kwa Tanzania?...................................... 8 3. Je, Tanzania inavutia watalii wa kutosha? ........................................................... 10 4. Kuongeza mapato ya kodi ...................................................................................... 12 5. Msaada… kiasi gani, nani, wapi? .......................................................................... 14 6. Tofauti isiyoisha kati ya mijini na vijijini ..............................................................15 7. Maisha katika kaya ya kijijini mwaka 2010 .......................................................... 17 8. Kupambana na tishio la uhalifu ............................................................................ 18 9. Rushwa ni tatizo linalowasumbua Watanzania ................................................. 20 10. Viongozi wako wa kisiasa ni nani? .....................................................................22 5 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 1 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Siri iliyotunzwa vyema: Ukuaji wa biashara ya nje kwa Tanzania Mikakati iliyoelekezwa nje imetumiwa na nchi nyingi Hata nchi ‘kubwa’ zinazokua haraka kama vile Brazil na ambazo zimefanikiwa katika China zilitegemea masoko ya dunia. kipindi chao cha mpito hadi Jambo litakalowashangaza baadhi ya watu ni kwamba kuibukia kiuchumi. Nchi za utendaji wa Tanzania katika biashara ya nje umezidi ule Asia Mashariki zinazojulikana wa nchi za Brazil, Tunisia, Mauritius, Malaysia, Korea, na kama taiga au dragoni, Thailand kati ya mwaka 2000 na 2012. Miongoni mwa zimeshuhudia upanuzi nchi zilizofanya vizuri zilikuwemo China na Uganda. mkubwa na endelevu katika Jumla ya bidhaa zilizouzwa nje zilikua mara tano na bidhaa zao wanazouza nje, ku�kia Dola za Marekani bilioni 5.2 mwaka 2012. Ukuaji huu wa haraka ulisukumwa na: kama ilivyo pia kwa nchi - Bei za juu kwa bidhaa za Tanzania katika masoko ya zinazoibukia kiuchumi kama dunia, ambazo zilitokana na ongezeko la theluthi mbili vile Chile, Tunisia, Botswana, za mazao ya kilimo ya kawaida (kahawa, tumbaku, na Mauritius. mkonge, n.k.). 6 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Kuibuka kwa dhahabu– iliyoongezeka kutoka kwa asilimia 30 kutapunguza bidhaa za Tanzania Dola za Marekani milioni 383 mwaka 2002 hadi nje kwa asilimia karibu 15 – mabadiliko yenye athari zaidi ya Dola za Marekani bilioni 2 mwaka 2012. kubwa. • Mauzo ya juu ya bidhaa za viwandani – Mwisho, sehemu kubwa ya bidhaa nje ni bidhaa yaliyoongezeka kutoka asilimia 7 ya jumla ya ambazo hazijaongezewa sana thamani kama vile bidhaa za nje mwaka 2002 hadi asilimia 20 madini na mazao gha� ya kilimo ambayo yanaleta mwaka 2012, ingawa ili�kia kilele cha asilimia 26 mabadiliko kidogo ya moja kwa moja katika mwaka 2010. maendeleo ya ajira na teknolojia katika uchumi wa • Uanuwai wa masoko kutoka yale ya Ulaya ndani. (kutoka takribani asilimia 50 hadi 30 ya bidhaa Takwimu hizi zinaibua maswali mengi katika kiini zote za nje) kuelekea Asia (hii ni kutoka asilimia cha nadharia kuhusu kutumia biashara ya nje kama 23 hadi karibu asilimia 30) na, zaidi ya yote, nchi msukumo wa ukuaji uchumi nchini Tanzania: za Kiafrika (kutoka takribani chini ya asilimia 10 • Je, kukuza biashara ya nje iwe ni kipaumbele cha hadi zaidi ya asilimia 30) kati ya mwaka 2000 na taifa kwa Tanzania? 2011. • Je, Tanzania itawezaje kukuza upanuzi wa sekta Kupanuka haraka kwa bidhaa zinazouzwa nje yake ya biashara ya nje? Je, biashara ya nje kutoka Tanzania ni habari njema kwa wale ilenge bidhaa au masoko maalumu wanaoamini katika mikakati inayoangalia nje kwa • Je, vizuizi muhimu zaidi katika biashara ya nje ajili ya maendeleo endelevu ya uchumi. Makampuni vinavyoathiri makampuni za ndani ni vipi? ya ndani yataweza kushamirisha mahitaji madogo • Je, hatari zinazohusiana na mkakati ya soko la ndani kwa kuuza bidhaa zao kwa wateja unaoelekezwa nje ni zipi? ng’ambo. Katika mchakato huo, wanapata fursa ya Chanzo: Viashiria vya Maendeleo vya Benki ya kujifunza vitu vipya kutoka kwa wagavi wao wa nje Dunia na takwimu za Benki Kuu ya Tanzania. na mitandao ya masoko. Takwimu zote ziko wazi kwa umma. Ushindani kutoka nje pia unaweza kufanya biashara zichangamke kwa sababu kampuni zinazouza bidhaa nje lazima zibadilike ili ziendelee kuwepo. MAONI YA MSOMAJI Hata hivyo, utendaji wa Tanzania katika biashara Sasa ni muda wa kuanzisha o�si za biashara, ya nje pia unahitaji kuchambuliwa katika vipengele kuwekeza katika uta�ti na maendeleo, vitatu: na kujishughulisha katika masoko ili Kwanza, kiwango cha ukuaji wa kasi cha asilimia kutengeneza bidhaa inayotambulika duniani. 15 kilichoonekana kati ya mwaka 2000 na 2012 Kupanuka kwa uchumi wa Tanzania isiwe kimeanzia katika kiwango cha chini sana (mchango ndio mwisho bali iwe ngazi ya kuingia soko la dunia la bidhaa zilizoongezewa thamani. wa bidhaa na huduma zinazouzwa nje katika Pato Gha� la Taifa ulikuwa asilimia 13 kwa Tanzania dhidi Kusa�risha nje maligha� kunazuia maendeleo ya zaidi ya asilimia 60 nchini Malaysia, Thailand, na ya viwanda, ambayo ni sawa na utumwa. Mauritius). Nchi haiwezi kuendelea hadi hapo kilimo na viwanda vinaendelea na kujitegemea Pili, mauzo nje bado yamefanyika zaidi katika bidhaa na kusa�risha nje bidhaa zilizotengenezwa chache kama ilivyo kwa dhahabu inayochangia zaidi viwandani. ya asilimia 40 ya bidhaa zote za nje. Kwa sababu hiyo, kuanguka ghafla kwa bei ya dhahabu duniani 7 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 2 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Milima ya dhahabu: Ni baraka au laana kwa Tanzania? Dhahabu, vito vya thamani, urani, makaa ya mawe, chuma, shaba na nikeli… Tanzania ni nchi tajiri katika rasilimali za madini. ‘Hazina’ hizi zimevutia sana watu ndani na nje ya nchi. Inakadiriwa kwamba zaidi ya Watanzania 500,000 wameajiriwa katika sekta hii, na kwa kiwango kikubwa wako katika shughuli za uchimbaji mdogo mdogo unaofanyika kiasili. Sekta hii pia imevutia uwekezaji mkubwa wa ongezeko kutoka Dola za Marekani bilioni 1 moja kwa moja kutoka nje. Matokeo yake, sekta mwaka 2007. ya madini imekuwa ni kichocheo kikubwa cha • Malimbikizo ya Uwekezaji wa Moja kwa Moja uchumi wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mingi kutoka nje katika sekta ya madini yalikuwa kama inavyoonyeshwa na takwimu zifuatazo: zaidi ya Dola za Marekani milioni 500 kati ya mwaka 2000 na 2007. • Kukua kwa Pato Gha� la Taifa la sekta ya • Leo hii, Tanzania ndio nchi ya tatu kwa uzalishaji madini limekuwa kwa wastani wa asilimia wa dhahabu katika nchi za Afrika kusini mwa 10.2 kila mwaka kati ya mwaka 2000 na 2012, Sahara. na kuifanya sekta hii kuwa moja ya sekta Kupanuka kwa sekta ya madini kumechangia zinazokua kwa kasi kubwa nchini. katika ukuaji mkubwa wa uchumi na kuongezeka • Uchimbaji madini umekuwa ni chanzo kwa mauzo ya bidhaa nje na kuongezeka kwa mitaji kikuu cha fedha za kigeni za Tanzania, inayoingia nchini kwa kipindi cha miaka mingi. ukichangia takribani asilimia 50 ya bidhaa Vipengele hivi ni muhimu ili kupata mafanikio zote zinazouzwa nje ambayo ni sawa na Dola ya ukuaji wa uchumi, ijapokuwa vinaweza za Marekani bilioni 2.4 mwaka 2011. Hili ni 8 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | visitosheleze kabisa kama uzoefu unavyoonyesha • Je, makampuni ya kuchimba madini yanapaswa katika nchi nyingine. kulipa kodi zaidi hata kama viwango vya juu vitapunguza uwekezaji siku za mbele? Sekta ya madini inatarajiwa kuchangia zaidi katika • Je, ni kwa kiwango gani makampuni ya madini uchumi wa taifa katika ngazi ya pili ya uchumi ambayo yanawajibika kijamii kuchangia katika maendeleo inajumuisha: malipo ya kodi na yasiyokuwa ya kodi; ya sehemu yanapofanya kazi? Kwa nini, na kama kuendeleza miundombinu ya pamoja; na kuibuka kwa ndiyo, kwa jinsi gani? mahusiano na biashara za wenyeji. • Je, athari za makampuni ya madini kwenye Katika kipindi cha mwaka jana, moja ya masuala mazingira zishughulikiwe vipi? yaliyozua mijada sana nchini Tanzania ilikuwa ni kiasi • Je, serikali iweke mkazo katika kuendeleza kwa cha mapato ya fedha yanayochangwa na makampuni kiwango cha juu miundombinu ya pamoja kuliko makubwa ya uchimbaji madini. Taasisi inayosimamia kukusanya mapato zaidi? Uadilifu katika Viwanda vya Uchimbaji Madini (EITI) Chanzo: Wizara ya Madini na Nishati (Tovuti: http:// inakadiria kwamba viwanda hivi vilichangia jumla ya www.mem.go.tz/mineral-sector-overview), Wizara ya Shilingi bilioni 337 katika mwaka wa fedha 2009/10, Fedha, Benki Kuu ya Tanzania, na ripoti za EITI. ambayo ni sawa na asilimia 7 ya Mapato yote ya Serikali katika mwaka huo. Ripoti hiyo pia inaonyesha kwamba mchimbaji kama Anglo-Gold Ashanti (ambayo MAONI YA MSOMAJI inamiliki mgodi wa dhahabu wa Geita) ililipa kodi na Ni jambo la kushangaza kwamba nchi hii ni malipo mengine yasiyokuwa ya kodi (kwa kiwango nchi ya tatu kwa uzalishaji wa dhahabu barani kikubwa ikiwa mirahaba) asilimia 5 tu ya uzalishaji Afrika lakini watu wake hawaonekani kunufaika wake wote. Nchini Ghana, kampuni hiyo hiyo (ikiwa na na baraka hii, hasa wale waliopo katika mikoa migodi miwili ya dhahabu) ililipa kiasi kinacholingana ambayo rasilimali hizi zinachimbwa, kama vile na asilimia 12 ya uzalishaji wake wote – zaidi ya mara mkoa wa Mara. mbili ya mchango wake nchini Tanzania. Tanzania inarudia kosa lile lile katika gesi kama Masuala mengine katika mijadala ni pamoja na ilivyofanya na madini. Bado hakuna vituo vya barabara zilizojengwa kwa matumizi yao binafsi mafunzo kwa ajili ya kusomea kazi ambazo na ambazo zimechangia katika maendeleo ya jamii zitatengenezwa na biashara ndogo na za kati haziwezi kukabili ushindani. Je, hilo ni kosa la sehemu za migodi kwa, mfano kupunguza gharama mchimba madini au la kwetu? za usa�rishaji na kuunganisha jamii na masoko mapya. Sekta ya madini, kama utaliina sekta nyingine Aidha, wakati makampuni makubwa ya madini za kiuchumi zingekuwa zinaonekana wamekuwa watumiaji wa kiwango halisi cha nishati, zaidi katika uchumi wa Tanzania kama hii inawezekana kumeathiri makampuni na kaya kungekuwepo uwazi. Kadri mambo yalivyo za wenyeji. Na kuhusu kuzalisha fursa za ajira, kwa sasa, michakato – hasa mikataba na kodi makampuni makubwa ya madini hayaonekani kuwa ni - ni ya ki�cho. Ni maa�sa wachache tu wa vichocheo vikubwa kwani ni sekta inayotumia mashine ngazi za juu ndio wanaojua ukweli wa shughuli kubwa kwa kiwango cha juu na hutumia utaalamu hizi. ambao kwa ujumla haupatikani nchini. Mabadiliko Swali sio hasa iwapo kampuni za madini chanya pekee katika ajira, inasemekana, kwa kawaida zinatakiwa kulipa zaidi au kidogo katika kodi; huonekana katika awamu ya ujenzi wa migodi ambayo masuala ya msingi ni usimamizi na uwajibikaji kwa mapato yanayotokana na rasilimali hizi na hudumu kwa muda mfupi. mchango wa makampuni ya madini kwa jamii • Je, una�kiri mchango wa sekta ya madini kwa zilizopo maeneo hayoE uchumi wa Tanzania ni mdogo sana? 9 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 3 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, Tanzania inavutia watalii wa kutosha? Utalii ni miongoni mwa sekta duniani zinazolipa vizuri sana. Takwimu za hivi karibuni kutoka mwaka 2009 zinaonyesha kwamba sekta iliingiza Dola za Kimarekani bilioni 852 katika huduma zinazouzwa nje duniani kote, kutoa malazi kwa zaidi ya wasa�ri milioni 800, na kutoa zaidi ya ajira urefu wa mita 5,880 meters, Tanzania isingeweza milioni 255 au karibu asilimia 11 ya kuepuka kuwa mshindani mkali katika sekta ya utalii. Hii nguvu kazi yote duniani kwa mwaka ni pamoja na ukweli kwamba nchi imekuwa na utulivu ule. Hivyo sio jambo la kushangaza wa kisiasa kwa kipindi kirefu na viwango vya uhalifu kwamba sekta hii inachukuliwa kuwa viko chini. Hivyo haishangazi kwa gazeti la Marekani, ni msukumo mkubwa wa ajira, ukuaji The New York Times, kuitunuku Tanzania nafasi ya 7 uchumi na maendeleo. kati ya maeneo 45 ambayo lazima yatembelewe na watalii mwaka 2012. Lakini, takwimu halisi zinaelezea Kama nchi iliyojaaliwa na kiwango kikubwa cha vivutio mambo tofauti kabisa. na maajabu kama vile Ngorongoro Kreta na Uhamaji • Makadirio ya watalii waliotembelea nchi wapatao Mkuu wa Nyumbu; fukwe nyingi nzuri na mbuga 714,000 mwaka 2009 na 782,000 mwaka 2010, maridadi za wanyama na hifadhi za taifa ambazo Tanzania ilivutia watalii wachache zaidi kuliko zimesheheni wanyamapori wa kipekee, na kama Uganda (806,658 - 2008; 945,899 – 2010 na nyumbani kwa Mlima Kilimanjaro, paa la Afrika, lenye 1,151,356 – 2011); na Kenya (952,481 – 2009, 10 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 1,095,945 – 2010; kutoka 729,000 mwaka 2008 Seychelles ambako mgeni wa wastani hukaa siku 10 na mara baada ya vurugu za kisiasa). kutumia Dola za Marekani 2,200. • Hifadhi ya Mara, inayopakana na Serengeti kwa Cha kuzingatia, nchini Tanzania, utalii umejikita zaidi upande wa Kenya na yenye eneo la ukubwa katika mikoa ya Arusha na Zanzibar, ambako asilimia 90 takribani asilimia 10, lilivutia watalii wengi zaidi, ya wageni hutumia muda wao mwingi katika mikoa hii. mara 10 zaidi ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti nchini Tanzania. Taarifa hizo huibua maswali kadhaa: • Utalii hutengeneza takribani ajira 250,000 (za moja • Je, Tanzania ijaribu kuvutia watalii wengi kuliko kwa moja na kwa njia nyingine) nchini Tanzania au Kenya na Uganda ili kutengeneza ajira nyingi zaidi chini ya asilimia mbili ya nguvu kazi, wakati nchini ndani ya nchi? Kenya sekta inachangia kazi 483,000. • Je, Tanzania imejitangaza vya kutosha kwa • Mwaka 2008 Tanzania ilipokea wageni 0.017 kwa ulimwengu wa nje? kila mkazi, nafasi ya 17 kati ya nchi 147. Wastani wa • Kwa nini utalii wa safari nchini Tanzania ni ghali kiwango cha matumizi ya kitanda katika mahoteli zaidi ya Kenya? ya nchini Tanzania kilikadiriwa kuwa asilimia 47 tu mwaka 2010. • Je, serikali iimarishe utalii wa gharama ndogo katika mikoa ambayo haitembelewi na watalii wengi? Tanzania haikufanya vizuri katika sekta ya utalii ukilinganisha na majirani zake, inaonekana hii inatokana • Je, serikali iwekeze zaidi katika miundombinu na kwa kiasi fulani na Tanzania kuwa ni mahali penye ubora wa huduma? gharama kubwa zaidi. Hoteli za Safari nchini Kenya kwa • Je, mahoteli ya kimataifa ya bei za juu yanapata wastani ni Dola za Marekani 300 rahisi zaidi kwa usiku mapato makubwa kutokana na utalii? Je, huduma mmoja kuliko zile ambazo ziko Tanzania. Hata ndani ya bora zitawezaje kutolewa na mawakala wa ndani? Tanzania, hoteli ambazo ziko katika maeneo ya utalii ni • Je, Tanzania itawezaje kudhibiti athari hasi za zaidi ya mara tatu ghali zaidi kuliko hoteli za ufukweni. kimazingira na kijamii zinazoambatana na sekta ya Gharama za juu zinaweza kuwa zinaakisi mkakati wa utalii yenye mafanikio. Serikali kuweka mkazo katika shughuli za anasa katika Angalizo: Takwimu zilizotumika hapa zinatokana na utalii ili ku�dia idadi ndogo ya watalii wanaotumia pesa Ta�ti za Uchumi, Baraza la Usa�ri na Utalii Duniani, nyingi kwa kila mgeni. Ni kweli, mtalii wa wastani nchini Ripoti ya Kenya ya Benki ya Dunia 2010, Takwimu za Tanzania hukaa wastani wa siku 11 na kutumia Dola Utalii za Uganda 2012, na Nyaraka za Kazi za Taasisi ya za Marekani 1,600, ambayo iko juu zaidi kuliko Uganda Taifa ya Uta�ti wa Uchumi # 17902. Takwimu zote zipo ambako mtalii wa wastani hutumia Dola za Marekani wazi kwa umma. 700. Hata hivyo gharama hizi ziko chini ukilinganisha na MAONI YA MSOMAJI Nakumbuka mtalii wa Kijerumani niliyekuwa Tunahitaji kuboresha miundombinu, hasa viwanja namuongoza katika kundi la watu 24 akiniuliza kwa vya ndege. Kanda ya Kaskazini inapata idadi kubwa nini ubalozi wetu kule ng’ambo haufanyi jitihada ya watalii kwa sababu ya kuwepo kwa Kiwanja cha kuuza vivutio vya asili vya nchi hii. “Badala ya Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro na Kiwanja cha kusubiri sisi tuje huku, kwa nini hamjitangazi kule Ndege cha Kisongo. Tuna matumaini kwamba uwanja Ujerumani?� aliuliza. wa ndege wa Mbeya utakapokamilika, vivutio vya Kusini vitaweza kuingia kwenye soko. 11 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 4 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kuongeza mapato ya kodi kutoka kwa Dola. Je, Serikali inaweza kutoa huduma za kutosha kwa umma na miundombinu kwa kutumia kiwango cha sasa cha mapato ya kodi? Jibu rahisi ni hapana. Tofauti kati ya mapato ya kodi na matumizi ya umma yamekuwa na wastani wa asilimia 12 ya Pato Gha� la Taifa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Pengo hili limekuwa likijazwa Mzigo wa kodi kwa ujumla katika nchi kwa misaada ya bajeti na, mikopo ya kibiashara. huamuliwa kwa sehemu kubwa na Hata hivyo, misaada ya bajeti inapaswa kuwa chanzo wajibu ambao wananchi wanatarajia dola itatekeleza katika uchumi. Watu cha muda mfupi kusaidia nchi katika kipindi cha wanalipa kodi nyingi zaidi nchini mpito kuelekea kujizatiti kiuchumi, wakati mikopo ya Ufaransa kuliko Marekani, sio kwa kibiashara inapaswa kulipwa na walipa kodi wakati sababu Wafaransa ni matajiri zaidi wowote. ya Wamarekani lakini kwa sababu Kwa sababu hizi, ni wazi kwamba nchini Tanzania wanatarajia kupata huduma zaidi za kwamba bila ya kuongeza zaidi mapato ya umma kutoka kwa serikali yao. Kwa kodi, uwekezaji muhimu katika elimu, afya sababu hii, hakuna mzigo mmoja wa na miundombinu utaendelea kuwa vigumu kodi unaoweza kutumika kila mahali. kuigharamia kwa njia endelevu. Mapato ya Tanzania yanayotokana na kodi yalikuwa Tukiangalia mbele, mapato ya fedha kutokana na sawa na asilimia 15.7 ya Pato Gha� la Taifa (GDP) uzalishaji wa gesi asilia itasaidia. Lakini hili haliwezi mwaka 2011/12. Haya yalikuwa juu zaidi kuliko kutokea kabla ya miaka 7 hadi 10. Ukiangalia Uganda (asilimia 12) lakini chini kuliko Zambia kwa undani hali ilivyo sasa, inaonyesha kwamba (asilimia 16.5) na Kenya (asilimia 19.5). Hata hivyo, Tanzania haijaweza kutumia kikamilifu uwezo wake uwiano wa kodi- na – Pato Gha� la Taifa haulingani wa kuongeza kodi na inaweza kufuatilia hatua tatu katika nchi mbalimbali kwa sababu baadhi ya za ziada: nchi zinaweza kunufaika kutokana na mapato • Tanzania inatoa kiasi kikubwa cha misamaha ya yasiyotokana na kodi, k.m. mapato ya maliasili, au kodi kwa makampuni makubwa inayopendelea aina kuongeza kiasi kikubwa cha mapato yao kupitia kodi fulani ya makampuni na viwanda, lakini hupunguza za ndani. makusanyo ya kodi. Hasara inayotokana na makisio Swali ambalo linahitaji kujibiwa ni iwapo kiwango cha ya kitaalamu yanaonyesha hasara ni takribani sasa cha mapato ya kodi kinafanana na matarajio ya asilimia 4 ya Pato Gha� la Taifa kila mwaka katika wananchi wa Tanzania kwa kigezo cha nini watarajie mwaka 2011/12. 12 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Mapato ya kodi yanatokana na makampuni • Je, kiwango cha sasa cha kodi kinatosheleza machache tu. Wakati takwimu zikionyesha zaidi kugharamia mahitaji ya nchi kwa kigezo cha ya walipa kodi 800,000 waliosajiliwa leo hii, huduma za umma na miundombinu? makusanyo kwa sehemu kubwa yanatokana na • Ni kwa kiwango gani watu hawako tayari kulipa makampuni machache. Vivyo hivyo, takribani robo kodi zaidi kwa sababu ya Dola kushindwa kutoa tatu ya mapato yote yanakusanywa kutoka mkoa huduma bora kwa kutumia kodi zao? wa Dar es Salaam peke yake. • Ni jambo gani linapaswa kuwa kipaumbele • Ukwepaji kodi umeenea, hata kwa kodi ambazo kwa Serikali katika juhudi zake za kuhamasisha si za moja kwa moja kama vile Kodi ya Ongezeko ukusanyaji wa kodi? Kupandisha viwango halisi? la Thamani (VAT), ambayo ingekuwa rahisi Kupambana dhidi ya ukwepaji kodi? Kurahisisha kukusanya. Ijapokuwa kimsingi VAT inatakiwa taratibu za kodi? ikusanywe katika kila shilingi moja iliyotumika manunuzi, uwiano wa sasa uko chini ya asilimia 40 • Je, sera ya kodi itoe upendeleo kwa makundi kwa Tanzania dhidi ya asilimia 45 nchini Uganda, maalumu kupitia matumizi ya misamaha au kodi asilimia 54.6 - Zambia na asilimia 57.6 - Kenya. ilipwe kwa usawa kwa walipa kodi wote? Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Wizara ya Fedha, Database za Shirika la Fedha Duniani na • Je, Watanzania wanalipa kiasi kikubwa sana, kiasi Benki ya Dunia. Takwimu zote ziko wazi kwa umma. kidogo sana, au kiasi sahihi cha kodi leo hii? MAONI YA MSOMAJI Inawezekana Watanzania wakawa wanalipa Binafsi, nadhani kutoza kodi kampuni/biashara kodi ndogo sana. Lakini swali sahihi la kuuliza ndogo au ambazo ziko katika sekta isiyo rasmi ni jinsi kiasi hicho kidogo kinavyotumika. Watu kufanyiwe majaribio iwapo tu manufaa makubwa wanataka kuona kwamba Serikali inatumia yasiyotokana na kodi yanatarajiwa (ikimaanisha pesa ya walipakodi kwa busara. kampuni zina u�nyu wa fedha na upatikanaji wa fedha ni kwa masharti baada ya usajili). Kwa ujumla kupunguza misamaha ya kodi ni Vinginevyo, gharama za kiutawala za kutoza kodi wazo zuri. Itaongeza mapato yatokanayo na kampuni ndogo zinaweza kuzidi faida kwa kigezo kodi, wakati ikisambaza mzigo wa kodi kwa cha kuongezeka mapato ya kodi. usawa zaidi na kupunguza gharama za kiutawala kwa makampuni husika na mamlaka za kodi. Misamaha ya kodi ni mbinu za kijanja zinazotumiwa Kusambaza mzigo wa kodi kwa usawa zaidi na matajiri na maa�sa wa TRA kukwepa kodi chini kutanyanyua hisia kwamba mfumo ni wa haki ya kisingizio cha kuwa wawekezaji. na hivyo kuboresha morali na ulipaji wa kodi. 13 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 5 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Msaada… kiasi gani, nani, wapi? (asilimia 6.5), Shirika la Fedha Duniani (asilimia 5.7). Wakati asilimia 40 ya msaada wote haujatengwa kwa shughuli yoyote, sekta zinazopendelewa zimekuwa Afya na Elimu (takribani theluthi moja) na Miundombinu (asilimia 10). Hata hivyo, dalili za kupungua uingiaji wa misaada zinaonekana. Misaada ilipungua kwa Dola za Marekani bilioni 1 mwaka 2010 ukilinganisha na Tanzania imekuwa ikipata misaada kiwango cha juu kabisa mwaka 2006, 2008 na 2009. mingi ya fedha kutoka kwa wabia wa Mchango wa misaada inayoingia kwenye shughuli za maendeleo katika kipindi cha miaka kiuchumi za Tanzania pia ilipungua kutoka asilimia kumi iliyopita. Mlimbikizo wa misaada 16 hadi 12 ya Pato Gha� la Taifa katika kipindi cha iliyoingia na kupokelewa na nchi miaka mitano iliyopita. Na Tanzania inapata misaada ili�kia Dola za Marekani bilioni 21 kati kidogo ukilinganisha na nchi nyingine za Kiafrika ya mwaka 2000 na 2010, nchi ya nne (asilimia 6.8 ya misaada yote inayoingia kwenye kwa kiasi kikubwa cha fedha kwa nchi jimbo kwa mwaka 2009-2010, dhidi ya asilimia 8.9 za Afrika kusini mwa Sahara baada ya kwa mwaka 2000-2001). Nigeria, Ethiopia na Kongo DRC. Takwimu hizi zinaibua maswali kadhaa ambayo Umuhimu wa misaada inayoingia rasmi kwa uchumi yanakwenda kwenye kiini cha mchakato wa wa Tanzania unasisitizwa katika mfananisho ufuatao: maendeleo Tanzania: • Jumla ya misaada ilichangia asilimia 12 kwa Pato • Ni kwa kiwango gani misaada imesaidia uchumi Gha� la Taifa la Tanzania kwa kipindi cha mwaka wa Tanzania katika miaka 10 iliyopita? 2000-2010 – ambayo ni sawa na Uganda, juu • Ni katika sekta zipi wadau wa maendeleo zaidi ya Senegal na Ghana (takribani asilimia wametoa misaada mingi? Na misaada kidogo? 9) na Kenya (asilimia 4) lakini chini ya Msumbiji • Je, Tanzania ni nchi inayotegemea sana misaada? (asilimia 24). • Je, kushuka kwa misaada inayoingia nchini • Kila dola ya msaada ilikuwa sawa na asilimia 50 kunatia wasiwasi au ni matokeo yasiyoepukika ya ya jumla ya uwekezaji ndani ya nchi. kukua haraka kwa uchumi wa Tanzania? • Jumla ya misaada iliwakilisha karibu nusu ya • Je, misaada rasmi hatimaye nafasi yake matumizi ya serikali kila mwaka. itachukuliwa na mitiririko ya fedha isiyo rasmi • Kama misaada ingegawanywa kwa usawa, basi kutoka nchi zinazokuwa haraka kiuchumi na/au kila Mtanzania angepata Dola za Marekani 50, au sekta binafsi? kila kaya ingepata Dola 250 kwa mwaka. Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na takwimu Kwa Tanzania, wachangiaji wakubwa watano za misaada za OECD (http://www.oecd.org/dac/ walioongoza kwa mwaka 2009 – 2010 walikuwa: aidstatistics/ ) na Viashiria vya Maendeleo vya Benki Benki ya Dunia (asilimia 22), Marekani (asilimia 12), ya Dunia. Data kutoka kwenye ta�ti hizi ziko wazi Uingereza (asilimia 7.7), Benki ya Maendeleo Afrika kwa umma na zinaweza kutumika. 14 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 6 Tofauti isiyoisha kati ya mijini na vijijini Dar es Salaam ni jiji la tisa katika orodha ya majiji yanayokua kwa kasi duniani, gazeti la Financial Times liliripoti wiki chache zilizopita. Habari hii inatokana na data mpya zilizotolewa na jarida la ‘City of Mayors’ (www.citymayors.com/statistics/urban_growth1.html ). 15 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kwa kasi ya sasa, Tanzania haitakuwa tena nchi bidhaa, huduma na mawazo. Lakini pia ongezeko ambayo watu wengi wanaishi vijijini itakapo�ka la haraka la wahamiaji linaweza kusababisha mwanzoni mwa muongo ujao. Kukua kwa haraka msongamano na uchafuzi wa mazingira, pia kwa miji yetu sio jambo la kushangaza kwani kupunguza upatikanaji wa huduma za msingi kama kuhamia mjini ndio njia ya haraka zaidi ya kukimbia vile elimu, afya na makazi. umasikini na kupata huduma za msingi. • Je, Serikali (na wafadhili) iendelee kuelekeza miradi yake mijini Leo hii, tofauti kati ya mijini na vijijini ni kubwa • Je, huduma na miundombinu ya mijini nchini Tanzania. Kwa wastani, kaya ya mjini ina sifa zitawezaje kumudu wimbi la wahamiaji? zifuatazo: • Je, kuna hatari ya kutoka kwenye mateso ya • Ina fursa mara 13 zaidi ya kupata umeme kijijini na kwenda mateso ya mjini? • Ina fursa mara 2.7 zaidi ya kupata maji ya • Je, mikusanyiko ya watu inawezaje kuongezewa bomba nguvu na kusaidia kutengeneza makampuni • Ina fursa mara 5.4 zaidi ya kupata akaunti ya na ajira? benki • Je, miradi ya nyumba i�kiriwe? Barabara • Ina fursa mara 4.4 zaidi ya kutumia choo bora zijengwe? Pesa itapatikana wapi? cha shimo •Je, kuna athari gani za kijamii na kisiasa watu • Iko kilomita 3.4 karibu zaidi na kituo cha afya wanapohamia mijini? • Ina nafasi mara 10 zaidi ya kumaliza elimu ya sekondari au elimu ya juu. Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa Uhamiaji kutoka vijijini kwenda mijini hutoa fursa kutumia data kutoka kwenye Uta�ti wa Demogra�a kubwa kwa nchi kuendeleza injini mpya za ukuaji na Afya. Data kutoka kwenye ta�ti hizi ziko wazi kwa uchumi. Kukua kwa miji kunawezesha kubadilishana umma na zinaweza kunakiliwa. 16 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 7 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Maisha katika kaya ya kijijini mwaka 2010 Hakuna umeme (asilimia 96.6 ya idadi ya watu wa vijijini) • Hakuna jokofu (asilimia 99.2) • Hakuna TV (asilimia 96.4) • Hakuna gari (asilimia 96) • Hakuna akaunti ta benki (92.8) • Hakuna sakafu ya zege (asilimia 80.5), hakuna kuta za tofali (asilimia 94.2) • Karibu kaya zote za vijijini zinaonekana kuishi kama walivyoishi wazazi wao, au hata mababu zao. Wakati huo huo, kampuni za simu zimekuwa zikifanya kitu sahihi! Ni kaya ngapi za vijijini zina simu za mkononi? Asilimia 40. Takribani nusu ya kaya za vijijini leo hii zinamiliki simu ambazo zinawawezesha sio tu kuwasiliana na familia na mara�ki, lakini zaidi ni kupokea pesa, na kupata habari. Inaonekana kama vile • Je, hii italeta mabadiliko katika vijiji vya Tanzania? Tanzania imeganda kwa • Je, hii itafungua fursa mpya za maendeleo ya miaka yote hiyo ya uhai biashara? wake kama ambavyo takwimu hizi zingesomeka • Je, hii itaongeza uwajibikaji kwani kuna hivyo hivyo miaka 50 uwezekano wa watu wengi wenye taarifa iliyopita wakaulizia au kudai mambo mengi na mazuri? Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa kutumia data kutoka Uta�ti wa Jopo la Taifa (2010). Uta�ti huu uko wazi kwa umma na unaweza kunakiliwa. 17 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 8 Kupambana na tishio la uhalifu Watanzania wengi wakati wote wanaishi katika hali ya kuogopa kuwa waathirika wa uhalifu – hasa wale wanaoishi katika maeneo ya mijini. Hofu ya uhalifu huathiri kwa njia hasi ubora wa maisha kwani inamfanya mtu ajisikie hayuko salama na uwezekano wa kufanyiwa • Kushuhudia uhalifu huwa na athari hasi za kisaikolojia za muda mrefu kwa wahanga: Sita kati ya kaya 10 zilizoathirika na uhalifu katika kipindi cha miaka mitano iliyopita waliichukulia hali hii kuwa miongoni mwa mishtuko mikubwa miwili ambayo wamewahi kukumbana nayo. Kwa bahati mbaya, kutokuwepo kwa takwimu za uhalifu kimataifa hufanya iwe vigumu kulinganisha viwango kwa kuenea uhalifu katika nchi mbalimbali. uhalifu wakati akiendelea na • Mwaka 2012, asilimia 41 ya Watanzania watu shughuli zake za kawaida. Habari wazima waliripoti kuho�a uhalifu katika nyumba chache: zao katika kipindi cha mwaka uliopita. Hii inalingana na nchi za Kenya na Malawi lakini juu • Mwaka 2010/11 takribani kaya 390,000 (asilimia zaidi nchini Uganda (asilimia 33) na chini kuliko 4) ziliripoti kwamba ziliathirika kwa kiwango Afrika Kusini (asilimia 54). kikubwa na utekaji nyara , wizi, kuvunja na Kama haukudhibitiwa, uhalifu unaweza kuwa na kuingia nyumbani au shambulio (katika kipindi athari mbaya kwa uchumi wa Tanzania kwani ni cha mwaka uliopita). tishio kwa shughuli za utalii, na rasilimali �nyu za • Kuna uwezekano mara tatu zaidi kwa wakazi wa umma kutumika katika kuidhibiti uhalifu badala ya maeneo ya mijini kuliko wale walioko vijijini kuwa uzalishaji na hivyo kuongeza gharama za kufanya waathirika wa uhalifu huu. Hata hivyo, uhalifu biashara, na kusababisha athari kwa njia hasi kwenye kama wizi wa ng’ombe umeenea katika maeneo tija. ya vijijini. Kuna sababu nyingi za kuwepo uhalifu na ukatili na 18 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | hakuna jibu rahisi. Hata hivyo, kutoa fursa za ajira Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: kwa vijana, kujenga jeshi la polisi linaloaminiwa na • Je, uhalifu ni tatizo kubwa nchini Tanzania? Kwa mfumo wa mahakama, ni baadhi ya ufumbuzi. Kwa familia? Kwa biashara? bahati mbaya, Watanzania wengi walioathirika na • Je, ni njia zinazofaa zaidi kupambana na uhalifu? uhalifu wanaonekana hawapendi kwenda polisi: Kuongeza udhibiti wa kusimamia sheria? Hatua za kuzuia, kama vile kampeni za jamii • Mwaka 2008/09, takribani asilimia 85 ya na kuwasaidia vijana walio katika mazingira matukio ya uhalifu (na majaribio ya uhalifu) hatarishi? ambayo kaya zilishuhudia hazikuripotiwa polisi. • Kwa nini matukio mengi ya uhalifu hayaripotiwi • Licha ya ukweli huu, kaya ziliripoti hasara ya polisi? Kukosa kujiamini? Hisia za rushwa? Shilingi bilioni 220, ambayo ni sawa na asilimia • Je, polisi wana rasilimali muhimu za watu na moja ya Pato Gha� la Taifa. fedha kuweza kupambana na uhalifu? • Matukio ya uhalifu yanaporipotiwa Polisi, kwa Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na kawaida hakuna hatua zinazofuata baada ya Ta�ti za Taifa za Jopo kwa mwaka 2008/09 na hapo. Asilimia 80 ya kaya zinazoripoti uhalifu 2010/11; pamoja na ripoti za Afrobarometer. Data zinadai kwamba Polisi walishindwa kuhoji au zinazotokana na vyanzo hivi ziko wazi kwa umma na kukamata watuhumiwa wowote. zinaweza kunakiliwa. MAONI YA WASOMAJI Iwapo uhalifu unaweza kuigharimu Tanzania utamaduni ambao unavumilia tabia hii na kiasi hicho cha fedha kama ilivyoelezwa kama watuhumiwa mara nyingi wanafahamika. asilimia ya Pato la Taifa, basi ni jambo la kutia Labda tukiwatafutia vijana wetu wake kwa wasiwasi. waume, hasa vijana walio katika hatari zaidi, kitu Kwa nini uripoti uhalifu wakati kuna uwezekano ambacho kitawaingizia kipato, takwimu hizi za mkubwa Polisi watashawishika kujiingiza uhalifu zitashuka. katika rushwa inayowaletea faida kubwa? Tuna 19 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 9 Rushwa ni tatizo linalowasumbua Watanzania Kupambana au kutokomeza rushwa ni kauli inayorudiwa rudiwa na wanasiasa ulimwenguni kote, na juhudi za kufanya hivyo zipo karibu kila mahali. 20 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Hata hivyo, ni nchi chache sana zimetekeleza sera au Uta�ti pia ulionyesha orodha ya huduma za umma kuchukua hatua za kutosha kupambana na rushwa zinazoongoza kwa rushwa kama zinavyohisiwa na kwa ukamilifu. Nchini Tanzania, serikali imechukua kaya za Kitanzania. Taasisi tatu zinazoongoza kwa hatua kadhaa katika jambo hili, na pamekuwepo rushwa zinatuhumiwa kuwa kama ifuatavyo: na majadiliano ya wazi kuhusu nia ya kuboresha • Jeshi la Polisi- (asilimia 88.7) na Askari Tra�ki zaidi dhamira hii. Taasisi mbalimbali za usimamizi (asilimia 85. 6) ziliundwa katika miaka iliyopita na zilitekeleza wajibu • Mahakama (86.3%) wao muhimu na wa manufaa. Hivi karibuni, mawaziri • Sekta ya Afya (84.9%) sita waliondolewa kwenye nafasi zao Mei 2012, na Rushwa sio tu imeenea katika huduma za umma, Bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania ilifukuzwa kazi lakini pia inaathiri ubora wa huduma na imani ya kwa kushutumiwa vitendo vya rushwa mwanzoni wananchi katika Sheria za Nchi. Kwa asilimia 95 na mwa mwaka 2013. Matukio kama haya ni ya 91 ya kaya, jeshi la polisi na mahakama zinaonekana kutia moyo kwa sababu Watanzania walio wengi kutoa huduma mbovu. Na takribani wananchi wanalichukulia suala la rushwa kama suala kubwa wawili kati ya watatu wanaripoti kwamba rushwa na ni mazoea yaliyoenea katika taasisi za umma. Pia inawafanya wasite kufuata sheria. ni hisia za watu wengi kwamba rushwa ni kikwazo kikubwa katika jitihada za nchi kuharakisha ukuaji Takwimu hizi zinaibua maswali kadhaa: uchumi wenye usawa. • Je, una�kiri rushwa inaongezeka au kupungua Tanzania? Uta�ti wa Kitaifa wa Utawala na Rushwa, 2009 • Je, rushwa inasababishwa na vishawishi vya unaonyesha kwamba: kiuchumi na/au masuala ya maadili? • Asilimia 88 ya wahojiwa wanaichukulia rushwa • Je, ukweli ufundishwe majumbani? shuleni? kama suala kubwa na lenye umuhimu karibu • Je, rushwa inaweza kupunguzwa bila vikwazo? sawa na suala la gharama kubwa za maisha • Je, rushwa inaakisi masuala mengine kama vile (91%) lakini kubwa zaidi na suala la kukosa ajira mishahara midogo ya umma na kanuni na sheria (85%) au gharama za huduma ya afya (76%). kali? • Aina muhimu za rushwa zinazohisiwa ni pamoja • Ni nini wajibu wa Serikali? Wadau wengine ikiwa na malipo yasiyo halali (94%) ikifuatiwa na ni pamoja na Asasi za Kiraia katika kupambana madai ya kufanya ngono (43 %) na matumizi na rushwa? mabaya ya madaraka (33%). • Takribani asilimia 40 ya kaya ziliripoti kwamba Chanzo: Uta�ti wa Kitaifa wa Utawala na Rushwa, zimewahi kumhonga mtumishi wa umma katika 2009 wakati fulani 21 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 10 Viongozi wako wa kisiasa ni nani? Kuna ngazi nyingi za uongozi wa kisiasa nchini Tanzania, wakiwemo viongozi wa wilaya, kijiji, kata, wenyeviti, madiwani, watendaji, n.k. Wote hawa wana madaraka na majukumu makubwa katika mfumo wa kupeleka madaraka mikoani katika utoaji wa huduma za msingi za kijamii kama vile elimu, afya, na maji. 22 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Zaidi ya majukumu haya, pia wana wajibu mkubwa wengine katika jamii. Takribani asilimia 60 wanaripoti katika usimamizi wa ardhi kwa vile maeneo kumiliki akaunti ya benki dhidi ya asilimia 14 ambao makubwa ya ardhi bado yako chini ya majukumu ya ni wastani wa kitaifa. Tofauti nyingine inahusiana vijiji nchini Tanzania. na ukubwa wa ardhi inayomilikiwa na viongozi wa kisiasa katika maeneo husika. Kwa wastani Kwa hiyo ni nani hasa viongozi wa kisiasa katika waliripotiwa kumiliki hekta 275 dhidi ya wastani wa maeneo husika? Mwaka 2010/11, iligundulika kitaifa wa hekta 2. kwamba viongozi wa kisiasa katika maeneo husika kwa wastani wana sifa zifuatazo: Sifa hizi za viongozi zinaibua maswali kadhaa: • Wana umri takribani miaka 45, ambao ni umri • Je, uzoefu au umri ndio mtaji wa wanasiasa katika mkubwa zaidi kuliko wastani ya watu wote maeneo husika? wengine katika jamii (ambao wana wastani wa • Nini kinaweza kufanyika kupunguza upendeleo wa miaka 25). kijinsia dhidi ya wanawake katika siasa za ngazi za • Wana uwezekano mara tatu zaidi kuwa wamepata chini? elimu ya sekondari (asilimia 40 dhidi ya wastani • Je, umiliki wa ardhi ni sababu au matokeo ya wa kitaifa wa asilimia 12). mamlaka ya kisiasa? • Wana uwezekano mkubwa zaidi kuwa ni • Ni kwa kiwango gani utajiri wa fedha waliokuwa wanaume, pakiwa na mwanamke mmoja tu kati nao wanasiasa wengi hushawishi utungaji wa ya wanasiasa 10. Wanawake wanaochaguliwa kwa sera, hasa katika usimamizi wa ardhi? wastani ni vijana zaidi, wameelimika zaidi, na wana uwezekano mkubwa kwamba ni wanachama wa Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa chama cha upinzani. kutumia data kutoka Uta�ti wa Jopo la Taifa, 2010/11. Data kutoka uta�ti huu ziko wazi kwa umma na Kuna uwezekano mkubwa kwa wanasiasa wa matokeo yanaweza kunakiliwa. maeneo husika kuonyesha dalili za utajiri kuliko watu 23 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kazi/Sekta Binafsi/Huduma za kifedha 11. Jinsi gani ya kuwezesha watoto wengi zaidi kwenda shule za sekondari na vyuo vikuu? .................................................................. 25 12. Tunahitaji kazi, kazi, kazi ................................................................... 27 13. Vijana: nguvu kazi inayokua kwa kasi na iliyokosa elimu: ............. 30 14. Hali ilivyo katika ulimwengu wa makampuni na ujasiriamali .......33 15. Je, tuna taarifa gani kuhusu ujira? ....................................................34 16. Je, kuna Watanzania Waishio Nga’mbo? Wako wapi? .................... 36 17. Je, huu ni ulimwengu wa mwanamke? .............................................38 18. Nguvu ya kukopa kibiashara: Ni hadithi au ndio hali halisi? .........40 19. Ni nani anahudumiwa na benki? ....................................................... 41 20. Benki mfukoni ..................................................................................... 43 24 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 11 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Jinsi gani ya kuwezesha watoto wengi zaidi kwenda shule za sekondari na vyuo vikuu? Katika miaka iliyopita Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuongeza upatikanaji wa elimu ya juu baada ya elimu ya msingi. Katika ngazi ya sekondari, idadi ya wanafunzi walioandikishwa iliongezeka mara kumi kati ya mwaka 1995 na 2011, kutoka wanafunzi 210,000 hadi milioni 2.1. 25 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Licha ya mafanikio haya, elimu ya sekondari, na hasa waliomaliza shule ya msingi waliingia shule za elimu ya juu, bado ni ndoto kwa Watanzania wengi, sekondari mwaka uliofuata, ukilinganisha na na kiwango cha uandikishaji kiko nyuma ya nchi asilimia 45 ya wavulana. nyingine: Upatikanaji mdogo na usiozingatia usawa wa • Kiwango cha uandikishwaji elimu ya sekondari elimu ya juu unadhoo�sha jitihada za Tanzania nchini Tanzania cha asilimia 33 mwaka 2011 kuendeleza nguvu kazi yenye ujuzi, kupandisha bado kinaendelea kuwa chini ya wastani wa nchi mishahara, kupata tija na na kupanua wigo wa za Kusini mwa jangwa la Sahara (asilimia 39) na uchumi. Na jambo jingine la kutia wasiwasi kimeachwa mbali na nchi nyingi za Asia, kama ni kwamba matokeo ya elimu ya sekondari vile India (asilimia 67), Indonesia (asilimia 79) au yamekuwa yakishuka mwaka hadi mwaka. China (asilimia 81). Ufaulu wa wanafunzi katika Mitihani ya Kidato • Ni wanafunzi wachache nchini Tanzania cha Nne umepungua kwa kiasi kikubwa, wakati wanaoendelea na elimu yao hadi ngazi ya Chuo alama za ufaulu katika hesabu zikishuka kutoka Kikuu: Jumla ya uandikishwaji wa elimu ya juu asilimia 18 hadi 9 kati ya mwaka 2009 na 2012, ilikuwa asilimia 3 tu mwaka 2011, ambapo iko na katika sayansi kutoka asilimia 52 hadi asilimia nyuma ukilinganisha na ya Uganda (asilimia 33. Hii inatia mashaka iwapo shule za sekondari 9), Ghana (asilimia 12) na chini zaidi ya China zinawapatia wanafunzi wao stadi zinazohitajika (asilimia 26). ili waweze kuingia katika soko la ajira na Idadi ndogo ya uandikishwaji katika elimu ya kusukuma gurudumu la ubunifu na ujasiriamali. juu baada ya msingi unaendelea kutokuwa Haya yote yanaibua maswali kadhaa: na usawa, na inaashiria upendeleo, hasa kwa • Kuna sabubu zipi kubwa zinazozuia familia wavulana ukilinganisha na wasichana, na kaya masikini zisiandikishe watoto wao katika shule tajiri zinazoishi mijini ukilinganisha na kaya za sekondari? Je ni kwa kuwa ziko mbali? Ni maskini na hasa za vijijini: kutokana na karo au gharama nyingine? Au ni • Wakati jamii ya watu masikini sana ndio kukosekana taarifa ama kutokujua? wanaounda asilimia 42 ya idadi yote ya • Kwa nini kuna uwezekano mkubwa zaidi kwa uandikishwaji katika elimu ya msingi, hawa wavulana kwenda shule za sekondari kuliko wanakuja kuwa asilimia 20 ya wanapo�kia wasichana? kuandikishwa elimu ya Kidato cha Nne na huwa asilimia 13 ya wanao�kia kuandikishwa elimu ya • Je, Serikali ijaribu kuongeza uandikishwaji elimu Kidato cha Sita mwaka 2010/11. Pia, ukiangalia ya juu? Au iweke msisitizo katika elimu ya msingi walioingia Chuo kikuu kwa mwaka huo, ni na sekondari? kama hakukuwa na mtoto aliyetoka katika kaya • Je, unaelezeaje matokeo mabovu katika ngazi ya masikini. sekondari? Nini kinaweza kufanyika? • Watoto katika maeneo ya mijini wana uwezekano Angalizo: Takwimu zilizotumika zinatokana na Uta�ti mara dufu kwenda shule ya sekondari wa Jopo la Taifa (2010/11), World Development kulingalisha na watoto wanaoishi vijijini. Indicators (WDI), Viashiria vya maendeleo ya dunia • Wasichana nao pia wanapunjwa nafasi hiyo: na ripoti ya Benki na Baraza la mitihani la Tanzania Mwaka 2009, ni asilimia 37 tu ya wasichana Takwimu zipo wazi kwa umma. 26 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 12 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Tunahitaji kazi, kazi, kazi Kazi ndio kiini cha maisha. Familia zinaondokana na umasikini wanafamilia wanapopata kazi zinazoingiza kipato, na jamii hustawi pale masoko ya ajira yanapotoa wigo mpana wa fursa za kazi kwa wananchi. Na kuna mambo ya ziada katika kazi na sio tu faida za pesa. 27 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kutokuwa na kazi au kufanya kazi katika mazingira sekondari au ya msingi. mabovu mara nyingi huambatana na mtu • Wanaume wana uwezekano mara mbili kuwa kutoridhika na hali yake ya maisha. Ukosefu wa ajira wafanyakazi wanaopata ujira ukilinganisha na kwa vijana, hususani, huweza kudhoo�sha misingi wanawake, wakati wanawake wana uwezekano ya mshikamano katika jamii, hasa katika nchi tete mara mbili kuajiriwa kama wafanyakazi wa zenye historia ya vurugu katika jamii na migogoro. familia wasiolipwa. Kama ilivyo kwa nchi nyingi za Afrika kusini mwa • Pia kuna tofauti kubwa ya mapato – pakiwa na Sahara, Tanzania ina ushiriki mkubwa wa wanaume mshahara wa wastani wa Shilingi 30,000 kwa na wanawake katika nguvu kazi. wiki, wanaume wanapata ujira mara mbili ya • Kwa mfano, asilimia 97 ya wanaume na asilimia wanawake (Shilingi15,000 kwa wiki). 92 ya wanawake kati ya umri wa miaka 25 Vijana wanaonekana ndio waathirika wakubwa hadi 59 wanajishughulisha kiuchumi. Kwa hiyo zaidi na ukosefu wa ajira hasa katika maeneo ya Tanzania ina nafasi ya juu kama mojawapo ya mijini. Katika jiji la Dar-es-Salaam, vijana 57,000 kati nchi zenye ushiriki wa juu wa wanawake katika ya miaka 15 na 24 hawana ajira, inayofanana na nguvu kazi duniani. kiwango cha ukosefu wa ajira cha asilimia 16. Kwa • Ukosefu wa kazi wa wazi uko chini, ni asilimia nchi nzima, vijana 183,000 hawana kazi. moja tu ya nguvu kazi. Ni kweli, kwamba hali halisi ina vipengele vingi kuliko Takwimu hizi mchanganyiko za ajira zinamaanisha inavyoonyeshwa na takwimu hizi rahisi. Watu wa kwamba Watanzania wote watu wazima wanafanya vijijini wanahama ili wanufaike kutokana na fursa kazi, wakati katika nchi zilizoendelea ni asilimia 82 tu zinazojitokeza katika soko la ajira linaloibuka katika ya watu wazima ndio wanaojishughulisha kiuchumi. majiji na miji. Wanawake wanaweza kupendelea Nchini Tanzania, kama ilivyo katika nchi nyingine kujiajiri kuliko kazi ya kibarua kwa sababu inawapa zinazoendelea, watu wengi hawawezi kumudu uwezo wa kuunganisha shughuli za kiuchumi na kukaa bila kazi. Hakuna bima ya kutokuajiriwa kutunza watoto. Na hakuna kitu kibaya katika �kra na vyanzo vya mapato ni kidogo. Matokeo yake ni kwamba elimu ndio inayoamua upatikanaji wa kazi kwamba Watanzania wengi hufanya kazi yoyote hata zinazolipa vizuri, bora tu mfumo wenyewe wa elimu kama kazi hiyo hailipi vya kutosha kukidhi mahitaji. utokane na sifa njema na uwe jumuishi. Takwimu zifuatazo zinasisitiza kwamba wafanyakazi Lakini ushahidi hapo juu unaonyesha kwamba fursa wengi ni waajiriwa wa muda au wanashughulika katika soko la ajira kwa Watanzania wengi ni �nyu, katika shughuli zisizo rasmi ambazo hazina na vivyo hivyo fursa za kujikwamua na umasikini na mshahara, na bado kuna tofauti kubwa baina ya kuboresha hali zao za maisha. wanaume na wanawake: • Je, ni kweli kwamba Watanzania wengi wana • Uhaba wa ajira umeenea katika maeneo ya fursa chache za kuajiriwa hasa katika maeneo vijijini ambako watu hutumia masaa 27 kwa ya vijijini? wastani katika kazi za shamba ambayo ndio shughuli kuu kwa asilimia 80 ya watu. • Je, ni ujuzi na sifa gani wanazohitaji Watanzania ili wapate kazi zisizotokana na kilimo? Je, • Watu wenye elimu ya juu wana uwezekano mfumo wa elimu unaweza kukabiliana na mkubwa, mara mbili na mara saba, wa kupata changamoto hii? kazi ya mshahara kuliko wale wenye elimu ya 28 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Je, serikali iajiri moja kwa moja au itoe MAONI YA MSOMAJI motisha kwa makampuni kuendeleza ajira za vijana? Tunahitaji ku�kiri sio kama tulivyozoea siku • Je, serikali isaidie sekta binafsi kutengeneza zote: Elimu inapaswa kuwa bure, lakini wakati ajira nyingi zaidi? huo huo si kila mmoja anastahili kwenda chuo • Je, wanawake wanabaguliwa katika soko kikuu. Watoto ambao hawana alama za juu au la ajira au wanachagua wanachokipenda? ambao hawapendi kusoma wafundishwe stadi Je, wajibu wa jinsia kitamaduni una athari nyingine mapema ili waweze kwenda katika gani kuhusiana na kutoa matunzo na kazi shule za ufundi. za nyumbani? Kwa mawazo yangu nadhani jambo ambalo • Je, Tanzania ijenge mkakati wake wa linapaswa kuangaliwa kwa makini na Waafrika maendeleo kwa msingi wa ukuaji uchumi ni aina gani ya elimu tunayohitaji, na sio kama au msingi wa kujenga ajira? iwe bure au vinginevyo. Kwa nini tuna wasomi wengi wenye shahada ambao hawana kazi? Angalizo: Takwimu zilizotumika zinatokana na Sababu moja kubwa ni kwamba wasomi wengi Uta�ti wa Jopo la Taifa 2010/11 na Database hawana ujuzi unaotakiwa na fani mbalimbali; ya ILO ya Idadi ya Watu Wanaojishughulisha kwa kweli, falsafa ya elimu ya kikoloni Kiuchumi, Makisio na Matarajio. Takwimu zote haijabadilika. zipo wazi kwa umma. 29 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 13 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Vijana: nguvu kazi inayokua kwa kasi na iliyokosa elimu Katika bara la Afrika, idadi ya vijana (umri kati ya miaka 14 hadi 25) imeongezeka kwa kiwango kikubwa katika miaka kumi iliyopita. Usemi wa kale unatukumbusha kutambua kwamba ‘vijana wa leo ni viongozi wa kesho.’ Ni kweli, nchi zinafanya vizuri zinapowekeza katika vijana wenye nguvu, afya, waliosoma vizuri, wachacharikaji na wabunifu. 30 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Hebu tungalie takwimu za kuainisha wasifu wa Ijapokuwa ukosefu wa ajira kwa vijana nchini vijana Tanzania: Tanzania kwa wastani uko chini, vijana walioajiriwa kwa kawaida huajiriwa katika kazi zisizo na uhakika • Vijana huwasilisha takribani asilimia 18 ya watu katika sekta ya kilimo, ambazo hazina mikataba wote na mgawanyo huu haujabadilika kati ya rasmi au mafao. Pia wanaathirika zaidi na ukosefu mwaka 1990 na 2010. Takwimu hizi zinafanana na wa kazi katika maeneo ya mijini, na cha kushangaza za Uganda na Senegal lakini ziko juu ukilinganisha zaidi, wanapokuwa na elimu zaidi. na nchi zinazoibuka kiuchumi na zilizoendelea ambapo mgawanyo wa vijana ulipungua kutoka • Takribani asilimia 75 ya vijana walioajiriwa asilimia 15 mwaka 1990 hadi asilimia 12 mwaka wanajihusisha na sekta ya kilimo, na ni asilimia 6.7 2010. tu ndio wenye kazi za mshahara katika sekta ya umma. • Katika tarakimu kamili, idadi ya vijana nchini Tanzania iliongezeka takribani maradufu kutoka • Kuna uwezekano mkubwa zaidi, zaidi ya mara sita milioni 4.4 mwaka 1990 hadi milioni 8.1 mwaka (asilimia 13) kwa kijana katika jiji la Dar-es-Salaam 2010. Inatarajiwa kuongezeka ku�kia milioni 11 kukosa ajira kuliko kijana wa kijijini (asilimia mbili). i�kapo 2020, na milioni 15 mwaka 2030. • Zaidi ya asilimia 20 ya vijana wenye elimu ya • Vijana waliwasilisha asilimia 28 ya nguvu kazi sekondari katika jiji la Dar-es-Salaam hawana kazi mwaka 2010 – wakiunda kundi kubwa ukilinganisha wakati takwimu hii ina�kia asilimia 56 kwa Zanzibar. na nchi zilizoendelea. Kiwango cha chini cha ubora wa kazi zinazofanywa • Takribani theluthi mbili ya vijana nchini Tanzania na vijana kwa kiasi kikubwa kumechangiwa na elimu walijihusisha kikamilifu katika soko la ajira mwaka duni waliyoipata. Kati ya vijana takribani 900,000 2010/11, sawa na kiwango kilichopo Uganda. (miaka 15 - 24) ambao waliingia soko la ajira mwaka 2010/11: asilimia 14 hawakumaliza shule • Cha kuzingatia zaidi, kiwango cha ukosefu wa ajira ya msingi; asilimia 44 walimaliza shule ya msingi kwa vijana kwa wastani kiko chini Tanzania, kikiwa lakini hawakuendelea sekondari; asilimia 38 nyingine kimepungua kutoka asilimia 8.7 mwaka 2000/01 walikwenda shule ya sekondari lakini hawakumaliza hadi asilimia 8.2 mwaka 2006 na ku�kia asilimia 4.7 au hawaku�kia Kidato cha Nne, na ni asilimia 4 tu mwaka 2010/11. Hivyo basi, Tanzania itaonekana waliendelea zaidi ya Kidato cha Nne. Wengi kati ya kuwa na uwezekano mdogo wa kuathirika na hawa si rahisi kwao kupata kazi yenye mshahara hatari zinazohusiana na ukosefu wa ajira kwa mzuri kwani hawakupata ujuzi unaostahili ili kujenga vijana, linalokabiliana na nchi nyingi za Ulaya. Kwa na kukuza biashara yenye mafanikio. mfano vijana wasiokuwa na kazi wame�kia asilimia 44.4 nchini Ugiriki; Spain - asilimia 46.4; Italiano – Takwimu zote hizi zinaibua maswali kadhaa: asilimia 29.1; na Ufaransa - asilimia 22.9 mwaka • Je, kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira kwa vijana 2011. wa mijini waliosoma kunaweza kuhatarisha utulivu 31 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | wa kijamii wa Tanzania? • Je, shule zinatoa ujuzi unaotakiwa na soko la ajira? Je, umuhimu uwekwe zaidi katika shule za • Je, kuenea kwa ukosefu wa elimu miongoni mwa mafunzo ya taaluma na ufundi? vijana ni “bomu linalosubiri muda wake� kwa Tanzania? Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Uta�ti wa Jopo la Taifa, Uta�ti wa Demogra�a na Afya kwa • Je, makampuni yaajiri vijana zaidi? Je, vijana nchi tofauti, na Eurostat. Takwimu zote ziko wazi wahimizwe kujifunza ufundi? kwa umma. • Je, serikali iwekeze zaidi katika elimu ya sekondari na elimu ya juu? MAONI YA MSOMAJI Vijana wa mjini wasio na kazi, wasioridhika umri ambao wasichana huolewa; (ii) uraghibishi na hali ya maisha na wasomi ndio waliokuwa kwamba familia zenye watoto wachache ni familia mafuta yaliyoongeza kasi ya moto wa Vuguvugu zenye furaha na (iii) kuongeza upatikanaji na la mabadiliko katika nchi za Kiarabu. Kuvunjika ubora wa elimu na utoaji wa huduma za afya kwa kwa mshikamano wa kijamii ni majeruhi wa kuhimiza watoaji huduma ambao sio wa kiserikali. kwanza wa matarajio yanayoibuliwa. Uchumi wa Taifa liwe na vipaumbele vilivyoainishwa vyema gesi unaotarajiwa sana utakuza kwa kiwango ambavyo vitatengeneza ajira. Kwa uhakika kilimo kikubwa tatizo hili. Tatizo jingine linalohusina endelevu kitamaliza tatizo la ukosefu wa ajira kwa na hili ni tabia ya kukwepa matatizo kupitia jamii iliyo makini kwani kuna soko tayari kwa ajili kuongezeka kwa matumizi ya madawa ya ya mazao yaliyozalishwa dunia nzima. kulevya, na kuongezeka kwa kiwango cha uhalifu. Serikali iwe makini zaidi inapowekeza katika elimu. Ni vyema kuwa na shule chache (shule Mduara huu usio na mwanzo wala mwisho 600) ambazo zimejitosheleza katika vifaa vya unaweza kuvunjwa kwa kuongeza idadi ya kisasa, miundombinu bora na walimu waliobobea mambo yanayotakiwa, sekta rasmi, kazi zenye na wanaojituma kuliko kuwa na zaidi ya shule tija kupitia ukuaji uchumi wenye manufaa. 3,000 zilizofurika wanafunzi, zenye miundombinu Labda pia ni wakati wa kupunguza ‘kufutuka chakavu na walimu wachache waliokata tamaa. kwa vijana’ kwa: (i) kuhamasisha jamii iongeze 32 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 14 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Hali ilivyo katika ulimwengu wa makampuni na ujasiriamali Mchanganuo kati ya mashamba na makampuni mengine hutoa picha sahihi zaidi ya hali halisi ya biashara nchini Tanzania kwa mwaka 2010/11. Kwa ujumla mashamba ni makubwa, ya zamani na uwezekano mkubwa wa kutumia wafanyakazi ambao Katika nchi zilizoendelea za uchumi sio wanafamilia. Kinyume chake, biashara ambazo si za kilimo, uwezekano ni mkubwa zitakuwa changa, ni wa viwanda, kampuni ndogo na za kati za kifamilia, na hufanya shughuli si wakati wote kama ndizo zinazosukuma ubunifu na ukuaji inavyoonyeshwa katika takwimu chini: wa uchumi na kutengeneza ajira. • Mjini: Karibu nusu ya biashara ambazo si za kilimo (isipokuwa uchimbaji madini) zipo mijini. Kati ya Nchini Marekani, biashara ndogo zinachangia karibu biashara hizi za mjini, theluthi ziko Dar es Salaam, theluthi mbili ya ajira zote mpya. Pia zinachangia kwa theluthi mbili iliyobaki ziko katika miji mingine. kiwango kikubwa katika ubunifu, zikizalisha hakimiliki • Uchanga: Robo ya biashara ambazo si za kilimo bado mara 13 zaidi ukilinganisha na makampuni makubwa. ni changa kwani zina umri chini ya mwaka mmoja na Kwa ujumla wamiliki wa biashara ndogo wana elimu theluthi mbili chini ya miaka mitano. zaidi na matajiri zaidi kuliko wafanyakazi wengine katika • Biashara ya familia: Takribani asilimia 90 ya biashara jamii. ambazo si za kilimo hutumia wafanyakazi kutoka kwenye kaya husika. Hali halisi iko tofauti nchini Tanzania. Makampuni mengi • Shughuli za muda maalumu: Kwa wastani, biashara ni madogo sana na kwa kiwango kikubwa ni za watu ambazo si za kilimo zinafanya kazi miezi 8 kwa wanaojiajiri. Nyingi zimejikita katika kilimo na shughuli mwaka. Shughuli za ziada zinaonekana hasa katika za biashara: biashara na usa�rishaji. • Mwaka 2010/11, kulikuwepo na takribani biashara milioni 11 zinazomilikiwa kifamilia zinazofanya kazi Muhtasari huu wa biashara zinazofanya kazi Tanzania Tanzania, pamoja na mashamba. Hii ni sawa na unaibua maswali mengi ya kimkakati: kiwango cha ujasiriamali cha asilimia 40, ambacho • Je, kampuni ndogo, changa, zinazofanya biashara kinafanana na kiwango kilichoripotiwa Uganda na ya kawaida, zinaweza kutengeneza ajira (nzuri) ya Ghana, lakini ni mara tatu ya Marekani na mara 10 ya kutosha kwa Watanzania? Ufaransa. • Je, kiwango cha juu cha ujasiriamali kinaashiria • Nusu ya kampuni zinazofanya kazi Tanzania zina ukosefu wa fursa za ajira katika soko rasmi la ajira? mfanyakazi mmoja tu, kwa kawaida ni mmiliki; • Ni kwa kiwango gani kukua kwa miji kunaweza wakati asilimia 40 zina wafanyakazi chini ya watano. kuzalisha makampuni mengi yanayojibidisha na Kampuni zenye wafanyakazi zaidi ya 10 zinawakilisha kuzalisha? asilimia 0.6 tu ya makampuni yote (takribani 70,000). • Je, umuhimu wa biashara ya familia/kaya kunaweza • Takribani asilimia 55 ya makampuni kuwa kikwazo cha uvumbuzi na kujaribisha mambo yanajishughulisha na kilimo, ikifuatiwa na biashara mapya? (asilimia 30), na uzalishaji viwandani (asilimia 5.5). Chanzo: Uta�ti wa Jopo la Taifa, 2010/11 na http:// Kampuni zinazofanya kazi katika sekta maalumu, www.internationalentrepreneurship.com/total- kama vile habari na teknolojia au huduma za entrepreneurial-activity. Taarifa zote ziko wazi kwa kitaalamu ni asilimia 1 tu ya zote. umma. 33 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 15 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, tuna taarifa gani kuhusu ujira? Ni kiasi gani mfanyakazi anaingiza kama ujira kwa kazi yake ni muhimu kwa sababu tofauti. Kwanza, ni muhimu kuhusiana na umasikini kwani kipato kinachotokana na kazi kwa kawaida ni sehemu muhimu ya mapato ya jumla ya kaya. Pili, huchangia katika uwezo wa ushindani wa kampuni, hususani kwa shughuli zinazotumia nguvu kazi nyingi kama vile uzalishaji kiwandani na kilimo. Tatu, unahusika katika kuleta usawa kwani mtu yeyote atarajie mshahara na marupurupu ya haki kwa juhudi zake. 34 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kwa hiyo haishangazi kwamba ujira umewavutia kuziinua kaya za Watanzania kutoka kwenye wachumi na watunga sera duniani kote kuuangalia umasikini? kwa kina katika kipindi cha miaka mingi. • Je, ujira wa chini katika sekta binafsi unaakisi tija duni au upatikanaji wa wafanyakazi wengi wa Nchini Tanzania, ni theluthi moja tu ya wafanyakazi ziada (kunakochangiwa na ongezeko kubwa la waliripoti kuingiza ujira kwa kazi zao. Hata hivyo, idadi ya watu)? idadi hii inakua haraka kiasi, hasa katika maeneo ya • Je, ujira urekebishwe moja kwa moja kulingana na mijini. Ukiangalia takwimu zilizokusanywa kutoka kiwango cha mfumuko wa bei? sekta binafsi ya Tanzania, zinaonyesha matokeo • Je, watumishi wa umma wanalipwa fedha nyingi matatu ya kusisimua: kupita kiasi ukilinganisha na watumishi wa sekta • Ujira wa wastani katika sekta binafsi ulikuwa binafsi hata kama wameelimika zaidi (theluthi Shilingi 78,000 kwa mwezi (au Dola za Marekani mbili wanaripoti kufuzu elimu ya sekondari 45) mwaka 2011, ambao ulikuwa juu kidogo wa ukilinganisha na asilimia 12 kwa wananchi wa mstari wa kujikimu kawaida)? • Kati ya mwaka 2000 na 2011, mapato ya kazi • Ni kwa kiasi gani ongezeko la hivi karibuni katika yaliongezeka kwa takribani asilimia 60, baada ya thamani halisi ya ujira linaakisi uwezo wa kudai kurekebisha mfumuko wa bei mishahara mikubwa au kuongezeka kwa tija? • Ujira halisi ulipungua kwa takribani asilimia Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Uta�ti 10 kuanzia mwaka 2008 hadi 2011, pengine wa Jopo la Taifa, mwaka 2008/9 na 2010/11, Uta�ti kuonyesha kupungua kwa mahitaji ya nguvu kazi wa Bajeti ya Kaya wa mwaka 2000, Uta�ti wa Nguvu kwa makampuni binafsi. Kazi Jumuishi wa mwaka 2006, na Database ya IMF Hali ya wafanyakazi wanaopata ujira katika sekta ya Matarajio ya Uchumi Duniani (toleo la Oktoba binafsi unaweza kuilinganisha na ile ya watumishi 2012). Data kutoka vyanzo hivi ziko wazi kwa umma wa umma. Mlinganisho huu unaonyesha kwamba na zinaweza kunakiliwa. watumishi wa umma sio tu kwa wastani wanaingiza kipato kwa wastani mara 3.4 zaidi kuliko wafanyakazi MAONI YA MSOMAJI wa sekta binafsi mwaka 2011, lakini hawajapata Ni kweli kabisa kwamba ajira kwa Watanzania kuona ujira wao ukishuka kwa thamani halisi katika wengi ni kidogo sana hasa katika maeneo miaka ya hivi karibuni. Kinyume chake, thamani ya ya vijijini. Serikali irahisishe mazingira ya ujira halisi wa watumishi wa umma umepanda kwa kufanya biashara ili wawekezaji waweze kuja asilimia 32 kati ya mwaka 2008 na 2011. na kutengeneza ajira. Tunapaswa pia kuweka mkazo katika kilimo na usindikaji wa mazao ya Iwapo kiwango cha juu cha ujira wanachopata kilimo We should also focus on agriculture and watumishi wa umma kinaakisi kiwango chao cha juu agro processing. cha elimu, ni vigumu zaidi kuelezea kwa nini tofauti kati Sekta za umma na binafsi zijenge ubia wa ya ujira wa sekta binafsi na ya umma iliongezeka mara kweli ili kujenga uwezo watu masikini vijijini na dufu kutoka 1.7 mwaka 2000 hadi 3.3 mwaka 2011. kuwekeza katika minyonyororo ya thamani ya Uchunguzi huu wa kitakwimu unaamsha maswali bidhaa. Halafu kila mbia afanye kazi kwa bidii yafuatayo: kuunganisha wazalishaji na wasindika mazao walio kwenye mnyororo wa thamani na masoko • Je, wastani wa ujira wa sekta binafsi unatosheleza ya uhakika. 35 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 16 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, kuna Watanzania Waishio Nga’mbo? Wako wapi? Kuondoka na kwenda ng’ambo mara nyingi ni matokeo ya kuhamasishwa na matarajio ya elimu bora, ajira na fursa nyingine. Baada ya hapo, wahamiaji hawa huchangia katika maendeleo ya nchi zao kwa kutuma fedha au kwa kurudi na kutumia maarifa na ujuzi wao kuleta mabadiliko. 36 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Ni kutokana na idadi inaongezeka ya wahamiaji Kwa nini kuna uwezekano mdogo kwa Watanzania na gharama ndogo za uhamishaji, jumla ya pesa kuishi nje ya nchi kuliko Mwafrika wa kawaida iliyopokelewa na nchi za Afrika kusini ya Sahara ili�kia kutoka kusini mwa Sahara? Kwa nini mhamiaji wa Dola za Marekani bilioni 325 mwaka 2010. Hii ni Kitanzania wa kawaida hutuma pesa kidogo mara sawa na fedha yote ya misaada rasmi inayopokelewa 20 kuliko wahamiaji wengine Waafrika kutoka kusini na nchi hizi kila mwaka. mwa Sahara? Tanzania inaonekana kuwa haihusiki sana katika • Je, inawezekana ni kwa sababu ya ugumu wa suala hili. Kwa wastani, uwezekano wa Watanzania kupata pasi ya kusa�ria? kuhamia nchi za nje ni mdogo sana mara tano kuliko • Je, kaya nyingi zinakosa fedha za kugharamia Waafrika wengine wanaotoka nchi za kusini mwa safari ya nje? Sahara. Hii inaweza kuonekana, kwa mfano, katika fedha iliyotumwa kutoka nje na Watanzania mwaka • Je, kukosa elimu ni kikwazo cha kuhamia nje? Je, 2010 ambayo ili�kia Dola za Marekani milioni 17 au uwezo wa kuzungumza na kusoma Kiingereza ni asillimia 0.08 ya jumla ya pesa iliyopokelewa kutoka kikwazo? nje katika bara la Afrika kwa mwaka huo. Uganda • Je, uzalendo au kuthamini maisha ya Tanzania ilipokea Dola milioni 773 na Kenya Dola milioni 1,758 kunazuia watu kwenda kuishi ng’ambo? kutoka kwa wananchi wao walioko nje. • Je, wahamiaji wengi wa Kitanzania wanafanya Kama Watanzania hawahamii nje ya nchi, basi kazi zenye mshahara mdogo ambazo hawapati wanazunguka humu humu ndani ya nchi. Lakini pesa ya kutosha ya kuweza kutuma pesa nyingi uhamiaji wa kimataifa na wa ndani unatofautiana na mara kwa mara ? katika njia muhimu kama ambavyo takwimu hapa Chanzo: Uta�ti wa Jopo la Taifa 2008-09 na chini zinaonyesha: Takwimu za Uhamiaji na Utumaji wa Pesa 2011 • Ni asilimia 1.2 tu ya kaya za Watanzania zilizo na jamaa anayeishi nje ya nchi. • Takribani asilimia 40 ya kaya zina mtu mmoja MAONI YA MSOMAJI wa kaya anayeishi katika jamii nyingine ndani ya nchi. Watanzania wengi waliopata elimu iliyofadhiliwa • Ni asilimia 40 tu ya wahamiaji hutuma pesa bila na nchi enzi za Ujamaa walijisikia wana wajibu wa kujali wako wapi. kutumikia nchi yao ndio maana wengi walirudi nyumbani baada ya kumaliza masomo yao nje. • Wahamiaji wa ndani kwa wastani hutuma Shilingi Hisia hizi za uzalendo bado zipo katika maisha 21,500 dhidi ya Shilingi 41,000 wahamiaji wa ya kila siku na inaweza kuelezea kwa nini kuna nje mwaka 2010 uwezekano mdogo kwa Watanzania kuishi nje ya • Idadi ya wahamiaji wa nje wenye elimu ya juu ni nchi yao kuliko mataifa mengine ya Afrika kusini mara kumi zaidi kwa uwiano na wahamiaji wa mwa Sahara. ndani. 37 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 17 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, huu ni ulimwengu wa mwanamke? Familia za Kitanzania zimekuwa zikifanya mambo kwa njia totauti hivi karibuni. Wengi wao wamekuwa wakiwapeleka binti zao shule za msingi na wanawake wengi zaidi wamekuwa wakuu wa kaya wakibeba majukumu yanayoongezeka ya kifedha. 38 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Pia wanawake wanaongezeka katika kujishughulisha • Wanawake wanawakilisha asilimia 10 tu ya kwenye nyanja za kisiasa hivi leo. Mienendo hii wanasiasa katika ngazi za juu kuanzia ngazi ya pia inaonekana katika nchi nyingi duniani, lakini wilaya na chini yake. inaonekana zaidi nchini Tanzania kama takwimu za • Mwaka 2010, asilimia 33 ya wanawake wa hivi karibuni zinavyoonyesha. Kitanzania waliripoti kwamba walifanyiwa • Mahudhurio ya wasichana katika shule za ukatili wa kijinsia (katika miezi 12 iliyopita) msingi yameongezeka kutoka asilimia 60 hadi ukilinganisha na asilimia 25.1 kwa nchi ya 83 kati ya 2000/2001 na 2010/2011. Kenya na asilimia 14.5 kwa Malawi. • Wanawake leo wanamiliki asilimia 47 ya Hatma ya wanawake nchini Tanzania inaibua biashara za kaya ambazo hazihusiani na kilimo. maswali kadhaa: • Zaidi ya theluthi ya viti vya Ubunge vinakaliwa • Je, kukuza usawa wa kijinsia iwe ni kipaumbele na wanawake – sawa na Uganda (asilimia 35) kwa serikali ya Tanzania? lakini mbali sana na Kenya (asilimia 9.8.) • Je, programu mahususi zitekelezwe kusaidia • Wanawake wanashikilia asilimia 35 ya ajira biashara zinazomilikiwa na wanawake? zenye mshahara nchini. • Ni jambo gani linachangia kuwepo na matukio mengi ya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania? Hizi ni habari njema kwa sababu uwezeshaji wa • Je, sera ya kuhimiza kuandikisha wasichana wanawake una manufaa kwa juhudi za nchi kuleta katika shule za sekondari zianzishwe, kwa ustawi. Ni kweli, wanawake wanapokuwa na sauti mfano, kutoa motisha wa pesa kwa familia? katika maamuzi ya kaya na kisiasa, wanapokuwa • Je, nini kifanyike kuongeza ushiriki wa wanawake na uwezo mkubwa wa kupata elimu, wanapoweza katika siasa nchini? kupata fursa nzuri ya kuingiza kipato, haya yote kwa Angalizo: Takwimu zilizotumika zinatokana na ujumla hupelekea kuwepo kwa watoto wenye afya Uta�ti wa Jopo la Taifa (2008/2009 na 2010/11), na walioelimika vyema. Lakini wanawake wengi wa Ta�ti za Demogra�a na Afya-2010, Ripoti ya Uwezo Kitanzania bado wanasumbuliwa na ubaguzi na 2011, na ripoti ya Wanawake wa Dunia – 2010. athari zake ukilinganisha na wanaume: Takwimu zipo wazi kwa umma. • Ijapokuwa asilimia 41 ya wasichana wanaingia katika elimu ya sekondari, ni asilimia 3 tu ndio MAONI YA MSOMAJI wanaomaliza mzunguko. • Mishahara inayolipwa kwa wanawake kwa wastani iko chini kwa asilimia 63 kuliko ile Kabla ya kuamua kuhusu wapi pa kuwekeza ili inayolipwa kwa wanaume. kupata usawa zaidi wa kijinsia, Serikali inahitaji kuchunguza sababu zinazozorotesha elimu ya • Wanawake wanapomiliki biashara, wasichana, biashara za wanawake, n.k. wanatengeneza faida kidogo kuliko wanaume kwa mara 2.4. 39 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 18 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Nguvu ya kukopa kibiashara: Ni hadithi au ndio hali halisi? Benki hutekeleza wajibu muhimu katika maendeleo ya kiuchumi, kwani ni vigumu kupata hadithi za mafanikio bila ya ongezeko kubwa la kukopa kibiashara kwa kipindi maalumu. Nchi kama Korea, Malaysia na China, uwiano wa mikopo kwa Pato Gha� la Taifa (GDP) uliongezeka kwa 40% katika miaka ya 1990. Katika bara la Afrika hadithi kama hizo ziliibuka katika nchi za Cape Verde, Senegal na Nigeria, ijapokuwa katika kiwango cha chini kuliko Asia. Sekta ya fedha nchini Tanzania imekua kwa haraka Katika ngazi ya sekta, kutengwa kwa mikopo yote katika miaka michache iliyopita, karibu mara mbili kunaonyesha kwamba: ongezeko la uchumi wake kati ya 2006 na 2012. • Biashara, huduma binafsi na uzalishaji viwandani Kutokana na utendaji mzuri wa uchumi wa taifa na zimechukua karibu theluthi mbili ya jumla ya ulegezaji wa masharti katika sekta ya fedha, leo hii mikopo ya ndani iliyotolewa na benki za biashara kuna benki za biashara zipatazo 45, zinazomilikiwa mwishoni mwa mwaka 2012. na wazalendo na wageni, zote zinazogombea • Kilimo na ujenzi zimechukua 15.5% tu ya mikopo wateja. Ukuaji huu umepelekea kuongezeka kwa yote hadi Desemba 2012, kiwango cha chini zaidi shughuli za ukopeshaji kama jinsi takwimu zifuatazo ukilinganisha na mchango wao kwa Pato Gha� la zinavyoonyesha: Taifa (takribani asilimia 30). • Jumla ya mikopo ya benki imeongezeka kutoka • Mikopo ya biashara kwenye sekta ya umeme pia 11.3% ya GDP mwaka 2006 hadi zaidi ya 24% elimu na afya imeongezeka kwa 103% na 80% ya mwaka 2011. Uwiano huu bado uko chini ya GDP kati ya mwaka 2011 na 2012 (lakini iliwakilisha wastani wa jimbo ambao ni 45% ya GDP na zaidi 6.5% tu ya jumla ya mikopo mwishoni mwa ya kiwango kilichofanikishwa na Kenya (52%). Desemba 2012). • Kuongezeka hivi karibuni kwa shughuli za ukopeshaji kwa kiasi fulani kunatokana na Serikali Maswali yafuatayo yanaweza kusaidia kuchangia kukopa kwa kiwango cha juu, ambao umekua kwa katika mjadala wa sera kuhusu wajibu wa benki za 5.5% ya GDP kati ya 2006 na 2011, na kuchangia biashara katika jitihada za Tanzania kuibuka kiuchumi: karibu 20% ya mikopo yote katika uchumi. • Ni kwa kiwango gani benki za biashara zinachangia • Mikopo binafsi iliongezeka kutoka 12.9% ya GDP katika maendeleo ya uchumi nchini Tanzania? mwaka 2006 hadi 20.3% mwaka 2011. • Je ushindani unaokua kati ya wakopeshaji wa kibiashara utanufaisha wateja? Benki za ndani ziliongeza ukopeshaji karibu maradufu • Je, ukuaji haraka wa mikopo ya kibiashara unaweza kwa taasisi za umma ambazo sio za fedha kati ya kuhatarisha utulivu wa mfumo wa fedha wa ndani? mwaka 2008 na 2012. Kinyume chake, mikopo • Je, kuna hatari ongezeko la haraka la serikali kukopa iliyotengwa na mfumo wa ndani wa fedha kwa serikali kutaweza kuua ukopeshaji binafsi? kuu na za mitaa iko kiwango cha chini, 1.2% ya mikopo yote ilipo�ka mwishoni mwa mwaka 2012. Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania na Viashiria vya Maendeleo vya Benki ya Dunia. 40 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 19 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Ni nani anahudumiwa na benki? Upatikanaji wa mkopo kwa ajili ya biashara ni muhimu kwa maendeleo ya sekta binafsi, ajira na hatimaye ukuaji uchumi. Watu wanatafuta mikopo kwa ajili ya kuanzisha biashara mpya au kuongeza utendaji wa zilizopo, kwa mfano, kununua vifaa vipya au kuajiri watu wengi zaidi. 41 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Nchini Tanzania, pamekuwepo na ongezeko kubwa kupata mkopo. Mwaka 2009, ni asilimia 9 tu ya la upande mmoja katika upatikanaji wa huduma kaya za Kitanzania ziliweza kupata mkopo na chini za kibenki na/au mikopo katika kipindi cha miaka ya asilimia 30 ya mikopo hii ilitolewa na benki za kumi iliyopita. Wakati zaidi ya benki 30 zinafanya biashara. Masikini walilazimika kutegemea ra�ki shughuli nchini leo, kuna uwezekano mkubwa zaidi zao, ndugu, na taasisi zinazotoa mikopo midogo kuliko ilivyokuwa huko nyuma kwa kaya inayoishi midogo. Lakini kuna uwezekano kwa masikini na Magomeni au biashara iliyoko Ilala kumiliki akaunti wasio masikini kutumia mikopo yao katika kuwekeza ya benki. Kwa upande mwingine, bado kuna katika biashara zao. Ni kweli, asilimia 36 ya watu uwezekano mdogo sana kwa mwana familia wa masikini hununua pembejeo za kilimo au pembejeo kaya masikini kutoka kijijini Rukwa kusaini karatasi nyingine za biashara kwa kutumia mikopo yao dhidi ya benki ya aina yoyote katika maisha yake. ya asilimia 41 ya watu wasio masikini. Kwa usahihi zaidi: • Kama masikini wangeweza kupata mikopo zaidi, • Idadi ya kaya zenye akaunti za benki zimeongezeka je wangewekeza zaidi na kutengeneza biashara kutoka asilimia 8 mwaka 2004 hadi asilimia 15 mpya? mwaka 2010. • Je, mabenki ya biashara yabebe hatari zaidi na • Upatikanaji wa akaunti ya benki haukuwa sawa kukopesha masikini? hata kidogo wakati ni asilimia 4 tu ya watu wa • Je, mabenki yanawezaje kufanya biashara ya faida vijijini wakiwa na umiliki dhidi ya asilimia 21 kwa kwenye maeneo ya mbali? watu wa mijini mwaka 2004. • Je, Dola ichukue jukumu la kuanzisha benki yake • Ongezeko hili la akaunti za benki liliwanufaisha au itafute utaratibu unaozingatia soko kuziba kwa kiwango kikubwa watu wa mijini, waliomiliki pengo katika maeneo ya watu masikini? asilimia 39 ya akaunti za benki mwaka 2010 dhidi • Je, taasisi zinazotoa mikopo midogo ndio mbinu ya asilimia 7 kwa watu wa vijijini. zitakazotumika kwa siku za usoni? • Watu masikini wanaendelea kutengwa kwani • Je, makampuni ya simu za mkononi yatachukua asilimia 0.1 ya watu masikini sana (ambao ni biashara hii na kukopesha masikini? asilimia 60 ya idadi ya watu) waliripoti kumiliki akaunti ya benki mwaka 2004. Hesabu hii Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa iliongezeka kidogo na ku�kia asilimia 1.1 tu kutumia data kutoka kwenye Uta�ti wa Demogra�a mwaka 2010. na Afya 2004 na 2010; na Uta�ti wa Jopo la Taifa. Data kutoka kwenye ta�ti hizi ziko wazi kwa umma Kuwa na akaunti ya benki si lazima inamaanisha na zinaweza kunakiliwa. 42 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 20 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Benki mfukoni Simu ya mkononi kwa kweli ni nyenzo mpya. Kama tunataka Watu duniani kote wanaendelea kutumia huduma kuwasiliana kuhusu mambo hii, na hasa barani Afrika, wanalipia karo za shule, muhimu au kuzungumza kuhusu huduma za afya na huduma za maji na umeme kwa vitu vya kawaida, wakati wote iko kutumia simu za mkononi leo. Biashara zinatumia huduma za pesa za simu za mkononi kulipa tayari kutumika. Simu za mkononi wafanyakazi wao na watu wanaowauzia bidhaa. sio tu zinatumika kama radio na Watu masikini ambao hawajawahi kuingia benki tochi, lakini pia zinatoa huduma wanatumia huduma za simu za mkononi kutuma au za kibenki na fedha kwa wale kupokea pesa na kuweka fedha zao. wanaohitaji huduma hizo kwa haraka. ‘Pesa za Mtandao’, kama zinavyoitwa, zinakua kwa kasi ya ajabu katika bara la Afrika, na hata kwa kiwango cha kasi zaidi katika Afrika Mashariki kama inavyoonyeshwa na takwimu zifuatazo kwa Tanzania: 43 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Idadi ya wateja wa simu za mkononi waliosajiliwa wa kimkakati ili wanufaike kwa kiwango kikubwa. imepanda haraka kutoka 14,000 mnamo Juni Katika upande mwingine wa shughuli, wabunifu 2008, hadi milioni 19.4 mnamo Novemba 2011, wadogo pia wamekuwa wakiibuka na bidhaa mpya, hadi milioni 20.4 ilipo�kaNovemba 2012. zinazowalenga wateja wapya au kutengeneza njia • Pesa iliyohifadhiwa katika akaunti za simu za mpya za kufanya biashara. mkononi zimeongezeka kutoka Shilingi bilioni 3 Maendeleo yote haya yanaibua maswali kadhaa: mwezi Juni 2009 hadi Shilingi bilioni 157.8 ilipo�ka • Je, unakubali kwamba simu za mkononi zimeleta Novemba 2012. mfumo wa kimapinduzi wa benki nchini Tanzania? • Idadi ya shughuli za biashara kila mwezi Je, huduma hizi ni tishio au zinashamirisha huduma zimeongezeka kutoka milioni 1.9 mwaka 2010 za kawaida za kibenki? hadi milioni 48 mnamo Septemba 2012. • Je, ni kwa kiwango gani kuongeza kwa haraka • Thamani ya shughuli hizi imeongezeka kutoka kwa huduma za kibenki kwa kutumia simu za Shilingi milioni 1.4 mwaka 2007 hadi Shilingi bilioni mkononi kumeleta hatari, kwa mfano kuhusiana 1.8 mwaka 2010, hadi Shilingi trilioni 1.7 mwaka na kuongezeka kwa kusa�sha fedha chafu, wizi 2012. Kwa mwezi wa Septemba 2012 peke yake, wa utambulisho wa mtu, hatari kwa mteja, na/au thamani ya fedha katika mitandao nchini Tanzania njia nyingine? ilikuwa takribani asilimia 14 ya jumla ya amana • Je, pesa za mtandao zitasaidia kupunguza tofauti zinazoshikiliwa na benki za biashara. kati ya tajiri na maskini? Pesa za Mtandao zilitumiwa na kaya moja kati ya nne • Je, pesa za mtandao zivuke mipaka? Je, hii itasaidia nchini Tanzania mwaka 2011. Hii iko chini zaidi kuliko kuimarisha mtangamano wa jimbo? Kenya (asilimia 73) lakini iko juu sana kuliko nchi • Je, pesa za mtandao zidhibiwe kwa karibu zaidi? Je, zente kipato cha kati kama vile Brazil na Argentina udhibiti uliovuka mipaka utapunguza au kusitisha (asilimia 1 tu). mapinduzi ya simu za mkononi na kuumiza ukuaji Hata hivyo, matumizi yake yanatofautiana kulingana uchumi? na tabia fulani za kaya. Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na maelezo ya sera ya fedha ya Benki Kuu ya Tanzania, Uta�ti • Wale ambao wanaishi katika kaya za matajiri sana wa Jopo la Taifa, 2010/11, na ripoti ya UNTCAD ya wana uwezekano mkubwa mara 15 wa kutumia mwaka 2012. Takwimu zote ziko wazi kwa umma. pesa za mtandao, kuliko wale ambao wako katika kaya za masikini sana. MAONI YA MSOMAJI • Mtu aliyemaliza elimu ya sekondari ana uwezekano mkubwa mara 15 amewahi kutumia pesa za Matumizi ya simu za mkononi yanawasaidia mtandao kuliko mtu ambaye hana elimu ya msingi. watumiaji kuokoa muda. Huu ni ukweli hasa • Wamiliki wa biashara na wafanyakazi wanaopata unapochukulia kwamba benki rasmi bado mishahara wana uwezekano mkubwa mara tano zinapatikana katika maeneo machache kuliko wa kutumia pesa za mtandao kuliko wakulima inavyostahili, na benki hizi zinakuwa na foleni wanaojikimu. ndefu ambazo zinawakatisha tamaa wateja wanaotaka kujiunga. • Watumiaji wa pesa za mtandao wana uwezekano mkubwa mara tano kuwa na akaunti ya benki. Itakuchukua zaidi ya nusu saa kutuma fedha katika benki za kawaida, aidha, pengine Kukua kwa ajabu kwa pesa za mtandao kumewavutia utahitajika kujaza makaratsi, wakati unaweza wawekezaji wengi. Kampuni ‘kubwa’ za mawasiliano kufanya shughuli hiyo hiyo kwa dakika moja na mabenki ya biashara yamejitumbukiza katika kupitia simu na kutoka mahali popote. mkumbo huu, wakati mwingine wakiingia katika ubia 44 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kilimo/Chakula/kijiji/Mazingira 21. Ardhi kubwa yenye rutuba lakini uzalishaji duni wa kilimo .............. 46 22. Nchi iliyojaa fursa: Je, kilimo cha mashamba makubwa ndio mwelekeo sahihi? .................................................................................... 47 23. Umiliki wa Ardhi na Hati miliki Tanzania .............................................. 49 24. Kwa nini wakulima hawauzi mazao yao? ............................................. 51 25. Ng’ombe wangu yuko wapi? ................................................................. 53 26. Chakula kipo, lakini hamna kitu kingine ............................................. 55 27. Je, gharama za chakula kwa Watanzania ni kiasi gani? ..................... 57 28 Usitumie vibaya misitu ya Tanzania ..................................................... 59 45 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 21 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Ardhi kubwa yenye rutuba lakini uzalishaji duni wa kilimo mbolea za viwandani (asilimia 7), madawa ya kuua wadudu (asilimia 9) bado ni kidogo sana (chanzo: Sensa ya Kilimo 2007/8). Kama nchi iliyojaaliwa maeneo makubwa ya ardhi, udongo wenye rutuba, mvua za kutosha na hali ya hewa anuwai kwa ajili ya aina mbalimbali za kilimo, Tanzania ilipaswa kupata zaidi kutoka kwenye sekta yake ya kilimo – njia ya moja kwa moja ya kupunguza umasikini wa vijijini na kuboresha uhakika wa chakula. Hata hivyo,baadhi ya mikoa na wakulima wameonyesha kwamba inawezekana kupata Watanzania 8 kati ya 10 wanaishi viwango vya juu vya tija. Katika wilaya za Muheza katika kaya ambayo shughuli yake na Tarime, kwa mfano, mavuno ya mahindi ni zaidi ya mara mbili ya wastani wa taifa au yanakaribiana kuu ni kilimo. Lakini kulingana na na viwango vilivyoripotiwa katika nchi za Vietnam na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO), Malaysia. wastani wa uzalishaji wao (kama Je, wakulima hao wanafanya kitu kilicho sahihi inavyopimwa kwa mavuno ya mahindi au wananufaika tu na hali ya hewa inayoruhusu – chakula chao kikuu) uko chini mara mafanikio haya? 5.4 kuliko ilivyo kwa Argentina au • Je wanatumia pembejeo nyingi na bora? mara 2.8 kama ilivyo nchini Vietnam. • Je, wanapata vocha na ruzuku? Pengine cha kushangaza zaidi, ni • Je, wameunganishwa vyema na barabara kwenda karibu nusu ya mavuno yaliyoripotiwa kwenye masoko? kwa sasa na nchi za Mali na Zambia. • Je, wameweza kufanya biashara na mavuno yao? • Je, wanauza nje? Kaya nyingi za Kitanzania bado zinatumia jembe Angalizo: Takwimu zote zilizowasilishwa la mkono kulima mashamba yao; ni asilimia 3.2 tu zimekokotolewa kwa kutumia vyanzo rasmi vya ya ardhi ndio iko chini ya umwagiliaji; na matumizi kimataifa na kitaifa kama vile FAO na Ripoti ya Sensa ya trekta (asilimia 3) au pembejeo nyingine kama ya Kilimo Tanzania. Data kutoka kwenye ta�ti hizi vile mbegu zinazotoa mavuno mengi (asilimia 17), ziko wazi kwa umma na zinaweza kunakiliwa. 46 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 22 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Nchi iliyojaa fursa: Je, kilimo cha mashamba makubwa ndio mwelekeo sahihi? Kama zilivyo nchi nyingi zinazoendelea, zaidi ya asilimia 80 ya watu masikini nchini Tanzania wako maeneo ya vijijini. Idadi kubwa ya watu hawa wote wanajihusisha na kilimo, kama vibarua au wamiliki wa mashamba madogo ambayo wanalima ili kujikimu. 47 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Hii inafanya ardhi kuwa ni mali muhimu sana kwa wakulima wanamiliki zaidi ya hekta 5 za ardhi ajili ya uhakika wa chakula na uhai wa Watanzania ukilinganisha na asilimia 3 nchini India na asilimia wengi. Sambamba na kuongezeka kwa idadi ya watu 4 nchini Uganda. duniani, miji inayokua haraka, na kuongezeka kwa Takwimu hizi zinaibua maswali kadhaa: kipato kumesababisha ongezeko kubwa la mahitaji ya chakula duniani, kunakopelekea kupanuka kwa • Je, serikali iwahimize wakulima kupata mashamba mashamba na kuwafanya wawekezaji waende na makubwa zaidi? kutafuta mashamba mapya ya kulima. Utafutaji huu • Ni kupitia njia zipi mashamba makubwa yanapaswa wa mashamba umeongezeka sana katika nchi za kuwasaidia wakulima wadogo? Miundombinu ya Kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara, inayojumuisha pamoja? Kuhamisha teknolojia? Ajira? Tanzania. • Je Serikali ya Tanzania, zikiwemo serikali za mitaa, zina ujuzi wa kuweza kujadiliana na kushughulikia Tanzania inaonekana kuwa mahali panapofaa mahitaji ya wakulima wakubwa? kwa ajili ya upanuzi wa shughuli za kilimo kama • Je, mashamba makubwa mapya yataweza kusaidia inavyoonyeshwa katika takwimu zifuatazo: kutatua ongezeko la ukosefu wa ajira katika maeneo ya vijijini na kuboresha usalama wa • Asilimia 33 tu ya ardhi inayofaa kwa kilimo katika chakula? nchi hii ndio iliyolimwa ukilinganisha na zaidi ya asilimia 95 kwa Malawi na Rwanda. Vivyo hivyo, Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Sampuli Ghana, Uganda na Ethiopia zimetumia zaidi ya ya Sensa ya Kilimo Tanzania (2002/03 na 2007/08). asilimia 80 ya ardhi yao inayofaa kwa kilimo. Viashiria vya Maendeleo ya Dunia na Ripoti ya Benki • Hakuna msongamano mkubwa katika matumizi ya Dunia kuhusu Mashamba. Takwimu zote ziko ya ardhi kwa wakulima wa Tanzania kwani wastani wazi kwa umma. wa ukubwa wa mashamba yao haujabadilika, ukiwa hekta 2.5 kati ya mwaka 2003 na 2008. Hii MAONI YA MSOMAJI inatofautiana sana na Uganda ambapo ukubwa wa mashamba umepungua kwa asilimia 40 kutokana Kwa nini mashamba makubwa yaonekane bora na ongezeko kubwa la watu. zaidi kuliko mashamba madogo; na kwa nini • Takribani asilimia 10 ya mashamba hayatumiki, kiwango cha juu cha matumizi ya ardhi, kama hii husababishwa kwa sehemu kubwa na vikwazo kinavyopimwa na ardhi inayolimika iliyokaliwa na vya kiteknolojia, na kukosa uwezo wa nguvu kazi watu, iwe ndicho kinachopendekezwa zaidi? na fedha. Kwa mfano, mwaka 2008 ni asilimia 18.6 Mahusiano si ya moja moja kama inavyoonyesha tu ya mashamba yalitumia maksai, asilimia 3.1 taarifa hii. Je, isingestahili zaidi kuweka yalitumia trekta, na asilimia 1.5 yalitumia mashine mkazo katika kuwawezesha wakulima wenye za kupura nafaka. mashamba madogo kuliko wakulima walio na • Tayari kuna mashamba ya saizi ya kati na makubwa mashamba makubwa ya uzalishaji? nchini Tanzania: takribani asilimia 20 ya kaya za 48 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 23 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Umiliki wa Ardhi na Hati miliki Tanzania Kwa familia nyingi nchini Tanzania Ndani ya familia, kuna mienendo wazi inayohusiana ardhi ndio rasilimali muhimu na jinsia na wanawake wanaonekana kutonufaika kuhusiana na umiliki wa ardhi: sana inayozalisha na njia kuu ya • Ni asilimia 15 tu ya ardhi iliyolimwa iko chini ya kujikimu. Kaya tatu kati ya nne umiliki pekee wa mwanamke dhidi ya asilimia zinajishughulisha katika kilimo, 47ambayo iko chini ya umiliki pekee wa zikitegemea mavuno yanayotokana mwanaume, na asilimia 38 uko chini ya umiliki na kilimo. Wakati rasilimali wa pamoja, kwa kawaida mume na mke. nyingine kama vile elimu ya juu na • Wanawake wanamiliki asilimia 23 tu ya mtaji nyingi iko katika mikono ya mashamba yaliyolimwa. Mashamba haya mara matajiri wachache, ardhi ya kilimo nyingi huwa ni madogo ukilinganisha na yale imesambaa kila mahali. yanayomikiwa na wanaume (eka 1.6 dhidi ya eka 3.). • Kati ya mashamba milioni 12 yanayotumika kwa Kukosekana kwa usawa wa kijinsia katika umiliki wa uzalishaji wa kilimo mwaka 2010/11, asilimia ardhi sio tu unadhoo�sha nafasi ya mwanamke ndani 87 yalimilikiwa na kaya za wakulima, kiwango ya familia na uchumi, lakini pia inaathiri mienendo cha juu zaidi kuliko ilivyo kwa Kenya (asilimia ya uwekezaji na kudhoo�sha tija. Aidha, kama ilivyo 72 mwaka 2005/06) au Uganda (asilimia 77 kwa sehemu kubwa ya Afrika kusini mwa Sahara, mwaka 2010/11). wakulima wengi wa Kitanzania hawana ufahamu wa • Takribani asilimia 9 ya kaya za mashambani kisheria kuhusu maswala la ardhi kwani mashamba hawamiliki ardhi wao wenyewe, ijapokuwa mengi yanamilikiwa chini ya sheria ya kimila. familia nyingi za aina hii zinaweza kupata ardhi • Familia zinadai kuwa na hati kwa asilimia 12 ya wanayoweza kutumia bure. Ni asilimia 3 tu ya viwanja wanavyomiliki, sawa na Uganda (asilimia kaya za mashambani hutegemea kabisa ardhi ya 14), lakini chini sana ukilinganisha na Kenya kukodi. (asilimia 39). • Asilimia 40 ya kaya masikini wanamiliki takribani • Hata hivyo, ni maka theluthi moja ya hati hizi asilimia 46 ya ardhi iliyolimwa, ukilinganisha na ndio hati ambazo zinatambulika rasmi, kama asilimia 28 ya kaya tajiri (ukiondoa nyumba za vile Cheti cha Haki Umiliki wa Kimila (CCROs) au kukodi kibiashara na mashamba yaliyokodiwa). 49 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Hati Miliki (GRO). Nyingine ni nyaraka ambazo • Je, kuna umuhimu gani kutoa hati miliki za si kamilifu, kama vile barua za mirathi au barua kimila kwa ajili ya kuchochea uwekezaji katika za kutengewa ardhi na serikali za vijiji, ambazo ardhi? Je, benki zikubali hati miliki za kimila kama hazitoi umiliki rasmi. dhamana? • Masikini wanaathirika zaidi na ukosefu wa • Je, pawepo na jitihada za kuendeleza soko la ardhi haki za ardhi: ni asilimia 2.7 tu ya mashamba vijijini? Kama ndivyo, hii inawezaje kufanyika yanayomilikiwa na kaya masikini sana yana wakati wananchi wakihakikishiwa ulinzi na haki hati za umiliki (CCRO au GRO) ukilinganisha na za kumiliki ardhi zao. asilimia 4.8 ya kaya tajiri sana. • Je, haki za ardhi za wanawake zinawezaje Kiwango kikubwa cha miliki ya kimila kinadhoo�sha kuimarishwa? Kupitia utoaji wa umiliki wa pamoja uwezo wa wakulima kununua na kuuza ardhi, na ulioidhinishwa wa mke na mume? Programu kutumia ardhi yao kama dhamana ya mkopo. Hakuna za elimu ya Jamii? Uwakilishi mzuri zaidi wa ushahidi wa kutosha kuonesha kwamba taratibu za wanawake katika mabaraza ya kusimamia ardhi? kimila zimetokana na kukosekana kwa umiliki rasmi. • Je, haki za jamii za wafugaji zitalindwa vipi katika Hata hivyo, hali hii inaweza kubadilika kwa kadri idadi mustakabali wa azimio na usimamizi wa haki ya watu inavyoongezeka na kuongeza uchache wa miliki za mtu binafsi? ardhi. Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Ta�ti za Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: Jopo la Taifa kwa Tanzania na Uganda, 2010/11; na Uta�ti wa Bajeti Jumuishi ya Kaya, Kenya, 2005/06. 50 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 24 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kwa nini wakulima hawauzi mazao yao? • zaidi ya theluthi mbili ya wakulima wa mahindi hawakuuza mavuno yao yoyote na asilimia 25 tu ya uzalishaji wote wa mahindi ndiyo yaliyoingia sokoni. • Uganda na Kenya wana takwimu zinazofanana na hizi. Kwa upande mwingine, Vietnam imepiga hatua kutoka asilimia 48 ya mazao yanayozalishwa ku�ka sokoni mwaka 1993 hadi Takribani kaya tatu kati ya nne asilimia 87 mwaka 2008. zinaripoti kwamba kilimo ni Sekta ya mifugo haijafanya vizuri katika biashara shughuli yao kuu. Baadhi ya kaya za ukilinganisha na sekta ya mazao. Hadi asilimia 52 mijini pia zinajihusisha na kilimo. ya wamiliki wa mifugo hawakupata pesa yoyote kutokana na mifugo yao katika mwaka 2011. Ni asilimia chini ya 10 ya thamani ya mifugo yote Kwa kweli, kilimo ni sekta muhimu kwa Tanzania, Tanzania ndio inayoingia sokoni. inayochangia hadi asilimia 26 ya Pato Gha� la Taifa (GDP). Kwa kawaida, wakulima huzalisha ili kulisha Kiwango cha chini cha kugeuza kilimo kuwa cha familia zao lakini pia wanahitaji kuingiza kipato kibiashara kunaweza kuelezewa kwa kutumia kwa kuuza mazao yao. Wakulima wanapoongeza vipengele vingi kama vile umbali wa mashamba, kipato zaidi kwa kuuza mazao yao hii huleta uzalishaji mdogo, bei za chini shambani, gharama maendeleo zaidi katika maeneo ya vijijini ambayo kubwa za kutangaza soko, kukosekana soko, au huleta mabadiliko chanya katika uchumi wa jumla. kwa urahisi wakulima wanapokataa kushiriki katika Hiki ndicho kilichodhaniwa kimetokea kutokana na soko. Ni kweli, chini ya theluthi ya vijiji vya Tanzania hadithi za mafanikio ya nchi zinazotekeleza kilimo vina gulio la kila siku au kila wiki ambapo wakulima kama shughuli kuu, kama vile Malaysia na Vietnam. wanaweza kuuza mazao yao. Kwa mkulima wa kawaida, soko la karibu ni kilomita 18 kutoka kijijini Nchini Tanzania, matokeo ya aina hii bado na mara nyingi kunakuwa hakuna barabara yoyote hayajaonekana – angalau si kwa kiwango kikubwa na/au usa�ri wa umma wa ku�ka mnadani. Bei za kinachoonekana. Kilimo cha kibiashara bado ni shambani wanazopokea wakulima ni sehemu ndogo kidogo sana nchini kama inavyoonyeshwa na ya bei ya jumla ambayo ni wastani wa asilimia 60 takwimu zifuatazo kutoka mwaka 2011: kwa mahindi na asilimia 45 kwa mpunga katika mwaka 2011. • asilimia 26ya wakulima wote hawakuuza mazao yao yoyote kwa vile walikuwa hawajaunganishwa Inaposhindikana kilimo kuwa chakibiashara na masoko. kumeibua maswali yafuatayo: • asilimia 25 tu ya wakulima waliuza zaidi ya nusu • Je, serikali iwekeze zaidi katika miundombinu ya mazao yao. kama vile barabara, masoko ya vijijini, n.k., ili 51 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | kuboresha wakulima kuwasiliana? • Je, afua za SACGOT zitamsaidia mkulima mdogo • Je, pawepo na udhibiti wa bei kuhakikisha kuongeza uzalishaji na kuingiza kipato zaidi kwamba wakulima wanapata bei nzuri kutokana kutokana na mazao yao? na mazao yao? • Je, mapinduzi ya simu za mkononi yanawezaje • Je kodi katika mazao ya kilimo ipunguzwe au kuboresha mchakato wa kufanya kilimo kuwa iondolewe kabisa? cha kibiashara? • Je, wakulima wanaweza kuunganishwa moja kwa Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa moja na maduka makubwa ya bidhaa, viwanda kutumia Uta�ti wa Jopo la Taifa mwaka 2010/11, na vya bidhaa za kilimo na wasindikaji bila kupitia bei za jumla za mazao kutoka Wizara ya Viwanda, kwa walanguzi? Biashara na Masoko. Data zinazotokana na vyanzo • Je, kilimo cha mkataba na mashamba makubwa hivi zinapatikana kwa umma na zinaweza kunakiliwa yahimizwe? MAONI YA MSOMAJI Serikali isipige marufuku usa�rishaji wa nafaka nje Wakulima wadogo wa vijijini hawana maarifa ya nchi, hasa mahindi bila ya kuwa na takwimu mengine zaidi ya kutabiri mvua zitanyesha lini na za kuthibitisha msimamo wake wa uhaba wa kupanda ili kupata mavuno mazuri. Mara mavuno mahindi nchini. Mkoani Rukwa, kwa mfano, yanapowasili, changamoto za hifadhi na wadudu tuliona amri hiyo ikitekelezwa hata wakati watu hujitokeza lakini masikini mkulima atakuwa kwa wakiwa na mahindi mengi na hawana mahali mara nyingine akimlaumu shetani... pa kuyauza, hivyo kuwatia hasara kubwa za Afua ya SAGCOT kwa kweli inatia moyo uharibifu baada ya mavuno. Serikali pia inahitaji ukichukulia uwezo wake wa kuwaunganisha kuweka mkazo katika miradi ya umwagiliaji ili wakulima kwa wasindikaji, masoko ya pembejeo, kupunguza utegemezi wa wakulima kwenye n.k., lakini sera za ziada pia zitakuwa muhimu mvua ambayo mara nyingi haiaminiki katika kuhakikisha kwamba manufaa kutoka SAGCOT maeneo kama Rukwa. yanasambazwa eneo kubwa zaidi ya sehemu Kuwasaidia wakulima wadogo kuelewa haja ya ndogo ya wakulima wakubwa ambao tayari kuuza kile wanachozalisha hakuwezi kufanyika wana mafanikio. kwa kutoa mafunzo kwa mkulima mmoja mmoja Mchanganyiko wa barabara nzuri na simu za peke yake, kwani wanaweza wasikumbuke mkononi za bei nafuu utawezesha wakulima wanachofundishwa na wakati mwingine kuunganishwa na wanunuzi katika masoko ya wanachukulia mafunzo kama ni usumbufu ndani na kimataifa. Serikali pia ihimize kilimo cha unaowazuai kufanya kazi zao za zinazozalisha. mkataba - ambacho kitawaruhusu wakulima Juhudi za kujaribu kuwasaidia wakulima kufanya wadogo kutumia fursa ya soko iliyopo kwa biashara zinahitaji ziainishe mazao au bidhaa na biashara kubwa. Udhibiti wa bei hautasaidia. kuilinganisha na mapungufu yoyote ya mahitaji Tunahitaji pia kuacha kutoza kodi mazao ya ambayo masoko ya walaji yanakabiliana nayo. shambani. 52 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 25 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Ng’ombe wangu yuko wapi? Takribani asilimia 70 ya watu bilioni 1.4 walio masikini sana duniani wanategemea mifugo kuendeleza maisha yao, kulingana na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) la Umoja wa Mataifa. Sio tu mifugo huzalisha nyama na maziwa kwa ajili ya chakula, lakini pia inasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao kupitia mbolea ambayo ni mbolea asilia na wanyama kazi. 53 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Kwa sababu ni rahisi kupata soko wakati wowote bilioni 572 ilitokana na ugonjwa peke yake. Kiasi hiki na kuingiza kipato, mifugo pia hupunguza hatari ya ni sawa na takribani asilimia mbili ya GDP na asilimia kaya masikini kukumbwa na misukosuko kutoka nje. 8.5 ya GDP inayotokana na kilimo. Matatizo haya Lakini rasilimali hii muhimu pia inakabiliwa na hatari mawili yaliziathiri zaidi kaya za watu masikini, wakati nyingi ikiwemo ukame, magonjwa na wizi. asilimia 55 kati yao wakipata hasara ukilinganisha na asilimia 37 katika kaya za watu tajiri sana. Wizi wa Nchini Tanzania, takwimu zinaonyesha hadi ilipo�ka mifugo na magonjwa zinagharimu zaidi ya asilimia Oktoba 2010, kulikuwa na ng’ombe zaidi ya milioni sita ya wastani wa gharama zote za matumizi ya 17, mbuzi na kondoo zaidi ya milioni 21, karibu kaya. Aidha, asilimia 8.5 ya watu masikini mwaka nguruwe milioni mbili, na kuku zaidi ya milioni 50. 2010/11 walikumbwa na umasikini kutokana na kupoteza mifugo, iliyoongeza zaidi ya watu 800,000 Kutokana na takwimu hizo, takribani kaya milioni kwenye umasikini. 5 za Watanzania, au karibu asilimia 58, waliripoti kwamba wanamiliki angalau aina moja ya mifugo, Takwimu hizi zinaibua maswali kadhaa: wengi wao wakiwa katika maeneo ya vijijini (kaya • Kitu gani kinawazuia wakulima kuwekeza zaidi moja kati ya nne). Takribani asilimia 25 ya kaya za katika kukinga wanyama wao, hususani kupitia vijijini zinamiliki ng’ombe ukilinganisha chini ya programu za chanjo? Je, serikali iwekeze zaidi asilimia nne kwa kaya za mijini. katika huduma za mifugo ili kukabiliana na magonjwa ya mifugo? Kwa bahati mbaya, kaya nyingi za Kitanzania • Je, uwekezaji katika teknolojia mpya, kama vile hawawezi kunufaika kikamilifu kutokana na GPS, inaweza ku�kiriwa kusaidia kufuatilia mifugo yao kwa sababu wengi wao wanakabiliwa mifugo iliyoibwa kama jinsi ilivyojaribiwa nchini na magonjwa na wizi. Wakati chini ya asilimia Kenya? Au hili ni jambo linalohitaji udhibiti wa 30 ya wamiliki wakiripoti kuchanja mifugo yao nguvu wa kisheria? katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, kiwango cha • Je, kampuni za bima zinaweza kuchangia nini maambukizi mwaka 2010/11 kilikuwa juu: ng’ombe katika kuimarisha sekta ndogo ya mifugo? (asilimia 42); mbuzi/kondoo (asilimia 29); nguruwe • Je, serikali itoe ruzuku kwa ajili ya bima ya mifugo (asilimia 20); na kuku (asilimia 58). au programu za chanjo? Mwaka 2010/11, vifo vya mifugo kutokana na Angalizo: Takwimu hizi zinatoka kwenye ripoti ya magonjwa na vifo vilikuwa juu sana: mwaka 2009 ya Hali ya Chakula na Kilimo ya FAO; • Magonjwa yaliteketeza zaidi ya ng’ombe milioni na Uta�ti wa Jopo la Taifa 2010/11. Takwimu zote 1.4 na mbuzi/kondoo milioni 3.4. zipo wazi kwa umma na zinaweza kunakiliwa. • Zaidi ya ng’ombe 80,000 na mbuzi/kondoo nusu milioni waliibwa. • Kuku walipatikana na magonjwa na wizi kwa MAONI YA MSOMAJI kiwamgo kikubwa, na upotevu ku�kia zaidi ya milioni 30. Kwa nini uwekeze katika chanjo kama mnyama ataibiwa? Ni hakimiliki – na sheria za hapa, Jumla ya hasara iliyotokana na magonjwa na wizi kwa unaona! mifugo yote ilikadiriwa ku�kia bilioni 649 ambapo 54 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 26 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Chakula kipo, lakini hamna kitu kingine Familia nyingi za Kitanzania zinahangaikia maisha ya kila siku ili kukidhi mahitaji kutokana na kipato chao kidogo. Kama ilivyo kwa nchi nyingi zinazoendelea, watu wana pesa kidogo ya chakula, lakini ni kidogo sana inayobaki kwa ajili ya matumizi mengine, kama vile kulipia karo ya elimu au afya. 55 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Mwaka 2010/11, chakula – hasa mahindi (kilo 1.7 • Sehemu ya bajeti inayotumiwa kwa chakula kwa kila mtu kwa wiki), mchele na muhogo (nusu hupungua kadri familia zinavyokuwa matajiri - kilo kwa kila mtu kwa wiki) – kilichangia takribani kutoka asilimia 81 kwa kaya masikini sana hadi robo tatu ya matumizi ya kaya, ukiondoa kodi. Kundi asilimia 65 kwa kaya tajiri sana. kubwa kabisa la matumizi ambayo sio chakula • Kaya tajiri hutumia sehemu kubwa ya bajeti lilikuwa huduma za maji na umeme, ambalo lilitumia yake katika vitu ambavyo sio chakula, hususani kwa wastani asilimia 4.5 ya matumizi yote ya kaya, usa�rishaji na mawasiliano. Tofauti iko katika likifuatiwa na usa�ri (asilimia 4.2), afya (asilimia 3.7), matumizi ya afya, ambapo sehemu ya bajeti elimu (asilimia 3.4) na mawasiliano (asilimia 3). kwa kaya masikini sana na kaya tajiri sana zinafanana sana (asilimia 3.7 na 3.6). Ni kweli, wastani wa mienendo ya matumizi yame�cha tofauti kubwa kati ya makundi haya Takwimu hizi zinaibua maswali yafuatayo: ya watu. Katika hali halisi, kuna tofauti kubwa kati • Je, serikali iongeze msaada wa pesa taslimu ya walaji wa mijini na vijijini, ikionyesha tofauti za moja kwa moja kusaidia familia zenye kipato cha mitindo ya maisha pia na upatikanaji wa bidhaa za chini katika kukidhi mahitaji ya msingi ya kaya? aina mbalimbali. • Ni kwa kiwango gani huduma za msingi (afya, • Kaya za mijini hutumia sehemu kubwa ya bajeti elimu, n.k.) zitolewe bure kwa familia masikini yao yote katika vitu ambavyo sio chakula kuliko ukichukulia athari yake katika bajeti? kaya za vijijini (asilimia 33 dhidi ya asilimia 21 • Je, mchakato wa ukuaji haraka wa miji ya matumizi ya kaya), sehemu kubwa ikienda unabadilisha mwenendo wa matumizi nchini kwenye usa�rishaji na mawasiliano. Tanzania? • Lakini hata kwa kigezo cha matumizi ya chakula, • Ukiacha chakula, ni katika kundi lipi la matumizi kuna tofauti zilizo wazi. Kuna uwezekano Watanzania wanapaswa kutumia pesa yao? mkubwa kwa kaya za mijini kula chakula nje ya nyumba zao. Hii ni sawa na asilimia 27 ya Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Uta�ti chakula chote kilichotumika katika maeneo wa Jopo la Taifa 2010/11 (NPS). Jumla ya matumizi ya mijini ukilinganisha na asilimia 10 tu katika katika NPS ni pamoja na chakula na vitu vingine maeneo ya vijijini. ambavyo sio chakula vinavyotumika mara kwa Mwenendo mwingine mkubwa unahusiana mara, lakini haijumuishi pango na vifaa vya kudumu. na tofauti katika kipato, ambayo ni msukumo Chanzo hiki cha data kiko wazi kwa umma. mkubwa wa nyendo za matumizi zinazoonekana. 56 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 27 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, gharama za chakula kwa Watanzania ni kiasi gani? Kwa kaya nyingi za Kitanzania, kulisha familia zao bado ni jambo la msingi sana. Leo hii, takribani Watanzania 8 katika kila 10 wanajishughulisha katika shughuli Umuhimu wa chakula kwa kaya nyingi za Watanzania za kilimo lakini ni sehemu ndogo tu unasisitizwa katika takwimu hizi zifuatazo: ya uzalishaji huu hupelekwa kwenye • Mwaka 2007, chakula kilitumia wastani wa biashara. asilimia 62 ya kapu la kaya la matumizi nchini Tanzania, wakati ilikuwa asilimia 51tu katika nchi ya Ghana; Botswana – asilimia 35; Brazil – asilimia Kaya zinaposhughulika katika mambo mengine, kwa 20; na Japan – asilimia 18. ujumla huingiza pesa kiasi cha kutosheleza gharama • Kiasi cha bajeti kinachotumika kwa chakula za chakula tu. Aina nyingine za matumizi, kama vile kilikuwa na uwiano tofauti kulingana na utajiri kulipa kodi ya makazi, samani na bidhaa nyingine wa kaya, ikipungua hadi asilimia 66 kwa kaya za kudumu zinakuwa na kipaumble kidogo sana, masikini sana hadi asilimia 50 kwa matajiri sana. isipokuwa kwa kaya chache zenye uwezo. Pia kiasi cha bajeti kilikuwa chini katika maeneo 57 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | ya mijini (asilimia 53) kuliko maeneo ya vijijini Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: (asilimia 65). • Je, chakula ndio matumizi muhimu zaidi kwa • Wastani wa matumizi ya chakula katika matumizi kaya nyingi nchini Tanzania? ya jumla ulipungua kidogo kutoka asilimia 69.5 • Kulingana na Uta�ti wa Kaya wa mwaka 2007, mtu hadi asilimia 66.6, kati ya mwaka 2001 na 2007, mzima anahitaji kutumia bidhaa zinazolingana ikionyesha punguzo dogo katika kiwango cha na Shilingi 20,000 kwa mwezi ili aweze kuishi juu umasikini katika kipindi hicho. ya kiwango cha umasikini. Kwa bei za sasa, pesa hii inaweza kununua kilo 10 za mchele au kilo 20 Hivyo basi, chakula ni suala muhimu sana kwa kaya za sembe. Je, kiasi hiki cha bidhaa kinatosha kwa nyingi za Watanzania. Kwa bahati nzuri, chakula hali halisi? kinatarajiwa kuwa na bei ya chini kwa wastani • Kwa nini bei za vyakula zimeendelea kuongezeka kutokana na uzalishaji mkubwa wa mazao ndani ya nchini Tanzania wakati zimeshuka au kuongezeka nchi na upatikanaji kwa urahisi wa masoko ya nje. taratibu sana katika masoko ya nchi jirani na ya Hadi ku�ka Oktoba 2012, bei ya mahindi (mojawapo nje katika kipindi cha miaka 12 iliyopita? ya bidhaa kuu katika kapu la chakula) ilikuwa chini • Kama walaji wataumizwa na bei za juu za vyakula, zaidi nchini Tanzania kuliko Kenya kwa asilimia 20; na wazalishaji wanaweza kupoteza motisha pakiwa Uganda asilimia 51. Bei ya mchele pia ilikuwa chini kwa na bei za chini sana. Je, muafaka utapatikana asilimia 52 na 26. Lakini mlinganisho huu hautafaa vipi na Serikali ifanye nini, kama kuna jambo la kwa nchi nyingine zinazoendelea kama vile Ethiopia kufanya, kuhusu hali hii? (ambako bei ya mahindi ilikuwa chini kwa asilimia 10 • Je, biashara ya kimataifa ya chakula iimarishwe ili kuliko ilivyo Tanzania) au Vietnam (ambako mchele kupunguza tofauti za bei katika soko la ndani na ulikuwa bei ya chini kwa asilimia 42). soko la kimataifa? Angalizo: Takwimu zilizoandikwa hapa zimetokana Labda jambo la kushangaza sana kuhusu bei za na takwimu za bei za kitaifa na kimataifa vyakula nchini Tanzania ni kwamba bei za ndani zilizokusanywa na Benki ya Dunia na Shirika la za wanunuzi wa mahindi na mchele zimeongezeka Chakula na Kilimo (FAO), tovuti: (http//www. kwa asilimia 39 kwa mahindi na asilimia 11 kwa foodsecurityportal.org/api/), na Uta�ti wa Kaya wa mchele katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, ambayo mwaka 2007. Takwimu zote ziko wazi kwa umma. ni tofauti kubwa na mienendo ya bei inayoonekana katika masoko ya nchi jirani na kimataifa. Bei za MAONI YA MSOMAJI ndani na za kimataifa zimetofautiana kwa kiwango Hali halisi katika nchi za Kiafrika bado ni kikubwa. Leohii, bei ya kilo moja ya mchele iko juu ngumu na vipato mara nyingi vinatosheleza karibu maradufu kama bei ya nchini Vietnam, wakati kugharamia mahitaji muhimu tu. Bei za zote zilikuwa na bei zinazolingana katikati ya mwaka vyakula zinaongezeka wakati wote na kufanya 2008. Katika kiwango cha kipato cha kila mtu, hali ngumu kuwa ngumu zaidi. Mtanzania wa kawaida anaweza kununua takribani Kuna njia moja ya kudhibiti kuongezeka kwa kilo 500 za mchele kwa mwaka ukilinganisha na bei ya vyakula: Dhibiti bidhaa zinazouzwa nje. zaidi ya kilo 2,000 nchini Vietnam. 58 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 28 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Usitumie vibaya misitu ya Tanzania Misitu inaunguzwa ili kupanua mashamba mapya. Mbao pia ni chanzo cha moja kwa moja cha mapato, kinachochangia takribani asilimia 10 ya bidhaa za Tanzania zinazouzwa nje kisheria. • Kupanua kilimo peke yake inakisiwa kunachangia uharibifu wa misitu katika kiwango cha zaidi ya Dunia nzima, misitu inapotea kwa hekta 300,000 ya misitu. kasi kubwa. Tangu mwaka 1990 peke yake, nusu ya misitu ya mvua • Kati ya mwaka 1997 na 2005 mauzo ya mbao za Tanzania nje ya nchi kisheria yaliongezeka kwa ya dunia imepotea. Tanzania pia takribani asilimia 1,400 kwa thamani. imeathirika sana na uharibifu wa misitu kama inavyoonyeshwa na • Mkaa na kuni, ni chanzo kikuu cha nishati katika zaidi ya asilimia 97 ya kaya za Watanzania. takwimu zifuatazo: Kiwango hiki kiko juu zaidi kuliko kile cha Uganda (asilimia 95) lakini ni zaidi kuliko cha Kenya • Eneo la misitu kama sehemu ya eneo lote la ardhi (asilimia 81) na Senegal (asilimia 64). limepungua kutoka asilimia 50 mwaka 1938, hadi asilimia 43 mwaka 1987 na asilimia 37 mwaka • Katika maeneo ya mijini mkaa hutumika kwa 2010. wingi zaidi. Mwaka 2011, asilimia 71 ya kaya jijiji Dar es Salaam zilikuwa zinatumia mkaa kama • Kati ya mwaka 1990 na 2010, Tanzania Bara chanzo kikuu cha nishati, wakati asilimia 5 ya ilipoteza hekta milioni nane sawa na asilimia 19 kaya nyingine zikitegemea kuni. ya misitu yake. Hii ni sawa na upotevu wa hekta 400,000 kila mwaka, hiki ni kiwango cha upotevu • Takribani nusu ya matumizi ya mkaa nchini wa misitu cha asilimia moja. Tanzania yanafanyika Dar es Salaam, ina�kia takribani tani 500,000. • Misitu ya Miombo (hii ni misitu ya savanna ambayo ni sehemu kubwa ya kusini magharibi Faida za muda mfupi zinazoambatana na uharibifu mwa Tanzania) imepungua kwa asilimia 13 kati ya wa misitu zinamezwa na gharama zinazofahamika mwaka 1990 na 2000, wakati inakisiwa kwamba vyema. Uharibifu wa misitu unachangia kwa kiasi zaidi ya asilimia 70 ya misitu ya Usambara kikubwa katika kuongeza umasikini, kwani watu (Kaskazini Mashariki ya Tanzania) imefyekwa masikini vijijini hutegemea sana misitu kwa maisha ilipo�ka mwaka 1995. yao. • Misitu kuzunguka Dar es Salaam imepungua Uharibifu wa misitu una athari hasi kwenye ubora kutoka hekta 2,000 mwaka 1990 hadi hekta 385 wa maji, na unachangia katika kuleta mafuriko mwaka 2007. wakati wa msimu wa mvua na kupunguza maji 59 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | kwenye mito wakati wa kiangazi. Pia husababisha • Je, matumizi ya nishati mbadala badala ya mmomonyoko mkubwa wa ardhi, na maeneo mkaa na kuni yahimizwe? Je, kugundulika kwa yaliyokatwa miti mara nyingi hugeuka jangwa. rasilimali mpya ya gesi kutasaidia? Kwa kweli, baada ya kutambua hatari hii, misitu ya • Je, ni kwa kiwango gani upanuzi wa ardhi ya pwani ya Afrika Mashariki imewekwa miongoni mwa kilimo uwe na ukomo kuhusiana na maeneo misitu 10 ya juu katika orodha ya Shirika la Kimataifa yenye misitu? la Hifadhi ya misitu iliyo katika hatari kubwa zaidi kutowekaduniani. • Je, jamii ya kimataifa ichangie zaidi (ikijumuisha fedha) katika kulinda misitu ya Tanzania? Uharibifu wa kutisha na unaoendelea wa misitu ya Tanzania imeibua maswali yafuatayo: Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa kutumia Ta�ti za Demogra�a na Afya za • Je, serikali itangaze kwamba uharibifu wa misitu Senegal, Kenya, na Uganda; na Uta�ti wa Jopo la ni hali ya hatari katika taifa? Taifa, 2010/11 Tanzania; Takwimu za FAO. Data • Je, inatosha kuainisha maeneo ya misitu zinazotokana na ta�ti hizi ziko wazi kwa umma na yanayolindwa au serikali ianzishe program ya zinaweza kunakiliwa. nguvu ya kitaifa ya kupanda miti? MAONI YA MSOMAJI Kwa vile mkaa ndio chanzo cha nishati kilicho na hivi kuna takribani hekta milioni 4 za misitu hii, na bei rahisi zaidi kwa ajili ya kupikia katika maeneo kazi nzuri na ya uhakika ya upimaji imeonyesha ya mijini, njia pekee ambapo uharibifu wa misitu kwamba tija iko juu katika hifadhi hizi, bioanuwai unaweza kupunguzwa ni kwa kutoa ruzuku kwa imeongezeka, na faida kwa jamii kutokana na mafuta ya taa kama ilivyokuwa huko nyuma. hifadhi ni kubwa zaidi kuliko maeneo ambayo Hatua nyingine si rahisi kufanikiwa hadi hapo hifadhi hizi hazipo. adhabu kali zitakapotolewa kwa uharibifu wa Ruzuku itolewe kwa gesi asilia ili m�kie kila hifadhi za misitu na kutekelezwa. Mtanzania na kusitisha matumizi ya mkaa. Serikali ilianzisha Hifadhi za Misitu za Kijiji. Sasa 60 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Huduma za Jamii 29. Afadhali usiwe mgonjwa ...........................................................................62 30. Mimba hatarishi..........................................................................................64 31. Bado VVU/Ukimwi unaua watu wengi ....................................................66 32. Tanzania katika mapambano dhidi ya Malaria .......................................68 33. Lishe ni Uwekezaji kwa siku za baadaye .................................................. 70 34. Je, Uzee unapomaanisha kuishi maisha hatarishi? ............................... 72 35. Je, Tanzania itaweza kumudu wananchi milioni 100 mwaka 2035? ..... 74 36. Je, watoto kweli wanakwenda shule? ..................................................... 76 37. Elimu Bora ni kwa wote? ............................................................................77 61 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 29 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Afadhali usiwe mgonjwa Kwa bahati mbaya, maendeleo yanakatisha tamaa katika afya ya mama na huwezi kuona kupungua kwa kiasi kikubwa kwa vifo vya wakina mama kati ya mwaka 2004 na 2010. Kupungua taratibu katika vifo vya wakina mama kunaendana na kupungua kwa idadi ya wakina mama wanaojifungua kwa Nchi nyingi za Kiafrika zinaonyesha msaada wa daktari– Wakina mama wanaojifungua anguko kali katika vifo vya watoto. kwa msaada wa daktari waliongezeka kwa asilimia Tanzania imeshuhudia kupungua kwa 6 tu kati ya mwaka 1999 na 2010. Leo hii ni nusu tu vifo vya watoto kutoka watoto 137 kati ya wajawazito nchini Tanzania wanaojifungua katika kituo cha afya wakisaidiwa na watumishi wenye ya watoto 1,000 wanaozaliwa hai ambao ujuzi. hawaja�kisha miaka 5 mwaka 1996 hadi watoto 81 mwaka 2010. Mafanikio katika Hebu �kiria vurugu iliyopo leo katika huduma za afya Tanzania, na takwimu zifuatazo (chanzo: uta�ti wa afya ya mtoto yanaambatana kwa kiasi viashiria vya utoaji wa huduma): kikubwa na utekelezaji wa programu za afya za ‘bure’ zikijumuisha udhibiti wa Kwanza, sio rahisi kupata miundombinu mizuri ya msingi: Ni kituo kimoja cha afya ya msingi kati ya malaria, chanjo na lishe. Programu hizi vitano kimeripoti kuwa kimeunganisha upatikanaji zinafadhiliwa na Mashirika makubwa wa umeme, maji sa� na huduma za usa� wa Yasiyo ya Kiserikali (NGO) na wafadhili mazingira. Uwiano huu unaporomoka hadi asilimia 5 wa nje, na sio lazima zitegemee huduma kwa maeneo ya vijijini. Hata hivyo, takribani asilimia za afya nchini. 80 ya vituo hivyo vitatumia vifaa vya msingi vya afya kama vile kipima joto, kipima mapigo ya moyo, na mizani. Nchi nyingi za Kiafrika zinaonyesha anguko kali katika vifo vya watoto. Tanzania imeshuhudia kupungua Pili, kuna uwezekano mdogo kukuta watumishi wa kwa vifo vya watoto kutoka watoto 137 kati ya afya katika kituo, na kama utawakuta, uwezekano watoto 1,000 wanaozaliwa hai ambao hawaja�kisha ni mdogo wa kusikiliza matatizo yako yako. Kiwango miaka 5 mwaka 1996 hadi watoto 81 mwaka 2010. chao cha utoro ni kama asilimia 20 na wanatumia Mafanikio katika afya ya mtoto yanaambatana kwa kwa wastani dakika 30 tu kwa siku kuwashauri kiasi kikubwa na utekelezaji wa programu za afya wagonjwa. za ‘bure’ zikijumuisha udhibiti wa malaria, chanjo Tatu, na pengine jambo la kutia wasiwasi zaidi; na lishe. Programu hizi zinafadhiliwa na Mashirika madaktari wata�kia utambuzi sahihi wa magonjwa makubwa Yasiyo ya Kiserikali (NGO) na wafadhili wa katika asilimia 57 tu ya magonjwa. Kwa hiyo, ni nje, na sio lazima zitegemee huduma za afya nchini. afadhali usiugue, isipokuwa kama una niumonia 62 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | au kifua kikuu. Hapa chini inaonyesha hali halisi ya • Kwa nini kuna watumishi wa afya wachache kwa uwiano wa madaktari wanaoweza kupata utambuzi kila mkazi? Wastani wa idadi ya madaktari kwa sahihi kwa magonjwa mahususi: wakazi 1,000 nchini Tanzania ni mara 20 chini • asilimia 27 kama unaugua malaria na ukosefu ya nchi kusini mwa Sahara na mara 175 chini wa damu; ya wastani duniani. Kwa wakunga na wauguzi, • asilimia 29 kama unaugua kuharisha na idadi yao ni mara 3.3 chini ya nchi kusini mwa ukosefu wa maji mwilini; Sahara na mara 11.5 chini ya wastani duniani. • asilimia 84 kama unaugua niumonia; Je, serikali ifanye nini kuhusu hili? Je, wafadhili • asilimia 66 kama unaugua uvimbe kwenye wagharamie programu nyingi za mafunzo? nyonga; • asilimia 73 kama umepata kifua kikuu. Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa kutumia data kutoka kwenye Uta�ti wa Demogra�a Unazungumziaje madawa? Kama utaweza kuonana na Afya, na Uta�ti wa Viashiria vya Utoaji Huduma, na a�sa tabibu, kupata utambuzi sahihi, kuandikiwa zote zimefanyika mwaka 2010. Data kutoka kwenye dawa, kuna uwezekano wa asilimia 25 kwamba ta�ti hizi ziko wazikwa umma na zinaweza kunakiliwa. hutoweza kupata dawa uliyoandikiwa katika kituo hicho kwa sababu ya madawa kuisha mara kwa mara. Ni kweli kwamba tumechukulia kwamba una MAONI YA MSOMAJI pesa ya kutosha kulipia huduma hizo. • Je, utafanya nini kuinua ubora wa huduma za Mfumo wa sasa wa huduma za afya kwa umma afya nchini Tanzania? Kuwekeza katika vituo kwa kweli unaonyesha haufany kazi. Kuna haja binafsi au vya umma? ya kuwekeza katika vituo binafsi. • Kwa nini viwango vya utoro viko juu sana? Saikolojia ya jumla ya watumishi wa afya Tanzania Mishahara iko chini kwa watumishi wa afya; imetawaliwa na haja ya kutafuta vyanzo mbadala kukosekana kwa udhibiti katika utawala; au vya kipato, ambayo mwisho wa siku huathiri tija. wagonjwa kukosa uwezo wa kulipia huduma? Kuna uhaba mkubwa wa rasilimali watu ambao • Kwa nini utambuzi mara nyingi unakuwa sio hukatisha tamaa madaktari. Hata mashine sahihi? Je, hii inatokana na kukosa mafunzo; au inayofanya kazi sana ina�kia mahali inachoka. kukosa motisha? 63 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 30 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Mimba hatarishi (360), Ethiopia (350) au Senegal (370). Matatizo anuwai yanayosababishwa na afya duni ya uzazi ni makubwa zaidi kuliko inavyoonekana Ujauzito na kujifungua kunaweza hapa na takwimu hizi za vifo. Kwa kila kifo cha kukawa muda wa kusisimua sana mama, wanawake wengi zaidi wanasumbuliwa na mapungufu yanayohusiana na mimba au kwa familia iwapo mama mjamzito kujifungua, mara nyingi yanakuwa na athari hasi na mtoto wake ambaye hajazaliwa za muda mrefu katika afya zao na ushiriki wakati watanufaika kutokana na huduma wa kujifungua. Na ni ukweli kwamba afya ya bora za afya na mtoto kuzaliwa mama ina uhusiano wa karibu sana na afya ya katika mazingira salama. watoto wachanga wanaojifungua. Kipengele kikuu kinachosababisha vifo vya wakina-mama kuwa katika kiwango cha juu Hata hivyo, ni msiba mkubwa iwapo mama atapoteza nchini Tanzania ni matumizi ha�fu ya huduma za maisha yake wakati wa kujifungua au iwapo mtoto afya ya uzazi: mchanga aliyezaliwa ataugua au kufa. • Wakati Shirika la Afya Duniani likipendekeza Kwa bahati mbaya, wanawake wengi tunawapoteza kwamba wanawake wajawazito (wasio na shida) wakati wa kujifungua kama inavyoonyeshwa katika watembelee kliniki angalau mara nne kuwaona takwimu zifuatazo: wahudumu wa afya, asilimia 57 ya wanawake • Uwiano wa vifo vya wakina mama nchini Tanzania wa Kitanzania walitembelea mara chache zaidi unakadiriwa kuwa vifo 460 kwa kila watoto hai mwaka 2010. 100,000 wanaozaliwa (mwaka 2010). Wanawake • Asilimia 56 ya wanawake vijijini na asilimia 17 ya 8,500 wanakufa kila mwaka kutokana na mimba wanawake mijini walijifungulia nyumbani, hivyo au kujifungua. kufanya huduma za juu za tiba kuwa ngumu • Vifo vya kina mama vimepungua tangu mwaka kupatikana kunapotokea matatizo. Katika 2005 (kutoka takribani vifo 610 kwa kila watoto maeneo ya watu masikini sana karibu theluthi hai 100,000 wanaozaliwa), lakini maendeleo mbili ya wanaojifungua hufanya hivyo nyumbani. yamekuwa taratibu sana kuliko na vifo vya • Mwaka 2010 peke yake, takribani watoto 900,000 watoto. waliozaliwa (asilimia 49) hawakuhudumiwa • Uwiano wa vifo vya wakina mama nchini na mtoa huduma mwenye ujuzi: Asilimia 15 Tanzania pia unaonekana uko juu ukilinganisha walihudumiwa na mkunga wa jadi, asilimia 29 na nchi nyingine, kama vile India (200), Kenya walihudumiwa na ndugu au ra�ki na zaidi kidogo 64 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | ya asilimia 3 (zaidi ya 60,000) walijifungua bila mibovu ya barabara? Gharama za juu? Huduma ya msaada wowote. zilizo na ubora wa chini? Matumizi haya ha�fu ya huduma za afya ya uzazi • Je, elimu bora kwa wasichana kunaweza yanahusiana na upatikanaji wa shida na gharama kupunguza vifo vya kina mama? Au ingekuwa zinazohusiana na kutafuta huduma. Sababu bora zaidi kuwapatia mama wajawazito motisha nyingine ambayo inahusiana ni ubora duni wa ya fedha ili watafute huduma kabla na baada ya huduma za afya ya uzazi. Mwaka 2010, takribani kujifungua? nusu ya wanawake (asilimia 53) waliopata • Je, huduma za afya ya mama zinawezaje huduma kabla ya kujifungua waliaari�wa kuhusu kuboreshwa? Kupitia kulipa motisha watumishi matatizo yanayoweza kutokea katika mimba zao. wa afya? Vituo vya afya vilivyosheheni vifaa Tofauti na mahitaji ya afya kwa watoto, ambayo vinavyotosheleza? mara nyingi hushughulikiwa kupitia kampeni kubwa za chanjo na programu nyingine, mahitaji • Je, afya ya mama kwa sehemu kubwa ni jukumu ya afya ya uzazi hushughulikiwa kupitia mfumo la wanawake peke yao? Wanaume wana wajibu wa kawaida wa huduma ya afya,unaokabiliwa gani? na matatizo yanayofahamika vyema ya motisha • Je, serikali iongeze programu za uzazi wa mpango ndogo kwa wafanyakazi, uwajibikaji ha�fu na ili kupunguza kiwango cha uzazi na hatari ya utoaji huduma usioridhisha. kina mama kufa wakati wa kujifungua? Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Uta�ti • Ni vipengele vipi muhimu zaidi vinavyozuia wa Demogra�a na Afya, na Database ya Takwimu wanawake kutafuta huduma za afya kabla za Jinsia kutoka Benki ya Dunia. Data zinazotokana ya kujifungua na kujifungulia watoto wao na vyanzo hivi iko wazi kwa umma na inaweza hospitalini? Umbali mrefu? Miundombinu kunakiliwa. MAONI YA MSOMAJI Zaidi ya nusu ya wanawake wajawazito Hata hivyo tatizo liko katika mbinu zinazotumika hujifungua nyumbani na sio katika kituo cha afya, katika jitihada hizi. hivyo wanaweza wasihudumiwe na mtumishi Tunahitaji kutoa elimu bora na kuanzisha mwenye ujuzi au kuweza kupata huduma ya kwa bidii zote programu za uzazi wa mpango. dharura ya upasuaji. Pia watalaam wa afya wanaojituma walipwe Matokeo ya shughuli za afya yanaweza mishahara ya haki na yenye motisha na kuboreshwa pale tu unapokuwa na uwekezaji kuwapatia mazingira ya kazi yaliyo sheheni sambamba katika elimu, makazi, lishe, vifaa vya kazi. Vyote hivi vitategemea uwepo upatikanaji wa maji, na mengineyo. wa menejimenti inayofanya kazi kwa ufanisi na inayowajibika. 65 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 31 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Bado VVU/UKIMWI unaua watu wengi • Kiwango cha kuenea kwa VVU miongoni mwa watu wazima kulipungua kutoka kiwango cha juu kabisa ku�kiwa mwaka 1996 (asilimia 8.4 kwa wenye umri kati ya miaka 15-49) hadi asilimia 5.8 mwaka 2007, ijapokuwa tangu wakati huo hakuna mabadiliko. • Idadi ya watu wanaokufa kutokana na Ukimwi imepungua kwa takribani theluthi moja, kutoka 130,000 mwaka 2001 hadi 84,000 mwaka 2011. Kiwango cha jumla cha kuenea kwa VVU nchini Tanzania (asilimia 5.8 mwaka 2011) kiko chini, kwa mfano, kuliko nchini Zambia (asilimia 12.5), Malawi (asilimia 10) au Uganda (asilimia 7.2). Lakini hali ilivyo, kupunguza zaidi maambukizi ya VVU inawezekana ikawa vigumu kufanikisha, kwa vile maambukizi mengi hutokea kupitia ngono bila ya kinga wakati sera ina uwezo mdogo wa kubadili sababu kuu ya msingi ya mienendo ya tabia. Jambo muhimu zaidi, hata hivyo, ni kwamba Tanzania inazidi kurudi nyuma ya nchi nyingine kwenye jimbo katika kupunguza vifo vinavyohusiana na Ukimwi: VVU/Ukimwi bado ni mmoja wapo wa • Kati ya mwaka 2001 na 2011, Zambia iliweza magonjwa hatari zaidi katika nchi za kupunguza idadi ya watu wanaokufa kutokana Kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara, na VVU/Ukimwi kwa asilimia 57; Zimbabwe unaosababisha huzuni na mateso kwa kwa asilimia 61 na Kenya kwa asilimia 52 mamilioni ya watu walioathirika na familia (ukilinganisha na Tanzania iliyo na asilimia 35). zao. Lakini pia kuna dalili za matumaini, • Kwa sasa Tanzania ni nchi ya nne duniani kwani maambukizi mapya na idadi ya vifo kwa idadi ya vifo vinavyotokana na magonjwa vinavyohusiana na Ukimwi vimepungua yanahusiana na Ukimwi (baada ya Afrika Kusini, kwa kiasi kikubwa tangu miaka ya katikati Nigeria na India) ya -2000. Ikifanana na mwenendo wa jumla • Watoto wanakadiriwa ku�kia milioni 1.3 nchini katika jimbo, Tanzania imepata mafanikio Tanzania wamepoteza mzazi wao mmoja kwa ugonjwa huu na wanakua kama yatima. kadhaa katika kupunguza VVU/Ukimwi: 66 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Ukweli ni kwamba Watanzania wengi bado wanakufa • Je, kuna sababu gani za kuwepo kwa watu kutokana na Ukimwi, licha ya kuwepo matibabu, wachache wanaopata huduma za matibabu ya hii inaonyesha kwamba mfumo wa afya nchini ARV nchini? Kukosekana kwa dawa? Unyanyapaa? hauwa�kii wale wanaohitaji kupima na kutibiwa Ubora duni wa ushauri nasaha wa VVU/Ukimwi? VVU, na kwamba madawa ya kupunguza makali ya • Je, Serikali iweke kipaumbele kutoa fedha kwa VVU hayapatikani kwa watu wengi katika jamii: huduma za afya zinazohusiana na VVU/Ukimwi? • Ni asilimia 40 tu ya watu wenye maambukizi Na hata kutumia fedha iliyotengwa kwa ajili ya ya VVU yaliyo�kia hatua ya juu wako kwenye programu nyingine za sekta ya afya? matibabu ya dawa za kupunguza makali (ARV). • Je, Mamlaka ya Chakula na Madawa ina rasilmali • Watu wanao�kiwa na huduma ya ARV in za kutosha kufuatilia ubora na usalama wa wachache zaidi kuliko nchini Zambia (asilimia madawa ya matibabu ya VVU/Ukimwi? 82), Kenya (asilimia 72), Malawi (asilimia 67) na • Je, Watanzania wenyewe wana wajibu gani Uganda (asilimia 54), na ni chini zaidi ya lengo la kupunguza kuenea kwa VVU/Ukimwi? milenia la upatikanaji wa ARV kwa wote i�kapo 2010. Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Viashiria • Aidha, kugundulika kwa mara kwa mara kwa vya Maendeleo vya Benki ya Dunia, data za Shirika dawa bandia za ARV kunaleta wasiwasi kuhusu la Ukimwi la Umoja wa Mataifa (UNAIDS) na kitabu ubora wa matibabu ya wale wanaohitaji. cha Kumbukumbu za Dunia za Shirika la CIA. • Yote haya yanaibua maswali yafuatayo:: Takwimu zote ziko wazi kwa umma MAONI YA MSOMAJI Tukiangalia nchi zilizopiga hatua kubwa katika na zinahitajika. Changamoto mbili zimebaki leo. kupanua upatikanaji wa matibabu ya retrovirusi Changamoto ya kwanza inahusiana na haja (ART) kuna hatua kuu kadhaa walizochukua. ya kuhakikisha kwamba juhudi za kuongeza Wamefanya yafuatayo: i) wamewahusisha upatikanaji wa ART zinaambatana na hatua viongozi wa ngazi za juu kisiasa; ii) serikali za za kuzuia maambukizi mapya, ili isije ikawa mitaa zilichukua jukumu la utoaji wa huduma, tunashinda vita ndogo na kupoteza vita kuu na kutumia mfumo wa matunzo unaotumia dhidi ya Ukimwi. Changamoto ya pili na labda muuguzi, taratibu kuunganisha matibabu ya ndio changamoto kubwa zaidi iliyobaki ni jinsi ya Ukimwi kuingia katika matunzo ya magonjwa kuendelea kugharamia programu za matibabu sugu;(iii) wameanzisha sera ya kutoa matibabu ya Ukimwi, kwa sababu ijapokuwa gharama ya VVU kwa kutumia ARV za ruzuku au madawa za madawa zimepungua sana tangu miaka ya ya bure ya ARV, ambayo kimsingi yanalipiwa na mwanzoni mwa 2000 bado ziko juu kwa watu wafadhili; na iv) kusaidia vitendo vinavyohakikisha wengi masikini katika bara la Afrika. Wakati nchi kwamba kuna uzingatiaji wa matunzo, kupunguza nyingi za Afrika kusini mwa jangwa la Sahara bado hatari ya mgonjwa kuacha kunywa dawa (k.m. wanategemea sana fedha za wafadhili, kuna juhudi mara�ki, waelimishaji rika, msaada wa watumishi za dhati kwa nchi hizi kubeba baadhi ya majukumu katika jamii). ya fedha. Hebu nijaribu kuwa mchokozi kidogo katika kujibu Ni jambo la kutia wasiwasi jinsi ambavyo magonjwa maswali uliyouliza. Kwa maoni yangu, mjadala wa ni kama fasheni – baada ya muda haisisimui tena. miaka ya mwanzoni mwa 2000 kuhusu iwapo Lakini magonjwa haya hayapotei hivi hivi ukiacha nchi zianzishe programu za matibabu ya Ukimwi kuya�kiria. Kadri muda unavyokwenda watu wengi sasa umekwisha, kwani nchi nyingi zimeonyesha zaidi wanapaswa kutekeleza wajibu wao kutafuta kwamba programu hizi zinawezekana, zinafanyika tiba. Kusoma makala haya kweli kulinifungua macho. 67 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 32 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Tanzania katika mapambano dhidi ya Malaria • Mwaka 2011/12, 78% ya watoto walio chini ya miaka mitano walilala chini ya chandarua, ongezeko la zaidi ya mara mbili kutoka mwaka 2007/08 (36%). Vyandarua vingi vilisambazwa kupitia kampeni za afya ya jamii mwaka 2009-11 Ikiwa na wagonjwa wanaokadiriwa na zilifadhiliwa na wabia wa maendeleo. milioni 10 mwaka 2010, Shirika la • Kulikuwa na ongezeko kubwa katika kaya Afya Duniani linaichukulia Tanzania zilizopuliziwa dawa za kuua wadudu katika kuwa mojawapo wa nchi nne zenye kipindi cha miezi 12 hadi asilimia, kutoka asilimia maambukizi ya juu kabisa ya malaria 4 mwaka 2007/08 hadi asilimia 14 mwaka katika bara la Afrika, pamoja na Nigeria, 2011/12. Dawa nyingi ilipulizwa majumbani Kongo – DRC na Uganda. Lakin kuna kuzunguka Ziwa Victoria na visiwani Zanzibar. dalili kwamba juhudi za kupambana na Hata hivyo, pamekuwepo na maendeleo �nyu ugonjwa zinazaa matunda: katika kuongeza upatikanaji kwa muda kwa dawa za kutibu malaria kwa wajawazito na watoto – makundi mawili ambayo yako katika hatari zaidi ya kupata malaria: • Data kutoka vipimo vya maabara vinaonyesha • Mwaka 2011/12, ni asilimia 33 tu ya wanawake kwamba kiwango cha maambukizi katika ambao tayari wameshazaa waliopata madawa watoto wenye umri kati ya miezi 6 hadi miaka 5 yanayostahili ambayo ni Dozi 2+ ya SP/Fansidar mwaka 2011/12 kimepungua. wakati wa mimba, idadi hii imeongezeka kidogo • Vifo vitokanavyo na malaria vimepungua kutoka kutoka asilimia 31 mwaka 2007/08. takribani vifo 20,000 kwa mwaka katika kipindi • Mwaka 2011/12, uwiano wa watoto wenye kutoka mwaka 2004-06 hadi chini ya vifo 12,000 umri wa miaka 5 wenye homa ambao walianza mwaka 2011. Wakati kuna uwezekano kwamba matibabu yao siku hiyo hiyo au siku ya pili baada vifo vya malaria haviripotiwi vyote, mwenendo ya homa kuanza ilikuwa ni asilimia 60 (miongoni unaonyesha maboresho makubwa. mwa wale waliopata dawa), ongezeko dogo Mafanikio ya Tanzania ya hivi karibuni katika sana tangu mwaka 2007/08. kupunguza maambukizi na vifo vinavyotokana Kwa sababu malaria inaweza kuendelea kwa na malaria yanaweza kuhusishwa na ongezeko haraka mwilini na ku�kia viwango vya hatari, kubwa katika juhudi zinazolenga kwenye kuzuia kuchelewa katika matibabu kwa asilimia 40 ya maambukizi ya vimelea vya malaria, kudhibiti watoto wagonjwa kunaelezea kwa nini malaria mazalia ya mbuna kuboresha matibabu: itaendelea kuwa sababu inayoongoza katika vifo 68 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | miongoni mwa watoto wadogo. matumizi ya kipimo cha kutambua malaria cha Inashangaza kuona matukio mengi ya homa RDT? Mafunzo bora ya watumishi wa afya? matibabu hufanyika bila kupima kwa ajili ya • Kwa nini wanawake wachache wajawazito uthibitisho. Mwaka 2011/12, ni asilimia 25 wanapata dozi iliyopendekezwa ya kuzuia tu ya watoto chini ya miaka 5 wenye homa malaria? ambao walichukuliwa damu kwa ajili ya kupima. • Je, nini kifanyike kuendeleza kiwango cha sasa Mwenendo huu sio tu umechangia katika cha upatikanaji wa vyandarua ukichukulia kuchelewesha utambuzi wa magonjwa ambayo kwamba vyandarua hudumu kwa miaka 3 – 5 sio malaria, ugonjwa kuwa sugu na athari na kampeni ya mwisho ya kugawa vyandarua tokezi zisizo za lazima, lakini pia umepandisha iliisha kama miaka miwili iliyopita? gharama za huduma za afya katika vituo vya umma na binafsi na kuongeza hatari ya usugu Angalizo: Data zinatoka katika Ripoti ya Malaria wa dawa. Duniani ya Shirika la Afya Duniani 2012; na Uta�ti Haya yote yanaibua maswali yafuatayo: za VVU/Ukimwi, 2007/08 na Uta�ti wa Viashiria • Ni nini kinaweza kuelezea ukweli kwamba vya Malaria 2011/2012 (THMIS). Taarifa zote watoto wengi wanachelewa kupata matibabu zinapatikana kwa umma. ya malaria? Je, inaweza kuwa ni kukosekana kwa Ripoti za Malaria za mwaka 2007/08 na 2011/12 vituo vya afya? Maarifa yasiyotosheleza kuhusu THMIS zilitumia vipimo tofauti vya malaria, ambavyo malaria? Gharama za juu za madawa? vinaweza kuleta matokeo tofauti kuhusu kuripoti • Je, utambuzi wa malaria unawezaje kuboreshwa? maambukizi ya malaria miongoni mwa watoto. Kupitia huduma bora za maabara? Kuongeza MAONI YA MSOMAJI Si muda mrefu nimerudi kutoka kwenye mbu hawezi kubeba vimelea vya malaria kwenda visiwa vya Komoro ambako timu ya madaktari kwa mtu mwingine. Maambukizi ya malaria kabla wa Kichina ilitoa matibabu kwa watu wa ya kampeni ya matibabu yalikuwa asilimia 24 na kisiwa kimoja kwa kutumia dawa mseto aina yalishuka baada ya miezi mitatu hadi asilimia ya artemesimine na piperaqine (artequik) 0.02. Hata hivyo, Shirika la Afya Duniani (WHO) isipokuwa wanawake wajawazito ambao haijaridhia au kupendekeza mkakati huu. Ni jinsi walitibiwa kwa kutumia piperaqine peke yake. gani mkakati huu ulivyo na ufanisi na endelevu Dhana hapa ni kwamba matibabu ni kinga na katika kipindi cha kati haijajulikana bado. kama hakuna mtu mwenye maambukizi basi 69 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 33 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Lishe ni uwekezaji kwa siku za baadaye Utapiamlo una athari mbaya katika ukuaji wa mtoto kimwili (kudumaa); unaweza pia kusababisha uharibifu wa kudumu wa ubongo na maendeleo ya akili ya mtoto, na huongeza hatari ya kupata ugonjwa na kifo. Athari kubwa zaidi ya utapiamlo inaonekana katika siku 1,000 za mwanzo katika maisha ya mtoto – kuanzia wakati wa mimba hadi mtoto anapo�kisha miaka miwili. Kwa wanawake, utapiamlo unaongeza hatari wakati wa mimba na kujifungua watoto wenye uzito mdogo. Utapiamlo ni suala zito nchini Tanzania kama ambavyo takwimu zifuatazo zinavyoonyesha: • Mwaka 2010, zaidi ya watoto milioni 3 (asilimia 42) wa Kitanzania chini ya miaka mitano walidumaa miili yao. • Kati ya mwaka 2004/05 na 2010 kudumaa kwa watoto walio chini ya miaka 5 kulipungua kidogo kutoka asilimia 44.3 hadi 42. • Asilimia 59 ya watoto wana upungufu wa damu – sehemu kubwa wakiwa wamerithi kutoka kwa mama zao waliokuwa na upungufu wa madini chuma wakati wa mimba. • Asilimia 40 ya wanawake wenye umri wa kuzaa wana upungufu wa damu ulikinganisha na asilimia 17 tu nchini Rwanda, asilimia 19 nchini Burundi na asilimia 29 nchini Kenya. 70 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Asilimia 42 ya kaya hutumia chumvi yenye Vipengele vingine ambavyo vinachangia mtoto madini joto yasiyotosheleza au chumvi isiyokuwa kupata utapiamlo ni pamoja na huduma duni za na majini joto ambayo huwaweka watoto katika afya, mazoea mabaya ya usa� wa mwili, kaya kukosa hatari ya kupata uharibifu wa ubongo wa uhakika wa chakula, uhaba wa maji sa�. Ijapokuwa kudumu, wakati hii hutokea katika asilimia 2 ya kupungua kwa viwango vya umasikini na maboresho kaya za Kenya na asilimia 4 ya kaya za Uganda. ya matokeo ya elimu vinaweza kupunguza utapiamlo kwa kiasi fulani, vipengele hivi vitachukua muda na • Ni chakula gani na ni kiasi gani tunakula kuna uwezekano mdogo vitatosheleza. huamuliwa kwa kiasi fulani na kipato chetu na kiwango cha elimu. Watoto wa Kitanzania Habari njema ni kwamba utapiamlo unaweza kuzuiwa katika kaya masikini sana wana uwezekano wa kupitia hatua rahisi zinazowalenga wanawake wenye asilimia 80 kudumaa kuliko watoto katika kaya umri wa kuweza kupata watoto na watoto katika tajiri. Mtoto ambaye mama yake ana elimu ya miaka yao miwili ya kwanza katika maisha. Na habari sekondari kuna uwezekano mdogo mara mbili njema zaidi ni kwamba uwekezaji katika lishe, kama kudumaa kuliko yule ambaye mama yake hana vile programu ya taifa ya kuongeza virutubisho elimu. kwenye chakula nchini Tanzania , imethibitika kuwa na faida kubwa kiuchumi katika ngazi ya taifa. Hata hivyo, utajiri na elimu sio dhamana dhidi ya utapiamlo. Mtoto mmoja kati ya wanne kutoka • Je, unashangaa kiwango cha utapiamlo katika familia tajiri sana wamedumaa na watoto ambao nchi ya Tanzania ambayo kwa sehemu kubwa mama zao wana elimu ya sekondari wana uwezekano ni nchi ya kilimoyenye vyakula vya kutosha, wa kuwa na ukosefu wa damu kama watoto kutoka ikiwemo samaki na mifugo? kaya masikini sana ambao mama zao hawana elimu. • Je, utapiamlo unaweza kupunguzwa bila ya programu zinazolenga waathirika? Mtoto anaweza kuishia kudumaa licha ya kula chakula cha ‘kutosha’ katika kila mlo kila siku. Hii • Je, Watanzania wana taarifa za kutosha kuhusu inawezekana hasa kama mtoto anaugua mara kwa matokeo ya tabia zao za ulaji? Kwa nini kaya mara k.m. kuharisha, malaria au niumonia; kama zinatumia chumvi ambazo hazina madini joto ta mtoto mchanga atapewa vyakula vingine au maji kutosha? badala ya maziwa ya mama kabla ya miezi sita, kama • Je, sera za umma zinazowezesha mazingira mtoto mchanga au mtoto mdogo anakula mara tatu mazuri ya utendaji wa lishe bora zitungwe na au mara chache kwa siku, au iwapo chakula hakina kusimamiwa? virutubisho vya kutosha kama vile matunda, nyama, • Nani aongoze? Serikali? Kaya? Jamii? Wabia? samaki, maziwa na mayai. Watoto wanaweza kuishia Angalizo: Takwimu zilizotumika hapa zinatokana kudumaa iwapo mama zao walikuwa hawapewi na Matarajio ya Idadi ya Watu Duniani 2010 na chakula cha kutosha wakati wa mimba, walikuwa masuala mbalimbali ya Ta�ti za Demogra�a na Afya na upungufu wa damu, wagonjwa au hawakupata kwa nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda. mapumziko ya kutosha. Takwimu kutoka vyanzo hivi zipo wazi kwa umma. 71 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 34 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, Uzee unapomaanisha kuishi maisha hatarishi? Katika kipindi cha karne mbili zilizopita, matarajio ya kuishi katika nchi za Ulaya Magharibi yameongezeka kutoka miaka 32 (katika miaka ya 1800) hadi ku�ka zaidi ya miaka 80 mwaka 2011. Ongezeko hili kubwa ambalo halijawahi kushuhudiwa katika historia ya binadamu, na limetokana na mchanganyiko wa sababu mbalimbali zikiwemo maendeleo ya kiteknolojia katika tiba, kuboreshwa kwa hali ya maisha, na lishe bora, pamoja na sababu nyingine. Hata hivyo, mara nyingi uzee pia huambatana na kudhoo�ka kwa jumla kwa uwezo wa mwili, kuugua maradhi kwa urahisi, na kukosa uwezo wa kufanya shughuli za kiuchumi. Hali hii huongeza hatari ya kuwa masikini na kukosa usalama, hivyo jamii husika inahitajika kutafuta taratibu za kuwasaidia wazee wao. Sambamba na mwelekeo uliopo duniani, matarajio ya kuishi nchini Tanzania yameongezeka kutoka miaka 43 mwaka 1960 hadi miaka 58 mwaka 2011. Leo hii, kuna takribani Watanzania milioni 2.7 – sawa na asilimia sita ya watu wote – wenye umri wa miaka 60 na zaidi. Tabaka hili la watu linaloongezeka kwa kasi pia kwa bahati mbaya ndilo ambalo linaishi katika mazingira hatarishi zaidi kuliko watu wengine katika jamii. Sio tu kwamba wazee ni masikini zaidi (kwa zaidi ya asilimia 7) lakini pia wanapata ulemavu 72 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | kwa urahisi zaidi (asilimia 15.5 ukilinganisha na wana uwezekano mara tatu zaidi ya wastani wa taifa asilimia 2.4 kwa watu wenye umri kati ya miaka 20 kutumiwa fedha. na 59). Hatimaye, wazee walio wengi hulazimika kuendelea Kitu kingine cha kustaajabisha kuhusu uzee nchini kufanya kazi hasa katika shughuli zinazohusiana na Tanzania ni kwamba wanawake kwa sehemu kubwa kilimo. Mwaka 2011, asilimia 70 ya wazee (wenye ndio wanaonekana kuathirika zaidi kuliko wanaume. umri zaidi ya miaka 65) bado walikuwa wakifanya Tafakari takwimu zifuatazo: kazi nchini Tanzania, dhidi ya asilimia 55 nchini Kenya; asilimia 30 nchini Korea na chini ya asilimia 2 • Asilimia 56.6 ya wanawake wazee ni wajane nchini Ufaransa. ukilinganisha na asilimia 7.2 kwa wanaume Hii inatulazimu tujiulize maswali machache • Asilimia 19.3 ya wanawake wazee wanadai kuwa yafuatayo: na ulemavu ukilinganisha na asilimia 10.3 kwa • Je, ustawi wa wazee uwe ni kipaumbele kwa wanaume Serikali kutokana na kwamba idadi ya wazee • Asilimia 17 ya wanawake wazee wanaishi katika itaongezeka katika miaka ijayo? moja ya kaya za watoto wao ukilinganisha na • Je, mitandao ya hifadhi ya jamii ya asili (familia, asilimia 3 kwa wanaume vikundi vya dini, mara�ki) inatosheleza kuwalinda • Asilimia 38 ya kaya zinazoongozwa na wanawake wazee? wazee zinategemea misaada ukilinganisha na • Je, motisha zitolewe kwa familia ili zijiweke katika asilimia 20 kwa wanaume nafasi nzuri zaidi za kutoa misaada kwa ndugu • Kaya zinazoongozwa na wanawake wazee ziko zao wazee? katika hatari kubwa zaidi kwa asilimia 7 ya kuwa • Je, ni kwa kiwango gani programu za kijamii masikini kuliko zile zinazoongozwa na wanaume zimelenga wanawake wazee ambao kwa wastani wazee. wanaishi katika mazingira hatarishi zaidi kuliko Wazee wa Tanzania hawawezi kutegemea mfumo wanaume wazee? ‘rasmi’ wa hifadhi ya jamii au huduma bure za tiba. • Je, ni jambo linalowezekana kutoa huduma bure Takribani mzee mmoja kati ya Watanzania wazee za afya kwa watu wote walio na umri wa miaka 100 alistahili kupata hifadhi rasmi ya jamii mwaka 60 na zaidi? 2006. Ni asilimia 11 tu ya wazee walioweza kupata Angalizo: Takwimu zilizotolewa hapo juu zimetokana msamaha wa kulipia gharama za afya katika kituo na Uta�ti wa Jopo la Taifa mwaka 2010/11, Uta�ti cha afya kwa mwaka 2011. wa Nguvu Kazi Jumuishi mwaka 2006, Viashiria vya Matokeo yake iliwalazimu kutegemea mifumo isiyo Dunia vya Maendeleo, na takwimu za Shirika la Kazi rasmi ya mitandao ya kiusalama – sehemu kubwa Duniani (ILO). Machapisho yote haya yako wazi kwa ikiwa familia ili waweze kuishi. Kwa mfano, wazee umma. 73 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 35 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, Tanzania itaweza kumudu wananchi milioni 100 mwaka 2035? Tanzania imeshuhudia ongezeko kubwa la watu – kutoka watu milioni 11 mwaka 1963 hadi watu milioni 45 mwaka 2012. Miongoni mwa mambo yaliyochangia katika ongezeko hili – ambalo ni mojawapo ya ongezeko la haraka sana duniani– ni kupungua kwa kiwango cha vifo. Matarajio ya kuishi nchini Tanzania yameongezeka katika kipindi cha miongo miwili kutoka miaka 50 hadi 58. Aidha, wanawake wa Tanzania wameendelea kuzaa watoto wengi (5.4 kwa kila mwanamke mwaka 2010), kiwango cha juu kuliko Kenya na Rwanda (4.6) na nchi nyingine kusini mwa Sahara isipokuwa Uganda. Tangu mwaka 1991, kiwango hiki kimepungua kwa asilimia 13 nchini Tanzania dhidi ya asimia 26 kwa Rwanda na asilimia 31 kwa Kenya. Sababu nyingine pia zimechangia katika ukuaji wa idadi ya watu kwa kiwango cha juu ambacho Tanzania inashuhudia ni: • Vifo vya watoto vimepungua kwa nusu katika miaka 25 iliyopita. • Ndoa za umri mdogo: umri wa wastani katika ndoa ya kwanza mwaka 2010 ulikuwa miaka 18.8 nchini Tanzania ukilinganisha na miaka 20.0 kwa Kenya na miaka 21.4 kwa Rwanda. • Kuzaa mapema: Asilimia 44 ya wanawake wa Kitanzania ama wana mimba au wana watoto wanapo�ka miaka 19. 74 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Elimu isiyotosheleza: Ku�ka elimu ya sekondari • Je, ajira zitatengenezwa vipi kwa ajili ya idadi ya huchelewesha kwa kiasi kikubwa umri wa ndoa ya vijana wanaongezeka? kwanza na wasichana wenye elimu ya sekondari • Je, kutakuwepo na rasilimali za kutosha za huolewa wakiwa na miaka takribani 23 katika kuwezesha kutoa elimu ya ubora wa juu, nchi za Tanzania, Kenya na Rwanda. Mwaka miundombinu na huduma nyingine za msingi 2010, wanawake wasio na elimu walikuwa na kwa vizazi vijavyo? idadi ya watoto mara mbili ukilinganisha na wale • Je, maendeleo ya uchumi na kupanuka kwa miji waliopata elimu ya sekondari. kutatosha kupunguza ukuaji wa idadi ya watu • Wastani wa idadi ya watoto wanaotakiwa na kadri muda unavyokwenda? wanawake wa Kitanzania bado iko juu, watoto 5.3 • Je, serikali iimarishe programu za uzazi wa kwa kila mwanamke. mpango kama ambavyo Ethiopia na Rwanda • Programu za uzazi wa mpango zisizo na wamefanya? ushawishi; matumizi ya vifaa/madawa ya kuzuia • Je, wanaume watahimizwa vipi kushiriki katika mimba yamesimama, ni wanawake asilimia 27 programu za uzazi wa mpango? tu ndio wanaotumia njia za kisasa za uzazi wa • Je, programu mahususi za elimu zitekelezwe ili mpango mwaka 2010 ukilinganisha na asilimia kuhimiza wasichana wabaki shuleni? 39 kwa Kenya na asilimia 26 kwa Rwanda katika • Je, wajibu wa wabia wa maendeleo, jamii, asasi za mwaka huo huo. kiraia na viongozi wa dini utakuwa ni nini? Ikiwa na viwango vya sasa vya uzazi na vifo, idadi ya watu wa Tanzania inakisiwa ku�kia watu milioni 100 Angalizo: Takwimu zilizotumika hapa zinatokana mwaka 2035, na watu milioni 200 mwishoni mwa na Matarajio ya Idadi ya Watu Duniani 2010 na karne hii. Makisio haya yanaibua maswali kadhaa: masuala mbalimbali ya Ta�ti za Demogra�a na Afya • Je, kutakuwa na chakula cha kutosha kulisha kwa nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda. watu milioni 100 mwaka 2035? Takwimu kutoka vyanzo hivi zipo wazi kwa umma. MAONI YA MSOMAJI Je, Tanzania ilitekeleza programu ya uzazi wa kata ili kupunguza kuzaa mapema miongoni mwa mpango? Ghana imekuwa na programu ya uzazi wasichana; na matumizi ya vidonge vya uzazi wa wa mpango tangu mwaka 1971 na matokeo mpango yanahimizwa, wanaume nao wakianza yake yanaonyesha kwamba idadi ya watu wake kushiriki katika programu hizi. Pia pamekuwepo haijaongezeka haraka kiasi hicho. na ongezeko la kampeni za uzazi wa mpango. Kama hatua hizi zitaendelea kutekelezwa kwa Ni wazi kwamba ongezeko hili la watu linakaribisha dhati, kuna uwezekano ongezeko la idadi ya watu hatari, je, hakuna mazingira yoyote ambapo taratibu litadhibitiwa. unaweza kuona fursa? Je, hatuwezi kuona faida za kuwa na idadi kubwa ya watu, kwa mfano, pale Kwa sababu ya ongezeko la idadi ya watu, hali ambapo sehemu kubwa ya watu inafanyakazi na ya maisha ya Watanzania wengi haijabadilika. hivyo ukuaji uchumi unainuliwa kama tulivyoona Rasilimali zote za ziada zilizozalishwa zinakwenda barani Asia miongo mitatu iliyopita? katika kujenga na kuendesha huduma mpya za msingi kwa ajili ya idadi ya watu inayoongezeka– Programu mbalimbali zinatekelezwa kudhibiti shule mpya, vyuo vipya vya walimu, vituo vipya ongezeko la watu nchini Tanzania. Angalau vya afya, n.k. sekondari moja au mbili zimeanzishwa katika kila 75 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 36 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, watoto kweli wanakwenda shule? Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, Tanzania imekuwa karibu ku�kia malengo yake ya elimu ya msingi kwa wote kulingana na takwimu rasmi. Hata wanafunzi wa darasa la nne yanaonyesha hivyo, kaya za Kitanzania zilipoulizwa kwamba ni asilimia 47 tu ndio walioweza kusoma moja kwa moja katika uta�ti wa hivi hadithi ya Kiswahili ya kiwango cha darasa la pili, karibumi, waliripoti kwamba: na asilimia 15 tu waliweza kugawanya 75 kwa 5. • Kwa nini watoto hawaendi shule wanapo�kia umri wa miaka saba? • Asilimia 17 ya vijana wao kati ya miaka 7 na 13 • Kwa nini watoto wengi wa Kitanzania hawajifunzi? walikuwa hawahudhurii shule • Asilimia 30 ya watoto wenye umri wa miaka 7-8 Angalizo: Takwimu hapo juu zimekokotolewa kwa katika maeneo ya vijijini walikuwa hawaendi shule kutumia data kutoka kwenye Uta�ti wa Demogra�a na kiwango hiki kiliongezeka hadi asilimia 45 kwa na Afya, Uta�ti wa Uwezo na uta�ti wa Kiashiria cha wale ambao wako katika kaya masikini sana Utoaji Huduma – ta�ti zote zilifanyika mwaka 2010. • Takribani theluthi moja (400,000) ya watoto Data kutoka kwenye ta�ti hizi ziko wazi kwa umma milioni 1.2 wenye umri wa miaka 7 hawaendi na zinaweza kunakiliwa shule, wakati wavulana wa vijijini wakiwa na uwezekano mdogo wa kwenda shule kuliko wasichana. MAONI YA MSOMAJI Takwimu hizo zinahitaji kuhojiwa kwa maswali kadhaa: Je, haiwezekani kwa nchi masikini kama Tanzania • Je, takwimu za serikali ni za kweli? Je watoto watoto wake wote kwenda shule? wamesajiliwa rasmi lakini hawahudhurii shule? Naamini kwamba kama Watanzania tumejitahidi • Je, tofauti kati ya takwimu rasmi na uta�ti kwa uwezo wetu kuondoa ujinga katika ngazi ya zinabainisha masuala ya ubora katika mfumo familia, ijapokuwa umasikini bado ni changamoto wa elimu? Ni kweli, kulingana na uta�ti uliwapa kubwa. mazoezi watoto wa Kitanzania, matokeo ya 76 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 37 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Elimu Bora ni kwa wote? pia ubora wa elimu unatofautiana kwa kiwango kikubwa kutegemea unaishi wapi katika nchi hii: • Shule zinazofanya vizuri zaidi zinapatikana maeneo ya mijini , kama vile wilaya za Iringa Mjini, Bukoba Elimu ndio ufunguo wa maisha. Mjini na Arusha. Katika wilaya hizi, wanafunzi wa Darasa la 7 walipata alama za wastani za asilimia Ukichukua misingi yote ya maisha, 97-98 katika somo la hisabati, asilimia 88-91 hakuna msingi ulio muhimu katika Kiingereza na asilimia 97-98 katika Kiswahili zaidi ya elimu – katika kupata walipofanyiwa mtihani wa Darasa la 2. maendeleo, pia na kuwa na • Lakini kinyume chake, shule katika wilaya za maendeleo endelevu. Chunya, Kibondo na Tunduru ziliripoti alama za somo la hisabati zinazoanzia asilimia 50 (Chunya) hadi asilimia 78 (Kibondo na Tunduru), na wilaya Tangu kuanzishwa kwa sera ya elimu bure ya msingi hizi zilifanya vibaya kwa kupata asilimia 44-47 mwaka 2001, Tanzania imepata mafanikio makubwa katika Kiingereza, na asilimia75-83 katika somo la katika kuboresha upatikanaji wa elimu ya msingi. Kiswahili. Kwa hiyo, wanafunzi wengi wa Darasa Mahudhurio ya shule kwa watoto wenye umri kati ya la 7 katika wilaya hizi hawajaweza hata ku�kia miaka 7 hadi 13 yameongezeka kutoka asilimia 54 kiwango cha mtaala wa Darasa la 2. mwaka 1999 hadi takribani asilimia 80 katika mwaka 2010. Pamoja na yote haya, lakini Tanzania bado ni • Tofauti katika matokeo ya elimu hujitokeza kuanzia miongoni mwa nchi zenye viwango vya chini sana mwanzo kabisa mwa mzunguko wa elimu: Wakiwa vya wanafunzi wanaoendelea kutoka shule za msingi tayari wako Darasa la 3, wanafunzi katika wilaya kwenda sekondari katika nchi za bara la Afrika kusini ya Iringa Mjini wanafanya vizuri zaidi mara mbili mwa Sahara (ikiwa asilimia 41 tu mwaka 2009), katika hisabati ukilinganisha na wale walioko wasichana wakiwa hasa wanaoathirika zaidi. Kibondo (asilimia 82 dhidi ya asilimia 40– hii pia kwa kutumia mtihani wa Darasa la 2 kama kigezo), Aidha, tathmini zinazozingatia viwango zimeonyesha wanafunzi hawa pia hufanya vizuri takribani mara kwamba ubora wa elimu hautoshelezi kuwapatia 5 katika Kiingereza (asilimia 61 dhidi ya asilimia wanafunzi stadi za msingi za kujua kuhesabu, 13) na zaidi ya mara 2.5 katika Kiswahili (asilimia kusoma na kuandika. Mwaka 2011, Tanzania ilipata 83 dhidi ya asilimia 33). Watoto hawa wanaweza alama za chini zaidi kuliko Kenya au Uganda katika kuwa hawakutengana sana kwa maana ya umbali tathmini hizi. wa sehemu wanzpoishi, lakini wanaishi dunia zilizo Sio tu kwamba Tanzania iko nyuma kwa vigezo vya mbali sana baina yao kwa vigezo vya ubora wa matokeo ya elimu ukilinganisha na nchi jirani, lakini elimu wanayoipata. 77 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Na tofauti hizi za usawa hazipo tu katika elimu kufanya vibaya katika shule. ya msingi. Kiwango cha ufaulu cha watoto katika ngazi ya Cheti cha Elimu ya Sekondari ni kati ya Tofauti hizi kubwa katika maendeleo ya shule nchini asilimia 2 tu (k.m. katika wilaya za Simanjiro na Tanzania zinaibua maswali mengi: Mbulu) na asilimia 24 (kwa wilaya ya Makete) • Kwa nini shule katika baadhi ya wilaya zinaonekana (angalia tovuti: http://developmentseed.org/ kufanya vizuri zaidi kuliko nyingine, hata tanzania-bank/#performance kwa maelezo zaidi). zinapotumia rasilimali sawa? Ni vitu gani muhimu Je, ni jambo gani linaweza kuelezea tofauti hizi katika vinachangia katika mafanikio ya shule hizi? Je, ni matokeo ya elimu? Sababu kubwa inapatikana usimamizi katika ngazi ya shule? Je, ni maadili ya katika ugawaji uliopo wa rasilimali katika wilaya na kazi ya walimu? shule. Kama inavyotarajiwa, wilaya zenye rasilimali • Je, serikali inapaswa kuongeza mishahara ya na walimu wengi (uwiano na wanafunzi) pia zina walimu kutegemea maendeleo ya shule? uwezekano mkubwa wa kutoa huduma bora za • Je, ni kwa kiwango gani tofauti za matokeo ya elimu hivyo kuwa na matokeo mazuri. Hata hivyo, elimu zinaweza kuelezeka kwa sababu zilizo nje ya kuna mipaka katika kutumia mantiki hii kwa vile mfumo wa shule, kama vile lishe duni na afya? kuongeza mwalimu mmoja katika wilaya ambayo tayari inafanya vizuri italeta mabadiliko kidogo katika • Je, wazazi wanabagua dhidi ya mabinti zao katika utoaji wa huduma kuliko kuongeza mwalimu mmoja kupata elimu ya sekondari? Kama ndivyo, kwa nini? zaidi katika wilaya ambayo ina huduma duni. Zingatia: Takwimu zilizotolewa hapo juu zinatokana Lakini fedha peke yake haiwezi kuelezea tofauti na Uta�ti wa Afya ya Uzazi na Mtoto wa mwaka miongoni mwa wilaya katika maendeleo ya shule. 1999, Uta�ti wa Demogra�a na Afya wa mwaka Wilaya za Ruangwa na Kilombero, kwa mfano, 2010, Tathmini ya Kujifunza – UWEZO ya mwaka zinaripoti takribani kiwango sawa cha matumizi ya 2011, Database ya Takwimu za Elimu ya Benki ya (kawaida) ya fedha za umma kwa kila mtoto katika Dunia, Baraza la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA) elimu ya msingi, lakini bado matokeo ya mtihani na ripoti ya mwaka 2011 ya Benki ya Dunia, ’Viashiria mwaka 2011 yalikuwa mazuri zaidi katika wilaya vya Utoaji Huduma: ‘Majaribio katika huduma za ya Kilombero kuliko Ruangwa (pakiwa na tofauti ya Elimu na Afya barani Afrika’. Takwimu kutoka vyanzo asilimia 8 katika alama za wanafunzi wa Darasa la hivi zinapatikana kwa umma na matokeo yake 7). Ni dhahiri kuna sababu nyingine zinazochangia. yanaweza kunakiliwa. Sababu hizi ni pamoja na: • Ubora wa usimamizi wa fedha katika mfumo wa elimu katika wilaya na/au shule. MAONI YA MSOMAJI • Tija katika utendaji wa walimu. Utoro wa walimu Nilipomuuliza mwalimu mkuu mmoja anafanyaje ni tabia iliyooenea sehemu nyingi, uki�kia asilimia kama mtoto hakuja shule, aliniangalia kama 20 katika shule za vijijini na asilimia 36 ya walimu vile nilikuwa mjinga na kusema “tunakwenda katika shule za mijini, walioripotiwa kutokuwepo nyumbani kwake kumchukua.� kazini wakati wa ukaguzi wa kushtukiza . Je, mliacha kwa makusudi kwa sababu habari yote hii haizungumzii masuala ya karo za shule au • Familia kujishughulisha na elimu ya watoto. Hii pia uwezo wa mzazi kulipa? ni sababu muhimu sana inayoamua mafanikio au 78 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Miundombinu 38. Maji ni uhai, lakini upatikanaji wake bado ni tatizo ......................................... 80 39. Mapambano ya ukosefu wa vyoo ........................................................................ 82 40. Je, una barabara? .................................................................................................. 84 41. Je, mapinduzi ya mawasiliano kwa simu za mkononi yanawezaje kuwainua masikini wa Tanzania? ......................................................................................... 86 42. Twende zetu: Usa�rishaji wa Barabara Tanzania............................................... 89 79 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 38 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Maji ni uhai, lakini upatikanaji wake bado ni tatizo Maji ni muhimu kwa uhai wa binadamu. Watu wanahitaji maji sa� ili Maji pia ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kwani yanahitajika waishi na kuendelea sio tu kwa uzalishaji katika kilimo, lakini pia katika uzalishaji kuwa na afya njema. wa viwandani. Lakini upatikanaji wa maji bado ni changamoto Ukosefu wa maji sa� kubwa katika nchi nyingi. Tanzania imejaaliwa, kwa maji ya juu ya ardhi na chini ya ardhi, ikiwa na wingi wa maji mara unachangia katika tatu yanayoweza kujalizwa kuliko Kenya na asilimia 37 zaidi ya viwango vya juu vya vifo Uganda. vya watoto duniani. Licha ya kuwepo maji mengi baridi, Watanzania wengi bado wanakabiliwa na uhaba wa maji kutokana na uwezo mdogo wa kuyapata na kuyahifadhi katika maeneo ya vijijini na mijini. Ni kaya chache zinazoweza kupata maji sa� ya kunywa 80 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | kutoka chanzo cha bomba. Ni sehemu ndogo ya upya mgawanyo wa majukumu kati ya serikali kuu kaya za vijijini inayoweza kupata maji ya kumwagilia na serikali za mitaa na kuwa wazi zaidi kuhusu nani mashamba yao. Takwimu zifuatazo zinaonyesha atalipia matumizi ya maji. ukubwa wa tatizo: • Je, matumizi ya maji nchini Tanzania yawe • Upatikanaji wa maji kutoka kwenye mabomba bure? Je, pawepo na ukomo wa kiasi cha maji ni kama umesimama kabisa katika kipindi cha kinachopata ruzuku kwa kila kaya? miongo miwili iliyopita. Mwaka 1991/92, asilimia • Ni nani anapaswa kulipia maji? Je, mifumo 33.5 ya watu walipata maji kupitia mabomba; tofauti ya malipo itekelezwe kutegemea maji takwimu hii ilikuwa asilimia 33.1 mwaka 2010. yanatumika kwa shughuli gani? Je, wasifu wa wa Licha ya hali hii, Tanzania inafanya vizuri zaidi mtumiaji wa maji ni muhimu? kuliko Uganda (asilimia 15.3 mwaka 2006), iko sawa na Kenya (asilimia 34.3, 2008-09) lakini • Je, Serikali peke yake inaweza kuziba pengo nyuma zaidi ya Senegal (asilimia 68.7, 2010); katika sekta ya maji nchini Tanzania? • Maeneo ya mijini yameshuhudia uzorotaji • Je, Tanzania iweke mkazo katika kuwapatia maji mkubwa wa upatikanaji wa maji kutoka asilimia wakazi wa mijini au vijijini? Je, itoe upendeleo 77.8 hadi 58.6. Kwa upande mwingine – maeneo kwa kilimo au matumizi majumbani? ya vijijini kulikuwa na nafuu kidogo, kutoka • Je, wajibu wa serikali za mitaa unapaswa kuwa asilimia 19.2 hadi 24.1 kwa kipindi hicho; nini katika kutoa huduma za maji? Je, itakuwaje • Kaya nyingi za vijijini (zaidi ya asilimia 70) kwa jamii husika, wafadhili na makampuni walikuwa wanaishi dakika 15 kutoka kwenye binafsi? chanzo chao kikuu cha maji mwaka 2010; Angalizo: Takwimu zilizotumika zinatokana na Ta�ti • Ni asilimia 3 tu ya ardhi inayolimwa nchini za Demogra�a na Afya (1991/92, 2010), Uta�ti wa Tanzania iko chini ya kilimo cha umwagiliaji Jopo la Taifa 2010/11, Kitabu cha CIA cha Takwimu, mwaka 2010. na ripoti ya Programu ya Maji na Usa� wa Mazingira 2011. Takwimu zipo wazi kwa umma. Kuboresha upatikanaji wa maji kunahitaji hatua mchanganyiko za kushughulikia mifumo ya miundombinu. Kuna haja ya kujenga mabomba, MAONI YA MSOMAJI mifumo ya umwagiliaji na pampu katika maeneo ya mijini na vijijini. Kwa bahati nzuri, Serikali imeanza Tunahitaji kutoa motisha sahihi ambao kuchukua hatua na kuongeza kwa kiwango kikubwa utaruhusu makampuni binafsi kuwekeza katika miundombinu inayohitajika ili kutoa huduma ya rasilimali za umma kwa sekta ya maji, kutoka Shilingi maji. bilioni 183 mwaka 2007/8 hadi Shilingi bilioni 575 mwaka 2011/12. Ukarabati wa mifumo iliyopo, hata Serikali kuu na za mitaa zinahitaji kuwekeza kwa kiwango cha juu zaidi katika teknolojia za hivyo, imetelekezwa, pamoja na kuendeleza mifumo kusa�sha maji, ulinzi wa visima vya maji kwa ajili mipya ya kutoa huduma za maji, kama vile ubia na ya jamii za vijijini, n.k. watendaji binafsi na jamii. Pia kuna haja ya ku�kiria 81 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 39 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Mapambano ya ukosefu wa vyoo Tanzania ni nchi ya pili kati ya nchi zote duniani zilizo na matumizi ya chini kabisa kwa kigezo cha upatikanaji wa huduma za usa� wa mazingira kati ya nchi 171 zilizoripoti takwimu kwa mwaka 2010. Maelezo ya kina ni kama ifuatavyo: • Ni Mtanzania 1 kati ya 10 ndiye anayeweza kupata kilichoboreshwa kwa wakazi wa mijini ni mkubwa huduma ya usa� wa mazingira, kama vile choo mara tatu, kulinganisha na wakazi wenzao wa cha kuvuta kilichounganishwa kwenye mfumo vijijini (asilimia 20 dhidi ya asilimia 7). wa majitaka au tangi la maji machafu au choo • Idadi inayoshtusha ya Watanzania milioni 5.4 cha shimo kilichofunikwa ambacho haushirikiani hawapati huduma yoyote ya choo, na wanajisaidia na kaya nyingine. maeneo ya wazi. Mzigo huu ni mkubwa kwa • Kiwango hiki (asilimia 10) kiko chini sana ya familia zilizo masikini. wastani wa nchi za Kiafrika zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara (asilimia 31), pia kiko chini zaidi Kukosekana huku kwa huduma ya vyoo iliyoboreshwa ya Kenya (asilimia 32), Uganda (asilimia 34) na kuna athari pana za kijamii na kiuchumi. Usa� Malawi (asilimia 51). wa mazingira ni muhimu kwa afya ya jamii kwani • Uwezekano wa kutumia huduma ya choo unazuia kuenea kwa magonjwa ya kuharisha na 82 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | magonjwa mengine ya kuambukiza na hupunguza utapiamlo, maambukizi na vifo. Kiuchumi, upatikanaji Upatikanaji wa huduma za vyoo peke yake hautoshi usiotosheleza wa huduma za usa� husababisha vifo kuboresha usa� wa mazingira na kimwili. Jambo kabla ya wakati wake, kuongezeka kwa mzigo katika jingine muhimu ni usalama wa utupaji taka na mifumo ya huduma za afya na hasara katika muda kinyesi, hasa katika meneo ya mijini. na tija. Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: Athari nyingine mbaya kwenye jamii hazijionyeshi • Je, pawepo na uwekezaji zaidi wa umma katika sana lakini hata hivyo ni muhimu: Wanawake usa� wa mazingira? Au itakuwa vyema zaidi na wasichana huogopa unyanyasaji wa kijinsia kukuza matumizi ya fedha binafsi katika huduma wanapotumia choo cha umma, hasa wakati wa za vyoo kupitia kampeni za afya, na elimu ya usa� usiku. Na hasa kujisaidia haja kubwa katika eneo la kwa jamii? wazi, huhusishwa na hisia za aibu, kupoteza heshima • Je, serikali itoe ruzuku kwa ajili ya ujenzi wa vyoo na faragha. katika maeneo ya vijijini ambako upatikanaji wa huduma za usa� wa mazingira uko chini sana? Licha ya utambuzi wa jumla wa athari hizi, bado kuna Au uwekezaji wa umma uweke mkazo katika uwekezaji mdogo sana katika usa� wa mazingira: - maeneo ya mijini yaliyo na watu wengi? • Uwekezaji wa sasa katika usa� hu�kia chini • Je, jamii zihusishwe vipi katika kusa�sha vyoo na ya asilimia 0.1 ya Pato Gha� la Taifa, ambayo utunzaji wa miundombinu iliyopo ya mazingira? haitoshi kuboresha vya kutosha upatikanaji wa huduma hii. Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Viashiria • Rasilimali nyingi za umma zimeelekezwa katika vya Maendeleo ya Dunia (WDI) na uta�ti wa mwaka mifumo ya majitaka mijini. Na fedha za sekta 2012 kuhusu Athari za Kiuchumi za Usa� Duni katika binafsi katika usa� wa mazingira zimeelekezwa Afrika uliofanywa na Programu ya Maji na Usa� zaidi miongoni mwa mitaa ya mijini. katika bara la Afrika (WSP). Taarifa zote hizi ziko wazi • Wakati upatikanaji wa huduma za usa� wa kwa umma. mazingira zilizoboreshwa umeongezeka kutoka MAONI YA MSOMAJI asilimia 10 hadi asilimia 20 katika kipindi cha miongo miwili, hapakuwa na maendeleo Usa� wa mwili na usa� wa mazingira yanayolingana nayo katika maeneo ya vijijini ulioboreshwa unaweza kupatikana kupitia (ambapo upatikana ji wa huduma za usa� kampeni za kuamsha ufahamu wa jamii, zilizoboreshwa zilibakia katika kiwango cha elimu ya afya ya mwili, na kuwaandaa wana- asilimia 6-7 katika kipindi cha mwaka 1990- vijiji kuchangia na kutekeleza wajibu wao, 2010). pia kuhimiza uwekezaji wa umma katika kujenga vyoo na utunzaji wa huduma Somo muhimu tulilojifunza kutoka kwenye swala hizi katika maeneo ya mijini. Tunaweza la usa� Tanzania na sehemu nyingine duniani ni kujifunza mambo mengi kutokana na miradi kwamba, manufaa ya kiafya na kiuchumi hupatikana iliyotekelezwa India ya Kaskazini. iwapo matumizi ya fedha ya kaya kwenye vyoo Matumizi ya ruzuku za serikali nchini India yataambatana na juhudi za kuboresha desturi za kwa ajili ya kujenga vyoo vilivyoboreshwa afya hususani kuosha mikono. Kuboresha usa� wa ilipelekea watu kuhifadhi nafaka zao katika mazingira na kimwili kunaweza kunahitaji mabadiliko “choo bora� kwa sababu vyoo hivi hutoa ya tabia kuliko uwekezaji wa umma tuliouzoea siku hifadhi nzuri kwa nafaka zao zenye thamani. zote. 83 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 40 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, una barabara? Kupunguza umbali kati ya watu, masoko, huduma na maarifa – au kwa lugha nyepesi ‘kuunganisha watu’ – ni sehemu muhimu ya suala zima la ukuaji uchumi. Ijapokuwa mawasiliano ya kimtandao yameendelea kuwa muhimu katika dunia ya leo kutokana na kuibuka kwa njia mbalimbali za mawasiliano, mtandao mzuri na wa kuaminika wa usa�rishaji bado ni muhimu sana. Kuna uhusiano chanya na wa nguvu kati ya maendeleo ya kiuchumi ya nchi na ubora wa mtandao wake wa barabara. Lakini hadi mwaka 2011, Tanzania imekuwa nyuma ya Uganda na Kenya kwa kigezo cha maendeleo katika mtandao wake wa barabara, kama takwimu zifuatazo zinavyoonyesha: • Mtandao wa barabara nchini Tanzania una barabara chache zaidi kwa mara tatu (kwa kigezo cha kiasi cha kilomita za barabara kwa kila mita za mraba 1,000 za eneo la nchi kavu) kuliko ilivyo nchini Uganda na Kenya. • Kuna kilometa 7.5 za barabara za lami kwa 84 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | kila mita za mraba 1,000 za eneo la nchi kavu • Kutokana na mahitaji makubwa ya fedha, je, njia nchini Tanzania, wakati uwiano huu ni 82 kwa mbadala za kupata fedha zi�kiriwe, kwa mfano Uganda na 19.7 kwa Kenya. ubia na sekta binafsi kwa barabara kubwa au korido za kimataifa; juhudi zinazotokana na jamii • Ni asilimia 5.8 tu za mtandao wa barabara za taifa kutengeneza barabara-lishi? Je, watumiaji wa ndizo zinazohesabika kuwa ziko katika hali nzuri barabara walipie? na za kuaminika nchini Tanzania ukilinganisha na asilimia 20.7 kwa Uganda na asilimia 11 kwa • Ni kwa kiwango gani njia nyingine za usa�rishaji Kenya. kama vile majini au reli zinaweza kuwa mbadala wa usa�rishaji wa barabara? Sio tu kwamba barabara nchini Tanzania hazitoshelezi, lakini pale ambapo zipo, ama zina hali Angalizo: Takwimu zinatokana na Jopo la Uta�ti wa mbaya au hazipitiki kabisa hasa msimu wa mvua. Mikoa ya Kilimanjaro na Ruvuma (2003 na 2009), Hivyo, kaya, hasa zile ambazo ziko maeneo ya mbali, na Kitabu cha CIA cha Takwimu. Nyaraka zote zipo zinakabiliwa na ugumu wa kusa�risha mizigo yao, wazi kwa umma. kusa�ri kutoka pointi moja hadi nyingine ndani ya nchi au hata kujua nini kinaendelea katika nchi yao. MAONI YA MSOMAJI Ukosefu huu wa usa�rishaji unajionyesha kwa takwimu kwamba ni kaya moja tu kati ya tano ndiyo Barabara ni muhimu sana licha ya kwamba elimu iliyokuwa ndani ya kilomita 3 ya karibu na barabara pia ina wajibu mkubwa katika uchumi wa nchi. ya lami katika mkoa wa Kilimanjaro hadi hivi karibuni Lakini ili ujenge barabara, ina maana upunguze mwaka 2009. Na katika mkoa masikini zaidi wa uwekezaji katika elimu na afya, uamuzi ambao Ruvuma, kaya zinazoweza ku�kia barabara ya lami tusinge paswa kuufanya. Pendekezo langu ni zilikuwa chini, asilimia 5.6. kwamba tunaweka urari katika sekta zote tatu. Hata hivyo, Serikali imefanya jitihada kubwa Sioni kwamba afya na barabara zinakinzana. Kwa kuboresha hali ya barabara, kama inavyoonekana kweli kuna ta�ti nyingi ambazo zinaunganisha katika kiasi kikubwa cha fedha zinazotengwa kwa faida za mifumo ya usa�rishaji na afya. Mfumo sekta hiyo katika kipindi cha miaka michache wa kisasa wa huduma za afya una faida gani iliyopita. Jumla ya bajeti kwa ajili ya barabara kama huwezi kuu�kia? Tunahitaji kuweka imeongezeka kutoka Shilingi bilioni 491 mwaka mkazo katika mfumo ambao unafanya kazi 2007/8 hadi Shilingi trilioni 2.1 mwaka 2011/12. Kiasi pamoja; ambapo barabara ni muhimu kwa ajili hiki cha fedha ni sawa na kiasi kilichotumika kwenye ya kuunganisha mfumo kama ilivyo elimu kwa elimu na mara mbili ya bajeti ya afya. mfumo huo. • Je, serikali itumie fedha nyingi zaidi kwenye Usa�rishaji ni uti wa mgongo wa maendeleo barabara – hata pengine kuzinyima sekta za yoyote ya kijamii na kiuchumi. Iwapo asilimia 80 Elimu na Afya? ya Watanzania wanaishi maeneo ya vijijini inaleta maana zaidi kuwekeza katika barabara za vijijini. • Ni aina gani ya barabara zinapaswa kuwa Ndio njia pekee ya kupunguza uhamaji wa watu kipaumbele kwa nchi– barabara za lami au kutoka vijijini kuja mijini kwani inawaruhusu barabara za mikoani na wilayani? vijana kufanya shughuli za uzalishaji wakiwa • Je, Tanzania iwekeze katika usa�rishaji wa vijijini katika makazi yao vijijini. au mijini? Katika mikoa ipi ya kipaumbele? 85 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 41 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Je, mapinduzi ya mawasiliano kwa simu za mkononi yanawezaje kuwainua masikini wa Tanzania? Nchi za Afrika kusini Sahara zimeshuhudia ongezeko kubwa katika matumizi ya simu za mkononi katika Katika kutengeneza ajira, kwa mfano, kipindi cha miaka kumi iliyopita. Idadi teknolojia ya simu za mkononi imechangia ya watumiaji wa simu za mkononi katika kupunguza umasikini. Lakini muhimu imeongezeka kutoka watumiaji zaidi ni matokeo yake katika uchumi kama wanaozidi milioni 11 tu mwaka 2000 vile kuongezeka kwa muunganisho wa hadi milioni 463 mwaka 2011 na idadi makampuni na biashara ndogo ndogo hii inatarajiwa kukua zaidi. Teknolojia ambayo huongeza upatikanaji wa habari na hii sio tu inagusa maisha ya kila siku kuwezesha kuhamisha pesa kupitia simu na mawasiliano, lakini ina uwezo za mkononi. Hii huchangia katika kuongeza wa kuongeza nguvu maendeleo ya tija na kuhimiza kupanuka kwa shughuli kiuchumi, moja kwa moja au kupitia unaoruhusu kujiingiza katika shughuli njia nyingine. mpya ambazo zote ni nzuri kwa uchumi. 86 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Takwimu zifuatazo zinaonyesha kwamba Tanzania kuunganishwa ziko juu kwa takribani asilimia 10- ina ongezeko la kuridhisha katika matumizi ya 15 nchini Tanzania kuliko ilivyo Kenya, ijapokuwa simu za mkononi kwa kipindi cha miaka michache bado ziko chini kuliko Uganda. Ukweli ni kwamba iliyopita: mwaka 2010-11, wastani wa matumizi ya kaya kwenye mawasiliano ulikuwa juu zaidi kuliko • Mwaka 2011, Tanzania ilikuwa na watumiaji wa gharama za huduma za afya. simu za mkononi 56 kwa kila wakazi 100. Hili ni ongezeko la karibu mara tatu ndani ya miaka Habari njema ni kwamba takribani nusu ya watumiaji minne. wa simu hutumia simu zao kutuma au kupokea pesa, Watanzania ni miongoni mwa watumiaji wa • Upatikanaji wa simu za mkononi nchini Tanzania haraka sana wa huduma za fedha kwa kutumia uko nyuma ya Senegal (watumiaji 73 kwa kila simu za mkononi, wakiwa nyuma kidogo ya Kenya. wakazi 100) na Kenya (65), lakini iko juu zaidi ya Katika kilimo, idadi kubwa ya watoa habari za kilimo Msumbiji (33) na Malawi (25), na juu kidogo ya hutoa ushauri wa kitaalamu na habari za masoko wastani wa nchi zilizo kusini mwa Sahara (53). kwa wakulima kupitia ujumbe wa simu, vituo vya • Majimbo mengine yanayoendelea simu za simu au vifaa maalumu. Katika sekta ya afya, simu mkononi zimepenya kwa kiasi kikubwa, Asia za mkononi zimefungua fursa ya kufanya utambuzi Kusini ikiwa na watumiaji 69 kwa kila wakazi 100; wa magonjwa kwa masafa ambapo watumishi wa na watumiaji 80 kwa Asia Mashariki; lakini ukuaji afya katika vituo vya mbali wanasaidiwa kutibu haraka nchini unamaanisha kwamba si muda wagonjwa wao kwa kutumia wataalamu wa tiba mrefu Tanzania itawa�kia. kupitia simu. Hii kwa kiwango kikubwa imesaidia Jambo la kutia moyo zaidi ni kwamba simu za kuboresha utoaji huduma ukizingatia kwamba kuna mkononi hazipo tu katika maeneo ya mijini, lakini uhaba wa watumishi katika vituo vya afya vya vijijini. zime�ka maeneo ya mbali yaliyosahaulika ya vijijini, Wakati muunganisho huu wa kimtandao ukifungua na zinawapatia muunganisho unaohitajika sana. fursa mpya, inatakiwa iambatane na hatua zaidi Lakini simu za mkononi zinaweza kusaidia zaidi za sera kwa sababu upatikanaji wa habari na pesa kupunguza tofauti za usawa iwapo hatua zaidi wenyewe tu hautoshi kuleta mabadiliko katika zitachukuliwa, kwa mfano, kupunguza gharama maisha ya watu. Kwa mfano, hata kama wakulima hasa kwa watu walio masikini sana: watakuwa na habari hizo, wakulima hawawezi kwa • Mwaka 2010 zaidi ya theluthi moja ya kaya za urahisi kunufaika na tofauti hiyo ya bei kama barabara vijijini walimiliki simu kutoka asilimia 17 tu mwaka za vijijini zitakuwa katika hali mbaya na gharama za 2007. usa�ri kuendelea kuwa juu sana. Kama masikini watatumia fursa kujinufaisha kutokana na huduma • Hii ilileta muunganisho wa mara ya kwanza wa za simu za mkononi pia kutategemea mfumo wa zaidi ya watu milioni tano wakiwemo angalau elimu, ambao unahitaji kuwapatia wanafunzi stadi za masikini milioni mbili. kutosha za kujua kusoma, kuandika na kuhesabu na • Hata hivyo, mwaka 2010 ni asilimia tatu tu ya kaya stadi za maisha. Hata utambuzi wa masafa unaweza masikini sana ndizo zilizomiliki simu uliinganisha tu kufanikiwa katika kuboresha huduma za afya za na asilimia 96 kwa kaya tajiri sana. vijijini iwapo vituo vya afya vitakuwa na madawa na vifaa vya tiba muhimu, na iwapo wagonjwa • Ni kweli, kwa familia masikini, kupata simu ya wataweza kupata huduma ya rufaa kwa magonjwa mkononi ni kujitoa muhanga kiuchumi. Simu ni ambayo yanahitaji matunzo katika ngazi ya juu au ghali, wakati muda wa maongezi na gharama za mashauriano na daktari ana kwa ana. 87 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | • Je, unaamini kwamba upatikanaji wa huduma kutumiwa kwa njia zipi ili kuboresha utoaji za simu ya mkononi kunabadili au kutabadili huduma katika elimu, afya au ugavi wa maji? maisha ya Watanzania, wakiwemo wale ambao ni • Je, Serikali itoe ruzuku kwa kaya masikini waweze masikini sana? kupata simu za mkononi au kuwasaidia kupata • Je, simu za mkononi zinapunguza au kuongeza huduma bora ya elimu na afya? kutokuwepo usawa nchini Tanzania? Angalizo: Takwimu hapo juu zinatokana na Viashiria • Je, simu za mkononi zitawezaje kuwasaidia vya Maendeleo Duniani (WDI), Ta�ti za Demogra�a Watanzania kufanya kazi kwa tija zaidi? Kupitia na Afya (DHS), mwaka 2007 na 2010), na Uta�ti ubadilishanaji wa habari? Kuhamisha pesa? wa Jopo la Taifa 2010/11. Vyanzo hivi vipo wazi kwa umma. • Je, mapinduzi ya simu za mkononi yanaweza MAONI YA MSOMAJI Most small food farmers and other food producers A good example of how Government is using the can grow healthy and affordable food with the mobile phone networks to reach remote citizens relevant knowledge and skills which can be easily is the Wazazi Nipendeni free informative SMS acquired from quali�ed providers and not from service. It offers free information to on healthy expensive communication toys. pregnancy and good early childcare for pregnant women, mothers and their families. Within three I think the possibility to make payments through days of the launch on 20 November 2012 over the mobile phone will boost the trade at for 10,000 mobile users subscribed to the service. example rural markets. This could yield more Giving a phone “to access markets� for products young entrepreneurs as well as rural businesses. which poor don’t have would be of no use. We I believe that the mobile phone has a tremendous should focus on the means to create wealth �rst positive effect on rural poor people.In Bangladesh then the transformation will follow. there are 90 million mobile phone users (out of a population of 150 million). Almost every rural Otherwise, what we are doing is tackling poverty household has access to a mobile connection. As a at a secondary level rather than the primary level. result, the economic activities of rural Bangladesh This is wrong. Mobile phones will only lead the have been greatly diversi�ed as a result, with poor to waste more of their time thinking about women as the main bene�ciaries. communicating with relatives instead of doing productive work. 88 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together 42 TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Twende zetu: Usa�rishaji wa Barabara Tanzania � XXX Ku�kia masoko, huduma za umma, na kazi ni jambo lisiloepukika kwa wananchi ambao wanataka kunufaika na fursa za kiuchumi na kupata maendeleo. Nchini Tanzania, kama ilivyo katika nchi nyingi za Afrika, barabara ndio njia kuu ya usa�rishaji kwa watu na mizigo. 89 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | Hata hivyo, huduma za usa�ri zisizotosheleza na 5.4 ya kaya ndio walikuwa wamiliki. Idadi ya watu u�nyu wa usa�ri ni mambo yanayojitokeza kila siku: inayoongezeka na ukuaji wa uchumi pia ulisababisha - Mwaka 2010, ni asilimia 1.8 tu ya kaya za Kitanzania shinikizo kubwa katika miundombinu iliyopo, waliomiliki gari; kiwango cha chini zaidi kuliko ilivyo kunakosababisha ucheleweshaji na msongamano kwa Kenya (asilimia 5.6 mwaka 2008/09) au Uganda hasa katika majiji makubwa: (asilimia 3.2 mwaka 2011). • Visa na mikasa katika Kituo cha Mabasi cha • Umiliki wa pikipiki pia sio jambo la kawaida – Ubungo, Dar es Salaam inaonyesha kwamba asilimia 2.9 tu ya kaya Tanzania Bara walikuwa wastani wa muda wa kusa�ri kwa safari chini ya na umiliki wa pikipiki mwaka 2010. Hali kisiwani kilomita 15 ilikuwa zaidi ya dakika 90. Ukokotoaji Zanzibar ilikuwa tofauti, kaya moja kati ya 10 huu ni kwa njia moja, ikijumuisha muda wa zikimiliki pikipiki au skuta. kusubiri, na ni sawa na kasi ya mwendo ya kilomita 10-12 kwa saa wakati wa msongamano. • Usa�ri wa umma bado ni tatizo kwa Watanzania wengi: Mwaka 2010, zaidi ya asilimia 40 ya • Takribani watoto 160,000 katika jiji la Dar wanawake ambao hivi karibuni walijifungua es Salaam huenda shule kwa basi kila siku, nyumbani walitaja umbali na kukosekana kwa wakitumia zaidi ya masaa 1.5 kwa safari ya usa�ri kuwa ni vipengele vilivyozuia wasijifungue kwenda na kurudi mwaka 2010/11. Hii ni mara katika kituo cha afya. mbili zaidi ukilinganisha na maeneo mengine ya mijini. Kukosekana kwa usa�rishaji wa gari na umbali ni mambo ya kawaida katika maeneo ya vijijini, ambako Yote haya yanaibua maswali yafuatayo: huduma za umma ni chache na ziko umbali mkubwa: • Je, msongamano wa magari unawezaje • Ni asilimia 0.6 tu ya kaya za vijijini mwaka 2010 kupunguzwa katika maeneo ya mijini? Kupitia waliripoti kwamba wanamiliki gari, wakati barabara nyingi za katikati ya jiji? Huduma asilimia 2.3 walidai kumiliki pikipiki. bora za mabasi? Treni za abiria? Barabara za kuzunguka jiji? • Zaidi ya asilimia 40 ya kaya za vijijini wako umbali wa kilomita nne kutoka kituo cha afya (2010). • Nini kifanyike kuboresha jinsi ya ku�kia maeneo Ni asilimia 9 tu ya familia hizi hutumia usa�ri wa ya vijijini? Je, jamii zijihusishe zaidi katika gari wa umma au binafsi wanapohitaji huduma matengenezo na ujenzi wa barabara? za afya, wakati wengine wakitembea (asilimia • Je, urari unaostahili katika miundombinu ya 58) au wakitegemea usa�ri wa baiskeli (asilimia usa�rishaji kati mijini na vijijini ni upi? 33). • Ukiacha barabara, ni miundombinu gani ya • Ni asilimia 16 tu ya wakulima wanaosa�risha usa�rishaji inastahili kupewa kipaumbele? Reli? baadhi ya mazao yao kwa ajili ya kuuza ndio Anga? Bandari? Majini? wanaotumia usa�ri wa magari (2010/11). Angalizo: Muda wanaotumia abiria katika Kituo Asilimia 18 wanatumia usa�ri wa wanyama, na cha Ubungo zimenukuliwa katika Waraka wa asilimia 68 wanasa�risha mazao yao kwa mguu Tathmini ya Tathmini ya Mradi wa Pili wa Uchukuzi au kwa baiskeli. wa Korido ya Kati (Benki ya Dunia2008). Takwimu nyingine zinatokana na Ta�ti za Demogra�a na Kwa upande mwingine, kaya za mijini zinaweza Afya kwa Tanzania (2010), Uganda (2011) na Kenya kuchagua aina mbalimbali za usa�ri ijapokuwa (2008/09), na Uta�ti wa Jopo la Taifa 2010/11. magari binafsi bado ni machache wakati asilimia Takwimu zote ziko wazi kwa umma. 90 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 91 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together TA N Z A N I A H E B U T U TA FA K A R I PA M O J A | 92 www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together www.blogs.worldbank.org/africacan/tanzania-lets-think-together